MKE WA MAALIM SEIF AFUNGUKA KILICHOMUUA MUMEWE/ TULIRUSHWA KICHURA/ NILIFUKUZWA KAZI KISA MAALIM

--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24news@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24Tz
⚫️ Facebook: @dar24news
⚫️ Twitter: @Dar24News
#AweinaSinan #MaalimSeif #MkeWaMaalim

Пікірлер: 323

  • @pastorbonnyphillip8945
    @pastorbonnyphillip89452 жыл бұрын

    Narudia tena... Kaka unajitahidi sana ... Kwa neema ya Mungu utafika mbali. Wewe na Salim Kikeke mnafanya vizuri sana....

  • @hono1232
    @hono12322 жыл бұрын

    Mama nimekukubali kwamba watoto wa kike ndo walezi !! Hongera sana mama

  • @dottieray5435
    @dottieray54352 жыл бұрын

    BBC LEVELS indeed....Huyu mtangazaji is so underrated, levels zake ni za BBC...namna anavyostructure maswali yake, namna anavyoengage na huyo mama hadi anacheka, anakua confortable kujibu maswali is on another level...KUDOS for the goodjob.

  • @issaofficialvideo6375

    @issaofficialvideo6375

    2 жыл бұрын

    Hata mm mwanzo nilizani Salim kikeke

  • @waheedahtanzania4912
    @waheedahtanzania49122 жыл бұрын

    Baba yetu mzee wetu Sheikh Seiff shariff Hamad Allahumma ighfirlahu warhamhuu waskanhuu fii janna 😭👏

  • @sarahmuhammed6872

    @sarahmuhammed6872

    2 жыл бұрын

    AMEEN AMEEN AMEEN YAARAB

  • @ruwaidaal-ismaily9099

    @ruwaidaal-ismaily9099

    2 жыл бұрын

    آللهم آمین

  • @fatmas7338

    @fatmas7338

    2 жыл бұрын

    Amin

  • @saumusalimuhassan2499

    @saumusalimuhassan2499

    2 жыл бұрын

    Ameen Yarabb 🙏

  • @zuweinaalhabsya8773

    @zuweinaalhabsya8773

    2 жыл бұрын

    اللهم امين يارب العالمين

  • @user-dh6uv5lw6c
    @user-dh6uv5lw6c6 ай бұрын

    Allah amjalie Kila la kheri kwenye maisha yake ya kaburini natunakukumbuka sana maalim seif mtetezi wa wanyonge

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim1432 жыл бұрын

    Nafurahi unajistiri mtii mume wako Allah akukutanishe naye peponi inshallah

  • @nadyasalim7956

    @nadyasalim7956

    2 жыл бұрын

    Amiin

  • @halley807

    @halley807

    2 жыл бұрын

    Ameen

  • @user-hp6eh6oi2o

    @user-hp6eh6oi2o

    5 ай бұрын

    Ammin🎉

  • @sadabkari5532
    @sadabkari55322 жыл бұрын

    Mashallah mama yetu awena Allah akupe kher na uvumilivu na upate mume mwema Kama baba yetu Almahrumu seif sharifu Hamad.

  • @mustafa-wh8gi

    @mustafa-wh8gi

    Жыл бұрын

    Allahuma amiin❤

  • @Youngchimodzi823

    @Youngchimodzi823

    6 ай бұрын

    Awena ni.mke mwema,mcheshi, muangalifu,mvumilivu,msiri na akili nyingi.Mume mwingine wa nini Sasa? Atambulia uharibifu kimwili ,kiroho na mateso kwake. Abaki hivyo hivyo mama Awena akimuenzi mume wake Maalim Seif wakati alipokuwa hai na Leo akiwa amekufa. Ameongea vizuri lkn napata shida Zanzibar itawezaje kuwa huru kabla ya Pemba-,Tumbatu na unguja bila kudai uhuru na kila kisiwa kujiamulia mambo yake. Huu mtihani,dhambi ya ubaguzi Haina tabia ya kusimama,inakwenda kama moto wa nyika.muungano udumu milele😂

  • @inthekitchenwithnona4427
    @inthekitchenwithnona44272 жыл бұрын

    Ahsante sana mpenzi wetu, Allah akupe nguvu na wepesi Yarrab... Na babaetu Allah amkutanishe na maswahaba na ma walii Yarrab

  • @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52

    @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52

    2 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/d6SmxMp-d9q6gKg.html

  • @imraniqbal00765
    @imraniqbal007652 жыл бұрын

    Mama tumekuelewa na pole Sanaa na Tunamuomba allah Amrehemu marehemu aliko Akhera

  • @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52

    @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52

    2 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/fqWIxMSKgKzUfco.html

  • @Nassy2009

    @Nassy2009

    2 жыл бұрын

    Allahuma Ameen yaa Rabbi

  • @fatmaalsharge3257
    @fatmaalsharge32572 жыл бұрын

    Innalillah wainna ilaihi rajjiun Allah amlaze mahala pema peponi Ameen ishallah

  • @sprettysalim4659
    @sprettysalim46592 жыл бұрын

    Allah Ampe Kauli Thabit Tumempenda Sana Maalim Saif hivi Sasa Hivi Natoka Machozi ,Pole Sana Mama Awena ALLAH atakupa Subra

  • @nassorshaaban7295
    @nassorshaaban72952 жыл бұрын

    MashaAllah nawapenda Sana Dar 24 na hasa we Mtangazaji na Brother Shaban kondo

  • @raykhalamour3666
    @raykhalamour36662 жыл бұрын

    Allah amrehemu maalim...bi Awena kajibu vizur..kwakweli very smooth short and clear..hongera kwa mtangazajiii..indeed ..he is very conving one...Anafaa kua international mtangazaji..BBC swahili wamchukue tu ...

  • @bintsalimalbimany287
    @bintsalimalbimany2872 жыл бұрын

    Innalillah wainnailaih rajiun Allah amlaze mahal pema pepon ammin 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭💔Maalim wetu hatuwezi kumsahau daima jaman 💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @nadyasalim7956

    @nadyasalim7956

    2 жыл бұрын

    kaondoka lakini bado atabaki kuwepo ndani ya mioyo yetu

  • @Luweenamandal2911

    @Luweenamandal2911

    5 ай бұрын

    Amiin yarrab

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan24992 жыл бұрын

    Allah Amrehem Mzee wetu Maalim Seif

  • @Luweenamandal2911

    @Luweenamandal2911

    5 ай бұрын

    Amiin Amiin yarrab

  • @jumabias4917

    @jumabias4917

    3 ай бұрын

    Allahuma aaamin yaa Rabb

  • @hamishemed9396
    @hamishemed93962 жыл бұрын

    Mama makini sana Allah akujalie subra inshaallah

  • @jumahamis227
    @jumahamis2272 жыл бұрын

    Mama mvumilivu sana huyo anavyoonekana 😆, hongera sana dar 24 pia, wanasema ukitaka kuwaelewa viongozi vizuri, wahoji wake zao, wanawake wa viongozi wanapitia mengi,wanajua mengi, wavumilivu sana na wana siri kubwa ya kuelewa jinsi ya kuwalea viongozi.

  • @Nassy2009

    @Nassy2009

    2 жыл бұрын

    Allahuma Ameen yaa Rabbi

  • @msuyarashid9482

    @msuyarashid9482

    2 жыл бұрын

    Mama anaongea vizuri Inaonekana naye ana busara kama matehemu mumewe

  • @kassimally5515

    @kassimally5515

    2 жыл бұрын

    @@msuyarashid9482 je?ukotayar tuje tuzibe pengo mma

  • @user-nd9fk9gb8s
    @user-nd9fk9gb8s5 ай бұрын

    M / mungu. Amfanyie wepesi. Mama Awena Tupo pamoja.

  • @nassorshaaban7295
    @nassorshaaban72952 жыл бұрын

    Habari zenu ni za uhakika Panapo Jaala ya Allah mtafika Mbali sana

  • @ucjvvjcjjvih9934
    @ucjvvjcjjvih99342 жыл бұрын

    Muna tz pole mama allah AKUZIDISHIE afya na uzima uzidi kuwa na furaha ndio amani kwa sote

  • @Nassy2009

    @Nassy2009

    2 жыл бұрын

    Allahuma Ameen yaa Rabbi

  • @janegeogre3234
    @janegeogre32342 жыл бұрын

    Daah!... yan mama la mama yan mama ni cute kwelikweli!

  • @muryd6999

    @muryd6999

    2 жыл бұрын

    Maa Shaa Allah

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad18022 жыл бұрын

    Hongera sana mtangazaji uko vizuri mashallah kwenye kazi yako

  • @mustafa-wh8gi
    @mustafa-wh8gi Жыл бұрын

    Allah amsamehe makosa yake maalim seif wetu😭😭😭😭😭😭 tunamuomba allah atuekee mama awena wetu❤❤❤ amuuondoshee mahasid

  • @bakarali9657
    @bakarali96572 жыл бұрын

    Pole sana dada yangu bi Awena M mungu akuzidishie subra In shaallah.

  • @ramadhanmasiku4105
    @ramadhanmasiku41052 жыл бұрын

    Allah akupe nguvu mama hongera

  • @hamoudabdullah5497
    @hamoudabdullah54972 жыл бұрын

    Mashallah. Aunt Aweina amejieleza vizuriii.

  • @allymunir5480

    @allymunir5480

    Жыл бұрын

    Masha Allah

  • @bakarimmbaga2344
    @bakarimmbaga23446 ай бұрын

    Mashallah! Mama umejaaliwa busara mwenyezi mungu akupe kheri

  • @chamchuuconsult4682
    @chamchuuconsult46822 жыл бұрын

    Mama yupo vizuri Sana sisi tulioowa walimu tunafaidi Sana full busara Nampa tano mama anajitambua Allah akustiri na kila Shari na watoto wako Allah amsamehe maalim seif amuingize Janna Firdausi.

  • @yahyaburhan4798
    @yahyaburhan47982 жыл бұрын

    Mama awena Mashallah Mashallah Mashallah umeongeya vizuri

  • @DamianDavid-hz5gp
    @DamianDavid-hz5gp3 ай бұрын

    Hongera mama Awena kwa ujasiri ulionao baada ya kuondokewa na mwenzi wako, Mwenyenzi akujalie maisha marefu

  • @aisharevelian6933
    @aisharevelian69332 жыл бұрын

    Mama bado mzurii kabisa yan...halaf anaongea vizur😍 mashallah

  • @muryd6999

    @muryd6999

    2 жыл бұрын

    Maa Shaa Allah

  • @hawamohammed9740
    @hawamohammed9740 Жыл бұрын

    😭😭😭😭😭maalim wetu kipenz chetu mtetezi wetu allah ampe jannah yaa Rab pole mama awena umeumia sana zaid ya sisi lkn allah atawakutanisha pepon

  • @rashidjuma1969
    @rashidjuma19692 жыл бұрын

    Mungu ampe kauli thabit huko alikoo pamoja na sisi sote

  • @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52

    @ablamaryamsalehvg5eazhst3n52

    2 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/d6SmxMp-d9q6gKg.html

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi17252 жыл бұрын

    Hasbiya Allah wani'mal wakiil Mwenye Enzi Mungu ata walipia kwa uwezo wake yaarab

  • @yordanidigital5011
    @yordanidigital50112 жыл бұрын

    BBC levels🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Huyu Mtangazaji anajielewa saaaaaaaana

  • @enterenter1921
    @enterenter19212 жыл бұрын

    Innalilla wainna Illayh rajiunah 😭😭Allah azid kukupandisha darja firdaus,, binafs nilikua nampenda kwaajili ya ALLAH,, ALLAH amjaze subr mkewe maalim Seif naawape furaha family

  • @maxlattinokiki8105
    @maxlattinokiki81052 жыл бұрын

    Na sikitika sana Malim nimeanza muelewa dakika za mwisho kabisa Allwah ampe makazi mema peponi

  • @zalhayahya5658

    @zalhayahya5658

    2 жыл бұрын

    Amiin

  • @allymwatima5401
    @allymwatima54016 ай бұрын

    Interview nzuri sana. Hongera mwandishi

  • @ashachanja8087
    @ashachanja80872 жыл бұрын

    Asante sister wangu mpenzi Mungu akuzidishie Subra na akupe furaha Daima Ameen love you Usijali Seif mdogo tunaye nakulelea

  • @mohamedkutwambi
    @mohamedkutwambi Жыл бұрын

    Hongera sana bi Awena, hicho ndio kipimo halisi cha uvumilivu kuna jambo kubwa sana la kujifunza kwako kwa vizazi vyetu vijavyo, Allah akubariki 🙏🙏

  • @sophiafaith4750
    @sophiafaith47504 ай бұрын

    Pole mama. Allah akupe nguvu. Yaaarabi. Mwenyezi Mungu akupe nguvu.

  • @barakambilinyi2507
    @barakambilinyi25072 жыл бұрын

    Mama yupo vizury.....apewe siku nyingi za kuishi

  • @manilabonalumanula1014

    @manilabonalumanula1014

    2 жыл бұрын

    Vizuri siyo vizury

  • @msemwawalter837
    @msemwawalter8372 жыл бұрын

    Wanasiasa mjue kwa Mungu ni mbali. Aiseee........

  • @MAPETEE
    @MAPETEE2 жыл бұрын

    Mama Wetu twakupenda sanaa nipo oman nikija zanzibar inshllah nitakuja nikuone 😭😭😭

  • @masoudrashidmohammed4124
    @masoudrashidmohammed41242 жыл бұрын

    Allah akupe nguvu mamaetu kipenzi ila mm nalia bila kituo nakumbuka madhila na mateso tuliopitia wazazinzibar mungu atakupa nguvu zaidi na team DAR 24 MEDIA YETU PENDWA TANZANIA 🇹🇿 ila brother lambat levo yako sio kufanya kazi Africa bbc .dw. au voa sauti ya 🇺🇸

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim76632 жыл бұрын

    Mama ni smart mno, nimependa na majibu yake ,ingekuwa mwingine angekurupuka kuongea ovyo lakini mama anajua kuongea kutokana na wakati uliopo,hajamlaumu wala kukashifu mtu.

  • @husseinkarim7663

    @husseinkarim7663

    2 жыл бұрын

    @sheshi beshi umeshakula mirungi!!😅

  • @aishakh5046
    @aishakh50462 жыл бұрын

    Pola sana Ati yangu pole sana dada yangu misimba miwili kwa mwaka moja Allah akupe subra wazazi wetu hao nikombali nanyiyi ila Allah atatukutanisha insha'Allah

  • @gracejulius3966
    @gracejulius39662 жыл бұрын

    Inavyoonekana Wazanzibar ni Wapole sana na Wenye busara.

  • @ummusamira3518

    @ummusamira3518

    2 жыл бұрын

    Nikweli wengi tuko hivyo ila hakuna kizuri kikakosa kasoro na tabia yapili pia wapo ila hawana nguvu kubwa kwasababu asili yetu ni hivyo shukran

  • @hassanally4960

    @hassanally4960

    2 жыл бұрын

    Shukran yote ni kwasababu ya imani ya uislam

  • @Khalid-mf3iu

    @Khalid-mf3iu

    2 жыл бұрын

    Wazanzibari ni wakarimu....kutoka mombasa salaam kwenu

  • @amirybeka9602
    @amirybeka960210 ай бұрын

    Mashaallah mamaa. Allah akufnyie wepes ktk kbri lake. 🎉

  • @mwanaishakhamis8069
    @mwanaishakhamis80692 жыл бұрын

    Allah ampe kauli thabit Amin.Maalim seif Hamadi 😂kutoka🇰🇪001county mambasa

  • @Nassy2009

    @Nassy2009

    2 жыл бұрын

    Allahuma Ameen yaa Rabbi

  • @kiri5807

    @kiri5807

    2 жыл бұрын

    Amin

  • @activetravel7412

    @activetravel7412

    2 жыл бұрын

    Ameen

  • @Khalid-mf3iu

    @Khalid-mf3iu

    2 жыл бұрын

    @sheshi beshi wewe senge la mtwapa acha kutangaza tarabu zako hapa

  • @Khalid-mf3iu

    @Khalid-mf3iu

    2 жыл бұрын

    @sheshi beshi huna heshima yani watu waongea ya maana ww watuma tarabu zako how senge la mtwapa mombasa ww nakujua vizuri sana

  • @amanimyolo1478
    @amanimyolo14783 ай бұрын

    INNALILLAH wainna ilaih rajiuun Allah akupe shifaa mama yangu

  • @jumannerajabu6324
    @jumannerajabu63242 жыл бұрын

    mwanandishi kweli umeenda darasa upo vizuli

  • @kawtharalbarwani1337
    @kawtharalbarwani1337 Жыл бұрын

    Tunakupenda mama 😍😍😍Allah akulinde pamoja na family yako inshaAllah amiin

  • @gracemima5234
    @gracemima52342 жыл бұрын

    Siasa ni nzuri. Hakuna mwanasiasa masikini

  • @hemednassor2362
    @hemednassor23623 ай бұрын

    mashAllah maam awena ni mtu wawap

  • @user-wo2mm1rr7w
    @user-wo2mm1rr7w4 ай бұрын

    Mashalah mama ❤Awena umeongea vizuri sanaa

  • @Maryam-yt8lw
    @Maryam-yt8lw2 жыл бұрын

    Mashaallah dada etu Allah amlaze mahali pema peponi mzee wetu Amin

  • @magwinahimself7316
    @magwinahimself73162 жыл бұрын

    Mwandishi nakubali sana mahojiano yako una uwezo mkubwa

  • @allykingu6954
    @allykingu69542 жыл бұрын

    Maashalah mama yupo vizur ,na Hongera bonge la mtangazaj

  • @hamishassan6784
    @hamishassan67846 ай бұрын

    Historia hii ya Mama inatuwazisha kubadili Namna ya uendeshaji wa Siasa Zetu. Kutofautiana kisiasa kunakuwapo lakini baadhi ya madhila ya kisiasa yasio yalizima haukunahaja ya kuyaendekeza. Hasa Haki za Msingi za waambata wa kisiasa na wale wanaowazunguuka. Nimpongeze sana Rais Mwinyi kwa mabadiliko chanya ya Siasa Zetu Upande wa Visiwani. Ninamatumaini yajayo yanafurahisha

  • @mohamediamil3365
    @mohamediamil33652 жыл бұрын

    Kama ningekuwa kiongozi ningemtafutia nafasi sirikalini.

  • @assumptamuzima2745
    @assumptamuzima27454 ай бұрын

    Mama yetu huku anaongea vizuri saana mstarabu saana kwa kweli ahsante saana mama

  • @goodluckriwa3425
    @goodluckriwa34258 ай бұрын

    Mama Ana jielewaa kweli Yuko vizuri Sana kichwani , Mungu amjalie Maisha marefu,

  • @abduliauni8048
    @abduliauni80482 жыл бұрын

    Mama nakupenda san nakuwona kam mama yangu Allah atakupa tahfiki

  • @yordanidigital5011
    @yordanidigital50112 жыл бұрын

    Mtangazaji 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma76162 жыл бұрын

    Mama awena mlezi wa watoto na mlezi wa marehemu wa maalim seiif

  • @abdelnasseraq7133
    @abdelnasseraq71333 ай бұрын

    الله يغفرله ويرحمه ويدخله فسيح جناته ويلهم اهله الصبر والسلوان وانا لله وانا اليه راجعون

  • @mudathirmkubwamselem5650
    @mudathirmkubwamselem56502 жыл бұрын

    Mama awena mim nakukumbuka haukua ivoo wew ulikua mnene mashallah kipindi kile tunapita tunaenda chuoni kwa malim abasi mtoni kidatuu

  • @mwanaishazain7985

    @mwanaishazain7985

    2 жыл бұрын

    Sasa ulitaka awe je ? Huo ni udhalilishaji eti ulikuwa mnene kamlishe basi anenepe

  • @jumamohammed5378
    @jumamohammed53782 жыл бұрын

    MashaAllah mungu akupe kila la khery mama

  • @Legends_Interviews
    @Legends_Interviews2 жыл бұрын

    MashaaAllah

  • @user-xh9ko2cs1r
    @user-xh9ko2cs1r4 ай бұрын

    Nimempenda sana mama mstarabu sana.mwenyezi mwenyezi Mungu amjalie na busara hizo.

  • @geraldtarimo2550
    @geraldtarimo25502 жыл бұрын

    Mama Samia msaidie kazi huyu mama

  • @yussufdarus
    @yussufdarus6 ай бұрын

    Hongera mama kwa kujibu maswali ipasavyo Allah akupe kilichobora zaid

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya95062 жыл бұрын

    Wanawake wa viongozi oyeee😂👌👌👌👌🙏wanakula kiapo kuwatunza waume zao safi....

  • @ahmadsayyeed7910
    @ahmadsayyeed79102 жыл бұрын

    Tena tunamkumbuka sana zaidi ya waliopo madarakani mungu amsamehe makosa yake ampe kheri na pepo njema

  • @zalhayahya5658

    @zalhayahya5658

    2 жыл бұрын

    Amiin

  • @ayadehila4932

    @ayadehila4932

    2 жыл бұрын

    Ameen🤲

  • @jafaribori5428
    @jafaribori54282 жыл бұрын

    Pole Mama Awena nimekukubali kwa maelezo yako

  • @sadabkari5532
    @sadabkari55322 жыл бұрын

    Mtangazaji mashallah saut cute 🥰🥰🥰🥰🥰

  • @AHIMTYKIJANGWANIPEMBA-bc2wj
    @AHIMTYKIJANGWANIPEMBA-bc2wj Жыл бұрын

    Pole sana mama pamoja na watoto wko pia poleni sana watoto mliopata sulubu hiyo ila nawao waliowatesa watoto hao mungu atawahukumu mpka kiama

  • @oparetionmaalum9030
    @oparetionmaalum90302 жыл бұрын

    Mama umeeleza vizuri sana Kuna tofauti kubwa Kati ya mzanzibari na mpemba vitu viwili tofauti na ndio Maana kipindi hicho kulikua na Chama kinaitwa zppp lakini wapemba wengi hawalijui Hilo wafahamisheni walijue Hilo

  • @hemedalawy6527

    @hemedalawy6527

    Жыл бұрын

    Hujui lolote ww

  • @ahmedzahor2975

    @ahmedzahor2975

    Жыл бұрын

    Usitubague hakuna Zanzibar bila ya Pemba wala hakuna muungano wa Unguja na Pemba

  • @gracemima5234
    @gracemima52342 жыл бұрын

    Siasa nzuri. Hakuna mwanasiasa masikini.

  • @Hassanali-sq2dm
    @Hassanali-sq2dm Жыл бұрын

    ❤❤❤❤hongera mama etu mpendw upo mchesh na umejibu vzr sana mama

  • @sabrinasabrina8395
    @sabrinasabrina83952 жыл бұрын

    Wewe mwandishi huwa uko very smart yanii nakupendaga sana

  • @issaofficialvideo6375
    @issaofficialvideo63752 жыл бұрын

    Masha Allah

  • @alluabdallah6893
    @alluabdallah68935 ай бұрын

    🎉🎉🎉🎉🎉 Hongera mama nimekubali maoni yako

  • @HamadHamad-oy7mp
    @HamadHamad-oy7mp Жыл бұрын

    Nakupenda sana mama Awena

  • @enterenter1921
    @enterenter19212 жыл бұрын

    Alhamndulilah

  • @bonylove6192
    @bonylove61922 жыл бұрын

    Mungu akubariki mkewe masrimu seif

  • @suleimanmuhammed1347
    @suleimanmuhammed13472 жыл бұрын

    Dr mwinyi ni raisi mwenye mawazo naamini Atafkiria na kumpa Ajira biawena na kumsaidia inshallah nakujenga umoja na ushikamano zaidi

  • @khamissalim3701

    @khamissalim3701

    Жыл бұрын

    Ajira gani na huyo ni mke wa kiongozi wa juu kabisa na analipwa mpaka kufa kwake.

  • @salmasalim6055
    @salmasalim60552 жыл бұрын

    Pole sana mwalimu wangu

  • @adam-saffi211
    @adam-saffi2112 жыл бұрын

    I didn’t know the guy but the government machinery walimtesa sana huyu mzee. How ha survived, I don’t know

  • @benjaminsteven4818
    @benjaminsteven48182 жыл бұрын

    Mungu akupe nguvu mama katupa somo

  • @husnamohamed9245
    @husnamohamed92452 жыл бұрын

    Mama awena nakusalimia mashallah

  • @amosmwanga4027
    @amosmwanga40272 жыл бұрын

    Wa kwanza ku comment ni mm toka Bara,

  • @mombasa0076

    @mombasa0076

    2 жыл бұрын

    Safi sana

  • @anawa4326
    @anawa43262 жыл бұрын

    Pole sanaaa Mamaaa

  • @user-qu1iu7fl9v
    @user-qu1iu7fl9v5 ай бұрын

    Mh maa pole sana, mshkur mungu tu

  • @rajabseifabdalla710
    @rajabseifabdalla7106 ай бұрын

    Allah akupe subra mama Awena

  • @sheikhsaid4108
    @sheikhsaid41082 жыл бұрын

    Mungu akusameh baba yetu

  • @salehesalehe2967
    @salehesalehe29672 жыл бұрын

    Ahsante mama

  • @alhabsi6430
    @alhabsi64302 жыл бұрын

    Pole sana mama kwa mitihani ulioipata💔

  • @jamesdizanzibar2075
    @jamesdizanzibar20752 жыл бұрын

    Inauma sana ala Allh 🙏 atakulipa mama kwa vizazi vijavyo

Келесі