MKE WA MAALIM SEIF AFUNGUKA KILICHOMUUA MUMEWE/ TULIRUSHWA KICHURA/ NILIFUKUZWA KAZI KISA MAALIM
--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24news@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24Tz
⚫️ Facebook: @dar24news
⚫️ Twitter: @Dar24News
#AweinaSinan #MaalimSeif #MkeWaMaalim
Пікірлер: 323
Narudia tena... Kaka unajitahidi sana ... Kwa neema ya Mungu utafika mbali. Wewe na Salim Kikeke mnafanya vizuri sana....
Mama nimekukubali kwamba watoto wa kike ndo walezi !! Hongera sana mama
BBC LEVELS indeed....Huyu mtangazaji is so underrated, levels zake ni za BBC...namna anavyostructure maswali yake, namna anavyoengage na huyo mama hadi anacheka, anakua confortable kujibu maswali is on another level...KUDOS for the goodjob.
@issaofficialvideo6375
2 жыл бұрын
Hata mm mwanzo nilizani Salim kikeke
Baba yetu mzee wetu Sheikh Seiff shariff Hamad Allahumma ighfirlahu warhamhuu waskanhuu fii janna 😭👏
@sarahmuhammed6872
2 жыл бұрын
AMEEN AMEEN AMEEN YAARAB
@ruwaidaal-ismaily9099
2 жыл бұрын
آللهم آمین
@fatmas7338
2 жыл бұрын
Amin
@saumusalimuhassan2499
2 жыл бұрын
Ameen Yarabb 🙏
@zuweinaalhabsya8773
2 жыл бұрын
اللهم امين يارب العالمين
Allah amjalie Kila la kheri kwenye maisha yake ya kaburini natunakukumbuka sana maalim seif mtetezi wa wanyonge
Nafurahi unajistiri mtii mume wako Allah akukutanishe naye peponi inshallah
@nadyasalim7956
2 жыл бұрын
Amiin
@halley807
2 жыл бұрын
Ameen
@user-hp6eh6oi2o
5 ай бұрын
Ammin🎉
Mashallah mama yetu awena Allah akupe kher na uvumilivu na upate mume mwema Kama baba yetu Almahrumu seif sharifu Hamad.
@mustafa-wh8gi
Жыл бұрын
Allahuma amiin❤
@Youngchimodzi823
6 ай бұрын
Awena ni.mke mwema,mcheshi, muangalifu,mvumilivu,msiri na akili nyingi.Mume mwingine wa nini Sasa? Atambulia uharibifu kimwili ,kiroho na mateso kwake. Abaki hivyo hivyo mama Awena akimuenzi mume wake Maalim Seif wakati alipokuwa hai na Leo akiwa amekufa. Ameongea vizuri lkn napata shida Zanzibar itawezaje kuwa huru kabla ya Pemba-,Tumbatu na unguja bila kudai uhuru na kila kisiwa kujiamulia mambo yake. Huu mtihani,dhambi ya ubaguzi Haina tabia ya kusimama,inakwenda kama moto wa nyika.muungano udumu milele😂
Ahsante sana mpenzi wetu, Allah akupe nguvu na wepesi Yarrab... Na babaetu Allah amkutanishe na maswahaba na ma walii Yarrab
@ablamaryamsalehvg5eazhst3n52
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/d6SmxMp-d9q6gKg.html
Mama tumekuelewa na pole Sanaa na Tunamuomba allah Amrehemu marehemu aliko Akhera
@ablamaryamsalehvg5eazhst3n52
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/fqWIxMSKgKzUfco.html
@Nassy2009
2 жыл бұрын
Allahuma Ameen yaa Rabbi
Innalillah wainna ilaihi rajjiun Allah amlaze mahala pema peponi Ameen ishallah
Allah Ampe Kauli Thabit Tumempenda Sana Maalim Saif hivi Sasa Hivi Natoka Machozi ,Pole Sana Mama Awena ALLAH atakupa Subra
MashaAllah nawapenda Sana Dar 24 na hasa we Mtangazaji na Brother Shaban kondo
Allah amrehemu maalim...bi Awena kajibu vizur..kwakweli very smooth short and clear..hongera kwa mtangazajiii..indeed ..he is very conving one...Anafaa kua international mtangazaji..BBC swahili wamchukue tu ...
Innalillah wainnailaih rajiun Allah amlaze mahal pema pepon ammin 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭💔Maalim wetu hatuwezi kumsahau daima jaman 💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔😭😭😭😭😭😭😭😭
@nadyasalim7956
2 жыл бұрын
kaondoka lakini bado atabaki kuwepo ndani ya mioyo yetu
@Luweenamandal2911
5 ай бұрын
Amiin yarrab
Allah Amrehem Mzee wetu Maalim Seif
@Luweenamandal2911
5 ай бұрын
Amiin Amiin yarrab
@jumabias4917
3 ай бұрын
Allahuma aaamin yaa Rabb
Mama makini sana Allah akujalie subra inshaallah
Mama mvumilivu sana huyo anavyoonekana 😆, hongera sana dar 24 pia, wanasema ukitaka kuwaelewa viongozi vizuri, wahoji wake zao, wanawake wa viongozi wanapitia mengi,wanajua mengi, wavumilivu sana na wana siri kubwa ya kuelewa jinsi ya kuwalea viongozi.
@Nassy2009
2 жыл бұрын
Allahuma Ameen yaa Rabbi
@msuyarashid9482
2 жыл бұрын
Mama anaongea vizuri Inaonekana naye ana busara kama matehemu mumewe
@kassimally5515
2 жыл бұрын
@@msuyarashid9482 je?ukotayar tuje tuzibe pengo mma
M / mungu. Amfanyie wepesi. Mama Awena Tupo pamoja.
Habari zenu ni za uhakika Panapo Jaala ya Allah mtafika Mbali sana
Muna tz pole mama allah AKUZIDISHIE afya na uzima uzidi kuwa na furaha ndio amani kwa sote
@Nassy2009
2 жыл бұрын
Allahuma Ameen yaa Rabbi
Daah!... yan mama la mama yan mama ni cute kwelikweli!
@muryd6999
2 жыл бұрын
Maa Shaa Allah
Hongera sana mtangazaji uko vizuri mashallah kwenye kazi yako
Allah amsamehe makosa yake maalim seif wetu😭😭😭😭😭😭 tunamuomba allah atuekee mama awena wetu❤❤❤ amuuondoshee mahasid
Pole sana dada yangu bi Awena M mungu akuzidishie subra In shaallah.
Allah akupe nguvu mama hongera
Mashallah. Aunt Aweina amejieleza vizuriii.
@allymunir5480
Жыл бұрын
Masha Allah
Mashallah! Mama umejaaliwa busara mwenyezi mungu akupe kheri
Mama yupo vizuri Sana sisi tulioowa walimu tunafaidi Sana full busara Nampa tano mama anajitambua Allah akustiri na kila Shari na watoto wako Allah amsamehe maalim seif amuingize Janna Firdausi.
Mama awena Mashallah Mashallah Mashallah umeongeya vizuri
Hongera mama Awena kwa ujasiri ulionao baada ya kuondokewa na mwenzi wako, Mwenyenzi akujalie maisha marefu
Mama bado mzurii kabisa yan...halaf anaongea vizur😍 mashallah
@muryd6999
2 жыл бұрын
Maa Shaa Allah
😭😭😭😭😭maalim wetu kipenz chetu mtetezi wetu allah ampe jannah yaa Rab pole mama awena umeumia sana zaid ya sisi lkn allah atawakutanisha pepon
Mungu ampe kauli thabit huko alikoo pamoja na sisi sote
@ablamaryamsalehvg5eazhst3n52
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/d6SmxMp-d9q6gKg.html
Hasbiya Allah wani'mal wakiil Mwenye Enzi Mungu ata walipia kwa uwezo wake yaarab
BBC levels🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Huyu Mtangazaji anajielewa saaaaaaaana
Innalilla wainna Illayh rajiunah 😭😭Allah azid kukupandisha darja firdaus,, binafs nilikua nampenda kwaajili ya ALLAH,, ALLAH amjaze subr mkewe maalim Seif naawape furaha family
Na sikitika sana Malim nimeanza muelewa dakika za mwisho kabisa Allwah ampe makazi mema peponi
@zalhayahya5658
2 жыл бұрын
Amiin
Interview nzuri sana. Hongera mwandishi
Asante sister wangu mpenzi Mungu akuzidishie Subra na akupe furaha Daima Ameen love you Usijali Seif mdogo tunaye nakulelea
Hongera sana bi Awena, hicho ndio kipimo halisi cha uvumilivu kuna jambo kubwa sana la kujifunza kwako kwa vizazi vyetu vijavyo, Allah akubariki 🙏🙏
Pole mama. Allah akupe nguvu. Yaaarabi. Mwenyezi Mungu akupe nguvu.
Mama yupo vizury.....apewe siku nyingi za kuishi
@manilabonalumanula1014
2 жыл бұрын
Vizuri siyo vizury
Wanasiasa mjue kwa Mungu ni mbali. Aiseee........
Mama Wetu twakupenda sanaa nipo oman nikija zanzibar inshllah nitakuja nikuone 😭😭😭
Allah akupe nguvu mamaetu kipenzi ila mm nalia bila kituo nakumbuka madhila na mateso tuliopitia wazazinzibar mungu atakupa nguvu zaidi na team DAR 24 MEDIA YETU PENDWA TANZANIA 🇹🇿 ila brother lambat levo yako sio kufanya kazi Africa bbc .dw. au voa sauti ya 🇺🇸
Mama ni smart mno, nimependa na majibu yake ,ingekuwa mwingine angekurupuka kuongea ovyo lakini mama anajua kuongea kutokana na wakati uliopo,hajamlaumu wala kukashifu mtu.
@husseinkarim7663
2 жыл бұрын
@sheshi beshi umeshakula mirungi!!😅
Pola sana Ati yangu pole sana dada yangu misimba miwili kwa mwaka moja Allah akupe subra wazazi wetu hao nikombali nanyiyi ila Allah atatukutanisha insha'Allah
Inavyoonekana Wazanzibar ni Wapole sana na Wenye busara.
@ummusamira3518
2 жыл бұрын
Nikweli wengi tuko hivyo ila hakuna kizuri kikakosa kasoro na tabia yapili pia wapo ila hawana nguvu kubwa kwasababu asili yetu ni hivyo shukran
@hassanally4960
2 жыл бұрын
Shukran yote ni kwasababu ya imani ya uislam
@Khalid-mf3iu
2 жыл бұрын
Wazanzibari ni wakarimu....kutoka mombasa salaam kwenu
Mashaallah mamaa. Allah akufnyie wepes ktk kbri lake. 🎉
Allah ampe kauli thabit Amin.Maalim seif Hamadi 😂kutoka🇰🇪001county mambasa
@Nassy2009
2 жыл бұрын
Allahuma Ameen yaa Rabbi
@kiri5807
2 жыл бұрын
Amin
@activetravel7412
2 жыл бұрын
Ameen
@Khalid-mf3iu
2 жыл бұрын
@sheshi beshi wewe senge la mtwapa acha kutangaza tarabu zako hapa
@Khalid-mf3iu
2 жыл бұрын
@sheshi beshi huna heshima yani watu waongea ya maana ww watuma tarabu zako how senge la mtwapa mombasa ww nakujua vizuri sana
INNALILLAH wainna ilaih rajiuun Allah akupe shifaa mama yangu
mwanandishi kweli umeenda darasa upo vizuli
Tunakupenda mama 😍😍😍Allah akulinde pamoja na family yako inshaAllah amiin
Siasa ni nzuri. Hakuna mwanasiasa masikini
mashAllah maam awena ni mtu wawap
Mashalah mama ❤Awena umeongea vizuri sanaa
Mashaallah dada etu Allah amlaze mahali pema peponi mzee wetu Amin
Mwandishi nakubali sana mahojiano yako una uwezo mkubwa
Maashalah mama yupo vizur ,na Hongera bonge la mtangazaj
Historia hii ya Mama inatuwazisha kubadili Namna ya uendeshaji wa Siasa Zetu. Kutofautiana kisiasa kunakuwapo lakini baadhi ya madhila ya kisiasa yasio yalizima haukunahaja ya kuyaendekeza. Hasa Haki za Msingi za waambata wa kisiasa na wale wanaowazunguuka. Nimpongeze sana Rais Mwinyi kwa mabadiliko chanya ya Siasa Zetu Upande wa Visiwani. Ninamatumaini yajayo yanafurahisha
Kama ningekuwa kiongozi ningemtafutia nafasi sirikalini.
Mama yetu huku anaongea vizuri saana mstarabu saana kwa kweli ahsante saana mama
Mama Ana jielewaa kweli Yuko vizuri Sana kichwani , Mungu amjalie Maisha marefu,
Mama nakupenda san nakuwona kam mama yangu Allah atakupa tahfiki
Mtangazaji 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
Mama awena mlezi wa watoto na mlezi wa marehemu wa maalim seiif
الله يغفرله ويرحمه ويدخله فسيح جناته ويلهم اهله الصبر والسلوان وانا لله وانا اليه راجعون
Mama awena mim nakukumbuka haukua ivoo wew ulikua mnene mashallah kipindi kile tunapita tunaenda chuoni kwa malim abasi mtoni kidatuu
@mwanaishazain7985
2 жыл бұрын
Sasa ulitaka awe je ? Huo ni udhalilishaji eti ulikuwa mnene kamlishe basi anenepe
MashaAllah mungu akupe kila la khery mama
MashaaAllah
Nimempenda sana mama mstarabu sana.mwenyezi mwenyezi Mungu amjalie na busara hizo.
Mama Samia msaidie kazi huyu mama
Hongera mama kwa kujibu maswali ipasavyo Allah akupe kilichobora zaid
Wanawake wa viongozi oyeee😂👌👌👌👌🙏wanakula kiapo kuwatunza waume zao safi....
Tena tunamkumbuka sana zaidi ya waliopo madarakani mungu amsamehe makosa yake ampe kheri na pepo njema
@zalhayahya5658
2 жыл бұрын
Amiin
@ayadehila4932
2 жыл бұрын
Ameen🤲
Pole Mama Awena nimekukubali kwa maelezo yako
Mtangazaji mashallah saut cute 🥰🥰🥰🥰🥰
Pole sana mama pamoja na watoto wko pia poleni sana watoto mliopata sulubu hiyo ila nawao waliowatesa watoto hao mungu atawahukumu mpka kiama
Mama umeeleza vizuri sana Kuna tofauti kubwa Kati ya mzanzibari na mpemba vitu viwili tofauti na ndio Maana kipindi hicho kulikua na Chama kinaitwa zppp lakini wapemba wengi hawalijui Hilo wafahamisheni walijue Hilo
@hemedalawy6527
Жыл бұрын
Hujui lolote ww
@ahmedzahor2975
Жыл бұрын
Usitubague hakuna Zanzibar bila ya Pemba wala hakuna muungano wa Unguja na Pemba
Siasa nzuri. Hakuna mwanasiasa masikini.
❤❤❤❤hongera mama etu mpendw upo mchesh na umejibu vzr sana mama
Wewe mwandishi huwa uko very smart yanii nakupendaga sana
Masha Allah
🎉🎉🎉🎉🎉 Hongera mama nimekubali maoni yako
Nakupenda sana mama Awena
Alhamndulilah
Mungu akubariki mkewe masrimu seif
Dr mwinyi ni raisi mwenye mawazo naamini Atafkiria na kumpa Ajira biawena na kumsaidia inshallah nakujenga umoja na ushikamano zaidi
@khamissalim3701
Жыл бұрын
Ajira gani na huyo ni mke wa kiongozi wa juu kabisa na analipwa mpaka kufa kwake.
Pole sana mwalimu wangu
I didn’t know the guy but the government machinery walimtesa sana huyu mzee. How ha survived, I don’t know
Mungu akupe nguvu mama katupa somo
Mama awena nakusalimia mashallah
Wa kwanza ku comment ni mm toka Bara,
@mombasa0076
2 жыл бұрын
Safi sana
Pole sanaaa Mamaaa
Mh maa pole sana, mshkur mungu tu
Allah akupe subra mama Awena
Mungu akusameh baba yetu
Ahsante mama
Pole sana mama kwa mitihani ulioipata💔
Inauma sana ala Allh 🙏 atakulipa mama kwa vizazi vijavyo