The Story Book: Ukweli Unaofichwa na Wazungu Kuhusu Historia ya Afrika
Ойын-сауық
The Story Book: Ukweli Unaofichwa na Wazungu Kuhusu Historia ya Afrika
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 944
This guy is a good researcher and is so creative...I love what you do bro.Much love from Kenya.🇰🇪🇰🇪 Nipeni likes basi wenzangu😂
@bienfaitamani7833
Жыл бұрын
✌🏾
@omarshambi2569
Жыл бұрын
🇰🇪
@shinipapaya846
Жыл бұрын
Tena nyie Chikenya ndio inawahusu ili mtoke kwenye giza totoro la akili za wakoroni kwenye mabichwa yenu maana nyie ukoroni mmeupanda kama SUKUMA WEEK 🤣🤣🏃🏃🏃
@barnabamtweve7393
Жыл бұрын
@@shinipapaya846
@barnabamtweve7393
Жыл бұрын
please
The story book never lies! Kenya iko love!🇰🇪🇰🇪
Hizi sasa ndio storybook yenyewe inayo ongelea UKUU WA MWAFRIKA endelea kutupatia kama hizi itatusaudia wa afrika kujikubali zaidi na zaidi
Nimejifunza kitu kikubwa sana ambacho sikuwai kijua hapo kabla niitamfundisha mwanangu mwenyewe kuhusu hii history ya Africa shukran sana 🙏
Hapa nchini Kenya tunakupenda sana
@josephhiza811
2 жыл бұрын
Tunawapenda sana wakenya♥️
@alejpapsyoh809
2 жыл бұрын
@@josephhiza811 Santeni Jirani Zetu
@mohammedgadaffi808
2 жыл бұрын
Naice video
@ikopwdjh694
2 жыл бұрын
💯
@ikopwdjh694
2 жыл бұрын
Kweli kbs 😍
Mimi nilibishana sana na mtu mmoja jinga anasema eti Afrika hatuna jipya👏👏👏👏Jamal
Through Prof Jamal you can realise that History is the great subject. Even our schools should change the way of teaching history by narating than giving notes to learners
FINALLY PROFESSOR JAMAL HAS DONE ONE OF THE FAVOURITE TOPICS EVER...OPEN YOUR EYE AND SEE❤❤❤❤❤❤
Wewe ni professor kweli kweli Jamal. Nimetoka sudani kusini napenda jinsi unayoadhia historia na utafiti ya ukweli. Stories telling is what make communities and great nation to be know can you tell our histories in English so that the world may know that we also have a unique history. 🇸🇸🇸🇸🇸🇸🇸🇸
@venaslulonga6690
Жыл бұрын
Uyubwana ni mbabe wa historia kwakweli
Kabisa Jamal na ndiomaana elimu yetu ya Sasa haitusaidii chochote zaidi tu inatujaza ujinga na kukalilishwa vitu visivyokuwa na maana Kwa lazima..... I. Lovu you Africa
Kwa ninavyoipenda Afrika na ninavyobishana na watu wanaotukuza ukubwa wa wazungu kuliko ukuu wetu yaani nimefurahi ile mbaya 🙌
@yama_virginhairthequeen1065
2 жыл бұрын
AMINA mababu zetu haawa wajuzi walitudisapoint dah big time😵wametuuza wakakubali unyonge
@rayyanabdul955
Жыл бұрын
upo kama mimi nikianza kukinzana na wapuuzi wenyeakili za utumwa mbaka wanakimbia
@bobwhite9252
Жыл бұрын
Unatoa wap nguvu za kutetea wakat mataifa yako ya africa had chupi na vijit vya meno wanaagiza nje😁... Siku ukija kutembea huku ulaya ndipo utajua sis waafrica tuna kasoro.. hawa jamaa maendeleo waliyofanya huku kwao ni kama miujiza. Sasaa unatoa nguvu ya kutetea wap ndugu yangu wakat bado chakula nguo na malaz ni bado janga.. miviongozi haina akil inafisad nchi.. utasema sis waafrica ni watu. Hata mim kabla sijaja huku niliko nilikua natetea sanaa nikikaa vijiwen. Nilipokuja huku kuish ndipo nimeamin sis watu weus tuna matatzo makubwa. Halaf tunajificha kwenye kichaka kwamba ukolon ndo umetufanya maskin..
@uzungupoint
Жыл бұрын
@@bobwhite9252 Unadhani nini chimbuko la matatizo yetu kiongozi kama waafrika?
@bobwhite9252
Жыл бұрын
@@uzungupoint chimbuko ni 1.muda..tuko nje ya muda wenzetu walichangamka mapema kuanza mapambano 2.uongozi mbovu na siasa chafu za kishamba 3.uvivu na ubinafsi 4.ukabila na udini.. uwe wa asili au udini wa kuiga/kuletewa na imani za ajabu ajabu.. kuamini miujiza ya kufanyiwa kuliko kujishugulisha 5.ushamba na kutojiamini
Tunakupenda sana Allah akupe maisha marefu ❤️
Tatizo la Africa viongozi wanatuangusha sana dunia nzima inakontoliwa na mzungu lkn wenzetu wengine kidogo wanajielewa na wanathamini nchi zao mfano nchi za kiarabu wameendelea kwa sababu viongozi wao wanazithamini nchi zao Africa viongozi tamaa zimewazidi wanasahau hata nchi zao kikubwa wanajali matumbo yao tu na familia zao ndio sababu Africa haitawahi kuheshimiwa
@yama_virginhairthequeen1065
2 жыл бұрын
All in all tuacheze kuabudu wazungu before our kids we are poisoning our generation yani it's sad siwezi andika Sana but inaumiza
@mrben227
Жыл бұрын
Umemaliza maneno kaka
@Chambuzilenu
9 ай бұрын
Na tamaa pia
@MosesOchieng-yi1xx
2 ай бұрын
Kuwa chanzo cha mabadiliko juu unaweza.Usisubiri mtu
Broo Jamali natamani siku moja Tanzania ijue nini unafanya na kwamaana gani. Nakuelewa saana kaka na kila siku za maisha yangu utabaki kia kiigizo kwangu kaka.....!!
@RamadhaniKanju
16 күн бұрын
😅😅😅😅
In short Brother and my African relatives I have invented and discovered very interesting mathematical laws , theories, theorems, axioms, conjectures and formulas etc. After publishing them people in the whole world will be very shocked and amazed .
@mosesbarofa4419
2 жыл бұрын
Big up broo
@barakawabuge5285
Жыл бұрын
Do it fast..in a secrecy coz we know the plans of the whites
@mathsnewdiscoveries
Жыл бұрын
@@barakawabuge5285 Thank You I will do it .
@faithmwende4575
Жыл бұрын
Waiting
@blandinamyinga9489
Жыл бұрын
bravoo
Mungu ni mwema mno, Amini kuwa Africa inarudi katika ubora wake. Utawala wa wanzungu unaanza kuisha taratibu.
@kiilyband6454
2 жыл бұрын
Ukweli
@mudigames5479
Жыл бұрын
Kweli
@annerose3310
Жыл бұрын
Uishe kabisa upotelee huko mbali
@annerose3310
Жыл бұрын
Africa will be great again
@hashimhassan4812
Жыл бұрын
Kama ni afrika ya story book, n a k u b a l i
Darasa pekee ambalo halimchoshi mwanafunzi 🔥🔥🔥🔥
@fakiimohamed6163
2 жыл бұрын
mno mr
@mohamedidd7385
2 жыл бұрын
@@fakiimohamed6163 haipingwi mzee
@nicholausjames8826
Жыл бұрын
Daaah noma sana
Ndugu yangu nakufurahia sana tena sana nikiwa mojawapo wa watu wanaoichi nchini ujerumani kwa historia utupatiyayo kutokana na the history book! Mimi pamoja na watoto wetu tunakusphukuru sana. Na hapo hapo ningekuomba sana kama ungetupatia historia ya wafarume wa mkoa wa kagera hasa Kyamutwara kama vile who is Kaitaba.
Prof Jamal ninakupongeza sana kwa kazi nzuri, Mwenyezi Mungu Azidi kukujalia kujua mengi na kuhabarisha Tanzania na Dunia nzima. Nikirud Tanzania nitakutafuta tuonane Nakufuatilia sana kutoka Israel
Mimi kama mfuatiliaji wa kipindi cha the story book naomba sisi wote tunoa fuatilia tuwandae tuzo kwaajili ya huyu jamaa anastahili kabisa kwa madini anayo tupatia ila wakati wa kumkabidhi tuzo naomba aje na diamond tupige picha ya yeye 🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@sombochristian8373
2 жыл бұрын
Kabisa mimi niko tayari
@stellah3844
2 жыл бұрын
Kweli kabisa
@zafeer4750
2 жыл бұрын
Itafaa sana
@jamesobedy3940
2 жыл бұрын
@@sombochristian8373 pa1
@jamesobedy3940
2 жыл бұрын
@@stellah3844 pa1
Guy african let’s wake up tuendeleze africa yetu 💪🏽 tuamke wajameni
Professor Jamal I admire you very much, I love History and Philosophy but my father would not let me study my bachelor's degree in Philosophy or History undergraduate programme, he says history is nothing and philosophy is unrealistic instead he had me admitted to the institute of his choice where I have to what I don't want to but no way he is my father.
The best stories teller in the world, much respect Jamal professor mwenyewe💯%👍🥰
@barakawabuge5285
Жыл бұрын
Usiichukue TU kama story chukua kama elimu na hamasa
@hamudshabani7801
Жыл бұрын
This is the marvel story about African greatness; congrat's bro
daah ni kweli maana kila kitu tunawategemea wao hata ukitazama madawa watu tumeacha miti shama tunapambana na madawa yao
@oscarfrancis2464
Жыл бұрын
I think the truth about the abilities and skills of africans can further been developed up to now if only our uncestors would developed it , so we are not conversant with those skills not because we don't know but because our uncestors fail to developed those skills so that we will also use those skills to develope our africa
Love the story book 📖 from Kenya 🇰🇪 Tufanyie story ya Fort jesus 🙏
Thank you Jamal for this,unatufunza mengi sana tusiyoyafahamu,much love from Kenya🇰🇪🇰🇪
This story and more like such, should be the first topic in each history class all over the African classes.
Tuache utani jamali you are so creative bro
@nayoneplatnumz3311
2 жыл бұрын
U seee
@mhaaboykigoma7211
2 жыл бұрын
Mwanang nakukubal sana kwa historia we ni number one
@pailoraymond5051
2 жыл бұрын
Interest story from the interest person
@mreagletz
Жыл бұрын
Fact
I love your story professor Jamal. siku moja nataka niwe kama wewe. I want to be the great person like you
Tutazame tulipojikwaa sio tulipoangukia. Tulipoteza dira baada ya kukubali kutawaliwa kifikra ujio wa waarabu lilikuwa pigo la kwanza tulipokubali kuacha mila zetu tukajifanya waarabu weusi na walipokuja wazungu tukageuzwa kuwa wazungu weusi. Unapokubali kufata mila ya wageni utadharau vitu vyako, elimu yako, ujuzi wako, majina yako,mungu wako, babu zako, asili yako, mungu ako na hata utu wako. Sasa hivi tumebaki tunabishana kati ya mungu wa waarabu na mungu wa wazungu nani ni mungu halisi na tuko tayari kutukanana na hata kuuwana tukipigania hao mungu wa wageni. Tunapaswa kujitamvua kwamba Mungu tulikuwa naye na tuko naye na ndiye aliwasaidia mababu zetu kupata mahitaji yao na kuwa na maendeleo tangu zama hizo kabla wageni/wavamizi hawajaja kutupotosha na kutulazimisha kufata mila zao.
@kizambohermaton3514
Жыл бұрын
Kweli ndugu, walipo kuja warabu waliuwa wafrika kinyama ikabidi mababu waogope waka salimu amri. Mzungu alipo fika pia, akaya fanya hayo hayo. Ndio twajipata hapa. Uzuri, we go wetu bado twazifata mila zetu ingawa zingine zimetutoka.
@hashimhassan4812
Жыл бұрын
Kwani izo dini ndo zinavyotufundisha tugawane?
@mamaafrika7979
3 ай бұрын
Habari kaka big up sana ...wewe utaweza kuamsha wenzetu waliolala...manake heshima ya mwafrika imepotea,Mila zimepotea, dini Zetu zimepotea tunafuata za watu .... je sisi hatukuwa na dini? Je ukiomba kizungu au kiharabu ,haya maombi yanaenda kwako ama yanaenda kwa hao wenye ndini zao, ....jamani tunatakiwa tuamke ( Mpapai hauwezi kizaa korosho, Yembo hawezi akazaa Simba . Na mbuyu hauwezi kifundishwa jinsi ya kizaa mabuyu ila ni asiliyeke ifikapo.mida wa kipeuwa matunda kinazaliwa kile.kinaxhostahilo katka huo mti au huyo mnyama . Inakuwaje Afrika tinafundishwa swala au Sala Ss uhalisi wetu uko wapi ebu tuamkeni tujue heshima yetu na tujiheshimu ndipo tuheshimiwe!
@Africatenshi
3 ай бұрын
J
@Africatenshi
3 ай бұрын
Africa lazima tujikubali kuwa NDO chimbuko la binadamu halisi.tujikubali jamani
Daaah ukweli daima hung'aa katikati ya uongo thank you professor Jamal 👏👏✊👊
@tigiyamhulilo202
Жыл бұрын
Neocolonialism ndio ya Leo Sasa, ukivumbua kitu Mwafrica Kuna Mambo matau. 1. Utachukuliwa kwa gharama yoyote ile na malipo ili ukatumikishwe kwao, 2. Utadanganywa scholarip na ukihitimu huko hutarudi Africa. 3. Ukiwa mgumu utatengenezewa kesi uwekwe ndani
This story was so interesting...we look forward to more of this about African history
Africa 🌍 nimoja ya Bala la yenye watu wenye akili na matajili na watafiti kilakitu kimeanzia afrika , hakika namchukia mtu anae mtukuza mzungu mbele yangu au mbele ya jamii , naipenda Africa.
@bhokerotente3822
Жыл бұрын
This is very true
I love the way you contrast the story b4 it starts.. makes us watch till end.. big up🇰🇪
The talent you got, damn!!!!.... You found your purpose wallah.... ❤️❤️❤️
@eddinembabaz5127
Жыл бұрын
True calling
Ukitenda mema,basi jamii itakukumbuka kwa mengi,kama great person
Mungu akubaliki wanakupenda wengii wengi,,hawakomenti
Kwakweli kaka Jamal kazi yako ni nzur sana natamani one day nchi itambue kazi yko hakika unakotupeleka mkono wa MUNGU ukahusike
You're very bright my bro.i love you're story and the way you send a massage in a society.
Hello My Brother Very Professor JAMAL You're more than good Researcher Brother, please Start also telling Us more about different Great Inventors and Discoverers individually, especially of Mathematics .
When I grow up I wanna be like u prof. One Of his own kind💪💪💪
@nawandafamito500
2 жыл бұрын
mungu na mimi pia nakuombea ndoto zako, zitimie na mungu wetu sio mchoyo ndoto itatimia.
@yustomlay4422
Жыл бұрын
Pyramid zilijengwa na wayahudi karne 1 na 2
@habibukitwana1552
10 ай бұрын
@@yustomlay4422soma vitabu myahudi ni mtu mweusi hata Ibrahim mwenyewe anasema kwenye maandiko tazama ngozi yangu ilivyo nyeusi
Sema weh jamaa ni mkali sana daaah, mungu akuzidishie zaid kwakweliii 🔥🔥
Nakupata kaka, Asante sana kwa kuwakumbusha wenzetu.
Tulitamani uongezwe mshahara ili utupe hadithi zako nzuri Mara mbili kwa wiki maana mpaka kufika ijumaa huwa tunazisubiri kwa hamu saana.
@kenmukono8141
Жыл бұрын
Kabisaaa,,,natamani sana angetuletea story mara mbili Kwa wiki
The story book haijai nipita hata siku moja kama Jamal mustapha ndiye dereva much love from Kenya 🇰🇪❤️❤️
I just love this guy he is a good researcher 🎉 ady kusimulia 💯
🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬👣 Asante saana kaka Kwa history nziri saana kuhusu Africa yetu pedwa
Much respect from kenya
Honestly Professor Jamal April you are one of the best story tellers of this generation in Africa and perhaps in the World. Coming back to the topic at hand, Africa is very much rich in many things and we Africans are so talented and skilled. Fir this reason whites try by all means to make sure that young generation of Africa does not realize this reality in order for them to continue stealing from us and making Africans feel inferior to them. It's time for an Africa child to wake up and realize his wealthy. I have the same wish as Kweme Nkrumah, "Having one Africa speaking the same language, agreeing in he things bringing development, having one goal." Speaking the same language doesn't mean we speak one local language the entire Africa but realizing our wealth and treating fellow Africans in the same way than we do now. Africa has all what it takes to cross boundaries.
@nathankitsao187
Жыл бұрын
He comes second, next to Mkurugenzi Abel Mutua
Bro heshima yako aseh. Barikiwa.
Aminia xana prof-Jamal unachimba mambo na unajua kuyahadithia kwa uxtadi kama wote yaani...,big up brah ✌️✌️
keep it up we love u🇹🇿
Me I respect jamal this guy is wow he's a great researcher
Big up sana Jamal kwa elimu hii ya kutuamsha kujitambua
Asante sana professor kazi safi sana kutuelimishaa 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
From Kenya we love you proffesor 😘😘😘
no world power without africa! thanks jamal april!
Hii imenizengua😱😱😱. Indeed we all have within us the capacity to be great. #MawazoWise
Very excellent 👏👏👏, professor
Jamali I humbly request the whole story of this mnsa musa pls 🥺🥺I wish I could sub a million times 🥺🥺I just cant get enough of this story book 🥺🥺🥺
@fidelisdeusdedith3511
Жыл бұрын
Hii story book huwa inarushwa lini na saa ngap kwenye TV?
@rukiashenkome9575
Жыл бұрын
Inarushwa wasafi tv kila ijumaa kuanzia saa tatu usiku na marudi0 ni jumamosi saa saba mchana
thumbs up from kenya.......good research 👍👍
Mkuuu🔥🔥nimekutambua...msanii kutokea Kenya 🇰🇪
Asante Sana nimepata elimu kupitia the story book.🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Loving every story you tell..Big Up Jamal
imani na kweli, ni mambo mawili tofauti. kuamini ni kukubaliana na mambo ambayo hayana uthibitisho. wakati ukweli, ni mambo yenye uthibitisho na ushahidi””
@kelvinrobast5608
Жыл бұрын
Hivi wamaanisha nini kuhusiana na kisa hiki?
@ibrahimsuleyman6424
Жыл бұрын
Wazungu hawana historia yenye mashiko wao wa khadith zisizo na ushahidi wa mashiko kwaio ndo inakuwa imani, ila sisi tuna historia zenye ushahidi na mashiko na ndo kweli, kwaio vitu vyotee waanzilishi ni sisi tu maana ushahidi upo mpk leo wao hawana ushahidi wa mashiko, ila wana imani na ndomana wakaweza kuanzisha dini kama kristo na islam
Jamal explore more brother, I all know this but the power is what am lacking to spread it out
@kelvinrobast5608
Жыл бұрын
You will get the power some day.. Keep your head up.. Jamal is doing great content educating and entertaining at the same time.
@kingiryn8656
Жыл бұрын
Someni vitabu mtapata maarifa zaidi siyo kusubiri makala kama hizi zilizofupishwa acheni uvivu
Uko sawa sawa, Mungu wa wote vitu vyote vya toka Kwa Mungu, Eb 3.4, Mwz 1.1,Eb 4.12. Eb 11.6,11.1, 2Pet 1.20-21, The word of God is not a sychlogycal humanism.Amen
Much love professor ❤💕💗
Yeah the Story Book Kwa hewa🔥🔥🔥🔥
Kazi nzuri professor Jamal kiukweli umejiandaa vema kutupatia makala nzuri ya historia ya afrika
Hiyo kweli bro ndo maanaxgrammy wametuachia sisi halafu wanasema za kibaguzi sisi afrikaxkwenye muziki tunacgreat melody I proudxof you Africa
Genious mind set professor Jamal April
@mwanjalajordan9503
10 ай бұрын
Mwanzilishi wa chama cha skauti duniani Sir ROBERT SMITH BARDEN POWELL akiwa afrika kusini aliona mashujaa wakiwafundisja watoto ukakamavu na upelelezi akapenda na alivyorudi chini kwao akawafundisha watoto wa kizungu wakafurahia mafundisho na ukawa mwanzo wa uskauti duniani.kwa maana iyo waafrika tunajua mengi tangu zama na si kama wanavyotuaminisha wazungu
Congratulations my model 💖
Mashaallah kaka shukran kwakutukumbusha from oman sipitwi story book
I this deep truth 💯 😪 from my heart God bless you brother 🙏
Gostei muito prof Jamal ✨
The only one professor l have 👊🏾👊🏾up Brother Jamal
Bro uko vzr mungu akutangulie kila Jambo ngumu liwe jepesi kwako
Nchini Congo Wana kukubali sana .istory zako zinampa mutu imani na nguvu za kujiamini
JAMAAL APRIL can you please start translating all these videos in English? Wazungu hua wanatuchezea sana, just travel you'll see how they treat us in their countries while our f***kin history is older than theirs.
@fidelys-jq5bl
Жыл бұрын
Yes bana
Genius mind professor Jamal much love brother
@elizabethraphy2659
Жыл бұрын
Mungu na akubariki sana maana unawafungua waafrica hata kama tumepoteza kwa kuibiwa kwa jina ya eti tuwashamba lakini naomba tuamke tujitegemee sasa asante Jamaica.
Uko vizuri kaka kazi yako njema Mungu akupe maarifa zaidi na kuku funulia mengi zaidi
Professor we ni noma mikono juu bro, chakula cha ubongo hasa kwa wavivu wasiosoma history za mambo yanayoendelea duniani wewe unayaleta kwenye story book
Me huwa nahisi kuwa Adamu aliishi Tanzania pia alikuwa mweusi kama sisi na mwenye kuhimili hili jua linalotuwakia hapa Africa hasa Tanzania
Profesor🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Nakubali kazi yako, endelea kuchimba Zaidi Africa
Daaah p1 brother. Uko vizuri
Unajua sana kupangilia story kiasi cha kutaman kuisikiliza hiki ni zaidi ya kipaji hakika ungeshirikishwa kwenye royal tour ingekua na maudhui ya kipekee sana kuliko vile ilivyo
I really love the way unaleta hii story ya Africa
Great contents! Safi sana. I really enjoyed this.
MWENYEZI MUNGU AKUFANYIE WEPESI NDUGU YANGU
Naam hapo ni kweli kabisa sisi sio wa kuburuzwa
Natamani waafrika wote wangepata historia hz nadhani wataachana na fikra ya kuwaza ulaya. Wazungu wanajua lkn hawawezi sema
Then Tumepandikizwa Chuki Na waarabu..Thanks Brother huongei vitu vya kusimuliwa unasoma kisha unatuletea na Sisi wavivu wakusoma Historia Ya Dunia na Watu wake
My favourite, keep pumping knowledge
The story book 🧡♥️
Jamal i salute you for your research congratulations and keep the spirit up......
Shukrani kwa kazi nzuri.heko professor..ila naamini kua unajua mambo zaidi ya simulizi,ombi langu ni utambue izo Siri kabisa ujuavyo
Tuangalie tulipojikwaa sio tulipodondokea. Asante mswahili .....
Much love bro from Kenya