we mzee muache aseme mAneno yake pekee akee saa una msukumia vikaratasi vya kazi gan
@djnizoh17 сағат бұрын
Team melankoli tujuane gonga likee
@Kanyawela20 сағат бұрын
Hakuna demokrasia ccm iliyosema nileteee uyu hata kwetu ccm tulionewa nadhani demokrasia bado kwa vyama vyote tujipambanue uyo msigwa ni muongo mbona hukuja kabla ya kushindwa ?
@mozesjoseph7630Күн бұрын
Hivi msigwa. Umezidiwa. Akiri na. Mtu ambye hajasoma. Umefanya Nini kuhamia ssm. Maana hata mtu ambye hajasoma hawezi kufnya hivo. Kiukweri. Kiukweri. Umeisha. Kisiasa. Mbona. Hukujifunza. Kwa zito. Kabwe. Yani. Umekwisha. Hovyoo. Kwerikweri.
@user-kl6zv9vw4sКүн бұрын
Rea hongereni kwa kazi Nzuri Vijiji vyangu vimebahatika kupata umeme na umeleta Hamasa kwani vijana wanatumia umeme kwenye SHUGULI ZA uzalishaji. Endeleeni kututufikia vitongojini🙏
Ukiwa kiongozi unatakuwa uwe na ujasiri lkn baba hakimbii nyumba yake na kutupa silaha zake hata ndani ya chama Cha mapinduzi wengi wanaojua uongozi ni pamoja na uvumilivu hawatakuelewa ila hongera unapoteza mvuto ndani ya ccm na chadema hata kwa wananchi nakupongezaaaa
@EliaoleshengEa-pv8fu2 күн бұрын
Hi
@user-hm5gh3vc3c2 күн бұрын
Hongera bro,nimejifunza kitu kuhusu TCAA tutakuja bandani.
@tisamokebulemasubugu62223 күн бұрын
Habari zenu Mimi naitwa Tisamo Kebule Leo nimeona nijalibu kutafuta usaaidizi kwenu Mshare Sisi ni Machinga tulitolewa Barabarani na Serikali Tukaletwa Sokoni Hapa Mawasiliano Sim 2000 tumekaa Muda wote huo na tunalipa ushuru na Viongozi wote walituhakikishia Hapa ni sehemu Rasimi wakatuhimiza Tujenge tukajenga Mabanda yetu tukawekeza SASA ni zaidi ya Miaka 8 lakini chakushangaza Tarehe 3 ,7, 2024 Mkuu wa Wilaya ya Ubungo akatangaza hili Soko na Stendi vimebinfsishwa Kwa Dart ili kujenga Karakana hajaongea na Wafanya Biashara SASA tunajiuliza dhamani yeti ilienda wapi kama Watanzania Kwanini Serikali ifanye maamuzi ya kuuwa mitaji yetu Kwani kila wanapo hamisha Wafanya Biashara wengi hufilisika ila tunaona kama kuna uongo mwingi kwani Mkuu wa Wilaya alisema ni order kutoka juu yani Tamisemi lakini wakati wanayo Taalifa wakasema Sim 2000 ndio waliomba sasa tunashindwa kuziamini
@ManaseBuhanza-cl1lc4 күн бұрын
Kigoma wambuge baadhi ya maeneo kutembea usiku imekuwa siasa zisizo na kujiamini kwa wanakigoma wagombe kuumana kwa wananchi wa maeneo husika
@ManaseBuhanza-cl1lc4 күн бұрын
hapatoshi idara zisizo making kwenye mradi kupewa onyoo & kutengua kwenye idara na jambo. sarusafa , na serkali kujari wa Tanzania kuweka haki zao kwa kodi zao na nk
@ManaseBuhanza-cl1lc4 күн бұрын
rais wa Tanzania kufumba na kufumbua baada ya kikao kazi cha ndani baazi ya mawaziri kusimamishwa kazi kwenye upande wa kilimo baada ya waziri wa kilimo kulifumbia macho swala la uhujumu uchumi kwenye sekita ya kilimo na kaimu waziri wa kilimo kukabidhiwa kiti kwa uchuguzi zaidi kwenye wafanyabiashara wa pembejeo za kilimo na maeneo mengne imetokea taafa ya saa tano kamili leo kutokomeza uhujumu uchumi kuanzia mwaka wa 2024 had 2025
@user-my5yp6xx5s5 күн бұрын
Msigwa,msigwa jaribu kufunga limdomo chunga ulimi ccm nikama panya lakini haina shida c sisi tupo
@YusuphJaha7 күн бұрын
Nimefuatilia KADI ya ccm Toka September 2023 mpaka Leo nazungushwa TU. Msigwa Leo Leo amepatiwa KADI ya chama.😢😢
@user-wl8ns6hh8l7 күн бұрын
Mjinga sana huyo unapendA madaraka umeshindwa unakasirika unachoyo ww miaka kumi umekuwa mwenyekiti wa nyassa wamekuona huwezi kazi ndiyo maana ukatemwa mara huku mara kule
@fadhilikyandofadhilikyando56667 күн бұрын
Wewe ndio umepoteza mwelekeoo syo chademaaa
@Fesary7 күн бұрын
Maajabu
@allyaboud72247 күн бұрын
ata uko ukikosa madarak utahama tena hahahahah
@LovelyOmbreSky-pu4jt7 күн бұрын
Wakati wa kupiga pesa sasa msingwa
@taylorkasitu38197 күн бұрын
Na manguo yake ya laana,mwizi wa sadaka
@gloryharold80227 күн бұрын
njaa tuuu , ungekua umeshinda ungeongea huo ujinga, mpuuzi tu kama wapuuzi wengine
@BlessMwangosi-mz8dw7 күн бұрын
Kwendazakomsaritmkubwaww
@LalariNgakenya-sf7cu7 күн бұрын
Hayo hukuyaona ulipokuwa unagombea uenyekiti wa Kanda?kwa Nini umeyaona tu baada ya kushindwa?
@OmaryallyAbdallah7 күн бұрын
Sawa umeeleweka
@OmaryallyAbdallah7 күн бұрын
Sawa umeeleweka
@user-re3ww2sg8w8 күн бұрын
Wasenge nyie kwa imani gan Barbara mbovu chama cha wahuni watupu
@MubarakaAlmakhumiyy8 күн бұрын
Alhamdulillah
@mashaka-mu9vx10 күн бұрын
Pro huyu anafaakua raisi
@ZamZam-mk4xu11 күн бұрын
Mtakufa na midomo wazi nyie mnafikiri mtafika wapi hiyo aridhi ni yenu mliiweka nyie nachukia sana
@happynesmsangi780212 күн бұрын
Nilikua naomba kuuliza je naweza kupata kipimo cha DNA
@PendaelIsrael-z4x12 күн бұрын
B bc .swahili
@SigisbertKazingoma17 күн бұрын
Ni mzuri sana .kama darasa, nashauri muwe mnatoa hata ikiwezekana vipimo kwa upandaji wake pia.
@EnockEliezer17 күн бұрын
Mtu anae andika matamshi ajitaidi kunamakosa mengi anaandika
@nzigeprofilelives625918 күн бұрын
Watanzania tunalana wenyewe Kwa wenyewe ,huyo mtanzania anakandamiza wenzake ILI apate kitu kidogo Tu.
@abdulrazakyussef317718 күн бұрын
Poleni sana watoto albinos, nammunga mkono sana RC Chalamila kutangaza vita na waganga wakienyeji/wapiga ramli waovu. Lkn nadhani pia elimu ya mkakati, mass education kutokomeza kabisa tabia hii inayofedhehesha TZ. Mbona Kenya albinos wako salama? nadhani pia Bunge ipitishe sheria itakayopewa jina la ''Kinjikitile Law'' itakayo watia hatiani waganga wapiga ramli na wauwaji wa watoto wa albinos. Pia Kinjikitile aondolewe kama shujaa wa taifa kwani upiga ramli wake ilisababisha watu elfu tatu kufa kwenye vita ya majimaji huko Ruvuma 1903 dhidi ya wakoloni wa Ujerumanu (Germany). Kinjikitile alidai risasi ya wajerumani itakuwa maji! huyo pia alikuwa mpiga ramli au mganga wa kienyeji kwa hiyo siyo shujaa wa kitaifa, alisababisha watu wengi kufa.
@MohamedRashid-py7ro20 күн бұрын
Anayo ifanya chuki Duniami ni taifa moja tu ni Marekani kuchukia mataifa mengine
@ShauriMwaselela-hq3hl22 күн бұрын
Saf
@MrJumaLOkal23 күн бұрын
Iwe siku ya mapumziko hususan nchi za mtazamo wa jumuia ya Afrika Mashariki.
@claudjohn24 күн бұрын
Ufuta unalimwa kwenye aridhi gani
@claudjohn24 күн бұрын
Huu mbegu ya ilendele na ilinga unafanya vzr??
@HassanMagang25 күн бұрын
Dawa ya jino
@MaikoKitali25 күн бұрын
Naweza kalima zao hili maeneo ya mkoa wa Kilimanjaro?
@mamlakapaluku88625 күн бұрын
Amina Mungu akubariki Mchungaji kwa Maono haya na kwa somo nzuri
@MrJumaLOkal25 күн бұрын
Nimeburudishwa si haba katika mazungumzo haya yenu❤
@MrJumaLOkal25 күн бұрын
Mwaka huu tukiadhimisha siku ya kiswahili duniani, ningeomba vuguvugu la wapenzi wa lugha waanzishe hazina au kupata sauti ya kudhubutisha na kuweka alama huko Tanga-Vibambani Machui. Sheik Shabaan Suleiman Juma Ufukwe daima atakumbukwa katika ulimwengu wa fasihi ya Kiswahili. Hata mimi najiona kuwa na deni la kuutembelea mji wa Tanga mradi nijionee alikolala huyu mswahili mwenye kalamu iliyolenga, kuzamia usanifu na ufasaha wa lugha adhimu ya Kiswahili. Ameliacha pengo ambalo hata wasomi uzamifuni hawajamudu kuliziba. Kazi zake bado zinaendelea kuchunguzwa na wasomi wa juu kila mmoja akiwa bado hafikii viina vya falsafa na maadili ambayo kila kuandika kwake kulijaribu kunadi yawe kawaida katika jamii.
@JacklineMwasote27 күн бұрын
Thank you teacher for your time
@AdamuShabanimwiko27 күн бұрын
Mungu mtie nguvu mtumishi wako anaytuhurubira ni ya kweli
Пікірлер
we mzee muache aseme mAneno yake pekee akee saa una msukumia vikaratasi vya kazi gan
Team melankoli tujuane gonga likee
Hakuna demokrasia ccm iliyosema nileteee uyu hata kwetu ccm tulionewa nadhani demokrasia bado kwa vyama vyote tujipambanue uyo msigwa ni muongo mbona hukuja kabla ya kushindwa ?
Hivi msigwa. Umezidiwa. Akiri na. Mtu ambye hajasoma. Umefanya Nini kuhamia ssm. Maana hata mtu ambye hajasoma hawezi kufnya hivo. Kiukweri. Kiukweri. Umeisha. Kisiasa. Mbona. Hukujifunza. Kwa zito. Kabwe. Yani. Umekwisha. Hovyoo. Kwerikweri.
Rea hongereni kwa kazi Nzuri Vijiji vyangu vimebahatika kupata umeme na umeleta Hamasa kwani vijana wanatumia umeme kwenye SHUGULI ZA uzalishaji. Endeleeni kututufikia vitongojini🙏
Huna jipya. Wewe. Hivo umeisha. Kisiasa. Kafurira Yuko wapi. Nasari Yuko wapi. Machari Yuko wapi. Rijuwa Kari. Yuko wapi. Umeisha. Kisiasa. Yani. Umeisha.
Ukiwa kiongozi unatakuwa uwe na ujasiri lkn baba hakimbii nyumba yake na kutupa silaha zake hata ndani ya chama Cha mapinduzi wengi wanaojua uongozi ni pamoja na uvumilivu hawatakuelewa ila hongera unapoteza mvuto ndani ya ccm na chadema hata kwa wananchi nakupongezaaaa
Hi
Hongera bro,nimejifunza kitu kuhusu TCAA tutakuja bandani.
Habari zenu Mimi naitwa Tisamo Kebule Leo nimeona nijalibu kutafuta usaaidizi kwenu Mshare Sisi ni Machinga tulitolewa Barabarani na Serikali Tukaletwa Sokoni Hapa Mawasiliano Sim 2000 tumekaa Muda wote huo na tunalipa ushuru na Viongozi wote walituhakikishia Hapa ni sehemu Rasimi wakatuhimiza Tujenge tukajenga Mabanda yetu tukawekeza SASA ni zaidi ya Miaka 8 lakini chakushangaza Tarehe 3 ,7, 2024 Mkuu wa Wilaya ya Ubungo akatangaza hili Soko na Stendi vimebinfsishwa Kwa Dart ili kujenga Karakana hajaongea na Wafanya Biashara SASA tunajiuliza dhamani yeti ilienda wapi kama Watanzania Kwanini Serikali ifanye maamuzi ya kuuwa mitaji yetu Kwani kila wanapo hamisha Wafanya Biashara wengi hufilisika ila tunaona kama kuna uongo mwingi kwani Mkuu wa Wilaya alisema ni order kutoka juu yani Tamisemi lakini wakati wanayo Taalifa wakasema Sim 2000 ndio waliomba sasa tunashindwa kuziamini
Kigoma wambuge baadhi ya maeneo kutembea usiku imekuwa siasa zisizo na kujiamini kwa wanakigoma wagombe kuumana kwa wananchi wa maeneo husika
hapatoshi idara zisizo making kwenye mradi kupewa onyoo & kutengua kwenye idara na jambo. sarusafa , na serkali kujari wa Tanzania kuweka haki zao kwa kodi zao na nk
rais wa Tanzania kufumba na kufumbua baada ya kikao kazi cha ndani baazi ya mawaziri kusimamishwa kazi kwenye upande wa kilimo baada ya waziri wa kilimo kulifumbia macho swala la uhujumu uchumi kwenye sekita ya kilimo na kaimu waziri wa kilimo kukabidhiwa kiti kwa uchuguzi zaidi kwenye wafanyabiashara wa pembejeo za kilimo na maeneo mengne imetokea taafa ya saa tano kamili leo kutokomeza uhujumu uchumi kuanzia mwaka wa 2024 had 2025
Msigwa,msigwa jaribu kufunga limdomo chunga ulimi ccm nikama panya lakini haina shida c sisi tupo
Nimefuatilia KADI ya ccm Toka September 2023 mpaka Leo nazungushwa TU. Msigwa Leo Leo amepatiwa KADI ya chama.😢😢
Mjinga sana huyo unapendA madaraka umeshindwa unakasirika unachoyo ww miaka kumi umekuwa mwenyekiti wa nyassa wamekuona huwezi kazi ndiyo maana ukatemwa mara huku mara kule
Wewe ndio umepoteza mwelekeoo syo chademaaa
Maajabu
ata uko ukikosa madarak utahama tena hahahahah
Wakati wa kupiga pesa sasa msingwa
Na manguo yake ya laana,mwizi wa sadaka
njaa tuuu , ungekua umeshinda ungeongea huo ujinga, mpuuzi tu kama wapuuzi wengine
Kwendazakomsaritmkubwaww
Hayo hukuyaona ulipokuwa unagombea uenyekiti wa Kanda?kwa Nini umeyaona tu baada ya kushindwa?
Sawa umeeleweka
Sawa umeeleweka
Wasenge nyie kwa imani gan Barbara mbovu chama cha wahuni watupu
Alhamdulillah
Pro huyu anafaakua raisi
Mtakufa na midomo wazi nyie mnafikiri mtafika wapi hiyo aridhi ni yenu mliiweka nyie nachukia sana
Nilikua naomba kuuliza je naweza kupata kipimo cha DNA
B bc .swahili
Ni mzuri sana .kama darasa, nashauri muwe mnatoa hata ikiwezekana vipimo kwa upandaji wake pia.
Mtu anae andika matamshi ajitaidi kunamakosa mengi anaandika
Watanzania tunalana wenyewe Kwa wenyewe ,huyo mtanzania anakandamiza wenzake ILI apate kitu kidogo Tu.
Poleni sana watoto albinos, nammunga mkono sana RC Chalamila kutangaza vita na waganga wakienyeji/wapiga ramli waovu. Lkn nadhani pia elimu ya mkakati, mass education kutokomeza kabisa tabia hii inayofedhehesha TZ. Mbona Kenya albinos wako salama? nadhani pia Bunge ipitishe sheria itakayopewa jina la ''Kinjikitile Law'' itakayo watia hatiani waganga wapiga ramli na wauwaji wa watoto wa albinos. Pia Kinjikitile aondolewe kama shujaa wa taifa kwani upiga ramli wake ilisababisha watu elfu tatu kufa kwenye vita ya majimaji huko Ruvuma 1903 dhidi ya wakoloni wa Ujerumanu (Germany). Kinjikitile alidai risasi ya wajerumani itakuwa maji! huyo pia alikuwa mpiga ramli au mganga wa kienyeji kwa hiyo siyo shujaa wa kitaifa, alisababisha watu wengi kufa.
Anayo ifanya chuki Duniami ni taifa moja tu ni Marekani kuchukia mataifa mengine
Saf
Iwe siku ya mapumziko hususan nchi za mtazamo wa jumuia ya Afrika Mashariki.
Ufuta unalimwa kwenye aridhi gani
Huu mbegu ya ilendele na ilinga unafanya vzr??
Dawa ya jino
Naweza kalima zao hili maeneo ya mkoa wa Kilimanjaro?
Amina Mungu akubariki Mchungaji kwa Maono haya na kwa somo nzuri
Nimeburudishwa si haba katika mazungumzo haya yenu❤
Mwaka huu tukiadhimisha siku ya kiswahili duniani, ningeomba vuguvugu la wapenzi wa lugha waanzishe hazina au kupata sauti ya kudhubutisha na kuweka alama huko Tanga-Vibambani Machui. Sheik Shabaan Suleiman Juma Ufukwe daima atakumbukwa katika ulimwengu wa fasihi ya Kiswahili. Hata mimi najiona kuwa na deni la kuutembelea mji wa Tanga mradi nijionee alikolala huyu mswahili mwenye kalamu iliyolenga, kuzamia usanifu na ufasaha wa lugha adhimu ya Kiswahili. Ameliacha pengo ambalo hata wasomi uzamifuni hawajamudu kuliziba. Kazi zake bado zinaendelea kuchunguzwa na wasomi wa juu kila mmoja akiwa bado hafikii viina vya falsafa na maadili ambayo kila kuandika kwake kulijaribu kunadi yawe kawaida katika jamii.
Thank you teacher for your time
Mungu mtie nguvu mtumishi wako anaytuhurubira ni ya kweli
Tunamkumbuk sana