🟢LIVE: MAKONDA AWUWASHA MOTO IRINGA ANASIKILIZA KERO ZA WANANCHI MUDA HUU

Пікірлер: 119

  • @user-qu1mq2ik2e
    @user-qu1mq2ik2eАй бұрын

    You're a God fearing leader be blessed makonda and live long I wish ningezaliwa Tanzania hongera makonda wewe ni Suleiman katika bibilia

  • @susananyasani6526
    @susananyasani652620 күн бұрын

    Asante Mheshimiwa Makonda Mungu akuongezee nguvu na uwezo wa kuwatumikia wanyonge na hasa Wazee sababu Wazee waliitumikia Nchi mpaka hapa tulipo leo ubarikiwe

  • @Elias-gy8qu
    @Elias-gy8quАй бұрын

    Yaani kwasababu mumesoma na kubarikiwa kuweni na kazi basi munasahau kua mungu yupo na ni mtetezi wa wanyonge. Alavu mungu anavyo kuja kutetea wasie jiweza uwa atateuwa malaika wa duniani kama vile magufu na makonda hao watetezi wako pamoja na mungu kwaiyo tuwaheshimuni sana

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526Ай бұрын

    Danke Mheshimiwa Makonda wanyoshe hao wanaotumia nguvu na kuwaangamisha Wananchi asante

  • @user-wu9zz1bm9h
    @user-wu9zz1bm9h5 ай бұрын

    Hakika mungu hashindwi mungu yupo mile na mile hali Wala hasinzii.binadamu huwezi kushindana na Alie kuumba.kamchukua maghufuli katuletea maghufuli mwengine hakika wembe ni uleule.marehemu Kombat sikumuelewa vema kipindi kile Kwa tunzi yake hiyo.Sasa ndio napata maana halisi ya wembe ni uleule ooniuleuleee.makonda chapakazi na mwenyez mungu akulinde insha Allah.mama Samia rais wetu asante kwakutuletea kijana huyu chapa kazi tuko pamoja nawe na mungu akulinde mama yatu.🤲🤲🤝🙏

  • @SebastianNgonyani-sm7to

    @SebastianNgonyani-sm7to

    5 ай бұрын

    Tumuongezee Makonda Mh Ally Happy aya yote yatakua madogo

  • @user-vx4ov7vy2i
    @user-vx4ov7vy2iАй бұрын

    Makonda baba mungu akubariki shapa kazi una stahili

  • @berthamakortha8387

    @berthamakortha8387

    16 күн бұрын

    Makonda. Ubalikiwe KWA KAZI nzuri

  • @jamesmongelwa8625
    @jamesmongelwa86255 ай бұрын

    My brother Paul you are wonderful, powerful man of God Nakushushukuru sana vita unayopigana ni pana beyond your capacity Mungu akıwa na wewe Kazi tumeweza ila kero siyo kwa hao tu hata mimi Niko na kero zangu japo Niko ughaibuni ukipendezwa unaweza nipa Namba yako nikupigie tuongee maana kero yangu ni kubwa kuliko unavyodhani

  • @peterdaud8905
    @peterdaud89055 ай бұрын

    Mheshimiwa Paul Christian Makonda mwenyezi Mungu aendelee kuwasimamia ww na Rais wetu Mama Dr. Samia Suluhu Hassan, hakika kwa speed uliyonayo 2025 wapinzani awatakuwa na nafasi... kila hatua Dua.

  • @scolasticakaduma5143
    @scolasticakaduma51435 ай бұрын

    Tulikuwa hatuna Serikali tangia JPM ametwaliwa. Sasa tumepata Mungu ametuona Watanganyika. Mh. Makonda Mungu akutunze.Ugendela Uludodi Ulumu luladenyekha

  • @user-fw7os7uh2o
    @user-fw7os7uh2o5 ай бұрын

    Ndugu yangu Makonda mwenyezi Mungu akujalie afya njema hakika mitano tena mitano kwa Dr Samia kazi iyendeleeee

  • @yunistinatemba9466
    @yunistinatemba94665 ай бұрын

    Mungu akupe maisha marefu mheshimiwa MAKONDA mtetezi wa wanyonge

  • @fatemafatema4780
    @fatemafatema478016 күн бұрын

    Makonda oyeeee ,mama samia oyeee hongereni sana,mambo Mambo mazuri saaana .

  • @mariaawet6499
    @mariaawet64995 ай бұрын

    Hongera.sannna.mungu.azidi kukulinda makonda

  • @user-ut4vt1kn7w
    @user-ut4vt1kn7w5 ай бұрын

    Mhe.Makonda Tusaidie Wengine Tunakufuatilia Hatujajariwa ,Aridhi tumedhurumiwa Tanzania Nzima ,Kesi Za kubambikiwa ,Wat u Tunaisha.

  • @loyakanuda2521
    @loyakanuda25215 ай бұрын

    Kwa kweli yangu umeanza ziara, nimelia zaidi ya mara 9, si kwasababu ya ushabiki hapana, ila. kwanamna mungu anavyo kuja kivingine pale dhuluma inapovuka kiwango,hongera Rais wetu hongera mdogo wangu makonda❤

  • @mohamedwwnurumasagcom8171
    @mohamedwwnurumasagcom81715 ай бұрын

    Ahsante mama Samia kwa kumpa nafasi paul makonda

  • @yonnamgonde3044
    @yonnamgonde3044Ай бұрын

    Makonda MUNGU akulinde milele. Na ww ndio Rais wetu ujae. Hata mama mwenywe anafurahi kwa kazi unayo ifanya

  • @StanLion-en8nb
    @StanLion-en8nb5 ай бұрын

    Umetishaaa makondaaa

  • @vickyshayo7880
    @vickyshayo78805 ай бұрын

    Mungu akutunze baba

  • @user-db2lh7ns5j
    @user-db2lh7ns5j5 ай бұрын

    Mungu akulinde baba

  • @user-xp2sy9pv9p
    @user-xp2sy9pv9p4 ай бұрын

    Nakufuatilia kaka yangu Paulo Makonda katibu mwenezi wa nec taifa,kazi iendelee mikoa yote,ufike na Morogoro.

  • @SamsonLubeleje
    @SamsonLubeleje3 ай бұрын

    Sawa kaka ila watendaji wenye we baazi hawana ukwer kama huku kwetu daa natamani Mungu akusaidiwe ufike wiliya ya chamwino kijiji chadabalo

  • @dastanjrk1811
    @dastanjrk18115 ай бұрын

    Hello 🤗 makonda washa moto💥

  • @susananyasani6526
    @susananyasani65264 ай бұрын

    Asante Mheshimiwa Makonda huwo ndio wongozi wa haki kwa Wananchi

  • @user-ij2lp1om6i
    @user-ij2lp1om6i5 ай бұрын

    Makonda anafanya kazu nzuri jamani

  • @ZubedaAbdallah-yy6zh
    @ZubedaAbdallah-yy6zh5 ай бұрын

    Nakufatilia saana makonda piga kazi

  • @thomastemu3332
    @thomastemu33325 ай бұрын

    Makonda hoyee hongera babaa

  • @user-nb8ot8be9f
    @user-nb8ot8be9f4 ай бұрын

    Baba mungu akutie nguvu hayo majini ya aridhi ni wuaji mako da

  • @user-xp2sy9pv9p
    @user-xp2sy9pv9p4 ай бұрын

    M/Mungu akulinde katibu wa nec taifa Paulo Makonda watanzania tunaimani na ccm,watanyooka mwaka huu.

  • @user-ch8uk5bo5q
    @user-ch8uk5bo5q5 ай бұрын

    mama yetu samia hukumchaguwa wewe makonda ila mungu alikuelekeza ufanye uteuzi huo usije sikiliza la mtu ukamtengua wadhifa huo utakuwa umeiangamiza nchi na watu wa tanzania muache makonda akuonyeshe yanayo tendeka maovu sana sana

  • @richardchimba3800
    @richardchimba38005 ай бұрын

    Yani makonda anakuwa live 😀😀😀 nchi inavituko sana

  • @zaitunirashidi5532

    @zaitunirashidi5532

    5 ай бұрын

    Hehhehe wew uyu mtu mzito ww,,,yan yy wako wanakaa na mwenyekit wa chama kujenga we unachukulia poa?? Ambacho hawez ni kuleta fujo Kwa wateule wa rais tu lkn takataka zingine akina sisi anafukuza 😂😂😂😂😂sema naye akipeleka report mbaya Kwa Mkuu kule kuhus wateule wake wanatolewa chap chap

  • @frowinmgimba8513
    @frowinmgimba85135 ай бұрын

    Shilima mwenyewe anatabasamu any time ningekuwa mi ndo magu part 2 shilima ningepiga cm moja hapo hapo shilima hana kazi natumbua jipu alaaaa

  • @estermhangwawambura
    @estermhangwawambura5 ай бұрын

    Mungu akibariki makond kwa kuwasaidia walio onewa haki zao na u tinakuombea

  • @Elias-gy8qu
    @Elias-gy8quАй бұрын

    Lakini watu awaogopi kabisa ata ata babu kama uyo wansmudhulimu he jamani watanzania walie barikiwa mumekua na roho mbaya sana na itawakuta watoto wenu kama amujui hilo lijueni basi yaani unavyo mufanyia mwenzako mabaya mungu sana sana analipisha kwa watoto kwaiyo wacheni dhuluma na unyanyazaji

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526Ай бұрын

    Jamani kero za Wananchi zanitoa machozi

  • @user-kl8jy1ij2i
    @user-kl8jy1ij2i5 ай бұрын

    Yes uyo ndo Rais wetu myaka ijayo kweli .kwasababu anajali wa raiya wake.

  • @ZubedaAbdallah-yy6zh
    @ZubedaAbdallah-yy6zh5 ай бұрын

    Mh.mimi nimeomba ndoana siombii samaki ndoto yangu ni kufanya kilimo cha bustani na ufugaji ombi langu ni kupatiwa shamba lenye chanzo cha maji kisicho kauka utakuwa umenisaidia pakubwa saana nakuomba saana na mungu akubariki sana

  • @susananyasani6526
    @susananyasani652620 күн бұрын

    Mheshimiwa Makonda natoa pole kwa Wananchi wanaonewa na Watendaji wa Serikali bila haki na inasikitisha sana

  • @ZubedaAbdallah-yy6zh
    @ZubedaAbdallah-yy6zh5 ай бұрын

    Mimi nasubiri muujiza wangu wa shamba naamini wewe ni mtu wa mungu na ni mtu wawatu

  • @user-qi2bt7mw4x
    @user-qi2bt7mw4x4 ай бұрын

    Hakika nimelia jmn na huyo mzee 😭😭😭😭😭 kama uhai mdogo unakufa pesa yako hujapata inaumiza Makonda tunakuamini msimamie huyo mzee jmn hawana lolote inamaana wameshindwa kimpigia cm aje ofcn kuchukua pesa zake

  • @amanimyolo1478
    @amanimyolo14785 ай бұрын

    Mashaalah alhamdulilah Allah akbar

  • @banguha
    @banguha5 ай бұрын

    Mungu ameweka Neema ya uongoz ndani yako haijalish utapingwa utashushwa ila hii neema hakuna wa kuiondoa

  • @magretilwoga9212
    @magretilwoga92124 ай бұрын

    Semaa makonda wapone

  • @faridahalil4456
    @faridahalil4456Ай бұрын

    Mbona camera man ovyo, anatetemesha hatupati kuona view vizuri especially story ya SHIRIMA

  • @jjjohn3988
    @jjjohn39885 ай бұрын

    Ndugu Makonda usirudinyuma songambele wa Tanzania tunakuamini, na MUNGU atakulinda.

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha83875 ай бұрын

    MUNGU. AKULINDE WEWE KIJANA. MAKONDA. TUSAIDIE BABA

  • @thomastemu3332
    @thomastemu33325 ай бұрын

    Huyo shirima ni mwizi kila mahali anatajwa

  • @user-qt5vd5ut9q
    @user-qt5vd5ut9q2 ай бұрын

    Naruka nae INAPOKEA Muujiza wako😅😮😮😮😮

  • @user-qi2bt7mw4x
    @user-qi2bt7mw4x4 ай бұрын

    Shirima, shirima,shirima nimekuita mara tatu jmn wananchi wanalia na ww duuh kiboko 😂😂😂😂 Sasa sijuw hapo Tena utajibu nn 😂😂😂😂😂😂shirima Juma tatu

  • @comsmkemwa2671
    @comsmkemwa26715 ай бұрын

    Aibu sana viongozi kwa viongozi, mzee wa watu, ana haki

  • @user-uf8or8hd9p
    @user-uf8or8hd9p5 ай бұрын

    Mungu akulinde sana tumepata mrithi wetu

  • @Lodrickmwambene
    @Lodrickmwambene5 ай бұрын

    Mimi naomba kazi niwe msaidizi wa makonda nisaidie kuwapa haki watanzania aisee makonda kaibuwa mengi Tanzania tunaihitaji kumrudia Mungu kwanza alafu ndio kazi ziendelee unaweza kulia

  • @user-pm9tw9en3e
    @user-pm9tw9en3e5 ай бұрын

    Kwani mambo kama haya hakuna Kenya

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf5 ай бұрын

    KAMA JESHI LA MTU MMOJA HIVI JEE WAWE NA MAMA WA TAIFA LA TANZANIA MHE RAIS DKT SAMIA?..WAPINZANI MTASUBIRI SANA KUONGOZA NCHI HII 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @ShajoSailor
    @ShajoSailor5 ай бұрын

    Makonda

  • @hawampate5029
    @hawampate50295 ай бұрын

    nchi imejaaa ujinga hii Mungu amlinde huyu mwamba. Viongozi wapo maofisini wanajali matumbo yao

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha65295 ай бұрын

    Ayo tv siku izi mmeanza kuferi izo camera zenu zinazingua Sana.

  • @JumaNjiku-df1fd
    @JumaNjiku-df1fd5 ай бұрын

    Mwandishi wa taarifa hii arudi shule kusoma lugha ya kiswahili. Auwasha moto sio awuwasha moto!

  • @SimonLukumay-cw4bd
    @SimonLukumay-cw4bd5 ай бұрын

    Kiongozi tunakupata vizuri nikiwa timbolo Arusha tutembelee kijijini

  • @JoramKaziga
    @JoramKaziga3 ай бұрын

    Kwa kazi hiyo wapinzani wapumzike TU

  • @OswardMadege-gd7yo
    @OswardMadege-gd7yo5 ай бұрын

    Hali hii kweli inaumiza

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor78475 ай бұрын

    💞

  • @user-ij2lp1om6i
    @user-ij2lp1om6i5 ай бұрын

    Huyu anafaa kuwa rais au kama vp makamu wa raisi

  • @gibsonlwinga5950
    @gibsonlwinga59505 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @juliusmkopekwa336
    @juliusmkopekwa3365 ай бұрын

    Papa-uponakazi-ngumu-mungu-akusaidie

  • @user-wu9zz1bm9h
    @user-wu9zz1bm9h5 ай бұрын

    Halafu huyo shirima anavyo simama kaegemea kuniona boss mkubwaaa sana unasimameje hivyo Kwa dharau ungozi hautaki hivyo

  • @SimonLukumay-cw4bd
    @SimonLukumay-cw4bd5 ай бұрын

    Njoo Arusha Kuna madudu kijijini

  • @laylayl5166
    @laylayl51665 ай бұрын

    😭😭😭😭😭yaani nyie hata khofu ya mungu hawana nyie vijana dhambi hiyooo

  • @MnuwiiItowela-vf1td
    @MnuwiiItowela-vf1td5 ай бұрын

    Mtakata sana mawasiliano

  • @erickmshoboth4705
    @erickmshoboth47055 ай бұрын

    😂shilima the boy main of match

  • @user-ut4vt1kn7w
    @user-ut4vt1kn7w5 ай бұрын

    CCM Nichama Ninakipenda Toka Udogo Wangu ,Lakini Kinamarazi ,Swali Langu, Hawa Watumishi ,Mnawaweka Ninyi ,Hivi Bila Chaguzi Haturusiwi Kusikilizwa Tumedhurumiwa Mashamba ,Mpanda Wamejenga.

  • @happymakweta2000
    @happymakweta20005 ай бұрын

    Niliona magari yanapita hapa kumbe ulikuwa mwenezi

  • @user-ct6dp2pp7p
    @user-ct6dp2pp7p5 ай бұрын

    Sawa

  • @AaAa-vm8bb
    @AaAa-vm8bb5 ай бұрын

    Mh.wewe uko poa Mungu akubariki

  • @user-jf5wh6xh2w
    @user-jf5wh6xh2w5 ай бұрын

    Ila huyo kamonga na shirima waangalie sana mkuu

  • @ellsonmkonyi1319
    @ellsonmkonyi13195 ай бұрын

    Mungu atusaidie watanzania tujue tunakokwenda

  • @danfordkyando7863
    @danfordkyando78635 ай бұрын

    Sasa naelewa ile tamthilita tuliyoisoma kidato cha Tano Kivuli kinaishi

  • @NachaKing-nj7cp
    @NachaKing-nj7cp5 ай бұрын

    Hakiyamama walah

  • @JumaNjiku-df1fd
    @JumaNjiku-df1fd5 ай бұрын

    Makonda nchi hii imeoza kiasi ambacho kuirekebisha ni sawa na kuifanya izaliwe upya! Kwa muda ulionao wewe huwezi kufanya lolote! Huko ulikopita hujamaliza na mengine makubwa zaidi yanaweza kuwa yametokea. Watanzania tunahitaji kuivua gamba nchi. yetu yetu

  • @simprianimarkmassawe5396
    @simprianimarkmassawe53965 ай бұрын

    Raisi ajaee

  • @laylayl5166
    @laylayl51665 ай бұрын

    Halafu huyo shirima anatuhuma nyingi kwelii kilapahala shirima

  • @happybalama3591
    @happybalama35915 ай бұрын

    Hapo watumishi kukaa muda mrefu hapo ni shida

  • @iddywhiteTZ
    @iddywhiteTZ18 сағат бұрын

    milard mbona zinagoma goma

  • @user-ch8uk5bo5q
    @user-ch8uk5bo5q5 ай бұрын

    mh makonda mlandizi msufini kuna tatizo watu tumehalibiwa mashamba na mazao na watafiti wa mafuta tangu 2021 walisema wameluhusiwa na raisi na watatulipa hawajatulipa na hakuna dalili za kulipwa tunaomba msaada

  • @AaAa-vm8bb
    @AaAa-vm8bb5 ай бұрын

    Dunia inaenda kwa kuwazulumu wanyonge hilo mulijue viongozi

  • @anangisyemapunda7686
    @anangisyemapunda76865 ай бұрын

    SHILIMA😅

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid18825 ай бұрын

    Makonda ndo mwenezi Bora wa kisasa tuachane na goli la mkono, tunakuombea kaka mkubwa

  • @ZubedaAbdallah-yy6zh
    @ZubedaAbdallah-yy6zh5 ай бұрын

    Ikikupendeza nakusubiri kwa hamu kubwa morogoro

  • @zawiaissa8912
    @zawiaissa89125 ай бұрын

    duuh watu jamani zuluma nyingi

  • @raphaelmlewa1901
    @raphaelmlewa19015 ай бұрын

    Mkuu tatualie na ya pamoja

  • @user-oc7kc5zm7z
    @user-oc7kc5zm7z5 ай бұрын

    Sawa wewe ndie rais wangu miaka ijayo

  • @OswardMadege-gd7yo
    @OswardMadege-gd7yo5 ай бұрын

    Mchoro utadhani unatoka mbinguni

  • @MnuwiiItowela-vf1td
    @MnuwiiItowela-vf1td5 ай бұрын

    Mwenezi umeisha kwama😁😁

  • @Lodrickmwambene

    @Lodrickmwambene

    5 ай бұрын

    Kivipi yaani

  • @asajileraphael1951
    @asajileraphael19515 ай бұрын

    Watu Wa ARDHI kila sehm shida sijui shida iko wapi

  • @rajabumalupu4184
    @rajabumalupu41845 ай бұрын

    Ayo tv mbona mitambo hailewek

  • @zedzoomextra
    @zedzoomextra5 ай бұрын

    😂😂😂😂moto upoooo

  • @ustadhtaqwa8868
    @ustadhtaqwa88684 ай бұрын

    Ukovizuri na mala

  • @user-wu9zz1bm9h
    @user-wu9zz1bm9h5 ай бұрын

    Sasa mweshimiwa watu wa ardhi namnahiyo wanachukuliwa hatua Gani ?sawa maeneo wananchi wanarudishiwa haki zao.baada yahapo kwamakosa kama hayo watumishi wababaifu hivyo wanachukuliwa hatua Gani!!?au wakisharejesha hayo maeneo walio taka kudhulumu wananchi wanaachiwa nakuendelea na kazi je hawataendelea kudhulumu wengine?hili unalizungumziaje mweshimiwa makonda muwarubaini wake ni upi!?

  • @esterkiyongo2316
    @esterkiyongo23165 ай бұрын

    Haaa mbeya kapitaaa🙄🙄

  • @maxmillianpascal4643
    @maxmillianpascal46435 ай бұрын

    Shirima mchaga huyo dah

Келесі