Kamati ya Maridhiano Six: Mkutano wa CUF Uliofanyika K/Maiti Tarehe 03/11/2012; Part 2
Katika Mkutano huu uliofanyika tarehe 03/11/2012, Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad alienzea masikitiko yake makubwa juu ya matendo ya unyanyasaji na ukandamizaji wa haki za binaadam yaliyotokea Zanzibar kwa muda wa wiki mbili mfululizo
Пікірлер: 21
Tumeondokewa na mtetezi wa Wazanzibari
Tunakuomba Allah msamehe mja wako Huyu maalim seif sharif hamad makosa yake na umma wa kiislam
Allah akupe kauli thabit
Daah mungu akulipe kheri
Tutakukumbuka sana maallim
Wazanzibari wasikate tamaa hata miyaka mia tano iku siku watapata mamlaka kamili nchi inapendwa NA madola ya kiislaam na dunia nzima hapo kazi nzuri sana itanza
YAARAAB msamehe mjawako huyu hakika ss sote niwakosa tusamehe yaa rabyy
Allahumma ghfir lahuu warhamhu wasakinhu FIL jannah
Allah akujaalie virdaus njema
رحمك الله يا معلم
Hatuwezi kupata mtu Kama huyu abadani😢
Dah tutakukumbuka san
Daima tutakukumbuka
Tumeondokewaa🙈
Inna lillah wanna ilaih rajighuuun
رحمه الله
فقيدنا ومعلمنا تركنا وخلنا محزون
Simbaaaaa
Nakubali bwana
@hamicpina1151
2 жыл бұрын
Mungu akupe firdausi
POAT