The Story Book: TSUNAMI ‘Wimbi la Kifo’
Ойын-сауық
The Story Book: TSUNAMI ‘Wimbi la Kifo’
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 329
Ghabhabu za Allah (sw) tumuogopeni Allah. Sisi viumbe hatuna uwezo wa kuepuka na adhabu zake😭
@jaycodestz1304
2 жыл бұрын
Swahihi kabsa sheikh wngu
@hallin9561
2 жыл бұрын
sasa nan aliyesema iyo ni adhabu ya Mungu, ayo ni mabadiriko ya hali ya nchi wew unasema adhabu, kasome vyotevyote sio unabezi na elimu akhera tu
@fineboyAfrica
2 жыл бұрын
@@hallin9561 jitie kidole halafu ukinuse
@issaomar9483
2 жыл бұрын
@@hallin9561 we mpumbavu izo ni adhabu za Allah iyo ni ishara tosha kuwa hamna mungu kama yeyeee
@jaycodestz1304
2 жыл бұрын
@Issa Omary sahihi kak
Mungu ndio kila kitu tumuombe atujelie mwixho mwema, na pia km unakubali kazi za huyu jamaa ya kutuelimisha gonga like hapa twende pamoja
Kama unamkubali Huyu jamaa aongezewe mshahara mara mbili like hapa
Tunaomkubali Professor Jamal April Tusisite Kuungana Kwa Likes Kwa Kutuletea The Story Book Ya “TSUNAMI” 🌊👍🏿
Hongera sana kwa elimu kubwa kama hizi. Kiukwel janga hili nilikuwa bdo mdogo sn na hata ckufaham chochote. Like zenu jmn kwa Mr Jamal na like zenu wale ambao kipindi kile tulikuwa wadogo na leo ndio tumefaham Zaid kisa hiki kupitia the story book
@magrethjohn4929
2 жыл бұрын
2004 nlkuwa darasa la 2 now am 26 years dah! Enx kwa jamal🙏🙏🙏
Hakika tunapaswa kumuabudu mungu kila wakati ya maisha yetu
Mungu atujalie mwisho wetu mwema🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu azidi kukuongezea maarifa zaidi uwe na elimu zaidi nasisi tupate uelewa kupitia wewe
👁️ 👁️ 👃 👄 Natazama nikiwa Mombasa Kenya... Mafunzo mazuri na Mungu atuepushe na majanga kila kukicha... AMIN
@salomeraymond2051
2 жыл бұрын
i like your creativity😃
Allah alionesha uwezo wake.ili.tuzidi.kumkumbuka na.kumuogopa yeye tu
@barakashaban9698
2 жыл бұрын
Swadakta
@yahyahamad1802
2 жыл бұрын
@@barakashaban9698 ndio ivo wasiokua.waislam wanaona.ni jambo la.kawaida na kujipa moyo Eti.ni.tetemeko.tu,.sisi tunaamini.ni Allah kutuonesha uwezo wake na tuwe na.khofu ya kumrudia na tupunguze kufanya Dhambi au tuache kabisa
Hawatoelewa mpka yatokee kifo cha cha ardhi ni maji , MAJI NI ZAIDI YA CHCHTE JAPO MOTO UPO ILA HUWEZI SHJNDANA MA NGUVU YA MAJI 🙏🙏ALLAH ATUPE MWISHO MWEMA🙏🙏🙏
@subirajohn728
2 жыл бұрын
Amina!
@salsashmomy
2 жыл бұрын
Amin
@hadiyahamadi9117
2 жыл бұрын
Amin rabill alamin
My uncle alitravel on the day of the disaster. Na alilala close to the hotel iliyotokewa na janga hilo. Yaan,angesema abaki one more day..leo ingekua another story. I hope they are resting in erternal peace in heaven🙏
@abuubakarjabu7118
2 жыл бұрын
Yuko wp saiv
@TheNdaki
2 жыл бұрын
Dah..anabahati sana. Nchi gani io alikua ameenda, alifikia hotel gani?
@queentoto3878
2 жыл бұрын
Ungesema ilitokeya inchi ngani????
@eliuskamwelwe1018
2 жыл бұрын
Kiswahil tafadhari
@latestupdates2059
2 жыл бұрын
Ata shosho yangu
Huyu jamaa anajua sanaaa naelewa kazi zake
Sikuwah kufahamu jambo hili,, Ahsante Jamal dah maana nilikua mdogo sjui darasa la nne
Allah anatisha, ana nguvu na mjuzi wa kila jambo!
@seiflugendo5043
2 жыл бұрын
Amiin
Kaka Jamal mwenyezi mungu kukupa uzima na afya njema ili uendelee kutujuza matukio kama haya hongera kwakazi nzuli
Gonga like za kutosha ka wakubali kazi za professor ❤️
Mungu azidi kukuweka na uzidi kutukumbusha inshaallah
Aya bwa hata mie sijachelwa naomb lik🖖😁
Big up wasafi media. Special thanks Mr professor Jamal April Mustafah we really appreciate
The greatest one, Jamal no one like
Jammal kwl unajitahid kutupa vitu adhim na adim Mungu akujaze khair na umri
Bro we ni noma uko vzur umenifanya nijue mengi
Daaah nilikua darassa la kwanza naikumbuka hii str vzr, hongera Mr jamal
Nilikuwa Thailand huo mwaka,ila usiku huo wa sunami ndio nilifika kenya for Christmas,nilijua mungu yupo na mm nilishii puket najua hii island vizuri sana RIP waliopoteza wapendwa wao
umetishaa mkuuuu wew n zaid ya professor
Jamari Kama diamond Big ❤💪🙏🔥🔥
Tumche mungu tumemsahau
Hatimaye 🥰🥰🥰
@kariimsande
2 жыл бұрын
Hello Jennifer
Leo nimewahi kama unamkubali jamar gonga like hapo chini🙏🙏❤️
Dah Mungu atujaalie kifo chema
I was first one on show but the last words make my day Leave in your dreams
Naomba like 300 sijachelewa
@aminangombe8815
Жыл бұрын
Sijui ufanyie nn izo like 😏😏😏
I'm from Kenya Nairobi county, I'm watching this from yaya center
nakubari mzee bab
Napenda sana usimulizi wako kaka u r my role model.We ni mkali yani
Inatisha...nice job mr jamal
We appreciatee u bro u are amazing
Jamani tunaomba the story book ya raisi aliekula bata zaidi duniani
I'm a little scared of that story because I'll be traveling in Thailand in July I'll be in Bangkok for two months. Prince from Oslo Norway 🇳🇴🇳🇴🇳🇴🇳🇴
@athuman6223
2 жыл бұрын
stay safe
@princeyabili789
2 жыл бұрын
@@athuman6223 thanks 🙏 you
@barikimbacho6731
2 жыл бұрын
Don't be scared. Remember right now there are some people in Bangkok so should they running. Death is everywhere.
@princeyabili789
2 жыл бұрын
@@barikimbacho6731 🙏🙏☺️
@barikimbacho6731
2 жыл бұрын
NJIA YA MWANADAMU KWENDA KUKUTANA NA MUNGU WAKE NI LAZIMA APITE MLANGO WA MAUTI. KAMA UNAOGOPA KWENDA KUKUTANA NA MUNGU WAKO JIULIZE UMEMFANYA NINI?
jamaliii👊👊👊👊👊🙏
Kama unamkubar JAMAL APRIL like 👍
Yesu Kristo anatukumbusha kuwa narudi mda sio mrefu. Shida ya mwanadamu ni mbishi afu viburi mno. Hakika watakufa wengi sana!! Mkiambiwa kuwa Yesu anarudi siku za hivi karibuni hamsikii. Sasa hiyo iliyotokea mwaka wa 2004 ni mfano tu!! Kitu chenyewe bado, na inakuja. Nakwambia Yesu atakaporudi hii dunia kwanza inaisha yote, yaani ni zaidi ya hatari. Ndugu katika Yesu Kristo hakika tukesheeee;!!! Yesu asifiwe sana!! Anakuja siku si nyingi. Sasa cjui atakukuta wapi na unafanya nini!!!!
@ambrosromanus9547
2 жыл бұрын
Natural forces zinahusiana nini na Yesu
@micamathew2595
2 жыл бұрын
@@ambrosromanus9547 hongera mtaalamu wangu!! Ww ni jinga kweli.
@ambrosromanus9547
2 жыл бұрын
Acha upumbavu wewe jinga wewe na waliokupeleka shule halafu hadi leo natural hazards unasingizia Mungu. Hata ambao waliwaletea imani na dini sio mazuzu km wapokeaji. Next time usiniletee kauli za kifala boya wewe. Toa hoja na sio matusi ya rejareja
@pendorobert3552
2 жыл бұрын
Amen mungu atuepushe na vifo vya kutisha
@micamathew2595
2 жыл бұрын
@@ambrosromanus9547 ww ni mjinga!! Usiokuwa na akili!! Usitegemee akili zako mwenyewe!! Yesu anarudi, na anaporudi kabla hajarudi vitu kama hivi hutokea!! Majanga ya asili yatatokea kama tetemeko!! Mafuriko makubwa, afu hata njaa, vita baina ya nchi na nchi, ufalme na ufalme hawataelewana!! Ni mapigano tu yatatokea kama hii ya Russia na ukrein!! Yaani hizi ni mifano tu ya kuja kwake mwana wa Adam!! Yesu Kristo. Upo ndugu!! Soma Mathayo24:1-26. Utaona mambo.
Maumivuyake omba yasikukute haya yaani maumivuyake nimakalimnooo tumuomba mungu atuepushe nabalaa hili kwakweli nguvu zamungu haziwezekani
Love from 254 🇰🇪 ♥️♥️
@osodojunior3436
Жыл бұрын
💪🏼💪🏼
Tsunami yaogopesha sana
Natamani sana the sully documentary from Kenya
Daaah namushukulu Mungu kusikia tena the story book kutoka kwako nilisikia maneno ya minong'ono kwamba mume gombana nasimba yani diamond Platnumz nikazani siyo pata tena simulizi kutoka kwako namushukulu Mungu umerudi tena ila hii nisili midleo simba amesema hii iwe Sili
@mwajumakulugai6416
2 жыл бұрын
😂😂
Jamal ANAUPIGA MWINGI ✌🏿💯
My favorite Jamal ❤️.. from 254
Hapo sawa professor
Wa kwanza kucomment❤
Eee sikuwahi kujua kuwa Tanzania , Kenya , Somalia mpaka dar es salaam huko zilipata tetemeko hili ya Allah
We jamaa unanikoshaga sana na simlizi zako 😇
Usiwe Na Chelewa Kuachiya Kaka Nilikuwa Nisha Miss
@seifseif1572
2 жыл бұрын
Your the best Jamal..keep it up comrade
PROFESSOR 🥂🙌🙌
Siku hii nlikuepo Zanzibar maeneo ya shangani ulipiga mtetemeko mkubwa wa ardhi na bahari kuleta mawimbi mazito mpaka watu wakaanza kuingiwa na khofu ila baada ya muda ikanza kutulia
Thumbs up for the only prof in town👍❤️
Naikumbuka vzr hii siku nilikua zangu fukweni Zanzibar naogelea Mara gafla maji yalikua yanajaa gafl yametoka gafla yamerud tena watu wt wamekimbia kuelea kando za ufukweni naikumbuk vzr tn sn
@iddjuma4126
Жыл бұрын
Ilikuwaje nipe story zaidi natamani kujua maji yalifika Zanzibar
Professor next week leta stroy ya Elon musk I want to know more about this guy
Hii ilinipata nikiwa srilanka Alhamdulliah nilitoka salama,lakini Ile shule yenye tulikua tunasoma ilifutwa na tsunami
@hildpaul7823
2 жыл бұрын
ohh pole
@loreensaimon3958
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣😂🤣
@hildpaul7823
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@loganpoul
2 жыл бұрын
@@mwajumakulugai6416 sasa mwajuma wacheka nini hapo?kweli kabisa Yani kuna kitu ya kuchekesha?
Nakukubali sn ndg yngu unajua big up ila nakushaur soma sn qur an utaju mengi zaid na zaid kwan haijaacha kitu ktk hii dunia big up sn
Jamaaaaaaallly 🙌🏻🙏🏻
Nipeni likes zaa prof Jamal
Go King 👑
Ni ukumbusho tu wa Allah juu ya waja wake
I really appreciate your work mr jamal....God bless u bro
Nimefika mapema leo
The story book ibaki milele....!!
Professor 🔥🔥🔥🔥
Nilikuwa kidato cha kwanza,nakumbuka tulikatazwa kwenda kuogelea pwani
Wazee wa the story book
Ukiangalia vizur kuna kipande majengo yote yapo chini mskiti hauja dhurika tizama kwa maakini🤔
@issaomar9483
2 жыл бұрын
Ishara ya ukubwa wa Allah
mungu ni muweza sana
Kama unamkubali proffessor gonga like
Keep working 💪🔥
Good documentary prof
@kamiliusmathias673
Жыл бұрын
Yupo sawa na kwa upande wangu ninamkubali sana
That school never seen other place thanks wasafi for this project 🤝🤝🤝
Jamal April hakina ww ni mwalimu unatupa elimu
I see your work proffesor
Profesa nakukubali 💯
Gonga like kama unamkubaL the story book
May God have mercy on us 🥺🙏
asante kwa kujibu ombi langu hii story niikuwa naitaji sana sasa napata maarifa
❤❤❤❤❤ i am following you in Kenya samburu county
Duuu leo umeamsha akili zangu professor.....for sure leo umeongea ukweli... God bless you for me
Respect kwa story kali🤔👏🙌✊
Nakumbuka siku hii, dah zenji wameweka historia ya tetemeko Japo nilikuwa kadogodogo😌😌
@mussatete2618
2 жыл бұрын
Me niko bara ninamiaka 29 lakini hii kitu ndo nasikia leo kwa mara ya kwanza ety. Kumbe kitu halisi na kilitokea...?
@salsashmomy
2 жыл бұрын
Ndio kilitokea naikumbuka hii siku nikiwa zanzibar Allah atunusuru na kila mabalaa
this jamal you really made ma day always when i see your new story
@zamrottasasa3599
2 жыл бұрын
Professor wew ni nomaaa
Ni mda sana 2004 nlikuwa na mwaka 1 saiva 19
Nimeona kipande cha San Andreas movie na mission impossible. Simulizi ya kweli
Professional
Nakukubali Professor Jamar
Hahaha tanzania tuna watu wasiojulikana kila sehem🤣🤣
Daah Mungu akubarik unajua kusimulia
Was waiting..
This is awesome Jamar,
Good work prof God bless you napenda sana story book asante kutoka Kenya
Am taking notes!!! Each and every day!! Much love April😇😇
Inasikitisha sana