Serikali ya Umoja wa Kitaifa kwenye mtihani mzito
Hii ni sehemu ya hotuba ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Bwana Othman Masoud, wakati akizungumza na wazee kisiwani Pemba siku ya Jumatatu ya Julai 19, 2021 kufuatia uchaguzi mdogo wa jimbo la Konde.
Пікірлер: 107
Asante uncle Kwa kauli za uwazii
Hawa ndiyo viongozi nimekukubali sana
Fanya kazi brother
Muungwana utamjuwa tu matamshi yake na vitendo vyake hongera sana
Alisema makaburi pia yasifukuliwe mbali na wizi wake
Tuzidi kumuomba Allah adumishe AMANI y Zanzibar n awajaalie viongoz wetu nyoyo nyepesi za kumuogopa na kumuhofu yeye huku wakiamini kua iko siku wataenda kusimamishwa mbele ya ALLAH walipwe kutokana na walioyatenda yakiwa ni mema au maovu
@halimaahmed4246
2 жыл бұрын
Amiin
Haki itabaki kuwa maisha humanizing na yatakayo baking ni matendo ya kila mmoja kwa hio nawaomba ndugu zangu tusichozeke tukawapa Natalie wahafidhina
Jamani Zanzibar itarudi miaka 30 mengine nyuma. Inaskitisha sana hakuna UMOJA...
Weyani mlikuwa wapi siku zote
Madaraka siku zote ni vita hasa ktk bara LA Afrika ikiwemo Tanzania .
CCM roho zao bora mbwa
THE BIGGEST BOSS NASRI
Jitoweni tusimkumbuke mzee wetu maalim seif tunarudi kule
Maneno mazito kwaiyo mwinyi mwizi 😂😂😂hatari
Uporo at work
Hao hawamuogopi mungu wanadhani wstaishi milele wanadhani hakuna hukumu wakamuangalie mwenziwao kidombo
Nyinyi hawo si watu. Yaani serekaki hii hata kama nikitaka kujenga Msikiti basi sitaki hata shilingi ya mchango wa kutoka serekali hii ya MWINYI. Kwa sababu hii mjiti ni midudu na mindumila kuwili
Mimi nimemuelewa sana makamo wa kwanza wa rais na suala la konde na la mbagala kuu lifanyiwe kazi kwanini kama tunaendelea kuwepo good makamo
Ww superhero bro
Leo ndio nimemuelewa kua huyu jamaa nafasi inamfaa 100%
Kamati kuuu ya AcT mm nipo pamoja na nyinyi mtakacho amua mm sawa kwangu najua mnadhamira mna lengo jema
Kabisa hapa hakuna haki ni bora tu wajitowe kabisa waachiwe tu hao CCM ni wanyama hawana roho za ubinaadamu kabisa hawawezi amani hawa
@Jal210
2 жыл бұрын
Ni upumbavu mtupu kijtoa huyu hawezi simamia.kama Maalimu Seif
👌🏾
Maneno ya mungu
dah mtihani
Kwenye kinywa kibovu huwezipata jino Zima mwinyi nae kapatikana kwenye njia za wizi vigumu kusimamia haki
@asmahansaid2089
3 жыл бұрын
😤😤😤
Bora maana hata mazrui anatumiwa kuhusu chanjo amatulazimisha tuchanjwe??? 😭😭🇹🇿 Wana siasa lao moja wahuni wakubwa😭😭😭😭😭😭😭😭
@Itzurfavpetpo
3 жыл бұрын
Kuchanja khiyari hawajalazimisha msitoke kwenye point
@issaal-busaidi4479
3 жыл бұрын
chanjo ni hiari, hujalazimishwa dunia nzima wanachomwa, wew hutak usichome, tutachoma tuliokua tunaiman nayo
@awatifalghanim1106
3 жыл бұрын
Hizo chanja mmeletewa bure pia wajuwaji. Nchi za Njee wenzenu wametowa pesa mwanzo. Hebu semeni Alhamdullilah watu wa Njee wanakufikirieni kwa ajili wanajuwa ni Nchi MASKINI...Na kuchanja ni HIYARI...
Yeye mwenyewe mwizi halafu ati natumbuwa wezi 😂😂😂😂
@mundhiribrahim6292
3 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁
Well said
Tutafika ila Kwa mbinde
Allah akuhifadhi na akuepusha madhambi haya mh.masoud na akuongoze na azidi kukuoa hofu ya kukutana naye siku ya judgement day ambayo mali Wala cheo hakitamfaa mwanadamu siku hiyo
Kwel unayosemaa
Mueshimiwa wanachama wako wanakudanganya hawatii kura kisha mbele yako wanalalamika mumeibiwa hamjaibiwa mumeshindwa jipangeni upya kila siku muibiwe nyinyi kulalamika kila kitu basi hata huo wa jimbo mnalalamika
Hii serikali yetu inashida sana
Mtihani wallahi,tunarudi kule kule tulikotoka,Hii Znz hakuna uchummi Wa buluu wala kijani,tunapaka rangi upepo tu
@awatifalghanim1106
3 жыл бұрын
Maendeleo yanataka ushirikiano siyo FITNA BAINA YA WANANCHI NA DHULMA. HAA HAA WATU WOTE WALIKUWA WAKISUBIRI VIPI DR. HUSSEIN ATAIBADILISHA ZANZIBAR... mpaka sasa hivi hakuna kipya...Maskini katoa ahadi nyingi Dr. Hussein.lakini hayuko under control. Mungu IBARIKI Zanzibar na watu wake. AMIN
@awatifalghanim1106
3 жыл бұрын
😂😂😂 Brother. Mashirikiano tuu baina ya Dr.HUSSEIN na Makamo wa kwanza na Makamo wa pili. Ahhh jamani wacheni wizi..Pia Muogopeni MUNGU tizameni waloiba wako wapi.?????????.. Dr. Hussein Wananchi walokuchaguwa na walokuwa hawajakuchaguwa mwisho wote wamekuunga MKONO kwa upendo na matumaini makubwa. Njee ya Zanzibar na Ndani. Makamo wa kwanza Mungu akupe Subra na KHERI kwenye uongozi wako pamoja na Dr. Hussein. Amin.
KWA KWELI MUNGU KAKUPA HEKIMA, PIA UNAJITAMBUA WW NI NANI NA KWA NINI UPO APO ULIPO.: MUNGU AKUSAIDIE.
@ibugharib389
3 жыл бұрын
Amin yaarab, huu Ndio UBINADAMU wenzetu hawako tayar wao kwao maslahi mbele kiongozi mwenyewe wa nchi awekwa kwa DHULMA
@awatifalghanim1106
3 жыл бұрын
Amin
Jamani kungali mapema tendeni haki km pana batili
.
Niliyaona kabla haya
Hao wanakupakeni mafuta kwa nyuma ya chupa hawana haja ya umoja sbiri mutaona Zaid ya konde
Swala la muhimu ni Vita Wao si wanataka ivo ,hamna maelewano wanatishia risasi na nyie beben zenu
@hudhud2022
3 жыл бұрын
Risasi hatuna ndio wakapandwa na viburi lakini za MMungu zinawagonja
@aishaaisharagp9381
Жыл бұрын
@@hudhud2022 Maneno kuntu
Hsmad masoud anaweza nini mlafi?
Aowanafanyaivo ilimsusewawepekeyao waalibuzaidi
Acheni kususa kiongozi makini hasusi bana chapa kazi pambana ukiwa ndani kususa hakukuwahi wasaidieni
Mwinyi tulitegemea atakua mzuri ila kumbe na yy hafai
Ukweli unabaki kuwa ukweli ccm ni matapeli wa siasa!!
@salumrwambo5752
3 жыл бұрын
Ccm siyo matapeli wananchi sasa wameamka tunataka maendeleo
Hahaha
Ngulueasusiwi shamba
@omarally7991
3 жыл бұрын
Sio nguluwe ni nguruwe
Huku bara tunausemi wetu WAJUMBE C WATU kwa hiyo hata huko visiwani watu watavaa sare za ACT lkn kiuamuzi hampo nao bali kimwili km kwetu bara wapiga kura c watu acha kutukana wenzio km unajiandaa na 2025 siyo kwa styre hiyo MAALIM aliyumba toka cuf hadi ACT WATU wana akili zao mtakutana hiyo 2025 hizo ni mbio za ikulu 2025 .
Kidume kinaongea msikilizeni
Asumani wacha kuwatia ujinga wenzyo kingora huwezi kukiwacha huna msimamo huo wa kuuwacha huo Umakamu na tuambie Nani anaewaita wenziwe wezi na yeye kaingia kwenye uongozi Kwa wizi
@jaysullman3697
3 жыл бұрын
Hakuna mjinga zaidi yako apa sote sio wajinga km una akili au una roho usingeliongea unayoongelea ww ndio hujielewi Ukweli utabaki kua Ukweli na Uovu utabaki kua ni Uovu tu!!!
Mie nahisi msijitoe katiba ibadilishwe. Mkijitowa mtafanya makosa makubwa.
@seifabdulwahid4579
3 жыл бұрын
Hiyo katiba pia hawataki kubadilisha. Lbd ukawaambie ww
Hii mada naona unaipa uzito tofauti, Mhe.Masoud wewe ni Makamo wa Kwanza wa Rais Zanzibar je hiyo SMZ inahusika je na Uchaguzi wa Mbunge. Au SMZ imehusika je? Je, imepeleka askari wa Vikosi? Mhe. Duni katwambia Askari wa Vikosi hawakuwepo. Hili kwao ni NEC (Jamhuri ya Muungano) ambako hata hiyo Katiba ya Zanzibar iliyokufanya wewe utembee na hicho king'ora wao hawaitambui. Unachosema sikutegemea kukusikia wewe na kwa kauli hiyo SUK bye bye!
@mohdkhatib223
3 жыл бұрын
Wote ndio hao hao kwasababu mkuu wa mkoa alihutubia mkutano wa CCM wa kampeni huko Konde
@mohdkhatib223
3 жыл бұрын
SMZ inahusika sana kwasababu wao ni mawakala wa nec halafu wakuu wa mikoa waneshiriki kwenye katika kuvuruga uchaguzi
@suleimansalym7537
3 жыл бұрын
Sasa haihusiki kvp yaan Mwinyi ktk hili hawezi kukwepa maana hili jambo limefanyika ktk nchi yake unaanzaje kutoka jambo lipo ktk nchi yako ukiwa wewe ni kiongozi hao wakuu wa mikoa wanaoharibu kawachagua Nani?
Acheni tamaa ya kupenda dunia seif Sharifa yuko Wapi kazi kupotoshana to
@abdulkarimsalim6309
3 жыл бұрын
Ww muache maalim wetu usimtie kidomodomo chako kama seif sharif angekua na tamaa angeacha magorofa una chuki nae ni mtu wa kuchkuliwa mfano usimfananinishe na wajinga wengine
@jaysullman3697
3 жыл бұрын
Hao ndio hao hao wanafik wala wasitushuhulishe 😜
@sadih5333
2 жыл бұрын
Seif Sharifu kama unataka kujua yuko wapi, jibu ni kwamba yupo Poponi , baba yako na babu yako wapo wapi,,,
@jaysullman3697
2 жыл бұрын
@@sadih5333 wote wapo wamehifadhika na Mungu mwenyewe ndio anajua arawaekea wapi makazi yao ila ntakwambia km kila mmoja atapata Sifaa ya alichokifanyaa sio Sifaa za chafu sie hua tu nawapenda watu watakao na Sifa nzuri na watetezi wa watu na Wanyonge km alivyokua Maalim Seif Shariff Hamad sio watu wanaosifiwa kwa Sifa eti kwa kufanya Unyama kwa sababu ya Uongozi au Vyeo ili kuwatesa Wanyonge na kuwaacha wakitapatapa, Alafu Isitoshe Muungwana utamuelewa ktk Kauli zake tu, Sio kauli eti nae aongee tu kujipa Sifaa ya kujua kuongea au kutukana watu kwa waliyoyapigania au waliyoyaacha hilo ndio jibu unalohitajia ndugu!
@kasimsaidi7209
2 жыл бұрын
Fanyeni maendeleo kwa vitendo msiwe na maneno mengi ya kisiasa timechoka msifikuwe makaburi hakuna mkamilifu kila mtu ana kasoro zake Labda tutemshiwe kutoka mbinguni
Shida nyinyi wazalendoekeni dininyuma kamawaoilikieleweke
Kama ni muislamu achana na demkrasiA anzisha utawala wa quraan
@mapromovichege6997
3 жыл бұрын
Dola ya kiislam itasimama
@nohatredbutlove5786
3 жыл бұрын
Anzisha wewe na familia yako. Watu wengine sijui ubongo wenu wa kuku. Asa aanzishe yeye kwani wewe huna mikono? Au sio muislamu wewe?
@hafsasuleiman3759
3 жыл бұрын
@@nohatredbutlove5786
@rushydahmed9179
3 жыл бұрын
mbona umehamaki unaonekana umechanganyikiwa, aanzishe utawala wa Qur'an, kwani kuna utawala huo? umekasirishwa na jambo gani hasa au ukweli ulioelezwa ndio unakuuma? ujinga ni shida kubwa..
@nohatredbutlove5786
3 жыл бұрын
@@rushydahmed9179 na aanzishe ya kwake na familia yake kwanza kama ni rahisi tu kuanzisha.
Wanasiasa wote wa upinzani na serikali ni wanafiki wakubwa wasituchange na siasa zao za kikafiri
@nohatredbutlove5786
3 жыл бұрын
Anzisha wewe hiyo ya kiislamu kisakunde wewe😅
@alexalex-ek3sx
3 жыл бұрын
Mambo yashaanza
@alimkwende1585
3 жыл бұрын
Hii ni ligi ya ujerumani Bundasiliga ukijitoa unashushwa daraja chezeni mpira timu huenda zikaimarika zaidi
@awatifalghanim1106
3 жыл бұрын
@@nohatredbutlove5786 Wacheni maskhara ya Dini semeni Alhamdullilah juzi MUNGU kakunusuruni na KIMBUNGA KIDOGO kingepita labla tungekumbuka Mola wetu. MUNGU HAJATUSAHAU TUKAE TUFIKIRI.
@nohatredbutlove5786
3 жыл бұрын
@@awatifalghanim1106 Mimi sijaleta mas'khara na dini. Namjua vizuuri Allah na namshukuru kila saa na kumuabudu na kumpenda. Lakini huyu kisakunde analeta upimbi hapa. Watu wanaongea mambo yao, yeye anamwambia aanzishe serikali ya kiislamu. Anadhani huyo anaemwambia anayo nguvu ya kufanya hivyo?. Kama ni rahisi tu kuanzisha si aanzishe yeye na familia yake?. Hawa maccm ukianza kuwasakama kwa hoja point yao kubwa ya kukudissapoint ni kukuambia "achana na demokrasia ni ukafiri", ilhali wao ndio wanaoufanya huo ukafiri kivitendo haswa.