Laaaaaa kumbe huumu ungano unasirinzito, wabunge wabara muogopeni mungu
@HassanKomango-o2d13 күн бұрын
Laaaaaa kumbe huumu ungano unasirinzito, wabunge wabara muogopeni mungu
@HassanKomango-o2d13 күн бұрын
Laaaaaa kumbe huumu ungano unasirinzito, wabunge wabara muogopeni mungu
@MartinAloisMosha-ff8rb25 күн бұрын
Hongereni sana LISU NA JUSA KUTUPA UKWELI .SERIKALI TATU NI SASA ACHENI DHAMBI NI HAKI YA WANANCHI WALIKWISHA AMUA.
@hamadrashid514029 күн бұрын
Kichwa hiko makamu wa pili wa Rais wa zanzibar 2025 inshallah
@mohamedykabwanga164729 күн бұрын
Tunaomwangalia lisu 2024 tujuane
@josephrichard3967Ай бұрын
2024/06/19
@user-hu4sd7bg8nАй бұрын
Tunakupenda sana ndugu ismail jusa ❤❤❤❤
@suleimansuleiman6522Ай бұрын
Hongera Maalim Jussa
@PharessJohn-zo8oxАй бұрын
Ccm huwa wanapinga hata ukweri
@PharessJohn-zo8oxАй бұрын
Hello my dear friend how are you
@francissimwinga-gb2vdАй бұрын
Huyu mwamba anaitendea haki Elimu yake kweli
@ibrahimconte601Ай бұрын
Mbona makelele matupu
@benedictmrisho18002 ай бұрын
Kumbe muungano ni mzuri unahitaji tu marekebisho. Hongera Jusa.
@benedictmrisho18002 ай бұрын
Wanasheria nchi hii kupitia TLS hebu mtujie Watanzania na majibu kamili ya haya mambo ya kisheria mnayobishania juu ya Muungano wetu. Taaluma itoe majibu sahihi ili Watanzania tuwe na utulivu.
Пікірлер
Jamaa mkali sana
Speed kali sana Jusa
Laaaaaa kumbe huumu ungano unasirinzito, wabunge wabara muogopeni mungu
Laaaaaa kumbe huumu ungano unasirinzito, wabunge wabara muogopeni mungu
Laaaaaa kumbe huumu ungano unasirinzito, wabunge wabara muogopeni mungu
Hongereni sana LISU NA JUSA KUTUPA UKWELI .SERIKALI TATU NI SASA ACHENI DHAMBI NI HAKI YA WANANCHI WALIKWISHA AMUA.
Kichwa hiko makamu wa pili wa Rais wa zanzibar 2025 inshallah
Tunaomwangalia lisu 2024 tujuane
2024/06/19
Tunakupenda sana ndugu ismail jusa ❤❤❤❤
Hongera Maalim Jussa
Ccm huwa wanapinga hata ukweri
Hello my dear friend how are you
Huyu mwamba anaitendea haki Elimu yake kweli
Mbona makelele matupu
Kumbe muungano ni mzuri unahitaji tu marekebisho. Hongera Jusa.
Wanasheria nchi hii kupitia TLS hebu mtujie Watanzania na majibu kamili ya haya mambo ya kisheria mnayobishania juu ya Muungano wetu. Taaluma itoe majibu sahihi ili Watanzania tuwe na utulivu.
Bunge la zamani kilikua moto
Lissu umewakazia sana waonee huruma jamani
Pasua hizo mbwa za Dodoma Hadi mpate haki yenu
Safi jussa
VALID
Lissu the role model
Siku zijazo tutakuelewa tukiwa tumechelewa sana
2024 tujuane
Tumeuchoka muungano ❤
Ilikuwa hatari sana
Wale wa 2024 tujuane tuliotoka tiktok
Hawanalolote wizi mtupu,wanapopewa ukweli wanakuwa wakali
Serekali kandamizi,haina haki Munawadhulumu wazanzibari
misisiemu y zanzibar minafiki,mijinga kweli! hayana akili hat moja kazi yanatutia matatizini tu
Miccm inakera hasa na ndio inayosababisha Zanzibar kuwa nyuma kimaendeleo.
HATUUTAKI MUUNGANOOO!!!!
wanatoa vichwa tu! waeleze wajinga
Jussa ana akili za watanganyika 1000
HEKO! HEKO KIDUME JUSA TUKO PAMOJA NA WEWEEE, WANAJIFANYA WANA HOJA .ZINAWARUDI WENNYEWE. MUNGU AKUWEKE
Nassari kumbe ulishakuwa kigeugeu toka awali hivyo sio ajabu ukaunga juhudi 😅
👊✌👊.
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👊
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌。
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌。
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌.
Namuelewa huyu mwamba kuliko mwanasiasa yoyote hapa TZ nani kama Lisu
Namuelewa huyu mwamba kuliko mwanasiasa yoyote hapa TZ nani kama Lisu
Lissu baba
Allah akusameh ulipo kosea maalim na akujaalie kabur lako lime ni bustan miongon mwa bustan za beponi
👍👊✌️.
Hekima kubwa Bishop
Wafahamishe hao ❤
Hii ndo athari ya kuchukua watu mitaani kuja kutoa michango kwa jambo linalohitaji elimu,fujo zaidi ya sokoni😂