DENIS MPAGAZE: Mfahamu Mzee MWINYI /Rais Aliyetawala ZANZIBAR Na Jamhuri Ya Muungano Wa TANZANIA
VISIT OUR WEBSITE: fomaentertainment.com
EMAIL US : sales@fomaentertainment.com
Call Us: +255222701381
WHATSAPP: +255659982764
Follow Us On Instagram
ananiasedgartz
ananiasedgartv
ananiasedgartv
ananiasedgartv
SUBSCRIBE
bit.ly/2ZWGBXo
Copyright Disclaimer: Under Section 107 of the Copyright Act 1976, allowance is made for fair use for purposes such as criticism, comment, news reporting, teaching, scholarship, and research.
______________________________________________________________________________________________
SIMULIZI ZA MATUKIO: bit.ly/2XlNCzg
HISTORIA ZA VIONGOZI: bit.ly/3ezWg2X
ELIMU ZA UKOMBOZI: bit.ly/3eCOK7m
Пікірлер: 143
Kama unaangalia hii baada ya Mzee kufariki Dunia tujuane basi!!
@petermilol2104
4 ай бұрын
Nipo hapa
@ibrahimwario3177
4 ай бұрын
Innalillahi waina ileyhi rajiun may Allah grant him janatul firdows
Kweli kabisa hata mke wake MAMA siti wanaroho nzuri ni baraa👍👍👍🙏🙏❤❤❤❤❤nawapenda sana .Pamoja na Mpangaze good good.
Mzee historian ya Tanzania itakukumbuka kwa wema wako na kuwajali watu wanyonge kwa vitendo, Mwenyezi Mungu akuzidishie maisha marefu.
Yaani unavyoisimulia simulizi unaofafanua vizuri sana , that's why sipitwi na stori zako Ananias Edgar
Ubarikiwe Sana. Na Mungu. Denis mpagaze
Asante sana my brother from another mother
Ananias we ni mnoma sanaaa. Tanzania umefika mbali sanaaa
Hongera ndugu Ananias, jinsi unavyo tangaza kwa umakini.
Hongera xn ananias Edgar kwa kutufaidisha kwa historian za viongozi ❤
Best narrator ever keep up 💪🏾🔥
Respect kabisa unaweza sana kwa simulizi zako niko nchini burundi
Nice ctor ,,unafanya kazi Bora Sana
Allahumma IGHFIR-LAHU wa-RAHMHU wa-DIKHILHU FIL-JANNAT
Innalillahy wa innaillahy rajiun 😢😢😢 ( I came here after his death 😢 )
Asante Kwa makala Haya ❤️🇰🇪🙌🏾🙏🏾
Shukran
Ongera na Safi sana Mpangaze uko vizuri tuletee na mambo mengine tutayajue jaman.
Ngoja nisikilize kwa Makini Mana sijawah jutia bando langu kusikiliza nondo za hawa bwana
Hahahaha😄😄😄😄😄 eti mzee mwinyi alilala mwalimu akaamka Waziri ... Na yule mwenzangu alilala ndani adubuhi akaamkia chooni akaomba uhamisho wamtoe kijijini .... Hii kali kwelikweli
Tanzani bora kwa lugha,hongera kaka
Best narrator of all the time good job my brother 👏👏👏
Allah ampe swihha njema na umri mrefu
Ni kweli huyu mzee mimi nampenda sana.Mzuri sana
Asante
Sauti tu😊😊🙌🙌Edgar weeee
You are best in narration 💪💪💪🎉🎉🎉
Nyerere aliharibu nchi
@user-fd7vi4xv5x
11 ай бұрын
Saana na alimwachia Mwinyi mzigo mzito sana, hadi akairudisha kwenye neema zake..
The best narrator ever Kudos!
Kazi nzuri sana, Nakuhakikishia utafika mbali sana endelea kumuomba Mungu.
Edgar umenikumbusha mbali sana kuhusu nguo za viraka na wakati wa kwenda kula unachwa na wenzako ulo shinda nao kucheka na kuitana ndio bala kama hutashika mitaa utasikia bro mama anatoka ama bro kabati latala kubwebwa hatari sana😢😢😢 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Aka bachuchu mombasa 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Huyu jamaa anasauti nzuri ya kusimulia Mungu amubariki
Dah unafurahisha katika makala zako Ananias edger
Asante sana mpagaze
ila Ananias Edgers akuna anaweza kufanishwa na wewe kwenye kusimulia na Sauti tuh🎉
Nice
Nimekubali chama kinajali uezo na Nyota
Unaweza
Nani bdo anasikiliza 2024 may Allah grant him janatul firdows from 🇰🇪
Yasemwayo ni kweli tupu, nimeyashuhudia, MUNGU akubariki Mpagaze
Swadakta tuliyashudia hayo ya miezi 18 tufunge mikanda.
Nyerere alitutesa sana ,mimi mmojawapo wa kupata kipande cha sabuni Mwinyi ongera sana na mungu akulinde sana kuingia kwako tukaanza kuvaa mawingu.
@victoriabayo7704
Жыл бұрын
Nyerere hajatutesa ila uhaba wa vitu muhimu ulitokana kwa sababu ya vita ya Iddi Amini dada
@allahisone6386
Жыл бұрын
@@victoriabayo7704 hhh
@victoriabayo7704
Жыл бұрын
Nyerere hajatutesa hata kidogo ilikuwa ni uhaba vitu muhimu uliosababishwa vita vya Tz na ug
@khamismgunya4519
Жыл бұрын
Yes mamii
@hassanmfaume4522
Жыл бұрын
@@victoriabayo7704 alitutesa kweli wewe ni mtoto mdogo huwezi kujuwa Nyerere ndiye msababishaji wa madhila yote nchini nyerere anaondoka madarakani tanzania ilishafirisika kutokana na vita vya kagera ambavyo havikuwa na sababu youote bali alitaka kumrudisha rafiki yake Obote madarakani
Kujiudhuru? We mtangazaki huna matamshi mazuri
mungu amlaze mahali pema
Jmn nimecheka Sana yote niyakweli nakupendaje my Brother 🙏😂 Daah watu wametoka mbali my Broo Denis yote tumeyakuta mengine tumeyasikia wazazi wetu wametuambia
Umenifuraisha san
Mpagaze Una upuuzi sana🙌🙌🙌🙌😂😂😂😂😂😂😂😂😂sema nimekuelewa.. Ukimfanya Yesu wa dharula lazima akufanye wa subiri kufa😅😅😅😅😅😅😅😅uwiiiiiiih
Wow..nipenda sana..naweza je kupata vitabu ?
I love you so much Ananias edigar
@AnaniasEdgarTV
2 жыл бұрын
Asante sana.
Halafu amejaliwa kuwa na nywere nyingi mzee wa ruksaa
Licha ya ukweli mwingi, umasikini wa kutupwa haukuanza mwaka 1967 (baada ya Azimio la Arusha,), bali baada ya Vita ya kumuondoa Iddi Amin Dada (1979/80). Kumbuka msemo wa kufunga mikanda.miezi 18.
Rest in power president aliongoza kwa wema 😢
Mzee mwinyi ALIKUWA akienda miskitin bila ya walinzi pia ALIKUWA Imamu siku Za Ramadhani pale mba I moja Daresalaam
@AliMohamed-gv7nw
2 жыл бұрын
Acha uongo
@gooddeeds162
2 жыл бұрын
Uongo mzito mnoooooo! Achana na story Za vijiweni my brother. Hasa hili suala la kwenda msikitini bila walinzi yani achana kabisa kusikiliza mambo ya vijiweni.
Hali ilikua si hali tuacheni bwana .maisha yalikuwa balaa
@nasirmohamed1589
6 ай бұрын
Kabisa mzee rukhsa alitukomboa
@fasterwalker1464
6 ай бұрын
Mimi nimezaliwa uongoz wa Mr Benjamin kwakwel hayo maisha sijayashuhudia
Mhh course za kukaanga mboga🦸🦸🦸🦸
Historia imekuwa nzuri sana hii
something translition hidden inside through this word ukitaka kula lazima uliwe.this is The real transilation.GOD IS GOOD ALL THE TIME.
nashukuru kuna watu hawajui tulikotoka
Deep
Dhambi kubwa ni yenye kuangamiza kivipi nafikiri ziko 7 kama sikosei na ya pili ni kukatili nafsi mwenye kuuwa Mungu kamtaja kuwa ni mwenye kuangamia siku ya hukumu ila atapofanya toba ya kweli na kuna amali nzuri Mungu hukulipa kabisa hapa duniani bila hesabu Mungu tulinde na adhabu zako tusiwe miongoni mwa siri ya sifuri.
Duh kweli Tumetoka mbali aisee
Aliempiga kibao mwinyi alishatngulia mbele za haki alikufa
Tuletee kisa cha mzee jumbe kuvuliwa uongozi na urais
Gunzi la mhindi au pembe ya ukuta ukweli mtupu 🙌🙌🙌😂😂😂😂😂
Denis shukran uliyoyasema ni sadakta
Hongera mwinyi
R I P Babu yetu mpendwa
Baba yetu aliyebaki Mungu ukubariki Mzee Ruksa
Nmeelewa bro
Durham.... London???
Good Good Mtunzi na Msomaji
Uko vizur katika kusimulia ila unaondoka nje ya point kwa muda mrefu sana.....unamuongelea Mwinyi ila dakika ya kumi sasa upo nje ya main story, punguza......
@AnaniasEdgarTV
2 жыл бұрын
Asante sana kwaushauri mzuri. Tutaufanyia kazi.
Enzihizo irikuabaraa wengine awajui hayo nyerere arituachia njaa sana uyu mzee acha arijitaidi sana sito msahau aritukomboa tv ariangaria nyerere kesho akiamka ana kwambia ariota
Kicheka na Watoto.....
Gongole brother
Nyerere watu waripanga ugawaji kiraduka gari zaugawaji zirikua zinafanana sasa ikaja gari kamaiyo sema irikua sio tunayojua kwaire iribeba jeneza watu warikibiria yani wee acha
Nakukubali mwamba
Sijafahamu Tz na Znz kwenye ufahamu anielezee
Kama mnataka Mimi kuendelea kuwafuatulia napenda sana wewe Ananias Edga kureport
Sasa mpagaze hapo maisha ni ya mwinyi au watanzania kkkkkkkkkkkk
Si KUJIUDHURU..NI KUJIUZULU.....Kswahili kigumu!
@hadijamkelenga4457
6 ай бұрын
Nawe pia upo wrong. Ni kujihuzuru
Kaka nakutakiya heli yamwaka mumpya
Tuliyaona uliyoyaongeya miyaka hiyo
DENIS MWISHO HII STORY NIMECHEKA SANA ULIYAONGEA MWISH YOTE KITU NA BOX 😂😂 WATOTO AWAJAYAONA😂
Asam Oil oyeeee❤
A
Sana qaq naqkubal San kaz zak ananias
Bro nawe kupata namba yako please
Hapo kwenye gunzi na kona ya ukuta hapo haaahaaaahaaa
Apelekwa Zanzibar akitokea wapi
@majaliwamussa1343
Жыл бұрын
Mkuranga
KAKA MNABUSARA KIASI TUNAFIKIRIA KUKUCHAGYA WAKATI UJAO
halafu Leo unakuta kuna wajinga wanampa Nyerere sifa asizostahili,ametesa sana watz
@user-fd7vi4xv5x
11 ай бұрын
Hawwjui historia hao ya Tanzania, ila wanaolewa tunajua hii nchi huyu Mzee Mwinyi ndio aliiokoa maana ilikua inaelekea kua Jahannam ya duniani..
no fear, usiwe na wasiwasi hahaha
Nilimkataa marehemu mama angu kwenye foleni ya sukari kwenye duka la Ushirika ili tupate japo Sukari japo nusu kwa watu wawili yani mimi robo mama robo nilijikausha mpaka nilipewa mana mama alikua keshapewa sasa watu wanaijua family yetu ulikua mzozo wanguvu nililia kwa huzuni mgambo wenyewe wakasema mpeni uyo mtoto sukari aondoke dah hali ilikua mbayaa
@nasirmohamed1589
6 ай бұрын
Yaani hujaweka uongo hata kidogo ndivyo hali ilivokuwa mwendo wa kuruka mbele kwa mbele.
@hadijamkelenga4457
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂
Du nayakumbuka sana haya yote
Et mbaaz 😂
Maduka yaushirika kupanga foleni
😅😅😅😅😅 we jamaa🤣🤣
😂😂😂🙌🙌🙌
Nasikia babu mwingi alipata civics 100% na hajawahi tokea mtu kupata ivo mpk hivi leo 🤣🤣🤣🤣🤣 ni hatar
@allahisone6386
4 ай бұрын
😅😅
Ha ha ha haaaaa, Denis MUNGU anakuona, kona ya ukuta au gunzi.
@mpagazedenis8395
2 жыл бұрын
Hahahhaa