MAALIM SEIF: JABALI la SIASA ALIYETEMWA CCM, Akafungwa MIAKA 3, AMEPIGANIA MAISHA Kwa SIKU 19..

MAALIM SEIF: JABALI la SIASA ALIYETEMWA CCM, Akafungwa MIAKA 3, AMEPIGANIA MAISHA Kwa SIKU 19..
GLOBAL Publishers tumekuandalia makala ya maisha na enzi ya Hayati Maalim Seif Sharif toka alipozaliwa, maisha ya kisiasa mpaka alipokutwa na umauti..
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 92

  • @hamadsuleiman5177
    @hamadsuleiman51773 жыл бұрын

    My tears can not stop forever...Maalim Seif...I have nothing to say now cs mdomo wangu umeishiwa na la kusema...Yaaa Rabbi tunakuomba umswamehe dhambi zake na umlaze mahali pema peponi Aamin

  • @salyali7807

    @salyali7807

    3 жыл бұрын

    Allahumma ameen

  • @fadhilahaji8719

    @fadhilahaji8719

    3 жыл бұрын

    Ameen

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf3 жыл бұрын

    Inalillah wainailaihim rajuhun Allah amsameh mazambi yake na sisi atujaaliye mwisho mwema Insha Allah 🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲

  • @zuleikhaseifu3952
    @zuleikhaseifu39523 жыл бұрын

    Pumzika baba kw salama tulikupenda ila Allah kakupenda zaid

  • @salehkhalfan7345
    @salehkhalfan73453 жыл бұрын

    Hata ww mwenyew hujaifahamu vzr historia ya Maalim Seif Global TV mngeenda kuisoma vzr kwnz halaf ndo mkaileta hapa

  • @deusimasasila5424

    @deusimasasila5424

    3 жыл бұрын

    Kwanini unasema ivo

  • @khulayfnassor6938

    @khulayfnassor6938

    3 жыл бұрын

    Kuna mengi kayawacha kuliko ayoyasema hapa

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi17253 жыл бұрын

    Si wame mdhulumu haki yake mbona tuna ona wazanzibari wanavyo mlilia maallim Seif. Mwenye Enzi Mungu amrehemu amlaze pema peponi amjaalie katika as'habul yamiin ampe kauli thabit yaarab ampe kitabu chake kwa mkono wake wa kulia, allahumma ameen yaarab

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei11333 жыл бұрын

    Pumzika kwa aman baba yetu mpendwa tulikupenda sana😭 ila mola wetu amekupenda sana😭😭🙏

  • @ahmuhally4430
    @ahmuhally44303 жыл бұрын

    Namkubali sana Maalim Seif pia na huyu Mtangazaji Historia

  • @mpendaamaninahaki165
    @mpendaamaninahaki1653 жыл бұрын

    Munayataja mambo ya siasa tu. Lakini hamuyataji alikuwa mtu wa aina gani. Naona mumesahau hikma zake, misaada yake na uaminifu wake. Wana siasa karibuni wote wanamajumba ya horofa na utajiri mwingi kwa kuiba mali ya uma. Yeye alikuwa anaishi maisha ya kawaida hakuwa na ubinafsi.

  • @khatibuhijja459
    @khatibuhijja4593 жыл бұрын

    Dah hamjaitendea haki historia yake kuna mengi mmeyaacha, fatilieni tena historia yake mje mtuwekee hapa

  • @familylove5417

    @familylove5417

    3 жыл бұрын

    Thank you

  • @pilabiliani9394

    @pilabiliani9394

    3 жыл бұрын

    Tuwekee wewe unayeijua vizur

  • @khatibuhijja459

    @khatibuhijja459

    3 жыл бұрын

    @@pilabiliani9394 mie ntaiweka kwenye nn na sina channel, nimetoa tu ushauri kwasabab kuna mengi yameachwa pengine wanaogopa kusema lkn kapitia mengi sana yule Mwamba.

  • @Leo-kg2lt

    @Leo-kg2lt

    3 жыл бұрын

    @@khatibuhijja459 asa huna channel umekoment vip huku ndanii mkuu

  • @khatibuhijja459

    @khatibuhijja459

    3 жыл бұрын

    @@Leo-kg2lt sina maana sina sehem ya kupost na kila sehem ina utaratib wake

  • @kiliboykilimanjaro377
    @kiliboykilimanjaro3773 жыл бұрын

    Yani ipo ivi maalm alishinda karibia chaguzi zote na hii story bado embu wananchi tuungane kwawingi ili watuwekee story yote yaseif hapa🙏🙏

  • @fatumajuma1157

    @fatumajuma1157

    3 жыл бұрын

    Nikweli hajawai shndwa uchaguz

  • @abcdabcd1605

    @abcdabcd1605

    3 жыл бұрын

    Ni kweli hakushindwa lakini haya yote ya nini na kuna haja gani ya kuyaeleza??!! tuyaache tu yabaki ktk nyoyo zetu lkn hakuna haja ya kuyaeleza mbele ya mitandao hayataleta faida zaidi ya kutuchafulia amani, ikiwa sisi tunampenda maalim bas tumuenzi kwa kuwa pamoja bila kubaguana na kuheshimu kifo chake kwa kutenda mema aliyotuachia tuyatekeleze sio tuanze tena maneno yasiyo na maana yaliyopita yamepita tuangalieni haya tuliyonayo sasa 😭😭😭

  • @fatumajuma1157

    @fatumajuma1157

    3 жыл бұрын

    @@abcdabcd1605 nikwl

  • @jamilaalfarsi7712
    @jamilaalfarsi77123 жыл бұрын

    Maalim hakuna uchaguzi hata mmoja aioshindwa ispokua wizitu uliokua ukifanyika na dhulma wamesahau kua cheo kinamdawake uyo salmini nawengineo walomdhulumu saivi wakowapi siwalitumikia namdawao ukaisha mbona hawakubakia hadileo wakazidi kutamba ikulu na majukwaani mwisho yy kawakipofu atakula km hajashikwa mkono bc analalanayo wamebakia nahao wengine ss nao mungu anawaona

  • @salmaabdulla5214
    @salmaabdulla52143 жыл бұрын

    Innalillah wainah Rajiun 😭😭😭😭😭

  • @ibnismail8831
    @ibnismail88313 жыл бұрын

    Hii historia bdo kbsaa yaan bdoo hswaa ifuatilie tn historia yke vzri maan umepndisha pindishaa

  • @rajaburamadhanisheburudha3398
    @rajaburamadhanisheburudha33983 жыл бұрын

    Allah akufanyie wepesi

  • @muhidinali8180
    @muhidinali81803 жыл бұрын

    اللهم أغفر له وارحمه وعافه واعف عنه واكرم نزله ووسع مدخله واغسله بالماء والثلج والبرد ونقه من الخطايا كما ينقى الثوب الأبيض من الدنس وابدله دار خيرا من داره واهلا خيرا من اهله وادخله الجنة واعذه من عذاب القبر و من عذاب النار

  • @suleimanrahim5273
    @suleimanrahim52733 жыл бұрын

    innalillahi wa inna ilayhi raajiun , Allah akupe nuru katika kaburi yako, ajaalie Ramadhani hiyi iwe ni neema katika kaburi yako , Allah aitukuze nyumba yako ya milele , Allah akupe marafiki wema malaika wake , pumzika kwa amani inshaallah tutaonana , kila nafsi itaonja umauti

  • @swahifaabdijuma2782
    @swahifaabdijuma27822 жыл бұрын

    Nimezaliwa 20o1 lakini nampenda Mwalim sef kma nimezaliwa mwaka mmoja na yy😥ckuona ujana wake.ila uzee wake nimeujua utu wakee .Kila nikiangalia na nikikumbuka kifo chake machozi yananitoka .Allah amsamehe na ampe pepo ametutetea na ametetea wazazi wetu wa Zanzibar

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf3 жыл бұрын

    Inalillah wainailaihim rajuhun Allah amsameh mazambi yake na sisi atujaaliye mwisho mwema Insha Allah 🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲

  • @hamishamis9905
    @hamishamis99053 жыл бұрын

    Innallillahi wainnaillaihi rajiun 😭

  • @petermwanyondo5370
    @petermwanyondo53703 жыл бұрын

    Umeyandaa histolia kwakulupka kutaim wenye fani hiyo

  • @cadabra7402
    @cadabra74023 жыл бұрын

    Forever

  • @haroubmbarouk7831
    @haroubmbarouk78313 жыл бұрын

    Muko sawa mumeniliza kwakunikumbusha kifo Cha raisi wangu maalim seifu nitamkumbuka sana

  • @drhalimalmaskari
    @drhalimalmaskari3 жыл бұрын

    Sote tunajua mara zote alishinda Rest in peace our teacher our icon of democracy n peace

  • @alawiali3475

    @alawiali3475

    3 жыл бұрын

    Kukosekana kwa tume huru ya uchaguzi ktk chaguzi zote hizo ndio sababu ya kupindua matokeo zanzibar mwenye kushinda anapangwa kushindwa na mwenye kushindwa anapangwa kushinda coz hata ukiangalia mpishano wa asilimia za ushindi ktk chaguzi zote 5 unaona kabisa ni matokeo ya kupangwa(ubabaishaji)

  • @swahifaabdijuma2782

    @swahifaabdijuma2782

    2 жыл бұрын

    Amoin

  • @user-et9vf2ro2k
    @user-et9vf2ro2k5 ай бұрын

    Allah akupe nurru kwenye kaburi lako maana hukupumzika, hukupumzika, hukupumzika kudai Haki za wazanzibari hadi ukaingia kaburini😢

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud29833 жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu ampunguzie adhabu za kaburi insha Allah.

  • @yassirrashid7802
    @yassirrashid78023 жыл бұрын

    Maalim seif tutamkumbuka daima

  • @subiramohd1895
    @subiramohd18953 жыл бұрын

    Ukisema bila mafanikio muongo hakuna uchaguzi alioshindwa walimuibia tu na watakwenda kumlipa haki yake huko mbele anawasubiri yeye keshatangulia na wao wajipange kumfata kwenda kumpa haki yake

  • @highvoltages4169

    @highvoltages4169

    3 жыл бұрын

    Watampaje haki?

  • @depaolo3461

    @depaolo3461

    3 жыл бұрын

    Akili mavi

  • @subiramohd1895

    @subiramohd1895

    3 жыл бұрын

    @@depaolo3461 kama yako au ndo yenye harufu mbovu mm yangu yananukia udi na asumini

  • @manish-fp1fb

    @manish-fp1fb

    3 жыл бұрын

    Hahaha... aiseee, who told u kuna maisha mengine?

  • @omanomy1757

    @omanomy1757

    3 жыл бұрын

    Kabisa watamlipa allah hasinzi wala halali namungu niwetu sote

  • @zamzamrashid9534
    @zamzamrashid95343 жыл бұрын

    Yaani mumejititumuwaweeee kwanin musingefanya utafiti wa wahistoriya yake hivi hamuoni hamumtendei haki yaani ktk storiyke nyinyi global. nisawa nakudondosha chozi ktk bahari kwenye stori yake yaaani storiyayake nikubwa mnoo mnoo mnoo atahamjawaza ila mupewe pongezi alau kidogo

  • @zamzamrashid9534

    @zamzamrashid9534

    3 жыл бұрын

    @Adrash Abdallah umesoma vizuri? nakubali binaadamu hatunashukrani ila rudi usometena ujumbe wangu nafkiri haujaufaham huenda ukaufaham angalizo usikurupukie kitu usichokifaham

  • @mohamedasaid7910
    @mohamedasaid79103 жыл бұрын

    Allah atamlipia dhulma aliyofanyiwa yeye na Wazanzibari. Sera inatolewa ni ya kuogopa serikali. Poleni .Mutafaulu siku za Usoni. Muwe na subira. Subira huvuta kheri

  • @yasminjuma663
    @yasminjuma6633 жыл бұрын

    Wamemtesa Sana.

  • @frankjohn8706

    @frankjohn8706

    3 жыл бұрын

    Wanajua ila kwenye wasifu hawajasema

  • @mundhiraliy1307

    @mundhiraliy1307

    3 жыл бұрын

    Hawaachi kujuta haoo walio mdhulumu Allah alitie Nuru Kaburi lako Sef wetu🙏 Tutakukumbuka daima baba yetu Wazanzibar 😭😭😭😭

  • @marryjonathan7735
    @marryjonathan77353 жыл бұрын

    Huyu mzee wazanzibar walimpenda kwa takwimu hizo zinaonesha alikua mahindi sema duniani Kuna mambo

  • @muungujaunguja8609
    @muungujaunguja86093 жыл бұрын

    Tunakupenda baba yetu, tutaendalea kukumiss😭😭😭

  • @marysichinsambwe7708
    @marysichinsambwe77083 жыл бұрын

    🙏🙏🙏🙏❤️❤️❤️

  • @alimshindobakar4358
    @alimshindobakar43583 жыл бұрын

    Allahakunawirishie kaburi lako Mwalim Seif

  • @amanmohd9435
    @amanmohd94353 жыл бұрын

    Mwenyekiti yupi na Lipumba alikwisha jiuulu...MAALIM HAKUA NA MGOGORO NA LIPUMBA MANA LIPUMBA ALIKUA KESHAJITOA..KILICHOTOKEA NIUHUNI TU ULIOTENGENEZWA NA WATAWALA

  • @dotomohammed6662
    @dotomohammed66623 жыл бұрын

    Makubwa tusio yajua huruma pole Sana maalim

  • @abuunuswaibahahmadi8288
    @abuunuswaibahahmadi82883 жыл бұрын

    bado hujaijuwa histriya ya malim wwe unazugatuu

  • @makamealimussa2528
    @makamealimussa25283 жыл бұрын

    Nyie GB Tv Kwanza kaisomeni tena historia ya Maalim seiff.

  • @salimrizikijaji1281
    @salimrizikijaji12813 жыл бұрын

    Hahika Huyu mkombozi wetu

  • @biramsakh9212
    @biramsakh92123 жыл бұрын

    Wala husemi alivo pata mateso

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati36413 жыл бұрын

    Matokeo yote ni fake, ni matokeo ̂ya kubadilkshwa, 2020 Maalim Seif ameshi nda lakini ZEC na Usalama wa Tanganyika wàkamapa Ushindi Hussein.

  • @lidiaashu828
    @lidiaashu8283 жыл бұрын

    😕😕😕😕

  • @stevenmajoge4644
    @stevenmajoge46443 жыл бұрын

    We umekurupuka naona huijui historia yake vizuri.

  • @jisamjoseph4558

    @jisamjoseph4558

    3 жыл бұрын

    Yan huyu alikua anataka awe wa kwanza kutoa historia yake lakini wala hajui mengi

  • @abdulkibamba679
    @abdulkibamba6793 жыл бұрын

    Msimulizi umefili uyu mzee alishaongoza Zanzibar kama makamu wa kwanza wa raisi selekali ya sheni 2010 hadi 2015

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi17253 жыл бұрын

    Mengine sio kweli

  • @khalfanalrawahi3082
    @khalfanalrawahi30823 жыл бұрын

    Kila mmoja wetu Ataulizwa kuhusu umri wake siku ya kiama.

  • @omarmhmammed216
    @omarmhmammed2163 жыл бұрын

    HAKUNA HIYO HISTORIA YA KURA NI UONGO HAWAJAWAHI KUMSHINDA MAALIM SEIF KWENYE CHAGUZI ZOOOOTE ....NA UKWELI WANAUJUA

  • @maryamsuleyman7848

    @maryamsuleyman7848

    3 жыл бұрын

    😭😭😭 kwa dhulma aliozulumiwa kila miaka 5

  • @williamsenkoro2210
    @williamsenkoro22103 жыл бұрын

    Wanafika watu WA TV hizi. Mtu akiwa Hai hata kutaka Jina lake tuu wa naogopa. Akifa ndio wanamwaga sifaaa

  • @arafahassan5257

    @arafahassan5257

    3 жыл бұрын

    Shkamooo

  • @biramsakh9212
    @biramsakh92123 жыл бұрын

    Historia gani io nayo ovyoo usituzingue

  • @ashirafali1117
    @ashirafali11173 жыл бұрын

    Historia bado

  • @masoudmaulid7514
    @masoudmaulid75143 жыл бұрын

    Fanyeni utafiti hamkuipata historiaya yake

  • @suleimanmohamed4367
    @suleimanmohamed43673 жыл бұрын

    😭

  • @frankjohn8706
    @frankjohn87063 жыл бұрын

    CUF ya JAMES Mapalala ni ipi na CUF hii ni ipi ,lkn Bora mtuma post hii umejitahidi kueleza vizuri maana wengine hawasemi Kama aliwai japo kukamatwa

  • @hafidhmohammed4653
    @hafidhmohammed46533 жыл бұрын

    Jecha ypo,wp,naon,hatumsikiy tn

  • @riyadahmad8300
    @riyadahmad83003 жыл бұрын

    K

  • @Hamy1109
    @Hamy11093 жыл бұрын

    Kwenye stori hujazungumzia nafasi yake ya umakamu wa Rais wakati wa Dk Shein.

  • @rsa9817
    @rsa98173 жыл бұрын

    Bado history yako hamjatendea haki fatilieni tena

  • @badrumohd5066
    @badrumohd50663 жыл бұрын

    Bado hmjapata historian yake

  • @mpendaamaninahaki165
    @mpendaamaninahaki1653 жыл бұрын

    Nendeni mukafuatiliye historia ya mwalimu ya haki baadaye mutoe part 2

  • @Madam.s.

    @Madam.s.

    3 жыл бұрын

    Weziwakubwe mmenyanyasa sana maalim

  • @mubaboyonline5879
    @mubaboyonline58793 жыл бұрын

    Mueka fup

Келесі