🟢LIVE: MAKONDA AWUWASHA MOTO IRINGA ANASIKILIZA KERO ZA WANANCHI MUDA HUU
Жүктеу.....
Пікірлер: 119
@user-qu1mq2ik2eАй бұрын
You're a God fearing leader be blessed makonda and live long I wish ningezaliwa Tanzania hongera makonda wewe ni Suleiman katika bibilia
@susananyasani652620 күн бұрын
Asante Mheshimiwa Makonda Mungu akuongezee nguvu na uwezo wa kuwatumikia wanyonge na hasa Wazee sababu Wazee waliitumikia Nchi mpaka hapa tulipo leo ubarikiwe
@Elias-gy8quАй бұрын
Yaani kwasababu mumesoma na kubarikiwa kuweni na kazi basi munasahau kua mungu yupo na ni mtetezi wa wanyonge. Alavu mungu anavyo kuja kutetea wasie jiweza uwa atateuwa malaika wa duniani kama vile magufu na makonda hao watetezi wako pamoja na mungu kwaiyo tuwaheshimuni sana
@susananyasani6526Ай бұрын
Danke Mheshimiwa Makonda wanyoshe hao wanaotumia nguvu na kuwaangamisha Wananchi asante
@user-wu9zz1bm9h5 ай бұрын
Hakika mungu hashindwi mungu yupo mile na mile hali Wala hasinzii.binadamu huwezi kushindana na Alie kuumba.kamchukua maghufuli katuletea maghufuli mwengine hakika wembe ni uleule.marehemu Kombat sikumuelewa vema kipindi kile Kwa tunzi yake hiyo.Sasa ndio napata maana halisi ya wembe ni uleule ooniuleuleee.makonda chapakazi na mwenyez mungu akulinde insha Allah.mama Samia rais wetu asante kwakutuletea kijana huyu chapa kazi tuko pamoja nawe na mungu akulinde mama yatu.🤲🤲🤝🙏
@SebastianNgonyani-sm7to
5 ай бұрын
Tumuongezee Makonda Mh Ally Happy aya yote yatakua madogo
@user-vx4ov7vy2iАй бұрын
Makonda baba mungu akubariki shapa kazi una stahili
@berthamakortha8387
16 күн бұрын
Makonda. Ubalikiwe KWA KAZI nzuri
@jamesmongelwa86255 ай бұрын
My brother Paul you are wonderful, powerful man of God Nakushushukuru sana vita unayopigana ni pana beyond your capacity Mungu akıwa na wewe Kazi tumeweza ila kero siyo kwa hao tu hata mimi Niko na kero zangu japo Niko ughaibuni ukipendezwa unaweza nipa Namba yako nikupigie tuongee maana kero yangu ni kubwa kuliko unavyodhani
@peterdaud89055 ай бұрын
Mheshimiwa Paul Christian Makonda mwenyezi Mungu aendelee kuwasimamia ww na Rais wetu Mama Dr. Samia Suluhu Hassan, hakika kwa speed uliyonayo 2025 wapinzani awatakuwa na nafasi... kila hatua Dua.
@scolasticakaduma51435 ай бұрын
Tulikuwa hatuna Serikali tangia JPM ametwaliwa. Sasa tumepata Mungu ametuona Watanganyika. Mh. Makonda Mungu akutunze.Ugendela Uludodi Ulumu luladenyekha
@user-fw7os7uh2o5 ай бұрын
Ndugu yangu Makonda mwenyezi Mungu akujalie afya njema hakika mitano tena mitano kwa Dr Samia kazi iyendeleeee
@yunistinatemba94665 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu mheshimiwa MAKONDA mtetezi wa wanyonge
Mhe.Makonda Tusaidie Wengine Tunakufuatilia Hatujajariwa ,Aridhi tumedhurumiwa Tanzania Nzima ,Kesi Za kubambikiwa ,Wat u Tunaisha.
@loyakanuda25215 ай бұрын
Kwa kweli yangu umeanza ziara, nimelia zaidi ya mara 9, si kwasababu ya ushabiki hapana, ila. kwanamna mungu anavyo kuja kivingine pale dhuluma inapovuka kiwango,hongera Rais wetu hongera mdogo wangu makonda❤
@mohamedwwnurumasagcom81715 ай бұрын
Ahsante mama Samia kwa kumpa nafasi paul makonda
@yonnamgonde3044Ай бұрын
Makonda MUNGU akulinde milele. Na ww ndio Rais wetu ujae. Hata mama mwenywe anafurahi kwa kazi unayo ifanya
@StanLion-en8nb5 ай бұрын
Umetishaaa makondaaa
@vickyshayo78805 ай бұрын
Mungu akutunze baba
@user-db2lh7ns5j5 ай бұрын
Mungu akulinde baba
@user-xp2sy9pv9p4 ай бұрын
Nakufuatilia kaka yangu Paulo Makonda katibu mwenezi wa nec taifa,kazi iendelee mikoa yote,ufike na Morogoro.
@SamsonLubeleje3 ай бұрын
Sawa kaka ila watendaji wenye we baazi hawana ukwer kama huku kwetu daa natamani Mungu akusaidiwe ufike wiliya ya chamwino kijiji chadabalo
@dastanjrk18115 ай бұрын
Hello 🤗 makonda washa moto💥
@susananyasani65264 ай бұрын
Asante Mheshimiwa Makonda huwo ndio wongozi wa haki kwa Wananchi
@user-ij2lp1om6i5 ай бұрын
Makonda anafanya kazu nzuri jamani
@ZubedaAbdallah-yy6zh5 ай бұрын
Nakufatilia saana makonda piga kazi
@thomastemu33325 ай бұрын
Makonda hoyee hongera babaa
@user-nb8ot8be9f4 ай бұрын
Baba mungu akutie nguvu hayo majini ya aridhi ni wuaji mako da
@user-xp2sy9pv9p4 ай бұрын
M/Mungu akulinde katibu wa nec taifa Paulo Makonda watanzania tunaimani na ccm,watanyooka mwaka huu.
@user-ch8uk5bo5q5 ай бұрын
mama yetu samia hukumchaguwa wewe makonda ila mungu alikuelekeza ufanye uteuzi huo usije sikiliza la mtu ukamtengua wadhifa huo utakuwa umeiangamiza nchi na watu wa tanzania muache makonda akuonyeshe yanayo tendeka maovu sana sana
@richardchimba38005 ай бұрын
Yani makonda anakuwa live 😀😀😀 nchi inavituko sana
@zaitunirashidi5532
5 ай бұрын
Hehhehe wew uyu mtu mzito ww,,,yan yy wako wanakaa na mwenyekit wa chama kujenga we unachukulia poa?? Ambacho hawez ni kuleta fujo Kwa wateule wa rais tu lkn takataka zingine akina sisi anafukuza 😂😂😂😂😂sema naye akipeleka report mbaya Kwa Mkuu kule kuhus wateule wake wanatolewa chap chap
@frowinmgimba85135 ай бұрын
Shilima mwenyewe anatabasamu any time ningekuwa mi ndo magu part 2 shilima ningepiga cm moja hapo hapo shilima hana kazi natumbua jipu alaaaa
@estermhangwawambura5 ай бұрын
Mungu akibariki makond kwa kuwasaidia walio onewa haki zao na u tinakuombea
@Elias-gy8quАй бұрын
Lakini watu awaogopi kabisa ata ata babu kama uyo wansmudhulimu he jamani watanzania walie barikiwa mumekua na roho mbaya sana na itawakuta watoto wenu kama amujui hilo lijueni basi yaani unavyo mufanyia mwenzako mabaya mungu sana sana analipisha kwa watoto kwaiyo wacheni dhuluma na unyanyazaji
@susananyasani6526Ай бұрын
Jamani kero za Wananchi zanitoa machozi
@user-kl8jy1ij2i5 ай бұрын
Yes uyo ndo Rais wetu myaka ijayo kweli .kwasababu anajali wa raiya wake.
@ZubedaAbdallah-yy6zh5 ай бұрын
Mh.mimi nimeomba ndoana siombii samaki ndoto yangu ni kufanya kilimo cha bustani na ufugaji ombi langu ni kupatiwa shamba lenye chanzo cha maji kisicho kauka utakuwa umenisaidia pakubwa saana nakuomba saana na mungu akubariki sana
@susananyasani652620 күн бұрын
Mheshimiwa Makonda natoa pole kwa Wananchi wanaonewa na Watendaji wa Serikali bila haki na inasikitisha sana
@ZubedaAbdallah-yy6zh5 ай бұрын
Mimi nasubiri muujiza wangu wa shamba naamini wewe ni mtu wa mungu na ni mtu wawatu
@user-qi2bt7mw4x4 ай бұрын
Hakika nimelia jmn na huyo mzee 😭😭😭😭😭 kama uhai mdogo unakufa pesa yako hujapata inaumiza Makonda tunakuamini msimamie huyo mzee jmn hawana lolote inamaana wameshindwa kimpigia cm aje ofcn kuchukua pesa zake
@amanimyolo14785 ай бұрын
Mashaalah alhamdulilah Allah akbar
@banguha5 ай бұрын
Mungu ameweka Neema ya uongoz ndani yako haijalish utapingwa utashushwa ila hii neema hakuna wa kuiondoa
@magretilwoga92124 ай бұрын
Semaa makonda wapone
@faridahalil4456Ай бұрын
Mbona camera man ovyo, anatetemesha hatupati kuona view vizuri especially story ya SHIRIMA
@jjjohn39885 ай бұрын
Ndugu Makonda usirudinyuma songambele wa Tanzania tunakuamini, na MUNGU atakulinda.
@berthamakortha83875 ай бұрын
MUNGU. AKULINDE WEWE KIJANA. MAKONDA. TUSAIDIE BABA
@thomastemu33325 ай бұрын
Huyo shirima ni mwizi kila mahali anatajwa
@user-qt5vd5ut9q2 ай бұрын
Naruka nae INAPOKEA Muujiza wako😅😮😮😮😮
@user-qi2bt7mw4x4 ай бұрын
Shirima, shirima,shirima nimekuita mara tatu jmn wananchi wanalia na ww duuh kiboko 😂😂😂😂 Sasa sijuw hapo Tena utajibu nn 😂😂😂😂😂😂shirima Juma tatu
@comsmkemwa26715 ай бұрын
Aibu sana viongozi kwa viongozi, mzee wa watu, ana haki
@user-uf8or8hd9p5 ай бұрын
Mungu akulinde sana tumepata mrithi wetu
@Lodrickmwambene5 ай бұрын
Mimi naomba kazi niwe msaidizi wa makonda nisaidie kuwapa haki watanzania aisee makonda kaibuwa mengi Tanzania tunaihitaji kumrudia Mungu kwanza alafu ndio kazi ziendelee unaweza kulia
@user-pm9tw9en3e5 ай бұрын
Kwani mambo kama haya hakuna Kenya
@sasha-ri7tf5 ай бұрын
KAMA JESHI LA MTU MMOJA HIVI JEE WAWE NA MAMA WA TAIFA LA TANZANIA MHE RAIS DKT SAMIA?..WAPINZANI MTASUBIRI SANA KUONGOZA NCHI HII 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@ShajoSailor5 ай бұрын
Makonda
@hawampate50295 ай бұрын
nchi imejaaa ujinga hii Mungu amlinde huyu mwamba. Viongozi wapo maofisini wanajali matumbo yao
@charlesmugisha65295 ай бұрын
Ayo tv siku izi mmeanza kuferi izo camera zenu zinazingua Sana.
@JumaNjiku-df1fd5 ай бұрын
Mwandishi wa taarifa hii arudi shule kusoma lugha ya kiswahili. Auwasha moto sio awuwasha moto!
Niliona magari yanapita hapa kumbe ulikuwa mwenezi
@user-ct6dp2pp7p5 ай бұрын
Sawa
@AaAa-vm8bb5 ай бұрын
Mh.wewe uko poa Mungu akubariki
@user-jf5wh6xh2w5 ай бұрын
Ila huyo kamonga na shirima waangalie sana mkuu
@ellsonmkonyi13195 ай бұрын
Mungu atusaidie watanzania tujue tunakokwenda
@danfordkyando78635 ай бұрын
Sasa naelewa ile tamthilita tuliyoisoma kidato cha Tano Kivuli kinaishi
@NachaKing-nj7cp5 ай бұрын
Hakiyamama walah
@JumaNjiku-df1fd5 ай бұрын
Makonda nchi hii imeoza kiasi ambacho kuirekebisha ni sawa na kuifanya izaliwe upya! Kwa muda ulionao wewe huwezi kufanya lolote! Huko ulikopita hujamaliza na mengine makubwa zaidi yanaweza kuwa yametokea. Watanzania tunahitaji kuivua gamba nchi. yetu yetu
@simprianimarkmassawe53965 ай бұрын
Raisi ajaee
@laylayl51665 ай бұрын
Halafu huyo shirima anatuhuma nyingi kwelii kilapahala shirima
@happybalama35915 ай бұрын
Hapo watumishi kukaa muda mrefu hapo ni shida
@iddywhiteTZ18 сағат бұрын
milard mbona zinagoma goma
@user-ch8uk5bo5q5 ай бұрын
mh makonda mlandizi msufini kuna tatizo watu tumehalibiwa mashamba na mazao na watafiti wa mafuta tangu 2021 walisema wameluhusiwa na raisi na watatulipa hawajatulipa na hakuna dalili za kulipwa tunaomba msaada
@AaAa-vm8bb5 ай бұрын
Dunia inaenda kwa kuwazulumu wanyonge hilo mulijue viongozi
@anangisyemapunda76865 ай бұрын
SHILIMA😅
@amisamaurid18825 ай бұрын
Makonda ndo mwenezi Bora wa kisasa tuachane na goli la mkono, tunakuombea kaka mkubwa
@ZubedaAbdallah-yy6zh5 ай бұрын
Ikikupendeza nakusubiri kwa hamu kubwa morogoro
@zawiaissa89125 ай бұрын
duuh watu jamani zuluma nyingi
@raphaelmlewa19015 ай бұрын
Mkuu tatualie na ya pamoja
@user-oc7kc5zm7z5 ай бұрын
Sawa wewe ndie rais wangu miaka ijayo
@OswardMadege-gd7yo5 ай бұрын
Mchoro utadhani unatoka mbinguni
@MnuwiiItowela-vf1td5 ай бұрын
Mwenezi umeisha kwama😁😁
@Lodrickmwambene
5 ай бұрын
Kivipi yaani
@asajileraphael19515 ай бұрын
Watu Wa ARDHI kila sehm shida sijui shida iko wapi
@rajabumalupu41845 ай бұрын
Ayo tv mbona mitambo hailewek
@zedzoomextra5 ай бұрын
😂😂😂😂moto upoooo
@ustadhtaqwa88684 ай бұрын
Ukovizuri na mala
@user-wu9zz1bm9h5 ай бұрын
Sasa mweshimiwa watu wa ardhi namnahiyo wanachukuliwa hatua Gani ?sawa maeneo wananchi wanarudishiwa haki zao.baada yahapo kwamakosa kama hayo watumishi wababaifu hivyo wanachukuliwa hatua Gani!!?au wakisharejesha hayo maeneo walio taka kudhulumu wananchi wanaachiwa nakuendelea na kazi je hawataendelea kudhulumu wengine?hili unalizungumziaje mweshimiwa makonda muwarubaini wake ni upi!?
Пікірлер: 119
You're a God fearing leader be blessed makonda and live long I wish ningezaliwa Tanzania hongera makonda wewe ni Suleiman katika bibilia
Asante Mheshimiwa Makonda Mungu akuongezee nguvu na uwezo wa kuwatumikia wanyonge na hasa Wazee sababu Wazee waliitumikia Nchi mpaka hapa tulipo leo ubarikiwe
Yaani kwasababu mumesoma na kubarikiwa kuweni na kazi basi munasahau kua mungu yupo na ni mtetezi wa wanyonge. Alavu mungu anavyo kuja kutetea wasie jiweza uwa atateuwa malaika wa duniani kama vile magufu na makonda hao watetezi wako pamoja na mungu kwaiyo tuwaheshimuni sana
Danke Mheshimiwa Makonda wanyoshe hao wanaotumia nguvu na kuwaangamisha Wananchi asante
Hakika mungu hashindwi mungu yupo mile na mile hali Wala hasinzii.binadamu huwezi kushindana na Alie kuumba.kamchukua maghufuli katuletea maghufuli mwengine hakika wembe ni uleule.marehemu Kombat sikumuelewa vema kipindi kile Kwa tunzi yake hiyo.Sasa ndio napata maana halisi ya wembe ni uleule ooniuleuleee.makonda chapakazi na mwenyez mungu akulinde insha Allah.mama Samia rais wetu asante kwakutuletea kijana huyu chapa kazi tuko pamoja nawe na mungu akulinde mama yatu.🤲🤲🤝🙏
@SebastianNgonyani-sm7to
5 ай бұрын
Tumuongezee Makonda Mh Ally Happy aya yote yatakua madogo
Makonda baba mungu akubariki shapa kazi una stahili
@berthamakortha8387
16 күн бұрын
Makonda. Ubalikiwe KWA KAZI nzuri
My brother Paul you are wonderful, powerful man of God Nakushushukuru sana vita unayopigana ni pana beyond your capacity Mungu akıwa na wewe Kazi tumeweza ila kero siyo kwa hao tu hata mimi Niko na kero zangu japo Niko ughaibuni ukipendezwa unaweza nipa Namba yako nikupigie tuongee maana kero yangu ni kubwa kuliko unavyodhani
Mheshimiwa Paul Christian Makonda mwenyezi Mungu aendelee kuwasimamia ww na Rais wetu Mama Dr. Samia Suluhu Hassan, hakika kwa speed uliyonayo 2025 wapinzani awatakuwa na nafasi... kila hatua Dua.
Tulikuwa hatuna Serikali tangia JPM ametwaliwa. Sasa tumepata Mungu ametuona Watanganyika. Mh. Makonda Mungu akutunze.Ugendela Uludodi Ulumu luladenyekha
Ndugu yangu Makonda mwenyezi Mungu akujalie afya njema hakika mitano tena mitano kwa Dr Samia kazi iyendeleeee
Mungu akupe maisha marefu mheshimiwa MAKONDA mtetezi wa wanyonge
Makonda oyeeee ,mama samia oyeee hongereni sana,mambo Mambo mazuri saaana .
Hongera.sannna.mungu.azidi kukulinda makonda
Mhe.Makonda Tusaidie Wengine Tunakufuatilia Hatujajariwa ,Aridhi tumedhurumiwa Tanzania Nzima ,Kesi Za kubambikiwa ,Wat u Tunaisha.
Kwa kweli yangu umeanza ziara, nimelia zaidi ya mara 9, si kwasababu ya ushabiki hapana, ila. kwanamna mungu anavyo kuja kivingine pale dhuluma inapovuka kiwango,hongera Rais wetu hongera mdogo wangu makonda❤
Ahsante mama Samia kwa kumpa nafasi paul makonda
Makonda MUNGU akulinde milele. Na ww ndio Rais wetu ujae. Hata mama mwenywe anafurahi kwa kazi unayo ifanya
Umetishaaa makondaaa
Mungu akutunze baba
Mungu akulinde baba
Nakufuatilia kaka yangu Paulo Makonda katibu mwenezi wa nec taifa,kazi iendelee mikoa yote,ufike na Morogoro.
Sawa kaka ila watendaji wenye we baazi hawana ukwer kama huku kwetu daa natamani Mungu akusaidiwe ufike wiliya ya chamwino kijiji chadabalo
Hello 🤗 makonda washa moto💥
Asante Mheshimiwa Makonda huwo ndio wongozi wa haki kwa Wananchi
Makonda anafanya kazu nzuri jamani
Nakufatilia saana makonda piga kazi
Makonda hoyee hongera babaa
Baba mungu akutie nguvu hayo majini ya aridhi ni wuaji mako da
M/Mungu akulinde katibu wa nec taifa Paulo Makonda watanzania tunaimani na ccm,watanyooka mwaka huu.
mama yetu samia hukumchaguwa wewe makonda ila mungu alikuelekeza ufanye uteuzi huo usije sikiliza la mtu ukamtengua wadhifa huo utakuwa umeiangamiza nchi na watu wa tanzania muache makonda akuonyeshe yanayo tendeka maovu sana sana
Yani makonda anakuwa live 😀😀😀 nchi inavituko sana
@zaitunirashidi5532
5 ай бұрын
Hehhehe wew uyu mtu mzito ww,,,yan yy wako wanakaa na mwenyekit wa chama kujenga we unachukulia poa?? Ambacho hawez ni kuleta fujo Kwa wateule wa rais tu lkn takataka zingine akina sisi anafukuza 😂😂😂😂😂sema naye akipeleka report mbaya Kwa Mkuu kule kuhus wateule wake wanatolewa chap chap
Shilima mwenyewe anatabasamu any time ningekuwa mi ndo magu part 2 shilima ningepiga cm moja hapo hapo shilima hana kazi natumbua jipu alaaaa
Mungu akibariki makond kwa kuwasaidia walio onewa haki zao na u tinakuombea
Lakini watu awaogopi kabisa ata ata babu kama uyo wansmudhulimu he jamani watanzania walie barikiwa mumekua na roho mbaya sana na itawakuta watoto wenu kama amujui hilo lijueni basi yaani unavyo mufanyia mwenzako mabaya mungu sana sana analipisha kwa watoto kwaiyo wacheni dhuluma na unyanyazaji
Jamani kero za Wananchi zanitoa machozi
Yes uyo ndo Rais wetu myaka ijayo kweli .kwasababu anajali wa raiya wake.
Mh.mimi nimeomba ndoana siombii samaki ndoto yangu ni kufanya kilimo cha bustani na ufugaji ombi langu ni kupatiwa shamba lenye chanzo cha maji kisicho kauka utakuwa umenisaidia pakubwa saana nakuomba saana na mungu akubariki sana
Mheshimiwa Makonda natoa pole kwa Wananchi wanaonewa na Watendaji wa Serikali bila haki na inasikitisha sana
Mimi nasubiri muujiza wangu wa shamba naamini wewe ni mtu wa mungu na ni mtu wawatu
Hakika nimelia jmn na huyo mzee 😭😭😭😭😭 kama uhai mdogo unakufa pesa yako hujapata inaumiza Makonda tunakuamini msimamie huyo mzee jmn hawana lolote inamaana wameshindwa kimpigia cm aje ofcn kuchukua pesa zake
Mashaalah alhamdulilah Allah akbar
Mungu ameweka Neema ya uongoz ndani yako haijalish utapingwa utashushwa ila hii neema hakuna wa kuiondoa
Semaa makonda wapone
Mbona camera man ovyo, anatetemesha hatupati kuona view vizuri especially story ya SHIRIMA
Ndugu Makonda usirudinyuma songambele wa Tanzania tunakuamini, na MUNGU atakulinda.
MUNGU. AKULINDE WEWE KIJANA. MAKONDA. TUSAIDIE BABA
Huyo shirima ni mwizi kila mahali anatajwa
Naruka nae INAPOKEA Muujiza wako😅😮😮😮😮
Shirima, shirima,shirima nimekuita mara tatu jmn wananchi wanalia na ww duuh kiboko 😂😂😂😂 Sasa sijuw hapo Tena utajibu nn 😂😂😂😂😂😂shirima Juma tatu
Aibu sana viongozi kwa viongozi, mzee wa watu, ana haki
Mungu akulinde sana tumepata mrithi wetu
Mimi naomba kazi niwe msaidizi wa makonda nisaidie kuwapa haki watanzania aisee makonda kaibuwa mengi Tanzania tunaihitaji kumrudia Mungu kwanza alafu ndio kazi ziendelee unaweza kulia
Kwani mambo kama haya hakuna Kenya
KAMA JESHI LA MTU MMOJA HIVI JEE WAWE NA MAMA WA TAIFA LA TANZANIA MHE RAIS DKT SAMIA?..WAPINZANI MTASUBIRI SANA KUONGOZA NCHI HII 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Makonda
nchi imejaaa ujinga hii Mungu amlinde huyu mwamba. Viongozi wapo maofisini wanajali matumbo yao
Ayo tv siku izi mmeanza kuferi izo camera zenu zinazingua Sana.
Mwandishi wa taarifa hii arudi shule kusoma lugha ya kiswahili. Auwasha moto sio awuwasha moto!
Kiongozi tunakupata vizuri nikiwa timbolo Arusha tutembelee kijijini
Kwa kazi hiyo wapinzani wapumzike TU
Hali hii kweli inaumiza
💞
Huyu anafaa kuwa rais au kama vp makamu wa raisi
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Papa-uponakazi-ngumu-mungu-akusaidie
Halafu huyo shirima anavyo simama kaegemea kuniona boss mkubwaaa sana unasimameje hivyo Kwa dharau ungozi hautaki hivyo
Njoo Arusha Kuna madudu kijijini
😭😭😭😭😭yaani nyie hata khofu ya mungu hawana nyie vijana dhambi hiyooo
Mtakata sana mawasiliano
😂shilima the boy main of match
CCM Nichama Ninakipenda Toka Udogo Wangu ,Lakini Kinamarazi ,Swali Langu, Hawa Watumishi ,Mnawaweka Ninyi ,Hivi Bila Chaguzi Haturusiwi Kusikilizwa Tumedhurumiwa Mashamba ,Mpanda Wamejenga.
Niliona magari yanapita hapa kumbe ulikuwa mwenezi
Sawa
Mh.wewe uko poa Mungu akubariki
Ila huyo kamonga na shirima waangalie sana mkuu
Mungu atusaidie watanzania tujue tunakokwenda
Sasa naelewa ile tamthilita tuliyoisoma kidato cha Tano Kivuli kinaishi
Hakiyamama walah
Makonda nchi hii imeoza kiasi ambacho kuirekebisha ni sawa na kuifanya izaliwe upya! Kwa muda ulionao wewe huwezi kufanya lolote! Huko ulikopita hujamaliza na mengine makubwa zaidi yanaweza kuwa yametokea. Watanzania tunahitaji kuivua gamba nchi. yetu yetu
Raisi ajaee
Halafu huyo shirima anatuhuma nyingi kwelii kilapahala shirima
Hapo watumishi kukaa muda mrefu hapo ni shida
milard mbona zinagoma goma
mh makonda mlandizi msufini kuna tatizo watu tumehalibiwa mashamba na mazao na watafiti wa mafuta tangu 2021 walisema wameluhusiwa na raisi na watatulipa hawajatulipa na hakuna dalili za kulipwa tunaomba msaada
Dunia inaenda kwa kuwazulumu wanyonge hilo mulijue viongozi
SHILIMA😅
Makonda ndo mwenezi Bora wa kisasa tuachane na goli la mkono, tunakuombea kaka mkubwa
Ikikupendeza nakusubiri kwa hamu kubwa morogoro
duuh watu jamani zuluma nyingi
Mkuu tatualie na ya pamoja
Sawa wewe ndie rais wangu miaka ijayo
Mchoro utadhani unatoka mbinguni
Mwenezi umeisha kwama😁😁
@Lodrickmwambene
5 ай бұрын
Kivipi yaani
Watu Wa ARDHI kila sehm shida sijui shida iko wapi
Ayo tv mbona mitambo hailewek
😂😂😂😂moto upoooo
Ukovizuri na mala
Sasa mweshimiwa watu wa ardhi namnahiyo wanachukuliwa hatua Gani ?sawa maeneo wananchi wanarudishiwa haki zao.baada yahapo kwamakosa kama hayo watumishi wababaifu hivyo wanachukuliwa hatua Gani!!?au wakisharejesha hayo maeneo walio taka kudhulumu wananchi wanaachiwa nakuendelea na kazi je hawataendelea kudhulumu wengine?hili unalizungumziaje mweshimiwa makonda muwarubaini wake ni upi!?
Haaa mbeya kapitaaa🙄🙄
Shirima mchaga huyo dah