ALICHOZUNGUMZA MAALIM SEIF MBELE YA MAGUFULI NA MWINYI CHATO

Пікірлер: 221

  • @swahibambogo1833
    @swahibambogo18333 жыл бұрын

    Maalim seif Allah akulaze mahala pema amin

  • @yahyamkone5601
    @yahyamkone56013 жыл бұрын

    Safii Sana maalim seif Sasa naona mafanikio ya haraka yanakuja Zanzibar

  • @abdullahv.lebabu8182

    @abdullahv.lebabu8182

    3 жыл бұрын

    Safi makufuli kwa kuimarisha siasa Zanzibar

  • @hajikombo8578
    @hajikombo85783 жыл бұрын

    Tutakukumbuka daima mungu akulaze majalipema peponi😭😭😭😭😢🤲🤲🤲🤲

  • @andresmartin6332
    @andresmartin63323 жыл бұрын

    Malim Seif hongera sana kwa hekima kubwa kwa maamuzi uliochukua Mungu akupe afya njema Baba

  • @heavenlight5084
    @heavenlight50843 жыл бұрын

    MUNGU ibariki Tanzania yetu,dumisha udugu na umoja daima.amen

  • @mursallusinde9189

    @mursallusinde9189

    3 жыл бұрын

    Ilitumika hekma kubwa sna kumpa maali seifu umakamo wa rais yan ni maono ya mbali sna lengo ilikua ni kumrahisishia kazi mwinyi ili afanye kazi yake bila kupigwa mawe yan kimyaaaaa 😂 mchawi mpe mtoto akuleleee sasa kile alivho kua ana kiahidi maalim seifu ndo akakitende tuone

  • @jamisonjude4944

    @jamisonjude4944

    2 жыл бұрын

    You probably dont give a damn but does any of you know a method to get back into an Instagram account..? I somehow lost the account password. I appreciate any help you can give me!

  • @samuelmwaipaja5181
    @samuelmwaipaja51813 жыл бұрын

    asante mzee wetu kwa busara zako. MUNGU akubariki na akuongoze katika kipindi hiki. amen

  • @thekingbudah3711
    @thekingbudah37113 жыл бұрын

    Safi sana mahalim seif tukopamoja tuijenge nchi yetu

  • @liliansamson674
    @liliansamson6743 жыл бұрын

    Tanzania kwanza # Amani kwanza💪🏿💪🏿

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima56743 жыл бұрын

    Nawaona masheikh , njia nyeupe kuelekea kuachiliwa!!!

  • @greenandbeach8134

    @greenandbeach8134

    2 жыл бұрын

    Kumbe ulishtuk

  • @ahmedhamad2410
    @ahmedhamad2410 Жыл бұрын

    Mungu akulaze mahali peponi maalim seifu baba wa taifa la Zanzibar

  • @emanuelinno631
    @emanuelinno6313 жыл бұрын

    Mwinyi we mtu cool sana mfundishe magufuli

  • @augustinemzeentinginya3057

    @augustinemzeentinginya3057

    3 жыл бұрын

    Ili Magufuli awe cool sana na tuanze kumuita lege lege, na tupige madili kadri tutakavyo. JPM, wembe ni nule ule

  • @abdulwahidmsellem1964
    @abdulwahidmsellem19643 жыл бұрын

    Allah awaongoze inshaalah

  • @panchovalentino5922
    @panchovalentino59223 жыл бұрын

    Vizur mkuu nmependa Daima Aman itawale

  • @almusawyusuf2608
    @almusawyusuf26083 жыл бұрын

    Ili muonekane nawananchi mumefanya lamana mashekhe muwatoweee tunakuombenii

  • @jurassicparkmovies8805
    @jurassicparkmovies88053 жыл бұрын

    *KWA KUSOMA MASHAIRI YA NYIMBO MBALIMBALI YAANI LYRICS NAOMBA BONYEZA Lyrics APO PEMBENI ILA PIA NAOMBA SUBSCRIBE KWENYE CHANNEL YANGU ILI NIWEZE KUMONITIZE CHANNEL YANGU*

  • @samsonhaule3373
    @samsonhaule33733 жыл бұрын

    Maali Seif Una busara sana.

  • @omarmhmammed216
    @omarmhmammed2163 жыл бұрын

    Tunatumai soon mashekhe wetu wanakuja zanzibar kwa uwezo wa Allah

  • @feysalsaleh5444

    @feysalsaleh5444

    3 жыл бұрын

    Inshaallah

  • @Mike-fv5lv

    @Mike-fv5lv

    3 жыл бұрын

    Kama walivunja sheria za nchi basi wanapaswa kutumikia vifungo vyao.....viongozi wa dini hawapo juu ya sheria

  • @salimmoha7962

    @salimmoha7962

    3 жыл бұрын

    @@Mike-fv5lv kwani hicho ni kifungo? Wapi jaji kahukumu au mahakama gani walipelekwa wakahukumiwa ndio useme watumikie kifungo chao mjinga wewe

  • @saifysaid7556

    @saifysaid7556

    3 жыл бұрын

    @@Mike-fv5lv ww kuna kifungo wale wapo lockup miaka 8 acha ujinga ila jina lako linaonesha ushetwan ivi ww baba ako angekuwa yupo ndani ungesemaje

  • @sadickally1806

    @sadickally1806

    3 жыл бұрын

    In sha Allah

  • @alirattansi5040
    @alirattansi50403 жыл бұрын

    Allah awa weke viongozi wote DAIMA...Ameen!

  • @suleimanissa2308
    @suleimanissa23083 жыл бұрын

    Mungu ibariki Tanzania yetu na viongozi wetu

  • @HamadiMageti-ku2hg
    @HamadiMageti-ku2hg11 ай бұрын

    Malim seif Allah akulaze mahali pema peponi amin

  • @samiakhamis1861
    @samiakhamis18613 жыл бұрын

    Maalim seif mtu mwenye akili nyng

  • @salumjumaruhaga2513

    @salumjumaruhaga2513

    3 жыл бұрын

    Kivip Yani

  • @thomasliteka8318
    @thomasliteka83183 жыл бұрын

    Maalim

  • @sensiblejuniour6719
    @sensiblejuniour67193 жыл бұрын

    Mungu akubariki maalimu

  • @jabirmawazo9680
    @jabirmawazo96803 жыл бұрын

    JAMANI NA SISI TULIOKUCHAGUENI TUNAKA KUVAA SUTI HIZO .MBONA MNAPENDEZA NYINYI TU WAZEE WETU MTUARUWE NA SISI

  • @mohamedsalum3746

    @mohamedsalum3746

    3 жыл бұрын

    😂😂kanunueyako

  • @mfwimiekayuki8692
    @mfwimiekayuki86923 жыл бұрын

    Mwinyi Mungu akubariki una uvumilivu wa Ajabu na Hekima Kama Mfalme SULEIMAN. BIG UP.

  • @an6808
    @an68083 жыл бұрын

    Hii Kichwa ya Mwinyi ilibidi iongoze Tz nzima, maana ushindani wa 2025, ungekua Ni Majaliwa vs Mwinyi, lakini sasa hakuna zaidi ya Majaliwa

  • @gimbagusweka7016

    @gimbagusweka7016

    3 жыл бұрын

    Kwakweli anafaa huyu muheshimiwa Mwinyi, nanihakibatosha yahapobadae, nidhahirkabisa. Mungu' IBARIKI nchiyetu mungu' IBARIKI TANZANIA NA Viongoziwake wote.

  • @muddymaulid2771

    @muddymaulid2771

    3 жыл бұрын

    anarud hukuuu

  • @majaliwabwitonde7749

    @majaliwabwitonde7749

    3 жыл бұрын

    Anakuja 2025, usijali

  • @camiliusmassao5686

    @camiliusmassao5686

    3 жыл бұрын

    Ukimtaja jina ndiyo hapati tu

  • @mbarakaiddi8209

    @mbarakaiddi8209

    3 жыл бұрын

    naunga hoja asilimia"##%(

  • @yassirrashid7802
    @yassirrashid78023 жыл бұрын

    Millard Ayo mumezid dharau iyo s ndogo maana yake nini hapo kwenye majina ya maalim seif..?

  • @im8296
    @im82963 жыл бұрын

    Tanzania, Zanzibar bila chuki na hasama inawezekana.

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga25133 жыл бұрын

    Kuwa unganisha ilikuwa muwaunganishe kabla,hawajabaki wajane,na walemavu

  • @idrisabakar7928
    @idrisabakar79283 жыл бұрын

    Amani idumu

  • @zakariamsilu2333
    @zakariamsilu23333 жыл бұрын

    Tudumishe upendo na Amani

  • @emmanuelwilliam7251
    @emmanuelwilliam72513 жыл бұрын

    Ktk kuwaletea mageuzi ya kweli

  • @elibarickmmbando6225
    @elibarickmmbando62253 жыл бұрын

    Ndio muijue vizuri siasa,kama mlikuwa hamuijui

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima56743 жыл бұрын

    Hahahaa,,,,,,,,safi sana maalim na dkt mwinyi!! ndio Tanzania tuitakayo!!

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior69723 жыл бұрын

    Masha Allah 👏👏👏

  • @iviejustified8109
    @iviejustified81093 жыл бұрын

    Tukiungana wa Africa tunaweza zaidi.... Hongereni Zanzibar

  • @amiryhamza1984
    @amiryhamza19843 жыл бұрын

    mwenyezi mungu awabariki wazarendo watanzania

  • @emmanuelwilliam7251
    @emmanuelwilliam72513 жыл бұрын

    Pole kwakuwahadaa wazanzibare

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi82413 жыл бұрын

    i feel like our country has not served justice to this good old man. i pray he wont die with pain in his heart. thts just my prayer

  • @shifaaplusherbalmedicine

    @shifaaplusherbalmedicine

    2 жыл бұрын

    Dawa zakutoa kitambi au kupunguza mwiili kutoa colesto

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei11333 жыл бұрын

    Tutawakumpuka daima mungu aziweke mahala pema peponi🙏🙏🙏🇹🇿

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga70203 жыл бұрын

    SAWASAWAAA?

  • @kassimmussa7814
    @kassimmussa78143 жыл бұрын

    Uhuru kwa mtu anaejitambua una thamani kubwa kuliko chipsi kuku kwamjinga🤣🤣🤣

  • @abbyadams8691
    @abbyadams86913 жыл бұрын

    Hakuna mkate mgumu mbele ya chai

  • @salumhafidhally5927
    @salumhafidhally59273 жыл бұрын

    🙏

  • @enocklema7213
    @enocklema72132 жыл бұрын

    Mmh kwel ubepari ndo uu

  • @mathewungani9724
    @mathewungani97243 жыл бұрын

    Sawa sawa

  • @dicksonndalu6212
    @dicksonndalu62123 жыл бұрын

    Sawa

  • @shamimushittindi1418
    @shamimushittindi14183 жыл бұрын

    Safiiiiii❤

  • @ahmadseif7241
    @ahmadseif72413 жыл бұрын

    Vipi kuhusu wale mashekhe?au ndo bas tena

  • @temkezatv4381
    @temkezatv43813 жыл бұрын

    Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI

  • @erastosolomon4554
    @erastosolomon45543 жыл бұрын

    Siasa mchezo mchafu sana walivyokuwa wanatupiana vijembe wakati wa kampeni hamna mtu alieamini kuwa hawa jamaa wanaweza kukaa meza moja, hongera sana kwenu mdumishe uhusiano ulio mwema kwa wa tz na wa zanzibar ili nchi zote tuwe mbele kimaendeleo.

  • @DRIPPINGPAIN

    @DRIPPINGPAIN

    3 жыл бұрын

    MCHAFU SANA TENA WA KISHETANI

  • @mustafaalli4698
    @mustafaalli46983 жыл бұрын

    😳😳

  • @kasililamecksatano7302
    @kasililamecksatano73023 жыл бұрын

    Naitamani Tanzania ya viongozi wanaojadili mambo ya nchi kwa umoja hongera sana m/k JPM

  • @nzumbizblogger4154
    @nzumbizblogger41543 жыл бұрын

    Mm najua wote mtafaata njia ya magu, mnaruka ruka tuu

  • @salimmoha7962

    @salimmoha7962

    3 жыл бұрын

    Kwenda uko

  • @azizawadh5973

    @azizawadh5973

    3 жыл бұрын

    Mlo

  • @alexmussa2598
    @alexmussa25983 жыл бұрын

    Njia rahisi na salama ya ASILIA kumaliza tatizo la kiba100. - Kama wewe ni kijana au baba na umekuwa na changamoto ya kiba100, na umesha tumia vitu vingi kumaliza changamoto hii bila mafanikio, basi ninahabali njema kwako 🤩 - Hii sio changamoto inayo weza kutatuliwa hospital bali unahitaji kutambua chanzo cha tatizo hili kwako, kama ni la kuzaliwa nalo au limetokana na mabadiliko ya mwenendo wa maisha yako. - Kama lakuzaliwa nalo jibu ni kuwa unahitaji pacha wako kufurahia tendo, kama sio unahitaji kutambua aina ya vyakula na kutumia kisha kufanya zoezi la kuboresha msuli wako na kwa muda wa siku 15 mpaka 60 ukizingatia unamaliza tatizo hili. - kama wewe upo na changamoto hii, basi usisite kuwasiliana nami WhatsApp au sms ama kwa kupiga simu, kisha nami nitakupa tiba kamili na ya asilia isio na madhara/wala chemical yeyote mwilini baadae Mawasiliano yetu 👇👇 Number- 0744481111 Instagram- @Afya Mkononi

  • @echizua606
    @echizua6063 жыл бұрын

    1

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim11062 жыл бұрын

    Wamemdhulum. MASKINI, alikuwa na MOYO MSAFI HILO NDILO LITAWAUMIZA dhulma haidumu na yeye kwa nguvu zake zote hakukaa Duniani. alileta umoja mzuri wa kuulisha na kupiga Wananchi wa Zanzibar.

  • @issahmswahili5301
    @issahmswahili53013 жыл бұрын

    Sisi ndiyo waswahili undugu kwanza

  • @nassiromar339
    @nassiromar3393 жыл бұрын

    mwinyi unajua kuongea

  • @pastorjamesmajaliwa7843
    @pastorjamesmajaliwa78433 жыл бұрын

    Nimependa Sana hiyo nilipenda ata kwa magu ningekua hivyo

  • @petrojosephmakono323
    @petrojosephmakono3233 жыл бұрын

    Vizuri

  • @mangaabubakari5111
    @mangaabubakari51113 жыл бұрын

    Yani hadi raha hii ni ishara tosha kuwa Tanzania ni inchi ya amani upendo na bila kujali ukabila ukanda wala uchama. Mungu ibariki Tanzania Mungu wabariki viongozi wote wa Tanzania

  • @awadhyazid7790
    @awadhyazid77903 жыл бұрын

    safi sana

  • @gimbagusweka7016

    @gimbagusweka7016

    3 жыл бұрын

    Tuwewamoja daima namwenyezimungu atubariki nchiyetu, Amaninauturivu Uwabalikiviongozi WETU Nauwajalie Afyanjema.

  • @martinlilenga2280
    @martinlilenga22803 жыл бұрын

    Good vision

  • @mtangombayaya7000
    @mtangombayaya70003 жыл бұрын

    Siasa za kweli na amani mungu atuzishie umoja wetu

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    3 жыл бұрын

    Kabisa

  • @neliustkyobya3065
    @neliustkyobya30653 жыл бұрын

    🙂

  • @jumasharif7146
    @jumasharif71463 жыл бұрын

    Yeye munamuahid kama nani? Na wakat kila mmoja ana nchi

  • @jenipherkavusha1661
    @jenipherkavusha16613 жыл бұрын

    Safi sana baba

  • @andrewbigambo6721
    @andrewbigambo67213 жыл бұрын

    Hamna nchi duniani iliyofanikiwa kuchukua nchi kwa maandamano yaliyomwaga damu na watu Wa chini kufanikiwa lazima vyama vyenye mlengo kufutwa na kuangamizwa kabisa.

  • @winfredcanaan582

    @winfredcanaan582

    3 жыл бұрын

    Kaa kimya kama hujui historia, Misri, Morocco na Algeria zilibadili uongozi kwa maandamano. Raisi Mseveni na Raisi Kagame wameingia madarakani kwa njia hizohizo.

  • @andrewbigambo6721

    @andrewbigambo6721

    3 жыл бұрын

    @@winfredcanaan582 fuata nyumbu wenzako beligiam tuachie nchi yetu tutafute Mali alizotupa mungu ambazo hatuwezi pewa na wanasiasa sitaki kujua siasa natakakujua nitafanikiwaje na mali mungu ametuzawadia nyumbu sio kila mtu lofa

  • @winfredcanaan582

    @winfredcanaan582

    3 жыл бұрын

    @@andrewbigambo6721 hapo nyumbu ni nani? Unajua kwamba kuna watoto wamepata nafasi ya kujiunga na elimu ya upili lkn wapo majumbani kisa serkali haikujiandaa? Unajua mikopo ya elimu ya juu imeongezewa malipo ya 10%? Unajua kwamba ni mwaka 60 toka tupate uhuru na wanetu wanakaa chini mashuleni? Unajifanya unaipenda sana nchi kumbe ni mnufaika wa wizi wa viongozi wako ☹️☹️☹️

  • @andrewbigambo6721

    @andrewbigambo6721

    3 жыл бұрын

    @@winfredcanaan582 swala wizi hats upinzani mbona wezi tu .ila tunashukuru awamu hii inafuatilia namna kiongozi inatakiwa kuwa yote yatatuliwa kupitia maliasili tulizonazo. Upinzani maneno mazuri mdomoni ila moyoni ni majoka.ila unadhani kwa non awamu hii wamewafutilia mbali hii awamu inaleta heshima kwa nchi bila upinzani kwa sababu kila mfumo tumeletewa na kama hauna tija nikuufuta tu.kama kiongozi mmoja anasifiwa kuwa na hotel na majumba mpaka ulaya huyuhyu anadanganya watu waandane hayo majumba na vihela vyake alidhani ataweza pata dollar kirais .hats Lowasa pamoja na mahela yake sasa hivi mbona afaidi mkapa naye yupo wapi.Magu anafanyakazi.

  • @winfredcanaan582

    @winfredcanaan582

    3 жыл бұрын

    @@andrewbigambo6721 Haya mawazo ya kimasikini unayapata kwa wajinga kama wewe, kiongozi kuwa tajiri wewe inakuuma nini? Unataka awe maasikini ili iweje? Fanyakazi kwa bidii jielimishe wacha wivu wakisukuma!

  • @johnmanyema6008
    @johnmanyema60083 жыл бұрын

    😁😁😁

  • @emmanuelbonifase1114
    @emmanuelbonifase11143 жыл бұрын

    Politics iz not war

  • @afredyohana356
    @afredyohana3563 жыл бұрын

    Yani huyu mzeee ni mnafiki kweli na Mungu anakuona

  • @Mumewangu

    @Mumewangu

    Жыл бұрын

    Unafiki wake upo wap

  • @aokinsindi6948
    @aokinsindi69483 жыл бұрын

    Hivi,,Leo kamwamkia,,shikamooo,,auu????sijasikia salaam yao,,

  • @Mike-fv5lv

    @Mike-fv5lv

    3 жыл бұрын

    Hata akimsalia ni kwa umri wake nasi kicheo.....kumbuka Seif kimuungano na kwa majibu wa katiba kama sikosei yupo chini hata kwa waziri mkuu haingii..

  • @hajihassan5433

    @hajihassan5433

    3 жыл бұрын

    @@Mike-fv5lv Kukusaidia tu hii ni Ihsani ya Kiviongozi wa Kitaifa lakini kiprotocal Makamo wa kwanza na wapili wa Rais wa Zanzibar hawana nafasi yoyote ndani ya Jamhuri ya Muungano Tanzania, hawakutajwa popote kwenye Katiba ya Jamhur ya Muungano. Hadi sasa inamtambua Waziri Kiongozi kuwa ndie mtendaji Mkuu wa SMZ. Ukumbuke SUK imeingizwa kwenye Katiba ya Zanzibar 2010 wakati mabadiliko ya mwisho ya Katiba ya Jamhur ya Muungano wa Tanzania ni July 1992. Hata misingi ya SUK haijasimama na mwisho wake 2024, chezea mote lkn sio Serikali sio uji hasionjwi wala haitajaribiwa ni CCM mpaka infinity.

  • @malelabmalela5016
    @malelabmalela50163 жыл бұрын

    jaman

  • @johnmanyema6008

    @johnmanyema6008

    3 жыл бұрын

    😁😁😁😁😁😁😁

  • @godlovemgeni235
    @godlovemgeni2353 жыл бұрын

    Ahahahaha siasa bwana daah

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga25133 жыл бұрын

    Muyu umeenea toto lakini hakukunyesha mvua,

  • @amosmoses7800
    @amosmoses78003 жыл бұрын

    Iyo ikULu chaTo imeJengWa na HeLa za NaNi

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga25133 жыл бұрын

    Utaliona likigemwa lakini kinwani halitoingia

  • @aishaasumany561
    @aishaasumany5613 жыл бұрын

    Innalilahi wainna rajiuni

  • @HassanHassan-sn5cj
    @HassanHassan-sn5cj2 жыл бұрын

    Mwenye macho haambiwi tazama yaani huyu mwamba anaongea lakini kuna watu wawili wanaonekana wamejawa na hofu na wasiwasi !! Nadhani hofu yao ni je atamaliza hotuba yake bil kuchafua hali yahewa au vp!?

  • @nipolive..2745
    @nipolive..27453 жыл бұрын

    Hicho ndo kinacho wahangaisha wapenda vyweo

  • @kevinmtei1457
    @kevinmtei14573 жыл бұрын

    Umoja ni upendo upinzani si uadui

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf2 жыл бұрын

    ZITAZAMENI HIZI SURA ZA HAWA VIONGOZI MTAGUNDUWA KITU INAONEKANA WALISHA KUBWA NA CORONA ILA WALIKUWA WANAJIKAUSHA KI USOLAPA GANZI LAKINI WOTE WAWILI WALIKUWA TAYARI HOI.

  • @blacksimba6967
    @blacksimba69673 жыл бұрын

    Wananchi Wana Njaa

  • @allyhuyu1892
    @allyhuyu18923 жыл бұрын

    Amani itawale Tanzania yote, tunakuomba Mwenyezi mungu ibariki Tanzania

  • @abbyadams8691
    @abbyadams86913 жыл бұрын

    Mbona Maalim hamkumpigia makofi wakati anaongea? Siyo vizuri inaonyesha bado mnambagua.

  • @suleimansuleiman2436
    @suleimansuleiman24363 жыл бұрын

    Mhhhhhhhhm

  • @rolax1999
    @rolax19993 жыл бұрын

    Tutunze Aman yetu

  • @azizawadh5973
    @azizawadh59733 жыл бұрын

    Kawa lainiiiii

  • @amalikakiva4937
    @amalikakiva49372 жыл бұрын

    Yo

  • @shabanisaid5933
    @shabanisaid59333 жыл бұрын

    Kuna. Nini hukooo

  • @marrydamian2864
    @marrydamian28643 жыл бұрын

    Eti nkweli amefikia being maana alikuwa mdomo kaya xana

  • @alhamud2721

    @alhamud2721

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @patricksamwel6230
    @patricksamwel62303 жыл бұрын

    Nikikumbuka enz ya jino kwa jino 😂😇

  • @christinashaban7262

    @christinashaban7262

    3 жыл бұрын

    Masihara nini😀😀

  • @salehejongo2799
    @salehejongo27993 жыл бұрын

    Seiph Aman pambna Kwa zanzibar

  • @komboomar8275
    @komboomar82753 жыл бұрын

    *1 2 3 1 2 3 tunataka masheikh wetu wa jumuiya ya uamsho waachiliwe huru gerezani kwani hawana hatia yoyote ni dhulma tu wafanyiwayo*

  • @ARMANIDIORFILMDIRECTOR

    @ARMANIDIORFILMDIRECTOR

    3 жыл бұрын

    Humu kwenye mtandao unamueleza nan?

  • @zuwenasalum1563

    @zuwenasalum1563

    3 жыл бұрын

    @@ARMANIDIORFILMDIRECTOR Anaueleza mkundu wako si ndo ulosimama hapo unahutubia

  • @komboomar8275

    @komboomar8275

    3 жыл бұрын

    @@ARMANIDIORFILMDIRECTOR namueleza mama yko lakini naona yuko bize anatombwa

  • @ARMANIDIORFILMDIRECTOR

    @ARMANIDIORFILMDIRECTOR

    3 жыл бұрын

    @@komboomar8275 acha ushoga wewe, c aende serikalini akawaeleze, humu nan anamckia?

  • @ARMANIDIORFILMDIRECTOR

    @ARMANIDIORFILMDIRECTOR

    3 жыл бұрын

    @@zuwenasalum1563 nenda gerezan ukawachukue

  • @vincentnyello1885
    @vincentnyello18853 жыл бұрын

    K

  • @ibnhassan9980
    @ibnhassan99803 жыл бұрын

    mbona hauongei kilichopo moyoni

  • @omarmhmammed216

    @omarmhmammed216

    3 жыл бұрын

    Huwezi jua pengine alishawaambia walipokuwa wanaongea kabla kisimama hapo

  • @gadyetheboss8738

    @gadyetheboss8738

    3 жыл бұрын

    Ila ni kweli muonekano wa mtu huonyesha kile alicho kificha moyon

  • @Mpakauseme

    @Mpakauseme

    3 жыл бұрын

    Sura ya mzee Sef imejawa na uzuni

  • @ramadhaniharuna8110
    @ramadhaniharuna81103 жыл бұрын

    Namcheki maalim kwmbalii sura inakuja inakataaa 😂🤣😂

  • @hamedabashir9

    @hamedabashir9

    3 жыл бұрын

    Hahaha uwii

  • @josephemmanuel3175

    @josephemmanuel3175

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @yusufmohamed8874

    @yusufmohamed8874

    3 жыл бұрын

    Acha fitna 😂

  • @amosmoses7800
    @amosmoses78003 жыл бұрын

    HawaPo paMoJa na NyinYi. Akina CCM hawaTaKi kuwePo maenDeLeo huKo zanZibAr WanaChoTakA ni machaFuko na UmwaGaji wa DaMu

  • @hassanhussen2571

    @hassanhussen2571

    3 жыл бұрын

    Usizae mawazo hayo

  • @sophyeliah954
    @sophyeliah9543 жыл бұрын

    Hiki ndo tunachokihitaj

  • @basachitopela1997

    @basachitopela1997

    3 жыл бұрын

    Mambo

  • @sophyeliah954

    @sophyeliah954

    3 жыл бұрын

    @@basachitopela1997 safi boss

  • @basachitopela1997

    @basachitopela1997

    3 жыл бұрын

    @@sophyeliah954 pande zip

Келесі