Kamati ya Maridhiano Six:MWANASHERIA OTHMAN MASOUD AUCHAMBUA MUUNGANO NA KATIBA MPYA;17/8/2013;PART2

Пікірлер: 93

  • @komboomar8275
    @komboomar82753 жыл бұрын

    *Miaka 7 baadae baada ya kufukuzwa serikalini amerudi tena serikalini tena akiwa na cheo cha juu ama kweli haki haipotei na ukiwa mkweli kwenye kupinga dhulma kamamwe Mungu hatakuacha udhalilike*

  • @abdulfirst_pilot
    @abdulfirst_pilot4 жыл бұрын

    Jamaa msomi sana mungu akuweke mpemba mmoja mwenye iman ya dini

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd68803 жыл бұрын

    Brooo you deserve being our president ✌️ may Allah be with you mheshmiwa makamo🤸 I see Maalim in you..

  • @khamisshaaban4599
    @khamisshaaban45993 жыл бұрын

    uko vizuri sana kama walikufukuza safari umekuja kama makamo wa kwanza wa rais

  • @abdulfirst_pilot
    @abdulfirst_pilot4 жыл бұрын

    Jamaa msomi sana mungu amuweke kweli kweli haswa ila ipo siku mungu ata murudisha nafasi yake huyu zanzibar

  • @suleimanali9350

    @suleimanali9350

    3 жыл бұрын

    👏💖

  • @imamuahmadi3252

    @imamuahmadi3252

    3 жыл бұрын

    Utabir wako umetimia

  • @saidseif2238
    @saidseif223811 жыл бұрын

    Safi sana mwanasheria

  • @abdulfirst_pilot
    @abdulfirst_pilot4 жыл бұрын

    Honger sana

  • @zeanamohamed4072
    @zeanamohamed40723 жыл бұрын

    Haiwezekani jamani. Wazanzibar. Tujiamuliye mambo yetu wenyewe inatosha

  • @simonmagaigwa5496

    @simonmagaigwa5496

    3 жыл бұрын

    Vunjeni tu huu muungano hata sisi hauna maana kwetu. Maana mmezidi kutusimanga.

  • @bensonkaile9606
    @bensonkaile96063 жыл бұрын

    Aisee!

  • @mohdalwaili5289
    @mohdalwaili52893 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @mwigaali8800
    @mwigaali88003 жыл бұрын

    Zanzibar kwanza

  • @bakarikhaji119

    @bakarikhaji119

    Жыл бұрын

    Kalapima hujjielewi

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything4 ай бұрын

    👊👍✌.

  • @shemsaroja6544
    @shemsaroja65447 жыл бұрын

    Kwa mtazamo wangu hakuna mtu atakae weza kuiongoza Zanzibar isipokua mwanasheria huyu,kama ata gombea urasi Zanzibar itakua imepata Raisi anae hitajika

  • @alphoncehanura3255

    @alphoncehanura3255

    5 жыл бұрын

    Bahati mbaya sana sikio lililoonja asali ya muungano uliopo hawataruhusu mtu kama huyu apate platform ya kuexcute mawazo yake chanya. Ni kweli ana pointi nzuri sana.

  • @khamisjuma9993

    @khamisjuma9993

    4 жыл бұрын

    Asante

  • @feiz3180
    @feiz318010 жыл бұрын

    Hao wanaojiita viongozi wetu wa CCM hawamsikii mwana sheria wao akisema au......

  • @colamboy5563
    @colamboy55633 жыл бұрын

    Jamaa msomi vibaya mpaka anakera hasa wambie ukweli lakin najua wajinga watanuna tu wameshazoea kutuibia so lakin wambie kila kitu kina mwisho wake

  • @mnalagamnalaga7471
    @mnalagamnalaga74713 жыл бұрын

    Wasiyempenda kaja kivingine, makamu wa kwanza wa rais

  • @abdulmohd6880

    @abdulmohd6880

    3 жыл бұрын

    Mamae nipo nasubiria litifuke tu uyu jamaa huwaga hana kumung'unya maneno af hana bbaaari wala nn

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    3 жыл бұрын

    Alikuwepo maalim na hakuwa na jipya, ndio atakuwa huyu!!

  • @abdulmohd6880

    @abdulmohd6880

    3 жыл бұрын

    @@jumakapilima5674 oya ushawahi kunyonywa mkundu weee

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    3 жыл бұрын

    @@abdulmohd6880 hahahaa,,,,, nishawahi si alininyonya mamaako katika Yale majambo yetu!!

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800Ай бұрын

    Mzalendo kwa nchi yake na watu wake. Msikileze kwa makini na kutafakari. Mwanasheria mtulivu.

  • @saidahmed9688
    @saidahmed96882 жыл бұрын

    zanzibar kwanza

  • @jumamohamed9648
    @jumamohamed96485 жыл бұрын

    Huyu ametumbuliwa kwa sababu anaeleza ukweli lakini kama wewe bado uko usingizini huwezi kumuelewa huyu hata hao watu wa ccm kwa upande wa Zanzibar wanayaelewa lakini wanahofia watafukuzwa uanachama katika chama chao lakini ukweli wanaufahamu vizuri tu ,hata wewe unanishangaza sana bado uko usingizini mpaka leo 2018 sisi tunataka kuingia 2019 wenzako.wewe utaendelea kulala mpaka kitafika kiama .

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800Ай бұрын

    Mtoa maoni yake hawezi kuwa mpumbavu. Anakupa mwanga ukashiriki vipi kama mtu unaekwenda kutetea mawazo na maoni yako. Watanzania tujifunze kuvumiliana pale tunapotofautiana mawazo, maoni na mtizamo. Hsitakaa itokee kusiwe na mgongano wa mawazo lakini meza ya mazungumzo itamaliza matatizo.

  • @solomonndenge1017
    @solomonndenge10173 жыл бұрын

    Sawa

  • @muhammednassor3569
    @muhammednassor356911 ай бұрын

    Huyu ndie Mpemba kama hujui

  • @shaibundame9642
    @shaibundame96423 жыл бұрын

    Othman ww unastaiki kuwa apo ulipo.

  • @abdulmohd6880

    @abdulmohd6880

    3 жыл бұрын

    Anactahiki kuwa zaidi ya hapo uyu yani anadizav ata kuwa presidaaa wetu uyu mjamaa

  • @abdulfirst_pilot
    @abdulfirst_pilot4 жыл бұрын

    Mi nahisi bado zanzibar hawaja amuwa nini wafanye ila laiti kama zanzibar wata amuwa haswa chakufanya nini ili wa itete zanzibar yao miaka kumi ijayo zanzibar ipo pazuri sana

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800Ай бұрын

    Ujasiri mkubwa ni kusikiliza

  • @saidahmed9688
    @saidahmed96882 жыл бұрын

    zanzibar

  • @colamboy5563
    @colamboy55633 жыл бұрын

    Ukitetea haki watu watakuona mjinga Sana lakinsishangai kumuona mjinga huyu jamaa maana hata maalim seif Shariff pia walimuona mjinga lakin alipokufa ndipo wakaoona thaman ya maalim seif

  • @froma3732
    @froma3732 Жыл бұрын

    Ndio hayo anosema ndio alikuwepo lkn MUNGU Alimuona mapema

  • @abdulfirst_pilot
    @abdulfirst_pilot4 жыл бұрын

    Labda ZANTEL na saiv wana kesi mahakamani kwa nini hawalipi kodi hapa

  • @mbarakaiddi8209
    @mbarakaiddi82093 жыл бұрын

    Ccm hawampendi mtu mkweli

  • @simonmagaigwa5496
    @simonmagaigwa54963 жыл бұрын

    Huyu hawezi kufanya kazi yoyote ya maendeleo zaidi ya kupambana na Muungano.

  • @jumamohamed3168

    @jumamohamed3168

    3 жыл бұрын

    Kwani wewe unapenda hii dhulma inayofanyika iendelee juu ya Zanzibar kuminywa katika kupata haki zake ,hayo anayozungumzia pia ni sehemu ya kuleta maendeleo ili Wazanzibar wajue haki yao ni ipi .

  • @AliSalim-yu4mo

    @AliSalim-yu4mo

    11 ай бұрын

    Unamuogopa eee!

  • @AliSalim-yu4mo

    @AliSalim-yu4mo

    11 ай бұрын

    Hayo maendeleo hayaji Zanzibar bila ya kuondoka hili zimwi la Muungano na huyu usimfananishe na mpiga tembo yeyote wa Tanganyika na ndio maana amechaguliwa ktk nafasi nyeti ktk Serikali ya CCM na sasa Yuko Upinzani! na ikiwa unaona Hana hoja towa wewe tuone

  • @salamakhamis7245
    @salamakhamis72455 жыл бұрын

    Haya basi natukubaliane sote tupike mashelii

  • @hashirsalim9570
    @hashirsalim95702 жыл бұрын

    sisi tunapambana kuipigania zanzibar kwa maslahi yetu na watoto wetu.ila kuna wazanzibar wajinga wao wapo radhi kwmba hii zanzibar ibaki ivi ivi kisa et ni robo yao ya mchele.

  • @ibrahimali-xd3bw
    @ibrahimali-xd3bw11 жыл бұрын

    Huyu ni mfano mzuri wa mgombea binafsi kwa zanzibar.

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima56745 жыл бұрын

    Anasumbuliwa na ubinafsi mkubwa,,,

  • @jumamohamed3168

    @jumamohamed3168

    3 жыл бұрын

    Wewe unapenda kuona dhulma inaendelea kufanyiwa Zanzibar ,acha unafiki wako penye ukweli panastahiki kusemwa ili dhulma inayotendeka isitendeke tena.nchi mbili ziliungana kwa hiyo haina haja mmoja akamdharau mwengine .

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima56745 жыл бұрын

    Anasumbuliwa na ubinafsi sana huyu bwana, kumbe ndio maana ukatumbuliwa!

  • @bakariahmadi9645

    @bakariahmadi9645

    3 жыл бұрын

    Wewe nikatika wale wanaorejeshanyuma maendereo ya zanzibar ndio unasema nini?

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    3 жыл бұрын

    @@bakariahmadi9645 iko siku utajua tu!!

  • @ibnismail8831

    @ibnismail8831

    3 жыл бұрын

    Ww ndo unsmbuliwa

  • @ibnismail8831

    @ibnismail8831

    3 жыл бұрын

    @@jumakapilima5674 ili iweje sasa

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    3 жыл бұрын

    @@ibnismail8831 wewe unasumbuliwa na u-flat!!

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima56745 жыл бұрын

    Kumbe huyu bwana ni mpumbavu kiasi hiki!!!!!!!!

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima56745 жыл бұрын

    Na wewe unataka uchaguliwe kuwa rais?

  • @jumamohamed9648

    @jumamohamed9648

    5 жыл бұрын

    Acha upuuzi wewe wabinafsi hao Watanganyika wanaotaka kila kitu kiwe chao wakipewa misaada kutoka nchi za nje wanachukua peke yao Zanzibar hawapewi ,wewe huyajui haya ,huyu anaeleza ukweli wala sio mchochezi .

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    5 жыл бұрын

    juma mohamed akili huna wewe!

  • @jumamohamed9648

    @jumamohamed9648

    5 жыл бұрын

    Wewe unazo akili ndio maana unakubali kudhulumiwa kitu chako ,hao ambao hawana akili ndio wanasema ukweli ili wale wanao fanya hiyo dhulma waache kufanya hivyo , haya wanayafanya wale wasio kuwa na akili lakini wale wenye akili wamenyakaa kimya ili waendelee kudhulumiwa,kwasababu kudhulumiwa mali zao kunawapendeza sana na wanalifurahia hilo .

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    5 жыл бұрын

    juma mohamed huyu jamaa yako na wewe nyote hamna akili na ndio maana alitumbuliwa,,,,

  • @jumamohamed9648

    @jumamohamed9648

    5 жыл бұрын

    Kaka usiwe kicha maji ,kuwa muelewa kama umelala umelala wewe ,natambua ya kwamba wewe unazo akili lakini akili hizo zitumie katika kuiondoa dhulma unayofanyiwa na sio kujiangamiza mwenyewe akaona ni sawa tu.

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima56745 жыл бұрын

    Huyu bwana kumbe alikuwa mpumbavu mno!

  • @bakariahmadi9645

    @bakariahmadi9645

    3 жыл бұрын

    Wewe namba moja katika wahafidhina zanzibare

  • @mbarakaiddi8209

    @mbarakaiddi8209

    3 жыл бұрын

    Juma kapilima nyani haoni kundule yaani ww umeona ujinga wa huyu wakwako hujauona jamani mbona ccm wajinga wengi ivi nashindwa kuelewa

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    3 жыл бұрын

    @@mbarakaiddi8209 na wewe pia mjinga!!

  • @jumamohamed3168

    @jumamohamed3168

    3 жыл бұрын

    @@jumakapilima5674 Ujinga wa kwako ni mkubwa zaidi hata dhulma inayofanyika pia huioni ,au wewe ndio hao wafanyaji wa dhulma zidi ya Zanzibar.

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    3 жыл бұрын

    @@jumamohamed3168 bwege wewe huna ulijualo!!

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima56745 жыл бұрын

    Anapandikiza chuki za kijinga,,,,!

  • @jumamohamed9648

    @jumamohamed9648

    5 жыл бұрын

    Huyu hapandikizi chuki kaka anaeleza ukweli ,kaa chini uyafikiri anayoyaeleza utayajua hayo anayoyasema ,anayekuzulumu ndiye anayeleta chuki kwa makusudi ,kaka wewe bado upo kwenye usingizi huyajui yanayoendelea duniani.haaaaaa acha zako wewe.

  • @ibnismail8831

    @ibnismail8831

    3 жыл бұрын

    Ww unaye mpinga huyu sio mzanzbar kichogo weee

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    3 жыл бұрын

    @@ibnismail8831 hahahaa,,,, wewe flat mwenzangu, ukweli utabaki hivyo!!

  • @ibnismail8831

    @ibnismail8831

    3 жыл бұрын

    @@jumakapilima5674 ww kichogo 2 huwa tunawaumiza vichwa snaa

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    3 жыл бұрын

    @@ibnismail8831 niambie "flat" mbona uko kimya sana, vichogo sisi tuko poa!

Келесі