Maalim Seif amlaani Haji Omar kuteswa watu Pemba

Mgombea urais wa Zanzibar kupitia ACT Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad, amemtaja Waziri wa Vikosi vya SMZ, Haji Omar Kheri, kuwa muhusika mkuu wa utesaji watu kisiwani Pemba.

Пікірлер: 334

  • @yussufhussein1954
    @yussufhussein19543 жыл бұрын

    Mshenz haji omar kher tena hana imani yy mbele masilahi tu

  • @ramilialiy3725

    @ramilialiy3725

    3 жыл бұрын

    Ndo watanganyika wakaaz wakija zanzibar kufanya hayo 2

  • @rayasaid4099

    @rayasaid4099

    3 жыл бұрын

    Laantullah in shaa Allah M. Mungu amjaalie siku yake ya kufa ale Mavi yake huku roho inatokaaa. AAAAAMIN YaaaRabiyyy 🤲🏻

  • @RioIpo

    @RioIpo

    3 жыл бұрын

    @@rayasaid4099 Allah atupe Khatma njema

  • @hashimuabdallah4211

    @hashimuabdallah4211

    3 жыл бұрын

    Ila anaehubiri kuapishwa Hadi uchaguzi mwingine unafika huyo hatesi watu? Watu wanatoka bara barani, yy yupo uingereza huyo hates watu? Watu hawazikani, hawasalimiani, n.k.kwa ajili ya siasa mwisho wa cku akawa mmoja wao katka serekali ya umoja wa kitaifa na wale wale wanaoambiwa wanatesa watu, wanaua watu, je huyo hates watu?

  • @rayasaid4099

    @rayasaid4099

    3 жыл бұрын

    @@hashimuabdallah4211 utakufa nalo hilo jiti la roho! Kasumba zako za kijinga unataka kufananisha na ukatili wa dhuluma wa Zahir umechelewa babaaa! Kama tulikua tumelala sasa tumeamka na kama unakerwa na seif pole usishindane na nyota eeee!? ⭐

  • @shamsahaji6202
    @shamsahaji62023 жыл бұрын

    Allah atawalipa mmoja mmoja kila anaefanya maovu kwa wenzao dah .

  • @abdulihafidhali5379
    @abdulihafidhali53793 жыл бұрын

    Maalim seif ww ni mzalendo wa wazanzibar sisi tuko pamoja na ww, Allah awajalie kauthabit hao waliotangulia na hao majeruhi awaponeshe na wagonjwa wapoe insha Allah.tupoleni sana wanzanzibar.

  • @isaachayes9783
    @isaachayes97833 жыл бұрын

    Sera sera sera babu, mbona waongea personalities badala ya Kamwaga sera?

  • @hudhaimasaleh5756

    @hudhaimasaleh5756

    3 жыл бұрын

    Ww vp mwalim ndo kiogoziii anayeee faaa hapa zanzibar

  • @mimiapa8436
    @mimiapa84363 жыл бұрын

    Ya Allah tunakuomba uwahukumu hapa hapa duniani hawa watu usiwasubirie aghera

  • @ghadnehamed9138

    @ghadnehamed9138

    3 жыл бұрын

    Aamin yaa Rabb

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu8663 жыл бұрын

    Kwa hili la kupigana Mimi siwezi sapoti si kwa wafuasi wa ccm au wale wa act, mapigano so mazuri, Shari ni mbaya naomba Imani itawale tusigombanishwe na watawala, au wanatafutia utawala, sawa jamaniii!

  • @suleimansuleiman2436
    @suleimansuleiman24363 жыл бұрын

    HAJI OMAR SHARI

  • @ashajuma438

    @ashajuma438

    3 жыл бұрын

    Hajj Omar khery Allah akuhifadhi na midomo ya watu isikudhuru.

  • @sniper93999
    @sniper939993 жыл бұрын

    Kiukwel mm naongea ivi Dr shein yupo vizur na anafany kaz ila viongoz wake wa chini ndio wanamuharibia 👌👌👌👌atakay pishaaa aje na police

  • @smileboy6199
    @smileboy61992 жыл бұрын

    Mnao mlaani mh haji na nyie hivohivo washenzi pia mungu awalaani nyoote

  • @abuuhashr8351
    @abuuhashr83513 жыл бұрын

    Allah awazalilishe madhalim na abatilishe vtendo vyao aamiyn

  • @sahlomar6397

    @sahlomar6397

    3 жыл бұрын

    Amiin

  • @saidabdala4980
    @saidabdala49803 жыл бұрын

    Mijitu mingine bado wana.mizimu ya NYERERE. Maiblis wanaoitiya ufukara ZANZIBAR.

  • @simonmagaigwa6634

    @simonmagaigwa6634

    3 жыл бұрын

    Acha chuki kauli hizi si za kiungwana. Fanya kazi kwa bidii utaushinda umaskini.

  • @issaibrahim7325

    @issaibrahim7325

    3 жыл бұрын

    @@simonmagaigwa6634 tatizo sio kuushinda umaskin bali ni maendeleo ya nchi

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    3 жыл бұрын

    @@issaibrahim7325 Fanya kazi

  • @ramilialiy3725

    @ramilialiy3725

    3 жыл бұрын

    Bado wamamiss mama yao wataifa nyerere alowauwa wazanzibar na baba eti karume

  • @issaibrahim7325

    @issaibrahim7325

    3 жыл бұрын

    @@jumakapilima5674 me maendeleo yangu nashkuru Allah ila vipi maendeleo ya Zanzibar

  • @charlesmwilima5548
    @charlesmwilima55483 жыл бұрын

    Toa Sera kila kukicha ni kuonewa tu

  • @ghadnehamed9138

    @ghadnehamed9138

    3 жыл бұрын

    Sera zitakuja Lazima paanze na matukio ww Vp au Jamaa yako Haji Omar hutaki alaaniwe

  • @khamiskhamis6286
    @khamiskhamis62863 жыл бұрын

    Nimeangalia hadi machozi yananitoka kumkumbuka maalim alikuwa hapendi dhulma na ubaguzi na uonevu kwa watu allah amrehemu

  • @saadasm6756
    @saadasm67563 жыл бұрын

    Poleni watu wa Kangagani Allah yupo pamoja na wenye kusubir. Allah atawalipia kwa hilo alilowafanyia haji o. Kher

  • @mariamfaki1166
    @mariamfaki11663 жыл бұрын

    Mshenzi sana tena sana mungu atamuonesha kwani kwa mungu sio mbali asijidanganye Allah tulipie maovu haya

  • @aliarkam9548
    @aliarkam95483 жыл бұрын

    Mwenyez Mungu atamuonesha hapa dunia

  • @sniper93999
    @sniper939993 жыл бұрын

    Halaf maalim ww ndio umesema wenye mapanga, weny majembe , wenye mawe, wenye visu mara hii kieleweke ss why ni sera ya ccm wakati umewaamrisha ww

  • @zubeirali6323

    @zubeirali6323

    3 жыл бұрын

    Hajielew huyu

  • @muddyhamad2159

    @muddyhamad2159

    3 жыл бұрын

    Ww harangwe umesikia wap akajielewa

  • @alimuhamed1830
    @alimuhamed18303 жыл бұрын

    Allah amlaani yeyote asoitakia mema nchi yangu ZANZIBAR

  • @ashajuma438

    @ashajuma438

    3 жыл бұрын

    Aamiin yaraby

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan88713 жыл бұрын

    Allah tunakuomba huyu Haji Omar Heri mpe mwisho mbaya na wa mateso

  • @hajihassan5433

    @hajihassan5433

    3 жыл бұрын

    Hivi vyama visitutowe kwenye Uislam, kwa matendo yetu, hii sio dua ya Kiislam

  • @hajiha6507

    @hajiha6507

    3 жыл бұрын

    Mohamed Turan Kumamako. Amekufanya nn Haji omar. Kafirwe na Sefu huko

  • @issahassan8361

    @issahassan8361

    3 жыл бұрын

    لا إله إلا الله

  • @issaibrahim7325

    @issaibrahim7325

    3 жыл бұрын

    @@hajiha6507 acha ukuma wewe kwahiyo wewe unafirwa na hao ccm wenzio fala wewe

  • @ramilialiy3725

    @ramilialiy3725

    3 жыл бұрын

    @@hajiha6507 kachangie kwenu tanganyika uko unawashwa

  • @zubeirali6323
    @zubeirali63233 жыл бұрын

    Ww ndo ulosem mwenyw mapnga,nondo,mundi waingie njian na video zip saiv unasem sera ya ccm madev mbn unaboronga baba.

  • @mahmoudaziz4717

    @mahmoudaziz4717

    3 жыл бұрын

    😄😄😄😄

  • @ally1702

    @ally1702

    3 жыл бұрын

    Alisema wakiwadhukumu kwenye kura je kura tayari kwani

  • @mtumwamohd2571
    @mtumwamohd25713 жыл бұрын

    Allah amlaaaaniiiiii mara elfuuuu amuadhibuu katk motoo

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad18023 жыл бұрын

    Mtihani mhhhh

  • @isaachayes9783
    @isaachayes97833 жыл бұрын

    Huyu SHIKAMOO atastaafu lini awaachie vijana?

  • @mahmoudaziz4717

    @mahmoudaziz4717

    3 жыл бұрын

    Ata sijui.

  • @abdulkhamis6692

    @abdulkhamis6692

    3 жыл бұрын

    Isaac unafirwa wewe

  • @isaachayes9783

    @isaachayes9783

    3 жыл бұрын

    Abdul Khamis unasemaje we shoga wa kipemba!!

  • @aishakhamis2996

    @aishakhamis2996

    3 жыл бұрын

    @@abdulkhamis6692 achen matusi jamani".... haifai...

  • @tweety9362
    @tweety93623 жыл бұрын

    Ombi langu 🙏🏽 wekeni mkutano wote kamili😁

  • @ruwailaomar6501
    @ruwailaomar65013 жыл бұрын

    Haji omar shari akipikwa supu namla

  • @frediricknandonde1690

    @frediricknandonde1690

    3 жыл бұрын

    😳😳

  • @nassorhamad1700
    @nassorhamad17003 жыл бұрын

    Dah

  • @shersaid7988
    @shersaid79883 жыл бұрын

    Allah amlaani

  • @ramsonramadhan4156
    @ramsonramadhan41563 жыл бұрын

    wa pili..

  • @mudhainaomar2734
    @mudhainaomar27343 жыл бұрын

    Kweli

  • @aliarkam9548
    @aliarkam95483 жыл бұрын

    Subhannallah mwenyez Mungu awajalie kaul thabit amsamehe makosa yao , wagonywa asatie nguvu kupona Kwa majaruh Inshaa allah

  • @hatimmohamed4299
    @hatimmohamed42993 жыл бұрын

    Kweli mtupu maalim seif

  • @iddijumaali7192
    @iddijumaali71923 жыл бұрын

    Hongera maalim

  • @tifumunguatamlipaaliendewa4927

    @tifumunguatamlipaaliendewa4927

    3 жыл бұрын

    Nikweli karibu siku tatu za za nyuy haji omar Ali enda pemba

  • @amanmohd9435
    @amanmohd94353 жыл бұрын

    Mwanakharam Hutu Hajj Omar Kheir

  • @abdallafeda8836

    @abdallafeda8836

    3 жыл бұрын

    Ww unajijua km ya halali?

  • @fatmahamad9314

    @fatmahamad9314

    3 жыл бұрын

    @@abdallafeda8836.Elewa kwamba haramu sio ile isio kuwa na baba haramu ni vitendo sasa Hajji Omar Kheri ni mwanaharamu popote tutasema km na ww ni mmoja wapo utupishe

  • @mohamedturanardan8871

    @mohamedturanardan8871

    3 жыл бұрын

    ​@@abdallafeda8836 Anaetetea dhulma ni part ya dhulma. Wewe Abdalah Feda ni part ya dhulma, na inaonesha dhahir na wewe umekuja duniani kwa dhulma.

  • @musajems1294

    @musajems1294

    3 жыл бұрын

    @@mohamedturanardan8871 ivi nyinyi mnadhulumiwa Nini hasa nijuwe

  • @ruwaidakheir7044

    @ruwaidakheir7044

    3 жыл бұрын

    mwana haramu mwenyewe

  • @fatmamansour2369
    @fatmamansour23693 жыл бұрын

    Iko siku itafika nae mungu atamuhukumu kwa anayoyatenda mshenzi kweli lkn kila mmoja atakuja kulipwa kwa anayoyatenda kwa watu

  • @MAPETEE
    @MAPETEE3 жыл бұрын

    Kweli kabisa malim seif

  • @suleimanbakar3429
    @suleimanbakar34293 жыл бұрын

    Allah amlaani mbwa huyu haji Omar heri

  • @ruwaidakheir7044

    @ruwaidakheir7044

    3 жыл бұрын

    wasenge nyinyi atakulanini mafala

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior69723 жыл бұрын

    Toa sera wee babu

  • @TheOthmoney
    @TheOthmoney3 жыл бұрын

    LIMETOKA KWA MJAMBAJI LIMEENDA KWA MTEMA MATE

  • @frediricknandonde1690

    @frediricknandonde1690

    3 жыл бұрын

    😁😁

  • @mulhatyyakub7144
    @mulhatyyakub71443 жыл бұрын

    Tatinzo tumewalea Sana mpka wakatuzowea Sana kwnn tusiseme Sasa bac

  • @RashidAli-vb3zi

    @RashidAli-vb3zi

    3 жыл бұрын

    Ata mm nahc hilo ndio jambo la kufnya kwa hapa tulipofka, vikoc pmba wamepelekwa weng sn

  • @jumamwadhini6263
    @jumamwadhini62633 жыл бұрын

    Hahahaaaa mzee wwe kiboko eti nimshezii hahahaaaa yaanii hta ukimuona maalimu anatoka cheche ujuetu Kuna mtu ka haharibu hali ya hewa znz kwaza chapa kazi mzee

  • @RashidAli-vb3zi
    @RashidAli-vb3zi3 жыл бұрын

    Woga ni adui wa haki, km watu wanaingia majumban mwa watu kwnn wackamatwe na wao ili wakajulikana

  • @aliissahongerababanazenjit6824
    @aliissahongerababanazenjit68243 жыл бұрын

    Mmm

  • @h.alshidhani8971
    @h.alshidhani89713 жыл бұрын

    Tarehe 29 lipa kisasi

  • @talhaabuy1035
    @talhaabuy10353 жыл бұрын

    Lanatu Allah mola atawahukumu ccm apa apa dunian

  • @sideseif8577
    @sideseif85773 жыл бұрын

    Huo sio ungwana na sio wanachama wa ACT musifanye uwovu kila cku mkitaka kufunzwa adabu mukasema munaonewa kitendo cha unyama huyo mzee ameishiwa kila xku nyiyi tutu kwa matokeo ya kinyama

  • @bablee4484
    @bablee44843 жыл бұрын

    Vipi

  • @EshaHamd-ed9yv
    @EshaHamd-ed9yv4 ай бұрын

    Kila anaye Dhulumu Allah unaijua Bakora Yako ya kumpiga munaonea Watu munawadhalilisha na kuwauwa ikisha usema Allah akuache Kila anayefanya anayeshiriki Kwa Lolote Allah mpe Mateso hapa Duniani mpaka kesho akhera Madhalimu Wakubwa Hawa

  • @simaimarijanmarjan3097
    @simaimarijanmarjan30973 жыл бұрын

    Kuna moto tu uko msiwe mnatusiana na sio kama yameisha bado kwa mungu

  • @mgeniiddi5308
    @mgeniiddi53083 жыл бұрын

    Aaaaa huna lolote waachie vijana babu ushagonga huachii tuu

  • @estamwenda9706

    @estamwenda9706

    3 жыл бұрын

    Njooo umchukulie mdogo wako fomu aje agombeee

  • @selwanmohmmed8792
    @selwanmohmmed87923 жыл бұрын

    Njia ni moja tu tutafka sote watajibu viongoz na mamlaka yao dunia isiwahadae

  • @mussaelisha5535
    @mussaelisha55353 жыл бұрын

    Mungu hatamtoa kama Goliath

  • @zubeirsalum128
    @zubeirsalum1283 жыл бұрын

    Hawa CCM wanaifanya pemba ndio kichakaa chakujifundishia kupiga watu mikwaju na risasi kwasababu ya unyonge wao lakini Allah yupo anayashuhudia haya

  • @MAPETEE
    @MAPETEE3 жыл бұрын

    Mshenz mkubwa uyo

  • @nassoursaleh3144
    @nassoursaleh31443 жыл бұрын

    tena ishallah Mungu awatie adabu kabla y huu uchaguz naskia eti siro kaenda pemba hebu wazee wetu mfukizieni huyu mtu apate adabu jpo mwaka tu kitandani

  • @yusrabakar4755

    @yusrabakar4755

    3 жыл бұрын

    Hahahahahah bora miaka

  • @alimakame9215
    @alimakame92153 жыл бұрын

    Zanzibar uazishwe utawala was ufalme ili chuki na mapogano yapunguke

  • @zahorrashid5459
    @zahorrashid54593 жыл бұрын

    Hapo uliposema mtu mmoja kafanya kosa wanateshwa.wengi. hl nitatizo kubwaa.

  • @makamemufadhil627
    @makamemufadhil6273 жыл бұрын

    Iko siku watu watachoshwa na woga

  • @ramadhanineneza7317
    @ramadhanineneza73173 жыл бұрын

    Ww mzee kweli ni mshezi tu huna maneno mazuri kama mgombea wa urais unatoa lugha ya matusi

  • @fathilaothman7870

    @fathilaothman7870

    3 жыл бұрын

    Allah atamlipa hapahapa duniani katimea huyo.namabosi wake.

  • @ahmedalbalooshi8518

    @ahmedalbalooshi8518

    3 жыл бұрын

    Ramadhan; huyo si mapenzi,washenzi wanajulikana kwa vitendo hayo,viwe vya siri siri au dhahiri. Madhalimu wanaodhulumu haki za watu ndio washenzi number one

  • @zuwenasalum1563

    @zuwenasalum1563

    3 жыл бұрын

    @@ahmedalbalooshi8518 Mshez ni wewe na familia yako yote njau wewe

  • @suleimankhamis1564
    @suleimankhamis15643 жыл бұрын

    Acha usenge huo kuiponda CCM

  • @iddisalum4988

    @iddisalum4988

    3 жыл бұрын

    Oya komamayo

  • @khamisjuma5046

    @khamisjuma5046

    3 жыл бұрын

    Peace home zanzibar people message from USA marekani ⚖🇺🇸

  • @umakramzahor4836

    @umakramzahor4836

    3 жыл бұрын

    Mshenz mama yk mbwa ww

  • @bichichiahmda1153
    @bichichiahmda11533 жыл бұрын

    Ovyoooo katubu kwanza we babu acheni kupumbaza watu mkisha pata kura mnajaza mtumbo yenu wananchi wateseka simsapoti at a mmoja sowewe wala mwinyi

  • @adiladil345
    @adiladil3453 жыл бұрын

    Hakuna tofauti bali mtoto wa nyoka ni nyoka tu

  • @othmanal-nabhany9243
    @othmanal-nabhany92433 жыл бұрын

    Serikali ya ccm inanunua magari ya washawasha ,mabomu na bunduki kwa ajili ya wazanzibar hasa wenye asili ya Pemba, mafunzo ya majeshi yao majaribio kwa wazanzibar hasa wapemba kila mwaka wa kampeni na uchaguzi ,jeshi la polisi wamepelekwa wengi sana na vikosi vyengine tunashangaa munauwa watu munatarajia kuwaongoza nani halaf mnajifanya munaimani na wananchi, unafik mtupu huo

  • @ramlajaffar3169
    @ramlajaffar31693 жыл бұрын

    Huna sera tulia babu ww Huwezi ww tangu 1995 mpk leo huna lako jambo harangwe😂😂😂

  • @ramlajaffar3169

    @ramlajaffar3169

    3 жыл бұрын

    @@bencarson6863 mm au huyo harangwe

  • @oyay2821
    @oyay28213 жыл бұрын

    Na yeye avamiwe apigwe kama anavyo wapiga

  • @ibugharib389
    @ibugharib3893 жыл бұрын

    Huyu nadhani baba yake alikosea huyu ni haji omar shari mshenzi tu mshenzi tu

  • @faridaali6850
    @faridaali68503 жыл бұрын

    Iko cku yake na yy atateseka acringie puunzi ALLAH ndie hakim

  • @abuubakarjuma3230
    @abuubakarjuma32303 жыл бұрын

    Wanatutesa kweli hao hatuna amani kweli wapemba du! tumekosa nn kwa mungu ss

  • @musajems1294

    @musajems1294

    3 жыл бұрын

    Hamjakosa kitu mungu anamjuwa Nani mtenda kosa na Nani mtendewa kosa

  • @hamidomar7474
    @hamidomar74743 жыл бұрын

    Msengemmoja kumamamake ndiyoana akawa mwanaharam

  • @saidb20ty52
    @saidb20ty523 жыл бұрын

    mbona sion sera anaongelea watu tuu

  • @mustywamuago5217

    @mustywamuago5217

    3 жыл бұрын

    Kweli

  • @salimmohamedalr-iamy7162
    @salimmohamedalr-iamy71623 жыл бұрын

    Kama hawajampa mwalimu seif mwaka huu basi juweni wananchi hatujapewa haki zetu na tumedhulumiwa

  • @mdungially2342

    @mdungially2342

    3 жыл бұрын

    Na mtasubr sana kusubir haki

  • @TeamKRX
    @TeamKRX3 жыл бұрын

    Sasa Huyu ataenda kukaa wapi Kesha akhera Huyu Omari ameshazoea kuwapiga watu vibaya wala hachukuliwi Hatua kwa sababu ni ccm daah iko siku Yako

  • @hajiha6507

    @hajiha6507

    3 жыл бұрын

    Kafirwe uko

  • @azizaabubakar5595
    @azizaabubakar55953 жыл бұрын

    Wazanzibar mnadanganywa sana huyo mzee kwanza anakaa nyumba ya serikali anapewa mahitaji yakila siku nyie anwadanganya tu alafu huyo mzee seif. Hicho chama nichabara na sio cha wazanzibar alafu mnaambiwa eti hamuataki wabara wakati chama cha ACT ni cha bara tena kigoma wapinawapi nawazanzibari pia muwenamacho namasikio mnafanywa wajinga na seif na zitto tena Hata rangi ya bendera ni ya zambarau au paple hiyo rangi ni ya msiba maana msiba ukitokea hasa sisi wakristo tunatunia kuwapambia marehem wetu sasa nanyinyi mnafanywa waaafuu tena watarajiwa na hao seif na zitto wakati ninyi niwazima mbaandaliwa maandalizi mabaya hao watu sio wazuri kwenu wazanzibar mjitafakari sana ndugu zangu mbapunbazwa kweli2 alafu mnavalishwa hiyo rangi inatisha ebu mkiogipe ACT Tanzania hoyeeeeee Amani oyeeeee

  • @masoudapology9230

    @masoudapology9230

    3 жыл бұрын

    Mbwa ww

  • @zanzibarsmzenji

    @zanzibarsmzenji

    3 жыл бұрын

    Ccm chama cha wapi????

  • @sharifjuma1220

    @sharifjuma1220

    3 жыл бұрын

    Panda juu wende ukazibe?

  • @mgeniiddi5308
    @mgeniiddi53083 жыл бұрын

    Mm sijaisikia sera yako uyo mwinyi na haji omar kheri ndo watakao kaa madarakani hatuwaabgusi kamwe na utakaa pembeni ww

  • @asiakhamisi469
    @asiakhamisi4693 жыл бұрын

    Pigeni halbadiri jamani

  • @naimaali9888

    @naimaali9888

    3 жыл бұрын

    Asnte

  • @bintyussuph4979

    @bintyussuph4979

    3 жыл бұрын

    Halbadiri ndio iliosambaratisha CUF

  • @yussufhaji6705
    @yussufhaji67053 жыл бұрын

    Babu huna sera kalee wajukuu

  • @sudaissoud3670
    @sudaissoud36703 жыл бұрын

    Haji Omar kua makini maana ujue unafamilia yako huku pemba..unawajua wapemba vzr au unawasikia tuu?

  • @ramilialiy3725

    @ramilialiy3725

    3 жыл бұрын

    Tunamuachia Allah 2

  • @abuunuswaibahahmadi8288
    @abuunuswaibahahmadi82883 жыл бұрын

    Haji omar heri hana Imani dini

  • @hajiha6507

    @hajiha6507

    3 жыл бұрын

    Ww unayo

  • @nawwafomar4518
    @nawwafomar45183 жыл бұрын

    huyu mvuvi kutoka tumbatu laana ya mungu imshukie yeye na ukoo wake

  • @alibero6937

    @alibero6937

    3 жыл бұрын

    Ubak salama ww mnunuz wa samak wa tumbatu

  • @bakarmuhidin5223

    @bakarmuhidin5223

    3 жыл бұрын

    Na wewe pia

  • @omarmussa9000
    @omarmussa90003 жыл бұрын

    Maalim kuwa mkweli unajuwa kila kitu hata ww Mungu anakuona ss tupo kangagani unawashawishi ww wakifanya unadanganya watu wallah Mungu atakuonesha

  • @zubeirsalum128

    @zubeirsalum128

    3 жыл бұрын

    Anawashawishi vipi

  • @omarmussa9000

    @omarmussa9000

    3 жыл бұрын

    @@zubeirsalum128 njoo kangagani utajuwa tumechoka

  • @zubeirsalum128

    @zubeirsalum128

    3 жыл бұрын

    @@omarmussa9000 ww SEMA tu ujumbe utafika na tunauona

  • @abasamwame6583
    @abasamwame65833 жыл бұрын

    Mimi sijui ni sheria IPI inayotumika kuwaadhibu watu wengi kwa kosa LA MTU mmoja? Sijui ni kigezo kipi kilichotumika kuweza kujua ghafla kwamba Huyo aliemshambulia mwenzake ni act wazalendo mpaka wakasombwa watu wengi kwa wakati mmoja? Je hakuna utaratibu wa kumfuatilia muhalifu mpaka ukamjua na kumchukulia hata kuliko kuwabebacwatu ambao hawana hatia? Hili jambo lilihitaji uweledi Limebebwa kisiasa na linetatuliwa kisiasa .ndugu zangu wenye dhamana mjue kwamba cheo ni dhamana alokupeni mungu tendeni haki na kuweni waadilifu msifanye kazi kwa misukumo ya kisiasa unapomuhukumu MTU kwa kosa asilohusika nalo hiyo ni dhulma na ogopeni dhulma kwani haidumu na ikidumu itaangamiza .dhamana uliyopewa kuna siku mungu atakuuliza uliitumiaje ? Watamikieni wana siasa ila machozi ya watu wasio na hatia mtayalipia hapa hapa duniani kwani malipo ni duniani ahera ni hesabu tu Viongozi wangapi waliokuwa majabari hapa dunia mwisho walidhalikika isikuhadae cheo na bunduki ulioshika kila kitu ni muda tu muda ukifika na wewe yatakukuta kwa naomba ile ile uliyimtendea mwenzako

  • @mnyamismwakilambe2533
    @mnyamismwakilambe25333 жыл бұрын

    Uyooo haj Ana roh mby xn xn to muach aend

  • @samo5315
    @samo53153 жыл бұрын

    Malipo yake atayapata duniani na akheira adhabu kali inamngoja.

  • @nasrynnassor1492
    @nasrynnassor14923 жыл бұрын

    Utamuona Babu Kama in mjua

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim97733 жыл бұрын

    Hii kulaani tutaondoa ifanywe haki

  • @sideseif8577
    @sideseif85773 жыл бұрын

    Seif sharifu acha umama kama huna kazi jiunge na club ya simba wapo wazee wenzako kama unyango na kagere

  • @NaseebLugusha

    @NaseebLugusha

    3 жыл бұрын

    Side Seif kweli akili yako ndo imeishia hapo? au kwenu hamna wakubwa? au ndo ulivyolelewa hivyo?

  • @nassoursaleh3144
    @nassoursaleh31443 жыл бұрын

    hawa siro na huyu haji Wazee wetu hebu wafungieni kaz wakae kla mwaka tu kitandani

  • @aminaabdallah7702
    @aminaabdallah77023 жыл бұрын

    Mzee acha kundanganya watu inamana watu.wa CCM wanapiga wezao wa CCM mapanga tena msikitini?

  • @mulhatyyakub7144

    @mulhatyyakub7144

    3 жыл бұрын

    Mkundu unakuwasha sio

  • @iddijumaali7192

    @iddijumaali7192

    3 жыл бұрын

    Ni kweli ni ccm wacha kupiga wanachoma mpaka maskani zao ikisha wanasema ni wapinzani

  • @aldaghariaziyz6420

    @aldaghariaziyz6420

    3 жыл бұрын

    njia haibadiliki ya chama tawala

  • @iddijumaali7192

    @iddijumaali7192

    3 жыл бұрын

    @@mulhatyyakub7144 pumbavu

  • @fatmahamad9314

    @fatmahamad9314

    3 жыл бұрын

    @@aldaghariaziyz6420 Mwaka huu itabadilika biidhin llah

  • @ummuzainab2332
    @ummuzainab23323 жыл бұрын

    Ulpo tupo maalm

  • @mudy4604
    @mudy46043 жыл бұрын

    Wakwaza

  • @khamisissa452
    @khamisissa4523 жыл бұрын

    Babu Ali shoga maalim achana nae

  • @ramilialiy3725

    @ramilialiy3725

    3 жыл бұрын

    Popote ulipo kula chips naja lipa😂😂

  • @abdilfertterhhealer5329
    @abdilfertterhhealer53293 жыл бұрын

    Mwalim tulia huna siasa ww ume kaa kma Islamic state

  • @khajumkhamis7910
    @khajumkhamis79103 жыл бұрын

    Sisi hatukuhitaji ww na bora chama chenu kifutwe kabla ya uchaguzi mwezi wa kumi

  • @aishamuhammad7785

    @aishamuhammad7785

    3 жыл бұрын

    Domolo kunuka

  • @khajumkhamis7910

    @khajumkhamis7910

    3 жыл бұрын

    @@aishamuhammad7785 utaona sasa kama domodo Utabaki kufata mkumbo tuuu

  • @zubeirsalum128

    @zubeirsalum128

    3 жыл бұрын

    Kakifute ww Kama unaumia

  • @hamidomar7474
    @hamidomar74743 жыл бұрын

    Haji Omar kheri mwanaharam na kashalaaniwa na mu

  • @almasabdala7806

    @almasabdala7806

    3 жыл бұрын

    Hata maalimu seif keshalaaniwa kwani nadiya anayekutie vidole via masikio na nyinyi mnamfuata

  • @sniper93999

    @sniper93999

    3 жыл бұрын

    Hata ww hamid omar mungu pia ameshakulaani na ww na ibilis ni m2 na mdogo wake

  • @saidmungulu7053
    @saidmungulu70533 жыл бұрын

    Ww miaka yote ni RAIS zanzibar . Sema wanatuibiaga tu hao chama tawala KULA YANGU KWAKO MAALIMU SEIF

  • @azizabdallah585
    @azizabdallah5853 жыл бұрын

    Oooh Mama Zanzibar....Oooh Mama Tanzania.

  • @ramilialiy3725

    @ramilialiy3725

    3 жыл бұрын

    Ohh mama tanganyika hakuna Tanzania uko tanganyika .zanzibar kwanza

  • @nass.pofficial4086
    @nass.pofficial40863 жыл бұрын

    Naomba saport zenuu Njoo uskiliz mzk mzr kzread.info/dash/bejne/dKaLyciOnbnFgrw.html kzread.info/dash/bejne/dKaLyciOnbnFgrw.html kzread.info/dash/bejne/dKaLyciOnbnFgrw.html

  • @hajiha6507
    @hajiha65073 жыл бұрын

    Hiyo ndio dawa yenu. Mukimpiga mtu Panga tunakutieni bakora mtaa mzima. Endeleeni tena, kama mumezoea kuachiwa sio utawala huu

  • @binsultan6981

    @binsultan6981

    3 жыл бұрын

    Abdallah bin ubaida

  • @zubeirjuma1856

    @zubeirjuma1856

    3 жыл бұрын

    Utawala wa ALLAH tuu acha akili za kikafir shehe kw itikadi za kifal ingekuwa baba ako jee au mam ako

  • @khajumkhamis7910
    @khajumkhamis79103 жыл бұрын

    Mbn wee mzee mchochezi kwani imani ipo ndani ya mioyo ya watu

  • @suleimanmwalimu3018

    @suleimanmwalimu3018

    3 жыл бұрын

    Mfungulie kesi ya uchochezi

  • @zuwenasalum1563

    @zuwenasalum1563

    3 жыл бұрын

    mchochiz mama yako na baba yako punda wewe basi nenda kamstaki

  • @khajumkhamis7910

    @khajumkhamis7910

    3 жыл бұрын

    @@zuwenasalum1563 sibishani na mjinga

  • @zuwenasalum1563

    @zuwenasalum1563

    3 жыл бұрын

    @@khajumkhamis7910 wewe ndo mjinga usojielewa

  • @khajumkhamis7910

    @khajumkhamis7910

    3 жыл бұрын

    @@zuwenasalum1563 sw kibaraka wa madevu

  • @allysleiman2480
    @allysleiman24803 жыл бұрын

    SEIF MSHENZI NIWEWE MAANA NDIE ULIOWAAMBIA WENYE MAPANGA WAPIGE WATU AU SIE WEWE

  • @mohamedturanardan8871

    @mohamedturanardan8871

    3 жыл бұрын

    Aly Suleiman mshenzi ni wewe na baba ako na mama ako

  • @sudaissoud3670

    @sudaissoud3670

    3 жыл бұрын

    Mshenzi ni baba yako

  • @zuwenasalum1563

    @zuwenasalum1563

    3 жыл бұрын

    Ally Suleiman mshenz wa kwaza ni baba ya sawa mshenz wa pili ni mama yako mshenz wa tatu ni mkeo na mshez wa nne ni dada yako mbwa mkubwa wewe

  • @ramilialiy3725

    @ramilialiy3725

    3 жыл бұрын

    Aliwatuma ulimuona nyoooo hasid wa choon weee mtanganyika mkaaz

  • @bintyussuph4979

    @bintyussuph4979

    3 жыл бұрын

    Ukweli unauma hawajibu wanatukana kama wasoradhi, ila sishangai hayo ni majibu ya laana wanazozitamkia watu wasio na hatiaZimewarudia wenyewe.

  • @mwinyimjaka4782
    @mwinyimjaka47823 жыл бұрын

    MUNGU atawalani wote ambawo hawaitakii mema Pemba jeshi ambalo limepelekwa Pemba litakufa huko huko halirudi tutalipika supu mungu akipenda

Келесі