DKT MAGUFULI AFICHUA ALICHO AMBIWA NA MAALIM SEIF KABLA YA KIFO KUHUSU ZNZ
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Sauti Byego
cc: Maryam Busara
cc: Masoud Maganga
Camera Department"
Dadi Ali
Omar (OJ)
Nassor Shaibu
Abdallah Juma
Editors:
Juma Maulid
Dadi Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Пікірлер: 128
Maalim Alidhulumiwa sana maskini ila hakuweka kinyongo alikuwa ni mtu wa pekee na lengo lake ni kwa sababu alikuwa anataka Maendeleo na amani ya Zanzibar 😘😘
Seif ni kiongozi mwenyee imani sana nä hofu ya mungu Allah amsamehe madhambi yake ameen
@eddimalon6051
3 жыл бұрын
Ameen
@kidjhdf7568
3 жыл бұрын
Yes fatuma
@dotomohammed6662
3 жыл бұрын
Hiyo nikweli Allah ampe kauli thabiti
Siku zote mazuri ya mtu huonekana baada ya kufa! But Maalim was really good man! Tumepoteza hazina! Ila ALLAh ameihitaji hazina yake! Innalilah waina ilaihi rajiuun
@fatumajuma1157
3 жыл бұрын
Unafiki ndio ulivyo
@hawahamad9628
3 жыл бұрын
Ni kweli
Ishi ulaumiwe Kufa usifiwe
@kidjhdf7568
3 жыл бұрын
Umejuwaje khadija
@kidjhdf7568
3 жыл бұрын
Karibu saudia Arabia
@khadijaa815
3 жыл бұрын
Shukran na ww karibu oman
@kidjhdf7568
3 жыл бұрын
Asante +966537824849
@mohammedjumakhamis8151
3 жыл бұрын
Siku zote thaman ya ktu huonekanwa baada ya kuondoka. Asante umeongea maneno mazur mashaallah
Mnajua umuhim wa maji kisima,kimekauka
Simba, jembe, jemedari la taifa n nchi nzima ameondoka, n huzuni kubwa sana kwetu
Kutoka 1995-2020 mnadhulumu lkn inshallah kesho mbele ya haki kitaeleweka.
@zakiahaji1683
3 жыл бұрын
Maalim ameshasamehe
@abdulmohd6880
3 жыл бұрын
@@zakiahaji1683 nchi c ya Maalim hii, yy amesamehe madhila na udhalilishaji aliwofanyiwa yy km yy
@ashasalmin144
3 жыл бұрын
Dua ndo kitu muhimu uko aliko lawama hazita msaidia
@ramilialiy3725
3 жыл бұрын
Tena hatuwasamehe walijue hilo
@ramilialiy3725
3 жыл бұрын
@@abdulmohd6880 swadakta hatuwasamehe wanajiona wamefika dunia
Moja Moja Moja katekeleza Alhamdulillah watu wote wameenda mazikoni Allah Akbar Allah Akbar Allah Akbar
Haki zake zote Mlizo mdhulumu mtaenda kumlipa mbele ya haki. Yy ameshatangulia na sisi tupo nyuma yake. Hakipotei chochote mbele ya Allah
@hamadnassor3864
3 жыл бұрын
Ali makame umeongea haki tupu haki haipotei kwakweli watamlipa Akhera in shaa Allah
@mulhatkassim4397
3 жыл бұрын
Hii cku namuomba Allah nipate nishuhudie cku ya hukum
@fatmas7338
3 жыл бұрын
@@mulhatkassim4397 unafikiri ni rahisi kuangalia hukumu ya may wakati yako hujayajua siku ya hukumu ni siku nzito sana mpaka kufikia kukimbiana baba atamkimbia mwanawe na mtoto atamkimbia mzee wake halafu ww unataka uone hukumu ya mwenzio tumuombe Allah atupe mwisho mwema tu
@ashasalmin144
3 жыл бұрын
Je unauhakika kama yy haja mkosema Allah vp kama maneno unayoyasema apo ikawa ndo chanzo cha kuazibiwa uko aliko acha ayo mambo Mungu mwenye anatosha cha msingi tumuombee dua tu asaiv ndo chakula chake pengine uko aliko anajuta kwnn alijiingiza kwenye siasa na asiingie kwenye
@hawahamad9628
3 жыл бұрын
Yani we kaka nimekuelewa sana inauma sana.
Mashaallah mashaallah mashaallah mwenyezi mungu atazidi kutuhifadhi waja wake
Leyohii kwasababu hayupo tena kilakitu mutaelezeya mbona hamukutenda haki kwenye uchaguzi SASA BC itabakistorituu unamsifumtu hayupo faidahaipohapo msifu MTU kablahajafumbamacho ajuwemwenyewe kwasasa Baba umechelewakidogo
@rizikiabdalla3308
3 жыл бұрын
Alimsifu kabla haja kama unakumbukumbu nzuri maalim alikutana na magu chato na akamsifia sana na pichaa Zipo
@khadijamajojo7123
3 жыл бұрын
Mungu amesema semeni mema ya maiti wetu na sio kama hakujua kua hana mabaya ivyoo misisahau dini mkakumbuka ya dunia tu
@yasiralkindi5332
3 жыл бұрын
@@khadijamajojo7123 nishakuelewa mamy lkn ujue kuwa mema ya maalim yameyafunika mabaya yake(Allah amjaalie qauli thabit )Amin
Mlirejea uchaguzi kwa sababu alishinda yy kwenye uchaguzi na mkakataa kumpa haki yake . Yaliopo mbele ndio bora zaidi
@ashasalmin144
3 жыл бұрын
Ww angekosa kuchaguliwa na M/Mungu ndo ingekua kesi lkn binaadam so chochote kwake chamsingi muombee dua ayo maneno mnayosena hamuez jua kiasi gani yanamuumiza na kujuta kutaka uongozi
@alimakame4207
3 жыл бұрын
@@ashasalmin144 Soma historia ya dini yako Utafaham. Kuchagua kiongozi tokea kupindi cha Mtume (s.a. w) ilikuwepo. Wanaadamu wanachagua ni kiongozi gani ana maslahi wanamchagua. Hata kipondi cha Mtume Muhammad kura zilikuwa zinapigwa kwa mambo tofauti
@alimakame4207
3 жыл бұрын
@@ashasalmin144 Kwahio ww kwa fikra zake vile kuwa anachaguliwa na wananchi walio wengi kwamba awaongoze halafu hapewi haki yake kwamba imepotea bure? Hakuna chochote kile kinachopotea mbele ya Allah
@ashasalmin144
3 жыл бұрын
Izo kelele munazo piga hazimsaidii uko aliko cha msingi dua tu asaiv kama kweli kiongoz wako unampenda bac Muuombee dua tu lkn kama angeliweza kutoka uko aliko yy mwenyewe angewasihi niombeeni dua mm msiniseme kwa siasa
Dunia ni mapito na starehe za muda. Vyeo, umaarufu, mali nk tutawacha hapahapa duniani. Tumtangulize Mungu kivitendo tusiishie ktk matamko vinywani na viapo lakini tunabariki na kuruhusu yamchukizayo kwa kutowa leseni na kutoza kodi ya mapato ktk maasi; ulevi/pombe, sigara/tumbaku, kutembea uchi/mashindano ya urembo, Miziki, riba, kamali nk !!!! Hivi tunamdhihaki Mungu?!!!! Tumesahau maangamizi walopata Umma zilizotangulia?!!! Tusijidanganye/tusidanganywe kwa kwa kauli za "MABADILIKO US TABIA NCHI...". Haya majanga na mabalaa ni kutokana na uovu/maasi tuyafanyayo duniani. Tunaenda Misikitini na Makanisani kwa unafiki (riha/sifa) tupate kuonekana ni waumini kumbe moyoni tunajuwa kuwa tunamtumikia shetani ! Yatupasa tubadilike tuwache mazowea. Mungu wa kweli hataniwi, kumdhihaki Mungu ni kujiangamiza wenyewe. Tumesaha yalomfika Firauni/Farao na watu wake, tumesahau ya Sofoma na Gomola/Kaumu Ruti?! Tusipobadilika/tusipomtaja Mungu na kumtegemea (kumuabudu) kivitendo tutegemee kupata mitihan zaidi ya Covid-19 na nzige. Si tunaona mvua zinazonyesha ni za maangamizi na mabalaa, likitoka jua balaa..! Hivi hatujiulizi tu?! Sasa huko Makanisani na Misikitini tunaenda kumuabudu Mungu gani?!! Tusijidanganye eti " Serikali haina dini...!" Hivyo Serikali ruhsa kuidhinisha haramu ! Wamepita mitume na manabii (waukweli) mbalimbali ili watuonye tusiangamie duniani na Akhera. Vijana/wanawake wanatembea uchi, wanaume wanasuka nywele, kamali, zinaa, maasi yamejaa tena hadharani afu mnasoma dua la kufungua Bunge kwa kumtaja Mungu, hivi ni Mungu gani mnae mtaja ktk dua na viapo?! Tubadilike tuwache mazowea, msitoboe Jahazi tutazama sote.
Wale ccm wa zamani do walikuwa wagombanishaji Znz Na tz na wenyenzi mungu at awajaalie waondoshwe 1mmoja mafisadi wakubwa mara mmpemba mara muarabu wakikuona na ragi hata kama umechanganyaa na mchaga wewe kama mwepe kazi hupewi kipande hupati wafukuzweeee ccm wakongwe woteee eeee looooo zaooo
Tutoleen mashekh wetu tafadhali
Mume mzulumu ndio leo mnatowa wasifu wake
@ramilialiy3725
3 жыл бұрын
Wakosefu ccm
Mimi namshukuru mh magufuli kwa ukweli na uhakika alioutaja bila ya kuficha.. Na dalili ya kutosha kwamba Dr sheni na wenzake walikuwa watu wabaya Kupita mpaka lakini allah atawapa malipo Yao hapa hapa duniani. Shukran magufuli kwa kutoa siri kama hio
Mbona hukusema tokea yupo hai ungemsifia yupo hai angepata faraja Alhamdulillah umemjua maalim Allah amrehemu
@machintangachibwena5922
3 жыл бұрын
Kwani haukuona Mwaka huu alipoenda cheto na Rais Hussein Mwinyi
NDIO MAANA NASEMA MSIBA UMETUGUSA WENYE AKILI
@cadabra7402
3 жыл бұрын
He kijana upo
Lazima usite kwa uhasid wako unaroho mbaya sn na ccm wenzio waone vile mumefurah kufa kwakwe tuyajuze 2 mate hayatemewi juu pia njia ni 1 tutaondoka 1 baada ya 1
Hao waliokukatalia kuonana na maalim. . Na Sasa tunawaona
Mtu akifa ndio mnaleta maneno mazur sio
@arafahassan5257
3 жыл бұрын
Wallah mpaka inatia hasira
Mutamkumbuka sana Kwa wema wake. Ole wako magufuli
Mzee bora unyamaze tu sisi hatukuelewi kabisa
Mungu ampe heri mwalim seif
Kufa asifiwe lkn iposiku tutajua ukweli wallah mtakufa vibudu au maiti zenu kutokuonena milele mmetuuwa sana Zanzibar kisa madaraka wallah allah ndio ngaoyetu haya fanyeni mkoa sasa Zanzibar muchukuwe nguvu zetu mimalizie njia ya tren dar allah tuthihirishie mnafki week hii au mwezi huu
@ramilialiy3725
3 жыл бұрын
Kabisa waache wafanye mkoa sasa
Reekbisheni screen yenu. Yanakuja maneno ya ajabu ajabu
Mumemdhulumu since 1995 wanga wakubwa saiv nyoko nyoko
Alijua fika ndiomana akajirudi hakutamka makuu yadhambi rip maalim sf
Mumeshindwa kumtumia wakati wote wa uhai wake Leo hii Ndio munamsifia wakati mumeshachelewa mwenyezi keshamchukua kiumbe wake. NA mpaka dunia itaisha hamtopata tena mtu muhimu kama maalim. Mungu ailaze mahala pema ROHO ya shujaa wetu na awape nuru ya kabri wale wote walotutangulia. Nasi tuko nyuma YAO.
Allah atamlipa mazur maalim wetu na hki yke haipotei ya dhulma
Mungu ndio maana aliweka kiama kila kitu kitafichuka
Kweli ukishakufa ndo yanaonekana mazur yko ila sw Allah ndo anaejua yote
Anaongea ujinga 2 mdhulumati mkubwa 😡
Duh
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 SWALI: je nani ataziba pengo ? 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@ashasalmin144
3 жыл бұрын
Mungu anayosha kuziba pengo ukisema ivo itakua unamkosea alie kuumba
@hawahamad9628
3 жыл бұрын
Hayupo wakuliziba pengo lake
@khamissiali2231
3 жыл бұрын
@@hawahamad9628 uvumilivu unahitajika katika kipindia hiki
@hawahamad9628
3 жыл бұрын
Khamis Aliy hakika uvumilivu unahitajika mimi nazid kumuomba Allah atupe subra tuzid kustahmili.
Unajua Leo kwa sababu hayupo tena
Huna hata aibu vyote mtuwwatu alivyokuwa nyeyekefu mtiifu leo hayupo ndio unajifanya myinge
😢
Baada ya kufa allh amlaze pema peponi kipenzi chetu
Huyu mzee alienda mazishini kweli mana sikumuona
Ipray for Africa Biografia continente there can think about there future guida and there Historia of the Universe that Is Lost true and security and Commes around Global International and feier of what Is Testmon Natio
Ww ndiofisadi ulotufisidi IlaAllah anakungoja
@machintangachibwena5922
3 жыл бұрын
Wacha hizo tofauti zilisha malizika wakati wameunga serekali hii mpya na Rais Hussein Mwinyi
@ashasalmin144
3 жыл бұрын
Ww kama ulicho kisema huna uhakika nacho vp Mungu hakungoji ama baada ya kumuombea dua mwezetu ww unasema tu huji kama anaweza kuhukumiwa kwa icho ulicho kisema
Too late... Ata angekua Tundulisu leo hii angesifiwa kua alikua mnyenyekevu mpenda amani shujaa 😂😂😂 hii bongo Dar es salaam.
Makufuli musituchanganye mlipenda kiongozi wetu awe Kama yahaya hata makaazi msiyajue nazalim mulio mfanyia ila jambo la kheri hakupata nafasi yakutoa kkwakua wazanzibar tunapenda Zaid kuliko mtu yoyote Zanzibar nindi mlicho igopa tu siwatu wazuri nyinyi hata kidogo
Kufa usifiwe
Cmkubl huyu
Hapo alipo kuja kuonana ma wewe mara ya kwanza unaongea nae na ukamjuwa mtu gani ulifanza mini
@hiimbinaimmuslim3041
3 жыл бұрын
Ulifanza nini kwenye uchaguzi huu siuliamrisha masii tena na watu wakafa juwa tu muogope mungu maneno yako na vitendo vyako tafaut mnafik mungu anakuona na kwake utarejea ujuwe muogope mungu
Wewe huna chembe hata kidogo cha imani ya maalim seifu unangelikuwa na hata theluthi ya imani yake basi tungeishi kwa raha sana maana wewe umejiongoza wewe halafu uongo wa kujenga nchi ukatoa utu makodi yamekuwa mengi mno kiasi kwamba hatumui wanyonge
😢😢😢 I swear siwez kujizuia kulia
@samzali8554
3 жыл бұрын
pole utakufuru mwisho
@dreamleague-uq2gx
3 жыл бұрын
🙏
@khamissiali2231
3 жыл бұрын
Stop please and calm down 😭, yaani kila wakizi kuyasimulia Yale aliyokuwa akiafanya kipindia Cha uhai wake ndio naishiwa nguvu kabiasa Hakika Simba ameondoka SWALI: je nani ataziba pengo? 😭😭😭😭
@mukrimkhamis8514
3 жыл бұрын
So peke yako...huu ni msiba wetu sote...tujikaze
Dah tutamkumhuka kwa mengi sana
MuuAji wA hAki HuKo chATo ndiPo uliPomTenGeneZea maZiGiLA yA kummALizA . HaKunA asiEjuA hiLo MunGu AnaKuonA MbWa mwiTu wewE. NaWe yaTaKukuTA tu .
@kshdbzjnxksksw6567
3 жыл бұрын
Usijibebeshe majukum
@suleyhb10hb74
3 жыл бұрын
Muache aseme kikicho moyon unamzuwia km nanu hatuna lman nao hao c watu wa zuri
Never listen to people views they are always worst and jealous rubbish
yule ndio kiongozi shupavu mwenye busar
Tulimuamin na tulitaman awe rais lkn awamu tano aligombea hamkumpa maskin leo ndo mnajua kama alikuwa na nia safi na ni mkarim Allah msamehe na mlaze pema peponi..
@sweetmeena5970
3 жыл бұрын
Wamemnyima urais kama anavonyimwa raila Kenya toka ana nguvu zake mpaka amezeeka siasa hizi
@ashasalmin144
3 жыл бұрын
Akipata urais uko aliko unamtosha kuliko wa hapa
Ndio maalim anawadai viongozi wote wa ngazi za juu wa tanzania hsa wale watawala kwa kumnyima haki yake kuanzia 95 hadi 2020 aliyehusika na wizi kumyima haki yake maalim ataenda kuadhibiwa siku ya hisabu mana hakuna tena cha kumlipa kule
@ramilialiy3725
3 жыл бұрын
Hatuwasamehe tena kwa dhulma hiyo watatulipa ln shallakh
@maryamsaid9249
3 жыл бұрын
Hayo asingeweza kuyasema mwenyewe akiwa hai. Ama kweli neema ya kitu haijulikani mpaka ikutoke