No video

Nondo za Rais Mstaafu TLS Upatikanaji wa Katiba Mpya

#ijuesheria #katibampya #constitution

Пікірлер: 14

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy43912 ай бұрын

    Katiba mpya ni muhimu sana Katiba mpya ni sasa. Asante sana Mwanasheria wetu mstaafu lakini ujuzi h a u z e e k i. God bless you 🙏 ❤

  • @briankatani6770
    @briankatani67702 ай бұрын

    Mzee unajuwa kutoa elimu ulikuwa wapi miaka yote hiyo

  • @JOHNMAGOMA-ye6lz
    @JOHNMAGOMA-ye6lz2 ай бұрын

    Ahsante sana kaka kwa elimu hii.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro66622 ай бұрын

    Hayo maneno na mazuri san asante kwa kuwakumbusha hao CCM wanaona KATIBA hii bado iko valued. Asante kutukumbusha tutaanza kwenda kuidahi hiyo haki hasa mambo ya afya ambayo kwa sababu hatupi matibabu ya bure siku hizi. Serikali ya CCM haifuati KATIBA lakini haiwajibi kwetu siku hizi. Wenyewe siku hizi wanakuja kutukemea mpaka hata kufukuza wafanya kazi

  • @froma3732
    @froma37322 ай бұрын

    Ni vzr umewapa watu Elimu lkn Wakati mukiwa kwenye Madaraja huwa hamuyaoni kuwa Kuna tatizo Kuhusu kuchaguliwa kuendelea na Masomo hayo tunayajuwa Kwa Kuna watu wa Jami fulani huwa wanatolewa

  • @merumount5988
    @merumount59882 ай бұрын

    Ana nini huyu, mamluki tu..s among lawyers who have failed this nation! Hana kitu chochote sitola..

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro66622 ай бұрын

    Mkuu hongera sana kwa elimu maana siku hizi wamefeuza wao ndiyo wanatuvuruga ovyo ocvyo ili sisi wanainchi tuawasikilize wao tu. Mamlaka siku hizi wajipa wao mamlaka sisi siku hizi kutishwa tishwa tu.

  • @justinmnkeni7691

    @justinmnkeni7691

    2 ай бұрын

    Ingefaa elimu hii ambayo ni ya kikatiba itolewe wakati wote ili kuweka usahihi na ustawi mzuri wa taifa letu.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro66622 ай бұрын

    Muheshimiwa wengine tumefurahi kutuelimisha. Hii KATIBA kwa upande inagadaa wanainchi lakini kwa upande inatuumiza wanainchi vibaya sana ukiiangalia kwa makini sisi ni watumwa wa Raisi wa Inchi bila kujitambuwa. Kwa kusema ina maana tumekuwa watumwa wa mwalimu Nyerere tangu 1983. Kweli hii siyo KATIBA bali ni kufanywa watumwa kabisa.

  • @calistusmahombo-ty8ni

    @calistusmahombo-ty8ni

    2 ай бұрын

    Asante Msomi,lini Sasa?

  • @JOHNMAGOMA-ye6lz
    @JOHNMAGOMA-ye6lz2 ай бұрын

    Kila jambo Lina wakati wake.huu ndiyo muuda haswa wa elimu hii,ingetolewa huko nyuma uusinge changia chochot e

  • @madreks253
    @madreks2532 ай бұрын

    Katiba lazima ibadilishwe na viongozi pia wabadilishwe. Bila katiba mpya hawa viongozi wataendelea kuibia wananchi na kuuza maliasili...Tanzania imeshauzwa kwa wakoloni na viongozi wa hii serikali lakini wengi wamelala...hatuwezi kuendelea kuongozwa na wezi majambazi walevi mashoga...

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro66622 ай бұрын

    Hata tumeiomba kuandika KATIBA mpya pia hawataki kweli hao serikali hii wanatuburuza kwa kufanya sisi kama mazuzu. Sasa msingi gani tuliyonayo?

Келесі