Hoja za Dr. Laltaika kwenye Kongamano la Kujadili Mchakato wa Katiba Mpya
#ijuesheria #katibampya
Amesema hayo Dr. Elifuraha Laltaika wakati akiwasilisha mada kwenye kongamano la kujadili "Namna Bora ya Kuhuisha Mchakato wa Katiba Mpya" lililoandaliwa na Chama cha Wanasheria Tanganyika na kufanyika tarehe 24 Septemba 2022 jijini Arusha.
Пікірлер: 2
Thanks my lecture
Amen sana