Dkt. Mandi Asimulia Mwl. Nyerere na Mchakato wa Katiba na Mkwamo Wake
#ijuesheria #katibampya #constitution
Жүктеу.....
Пікірлер: 5
@elibarikimollel7149Ай бұрын
20:31 Asante sana Mwanasheria Wakili msomi kwa udadavuzi wa katiba hii kongwe ya 1977,ni elimu kubwa kwetu wananchi kuelewa historia ilivyotufikisha hapa tulipo leo,na ugumu uliopo kwa watawala wetu kukubaliana na mabadiliko. Tuna kazi kubwa ya kuwageuza mawazo warithi hawa wanaopokezana kijiti kwa katiba hii mtego ya Mwlm.Nyerere kwasababu inawalinda wafanye wanavyotaka na sio wengi tunavyoona inafaa kulingana na wakati wa vyama vingi!
@hajihassan5433Ай бұрын
Hebu leteni mfano wa Katiba mnayoona inafaa acheni story. Inawezekana je chama cha siasa ukitenge na Serikali wakati Serikali inaundwa na chama. Vyama vipo kutafuta kuunda Serikali halafu unataka viongozi wa Serikali wasiwe na chama wakati huo huo Watumishi wa Serikali wanatekeleza Ilani ya chama. Utampa je mtu nafasi asiyekikubali chama halafu atekeleze Ilani ya chama hicho. Mimi kwa maoni yangu ili ufanisi uwepo Watumishi wote wawe wanachama wa chama kilichoshika Dola ili tuwapime kwa HAKI. Haiwezekani "una sabotage" huku chama tawala kinalaumiwa.
@KhamisiSalimuАй бұрын
Ebwana wee muna mikoa zaid ya ishirin na tano kwa nini muna ishikilia zanzibar kaeni kwenu tanganyika na sisi kwetu zanzibar sisi hatuelewi kitu tunataka zanzibar yetu .
@hajihassan5433
Ай бұрын
Hebu jenga hoja vizuri, nini itakuwa hatma ya Wazanzibar waliopo Tanganyika na mali zao zisizohamishika, vipi kuhusu Wastaafu wa Muungano nani atalipa mafao yao ikiwemo passion nk.
@user-fr7jj1bo7yАй бұрын
Hivi ni kwanini shule ya msingi na sekondary hatukufundishwa historia kuntu namna hii ya nchi yetu kuhusu Bunge toka 1926.???????Asante Dr.Mandi sasa nimegundua asili ya Rais wa Tanzania kuwa na nguvu nyingi namna hii mpaka nguzo za Bunge na Mahakama zinamuabudu yeye badala ya kumdhibiti, kwanini mapolisi wamekuwa watetezi wakubwa wa kulinda CCM badala ya kutoa ulinzi na kusimamia haki ya vyama vyote sawa!!!
Пікірлер: 5
20:31 Asante sana Mwanasheria Wakili msomi kwa udadavuzi wa katiba hii kongwe ya 1977,ni elimu kubwa kwetu wananchi kuelewa historia ilivyotufikisha hapa tulipo leo,na ugumu uliopo kwa watawala wetu kukubaliana na mabadiliko. Tuna kazi kubwa ya kuwageuza mawazo warithi hawa wanaopokezana kijiti kwa katiba hii mtego ya Mwlm.Nyerere kwasababu inawalinda wafanye wanavyotaka na sio wengi tunavyoona inafaa kulingana na wakati wa vyama vingi!
Hebu leteni mfano wa Katiba mnayoona inafaa acheni story. Inawezekana je chama cha siasa ukitenge na Serikali wakati Serikali inaundwa na chama. Vyama vipo kutafuta kuunda Serikali halafu unataka viongozi wa Serikali wasiwe na chama wakati huo huo Watumishi wa Serikali wanatekeleza Ilani ya chama. Utampa je mtu nafasi asiyekikubali chama halafu atekeleze Ilani ya chama hicho. Mimi kwa maoni yangu ili ufanisi uwepo Watumishi wote wawe wanachama wa chama kilichoshika Dola ili tuwapime kwa HAKI. Haiwezekani "una sabotage" huku chama tawala kinalaumiwa.
Ebwana wee muna mikoa zaid ya ishirin na tano kwa nini muna ishikilia zanzibar kaeni kwenu tanganyika na sisi kwetu zanzibar sisi hatuelewi kitu tunataka zanzibar yetu .
@hajihassan5433
Ай бұрын
Hebu jenga hoja vizuri, nini itakuwa hatma ya Wazanzibar waliopo Tanganyika na mali zao zisizohamishika, vipi kuhusu Wastaafu wa Muungano nani atalipa mafao yao ikiwemo passion nk.
Hivi ni kwanini shule ya msingi na sekondary hatukufundishwa historia kuntu namna hii ya nchi yetu kuhusu Bunge toka 1926.???????Asante Dr.Mandi sasa nimegundua asili ya Rais wa Tanzania kuwa na nguvu nyingi namna hii mpaka nguzo za Bunge na Mahakama zinamuabudu yeye badala ya kumdhibiti, kwanini mapolisi wamekuwa watetezi wakubwa wa kulinda CCM badala ya kutoa ulinzi na kusimamia haki ya vyama vyote sawa!!!