MAALIM SEIF: JABALI la SIASA ALIYETEMWA CCM, Akafungwa MIAKA 3, AMEPIGANIA MAISHA Kwa SIKU 19..
MAALIM SEIF: JABALI la SIASA ALIYETEMWA CCM, Akafungwa MIAKA 3, AMEPIGANIA MAISHA Kwa SIKU 19..
GLOBAL Publishers tumekuandalia makala ya maisha na enzi ya Hayati Maalim Seif Sharif toka alipozaliwa, maisha ya kisiasa mpaka alipokutwa na umauti..
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Пікірлер: 92
My tears can not stop forever...Maalim Seif...I have nothing to say now cs mdomo wangu umeishiwa na la kusema...Yaaa Rabbi tunakuomba umswamehe dhambi zake na umlaze mahali pema peponi Aamin
@salyali7807
3 жыл бұрын
Allahumma ameen
@fadhilahaji8719
3 жыл бұрын
Ameen
Inalillah wainailaihim rajuhun Allah amsameh mazambi yake na sisi atujaaliye mwisho mwema Insha Allah 🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲
Pumzika baba kw salama tulikupenda ila Allah kakupenda zaid
Hata ww mwenyew hujaifahamu vzr historia ya Maalim Seif Global TV mngeenda kuisoma vzr kwnz halaf ndo mkaileta hapa
@deusimasasila5424
3 жыл бұрын
Kwanini unasema ivo
@khulayfnassor6938
3 жыл бұрын
Kuna mengi kayawacha kuliko ayoyasema hapa
Si wame mdhulumu haki yake mbona tuna ona wazanzibari wanavyo mlilia maallim Seif. Mwenye Enzi Mungu amrehemu amlaze pema peponi amjaalie katika as'habul yamiin ampe kauli thabit yaarab ampe kitabu chake kwa mkono wake wa kulia, allahumma ameen yaarab
Pumzika kwa aman baba yetu mpendwa tulikupenda sana😭 ila mola wetu amekupenda sana😭😭🙏
Namkubali sana Maalim Seif pia na huyu Mtangazaji Historia
Munayataja mambo ya siasa tu. Lakini hamuyataji alikuwa mtu wa aina gani. Naona mumesahau hikma zake, misaada yake na uaminifu wake. Wana siasa karibuni wote wanamajumba ya horofa na utajiri mwingi kwa kuiba mali ya uma. Yeye alikuwa anaishi maisha ya kawaida hakuwa na ubinafsi.
Dah hamjaitendea haki historia yake kuna mengi mmeyaacha, fatilieni tena historia yake mje mtuwekee hapa
@familylove5417
3 жыл бұрын
Thank you
@pilabiliani9394
3 жыл бұрын
Tuwekee wewe unayeijua vizur
@khatibuhijja459
3 жыл бұрын
@@pilabiliani9394 mie ntaiweka kwenye nn na sina channel, nimetoa tu ushauri kwasabab kuna mengi yameachwa pengine wanaogopa kusema lkn kapitia mengi sana yule Mwamba.
@Leo-kg2lt
3 жыл бұрын
@@khatibuhijja459 asa huna channel umekoment vip huku ndanii mkuu
@khatibuhijja459
3 жыл бұрын
@@Leo-kg2lt sina maana sina sehem ya kupost na kila sehem ina utaratib wake
Yani ipo ivi maalm alishinda karibia chaguzi zote na hii story bado embu wananchi tuungane kwawingi ili watuwekee story yote yaseif hapa🙏🙏
@fatumajuma1157
3 жыл бұрын
Nikweli hajawai shndwa uchaguz
@abcdabcd1605
3 жыл бұрын
Ni kweli hakushindwa lakini haya yote ya nini na kuna haja gani ya kuyaeleza??!! tuyaache tu yabaki ktk nyoyo zetu lkn hakuna haja ya kuyaeleza mbele ya mitandao hayataleta faida zaidi ya kutuchafulia amani, ikiwa sisi tunampenda maalim bas tumuenzi kwa kuwa pamoja bila kubaguana na kuheshimu kifo chake kwa kutenda mema aliyotuachia tuyatekeleze sio tuanze tena maneno yasiyo na maana yaliyopita yamepita tuangalieni haya tuliyonayo sasa 😭😭😭
@fatumajuma1157
3 жыл бұрын
@@abcdabcd1605 nikwl
Maalim hakuna uchaguzi hata mmoja aioshindwa ispokua wizitu uliokua ukifanyika na dhulma wamesahau kua cheo kinamdawake uyo salmini nawengineo walomdhulumu saivi wakowapi siwalitumikia namdawao ukaisha mbona hawakubakia hadileo wakazidi kutamba ikulu na majukwaani mwisho yy kawakipofu atakula km hajashikwa mkono bc analalanayo wamebakia nahao wengine ss nao mungu anawaona
Innalillah wainah Rajiun 😭😭😭😭😭
Hii historia bdo kbsaa yaan bdoo hswaa ifuatilie tn historia yke vzri maan umepndisha pindishaa
Allah akufanyie wepesi
اللهم أغفر له وارحمه وعافه واعف عنه واكرم نزله ووسع مدخله واغسله بالماء والثلج والبرد ونقه من الخطايا كما ينقى الثوب الأبيض من الدنس وابدله دار خيرا من داره واهلا خيرا من اهله وادخله الجنة واعذه من عذاب القبر و من عذاب النار
innalillahi wa inna ilayhi raajiun , Allah akupe nuru katika kaburi yako, ajaalie Ramadhani hiyi iwe ni neema katika kaburi yako , Allah aitukuze nyumba yako ya milele , Allah akupe marafiki wema malaika wake , pumzika kwa amani inshaallah tutaonana , kila nafsi itaonja umauti
Nimezaliwa 20o1 lakini nampenda Mwalim sef kma nimezaliwa mwaka mmoja na yy😥ckuona ujana wake.ila uzee wake nimeujua utu wakee .Kila nikiangalia na nikikumbuka kifo chake machozi yananitoka .Allah amsamehe na ampe pepo ametutetea na ametetea wazazi wetu wa Zanzibar
Inalillah wainailaihim rajuhun Allah amsameh mazambi yake na sisi atujaaliye mwisho mwema Insha Allah 🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲
Innallillahi wainnaillaihi rajiun 😭
Umeyandaa histolia kwakulupka kutaim wenye fani hiyo
Forever
Muko sawa mumeniliza kwakunikumbusha kifo Cha raisi wangu maalim seifu nitamkumbuka sana
Sote tunajua mara zote alishinda Rest in peace our teacher our icon of democracy n peace
@alawiali3475
3 жыл бұрын
Kukosekana kwa tume huru ya uchaguzi ktk chaguzi zote hizo ndio sababu ya kupindua matokeo zanzibar mwenye kushinda anapangwa kushindwa na mwenye kushindwa anapangwa kushinda coz hata ukiangalia mpishano wa asilimia za ushindi ktk chaguzi zote 5 unaona kabisa ni matokeo ya kupangwa(ubabaishaji)
@swahifaabdijuma2782
2 жыл бұрын
Amoin
Allah akupe nurru kwenye kaburi lako maana hukupumzika, hukupumzika, hukupumzika kudai Haki za wazanzibari hadi ukaingia kaburini😢
Mwenyezi Mungu ampunguzie adhabu za kaburi insha Allah.
Maalim seif tutamkumbuka daima
Ukisema bila mafanikio muongo hakuna uchaguzi alioshindwa walimuibia tu na watakwenda kumlipa haki yake huko mbele anawasubiri yeye keshatangulia na wao wajipange kumfata kwenda kumpa haki yake
@highvoltages4169
3 жыл бұрын
Watampaje haki?
@depaolo3461
3 жыл бұрын
Akili mavi
@subiramohd1895
3 жыл бұрын
@@depaolo3461 kama yako au ndo yenye harufu mbovu mm yangu yananukia udi na asumini
@manish-fp1fb
3 жыл бұрын
Hahaha... aiseee, who told u kuna maisha mengine?
@omanomy1757
3 жыл бұрын
Kabisa watamlipa allah hasinzi wala halali namungu niwetu sote
Yaani mumejititumuwaweeee kwanin musingefanya utafiti wa wahistoriya yake hivi hamuoni hamumtendei haki yaani ktk storiyke nyinyi global. nisawa nakudondosha chozi ktk bahari kwenye stori yake yaaani storiyayake nikubwa mnoo mnoo mnoo atahamjawaza ila mupewe pongezi alau kidogo
@zamzamrashid9534
3 жыл бұрын
@Adrash Abdallah umesoma vizuri? nakubali binaadamu hatunashukrani ila rudi usometena ujumbe wangu nafkiri haujaufaham huenda ukaufaham angalizo usikurupukie kitu usichokifaham
Allah atamlipia dhulma aliyofanyiwa yeye na Wazanzibari. Sera inatolewa ni ya kuogopa serikali. Poleni .Mutafaulu siku za Usoni. Muwe na subira. Subira huvuta kheri
Wamemtesa Sana.
@frankjohn8706
3 жыл бұрын
Wanajua ila kwenye wasifu hawajasema
@mundhiraliy1307
3 жыл бұрын
Hawaachi kujuta haoo walio mdhulumu Allah alitie Nuru Kaburi lako Sef wetu🙏 Tutakukumbuka daima baba yetu Wazanzibar 😭😭😭😭
Huyu mzee wazanzibar walimpenda kwa takwimu hizo zinaonesha alikua mahindi sema duniani Kuna mambo
Tunakupenda baba yetu, tutaendalea kukumiss😭😭😭
🙏🙏🙏🙏❤️❤️❤️
Allahakunawirishie kaburi lako Mwalim Seif
Mwenyekiti yupi na Lipumba alikwisha jiuulu...MAALIM HAKUA NA MGOGORO NA LIPUMBA MANA LIPUMBA ALIKUA KESHAJITOA..KILICHOTOKEA NIUHUNI TU ULIOTENGENEZWA NA WATAWALA
Makubwa tusio yajua huruma pole Sana maalim
bado hujaijuwa histriya ya malim wwe unazugatuu
Nyie GB Tv Kwanza kaisomeni tena historia ya Maalim seiff.
Hahika Huyu mkombozi wetu
Wala husemi alivo pata mateso
Matokeo yote ni fake, ni matokeo ̂ya kubadilkshwa, 2020 Maalim Seif ameshi nda lakini ZEC na Usalama wa Tanganyika wàkamapa Ushindi Hussein.
😕😕😕😕
We umekurupuka naona huijui historia yake vizuri.
@jisamjoseph4558
3 жыл бұрын
Yan huyu alikua anataka awe wa kwanza kutoa historia yake lakini wala hajui mengi
Msimulizi umefili uyu mzee alishaongoza Zanzibar kama makamu wa kwanza wa raisi selekali ya sheni 2010 hadi 2015
Mengine sio kweli
Kila mmoja wetu Ataulizwa kuhusu umri wake siku ya kiama.
HAKUNA HIYO HISTORIA YA KURA NI UONGO HAWAJAWAHI KUMSHINDA MAALIM SEIF KWENYE CHAGUZI ZOOOOTE ....NA UKWELI WANAUJUA
@maryamsuleyman7848
3 жыл бұрын
😭😭😭 kwa dhulma aliozulumiwa kila miaka 5
Wanafika watu WA TV hizi. Mtu akiwa Hai hata kutaka Jina lake tuu wa naogopa. Akifa ndio wanamwaga sifaaa
@arafahassan5257
3 жыл бұрын
Shkamooo
Historia gani io nayo ovyoo usituzingue
Historia bado
Fanyeni utafiti hamkuipata historiaya yake
😭
CUF ya JAMES Mapalala ni ipi na CUF hii ni ipi ,lkn Bora mtuma post hii umejitahidi kueleza vizuri maana wengine hawasemi Kama aliwai japo kukamatwa
Jecha ypo,wp,naon,hatumsikiy tn
K
Kwenye stori hujazungumzia nafasi yake ya umakamu wa Rais wakati wa Dk Shein.
Bado history yako hamjatendea haki fatilieni tena
Bado hmjapata historian yake
Nendeni mukafuatiliye historia ya mwalimu ya haki baadaye mutoe part 2
@Madam.s.
3 жыл бұрын
Weziwakubwe mmenyanyasa sana maalim
Mueka fup