#TheStoryBook

Ойын-сауық

Пікірлер: 839

  • @louiriri
    @louiriri4 жыл бұрын

    Wanaosema Jamar Anafanana na Alikiba Gonga like hapa

  • @ramadhanimwanyumba2955

    @ramadhanimwanyumba2955

    4 жыл бұрын

    kweli aisee

  • @rashiddaawah1864

    @rashiddaawah1864

    4 жыл бұрын

    Mbona Mie namuona afanana na mbosso

  • @kizabakangisha4695

    @kizabakangisha4695

    4 жыл бұрын

    @@ramadhanimwanyumba2955 jjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjj

  • @mudarashid8326

    @mudarashid8326

    3 жыл бұрын

    Hhh

  • @chiboymbai2293

    @chiboymbai2293

    3 жыл бұрын

    kwel

  • @kandeboyjrmanji7149
    @kandeboyjrmanji71494 жыл бұрын

    Huyu ndo mbadala sahihi was mtiga abdalahh...jamaa anajua sana...naombeni likes zenu na mimi

  • @shabanramadhan3587

    @shabanramadhan3587

    4 жыл бұрын

    Mtiga zaid uyuu proffes

  • @hassaniothumani5501

    @hassaniothumani5501

    4 жыл бұрын

    @@shabanramadhan3587 huyo mtiga tumemjua kupitia huyu maana huyu ni muandishi na msimulizi Mwamba

  • @bigjizee4130

    @bigjizee4130

    3 жыл бұрын

    Huyu ndie aliye mpika mtiga, Mtiga Ni mwanafunzi wa huyu bwana

  • @nawesulle3566

    @nawesulle3566

    3 жыл бұрын

    Huyu ndo anajua sanaaa

  • @MuganwaPatrick-jy3fx

    @MuganwaPatrick-jy3fx

    6 ай бұрын

    Yoo nependa sana comment Yako nipe nambari zako za sim

  • @makalakatembo4773
    @makalakatembo47734 жыл бұрын

    Wazungu unaweza ukawachukia milele😰 wasenge sanaa

  • @donme9308

    @donme9308

    4 жыл бұрын

    acha tu sema simu unayotumia ata ni ya wazungu 😆😆😆

  • @goldshukri86

    @goldshukri86

    4 жыл бұрын

    Wasenge kweli kweli MACHETANI

  • @morineakinyi1116

    @morineakinyi1116

    4 жыл бұрын

    Hata mimi sana

  • @rehema2018

    @rehema2018

    4 жыл бұрын

    Don Me sio ya wazungu

  • @neemanicholaus5468

    @neemanicholaus5468

    3 жыл бұрын

    umetukana eeh?

  • @nafuwswedi2465
    @nafuwswedi24654 жыл бұрын

    My brother Jamal Historia ya utumwa ni ya kusikitisha sana sana sana Mume wangu ni Mmarekani mweusi ambae hajui ni nchi gani ametokea Africa, yeye ni kizazi cha nne,lakini bado anauchungu sana kwa hawa washenzi wazungu,ukiishi na hawa waamerika ndio utajua jinsi gani bado wanauchungu mno na sio rahisi kusahau,ni historia ya kusikitisha sana kama ukisikia wenyewe wakikuaadithia.

  • @machetebogota4218

    @machetebogota4218

    Жыл бұрын

    Kuna na huku omani dada kila mtu mweusi anakwambia ana jua Kiswahili japo vizaz vyao sasa hawajui kuzngumza inaumiza Sana Allah awalaani ote walotesa ndug zetu

  • @victormwansasu7005
    @victormwansasu70054 жыл бұрын

    Kalii sana ....Niwabunifu sanaa Wa vipnd vyenu ...Huwa havichoshi #wasafi for de life#

  • @maestro1902
    @maestro19024 жыл бұрын

    No 10 kucoment story nomaaa✊✊✊

  • @peterokalo9632

    @peterokalo9632

    4 жыл бұрын

    Very interesting let the young generation youths to know the truth

  • @edwinelias8554
    @edwinelias85544 жыл бұрын

    OTA Benga😝alikuwa na meno yamechongoka km sururuu km umegundua hilo twende pmj na otabenga na chibudenga ndugu wa damu kwa like za kufa nyanii👍👍👍

  • @allpotentials8420

    @allpotentials8420

    4 жыл бұрын

    Daah we jamaaa,,,tuko pa1,,,team otabenga😂🤣🤣🤣

  • @zaitunijuma7831

    @zaitunijuma7831

    3 жыл бұрын

    😆

  • @maysarahesha9532

    @maysarahesha9532

    3 жыл бұрын

    Z Ssd Skd

  • @maysarahesha9532

    @maysarahesha9532

    3 жыл бұрын

    @@zaitunijuma7831 Vip

  • @zaitunijuma7831

    @zaitunijuma7831

    3 жыл бұрын

    @@maysarahesha9532 pow kwem

  • @edmundmbele4307
    @edmundmbele43074 жыл бұрын

    Namshangaa sana mou anaelilia kwenda ulaya, kufanya kazi za ndani wakati rasilimali zote Zipo huku,hususani Ardhi.laiti kama mababu zetu wangeona kizazi chetu tunavyolilia kupendwa na wazungu,na kuwakaribisha kwetu na kuwanyenyekea,nadhani wangelia sana.Tunawabatiza watoto zetu majina yao ya kishetani,zaidi sana tunabaguana kwa dini dini ambazo zimetoka kwao hao hao washenzi,unawezaje kumuita ndugu na jamaa yako kafiri kisa tu,haamini imani ya kitumwa kutoka huko kwa mashetani weupe.Unakuta mzazi yupo tayari mwanae aitwe BROWN,lakini sio aitwe KAHAWIA,hivi tupo sawa kiakili jamani.......PUMBAVU KABISA

  • @anuaryfernandez7230
    @anuaryfernandez72304 жыл бұрын

    Otabenga Atakuwa Na Undugu Na Chibudenga

  • @MenTPL

    @MenTPL

    4 жыл бұрын

    😂

  • @menlandmutashobya8377

    @menlandmutashobya8377

    4 жыл бұрын

    He he

  • @oscarmick8027

    @oscarmick8027

    4 жыл бұрын

    😂😂

  • @masebtommy1863

    @masebtommy1863

    4 жыл бұрын

    😁.. chibudee chibudenga

  • @anuaryfernandez7230

    @anuaryfernandez7230

    4 жыл бұрын

    @@MenTPL 😂

  • @allexlunny7795
    @allexlunny77954 жыл бұрын

    Hongera sana bro tunajivunia kuwa na watanzania wabunifu kama ivi tukiwa kama watanzania endelea kutufundisha wavivu wa kusoma vitabu

  • @ibrahimnyutu1461
    @ibrahimnyutu14614 жыл бұрын

    Wasafi-storybook for life professor Kutoka Kenya tuko pamoja Twajua utumwa mpka wa Leo haujaisha sisi Kama waafrika tushikane pamoja tuweze kuukabidhi racism duniani💯

  • @baby_najma380

    @baby_najma380

    10 ай бұрын

    🇹🇿🇰🇪

  • @saidantugwa7671
    @saidantugwa76714 жыл бұрын

    Jamal uko deep sana proffesor!!! Umetisha unachimba madini c kitoto~good bless yuh"

  • @jolamababyofficial6481
    @jolamababyofficial64814 жыл бұрын

    Ur xo creativity bro, kp it up 🔥🔥🔥🔥

  • @carolkangethe9544
    @carolkangethe95444 жыл бұрын

    Jamal is alikiba's look alike Viva africa may God bless Africa both today and forever..

  • @tariqomary6178

    @tariqomary6178

    2 жыл бұрын

    Eeeh

  • @costantinejohn6661
    @costantinejohn66614 жыл бұрын

    Hii story imenikumbusha shule jmn bigup sana bro

  • @kingsalva4663

    @kingsalva4663

    3 жыл бұрын

    Uui

  • @muhammadkombi5954
    @muhammadkombi59544 жыл бұрын

    Kama nawewe umeona kua Jamaa kafanana na Ali kiba like hapa twende sawa

  • @mariamabdallah5224

    @mariamabdallah5224

    4 жыл бұрын

    Hahaa ht mm nimesema jaman

  • @tomkroos2094

    @tomkroos2094

    4 жыл бұрын

    Hivi ndo vipindi vzuri vinavyo sisimua UBONGO. asante Professor Alikiba

  • @Buonjiboy
    @Buonjiboy4 жыл бұрын

    Can we all as an African people come together and unite . We still suffer from the effects of slavery. Look at what our people had to go through 😭😭 very heartbreaking 💔!! Let us please unite ...I hope this message does not fall on deaf ears.we can do it!!!

  • @dishasuwa7616

    @dishasuwa7616

    4 жыл бұрын

    Problem is our leaders,

  • @mosucc1269

    @mosucc1269

    4 жыл бұрын

    Not in Africa countries

  • @denicodilo9484

    @denicodilo9484

    4 жыл бұрын

    prblm iz neo colonialsm

  • @edmundmbele4307

    @edmundmbele4307

    4 жыл бұрын

    you still even use their language....inafurahisha sana utumwa unaotutesa sisi Waafrika ni wa fikra

  • @richardibrahim5609

    @richardibrahim5609

    2 жыл бұрын

    @@edmundmbele4307 hakika. xax ame2mia english ya nn xx.

  • @frankafrica3973
    @frankafrica39734 жыл бұрын

    Huyu Jamaa Ndio Alikuwa ana Mfanya Mtiga Ashine Jamaa Anafanya Tafiti Zakisomi

  • @hooswengosha2985

    @hooswengosha2985

    3 жыл бұрын

    Wacha uchawi kila mt anauwezo n kipaj mungu fundi

  • @hassaniothumani5501
    @hassaniothumani55014 жыл бұрын

    Nimeikosa kwa tv leo nilikuwa naisubir huku .🔥🌍🔥

  • @rumayojr4638

    @rumayojr4638

    4 жыл бұрын

    Huwa na mda gan kwa tv?

  • @elias123lazaro3
    @elias123lazaro34 жыл бұрын

    Muko vizuri Sana wasafi tv_ the story book

  • @abdulmarijani3301
    @abdulmarijani33014 жыл бұрын

    Nice mwamba your the hero

  • @rameckshalom9056
    @rameckshalom90564 жыл бұрын

    Africa tulipata tabu sana ndy naama m/mungu kaamua kupunguza covd19 or corona kwa kiasi kikubwa xana niayake tupumzike tumetesek xan

  • @shabaniadolph7367
    @shabaniadolph73674 жыл бұрын

    Jamal atar Sana ww ni professor haswaaa

  • @kingkittah6748
    @kingkittah67484 жыл бұрын

    YAMOTO KABISA PROFESSOR KIJANA WAKO HAPA NDOTO ZANGU KUKUSOMEA ULICHO ANDIKA MKUU!!

  • @zenapetro849

    @zenapetro849

    4 жыл бұрын

    Wanatakiwa kutulipa fidia wanasheria wako wapi kwa upuuzi waliotufanyia wajinga hawa

  • @sebastiandidier7928
    @sebastiandidier79284 жыл бұрын

    Jiwe walilolikataa waashi sasa limekuwa jiwe kuu keep it up brother 💪

  • @ramadhanboi6485
    @ramadhanboi64854 жыл бұрын

    Jaaamaaa kwa mbali kama alikiba mm nlijua kiba kwenye thumbnail

  • @mariamabdallah5224

    @mariamabdallah5224

    4 жыл бұрын

    Na mm pia nimejua alikiba

  • @ramadhanboi6485

    @ramadhanboi6485

    4 жыл бұрын

    @@mariamabdallah5224 😁😁nilistuka leo wasaf wameamua nn kutoa story ya kiba

  • @mariamabdallah5224

    @mariamabdallah5224

    4 жыл бұрын

    Ramadhan Boi 😂

  • @ramadhanboi6485

    @ramadhanboi6485

    4 жыл бұрын

    @@mariamabdallah5224 😂

  • @ismailkasim7960
    @ismailkasim79604 жыл бұрын

    OTABENGA ...R.I.P

  • @biramsakh9212
    @biramsakh92124 жыл бұрын

    Allah Akbar. Allah awalaani mizungu iliofanya ivo. Inauma sana

  • @stellaobieno8696
    @stellaobieno8696 Жыл бұрын

    So sad ....and years down the line we have not yet attained independence, not just physically but psychologically. A deep history...TRULY PROFESSOR!!!Nice work

  • @faudhiaamerii6692

    @faudhiaamerii6692

    Жыл бұрын

    Na wewe mtumwa unatumia ruga sio taifa

  • @husseinmambo6739
    @husseinmambo67394 жыл бұрын

    DUH HUYO OTABENGA USIOMBE AKUNG'ATE HAYO MENO DUH😂😂

  • @astedbinyama9915

    @astedbinyama9915

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣stop that

  • @mfaumeseif5872
    @mfaumeseif58724 жыл бұрын

    Jamal unajua sana kusimulia na sauti yako ni ya simulizi...hongera kwa kazi nzuri

  • @juliaayieta2578
    @juliaayieta25784 жыл бұрын

    Ila unaniliza kipenzi am a bit sensitive when it comes to anything to do with children hasa ikiwa si kitu kizuri wanacho pitia.😭😭😭😭 as always kazi nzuri Jamal 💪

  • @Micharazotz

    @Micharazotz

    4 жыл бұрын

    m.kzread.info/dash/bejne/aJWW26uQncjcf5s.html

  • @christonchristian7448

    @christonchristian7448

    Жыл бұрын

    😢😢baeb

  • @etolozakaria3916
    @etolozakaria39164 жыл бұрын

    Mini Akili yangu baada yakusikia hiyi simlizi inaniabia kila mzungu no mshezi kwangu.

  • @fatmamwatamba5881
    @fatmamwatamba58814 жыл бұрын

    Daah aaisee hii ni hatari mpka najiisi vibaya mno😢😢😢😢 Walifanyiwa vibaya mno

  • @maddog5358
    @maddog53582 ай бұрын

    asalamu alaikum mwalimu wetu mim nakuobea allah akuzidishie ilimu nauhai katika maisha yako pia katika mgogo wako Allah atoa moja kama wewe jamali Allah akupe janah firidaush amina🙏

  • @norbertmafioso3213
    @norbertmafioso32134 жыл бұрын

    🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🔥huyu jamaa anajua

  • @taliskare3007
    @taliskare30074 жыл бұрын

    From 254 🇰🇪🇰🇪 thanks a lot jamal

  • @OmegaThreads
    @OmegaThreads4 жыл бұрын

    Hahahaaaaa 1st. nimejikuta nazingatia video production 2nd. Audio (Kizazi Sana)

  • @goldshukri86
    @goldshukri864 жыл бұрын

    WHY THEY don't SHOW this ON TV to ur children IN AFRICA or teachin at school. let the children know their enemies. Itakuwa vizuri for th new GENERATION

  • @nivanivan1820
    @nivanivan18204 жыл бұрын

    Leo siku ya mwisho kusikia the story book back to school

  • @ramadhanboi6485

    @ramadhanboi6485

    4 жыл бұрын

    Acha tuu yani

  • @mwanahawa6362

    @mwanahawa6362

    4 жыл бұрын

    Hahah

  • @nivanivan1820

    @nivanivan1820

    4 жыл бұрын

    @@mwanahawa6362 bc 2

  • @nivanivan1820

    @nivanivan1820

    4 жыл бұрын

    @@ramadhanboi6485 hhh

  • @kingmichael3860

    @kingmichael3860

    4 жыл бұрын

    All the best my young

  • @joobrizy1436
    @joobrizy14364 жыл бұрын

    Wale wa story book tujuane🖐🖐🖐

  • @nzekindunga988
    @nzekindunga9883 жыл бұрын

    ouchhhhh!!!! IT'S NOTHING BUT A PAINFUL CREDIBLE TRUTH Pro. JAMAL I just feel like this was more than brutality. It's time that we as Africans should feel this as being ruthless and we ought to stand and STAND as resolute people. people with brains enough to rise up .

  • @abdulnaseermrisho4342
    @abdulnaseermrisho43424 жыл бұрын

    muda mwingine haya mambo walio tufanyia ngozi nyeupe ninaona hata hushpup yupo sawa kuwapiga mabilioni ya pesa

  • @owenmero6455

    @owenmero6455

    4 жыл бұрын

    Amin mzee 😂😂

  • @looruaolendere2597
    @looruaolendere25972 жыл бұрын

    Hongera sana nduguyangu jamal kwa simulizi nzuri ALLAH AZZAH WAJALAH AWE PAMOJA NA WEWE, ni mimi Hassan gamal tobiko from Kenya

  • @noxlosingida2369
    @noxlosingida23694 жыл бұрын

    Ana sauti nzuri sana kwa simlizi yaani unasikika vizuri maneno unatamka vizuri sana, alafu msimulizi alitaka kufanana na Ally Kiba

  • @aftermath5226
    @aftermath52264 жыл бұрын

    I really is love with this soundtrack, Inaendana na visa hivyo ni ubunifu wa hali ya juu when i think about The story book by Jamal, the soundtrack it's also my favorite issue to that stories 👌❤😎💪😊

  • @aceotz2579
    @aceotz25794 жыл бұрын

    Upo vzuri sana Prof.👌😙😙😙❤❤❤😍😍😍❤❤❤😙😙😙

  • @barakachawe6241
    @barakachawe62414 жыл бұрын

    Umenikumbusha maana kati ya mstari naouchukia kwny nyimbo ni ule wa Nikki wa pili eti, 'BAADA YA MUNGU NI MZUNGU' jamaa alinikera sana nikaona elimu muda mwingine sio uwezo wa kufikili..

  • @tomkroos2094

    @tomkroos2094

    4 жыл бұрын

    Haaaaaaahaaaaaa

  • @onemoremotivation8045
    @onemoremotivation80454 жыл бұрын

    Mko vizuri sana MashaAllah lakini natamani sana kuwapata na kwenye PODCAST wasafi mtupe storybook pia kwenye Podcast wengine tunapendelea zaidi Podcast kusikiliza ila kila kitu ni kizuri nafurahia sana Storybook MashaAllah ila mkileta na podcast zenu itapendeza zaidi na zaidi Asante sana WASAFI

  • @elifarijilaizer4846

    @elifarijilaizer4846

    4 жыл бұрын

    Bro unapata kupitia podcast yangu karibu na u share please link on twitter.com/erickitalazyo

  • @aminakawawa1935
    @aminakawawa19354 жыл бұрын

    Siwapendi wamarekani weupe wana roho mbaya sana 😭😭😭🤲🙏

  • @allymatilda7519
    @allymatilda75194 жыл бұрын

    Msenge nilikua sikukubali ila saivi nakuelewa sanaa kweli huwezi kufanikiwa bila kupigwa mawee hongera umetuprove rwong sisi kama wajumbe

  • @sophiaali1361
    @sophiaali13614 жыл бұрын

    Tuwaue wazungu

  • @kelvinpatrick5305
    @kelvinpatrick53054 жыл бұрын

    Bro unachunguza asee, like kwa kaka mkubwa jamn

  • @joackimmbonde4125
    @joackimmbonde41254 жыл бұрын

    Daaah kumamake.. Wazungu walicho kifanya kwa ma babu zetu sio poa

  • @veeJesus

    @veeJesus

    3 жыл бұрын

    😭😭

  • @morrismwangi8015
    @morrismwangi80154 жыл бұрын

    lots of love from kenya...kazi nzuri

  • @mwananyamalaz4427
    @mwananyamalaz44272 жыл бұрын

    Very sad 😭 story makes me cry 😭 and angry Africa wake up time for change from me to U God 🙏🙌

  • @Fgldesigns
    @Fgldesigns4 жыл бұрын

    Leo hii wanataka kutuaminisha wanatuletea msaada... Kweli.!? Wazungu sio watu wakujifanya marafiki zetu hata siku moja.

  • @godblessjoker8826

    @godblessjoker8826

    3 жыл бұрын

    Alie tutesa leo ety aje atupe msaada nawachukia sana hawa jamaa

  • @giftkado8970

    @giftkado8970

    3 жыл бұрын

    Sitowai kuwa rafiki na wazungu hata siku moja😌😌

  • @mjuba
    @mjuba4 жыл бұрын

    Jamal Mustapha!! You're the Great💪💪

  • @franckomar1008
    @franckomar10084 жыл бұрын

    Asante kaka kwa Chanel yako swala langu niku uliza mungu hakukua naona aya nakubali Sasa kama dini nizakututapelitu

  • @kelyanjeremiya2533
    @kelyanjeremiya25334 жыл бұрын

    Ndy professor... Heshima kwako Jamal..👍 japo natamani mtiga ajirudi muendelee kufanya kazi kwa pamoja kwan mna combination nzuri sana

  • @jaymontale4718
    @jaymontale47184 жыл бұрын

    Professor unajua sana.

  • @MenTPL
    @MenTPL4 жыл бұрын

    Tena haohao wakatuletea dini zao,na kutuambia tupendane,tusamehane,wakati wao wenyewe hawatupendi, afu hao wapumbavu,makuzi kwel

  • @Fgldesigns

    @Fgldesigns

    4 жыл бұрын

    Na hao hao wanajifanya wanazijua haki za binadamu wakati wao wanaua wenzao kama Ghadafi na hawajafanywa kitu yule Kiongozi wa Iran... Ma black wanauliwa na Polisi lakini macho yao yapo kwetu kutufatilia kila kitu.

  • @abdalahabdalah7853

    @abdalahabdalah7853

    3 жыл бұрын

    dini, siasa na demokrasia ni utumwa fikra walituachia, na tunateseka kweli

  • @MenTPL

    @MenTPL

    3 жыл бұрын

    @@abdalahabdalah7853 kabisa

  • @ahmadmpinzire5649

    @ahmadmpinzire5649

    3 жыл бұрын

    Anger may brind ur version-Marcon x

  • @JapharyMajidi-tb8fh
    @JapharyMajidi-tb8fh2 ай бұрын

    Yan hao wazungu nawaarabu ndowameleta dini ety watu waokoke acheni kuwa wajinga wasenge ssana hao😘😚😘😚😘😚 🍸🍸🍸🍸🍸🍸 Happy New Year

  • @veronicaboaz9812
    @veronicaboaz98124 жыл бұрын

    Nzuli sana

  • @edwardgistave9488
    @edwardgistave94884 жыл бұрын

    Huu ogonjwa Wa kitaifa wakuomba like kila siku umevuma sijui kwanini au namm ndo njaaa yangu

  • @Pro_Hacker99
    @Pro_Hacker994 жыл бұрын

    Ata kabla sijaanza kuskiliza....mmetisha sana wasafi kwa ubunifu, big up🤙

  • @joharimadua8342
    @joharimadua83424 жыл бұрын

    Daaah jamani africa tuliteseka mnoo😭😭

  • @ShSh-my8cw

    @ShSh-my8cw

    3 жыл бұрын

    Mungu atahukumu

  • @hellyally4395
    @hellyally43954 жыл бұрын

    creativity za kimataifa axeee

  • @cyrabrown8609
    @cyrabrown86094 жыл бұрын

    😢😢😢mimi heshima yangu kwa wazungu apana Napenda Africa

  • @calvinnundwe2316

    @calvinnundwe2316

    3 жыл бұрын

    Hey

  • @meddywayne7155
    @meddywayne71553 жыл бұрын

    Kama umegundua Jamal anamapozi ya kucheza na story akiwa anasimulia gonga like yako hapa

  • @shahamemalenga4838
    @shahamemalenga48384 жыл бұрын

    Niko naicheki

  • @yachuafricansmart1763
    @yachuafricansmart17634 жыл бұрын

    Eemwenyezi mungu tuondoshee tawala za wazungu katika uso wa dunia

  • @avitusdamian3232
    @avitusdamian32324 жыл бұрын

    Vyema sana unatafiti, pia Sauti yako inaridhisha MTU kuendelea kusikiliza

  • @japhetmasini8632
    @japhetmasini86324 жыл бұрын

    Daaah mpka roho imeniuma yani

  • @mangodayzo2785
    @mangodayzo27854 жыл бұрын

    Dah😭 eti vitoto Vilikua kama nyiongezaa

  • @abuuabuuamed5366
    @abuuabuuamed53664 жыл бұрын

    Jamali we Nifundi Sana unajua kaka

  • @horizoncompany2192
    @horizoncompany21924 жыл бұрын

    The best

  • @annahsawe3249
    @annahsawe32493 жыл бұрын

    Miwani yake inatufanya tumuamini anachosema😂😂😂😂😂😂

  • @lisatitus338

    @lisatitus338

    3 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @mariamlucky52
    @mariamlucky524 жыл бұрын

    Très bon boulot mon frère, les jeunes ont besoin de connaître notre histoire big up👏🏾👏🏾

  • @horizoncompany2192

    @horizoncompany2192

    4 жыл бұрын

    Maana tupe

  • @maopangyas3381

    @maopangyas3381

    4 жыл бұрын

    @@horizoncompany2192 Kazi nzuli Sana Ndugu Yangu Kwani Sisi vijana Tunahitaji kujua Histori zetu................ Mpaka Hapo najua utakua umemuelewa Bibi mariam Lucky

  • @Micharazotz

    @Micharazotz

    4 жыл бұрын

    m.kzread.info/dash/bejne/aJWW26uQncjcf5s.html

  • @mussanassoro790
    @mussanassoro7904 жыл бұрын

    Goood bro

  • @user-pm6tb4yz9i
    @user-pm6tb4yz9i6 ай бұрын

    Kila ijuma saa moja nakumbuka shuleni the story book

  • @mtigumwegonza3527
    @mtigumwegonza35274 жыл бұрын

    Binafsi nawachukia sana wazungu' "I hate white ppl"

  • @jriyadahmad5617

    @jriyadahmad5617

    4 жыл бұрын

    Hata watanzania weupe wapo

  • @godlistenminja922

    @godlistenminja922

    4 жыл бұрын

    je unachukuliaje utumwa...

  • @mauricenyello1207

    @mauricenyello1207

    4 жыл бұрын

    Utumwa ulianzishwa na waarabu wa kiislamu jmaa asimulii kbsaa

  • @hajimbwanahaji7197

    @hajimbwanahaji7197

    4 жыл бұрын

    @@mauricenyello1207 Uarabuni na Ulaya wapi kwenye athari ya utumwa?kuwa na akili wewe!! Uarabuni watu weusi hawafiki ata million moja lakini tizama ufaransa,marekani na brazili hebu tuambie wale walienda wenyewe??hebu soma usipelekeshwe na usenge wa wazungu

  • @jriyadahmad5617

    @jriyadahmad5617

    4 жыл бұрын

    @@mauricenyello1207 walipelekwa na mamaako sio

  • @tobiasmsuya
    @tobiasmsuya4 жыл бұрын

    Inasikitisha sana.kumbe nkulunzinza alikuwa yupo sahihi

  • @cliffordogolla7294
    @cliffordogolla72943 жыл бұрын

    Thanks for this wonderful story I love this... Kindly I would like to see more of this and other ones that happens and that happens century bless

  • @africavibe8467
    @africavibe84674 жыл бұрын

    Nataman marafik zangu wa UK NA USA WAONE hii jamal can l translat it in english na ni post

  • @hkingapunisher9724
    @hkingapunisher97244 жыл бұрын

    Nakubaliiiiii n kam umeot NECTA 4m6 2020

  • @twaribkitogota208
    @twaribkitogota2084 жыл бұрын

    Brother uko Safi Yani unasimulia vizuri Sana story book

  • @hitstory7103
    @hitstory71034 жыл бұрын

    🇧🇮the story book tunaipenda sana kutoka🇧🇮

  • @thomasdonald6604
    @thomasdonald66043 жыл бұрын

    Waafraka kwann watu hawa bado tu tunaitaji maada wao ingawa walitutesa Sana hata hivyo mpaka sasa bado wanataka kutumaliza like please anayekubaliana na me

  • @barakabahati6600
    @barakabahati66004 жыл бұрын

    Wow hongereni professor na mimi naishi virginia roanoke karibu na Lynchburg 👏👏👏👏

  • @denyquedee3149
    @denyquedee3149 Жыл бұрын

    Endelea kutuletea story tamu tamu

  • @daboibiza809
    @daboibiza8094 жыл бұрын

    I thought this was alikiba who else thought that

  • @fauzjibaba5956

    @fauzjibaba5956

    4 жыл бұрын

    Me

  • @oustadhally1137

    @oustadhally1137

    4 жыл бұрын

    Me too

  • @stevensylvester6005

    @stevensylvester6005

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @modestussanga5413

    @modestussanga5413

    4 жыл бұрын

    As well as you

  • @stevensylvester6005

    @stevensylvester6005

    4 жыл бұрын

    @@modestussanga5413 exactly

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf44294 жыл бұрын

    Naona #TheStoryBook imeanza kivingine daah hatare... ubunifumoja amazing

  • @mkatungu7457
    @mkatungu7457 Жыл бұрын

    Nashukuru kwa Story nzuri . Sass naomba unifahamishe naona vid

  • @maggiedavis6284
    @maggiedavis62844 жыл бұрын

    Tangu nianze kufuatilia hizi simulizi,nimewachukia wazungu tena si wahesabu kama wanadamu.

  • @jmugo9010

    @jmugo9010

    2 жыл бұрын

    wazungu ni wana wa mashetani

  • @brayankennerd13
    @brayankennerd134 жыл бұрын

    Nakukubar kuliko kulA

  • @Sophie-sl7zc
    @Sophie-sl7zc Жыл бұрын

    Asili haachi asili utumwa bado upo nashangaa sasaivi mzungu anamapenzi na mwafrica siamini lakini iyo ndiyo rohoo yao haita badika mbaka mungu ajioneshe

  • @amosmunezero9958
    @amosmunezero99582 жыл бұрын

    Baada ya Mungu ni mzungu, mmm mimi nasema baada ya Mungu, nimimi Amos, the little God on the earth, because i am a chidl of God.

  • @micamathew2595
    @micamathew25953 жыл бұрын

    Dahhhh aisee haya mateso si za kawaida, dahhh inaumiza sana jmn!!! Afu cha kushangaza hata wanawake hawakuachwa, wote waliteswa vibaya sana na minyororo shingoni mwao!!! Jmn wazungu si watu!!! Hawa watu weupe jmn ni mashetani wakubwa!!! Oky tuwaache tu, Mungu atatufuta machozi siku mmoja. Amen.

  • @omarvovahd5399
    @omarvovahd53994 жыл бұрын

    Wazngu wa,se,nge kwel

Келесі