Marithiano Siz

Marithiano Siz

Пікірлер

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho18002 ай бұрын

    Ujasiri mkubwa ni kusikiliza

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho18002 ай бұрын

    Mtoa maoni yake hawezi kuwa mpumbavu. Anakupa mwanga ukashiriki vipi kama mtu unaekwenda kutetea mawazo na maoni yako. Watanzania tujifunze kuvumiliana pale tunapotofautiana mawazo, maoni na mtizamo. Hsitakaa itokee kusiwe na mgongano wa mawazo lakini meza ya mazungumzo itamaliza matatizo.

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho18002 ай бұрын

    Mzalendo kwa nchi yake na watu wake. Msikileze kwa makini na kutafakari. Mwanasheria mtulivu.

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything5 ай бұрын

    👊👍✌.

  • @zuzadomikano3765
    @zuzadomikano376511 ай бұрын

    NDIO SABABU WANA ccm WALIKULA KAMA MBUZI ILIFIKA ZIZI LA SIMBA ! UTAKUMBUKWA DAIMA WENGI WATAFAULU KWA HIO ILIMUYAKO NCHIZINGINE .

  • @muhammednassor3569
    @muhammednassor3569 Жыл бұрын

    Huyu ndie Mpemba kama hujui

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz Жыл бұрын

    Nimejikuta naangali kumbukumbuka hii

  • @mchagagaspar6649
    @mchagagaspar6649 Жыл бұрын

    DR.Sheni ALLA ATUKULIPA KWA DHULMA ULIO IMARISHA UKAMSAHAU MOLAWAKO NA DINIYAKO VIJUKU VYAKO ALLAH AWAONYESHE DHULMA UMEKAO WATENDEYA WAZANZIBARI KUKICHWA CHAMKAPA Allah akubariki

  • @ibrahimrashid951
    @ibrahimrashid951 Жыл бұрын

    huyu kaka yetu akili nyingi mansur anajitambuwa safi sana

  • @mohammedmuhammad7186
    @mohammedmuhammad7186 Жыл бұрын

    Iavalava

  • @froma3732
    @froma37322 жыл бұрын

    Ndio hayo anosema ndio alikuwepo lkn MUNGU Alimuona mapema

  • @gangmore9091
    @gangmore90912 жыл бұрын

    Allah ndie hakimu wa haki kwa waloyafanya karume n wezake wataenda kujibu n nyinyi munao halalisha mauwaji y 64

  • @gangmore9091
    @gangmore90912 жыл бұрын

    Mapinduzi or mauwaji

  • @saidahmed9688
    @saidahmed96882 жыл бұрын

    mansour

  • @saidahmed9688
    @saidahmed96882 жыл бұрын

    zanzibar kwanza

  • @saidahmed9688
    @saidahmed96882 жыл бұрын

    zanzibar

  • @hashirsalim9570
    @hashirsalim95702 жыл бұрын

    sisi tunapambana kuipigania zanzibar kwa maslahi yetu na watoto wetu.ila kuna wazanzibar wajinga wao wapo radhi kwmba hii zanzibar ibaki ivi ivi kisa et ni robo yao ya mchele.

  • @bensonkaile9606
    @bensonkaile96063 жыл бұрын

    Aisee!

  • @solomonndenge1017
    @solomonndenge10173 жыл бұрын

    Sawa

  • @simonmagaigwa5496
    @simonmagaigwa54963 жыл бұрын

    Huyu hawezi kufanya kazi yoyote ya maendeleo zaidi ya kupambana na Muungano.

  • @jumamohamed3168
    @jumamohamed31683 жыл бұрын

    Kwani wewe unapenda hii dhulma inayofanyika iendelee juu ya Zanzibar kuminywa katika kupata haki zake ,hayo anayozungumzia pia ni sehemu ya kuleta maendeleo ili Wazanzibar wajue haki yao ni ipi .

  • @AliSalim-yu4mo
    @AliSalim-yu4mo Жыл бұрын

    Unamuogopa eee!

  • @AliSalim-yu4mo
    @AliSalim-yu4mo Жыл бұрын

    Hayo maendeleo hayaji Zanzibar bila ya kuondoka hili zimwi la Muungano na huyu usimfananishe na mpiga tembo yeyote wa Tanganyika na ndio maana amechaguliwa ktk nafasi nyeti ktk Serikali ya CCM na sasa Yuko Upinzani! na ikiwa unaona Hana hoja towa wewe tuone

  • @mwigaali8800
    @mwigaali88003 жыл бұрын

    Zanzibar kwanza

  • @bakarikhaji119
    @bakarikhaji119 Жыл бұрын

    Kalapima hujjielewi

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd68803 жыл бұрын

    Brooo you deserve being our president ✌️ may Allah be with you mheshmiwa makamo🤸 I see Maalim in you..

  • @khamisshaaban4599
    @khamisshaaban45993 жыл бұрын

    jamaa karudi upya cjui mnajipangaje?

  • @mohdalwaili5289
    @mohdalwaili52893 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @zeanamohamed4072
    @zeanamohamed40723 жыл бұрын

    Haiwezekani jamani. Wazanzibar. Tujiamuliye mambo yetu wenyewe inatosha

  • @simonmagaigwa5496
    @simonmagaigwa54963 жыл бұрын

    Vunjeni tu huu muungano hata sisi hauna maana kwetu. Maana mmezidi kutusimanga.

  • @allysultani5617
    @allysultani56173 жыл бұрын

    Mmmh

  • @khamisshaaban4599
    @khamisshaaban45993 жыл бұрын

    uko vizuri sana kama walikufukuza safari umekuja kama makamo wa kwanza wa rais

  • @colamboy5563
    @colamboy55633 жыл бұрын

    Jamaa msomi vibaya mpaka anakera hasa wambie ukweli lakin najua wajinga watanuna tu wameshazoea kutuibia so lakin wambie kila kitu kina mwisho wake

  • @colamboy5563
    @colamboy55633 жыл бұрын

    Ukitetea haki watu watakuona mjinga Sana lakinsishangai kumuona mjinga huyu jamaa maana hata maalim seif Shariff pia walimuona mjinga lakin alipokufa ndipo wakaoona thaman ya maalim seif

  • @shabanimukose226
    @shabanimukose2263 жыл бұрын

    Makamu wa Raisi zan Wana nchi wamekuchagua msaediane na Raisi wako ili mtafute nchia ya kujenga uchumi imara kwa manufaa ya umma! Sio kutafuta ùtengano! Utengano si mzuri. Mbona unazungumza na watu hapo? Kwa. Nini usizungumza pekeyako? Muungano na kutokua na muungano wananchi haoto wasaidia chechote Wananchi wanataka maisha mazuri na ya amani. Hayo unayosema ni fikra zako za ubinafsi. Raisi muheshimiwa mwinyi Anaya shukhulikia kwa nguvu zote. Hayo unayozungumza ni fikra za Omani.Lakini ujue wewe ni mtz udongo wako ni wa tz

  • @shaibundame9642
    @shaibundame96423 жыл бұрын

    Othman ww unastaiki kuwa apo ulipo.

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd68803 жыл бұрын

    Anactahiki kuwa zaidi ya hapo uyu yani anadizav ata kuwa presidaaa wetu uyu mjamaa

  • @mnalagamnalaga7471
    @mnalagamnalaga74713 жыл бұрын

    Wasiyempenda kaja kivingine, makamu wa kwanza wa rais

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd68803 жыл бұрын

    Mamae nipo nasubiria litifuke tu uyu jamaa huwaga hana kumung'unya maneno af hana bbaaari wala nn

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima56743 жыл бұрын

    Alikuwepo maalim na hakuwa na jipya, ndio atakuwa huyu!!

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd68803 жыл бұрын

    @@jumakapilima5674 oya ushawahi kunyonywa mkundu weee

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima56743 жыл бұрын

    @@abdulmohd6880 hahahaa,,,,, nishawahi si alininyonya mamaako katika Yale majambo yetu!!

  • @komboomar8275
    @komboomar82753 жыл бұрын

    *Miaka 7 baadae baada ya kufukuzwa serikalini amerudi tena serikalini tena akiwa na cheo cha juu ama kweli haki haipotei na ukiwa mkweli kwenye kupinga dhulma kamamwe Mungu hatakuacha udhalilike*

  • @mbarakaiddi8209
    @mbarakaiddi82093 жыл бұрын

    Ccm hawampendi mtu mkweli

  • @geraldnyamaiswe570
    @geraldnyamaiswe5703 жыл бұрын

    Muungano wa Sirikali mbili hauwezi kuufanya Muungano huu uendelee; maana ya Muungano ni vitu 2 vinaunganishwa pamoja.Sasa Muungano huu inakuwaje wa Sirikali 2 yaani Sirikali ya Muungano na SMZ sasa huo Muungano ni kati ya SMZ na Sirikali ya Muungano.Serikali ya Tanganyika iliyofanya nchi hii kuitwa Tanzania serikali yake iko wapi!!Au Tanganyika ndiyo imechukuwa nafasi ya Muungano? ?

  • @ahmadalihaji1901
    @ahmadalihaji19013 жыл бұрын

    Est wazalendo

  • @mwinyimjaka4782
    @mwinyimjaka47823 жыл бұрын

    Bora warudi warabu Mana hawa wanawo tuwongoza nakuma tu nivibaraka watanganyika tumewachoka kuzulumiwa

  • @pettermasika9120
    @pettermasika91203 жыл бұрын

    Haki ya Mungu huu Mfumo ulio Changanya udogo wa Tanganyika na zanzibar haungoki hadi Mwisho wa Dunia, Kerere yoyote ni wa kupigwa hadi Afe, Mungu alisha Bariki kuchanganya UDOGO

  • @rastafare878
    @rastafare8782 жыл бұрын

    Ni kweli

  • @ibrahimdabo7163
    @ibrahimdabo71633 жыл бұрын

    Kusema ukweli siyo zambi jamani huyu ni mwana mapinduzi halisi na anauchungu na taifa lake

  • @hassanalawy4325
    @hassanalawy43254 жыл бұрын

    Nipo 2020....Edy Riami nakukubali sana........maneno mpaka yanatoa machozi.....wazee wetu walikufa kwa hii Inchi....cc vijana tunaogopa kufa??

  • @omarmhmammed216
    @omarmhmammed2164 жыл бұрын

    Anaeiangalia hii 2020 yupo bado

  • @ibrahimmbagira3026
    @ibrahimmbagira30264 жыл бұрын

    jembe

  • @ibrahimmbagira3026
    @ibrahimmbagira30264 жыл бұрын

    du

  • @ibrahimmbagira3026
    @ibrahimmbagira30264 жыл бұрын

    du

  • @abdulfirst_pilot
    @abdulfirst_pilot4 жыл бұрын

    Jamaa msomi sana mungu akuweke mpemba mmoja mwenye iman ya dini

  • @abdulfirst_pilot
    @abdulfirst_pilot4 жыл бұрын

    Mi nahisi bado zanzibar hawaja amuwa nini wafanye ila laiti kama zanzibar wata amuwa haswa chakufanya nini ili wa itete zanzibar yao miaka kumi ijayo zanzibar ipo pazuri sana

  • @abdulfirst_pilot
    @abdulfirst_pilot4 жыл бұрын

    Labda ZANTEL na saiv wana kesi mahakamani kwa nini hawalipi kodi hapa

  • @abdulfirst_pilot
    @abdulfirst_pilot4 жыл бұрын

    Honger sana

  • @abdulfirst_pilot
    @abdulfirst_pilot4 жыл бұрын

    Jamaa msomi sana mungu amuweke kweli kweli haswa ila ipo siku mungu ata murudisha nafasi yake huyu zanzibar

  • @suleimanali9350
    @suleimanali93503 жыл бұрын

    👏💖

  • @imamuahmadi3252
    @imamuahmadi32523 жыл бұрын

    Utabir wako umetimia

  • @faruukbinhemed8580
    @faruukbinhemed85804 жыл бұрын

    Hatuna budi kuwakumbuka makomadoo wanao pigania nchi yetu mung wabariki aamin

  • @fatmajuma4998
    @fatmajuma49984 жыл бұрын

    Madaraka matamu ndo mana unabwabwaja

  • @ahmedabdallah3297
    @ahmedabdallah32974 жыл бұрын

    Tunataka mabadiliko. Tutoke kwenye minyonyoro ya walafi.

  • @masharubundevu3765
    @masharubundevu37653 жыл бұрын

    Wee malaya unasemamaje?

  • @masharubundevu3765
    @masharubundevu37653 жыл бұрын

    We malaya unasemaje?