Hoja za Rais mstaafu ZLS kwenye Kongamano la Kujadili Mchakato wa Katiba Mpya
#ijuesheria #katibampya
Amesema hayo aliyekuwa Rais wa Zanzibar Law Society (ZLS) Wakili Awadhi Said wakati akiwasilisha mada kwenye kongamano la kujadili "Namna Bora ya Kuhuisha Mchakato wa Katiba Mpya" lililoandaliwa na Chama cha Wanasheria Tanganyika na kufanyika tarehe 24 Septemba 2022 jijini Arusha.
Пікірлер: 1
Nimekuelewa bunge haliwezikuunda katiba mpya