KAULI ZA MAALIM SEIF’ ZILIZO GUSA WATU ZNZ -KABLA YA “KIFO CHAKE”

Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Sauti Byego
cc: Maryam Busara
cc: Masoud Maganga
Camera Department"
Dadi Ali
Omar (OJ)
Nassor Shaibu
Abdallah Juma
Editors:
Juma Maulid
Dadi Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...

Пікірлер: 160

  • @husseinmohammed2186
    @husseinmohammed21863 жыл бұрын

    Hatuna lakufanya zaidi yakukuombea duwa kwa mwenyezimungu nenda salama baba mng atakufanyia wepesi huko uliko amin👏👏👏

  • @alimsabah4921
    @alimsabah49213 жыл бұрын

    Hakika alikua mwisho mwema aliondoka na neno kubwa Sana na muhim Sana wazanzibari tuwe wamoja ALLA amrehemu na amekua na mwisho mwema mashalla

  • @tamemahmad9902

    @tamemahmad9902

    3 жыл бұрын

    Allah amjaalie firdaus njema 🤲🤲🤲

  • @abuysalim7163
    @abuysalim71633 жыл бұрын

    😭😭😭 Allah akusamehe mazambi yako na akujalie uingie peponi amiin🤲

  • @mattarmuhammed1330
    @mattarmuhammed13303 жыл бұрын

    Innalillah wainna ilayh rajiun Allah amsamehe madhambi yke na ampe makazi mema jannatul firdaus

  • @mahfoudhcalender2747
    @mahfoudhcalender27473 жыл бұрын

    kila nitakapokukumbuka dua nitakuombea kwa Allah inshaallah

  • @raudhatmalik9285
    @raudhatmalik92853 жыл бұрын

    Innalillah wainna ilayhi rajiuni Mungu akupe safar ya kheri na akujaalie kwa rehma zake akulaze mahali pema peponi Aamin.

  • @binrashidsalim5667

    @binrashidsalim5667

    2 жыл бұрын

    Ameen ya rabbil alamiyn

  • @stonetown578
    @stonetown5783 жыл бұрын

    Innalillahi wainna ilayhi rajiun Allah ampe kauli thabit na amsamehe makosa yake. Wazanzibari tumeumia

  • @supumoto6819
    @supumoto68193 жыл бұрын

    ALLAH akuja'lie qauli thaabit

  • @deleali6864
    @deleali68643 жыл бұрын

    Mmm naon maalim alijua huu ndio mwisho wamaisha yake ya dunian et ila amesisitiza sana umoja umoja mung akupe pepo kwa rehma zake hakika umefanya meng mazur kwa uwezo wa allah atakupa pepo kwa rehma zake amiin na ss atupe mwisho mwma amiin tulikupnda ila Allah kakupnda zaid

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah57963 жыл бұрын

    Innalillahi wainna ilayhi rajiun. Yaa Allah msamehe makosa yake makubwa na madogo tunayoyajua na tusiyoyajua na uyazidishie thawabu mema yake. Hakika ktk vifo vilonigusa kimoja wapo ni hiki. Allah ailaze mahala pema peponi roho yake. Duniani tunapita na kila mmoja anamadhaifu yake na mazuri yake. Yaa Rabb usiangalie madhaifu yake na ujaalie kauli yake hio iwe ni sadaka tosha ya kumnyanyua na kumueka kwenye firdausi, Amiin.

  • @zahorsalum663
    @zahorsalum6633 жыл бұрын

    Allah akupe kauli dhabiti.ww.nikingozi bora nahatotokea tn

  • @hamadsuleiman5177
    @hamadsuleiman51773 жыл бұрын

    Innaalillaahi wainnaailaihi raajiuna.... Allah akulaze mahali peponi...Aaamin...hiii ni safari yetu wote ila ww ndo umetangulia na in 100% hakuna ataepukana na safari hiyo...muhimu ni kurudi kwa Allah tukiwa salama...

  • @imranmussa500
    @imranmussa5003 жыл бұрын

    MAALIM KUMBE ULIKUWA NI AHLISUNNA MASHALLAH

  • @truthspeaker2062

    @truthspeaker2062

    3 жыл бұрын

    Waislamu wote lazima wawe ahli sunna sii lazima mtu mpaka ajitaje kuwa yeye ni ahlisunna . Kwani masunni hawatekelezi sunna. Kwani maibadhi hawatekelezi sunna. Kwa mashia hawatekelezi sunna.

  • @alonealvin4534

    @alonealvin4534

    3 жыл бұрын

    Mashia hawafwat sunna...

  • @truthspeaker2062

    @truthspeaker2062

    3 жыл бұрын

    @@alonealvin4534 du 🤣

  • @truthspeaker2062

    @truthspeaker2062

    3 жыл бұрын

    @@alonealvin4534 lkn hata masunni na maibadhi pia wapo wasiofata sunna.

  • @nooor1120

    @nooor1120

    3 жыл бұрын

    Mnaanza tena

  • @nassrasuleiman630
    @nassrasuleiman6303 жыл бұрын

    Kikubwa ni dua kukuombea ila maumivu tumepata lkn tunasema Alhamdulillah

  • @cadabra7402
    @cadabra74023 жыл бұрын

    Allah akurehemu.

  • @hajihaji1000
    @hajihaji10003 жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu s.w akupumzishe kwa amani...

  • @ibugharib389
    @ibugharib3893 жыл бұрын

    INNALLILLAH WAINA ILLAIH RAJIUN ALLAH AMFANYIE WEPESI KATIKA SAFAR YETU HII NA SISI ATUPE MWISHO MWEMA, ewe ndugu yangu muislam maisha ya dunia ni sawa kivuli namuomba Allah kwangu na kwako ATUPE mwisho MWEMA

  • @fauzakassim2271
    @fauzakassim22713 жыл бұрын

    Mashaallah allah akujaalie uwe kwenye watu wema Amiin yaraby kwa sote

  • @aybkham5795
    @aybkham57953 жыл бұрын

    Allah AKUJALIE pepo na makazi mazuri Mwalim Seif atukutanishe tena pamoja peponi, Ammeeen... 😓😓😰

  • @fatmamatuma4073

    @fatmamatuma4073

    3 жыл бұрын

    Amiin 😭😭😭😭

  • @tamemahmad9902

    @tamemahmad9902

    3 жыл бұрын

    Amiin 🤲🤲

  • @maryamalmaskari1637

    @maryamalmaskari1637

    3 жыл бұрын

    @@fatmamatuma4073 allahuma amee

  • @maryamalmaskari1637

    @maryamalmaskari1637

    3 жыл бұрын

    🤲

  • @nasrakapama3670

    @nasrakapama3670

    3 жыл бұрын

    Allahumma Aaamin

  • @NasserNassor-cd5pm
    @NasserNassor-cd5pm Жыл бұрын

    Allah akusameh amiri wetu

  • @mamukizee9360
    @mamukizee93603 жыл бұрын

    Uyu mzee alibashiriwa nin, naona kajisafisha kiaina

  • @omarkhamis1539
    @omarkhamis15393 жыл бұрын

    Allah akuingize katika pepo za juu inshaallah

  • @maalimjaffar5563
    @maalimjaffar55633 жыл бұрын

    HUYU NI MTU PERFECT,,,NIKIONGOZI WA AINA YAKE NA WAPEKEE,NI SHIDA SANA KUWAPATA VIONGOZI KAMA HAWA.

  • @salimshaib879
    @salimshaib8793 жыл бұрын

    Jemedari wa kweli Allah akupe makaazi mema in shaa Allah

  • @sudaissoud3670
    @sudaissoud36703 жыл бұрын

    Kila kitu amekiweka safi Maalim..ameshakamilisha his destiny ndo maana Allah amemchukua

  • @machintangachibwena5922

    @machintangachibwena5922

    3 жыл бұрын

    ALLAH AMPE KAULI THABEET INSHALLAH INSHALLAH INSHALLAH INSHALLAH INSHALLAJ🙏🙏🙏🙏🙏 INNA LILLAHI WAINNA ILLAIH RAJIIUNI

  • @alisele5299

    @alisele5299

    3 жыл бұрын

    Kamaliza kazi yake kweli

  • @kunchelilemangweto3867
    @kunchelilemangweto38673 жыл бұрын

    ALLAH amsamehe dhambi zote na amhifadhi peponi

  • @kibwetere8147
    @kibwetere81473 жыл бұрын

    Umeondoka kiongoz mwenye busara and hekima iliojaa ndan ya moyo wako hakika umeondoka tukiwa bado tunahtaji muongozo wako

  • @ramilialiy3725

    @ramilialiy3725

    3 жыл бұрын

    Hakika

  • @maryamalmaskari1637

    @maryamalmaskari1637

    3 жыл бұрын

    Hatutokusahai maneno yako milele

  • @oman7710

    @oman7710

    3 жыл бұрын

    Innalillaah wainna ilayh rajiuun, Allah amsamehe makosa yake na amuepushe na adhabu ya kabri na sie tuliobaki tunamuomba Allah atujaalie mwisho mwema, Allahumma amiiin Yarabb

  • @fadhilahaji8719

    @fadhilahaji8719

    3 жыл бұрын

    @@oman7710 Ameen

  • @muniraalisaid2660
    @muniraalisaid26603 жыл бұрын

    Innalillah wainna ilayh rajiun Allah ampe safar ya kheir amsameh makosa yake na awape Subra wafiwa wote na wazanzibar kwa ujumla in shaa Allah pepo ya firdaus iwe ndo makaazi yake Amiin thumma Amiin Yaa Rabbiy

  • @sharifabdul6085
    @sharifabdul60853 жыл бұрын

    Innalillah wainna ilayhi rajiun,tunakuombea salama sana maalim,Allah akurehem na pepo iwe ndio makaazi yako

  • @zarnatmohd6635

    @zarnatmohd6635

    3 жыл бұрын

    Amiiyn

  • @rayaalhabsi1725

    @rayaalhabsi1725

    3 жыл бұрын

    Allahumma ameen yaarab

  • @saidhaji9700
    @saidhaji97003 жыл бұрын

    kwa hakika maneno yako maalim yamejaa hekima na busara .. na ni mawaidha tosha kwa waislamu wote .. umewashinda baadhi ya mashekh maana kazi yao ni kusemana tu ktk membari .. mungu akujaaliwe upate yale yaliomazr ambayo amewaandalia waja wema .. yaa Allah sisi tunashuhudia kwa mja wako huyu kwamba alikuwa ni mtu mpenda watu mwenye kuwathamini mweny huruma na uchungu kwa waislam na mchi yake pia .. tunakuomba yaa Allah umlipe km ulivyowalipa waja wako wema .. amiiiin

  • @hamzamohamedKeslivol
    @hamzamohamedKeslivol3 жыл бұрын

    Allah amlaze mahali pema alifika kuhimiza ummoja na kuwacha tofauti zetu. Haya maneno mazito Sana

  • @khalfanlogo3198
    @khalfanlogo31983 жыл бұрын

    Da kila nikimuona machozi yananitoka da kazi yamungu haina makosa

  • @allythabiti8150
    @allythabiti81503 жыл бұрын

    Yaa Allah Umpe nuru na umrehemu Maalik seif.

  • @ebraheemawadh2257
    @ebraheemawadh22573 жыл бұрын

    Allah akujaalie bustani kwenye kaburi lako akujazie nuru

  • @malikhabibali4651
    @malikhabibali46513 жыл бұрын

    Allah (s.w) akurehemu kipenzi chetu

  • @ramilialiy3725
    @ramilialiy37253 жыл бұрын

    Umeondoka baba zanzibar umeachia Allah subkhallakh wataallakh

  • @nguruduali2014
    @nguruduali20143 жыл бұрын

    Mungu huondosha kitu nahueka kitu nawashauri wezangu tue nasubra mungu atatupa kipezichengine Kama yeye au kuliko

  • @dabywolker5352
    @dabywolker53523 жыл бұрын

    mungu akulaze mahalapema peponi amin

  • @salmaabdulla7797
    @salmaabdulla77973 жыл бұрын

    Inna lillah wainaa ilayhi rajiun MWENYEZI MUNGU AMJAALIE KAULI DHABIT

  • @mwanahassan6947
    @mwanahassan69473 жыл бұрын

    Allah msamehe makosayake hii njiya tutapita soote wewe mbele na sisi tuko nyuma yako bila ya wewe kusingekuwa na amani Zanzibar umeona jitihada zako tuta kukumbuka daima Allah wape subra wafiwa izidishe amani Zanzibar

  • @kekaakekaa7898
    @kekaakekaa78983 жыл бұрын

    Nalilia taifa langu la zanzibar mungu akulaze mahalapema ppn

  • @hilalal-busaidi4007
    @hilalal-busaidi4007 Жыл бұрын

    AMEEN

  • @rajabummamba8019
    @rajabummamba80193 жыл бұрын

    Allah akurehem

  • @hemedikombo2842
    @hemedikombo28423 жыл бұрын

    Sisi tulikupenda ila m.mungu amekupenda Zaid tutakukumbuka milele daima

  • @ibramiddo4863
    @ibramiddo48633 жыл бұрын

    Allah akufnyie wepes ktk safar yko akupe kauli thabit

  • @alawiali3475

    @alawiali3475

    3 жыл бұрын

    AMIN

  • @oman7710

    @oman7710

    3 жыл бұрын

    Allahumma amiiin Yarabb

  • @fatmamatuma4073
    @fatmamatuma40733 жыл бұрын

    Inna llillah wainna illayhi rajiuon Allah awasameh wazazi wetu walotangulia mbele ya haki

  • @fatmas7338

    @fatmas7338

    3 жыл бұрын

    Amin

  • @oman7710

    @oman7710

    3 жыл бұрын

    Allahumma amiiin Yarabb

  • @musitemusite4316
    @musitemusite43163 жыл бұрын

    Allah akulehemu babaetu

  • @adamstour5736-kb6zq
    @adamstour5736-kb6zq4 ай бұрын

    ALLAH ajaalie uwe ni miongoni mwa wenye kupewa kitabu chako kwa mkono wa kulia inshaallah

  • @abeidsalim7456
    @abeidsalim74563 жыл бұрын

    Allah amtilie nuru kabur yake amin.

  • @nassirmohd2851
    @nassirmohd28513 жыл бұрын

    Allah atakulipa kwa nia yako nzuri Allah anaangalia nia

  • @mekisonshirazy7791
    @mekisonshirazy77913 жыл бұрын

    Yaani muda mchache lakini alichokiengea ni zaidi ya madini. Ndio maan alikuwa na ushawishi mkubwa katika Siasa . Allah amlaze mahali pema .

  • @fuadyakoub5428
    @fuadyakoub54283 жыл бұрын

    Allah mlaze pema peponi mpendwa wetu maalim

  • @salimkassim6020

    @salimkassim6020

    3 жыл бұрын

    Amiin

  • @hasanmakame6999
    @hasanmakame69992 жыл бұрын

    Hatutampata daima ..pumzika

  • @HusseinMohamed-jq7hu
    @HusseinMohamed-jq7hu8 ай бұрын

    اللهم غفرله ورحمة

  • @dzekocheko4437
    @dzekocheko44373 жыл бұрын

    Mungu akupe Kauli dhabit katka kaburi yk

  • @zubeirsalum128
    @zubeirsalum1283 жыл бұрын

    Allahuma ghufirlahu waarhamahu waaskinahu filjannat

  • @skjjsj1889
    @skjjsj18893 жыл бұрын

    Allah akurehemu

  • @hanifakhamisi4522
    @hanifakhamisi45223 жыл бұрын

    Tutakukumbuka daima kipenzi chetu

  • @salmaelhinai833
    @salmaelhinai8333 жыл бұрын

    Innallilahi wainailahi rajioun Allah amsamehe makosa yake amlaze mahali pema peponi

  • @fatmamatuma4073

    @fatmamatuma4073

    3 жыл бұрын

    Amiin

  • @oman7710

    @oman7710

    3 жыл бұрын

    Amiiin

  • @FahmatFarmat
    @FahmatFarmatАй бұрын

    Allah akurehemu kiyongoz wetu

  • @biramsakh9212
    @biramsakh92123 жыл бұрын

    Anasikitisha sana maalim

  • @nassirmohd2851
    @nassirmohd28513 жыл бұрын

    Allah akurehem kipenz chetu

  • @ameameir2538

    @ameameir2538

    3 жыл бұрын

    Mungu akuondoshe azabu za kabr

  • @salmaseif1070
    @salmaseif10703 жыл бұрын

    Mungu akulaz mahala pemaa kipnzchetu

  • @khairatsuleiman4917
    @khairatsuleiman49173 жыл бұрын

    Innalillah wainnaillah rajiun Allah akuepushie adabur ya kabri

  • @bxrkeshorts738
    @bxrkeshorts7383 жыл бұрын

    Hakiii nimelia mimi usiku huu was saa nane usiku na 47 minute nikiiyangalia hii vide

  • @jumaaomary4949
    @jumaaomary49493 жыл бұрын

    Allah ampe kaulithabit mzee wetu

  • @ismailsaidsalim296
    @ismailsaidsalim2963 жыл бұрын

    إنّا للّه وإنّا إليه راجعون

  • @imranmussa500
    @imranmussa5003 жыл бұрын

    HAPA LEO UMEONGEA MANENO MAZITO

  • @mamysalum5122

    @mamysalum5122

    3 жыл бұрын

    Hajawah kuongea pumba et

  • @nurudinjafferji
    @nurudinjafferji3 жыл бұрын

    Innalillah wainnaillah rajiun May Allah rest his soul in peace and bestow Jannat Amen

  • @albatawiynassir

    @albatawiynassir

    Жыл бұрын

    0

  • @komboali8203
    @komboali82033 жыл бұрын

    Innalillah wainnaa ilah rajium, dah mcba mzito kwa kweli haulezeki

  • @khadijahali4837
    @khadijahali48373 жыл бұрын

    Pumzika kwa aman mzee wetu

  • @idrisaabdillahibpxkijykbs4162
    @idrisaabdillahibpxkijykbs41623 жыл бұрын

    Jamaa amezungumza hapa

  • @mohameddahir8743
    @mohameddahir87433 жыл бұрын

    Inaa lilaah ma inaa ileih rajiun rest in peace and ma allh grant him his janatul firdows in sha allah

  • @fatmasaid9765
    @fatmasaid97653 жыл бұрын

    آمين يارب العالمين

  • @jumamanzi4531
    @jumamanzi45313 жыл бұрын

    Lazima tusimame pamoja bila kumwogopa yeyotee kwaajili ya maendeleo ya taifa letu... Tanzania Na kua kiongizi sio kujua kila kitu...wanakosea wanahitaji kurekebishwaa,wanawaongiza watanzaniaa,wameteuliwa na watanzaniaa wakubali kukosolewa na watanzaniaa,kwanzia mjumbe wa nyumba kumi hadi raisii Tanzania nguvu moja ,🇹🇿🇹🇿

  • @HassanHassan-pz4ki
    @HassanHassan-pz4ki3 жыл бұрын

    Maneno yamenigusa اللهم ٱغفرله ورحمه

  • @suleimanmohamed4367
    @suleimanmohamed43673 жыл бұрын

    Maalim Allah Akurehemu akulip fridausi

  • @issamohd9955
    @issamohd99553 жыл бұрын

    Innaalillahi wainnaa ilayhi raajiun

  • @aminasanzu4954
    @aminasanzu49543 жыл бұрын

    Inna Lilah wa innalilah rajiun

  • @mohamedmande3958
    @mohamedmande39583 жыл бұрын

    رحمه الله

  • @aaa64sa13
    @aaa64sa133 жыл бұрын

    Inna lillahi wainna ilahi rajioun

  • @mmadiausiy9810
    @mmadiausiy98103 жыл бұрын

    Nenda salama mpendwa wetu nasi tupo nyuma

  • @binothman9284
    @binothman92843 жыл бұрын

    Innalillahi wainna ilayhi rrajiuun

  • @abdallamasoud7734
    @abdallamasoud77343 жыл бұрын

    Innalillah wa innailayhi raajiuun

  • @ahmadarton_tz3229
    @ahmadarton_tz32293 жыл бұрын

    Innalilah wainna ilah rajiun

  • @masudsulemansalim3706
    @masudsulemansalim37063 жыл бұрын

    inalilahi waiinailahi rajiuuni

  • @zuhrateyn593
    @zuhrateyn5933 жыл бұрын

    Sasa hivi ndo amekuwa wa mana sana mwanzo mbona hajaoneshwa mungu yupo lkin kwa kila hatuwa

  • @edyamir1257

    @edyamir1257

    3 жыл бұрын

    Binadamu huwa galiwa mwisho wake atamalizia vp sio mwanzo upo

  • @samadu90online23
    @samadu90online233 жыл бұрын

    Pumzka kwa Amani mwamba wa Zanzibar

  • @sudaissoud3670
    @sudaissoud36703 жыл бұрын

    Shein alikua anachagua mskiti...kipenzi cha wazanzibar. ..ameondoka

  • @cadabra7402
    @cadabra74023 жыл бұрын

    Innalillah wainna ilaihi raajiun

  • @khamisjuma5046
    @khamisjuma50463 жыл бұрын

    Mungu mkubwa pingo.kwa wa zanzibar

  • @kibwetere8147
    @kibwetere81473 жыл бұрын

    In a lilac wayna ilahi

  • @imsimk.khamis574
    @imsimk.khamis5743 жыл бұрын

    Wale wote waliofiwa na ndugu zao Allah awape wepec, kauli thabit marehemu wote. Na wagonjwa awape shifaa

  • @alhamdulillah5796

    @alhamdulillah5796

    3 жыл бұрын

    Amiin

  • @mimiapa8436

    @mimiapa8436

    3 жыл бұрын

    Ameen

  • @alhamud2721

    @alhamud2721

    3 жыл бұрын

    Amiin

  • @mohamedmande3958
    @mohamedmande39583 жыл бұрын

    Sharifu kumbe ni sharifu.

  • @FrankJMkama
    @FrankJMkama3 жыл бұрын

    pumzika kwa amani baba

  • @mwalimhaji677
    @mwalimhaji6773 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭

  • @mohammedhamad9392
    @mohammedhamad93923 жыл бұрын

    Mother umefariki lakini maneno yako yatanifanya upo tu hapa moyoni na machoni.msimamo wako wa zanzibar wewe nitaasisi pekee innalillahi wainnailahi Raaj un

  • @lilyrose7983

    @lilyrose7983

    3 жыл бұрын

    Kwann unamuita mother?wakati huyu ni mwanaume?

  • @saharasheekh5073
    @saharasheekh50733 жыл бұрын

    🤲🤲🤲😭

  • @mimimalsh9139
    @mimimalsh91393 жыл бұрын

    Innalillah wainna ilyahi raajiun😞😞😞

  • @mohammedsuleiman5066
    @mohammedsuleiman50663 жыл бұрын

    Jembe limetutoka innalillahi wainna ilahi rrajiun

Келесі