Kamati ya Maridhiano Six: Mkutano wa CUF Uliofanyika K/Maiti Tarehe 03/11/2012; Part 2

Katika Mkutano huu uliofanyika tarehe 03/11/2012, Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad alienzea masikitiko yake makubwa juu ya matendo ya unyanyasaji na ukandamizaji wa haki za binaadam yaliyotokea Zanzibar kwa muda wa wiki mbili mfululizo

Пікірлер: 21

  • @nassorseif7907
    @nassorseif79073 жыл бұрын

    Tumeondokewa na mtetezi wa Wazanzibari

  • @imraniqbal00765
    @imraniqbal007652 жыл бұрын

    Tunakuomba Allah msamehe mja wako Huyu maalim seif sharif hamad makosa yake na umma wa kiislam

  • @issahajjiira5411
    @issahajjiira54112 ай бұрын

    Allah akupe kauli thabit

  • @fadhilnassor8196
    @fadhilnassor81963 жыл бұрын

    Daah mungu akulipe kheri

  • @nassorrashid2857
    @nassorrashid28573 жыл бұрын

    Tutakukumbuka sana maallim

  • @alialamoudi9729
    @alialamoudi9729 Жыл бұрын

    Wazanzibari wasikate tamaa hata miyaka mia tano iku siku watapata mamlaka kamili nchi inapendwa NA madola ya kiislaam na dunia nzima hapo kazi nzuri sana itanza

  • @jumamwinyi2845
    @jumamwinyi28452 жыл бұрын

    YAARAAB msamehe mjawako huyu hakika ss sote niwakosa tusamehe yaa rabyy

  • @abdullatifhassan9399
    @abdullatifhassan93992 жыл бұрын

    Allahumma ghfir lahuu warhamhu wasakinhu FIL jannah

  • @fatmamuhammedsaid9866
    @fatmamuhammedsaid98663 жыл бұрын

    Allah akujaalie virdaus njema

  • @mohammednassor3081
    @mohammednassor30812 жыл бұрын

    رحمك الله يا معلم

  • @issahajjiira5411
    @issahajjiira54112 ай бұрын

    Hatuwezi kupata mtu Kama huyu abadani😢

  • @issalamon2769
    @issalamon27693 жыл бұрын

    Dah tutakukumbuka san

  • @yussufabdalla-hc4ok
    @yussufabdalla-hc4ok16 күн бұрын

    Daima tutakukumbuka

  • @pandungozi1072
    @pandungozi10723 жыл бұрын

    Tumeondokewaa🙈

  • @ahmedhamad2493
    @ahmedhamad24932 жыл бұрын

    Inna lillah wanna ilaih rajighuuun

  • @mohamedmande3958
    @mohamedmande39583 жыл бұрын

    رحمه الله

  • @mohammednassor3081
    @mohammednassor30812 жыл бұрын

    فقيدنا ومعلمنا تركنا وخلنا محزون

  • @ibrahimsheha215
    @ibrahimsheha2153 жыл бұрын

    Simbaaaaa

  • @saidrubea471
    @saidrubea4715 жыл бұрын

    Nakubali bwana

  • @hamicpina1151

    @hamicpina1151

    2 жыл бұрын

    Mungu akupe firdausi

  • @nassoromar90
    @nassoromar904 жыл бұрын

    POAT

Келесі