Duni Ateta Sakata la Bandari.'Kosa Sababu Rais Mzanzibar'.Wako Mikoani Huko Wanazunguka
Juma Haji Duni ambaye ni mwenyekiti wa chama cha ACT Wazalendo alikua akiongea kwenye mkutano wa hadhara wa ACT Wazalendo uliofanyika Bubwini Zanzibar hivi leo Agosti 06,2023
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2023 © All Rights Reserved.
Пікірлер: 432
Safii mzee duni haji Allah akulinde na maadui wa ndani na nje inshaalah
Wabaguzi hao, Mwenyezi Mungu Awalaani . Mwenyezi Mungu Ambariki Rais wetu Mama Samia.
@khatibal-zinjibari6956
11 ай бұрын
@shukurukoll7269. WABAGUZI NA SERA YAO Huo Ubaguzi wa Zanzibar ni Sera ya Chama Cha Mapinduzi ulioanzishwa na Baba wa Kanisa Julius Nyerere. 1) Nyerere alitumia Ubaguzi kufanya Mapinduzi yalouwa Waislam wengi wa Zanzibar kuwa Kafara. 2) Nyerere alitumia Ubaguzi kufanya Muungano wa lazima bila ya ridhaa ya Baraza la Mapinduzi la Zanzibar. 3) Nyerere alitumia Ubaguzi kufanya Chama Cha Mapinduzi bila ya ridhaa ya Wazanzibari. 4) Sera ya Ubaguzi wa Chama Cha Mapinduzi umemfanya mama Samia kuwa Rais wa Tanzania Kikatiba. UCHAGUZI WA UBAGUZI NA WIZI i) Uchaguzi wa Zanzibar ulikuwa Siku Mbili, Tanganyika Siku Moja. ii) Uchaguzi wa Zanzibar ulikuwa wa Sera ya Ubaguzi ufuatao: 1) Siku ya Kwanza kwa Watawala. 2) Siku ya Pili kwa Watawaliwa. BILA UBAGUZI HAKUNA MUUNGANO
Naam MashaAllah hakuna marefu yasiyo ncha ,ni kweli kabisa wawape nchi yenu mna bendera yenu ,bunge lenu ,wimbo wenu ,jeshi lenu na rais wenu
Hii spana ya Mkataba wa Bandari, Iko vizuri Sana. Inafungua Kila kitu.
Kwa haraka wenye kujua tatizo lilipo ni lazima wajue ccm ndio ugonjwa sugu wa hii nchi
@mulasaid2959
11 ай бұрын
Na chadema wabaguzi
@fulgencemark7640
11 ай бұрын
Haya sasa yameibuka ya raisi kuwa mzanzbari kwani Mzee Mwinyi sio mzanzibari? Yameletwa ya udini.hizi ni mbinu chafu zinazobuniwa na roho ya wizi,ufisadi na uonevu..Watu wachache kujiaminisha was ndio kila kitu ni U zuUZI ulioptilliza.Raia kupindua serikali haijawahi kusikika kokote duniani
@kassimmuktarymurji4242
11 ай бұрын
Tatizo sio ccm tatizo ni kanisa katoliki,kuwa wao wako kama Muhimili wa nnchi toka zama hizo,wanashindwa kusoma nyakati watatue matatizo yao na serikali ihangaike na yake,kauli ya maaskofu katoliki sio kauli ya watanzania,na kauli za Vatican mama wa ubepari duniani kupitia kanisa imepitwa na wakati
@noelbryson7840
11 ай бұрын
@@kassimmuktarymurji4242We huna akili hata kidogo, Akili yako inawaza tende, You ar Stupid…
Hello duni Safi Sana wakae wakijua kukosa muungano Zanziba wangeiona Dubai hakuna kisiwa masikini duniani waambie hao wanyawima
@maximillianmayani5119
11 ай бұрын
Mentality za kiarabu zinawaumiza huo ni utumwa
@salehkhamis-ob8ln
9 ай бұрын
@@maximillianmayani5119bora utumwa wa kiarabu kuliko utumwa wa watanganyika
Bandari imetujulisha mengi kumbe ACT kilaza
@karimkassam571
11 ай бұрын
Chadema ndio vilaza
@hamisijuma3276
11 ай бұрын
Kwan unaona Zitto anaongea????
@bonnymakuke3153
11 ай бұрын
Ndo maana kumbe Kila ya kishinda yanazurumiwa kumbe ni mapumbavu ivi!!!
@mkude
11 ай бұрын
Chadema wasahau kabisa kushika mamlaka makubwa ya Tanzania
@ramadhanmahongole9293
11 ай бұрын
Zitto haongei kwasababu kamezwa na act wazanzibar
Wazanzibari simameni kidete vunjeni muungano ili watanganyika wajihangaikie wenyenyewe,
@khatibal-zinjibari6956
11 ай бұрын
Kama Hussain Ali ni Mzaliwa wa Zanzibar na avunje Muungano kabla ya 2025 atakuwa Jabari na Shupavu.
Nimemsiklz vizuur mzee duni. Kumbe ndio watanganyika wakawa wanatoka mapovu ktk comments zao mzee kauwa nyani. Ivi kwann jamani mpka tukielezwa ukweli ikawa tunapinga tu sisi ? Ndio mpaka leo tukawa watumwa wa wazungu na papa wa Ital kwa ujinga wetu.
Hii mijitu ya hovyo Sana..hakika nawaambia act inafutika Zanzibar..wazanzibar sio wanafiki kamwe na hawako tayari kukaa na watu wanafki..mara ngapi metendewa madhila na watanganyika wamewatetea
@sadih5333
11 ай бұрын
Lining, zaidi ya kuleta jeshi kudhalilisha watu.
@mohdchuma78
11 ай бұрын
😂
Nimeamini Hawa jamaa Wana umoja kuliko sisis Watanganyika
@agustinokimaro1483
11 ай бұрын
Watatumaliza hawa lao moja,,na ss watanganyika tupo tuu
Kwa hiyo ACT inatetea agenda ya ccm hivyo ni aibu sana kwa zito
@florencemeza6540
11 ай бұрын
No manager yake umesikia zito kaongea??
@khatibal-zinjibari6956
11 ай бұрын
KOTI LIVUENI MCHUKUE NCHI YENU @paschalpaul3862.Watanganyika wamshukuru Rais Mzanzibari amewaamsha kudai nchi yao.
@maftahmusa9513
11 ай бұрын
Tuliza akili uwelewe huyo hasemei ccm wala Act huyo anasemea Zazibary na Tanganyika
@khatibal-zinjibari6956
11 ай бұрын
@@maftahmusa9513 SHUKRAN JAZEERA🙏👍
@maftahmusa9513
11 ай бұрын
@@khatibal-zinjibari6956 🙏
babu duni umeongea vizuri sana,ila mimi najiuliza hawa watanganyika wanaodai tanganyika yao kwani tanganyika yao anayo nani?
Ni matope tu au naona mwenyewe wadau
@yusufujuma1859
11 ай бұрын
Kweli bhana unaona matope ,ukiwa macho huna hutaona kitu
Ameingia mikataba mibovu, na mbona hajaziweka na hizo za huko?
Sijamuelewa hata kdg
Si muondoke kwani kuna watu wanawatakeni????
Zanzibar haipaswi kuwepo kama ilivyopotea tanganyika, tufute tofauti Tanzania iwe moja,
Haya kuhusu kauze za kwenu
Chadema wabaguzi sana
@issalyanalijr-8610
11 ай бұрын
Correct ni chama chenye ukanda,,udini ,,upuuzi tu,,,,tutapigia CCM,,,😢 forever
Tuijadili Zanzibar yetu tu Babu Duni tatizo la Zanzibar ni hivi vyama vyenu na usitaje kabisa CCM kuhukumiwa Dodoma wakati vyama vyote mnahukumiwa huko huko Tanganyika tofauti ni mitaa tu.
Attention!!! Kuna jambo baya linaweza kutokea TZ maana kila pembe kuna moto unawaka. Rescue inahitajika otherwise......
Wewe Naye mchochezi tu hunaunalo lijua waretehao warabu kwenu zanzi
SEMA Mzee tunakusikiliza mengine uko vizuri.
Wewe unaongea kama hujui wakati unajua Ccm ndo haitaki
Hata hivyo muungano ni changamoto sana 😂😂😂😂 Duni Haji😅😅👏🏽👏🏽👏🏽 Tunakukumbuka wakati wa Lowasa
Kweli akili ndogo ndoinayoongoza akili kubwa
@maftahmusa9513
11 ай бұрын
kama unaona hivyo unamatatizo ama ya akili au ya macho kila siku akili kubwa ndio huongoza akili ndogo basi hiyo unayoiona ndogo ndio kubwa hiyo wahi kutibu macho au akili uelewe vizuri
@user-pw2tv1qg8r
11 ай бұрын
Ongea yako tu unaonekana mnafki
Kwani hii Tanganyika yao kaichukua nani mpaka wanaidai? hapa Kuna mengi yakujiuliza. "Muungano"(kupe ) Kuna nini hapa? Na Kwanini Kila anaedai kuvunjika muungano wanamfunga au kumpoteza kabisa .
JUMA DUNI ON INTELLECTUAL RESPONSIBILITY IN ZANZIBAR "It is the responsibility of intellectuals to speak the truth and to expose lies of (The Union Government)." [Source: Noam Chomsky in The New York Review of Books February 23, 1967]. TUCHUKUWE ZANZIBAR YETU CHUKUWENI TANGANYIKA YENU.
@InnocentKapwani-mp2po
11 ай бұрын
Duni acha mipasho
@khatibal-zinjibari6956
11 ай бұрын
@InnocentKapwani-mp2po JUMA DUNI WAPASHE NA WAFICHULIE Wapashe na Fichuwa Waliyotuficha Zanzibar na Tanganyika. ALOYAFICHA JULIUS NYERERE 1) Serikali ya Tanganyika imefichwa na Koti la TANZANIA kama ni Utatu Mtakatifu wa Daima na Milele. 2) Afro-Shirazi Party imefichwa na Kizibao cha TANU ya Tanganyika. 3) Zanzibar imemezwa DODOMA kuwa ni Bamkwe ya Mandera.
Mimi ni kada wa ccm sijifichi ila mzee duni yupo sahihi
Duni kama jina lake! Aende kwenye point ya msingi; mkataba wa bandari,
As ndio maana Naye Samia aneleta mkataba usiyo na mwisho Kama muungano!!! Ndiyo maanaaaaa
WAINGEREZA NDIO WANAOWATESA WALIKATAA MUWE TAIFA WAKAWAKABIDHI KWA TANGANYIKA SASA MKITAKA KUWA HURU KAENI MEZA MOJA NA WAINGEREZA HUENDA MKAPEWA NCHI YENU
Kama kosa ni kuwa mzanzibar basi utanzania UNASIHI wapi?ACHA umaarufu WA kutafuta popularity
ZITO NI MTU HATAR SANA KWA MUSTAKABALI WA TAIFA
@TNgwale-eu3xl
11 ай бұрын
Ni ndumila kuwili huyo
imeisha hiyo hakuna muungano tena
Hamjashirikishwa kwa7b mkataba haujawajumuisha, na panapoonekana pana shida ziundwe serikali 3, shida ni mkataba mbovu au hamuoni
Hoja ni kwa nini Bandari za Zanzibar hazimo kwenye huo mkataba. Hoja Sio Uzanzibar, UARABU au Uislam.
Uelewa. Mdoho Samia Anapoteza Raslimiali yetu Tunakuomba unyamaze utalaniwa nakizazi chetu mbona unajua kumbe Bandari unajua Ni chanzo Cha uchumi. Kumbe tuungane kufuta Mkataba mbovu sisi hatutaki ujinga mliofanyiwa huko
Allah atawasimamiaa inshaa Allah
Hayo unayozungumza ni sawa lakini hoja siyo dini Wala uzanzibar ni mkataba
Leo mnanza kubaguana kuwa mwinyi sio mnzanzibari ni mzaramo kesho mtapewa kinzanzibar chenu mtanza kuchapana mapanga kumtafta mnzanzibari ni nani mana mnaendekeza ubaguzi na jaziba za kasumba kuweni makini hata nje ya mungano bado mtaendelea na malala miko na kubaguana kama mnavyo wakataa wenzenu sasa
Kwani hajawahi kuwepo Rais Mzanzibari! Mbona mnageuza maneno?
Hao wote Marais waliopita waliwahi kuuza kitu Cha Zanzibar hata kimoja?
Mzee anaremba sauti kama shoga wa makunduchi.Hakuna cha Zanzibar yenu, Zanzibar huko tuendako lazima uwe mkoa miongoni mwa mikoa ya Tanganyika.
@saidikatalambula
11 ай бұрын
Kaka jibu hoja matusi hayajibu hoja hata , anayeongea ni sawa na baba yako
Huyu no mpemba asili ya wapemba asili ya mpemba no mnafik mpemba no mnafiki hao waliwasalit was unnguja na kumpelekea mapinduz kupinduliwa waliwasalit
We noma
Muislam yeyote atakae itukuza chadema ataenda motoni
@jaliabahat1520
11 ай бұрын
kweli
Akili ni nywele kila mtu ana zake....Nyingine zimepunyuka.kama za paka aliyekula nguru..
Mbona mkataba wa ges ametia samia? Nishati si shirika ndio maana mafuta ya zanzibar mnasema si ya Tanzania
NYIE NIMACCM TUNAWAJUA VIZURI SANA
@mkude
11 ай бұрын
Na chadema ni chama Cha kidini Hilo linajulikana vizuri wasahau kabisa kushika mamlaka makubwa ya Tanzania
Hawa wazanzibar wangekaa kwao huko. 😢wafanye Mambo yao
@rebeccamsami4580
11 ай бұрын
Kabisa
@abuukarata9653
11 ай бұрын
Na wewe unadhani utapona muungano ukifunjika.
@maximillianmayani5119
11 ай бұрын
Wahame dar et
@awadhsalim2680
11 ай бұрын
@@maximillianmayani5119dar mpaka mlandizi Tanga mpka Mombasa kama hujui ni zanzibar. Kwa hiyo mjiteyarishe kuhama. Nyinyi bahari yenu ni Mtwara na mabwawa. Mkafuge samaki huko. Mtuachie dar yetu na tumeijenga wenyewe wazanzibar.
@mohammedsaid3045
11 ай бұрын
Kafirane huko mkiambiwa ukweli mnaanza ubaguzi mbwa ww
😂huyu mzee hajielewi,muungano siujui najua bandari, samia awe mzanzibar awe mmafia, naangalia tanzania, zanzibar mna bendera na Zanzibara hatuna bendera,tunatumi ya tanzania,ww ndo unataka zanziba cyo wazanzibari.
Kanisa baba, kanisa baba!!
Tanganyika wezi wakubwa sana na wanyonyaji sana uonevu umezidi Zanzibar
@luckymsomba4818
11 ай бұрын
hamna kitu hapo
Pumba ondokeni na mzanzibar went ovuoooooo yang udini
Jitengeni sisi atuwataki kwanza tanganyika tunajitosheleza
@salehkhamis-ob8ln
9 ай бұрын
Kama mnajitosheleza musinge ing'ang'ania zanzibar. Kasikilize hutuba ya Lukuvi akiwa kanisani ndio utajua umuhimu wa zanzibar kwa watanganyika
Ongea sera za chama chako mzee
@ahmadamohamed1907
11 ай бұрын
Ndio anaongea sera miongoni mwa sera zao nikutokuwa wabaguzi
Act wazalendo kimeanzishwa lini na makao makuu yako wapi
Wee duni we mbona zijawahi kuona rais wa Zanzibar akitokea Tanzania,
Dpw wapeni bandari za zanzibar ,ya dar es salaam tuachieni hatutaki
Muda umefika kilamtu afe nachake
A) Babu duni,, Mafuta Zanzibar si Muungano iweje Gesi ya Mtwara?? B) Mkata wa Bandari unabishaniwa masharti ya Mkataba.
Unamtetea kwa sababu ni ndugu Yako acha ubaguzi,
Mbona nyinyi mnamsema Hussein mwinyi ni mtanganyika
Wazanzibari washamba ila hawajui Tu....washambaaa...na mapazia ya Dubai....Nani mjanja wa Leo anaingia ubia na waarabu..all intellectuals in Arab world is foreign imported....
Babu Fun acha kupotosha hayo mbona Mwinyi hakusemwa alifanya viUri
Baada ya Karume kuuliwa Afisi ya Bamkwe imehamishwa Dodoma😂
Bandari imefungua akili za watu. Ili amani iwepo mkataba ufutwe kabisa. Tanzania itakuwa salama
@saidkipalo4427
10 ай бұрын
Hakuna wakuifuta labda ufutike Wewe
Uza kwako
Huyu ndiye yule duni aliyekuwa na akili sasa aongea hivi? Wataalam wafanye kazi yao tu ya Kisheria na ikibidi tuirekebishe hii ndoa na wenzetu ambayo haina maslahi nasi kwa sasa. Sheria pekee ndiyo itatutatulia huu ukakasi.
@abuukarata9653
11 ай бұрын
Wewe una maslah na ndoa gani labda?
Safi sana mzee.....we ni mzalendo.....kila mtu kwake Tanganyika kwao Zanzibar kwao
@user-xg2wb9ye2g
11 ай бұрын
Mtanganyika Mzalendo wa kweli ni Filipo mpango tuko pamoja na Filipo mpango kaziiendelee
@sospeterthomas3342
11 ай бұрын
Na ajili zako Ni Dini kaka Jina lako
nimemuelewa sana, ametoa hoja nzito
Umeeleweka Mzee watu watafute Tanganyika Yao.
Ooooooo
unasema kweli
Ukoloni unawasumbua kichwani mpate mikopo na wawekezaji wakoloni . Mngejitambua kuwa sisi ni wafrika tungejitambua kuwa ni Wtz kuliko kujivunia majina ya wakoloni, fedha za wawekezaji zinamaliza umoja wa Taifa
Babu jiheshimu kama tunavyokuheshimu ukianza uongo tutakudharau. Kwa nini hakuuza bandari za Zanzibar ana upendo gani na Tanganyika ambao Hana kwa Zanzibar? Kama kweli nchi ni moja?
Kwn usafili wenu mnapitia wapi?
Bwegeee huyooooooo
Kweli NI dhiki hasa chadema
ACT CCM B
Kuna standard ya uongeaji ambayo hamna. Women and Men talk the same way.
@mohammedsalim3315
11 ай бұрын
Lakini kilichozungumziwa kimekukuna.
@masungajp1
11 ай бұрын
@@mohammedsalim3315 kweli ndugu yangu. Tuko pamoja.
Useless speech.. hatuhitaji umbea katika mambo serious ya kuikomboa Tanganyika yetu. Bandari sio jambo la mzaha hata kidogo
Act imetekwa na wazanzibar, pole yao
We ! Hivi unachosema ? Au unabwabwaja2 ? Umewahi soma katiba ? Unazeeka vby
Kusoma sio ujinga kwisha mzee baba achana nao wajinga wale wana makelele tu akili hawana huyo Dr. silaa na Lissu ndio ovyo kabisa najionea makelele tu. Sio wataalam wa mambo hayo
Kwahiyo Raisi Wa Tanzania hahusiki kwenye lasirimali za Zanzibar.?
Funga domo jinga wewe
Wakae kwao wa2ache kwetu kwan wazee wangu mmechukua chao mnatupa shida sna vijana wenu yan mtu akilala akiamka anafikir atapawap ugali wa siku hii hal 2mechoka.
Umeme wa tanesco nyie mnapata umeme kutoka Comoro!? Kweli akili duni
@aybkham5795
10 ай бұрын
Umeme sisi Sio tatizo bahari tuko nato fasta tu tinawasha
@djsandi4419
10 ай бұрын
@@aybkham5795 we kuma kweli maji ya bahari hayawezi zalisha umeme maisha
Wewe ni mjinga kalale hakuna unacho kiongea
Mavi
Hahahahaha, mmechambwa kweli
Huyu jamaa mpuuzi sana
@jobjohnkipalule6732
11 ай бұрын
Jamaa kilaza kweli.
Kwani Kongo ni kwetu ? Kama hamtaki jitoeni basi
Sasa hivi watachana na kuidai tanganyika. Tukidai zanzibar.
Ndo jiulize shida ikowapi?
Hatutaki Sasa waarabu wakabidhiwe bandari za Tanganyika,
Nasisi tutajenga wenyewe