MAMA ZUCHU AIBUKA MBELE YA MAKONDA KUTOA KERO, AMJIBU "WE KHADIJA KOPA SUBIRI"

Пікірлер: 273

  • @idrisamapesa2732
    @idrisamapesa27325 ай бұрын

    walokuja hapa kwa ajili ya mama zuchu tafadhar naomba tujuane 😊😊😊

  • @rosemahenge9071

    @rosemahenge9071

    5 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @user-bo1xl6ec6n

    @user-bo1xl6ec6n

    5 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @Ashleyqueen001

    @Ashleyqueen001

    5 ай бұрын

    Niko hapa😂

  • @luhajufilmstanzania

    @luhajufilmstanzania

    5 ай бұрын

    😂😂😂tumeuzwa

  • @aishaabdullah837

    @aishaabdullah837

    5 ай бұрын

    😅😅😅😅😅 Atari sana

  • @radhiamalla9428
    @radhiamalla94284 ай бұрын

    Mzee katisha Sana gonga like kwaajiliyako, nataka eneo sitaki hela Safi kabisaaaaa👏👏👏👏

  • @sijartv9554

    @sijartv9554

    4 ай бұрын

    Sitaki pesa

  • @raheematanzania2816
    @raheematanzania28165 ай бұрын

    Kelo nyingine nahisi hata Makonda hajazaliwa😂😂

  • @mohdmakame4552

    @mohdmakame4552

    5 ай бұрын

    Nmecheka San kuona hii comment 😂

  • @neemanziku5403
    @neemanziku54033 ай бұрын

    Yan Makonda hata wakupe ujumbe wa nyum ba kumi yan tunakupenda tena tunakuombea chukua maua🎉🎉

  • @andreauisso3225
    @andreauisso32255 ай бұрын

    Hiiii inchi bwana Mungu atusaidie hivi tangu tumepata huru wameshindwa kuwapatia wana nchi wanacho hitaji

  • @sevelinsilinu5621

    @sevelinsilinu5621

    5 ай бұрын

    kwahiyo wewe tangu umezaliwa unachohitaji ni hicho hicho hujui kama mahitaji yanabadilika hizo ni akili mgando

  • @mohamedothman5792

    @mohamedothman5792

    5 ай бұрын

    Na sijui watashughulika na waTZ wangapi kwa style hii Futuhi

  • @andreauisso3225

    @andreauisso3225

    5 ай бұрын

    😂😂😂😂😂 hawa ma ccm kama wameshindwa kuwafunga na kuwaamurisha warudishe hela walizo iba ndiyo wata weza kusuluisha migogo iliyopo inchini tunahitaji viongozi wazalendo na siyo waigizaji na kuwa kiongozi haijalishi upo chama gani tumeelewana hapo au na wewe ni chawa wanao kaasehemu chafu😂😂😂😂​@@sevelinsilinu5621

  • @mariamrema6112
    @mariamrema61124 ай бұрын

    Pambana baba na mungu akutie nguvu tetra wanyonge na wasio na haki baba

  • @hansynasery6399
    @hansynasery63995 ай бұрын

    mzee kichwa smart sana😂😂😂

  • @janetchinga695
    @janetchinga6955 ай бұрын

    Masikini mzeee😢😢 polesana

  • @feelNice-vi3lo
    @feelNice-vi3lo5 ай бұрын

    Ccm hadi mic mchongo hapo kwenye kundi la khadija kopa kunapesa zimetolewa wasisikie kero nyie kuna mungu baada ya haya maisha ngoja wazee wafe na vinyongo tu

  • @nuruhabasimainya
    @nuruhabasimainya5 ай бұрын

    Paul makonda mungu akutunze

  • @norahgingi5642
    @norahgingi56425 ай бұрын

    Ongera Sana mwenezi wangu mwenyezi mungu ambariki raisi wetu mitano tena ccm oyeeeeeeee

  • @ladooladoo1285

    @ladooladoo1285

    4 ай бұрын

    Amina

  • @mwajumamwajuma55

    @mwajumamwajuma55

    3 ай бұрын

    😢

  • @allykayanda6930
    @allykayanda69305 ай бұрын

    Nilichogundua huyu Hadija kopa hapa niwamchongo tuu,hanachakuongea,mzugaji tuu hapo 😂😂😂,lakin hongera sana kwakusikiliza kero za watu mwenezi wetu

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km5 ай бұрын

    Namsuburi mama zuchu aongee ata sijamuona😂😂

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb28085 ай бұрын

    Millard naww umeanza uhuni sasa mama zuchu kaongea wap????mzee umeniumiza moyo sanaaa😭😭😭😭😭

  • @hafsahmassemoh3598

    @hafsahmassemoh3598

    5 ай бұрын

    Tena mm nilivyo poteza mda kuangalia yte 😢😢😢😢😢amenikera ujue 😂😂😂😂😂😂

  • @chusseboywcb2808

    @chusseboywcb2808

    5 ай бұрын

    @@hafsahmassemoh3598 kasha anza kupoteza mvuto wa habali kisa kashiba

  • @neemawilliam8415

    @neemawilliam8415

    5 ай бұрын

    ​@@hafsahmassemoh3598ngoja niachie njian

  • @chusseboywcb2808

    @chusseboywcb2808

    4 ай бұрын

    @@hafsahmassemoh3598 habali zake zimekua zakiboya

  • @hajihassan5433
    @hajihassan54335 ай бұрын

    Mzee ana akili sana maana angetaja hela angepewa 20,000 yake hapo hapo.

  • @saloomidd1084

    @saloomidd1084

    4 ай бұрын

    Ni mjanja ana mahesabu

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin31215 ай бұрын

    😮wow wa africa tuna maisha marefu dah mzee,ulianza,ulisumbuliwa njo nazaliwa duniani mpaka loe hujapata haki yako.mpaka ukakata tamaa.yaani uliuwawa ila kifo kikakukataa.pole sana.

  • @omanoman2044
    @omanoman20445 ай бұрын

    Wallah mtihan makonda kashakuw msilim maashaallah am ni kibarakashia tuy

  • @AhmadaHassan-gy5uj

    @AhmadaHassan-gy5uj

    5 ай бұрын

    Sio kama kazugia hiyo balagashia kwa kuwa yupo kwa waislam wengi

  • @omanoman2044

    @omanoman2044

    5 ай бұрын

    @@AhmadaHassan-gy5uj ndo kuzugia kwenyew huko kwa sababu ni kwa waisilam

  • @fbensony

    @fbensony

    5 ай бұрын

    Barakashia ndiyo usilam😅

  • @omanoman2044

    @omanoman2044

    5 ай бұрын

    @@fbensony som vizur hiyo meseji wa TZ MNAPENDA KUKURUPUKA TUY KUJIBU

  • @ouldaidallah4670

    @ouldaidallah4670

    4 ай бұрын

    ni vazi la asili kumbuka hayati Mrema

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja47295 ай бұрын

    Bi Hadija mbona uko kishari hujapendeza si vizuri ata kidogo

  • @thomasmsuya-ui5kh
    @thomasmsuya-ui5kh5 ай бұрын

    Matukio arusha

  • @surusuru1994
    @surusuru19945 ай бұрын

    Nakubedea❤❤hapotu kaka kaz vury

  • @user-os6sc7is5h
    @user-os6sc7is5h3 ай бұрын

    Kopa wafamishe kwamba nyinyi wote kule kwenu Uku kwenye samaki wa siwa 😂😂😂❤❤❤

  • @user-ig7tb1cf8z
    @user-ig7tb1cf8z5 ай бұрын

    Chadema wakisema muandamane ooh hatuna shida poleni.

  • @merckmdamu2942

    @merckmdamu2942

    5 ай бұрын

    Faida ya maandamano ninini? Elezafaida kwanza unaandamana unakamatwa ukifika huko unabadirishiwa kes unakua mhujum uchumi hiv unaijua hii selekalilakini

  • @afredyohana356
    @afredyohana3565 ай бұрын

    Usaniii huu wa ajabu

  • @DavalsonMarlony
    @DavalsonMarlony5 ай бұрын

    sema serkal knaviongoz waonev Sana wanapenda kuwanyang'anya raiya maeneo yao hata Kama labda aklpa kod ya ardh kwann msimpe nafas afanye process ya klpa ili mumuachie eneo lake Yani unakta viongoz ndy wanagawana ardhi ya Mt kna sehemu nlskia iyo habar ad mzee wawatu kafa kwa kpora mashamba yake mtakja klpa mbele za mwenyenz mungu sk moja

  • @johnbernad3990

    @johnbernad3990

    5 ай бұрын

    Hoja yako nzuri sana lakini unachafua lugha ya Kiswahili unapoandika kamilisha maneno siyo mkatomkato

  • @DavalsonMarlony

    @DavalsonMarlony

    5 ай бұрын

    @@johnbernad3990 isafishe man we ujawai kosea, smat kawaida unaweza kuandka kt ukakuta umeboronga chukuwa brashi broo icho kiswahili kina benefit gan kwako Zaid ya kuongea Cha umuhm point umeiyelewa kausha

  • @user-wd2bc7bf5x
    @user-wd2bc7bf5x5 ай бұрын

    huyu baba oohh jamani pole sanaa mzee daah😢😢😢

  • @hamisimsosi6237
    @hamisimsosi62375 ай бұрын

    Muheshimiwa makonda kila la kheri kwa kazi kubwa unayoifanya kupitia hii naikumbusha selikali kuwa migogolo ya aridhi inazidi kuongezeka kila kukicha kwa hiyo ningeishauli selikali iwe ajenda ya kitaifa kila Kona watu tunalalamika kudhulumiwa aridhi aksante😭😭😭😭😭😭😭

  • @adelinelyaruu3036

    @adelinelyaruu3036

    5 ай бұрын

    Maneno mengi vitendo hakuna. Utawala bora hakuna

  • @user-vo7yp5gj7x
    @user-vo7yp5gj7x5 ай бұрын

    Mzee mashallah anajua kuongea

  • @salimakuyela7813
    @salimakuyela78134 ай бұрын

    Kama umefurahi hadija kopa kushushuliwa gonga like hapa ili kumuaminisha sura ya ushari ndio amekataliwa kuongea 😅😅😅😅

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid96375 ай бұрын

    Hili biki kama sura yake kama kima hee halitubii tu hee bibi jiheshimu umri ushaenda jua linazama tena

  • @jeremiahngoka4980
    @jeremiahngoka49805 ай бұрын

    Mkome na mporwe ardhi kbs.Bado mnavaa manguo ya kijani ya hicho chama cha dhuluma.Pigweni sana tu

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba3135 ай бұрын

    Huyu makonda mmemchelewesha kumpa cheo kingine Cha utendaji ni zaidi

  • @user-ig7tb1cf8z
    @user-ig7tb1cf8z5 ай бұрын

    Vkomled mziki wa huyo mzee ndiyo tatizo la kushughurikia, achana na akina Mbowe, mama mwenye nywele ananichanganya mzima kweli.

  • @maniamba.tz_

    @maniamba.tz_

    5 ай бұрын

    Mama mwenye Nywele ni Adija Kopa msanii mkongwe 😂😂😂

  • @popiya2368
    @popiya23685 ай бұрын

    Mzee kaongea vizuri sana

  • @mamiyfeiy

    @mamiyfeiy

    5 ай бұрын

    Sana tuu amejua kujielezea

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim27945 ай бұрын

    Mama yangu bi Hadija ananyosha kidole kama tuliokuwa shule ya msingi swali huelew teacher mkali unanyoosha unashusha

  • @user-xh5vl6eh6i

    @user-xh5vl6eh6i

    5 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂uyo kama nilikuwa mimi yani nimejua kucheka jamani 😂😂😂😂😂😂 ndo mana napenda kupitia comment za watu

  • @user-hi5pg4vp2u
    @user-hi5pg4vp2u5 ай бұрын

    Huyo Dada mwenye kidoti nampendaga sana nilimuonaga lugoba.

  • @user-mh5wj1vs7v

    @user-mh5wj1vs7v

    5 ай бұрын

    Nishida

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti2495 ай бұрын

    Mama Khajida kama misukule yaaani yuko bwajabwaja sijui kalewa😢

  • @hajihassan5433

    @hajihassan5433

    5 ай бұрын

    Anatudhalilishia imani yetu ya Uislam. Haitegemewi Muislam tena Hajjat halafu awe tim tim hivi ingawa yupo kibaruani lakini vibarua vyenye staha vipo.

  • @FatimaAli-of4gh

    @FatimaAli-of4gh

    5 ай бұрын

    Kumbe na wewe umeliona😂😂😂

  • @nancychesang9567

    @nancychesang9567

    5 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @husseinkitingi8186
    @husseinkitingi81864 ай бұрын

    Hii ndo njia aliyoianzisha magufuri Allah amuongoze inshaallah

  • @afredyohana356
    @afredyohana3565 ай бұрын

    Mnawakusanya watu kwa magari kutoka maeneo mbalimbali

  • @thaddeojude7511

    @thaddeojude7511

    5 ай бұрын

    Nenda naww ukakusanywe...kama vip

  • @jalaryababilasi1562
    @jalaryababilasi15625 ай бұрын

    Mnasaidiwa kero afu mkitoka hapo mnasema makonda ni muuaji makonda chapa Kaz kaka nakupenda xan

  • @benardbwakitare-wj1hr
    @benardbwakitare-wj1hr5 ай бұрын

    Mbona wenye matatizo ni ccm hivi nchi ina watu kweli

  • @zatchardzknestor
    @zatchardzknestor5 ай бұрын

    Mama zuchu anakierehere

  • @user-ey9sb2zp8u
    @user-ey9sb2zp8u3 ай бұрын

    Nkajua Khadija Kopa a.k.a mama Zuchu ataongea kumbe ziiii 😂😂😂😂😂😂 ila millady ayo

  • @athumankaswaga605
    @athumankaswaga6055 ай бұрын

    Huyu mama Zuchu- muda wote tu kapiga K-vant😅😅😅😅😅

  • @hamiduchingi2672
    @hamiduchingi26725 ай бұрын

    Darasa lanne ilo mzee nabado upovizuli, sasa awa awtoto wasasa wanatusumbua etikisa tu wanabachela zao, kingereza awajui kusoma awjui kingereza munatusumbua watu wenye tuliojikatia tamaa naiinchi😢😢

  • @user-pm8oy3yq7g
    @user-pm8oy3yq7g4 ай бұрын

    Talatibu fupa lilimshinda fisi mbwa utaliweza❤

  • @eligiusedmund3187
    @eligiusedmund31875 ай бұрын

    4:20 umeskiaje ayo najibu kwa Mzee wetu CCM mna drama sana

  • @Mumewangu
    @Mumewangu5 ай бұрын

    Mama zuchu kalewa mpaka kalewa lewa zuchu akimuona mama take atasema he mamaeee. Diomond kichwa chini

  • @jeffhard5773
    @jeffhard57735 ай бұрын

    Mnajitekenya wenyewe harafu mcheke wenyewe

  • @leokamil6284
    @leokamil62845 ай бұрын

    Nchi hii inamamluki wanafki mahasidi Mungu anawaona

  • @mussammanga7791
    @mussammanga77915 ай бұрын

    Jitu zima ovyo mawigi kama kichaa. MwenyeziMungu ametupa muda mfupi sana hapa duniani wkt wowote tunaondoka tujiandae. MwenyeziMungu ameuwapia wakati katika Qur-an.

  • @emmanuelmatogolo5869

    @emmanuelmatogolo5869

    5 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @rosemahenge9071

    @rosemahenge9071

    5 ай бұрын

    Acha makasiriko 😂😂safisha nafsi yako kwanza uache kuhukumu watu pumbavu

  • @chuggaboy9877

    @chuggaboy9877

    5 ай бұрын

    Nenda kamfanyie daawah sio kumnanga mtu huku…!

  • @mussammanga7791

    @mussammanga7791

    5 ай бұрын

    @@rosemahenge9071 Hukumu unaijuwa. Apo nimemtakia mema arudi kwa Mola wake au kwakuwa wewe ni mtu wa motoni unataka muingie nae pamoja?

  • @mussammanga7791

    @mussammanga7791

    5 ай бұрын

    @@chuggaboy9877 Iyo peke yake daaawa nimemkumbusha kwamba muda tuliyopewa na MwenyeziMungu ni mfupi. Na MwenyeziMungu ameuwapia wakati.

  • @user-ct5yt9zp1u
    @user-ct5yt9zp1u5 ай бұрын

    Kopa kichwa wazi nakuzubaha sana kama kafika dare Salam leo 😂😂

  • @gideonchipepo8405

    @gideonchipepo8405

    5 ай бұрын

    I C😅😅❤❤❤😅❤❤❤❤C❤❤😮❤❤😮😮❤😅❤❤❤❤😮❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😊😊❤❤❤❤😊❤❤❤😊❤❤😮❤😅😅❤❤😮❤❤❤❤

  • @gideonchipepo8405

    @gideonchipepo8405

    5 ай бұрын

    😊😅❤❤😊❤

  • @gideonchipepo8405

    @gideonchipepo8405

    5 ай бұрын

    ❤❤❤

  • @gideonchipepo8405

    @gideonchipepo8405

    5 ай бұрын

    ❤😮❤ 4:33 ❤❤❤❤ 4:37 ❤😅❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @gideonchipepo8405

    @gideonchipepo8405

    5 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ 4:51 ❤❤❤❤❤❤😊❤❤❤ 4:58 ❤ 5:00 ❤

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim1435 ай бұрын

    nimeona kopa linajidekeza kama mtoto likijua litatumia uwenyeji kupewa maiki 😂😂 linarembuza haa

  • @user-rs4vz2vt9z
    @user-rs4vz2vt9z5 ай бұрын

    Diamond usije ukasema hujaona,umeona Zuchu akiwa mzee atakuaje?,chezea mitandao wewe?????.😅

  • @barakamjunangee9559

    @barakamjunangee9559

    5 ай бұрын

    Umenifurahisha san

  • @omarkhamys9818
    @omarkhamys98185 ай бұрын

    Samahanini waungwana!!! Huyu khadja kopa iyo minywele kama mgonjwa!!!!

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum71565 ай бұрын

    Uyo mama zuu kapngwa hapo.hhahaa ccm bwana

  • @user-tk8nn2tu3u

    @user-tk8nn2tu3u

    4 ай бұрын

    Ni mzaramo wa bagamoyo huyo itakuwa na yeye wamemdhulumu

  • @uwimana6533
    @uwimana65335 ай бұрын

    Huyo hadija mbona kama kituko mtumzima, hovyo umri umekwenda akili kamakisoda 😂😂😂

  • @mariamarywenslaus2938
    @mariamarywenslaus29385 ай бұрын

    Babu kakazana kupokonya maiki😂😂😂😢😢😢

  • @ekkymumba8566
    @ekkymumba85665 ай бұрын

    Watu wanahisi wanamshtakia Magufuri 😭😢

  • @Nalitumpaboy-dm4tk

    @Nalitumpaboy-dm4tk

    5 ай бұрын

    Makonda anajaribu kuwa kma anko magu lakin wap

  • @bulunjamalimikulwa4876

    @bulunjamalimikulwa4876

    5 ай бұрын

    ​@@Nalitumpaboy-dm4tknikulingana na position yake alokuepo, lakin angekua mkuu zaidi pasingetosha

  • @Worldunite
    @Worldunite4 ай бұрын

    Hadija kopa umeshazeeka mnoooo sasa dada yangu

  • @isayamapela2087
    @isayamapela20875 ай бұрын

    Ujauja hutakiwa

  • @mangofish9079
    @mangofish90794 ай бұрын

    Hii nchi vichekesho sana yaani makonda awe bora kiufanisi kuliko hizo taasisi husika yaani ni dhahiri taasisi zimefeli kuhudumia wananchi ipasavyo ni jambo ambalo limezoeleka.

  • @user-bx3kl4hn6j
    @user-bx3kl4hn6j5 ай бұрын

    Hao ndio ccm wanatengeneza tukio alafu wao wenyewe ndio watatuzi wa ilo tukio

  • @leokamil6284

    @leokamil6284

    5 ай бұрын

    Si ndio mijinga mingine inadanganywa kucheza movie za kijinga very stupid hawa

  • @khatibal-zinjibari6956
    @khatibal-zinjibari69565 ай бұрын

    Akiwa Bagamoyo Paul Makonda Kavaa Kofia!!!!

  • @leokamil6284

    @leokamil6284

    5 ай бұрын

    😅😂😂

  • @ahmadamohamed1907

    @ahmadamohamed1907

    5 ай бұрын

    Lishalewa hilli huoni hata.sura yake

  • @khatibal-zinjibari6956

    @khatibal-zinjibari6956

    5 ай бұрын

    KOFIA YA NYERERE ZANZIBAR NA YA MAKONDA BAGAMOYO Uislam ulianza Zanzibar kabla ya Bagamoyo alikovaa Kofia Makonda. Lakini alipokwenda Zanzibar hakuvaa Kofia. Kinyume chake, Nyerere alivaa Kofia aliyopewa Makunduchi, alikozaliwa Mufti Hassan bin Ameir al-Shirazi aliyepigania Uhuru wa Tanganyika kabla ya Nyerere kupokelewa na Mufti Hassan kujiunga na Tanganyika African Association. Lakini baada ya Uhuru, Nyerere alimsaliti na kumfukuza Mufti Hassan kurudi kwao Zanzibar. MWONGOZO WA WAISLAM Allah amewakataza Waislam kutowafanya AULIYA Mayahudi na Wakiristo. [Qur'an; 5:51].

  • @freduallughano2301
    @freduallughano23015 ай бұрын

    We mama zuchu,eti ndio uongozi du tanzania kwisha kabisa unamuitaje mtu mzima hivyo ambaye kakuzidi miaka 30?mnaharibu sana maadili katika jamii.

  • @saloomidd1084

    @saloomidd1084

    4 ай бұрын

    Inaonekana wanajuana kwenye harakati zao ndio maana amejiamini kumuita hivyo,mbona wengine hajawaita hivyo

  • @user-hx8yd9gp2q
    @user-hx8yd9gp2q5 күн бұрын

    Makonda nakibarakashia

  • @YoshuaSeverino
    @YoshuaSeverino5 ай бұрын

    Awanyoshe kwanza, hao maafisa ardhi ni wababaishaji sana, kila kona ni migogoro ya ardhi, afisa ardhi wamefanya nini ili kutatua migogoro hiyo?

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala33035 ай бұрын

    Mama Samia Suluh afanye mabailiko ya Haraka sana Ma Dc na RC na ikiwezekana Hawamu hii asiangalie Mavyeti wafanye uchambuzi kwa viongozi Wazalendo

  • @onesmomwakasege5215
    @onesmomwakasege52155 ай бұрын

    Mbona mama zuchu kachakaa ivyo ivi anasaminiwa nakushauliwa kweli

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba3135 ай бұрын

    Matatizo Kila kona

  • @shariffmcleja9533
    @shariffmcleja95335 ай бұрын

    Khadija kazeeka sasa😂

  • @christinefuraha1513
    @christinefuraha15134 ай бұрын

    Swala la Bima tegemezi

  • @zatchardzknestor
    @zatchardzknestor5 ай бұрын

    Makonda ubarikiwe

  • @adilhabib8988
    @adilhabib89885 ай бұрын

    Khadija kopa

  • @fatmasaid3536
    @fatmasaid35364 ай бұрын

    Mama mtu mzima hayo manywele angejitanda kama anavojitanda kawaida angependeza tu

  • @chifbrown1568
    @chifbrown15685 ай бұрын

    Alietupa siasa Africa alion mbal sana mana ni 😂😂 Badala ya kudili na mizizi ya changamoto zetu na uhalisia wa maisha yet kuanzia ngazi zaki familia mpka kwa jamii nzima katika kukuza na kuongeza Thamani za mataifa yet tuna weka sias😁😁

  • @billgussy6099
    @billgussy60995 ай бұрын

    maigizo hadi kwenye maisha ya watu

  • @user-ix3tl2xj7t
    @user-ix3tl2xj7t5 ай бұрын

    Aya maingizo 😂😂

  • @leokamil6284

    @leokamil6284

    5 ай бұрын

    Wameona watokeje nchi ya maigizo watanzania tunajua kuchezewa kwa thumni😅

  • @adelinelyaruu3036

    @adelinelyaruu3036

    5 ай бұрын

    Wapige kambi hata ya mwezi mmoja kwenye hayo maeneo yenye migogoro. La sivyo huu ni usanii tu

  • @user-nq2np6de6l
    @user-nq2np6de6l5 ай бұрын

    Sifa ya kiongozi ni kuwa mpole pale panapotakiwa na kuwa mkali pale panapohitajika ila Si kuwa shipa na udikteta

  • @marcokaroje8980
    @marcokaroje89805 ай бұрын

    Makonda ni afisa ardhi nyiye mazuzu?

  • @user-qz5xv5if2u
    @user-qz5xv5if2u5 ай бұрын

    Makonda naomba uje kigoma kaka

  • @Abu-Hamza254
    @Abu-Hamza2545 ай бұрын

    Huyu mama wa Zuchu kachizika nini,mama mzima muislamu atembea kichwa wazi

  • @SilaMinanda

    @SilaMinanda

    5 ай бұрын

    Shetan huyu mama

  • @hamisiabubakari5650
    @hamisiabubakari56505 ай бұрын

    Viongozi wetu waserikali mnayasikia nakuyaona haya migogoro ndyo imekuwa sehem ya maisha yawatu tubadilike ili tuishi kwa usawa

  • @allyadam7355
    @allyadam73555 ай бұрын

    Greenwood wa getafe

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino1305 ай бұрын

    Due, mh hicho unachokiskia hapo ni asilimia 0.00% ya migogoro ya ardhi iliyotapakaa Nchi nzima --- na kama ndio ita tatuliwa kwa utaratobu huo " basi kazi tunayo wa Tz "

  • @BarakaMwaikenda-ty1bt
    @BarakaMwaikenda-ty1bt5 ай бұрын

    Mm

  • @mbarakkhalid117
    @mbarakkhalid1175 ай бұрын

    Mbamtaja mama zuchu ili watu waangalie na hata hajaongea maumbwa nyiye

  • @rehmakondo

    @rehmakondo

    5 ай бұрын

    Kwahii comment yko simalizi kuangalia😂

  • @MrTop-wj7no

    @MrTop-wj7no

    5 ай бұрын

    ​@@rehmakondo😂😂😂😂

  • @selemanikilupy1468

    @selemanikilupy1468

    5 ай бұрын

    ​@@rehmakondodaah na mm nimetoka

  • @rehmakondo

    @rehmakondo

    5 ай бұрын

    @@selemanikilupy1468 ndio dawa yao,mea hua nairusha rusha kama kuna ukweli unaolingana na Caption huku nasoma comments nikiona uongo nasepa sitaki kuwapa pesa yngu kizembe🤣🤣🤣

  • @EshaHamd-ed9yv
    @EshaHamd-ed9yv5 ай бұрын

    Huyu Mama ulevi ndio chai yake sishangai msulule WA Khadija Kopa unatoka wapi

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala61625 ай бұрын

    Nchi hii inaonea hadi wazee duuu

  • @fidemgonja1966
    @fidemgonja19665 ай бұрын

    Imeisha ivyo😅😅😅

  • @rajabumalilo1875
    @rajabumalilo18755 ай бұрын

    Huyu ni milard ayo au milado ayi😅

  • @user-lk7bb6nd1s
    @user-lk7bb6nd1s5 ай бұрын

    Mama zuchu yupo yupo ka mwehu...haaahaa

  • @leokamil6284

    @leokamil6284

    5 ай бұрын

    Wametengenezwa tu kavaa tisheti ya mwanachama wa CCM alafu anaomba CCM imsaidie 😂😂😂

  • @frankmasuke7750
    @frankmasuke77504 ай бұрын

    Hawataki kujifunza bado.., mbna wanasheria walielekeza kama nikero wapeleke sehemu gani??

  • @ndiditheodore8272
    @ndiditheodore82725 ай бұрын

    Kesi ya ngedere kuiba mahindi ya mtu unampelekea nyani awe hakimu? Je haki itapatikanaa?

  • @HSpeedone-ke5nh
    @HSpeedone-ke5nh5 ай бұрын

    Muaminifu ndeye fisad😅

  • @mamass7481
    @mamass74815 ай бұрын

    Jamani mm naomba kuliza huyu makonda ame rudi ukuuwamkowa?

  • @user-xi4dq3kb3m
    @user-xi4dq3kb3m5 ай бұрын

    Khadija kopa Kawa kama kahaba la madanguro mtu mzima kishet

  • @AllyGibu-cz2vo

    @AllyGibu-cz2vo

    5 ай бұрын

    Da we Jamaa huna hata uoga😂😂😂😂😂

  • @annafredinandmatandiko8438

    @annafredinandmatandiko8438

    5 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @priscamrekoni3451

    @priscamrekoni3451

    5 ай бұрын

    😅😅😅😅😅😅😅😅🙈

  • @user-cn5qh4qr3j
    @user-cn5qh4qr3j5 ай бұрын

    Utalatibu haufuatwi hivi shida nyingi zitabaki bila kupatiwa ufumbuzi

  • @neamusic2601
    @neamusic26015 ай бұрын

    Kwani kalewa au..

  • @ONJAHWorldwide
    @ONJAHWorldwide3 ай бұрын

    SIJAPENDA KITU KIMOJA KUHUSU HII SERIKALI. MTU ANAPEWA CHEO.. ANAANZA KUFANYA MAJUKUMU.. KABLA HAJAFIKIA HATA ASILIMIA 30, ANATOLEWA. ALAFU YALE MAMBO AU MICHAKATO AKIYOFANYA INAISHIA KATIKATI, INAKUA SAWA NA BUREEEEE...

  • @RaymondCharlesSaliboko-to6vx
    @RaymondCharlesSaliboko-to6vx5 ай бұрын

    ❤❤😂😂

Келесі