DENIS MPAGAZE: Mfahamu Mzee MWINYI /Rais Aliyetawala ZANZIBAR Na Jamhuri Ya Muungano Wa TANZANIA

VISIT OUR WEBSITE: fomaentertainment.com
EMAIL US : sales@fomaentertainment.com
Call Us: +255222701381
WHATSAPP: +255659982764
Follow Us On Instagram
ananiasedgartz
ananiasedgartv
ananiasedgartv
ananiasedgartv
SUBSCRIBE
bit.ly/2ZWGBXo
Copyright Disclaimer: Under Section 107 of the Copyright Act 1976, allowance is made for fair use for purposes such as criticism, comment, news reporting, teaching, scholarship, and research.
______________________________________________________________________________________________
SIMULIZI ZA MATUKIO: bit.ly/2XlNCzg
HISTORIA ZA VIONGOZI: bit.ly/3ezWg2X
ELIMU ZA UKOMBOZI: bit.ly/3eCOK7m

Пікірлер: 143

  • @user-py1ob2ou2w
    @user-py1ob2ou2w4 ай бұрын

    Kama unaangalia hii baada ya Mzee kufariki Dunia tujuane basi!!

  • @petermilol2104

    @petermilol2104

    4 ай бұрын

    Nipo hapa

  • @ibrahimwario3177

    @ibrahimwario3177

    4 ай бұрын

    Innalillahi waina ileyhi rajiun may Allah grant him janatul firdows

  • @aminaomary5567
    @aminaomary55672 жыл бұрын

    Kweli kabisa hata mke wake MAMA siti wanaroho nzuri ni baraa👍👍👍🙏🙏❤❤❤❤❤nawapenda sana .Pamoja na Mpangaze good good.

  • @modestwenceslaus9
    @modestwenceslaus92 жыл бұрын

    Mzee historian ya Tanzania itakukumbuka kwa wema wako na kuwajali watu wanyonge kwa vitendo, Mwenyezi Mungu akuzidishie maisha marefu.

  • @mwljuliuskiwovele223
    @mwljuliuskiwovele2232 жыл бұрын

    Yaani unavyoisimulia simulizi unaofafanua vizuri sana , that's why sipitwi na stori zako Ananias Edgar

  • @elibaricklaizer5671
    @elibaricklaizer56712 жыл бұрын

    Ubarikiwe Sana. Na Mungu. Denis mpagaze

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri65242 жыл бұрын

    Asante sana my brother from another mother

  • @majaniking9748
    @majaniking97482 жыл бұрын

    Ananias we ni mnoma sanaaa. Tanzania umefika mbali sanaaa

  • @nasseralhabsi1483
    @nasseralhabsi14832 жыл бұрын

    Hongera ndugu Ananias, jinsi unavyo tangaza kwa umakini.

  • @user-kx4mo9jv7x
    @user-kx4mo9jv7x9 ай бұрын

    Hongera xn ananias Edgar kwa kutufaidisha kwa historian za viongozi ❤

  • @moseskimaro3424
    @moseskimaro34244 ай бұрын

    Best narrator ever keep up 💪🏾🔥

  • @albertntirandekura6104
    @albertntirandekura61042 жыл бұрын

    Respect kabisa unaweza sana kwa simulizi zako niko nchini burundi

  • @godfreytarimo9570
    @godfreytarimo95702 жыл бұрын

    Nice ctor ,,unafanya kazi Bora Sana

  • @abunajreenELSESANY
    @abunajreenELSESANY3 ай бұрын

    Allahumma IGHFIR-LAHU wa-RAHMHU wa-DIKHILHU FIL-JANNAT

  • @dokasalim943
    @dokasalim9434 ай бұрын

    Innalillahy wa innaillahy rajiun 😢😢😢 ( I came here after his death 😢 )

  • @bish_daddiyao
    @bish_daddiyao2 жыл бұрын

    Asante Kwa makala Haya ❤️🇰🇪🙌🏾🙏🏾

  • @a.856
    @a.8562 жыл бұрын

    Shukran

  • @aminaomary5567
    @aminaomary55672 жыл бұрын

    Ongera na Safi sana Mpangaze uko vizuri tuletee na mambo mengine tutayajue jaman.

  • @sircarlosmwigani8589
    @sircarlosmwigani85892 жыл бұрын

    Ngoja nisikilize kwa Makini Mana sijawah jutia bando langu kusikiliza nondo za hawa bwana

  • @millitarybattalion7515
    @millitarybattalion75152 жыл бұрын

    Hahahaha😄😄😄😄😄 eti mzee mwinyi alilala mwalimu akaamka Waziri ... Na yule mwenzangu alilala ndani adubuhi akaamkia chooni akaomba uhamisho wamtoe kijijini .... Hii kali kwelikweli

  • @aaronkilonzo3679
    @aaronkilonzo36792 жыл бұрын

    Tanzani bora kwa lugha,hongera kaka

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior69722 жыл бұрын

    Best narrator of all the time good job my brother 👏👏👏

  • @bakarisakawa6979
    @bakarisakawa69792 жыл бұрын

    Allah ampe swihha njema na umri mrefu

  • @aminaomary5567
    @aminaomary55672 жыл бұрын

    Ni kweli huyu mzee mimi nampenda sana.Mzuri sana

  • @dancananwaze7035
    @dancananwaze70352 жыл бұрын

    Asante

  • @laurenciafeya4283
    @laurenciafeya42832 жыл бұрын

    Sauti tu😊😊🙌🙌Edgar weeee

  • @raymondamandus8208
    @raymondamandus82084 ай бұрын

    You are best in narration 💪💪💪🎉🎉🎉

  • @bakarisakawa6979
    @bakarisakawa69792 жыл бұрын

    Nyerere aliharibu nchi

  • @user-fd7vi4xv5x

    @user-fd7vi4xv5x

    11 ай бұрын

    Saana na alimwachia Mwinyi mzigo mzito sana, hadi akairudisha kwenye neema zake..

  • @collinskitoto2184
    @collinskitoto2184 Жыл бұрын

    The best narrator ever Kudos!

  • @daudimkwela
    @daudimkwela Жыл бұрын

    Kazi nzuri sana, Nakuhakikishia utafika mbali sana endelea kumuomba Mungu.

  • @khamisshee5131
    @khamisshee51312 жыл бұрын

    Edgar umenikumbusha mbali sana kuhusu nguo za viraka na wakati wa kwenda kula unachwa na wenzako ulo shinda nao kucheka na kuitana ndio bala kama hutashika mitaa utasikia bro mama anatoka ama bro kabati latala kubwebwa hatari sana😢😢😢 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Aka bachuchu mombasa 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @Beautiful-Place
    @Beautiful-Place2 жыл бұрын

    Huyu jamaa anasauti nzuri ya kusimulia Mungu amubariki

  • @eliphasedward9076
    @eliphasedward9076 Жыл бұрын

    Dah unafurahisha katika makala zako Ananias edger

  • @AidaniMasebo
    @AidaniMasebo4 ай бұрын

    Asante sana mpagaze

  • @user-bs1zq5ts1r
    @user-bs1zq5ts1r2 ай бұрын

    ila Ananias Edgers akuna anaweza kufanishwa na wewe kwenye kusimulia na Sauti tuh🎉

  • @issaofficialvideo6375
    @issaofficialvideo63752 жыл бұрын

    Nice

  • @gynae8407
    @gynae84072 жыл бұрын

    Nimekubali chama kinajali uezo na Nyota

  • @farukabass5254
    @farukabass5254 Жыл бұрын

    Unaweza

  • @ibrahimwario3177
    @ibrahimwario31774 ай бұрын

    Nani bdo anasikiliza 2024 may Allah grant him janatul firdows from 🇰🇪

  • @omaryiddi7454
    @omaryiddi74544 ай бұрын

    Yasemwayo ni kweli tupu, nimeyashuhudia, MUNGU akubariki Mpagaze

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi38992 жыл бұрын

    Swadakta tuliyashudia hayo ya miezi 18 tufunge mikanda.

  • @aminaomary5567
    @aminaomary55672 жыл бұрын

    Nyerere alitutesa sana ,mimi mmojawapo wa kupata kipande cha sabuni Mwinyi ongera sana na mungu akulinde sana kuingia kwako tukaanza kuvaa mawingu.

  • @victoriabayo7704

    @victoriabayo7704

    Жыл бұрын

    Nyerere hajatutesa ila uhaba wa vitu muhimu ulitokana kwa sababu ya vita ya Iddi Amini dada

  • @allahisone6386

    @allahisone6386

    Жыл бұрын

    @@victoriabayo7704 hhh

  • @victoriabayo7704

    @victoriabayo7704

    Жыл бұрын

    Nyerere hajatutesa hata kidogo ilikuwa ni uhaba vitu muhimu uliosababishwa vita vya Tz na ug

  • @khamismgunya4519

    @khamismgunya4519

    Жыл бұрын

    Yes mamii

  • @hassanmfaume4522

    @hassanmfaume4522

    Жыл бұрын

    @@victoriabayo7704 alitutesa kweli wewe ni mtoto mdogo huwezi kujuwa Nyerere ndiye msababishaji wa madhila yote nchini nyerere anaondoka madarakani tanzania ilishafirisika kutokana na vita vya kagera ambavyo havikuwa na sababu youote bali alitaka kumrudisha rafiki yake Obote madarakani

  • @mwanakupona
    @mwanakupona4 ай бұрын

    Kujiudhuru? We mtangazaki huna matamshi mazuri

  • @japhetshekalaghe2414
    @japhetshekalaghe24144 ай бұрын

    mungu amlaze mahali pema

  • @uuuuiiii3917
    @uuuuiiii39172 жыл бұрын

    Jmn nimecheka Sana yote niyakweli nakupendaje my Brother 🙏😂 Daah watu wametoka mbali my Broo Denis yote tumeyakuta mengine tumeyasikia wazazi wetu wametuambia

  • @aziza9093
    @aziza9093 Жыл бұрын

    Umenifuraisha san

  • @John95177
    @John951774 ай бұрын

    Mpagaze Una upuuzi sana🙌🙌🙌🙌😂😂😂😂😂😂😂😂😂sema nimekuelewa.. Ukimfanya Yesu wa dharula lazima akufanye wa subiri kufa😅😅😅😅😅😅😅😅uwiiiiiiih

  • @kikumbaalain8619
    @kikumbaalain8619 Жыл бұрын

    Wow..nipenda sana..naweza je kupata vitabu ?

  • @savaynerjuma3934
    @savaynerjuma39342 жыл бұрын

    I love you so much Ananias edigar

  • @AnaniasEdgarTV

    @AnaniasEdgarTV

    2 жыл бұрын

    Asante sana.

  • @anuaryally6177
    @anuaryally61772 жыл бұрын

    Halafu amejaliwa kuwa na nywere nyingi mzee wa ruksaa

  • @stephenndagalla8183
    @stephenndagalla8183 Жыл бұрын

    Licha ya ukweli mwingi, umasikini wa kutupwa haukuanza mwaka 1967 (baada ya Azimio la Arusha,), bali baada ya Vita ya kumuondoa Iddi Amin Dada (1979/80). Kumbuka msemo wa kufunga mikanda.miezi 18.

  • @donme9308
    @donme93084 ай бұрын

    Rest in power president aliongoza kwa wema 😢

  • @husha6372
    @husha63722 жыл бұрын

    Mzee mwinyi ALIKUWA akienda miskitin bila ya walinzi pia ALIKUWA Imamu siku Za Ramadhani pale mba I moja Daresalaam

  • @AliMohamed-gv7nw

    @AliMohamed-gv7nw

    2 жыл бұрын

    Acha uongo

  • @gooddeeds162

    @gooddeeds162

    2 жыл бұрын

    Uongo mzito mnoooooo! Achana na story Za vijiweni my brother. Hasa hili suala la kwenda msikitini bila walinzi yani achana kabisa kusikiliza mambo ya vijiweni.

  • @hassanali4838
    @hassanali48382 жыл бұрын

    Hali ilikua si hali tuacheni bwana .maisha yalikuwa balaa

  • @nasirmohamed1589

    @nasirmohamed1589

    6 ай бұрын

    Kabisa mzee rukhsa alitukomboa

  • @fasterwalker1464

    @fasterwalker1464

    6 ай бұрын

    Mimi nimezaliwa uongoz wa Mr Benjamin kwakwel hayo maisha sijayashuhudia

  • @user-jm8tr2ex4m
    @user-jm8tr2ex4m4 ай бұрын

    Mhh course za kukaanga mboga🦸🦸🦸🦸

  • @citymaxbookshoptanzania2924
    @citymaxbookshoptanzania29242 жыл бұрын

    Historia imekuwa nzuri sana hii

  • @walawioutreach4055
    @walawioutreach4055 Жыл бұрын

    something translition hidden inside through this word ukitaka kula lazima uliwe.this is The real transilation.GOD IS GOOD ALL THE TIME.

  • @abdulkatalango2890
    @abdulkatalango28902 жыл бұрын

    nashukuru kuna watu hawajui tulikotoka

  • @sankara8939
    @sankara89392 жыл бұрын

    Deep

  • @zuwenasaid9707
    @zuwenasaid9707 Жыл бұрын

    Dhambi kubwa ni yenye kuangamiza kivipi nafikiri ziko 7 kama sikosei na ya pili ni kukatili nafsi mwenye kuuwa Mungu kamtaja kuwa ni mwenye kuangamia siku ya hukumu ila atapofanya toba ya kweli na kuna amali nzuri Mungu hukulipa kabisa hapa duniani bila hesabu Mungu tulinde na adhabu zako tusiwe miongoni mwa siri ya sifuri.

  • @duliz2002
    @duliz20022 жыл бұрын

    Duh kweli Tumetoka mbali aisee

  • @nyipindamlimited1629
    @nyipindamlimited1629 Жыл бұрын

    Aliempiga kibao mwinyi alishatngulia mbele za haki alikufa

  • @theodoltheophil7858
    @theodoltheophil78582 жыл бұрын

    Tuletee kisa cha mzee jumbe kuvuliwa uongozi na urais

  • @jamesobedy3940
    @jamesobedy39402 жыл бұрын

    Gunzi la mhindi au pembe ya ukuta ukweli mtupu 🙌🙌🙌😂😂😂😂😂

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Жыл бұрын

    Denis shukran uliyoyasema ni sadakta

  • @abduldangote2916
    @abduldangote2916 Жыл бұрын

    Hongera mwinyi

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt4 ай бұрын

    R I P Babu yetu mpendwa

  • @homeboybeyondtheborders4935
    @homeboybeyondtheborders4935 Жыл бұрын

    Baba yetu aliyebaki Mungu ukubariki Mzee Ruksa

  • @rajabuhassara5738
    @rajabuhassara57384 ай бұрын

    Nmeelewa bro

  • @kadrimwingamno258
    @kadrimwingamno258 Жыл бұрын

    Durham.... London???

  • @user-zr4nk6oh6v
    @user-zr4nk6oh6v10 ай бұрын

    Good Good Mtunzi na Msomaji

  • @zulugama1284
    @zulugama12842 жыл бұрын

    Uko vizur katika kusimulia ila unaondoka nje ya point kwa muda mrefu sana.....unamuongelea Mwinyi ila dakika ya kumi sasa upo nje ya main story, punguza......

  • @AnaniasEdgarTV

    @AnaniasEdgarTV

    2 жыл бұрын

    Asante sana kwaushauri mzuri. Tutaufanyia kazi.

  • @babuloliondo74
    @babuloliondo74 Жыл бұрын

    Enzihizo irikuabaraa wengine awajui hayo nyerere arituachia njaa sana uyu mzee acha arijitaidi sana sito msahau aritukomboa tv ariangaria nyerere kesho akiamka ana kwambia ariota

  • @majaliwamussa1343
    @majaliwamussa1343 Жыл бұрын

    Kicheka na Watoto.....

  • @alimzee
    @alimzee2 жыл бұрын

    Gongole brother

  • @babuloliondo74
    @babuloliondo74 Жыл бұрын

    Nyerere watu waripanga ugawaji kiraduka gari zaugawaji zirikua zinafanana sasa ikaja gari kamaiyo sema irikua sio tunayojua kwaire iribeba jeneza watu warikibiria yani wee acha

  • @hashimulubanzabigo5588
    @hashimulubanzabigo55882 жыл бұрын

    Nakukubali mwamba

  • @wardaheluwa734
    @wardaheluwa7342 жыл бұрын

    Sijafahamu Tz na Znz kwenye ufahamu anielezee

  • @charlesowenya2872
    @charlesowenya28722 жыл бұрын

    Kama mnataka Mimi kuendelea kuwafuatulia napenda sana wewe Ananias Edga kureport

  • @fredymwakiyoma6785
    @fredymwakiyoma67852 жыл бұрын

    Sasa mpagaze hapo maisha ni ya mwinyi au watanzania kkkkkkkkkkkk

  • @mwanakupona
    @mwanakupona Жыл бұрын

    Si KUJIUDHURU..NI KUJIUZULU.....Kswahili kigumu!

  • @hadijamkelenga4457

    @hadijamkelenga4457

    6 ай бұрын

    Nawe pia upo wrong. Ni kujihuzuru

  • @solangeirakoze5454
    @solangeirakoze54542 жыл бұрын

    Kaka nakutakiya heli yamwaka mumpya

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Жыл бұрын

    Tuliyaona uliyoyaongeya miyaka hiyo

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio40547 ай бұрын

    DENIS MWISHO HII STORY NIMECHEKA SANA ULIYAONGEA MWISH YOTE KITU NA BOX 😂😂 WATOTO AWAJAYAONA😂

  • @saaadzain3696
    @saaadzain36962 жыл бұрын

    Asam Oil oyeeee❤

  • @rajabuchambo7569
    @rajabuchambo75692 жыл бұрын

    A

  • @christinadotto1914
    @christinadotto19142 жыл бұрын

    Sana qaq naqkubal San kaz zak ananias

  • @boashamah3642
    @boashamah3642 Жыл бұрын

    Bro nawe kupata namba yako please

  • @alliyabdalla8083
    @alliyabdalla80832 жыл бұрын

    Hapo kwenye gunzi na kona ya ukuta hapo haaahaaaahaaa

  • @petrojohn8250
    @petrojohn82502 жыл бұрын

    Apelekwa Zanzibar akitokea wapi

  • @majaliwamussa1343

    @majaliwamussa1343

    Жыл бұрын

    Mkuranga

  • @sureboyofficial6473
    @sureboyofficial64732 жыл бұрын

    KAKA MNABUSARA KIASI TUNAFIKIRIA KUKUCHAGYA WAKATI UJAO

  • @SIMBAofSIMBA
    @SIMBAofSIMBA2 жыл бұрын

    halafu Leo unakuta kuna wajinga wanampa Nyerere sifa asizostahili,ametesa sana watz

  • @user-fd7vi4xv5x

    @user-fd7vi4xv5x

    11 ай бұрын

    Hawwjui historia hao ya Tanzania, ila wanaolewa tunajua hii nchi huyu Mzee Mwinyi ndio aliiokoa maana ilikua inaelekea kua Jahannam ya duniani..

  • @costantinenyanda3413
    @costantinenyanda3413 Жыл бұрын

    no fear, usiwe na wasiwasi hahaha

  • @saodashabani2652
    @saodashabani26529 ай бұрын

    Nilimkataa marehemu mama angu kwenye foleni ya sukari kwenye duka la Ushirika ili tupate japo Sukari japo nusu kwa watu wawili yani mimi robo mama robo nilijikausha mpaka nilipewa mana mama alikua keshapewa sasa watu wanaijua family yetu ulikua mzozo wanguvu nililia kwa huzuni mgambo wenyewe wakasema mpeni uyo mtoto sukari aondoke dah hali ilikua mbayaa

  • @nasirmohamed1589

    @nasirmohamed1589

    6 ай бұрын

    Yaani hujaweka uongo hata kidogo ndivyo hali ilivokuwa mwendo wa kuruka mbele kwa mbele.

  • @hadijamkelenga4457

    @hadijamkelenga4457

    6 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @ameali1251
    @ameali12512 жыл бұрын

    Du nayakumbuka sana haya yote

  • @rosemaryismaily001
    @rosemaryismaily0012 жыл бұрын

    Et mbaaz 😂

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Жыл бұрын

    Maduka yaushirika kupanga foleni

  • @herygasper3181
    @herygasper31812 жыл бұрын

    😅😅😅😅😅 we jamaa🤣🤣

  • @jamesobedy3940
    @jamesobedy39402 жыл бұрын

    😂😂😂🙌🙌🙌

  • @prosephinerandrew7155
    @prosephinerandrew7155 Жыл бұрын

    Nasikia babu mwingi alipata civics 100% na hajawahi tokea mtu kupata ivo mpk hivi leo 🤣🤣🤣🤣🤣 ni hatar

  • @allahisone6386

    @allahisone6386

    4 ай бұрын

    😅😅

  • @kulthumally9066
    @kulthumally90662 жыл бұрын

    Ha ha ha haaaaa, Denis MUNGU anakuona, kona ya ukuta au gunzi.

  • @mpagazedenis8395

    @mpagazedenis8395

    2 жыл бұрын

    Hahahhaa