Duni Ateta Sakata la Bandari.'Kosa Sababu Rais Mzanzibar'.Wako Mikoani Huko Wanazunguka

Juma Haji Duni ambaye ni mwenyekiti wa chama cha ACT Wazalendo alikua akiongea kwenye mkutano wa hadhara wa ACT Wazalendo uliofanyika Bubwini Zanzibar hivi leo Agosti 06,2023
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2023 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 432

  • @mollelyally5213
    @mollelyally521311 ай бұрын

    Safii mzee duni haji Allah akulinde na maadui wa ndani na nje inshaalah

  • @shukurukoll7269
    @shukurukoll726911 ай бұрын

    Wabaguzi hao, Mwenyezi Mungu Awalaani . Mwenyezi Mungu Ambariki Rais wetu Mama Samia.

  • @khatibal-zinjibari6956

    @khatibal-zinjibari6956

    11 ай бұрын

    @shukurukoll7269. WABAGUZI NA SERA YAO Huo Ubaguzi wa Zanzibar ni Sera ya Chama Cha Mapinduzi ulioanzishwa na Baba wa Kanisa Julius Nyerere. 1) Nyerere alitumia Ubaguzi kufanya Mapinduzi yalouwa Waislam wengi wa Zanzibar kuwa Kafara. 2) Nyerere alitumia Ubaguzi kufanya Muungano wa lazima bila ya ridhaa ya Baraza la Mapinduzi la Zanzibar. 3) Nyerere alitumia Ubaguzi kufanya Chama Cha Mapinduzi bila ya ridhaa ya Wazanzibari. 4) Sera ya Ubaguzi wa Chama Cha Mapinduzi umemfanya mama Samia kuwa Rais wa Tanzania Kikatiba. UCHAGUZI WA UBAGUZI NA WIZI i) Uchaguzi wa Zanzibar ulikuwa Siku Mbili, Tanganyika Siku Moja. ii) Uchaguzi wa Zanzibar ulikuwa wa Sera ya Ubaguzi ufuatao: 1) Siku ya Kwanza kwa Watawala. 2) Siku ya Pili kwa Watawaliwa. BILA UBAGUZI HAKUNA MUUNGANO

  • @MussaMgonola
    @MussaMgonola11 ай бұрын

    Naam MashaAllah hakuna marefu yasiyo ncha ,ni kweli kabisa wawape nchi yenu mna bendera yenu ,bunge lenu ,wimbo wenu ,jeshi lenu na rais wenu

  • @godwinkasaizi882
    @godwinkasaizi88211 ай бұрын

    Hii spana ya Mkataba wa Bandari, Iko vizuri Sana. Inafungua Kila kitu.

  • @mutalemwajohanes-kx9dj
    @mutalemwajohanes-kx9dj11 ай бұрын

    Kwa haraka wenye kujua tatizo lilipo ni lazima wajue ccm ndio ugonjwa sugu wa hii nchi

  • @mulasaid2959

    @mulasaid2959

    11 ай бұрын

    Na chadema wabaguzi

  • @fulgencemark7640

    @fulgencemark7640

    11 ай бұрын

    Haya sasa yameibuka ya raisi kuwa mzanzbari kwani Mzee Mwinyi sio mzanzibari? Yameletwa ya udini.hizi ni mbinu chafu zinazobuniwa na roho ya wizi,ufisadi na uonevu..Watu wachache kujiaminisha was ndio kila kitu ni U zuUZI ulioptilliza.Raia kupindua serikali haijawahi kusikika kokote duniani

  • @kassimmuktarymurji4242

    @kassimmuktarymurji4242

    11 ай бұрын

    Tatizo sio ccm tatizo ni kanisa katoliki,kuwa wao wako kama Muhimili wa nnchi toka zama hizo,wanashindwa kusoma nyakati watatue matatizo yao na serikali ihangaike na yake,kauli ya maaskofu katoliki sio kauli ya watanzania,na kauli za Vatican mama wa ubepari duniani kupitia kanisa imepitwa na wakati

  • @noelbryson7840

    @noelbryson7840

    11 ай бұрын

    @@kassimmuktarymurji4242We huna akili hata kidogo, Akili yako inawaza tende, You ar Stupid…

  • @omarijuma5007
    @omarijuma500711 ай бұрын

    Hello duni Safi Sana wakae wakijua kukosa muungano Zanziba wangeiona Dubai hakuna kisiwa masikini duniani waambie hao wanyawima

  • @maximillianmayani5119

    @maximillianmayani5119

    11 ай бұрын

    Mentality za kiarabu zinawaumiza huo ni utumwa

  • @salehkhamis-ob8ln

    @salehkhamis-ob8ln

    9 ай бұрын

    ​@@maximillianmayani5119bora utumwa wa kiarabu kuliko utumwa wa watanganyika

  • @user-ig7tb1cf8z
    @user-ig7tb1cf8z11 ай бұрын

    Bandari imetujulisha mengi kumbe ACT kilaza

  • @karimkassam571

    @karimkassam571

    11 ай бұрын

    Chadema ndio vilaza

  • @hamisijuma3276

    @hamisijuma3276

    11 ай бұрын

    Kwan unaona Zitto anaongea????

  • @bonnymakuke3153

    @bonnymakuke3153

    11 ай бұрын

    Ndo maana kumbe Kila ya kishinda yanazurumiwa kumbe ni mapumbavu ivi!!!

  • @mkude

    @mkude

    11 ай бұрын

    Chadema wasahau kabisa kushika mamlaka makubwa ya Tanzania

  • @ramadhanmahongole9293

    @ramadhanmahongole9293

    11 ай бұрын

    Zitto haongei kwasababu kamezwa na act wazanzibar

  • @biteyubwoba492
    @biteyubwoba49211 ай бұрын

    Wazanzibari simameni kidete vunjeni muungano ili watanganyika wajihangaikie wenyenyewe,

  • @khatibal-zinjibari6956

    @khatibal-zinjibari6956

    11 ай бұрын

    Kama Hussain Ali ni Mzaliwa wa Zanzibar na avunje Muungano kabla ya 2025 atakuwa Jabari na Shupavu.

  • @awadhsalim2680
    @awadhsalim268011 ай бұрын

    Nimemsiklz vizuur mzee duni. Kumbe ndio watanganyika wakawa wanatoka mapovu ktk comments zao mzee kauwa nyani. Ivi kwann jamani mpka tukielezwa ukweli ikawa tunapinga tu sisi ? Ndio mpaka leo tukawa watumwa wa wazungu na papa wa Ital kwa ujinga wetu.

  • @jamesswai1683
    @jamesswai168311 ай бұрын

    Hii mijitu ya hovyo Sana..hakika nawaambia act inafutika Zanzibar..wazanzibar sio wanafiki kamwe na hawako tayari kukaa na watu wanafki..mara ngapi metendewa madhila na watanganyika wamewatetea

  • @sadih5333

    @sadih5333

    11 ай бұрын

    Lining, zaidi ya kuleta jeshi kudhalilisha watu.

  • @mohdchuma78

    @mohdchuma78

    11 ай бұрын

    😂

  • @chescokagali5962
    @chescokagali596211 ай бұрын

    Nimeamini Hawa jamaa Wana umoja kuliko sisis Watanganyika

  • @agustinokimaro1483

    @agustinokimaro1483

    11 ай бұрын

    Watatumaliza hawa lao moja,,na ss watanganyika tupo tuu

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul386211 ай бұрын

    Kwa hiyo ACT inatetea agenda ya ccm hivyo ni aibu sana kwa zito

  • @florencemeza6540

    @florencemeza6540

    11 ай бұрын

    No manager yake umesikia zito kaongea??

  • @khatibal-zinjibari6956

    @khatibal-zinjibari6956

    11 ай бұрын

    KOTI LIVUENI MCHUKUE NCHI YENU @paschalpaul3862.Watanganyika wamshukuru Rais Mzanzibari amewaamsha kudai nchi yao.

  • @maftahmusa9513

    @maftahmusa9513

    11 ай бұрын

    Tuliza akili uwelewe huyo hasemei ccm wala Act huyo anasemea Zazibary na Tanganyika

  • @khatibal-zinjibari6956

    @khatibal-zinjibari6956

    11 ай бұрын

    @@maftahmusa9513 SHUKRAN JAZEERA🙏👍

  • @maftahmusa9513

    @maftahmusa9513

    11 ай бұрын

    @@khatibal-zinjibari6956 🙏

  • @Allybinamour
    @Allybinamour11 ай бұрын

    babu duni umeongea vizuri sana,ila mimi najiuliza hawa watanganyika wanaodai tanganyika yao kwani tanganyika yao anayo nani?

  • @pendaelmollel1847
    @pendaelmollel184711 ай бұрын

    Ni matope tu au naona mwenyewe wadau

  • @yusufujuma1859

    @yusufujuma1859

    11 ай бұрын

    Kweli bhana unaona matope ,ukiwa macho huna hutaona kitu

  • @selemanimchana3598
    @selemanimchana359811 ай бұрын

    Ameingia mikataba mibovu, na mbona hajaziweka na hizo za huko?

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga702011 ай бұрын

    Sijamuelewa hata kdg

  • @vicentnyanda828
    @vicentnyanda82811 ай бұрын

    Si muondoke kwani kuna watu wanawatakeni????

  • @user-hb1iw9uj3x
    @user-hb1iw9uj3x11 ай бұрын

    Zanzibar haipaswi kuwepo kama ilivyopotea tanganyika, tufute tofauti Tanzania iwe moja,

  • @sospeterthomas3342
    @sospeterthomas334211 ай бұрын

    Haya kuhusu kauze za kwenu

  • @hamdincatalonia3272
    @hamdincatalonia327211 ай бұрын

    Chadema wabaguzi sana

  • @issalyanalijr-8610

    @issalyanalijr-8610

    11 ай бұрын

    Correct ni chama chenye ukanda,,udini ,,upuuzi tu,,,,tutapigia CCM,,,😢 forever

  • @hajihassan5433
    @hajihassan543311 ай бұрын

    Tuijadili Zanzibar yetu tu Babu Duni tatizo la Zanzibar ni hivi vyama vyenu na usitaje kabisa CCM kuhukumiwa Dodoma wakati vyama vyote mnahukumiwa huko huko Tanganyika tofauti ni mitaa tu.

  • @issaburhani3455
    @issaburhani345511 ай бұрын

    Attention!!! Kuna jambo baya linaweza kutokea TZ maana kila pembe kuna moto unawaka. Rescue inahitajika otherwise......

  • @benjaminyakobo7792
    @benjaminyakobo779211 ай бұрын

    Wewe Naye mchochezi tu hunaunalo lijua waretehao warabu kwenu zanzi

  • @zabronjonathan2264
    @zabronjonathan226411 ай бұрын

    SEMA Mzee tunakusikiliza mengine uko vizuri.

  • @NetoKatundu-yb7ug
    @NetoKatundu-yb7ug11 ай бұрын

    Wewe unaongea kama hujui wakati unajua Ccm ndo haitaki

  • @f.a6043
    @f.a604311 ай бұрын

    Hata hivyo muungano ni changamoto sana 😂😂😂😂 Duni Haji😅😅👏🏽👏🏽👏🏽 Tunakukumbuka wakati wa Lowasa

  • @simonibonifasi3131
    @simonibonifasi313111 ай бұрын

    Kweli akili ndogo ndoinayoongoza akili kubwa

  • @maftahmusa9513

    @maftahmusa9513

    11 ай бұрын

    kama unaona hivyo unamatatizo ama ya akili au ya macho kila siku akili kubwa ndio huongoza akili ndogo basi hiyo unayoiona ndogo ndio kubwa hiyo wahi kutibu macho au akili uelewe vizuri

  • @user-pw2tv1qg8r

    @user-pw2tv1qg8r

    11 ай бұрын

    Ongea yako tu unaonekana mnafki

  • @AlhajiIssa-jb9hr
    @AlhajiIssa-jb9hr10 ай бұрын

    Kwani hii Tanganyika yao kaichukua nani mpaka wanaidai? hapa Kuna mengi yakujiuliza. "Muungano"(kupe ) Kuna nini hapa? Na Kwanini Kila anaedai kuvunjika muungano wanamfunga au kumpoteza kabisa .

  • @khatibal-zinjibari6956
    @khatibal-zinjibari695611 ай бұрын

    JUMA DUNI ON INTELLECTUAL RESPONSIBILITY IN ZANZIBAR "It is the responsibility of intellectuals to speak the truth and to expose lies of (The Union Government)." [Source: Noam Chomsky in The New York Review of Books February 23, 1967]. TUCHUKUWE ZANZIBAR YETU CHUKUWENI TANGANYIKA YENU.

  • @InnocentKapwani-mp2po

    @InnocentKapwani-mp2po

    11 ай бұрын

    Duni acha mipasho

  • @khatibal-zinjibari6956

    @khatibal-zinjibari6956

    11 ай бұрын

    @InnocentKapwani-mp2po JUMA DUNI WAPASHE NA WAFICHULIE Wapashe na Fichuwa Waliyotuficha Zanzibar na Tanganyika. ALOYAFICHA JULIUS NYERERE 1) Serikali ya Tanganyika imefichwa na Koti la TANZANIA kama ni Utatu Mtakatifu wa Daima na Milele. 2) Afro-Shirazi Party imefichwa na Kizibao cha TANU ya Tanganyika. 3) Zanzibar imemezwa DODOMA kuwa ni Bamkwe ya Mandera.

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw11 ай бұрын

    Mimi ni kada wa ccm sijifichi ila mzee duni yupo sahihi

  • @DeogratiasLekariro-gq3gk
    @DeogratiasLekariro-gq3gk11 ай бұрын

    Duni kama jina lake! Aende kwenye point ya msingi; mkataba wa bandari,

  • @rosemayunga4021
    @rosemayunga402111 ай бұрын

    As ndio maana Naye Samia aneleta mkataba usiyo na mwisho Kama muungano!!! Ndiyo maanaaaaa

  • @ElihurumaThomas-kz8nq
    @ElihurumaThomas-kz8nq2 ай бұрын

    WAINGEREZA NDIO WANAOWATESA WALIKATAA MUWE TAIFA WAKAWAKABIDHI KWA TANGANYIKA SASA MKITAKA KUWA HURU KAENI MEZA MOJA NA WAINGEREZA HUENDA MKAPEWA NCHI YENU

  • @tindatinda7330
    @tindatinda733010 ай бұрын

    Kama kosa ni kuwa mzanzibar basi utanzania UNASIHI wapi?ACHA umaarufu WA kutafuta popularity

  • @innocentlethisia416
    @innocentlethisia41611 ай бұрын

    ZITO NI MTU HATAR SANA KWA MUSTAKABALI WA TAIFA

  • @TNgwale-eu3xl

    @TNgwale-eu3xl

    11 ай бұрын

    Ni ndumila kuwili huyo

  • @luckymsomba4818
    @luckymsomba481811 ай бұрын

    imeisha hiyo hakuna muungano tena

  • @edsonkahesi8603
    @edsonkahesi860311 ай бұрын

    Hamjashirikishwa kwa7b mkataba haujawajumuisha, na panapoonekana pana shida ziundwe serikali 3, shida ni mkataba mbovu au hamuoni

  • @mimiraia2531
    @mimiraia253111 ай бұрын

    Hoja ni kwa nini Bandari za Zanzibar hazimo kwenye huo mkataba. Hoja Sio Uzanzibar, UARABU au Uislam.

  • @annamwanakatwe233
    @annamwanakatwe23311 ай бұрын

    Uelewa. Mdoho Samia Anapoteza Raslimiali yetu Tunakuomba unyamaze utalaniwa nakizazi chetu mbona unajua kumbe Bandari unajua Ni chanzo Cha uchumi. Kumbe tuungane kufuta Mkataba mbovu sisi hatutaki ujinga mliofanyiwa huko

  • @husseinmwanjela8644
    @husseinmwanjela864411 ай бұрын

    Allah atawasimamiaa inshaa Allah

  • @chescokagali5962
    @chescokagali596211 ай бұрын

    Hayo unayozungumza ni sawa lakini hoja siyo dini Wala uzanzibar ni mkataba

  • @kenethmwangoka981
    @kenethmwangoka98110 ай бұрын

    Leo mnanza kubaguana kuwa mwinyi sio mnzanzibari ni mzaramo kesho mtapewa kinzanzibar chenu mtanza kuchapana mapanga kumtafta mnzanzibari ni nani mana mnaendekeza ubaguzi na jaziba za kasumba kuweni makini hata nje ya mungano bado mtaendelea na malala miko na kubaguana kama mnavyo wakataa wenzenu sasa

  • @christianmwabukusi8132
    @christianmwabukusi813211 ай бұрын

    Kwani hajawahi kuwepo Rais Mzanzibari! Mbona mnageuza maneno?

  • @richardkorogokorogo4840
    @richardkorogokorogo484011 ай бұрын

    Hao wote Marais waliopita waliwahi kuuza kitu Cha Zanzibar hata kimoja?

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael547011 ай бұрын

    Mzee anaremba sauti kama shoga wa makunduchi.Hakuna cha Zanzibar yenu, Zanzibar huko tuendako lazima uwe mkoa miongoni mwa mikoa ya Tanganyika.

  • @saidikatalambula

    @saidikatalambula

    11 ай бұрын

    Kaka jibu hoja matusi hayajibu hoja hata , anayeongea ni sawa na baba yako

  • @user-bw8lt8wy1i
    @user-bw8lt8wy1i7 ай бұрын

    Huyu no mpemba asili ya wapemba asili ya mpemba no mnafik mpemba no mnafiki hao waliwasalit was unnguja na kumpelekea mapinduz kupinduliwa waliwasalit

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np10 ай бұрын

    We noma

  • @mdidiomari7351
    @mdidiomari735111 ай бұрын

    Muislam yeyote atakae itukuza chadema ataenda motoni

  • @jaliabahat1520

    @jaliabahat1520

    11 ай бұрын

    kweli

  • @rehemashabhay8946
    @rehemashabhay894611 ай бұрын

    Akili ni nywele kila mtu ana zake....Nyingine zimepunyuka.kama za paka aliyekula nguru..

  • @emilbocco5895
    @emilbocco589511 ай бұрын

    Mbona mkataba wa ges ametia samia? Nishati si shirika ndio maana mafuta ya zanzibar mnasema si ya Tanzania

  • @frankcharles3980
    @frankcharles398011 ай бұрын

    NYIE NIMACCM TUNAWAJUA VIZURI SANA

  • @mkude

    @mkude

    11 ай бұрын

    Na chadema ni chama Cha kidini Hilo linajulikana vizuri wasahau kabisa kushika mamlaka makubwa ya Tanzania

  • @fredernestonline6011
    @fredernestonline601111 ай бұрын

    Hawa wazanzibar wangekaa kwao huko. 😢wafanye Mambo yao

  • @rebeccamsami4580

    @rebeccamsami4580

    11 ай бұрын

    Kabisa

  • @abuukarata9653

    @abuukarata9653

    11 ай бұрын

    Na wewe unadhani utapona muungano ukifunjika.

  • @maximillianmayani5119

    @maximillianmayani5119

    11 ай бұрын

    Wahame dar et

  • @awadhsalim2680

    @awadhsalim2680

    11 ай бұрын

    ​@@maximillianmayani5119dar mpaka mlandizi Tanga mpka Mombasa kama hujui ni zanzibar. Kwa hiyo mjiteyarishe kuhama. Nyinyi bahari yenu ni Mtwara na mabwawa. Mkafuge samaki huko. Mtuachie dar yetu na tumeijenga wenyewe wazanzibar.

  • @mohammedsaid3045

    @mohammedsaid3045

    11 ай бұрын

    Kafirane huko mkiambiwa ukweli mnaanza ubaguzi mbwa ww

  • @user-hb1iw9uj3x
    @user-hb1iw9uj3x11 ай бұрын

    😂huyu mzee hajielewi,muungano siujui najua bandari, samia awe mzanzibar awe mmafia, naangalia tanzania, zanzibar mna bendera na Zanzibara hatuna bendera,tunatumi ya tanzania,ww ndo unataka zanziba cyo wazanzibari.

  • @user-ve5nc3ny3g
    @user-ve5nc3ny3g11 ай бұрын

    Kanisa baba, kanisa baba!!

  • @mdidiomari7351
    @mdidiomari735111 ай бұрын

    Tanganyika wezi wakubwa sana na wanyonyaji sana uonevu umezidi Zanzibar

  • @luckymsomba4818

    @luckymsomba4818

    11 ай бұрын

    hamna kitu hapo

  • @florencemeza6540
    @florencemeza654011 ай бұрын

    Pumba ondokeni na mzanzibar went ovuoooooo yang udini

  • @user-tb1gd4dp9s
    @user-tb1gd4dp9s11 ай бұрын

    Jitengeni sisi atuwataki kwanza tanganyika tunajitosheleza

  • @salehkhamis-ob8ln

    @salehkhamis-ob8ln

    9 ай бұрын

    Kama mnajitosheleza musinge ing'ang'ania zanzibar. Kasikilize hutuba ya Lukuvi akiwa kanisani ndio utajua umuhimu wa zanzibar kwa watanganyika

  • @nicholauskilosa5336
    @nicholauskilosa533611 ай бұрын

    Ongea sera za chama chako mzee

  • @ahmadamohamed1907

    @ahmadamohamed1907

    11 ай бұрын

    Ndio anaongea sera miongoni mwa sera zao nikutokuwa wabaguzi

  • @monicambossa4937
    @monicambossa493711 ай бұрын

    Act wazalendo kimeanzishwa lini na makao makuu yako wapi

  • @martinsokoi397
    @martinsokoi39710 ай бұрын

    Wee duni we mbona zijawahi kuona rais wa Zanzibar akitokea Tanzania,

  • @salamathiastz274
    @salamathiastz27411 ай бұрын

    Dpw wapeni bandari za zanzibar ,ya dar es salaam tuachieni hatutaki

  • @MohamedMrope
    @MohamedMrope11 ай бұрын

    Muda umefika kilamtu afe nachake

  • @jamaa2760
    @jamaa276011 ай бұрын

    A) Babu duni,, Mafuta Zanzibar si Muungano iweje Gesi ya Mtwara?? B) Mkata wa Bandari unabishaniwa masharti ya Mkataba.

  • @martinsokoi397
    @martinsokoi39710 ай бұрын

    Unamtetea kwa sababu ni ndugu Yako acha ubaguzi,

  • @emilbocco5895
    @emilbocco589511 ай бұрын

    Mbona nyinyi mnamsema Hussein mwinyi ni mtanganyika

  • @mtz5582
    @mtz558211 ай бұрын

    Wazanzibari washamba ila hawajui Tu....washambaaa...na mapazia ya Dubai....Nani mjanja wa Leo anaingia ubia na waarabu..all intellectuals in Arab world is foreign imported....

  • @theonaskalyalya9109
    @theonaskalyalya910910 ай бұрын

    Babu Fun acha kupotosha hayo mbona Mwinyi hakusemwa alifanya viUri

  • @khatibal-zinjibari6956
    @khatibal-zinjibari695611 ай бұрын

    Baada ya Karume kuuliwa Afisi ya Bamkwe imehamishwa Dodoma😂

  • @jitunzetweve9873
    @jitunzetweve987311 ай бұрын

    Bandari imefungua akili za watu. Ili amani iwepo mkataba ufutwe kabisa. Tanzania itakuwa salama

  • @saidkipalo4427

    @saidkipalo4427

    10 ай бұрын

    Hakuna wakuifuta labda ufutike Wewe

  • @mairamtiti4517
    @mairamtiti451710 ай бұрын

    Uza kwako

  • @Euph59
    @Euph5911 ай бұрын

    Huyu ndiye yule duni aliyekuwa na akili sasa aongea hivi? Wataalam wafanye kazi yao tu ya Kisheria na ikibidi tuirekebishe hii ndoa na wenzetu ambayo haina maslahi nasi kwa sasa. Sheria pekee ndiyo itatutatulia huu ukakasi.

  • @abuukarata9653

    @abuukarata9653

    11 ай бұрын

    Wewe una maslah na ndoa gani labda?

  • @SarahShao-jw1up
    @SarahShao-jw1up11 ай бұрын

    Safi sana mzee.....we ni mzalendo.....kila mtu kwake Tanganyika kwao Zanzibar kwao

  • @user-xg2wb9ye2g

    @user-xg2wb9ye2g

    11 ай бұрын

    Mtanganyika Mzalendo wa kweli ni Filipo mpango tuko pamoja na Filipo mpango kaziiendelee

  • @sospeterthomas3342

    @sospeterthomas3342

    11 ай бұрын

    Na ajili zako Ni Dini kaka Jina lako

  • @MrLusekelo
    @MrLusekelo11 ай бұрын

    nimemuelewa sana, ametoa hoja nzito

  • @aggreykwilabyanoni1581
    @aggreykwilabyanoni158111 ай бұрын

    Umeeleweka Mzee watu watafute Tanganyika Yao.

  • @benderarulenge2477
    @benderarulenge247711 ай бұрын

    Ooooooo

  • @jaliabahat1520
    @jaliabahat152011 ай бұрын

    unasema kweli

  • @issakwisamwasanjobe541
    @issakwisamwasanjobe54111 ай бұрын

    Ukoloni unawasumbua kichwani mpate mikopo na wawekezaji wakoloni . Mngejitambua kuwa sisi ni wafrika tungejitambua kuwa ni Wtz kuliko kujivunia majina ya wakoloni, fedha za wawekezaji zinamaliza umoja wa Taifa

  • @andrewassey5108
    @andrewassey510811 ай бұрын

    Babu jiheshimu kama tunavyokuheshimu ukianza uongo tutakudharau. Kwa nini hakuuza bandari za Zanzibar ana upendo gani na Tanganyika ambao Hana kwa Zanzibar? Kama kweli nchi ni moja?

  • @ssam3385
    @ssam338511 ай бұрын

    Kwn usafili wenu mnapitia wapi?

  • @YusuphJilala-it9bo
    @YusuphJilala-it9bo11 ай бұрын

    Bwegeee huyooooooo

  • @karimkassam571
    @karimkassam57111 ай бұрын

    Kweli NI dhiki hasa chadema

  • @innocentlethisia416
    @innocentlethisia41611 ай бұрын

    ACT CCM B

  • @masungajp1
    @masungajp111 ай бұрын

    Kuna standard ya uongeaji ambayo hamna. Women and Men talk the same way.

  • @mohammedsalim3315

    @mohammedsalim3315

    11 ай бұрын

    Lakini kilichozungumziwa kimekukuna.

  • @masungajp1

    @masungajp1

    11 ай бұрын

    @@mohammedsalim3315 kweli ndugu yangu. Tuko pamoja.

  • @kingmichael1234
    @kingmichael123411 ай бұрын

    Useless speech.. hatuhitaji umbea katika mambo serious ya kuikomboa Tanganyika yetu. Bandari sio jambo la mzaha hata kidogo

  • @dennisungonella205
    @dennisungonella20511 ай бұрын

    Act imetekwa na wazanzibar, pole yao

  • @sifakamwela6430
    @sifakamwela643011 ай бұрын

    We ! Hivi unachosema ? Au unabwabwaja2 ? Umewahi soma katiba ? Unazeeka vby

  • @mbwanamungia9921
    @mbwanamungia992111 ай бұрын

    Kusoma sio ujinga kwisha mzee baba achana nao wajinga wale wana makelele tu akili hawana huyo Dr. silaa na Lissu ndio ovyo kabisa najionea makelele tu. Sio wataalam wa mambo hayo

  • @michaelmagwaza-bc6mk
    @michaelmagwaza-bc6mk11 ай бұрын

    Kwahiyo Raisi Wa Tanzania hahusiki kwenye lasirimali za Zanzibar.?

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k11 ай бұрын

    Funga domo jinga wewe

  • @MaaoudMasoud-xd3hj
    @MaaoudMasoud-xd3hj10 ай бұрын

    Wakae kwao wa2ache kwetu kwan wazee wangu mmechukua chao mnatupa shida sna vijana wenu yan mtu akilala akiamka anafikir atapawap ugali wa siku hii hal 2mechoka.

  • @user-im9my8wk2d
    @user-im9my8wk2d11 ай бұрын

    Umeme wa tanesco nyie mnapata umeme kutoka Comoro!? Kweli akili duni

  • @aybkham5795

    @aybkham5795

    10 ай бұрын

    Umeme sisi Sio tatizo bahari tuko nato fasta tu tinawasha

  • @djsandi4419

    @djsandi4419

    10 ай бұрын

    @@aybkham5795 we kuma kweli maji ya bahari hayawezi zalisha umeme maisha

  • @mkingajuliuas9673
    @mkingajuliuas967311 ай бұрын

    Wewe ni mjinga kalale hakuna unacho kiongea

  • @user-sw1dv1iq6h
    @user-sw1dv1iq6h11 ай бұрын

    Mavi

  • @neemamalessa3449
    @neemamalessa344911 ай бұрын

    Hahahahaha, mmechambwa kweli

  • @ndimuelias6183
    @ndimuelias618311 ай бұрын

    Huyu jamaa mpuuzi sana

  • @jobjohnkipalule6732

    @jobjohnkipalule6732

    11 ай бұрын

    Jamaa kilaza kweli.

  • @studio..07
    @studio..0711 ай бұрын

    Kwani Kongo ni kwetu ? Kama hamtaki jitoeni basi

  • @dulasaid2581
    @dulasaid258111 ай бұрын

    Sasa hivi watachana na kuidai tanganyika. Tukidai zanzibar.

  • @user-rj2kt5qg5y
    @user-rj2kt5qg5y11 ай бұрын

    Ndo jiulize shida ikowapi?

  • @ibrahimshilinde6129
    @ibrahimshilinde612911 ай бұрын

    Hatutaki Sasa waarabu wakabidhiwe bandari za Tanganyika,

  • @robisonikadogo7371
    @robisonikadogo737111 ай бұрын

    Nasisi tutajenga wenyewe

Келесі