HUTBA NZITO YENYE MASIKITIKO YA MAREHEM MAALIM SEIF TAREH 27 MWAKA 2001 ZANZIBAR

TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID.
#Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi
#Muuminina​ #Dida​ #Juhuditz​ #Al​-Muuminin #Adila​
#Mwanacha​ #Afnania​ #Stumai​ #Zuchu​
#muminina​ #Qadiria​ #zanzibarqaswida​ #AFNAANIA​ #DIRECTORONE​.T #Future​ Tz #Wasafi​ Media #Z​MASTORY #Juhuditz​ #JUMA​FAKIH #Zanzibar​Qaswida #AQAZ​Studio #Al​-muuminin #Yas​mediaTv #stumai​ #zbc #tbc #futuretz #youtubeislife #subscriber #youtubeguru #youtubecontent #newvideo #subscribers #youtubevideo #youtub #youtuber #youtubevideos #youtube #youtuber #youtubechannel #revolutionreal #blacksmokeyeye #smokeyeye #glow #glowingskin #discoverunder5k #discoverunder10k

Пікірлер: 40

  • @ashaali7506
    @ashaali75065 ай бұрын

    Tulikupenda Allah kakupenda zaid kipenzi chetu tunaimani na wewe hata kama hupo haturudi nyuma inshaAllah mpaka dhulma ya nchii hiii iondoke kabisa ipate haki yake na haki zetu maneno yako tunayaishi katiba mpya tumehuru inshaAllah Allah akupe kauli thabiti munganishaji wa wazanzbar wote ahsante ❤

  • @HassanMchoro-nh9gv
    @HassanMchoro-nh9gv5 ай бұрын

    😢😢allah akurehemu Bado tup na msimamo wetu pamoja na makamo wetu Omo allah atatufikisha na tupata uhuru wetu

  • @ahmedalbalooshi8518
    @ahmedalbalooshi85185 ай бұрын

    Allah ampe malazi mema.Alihujumiwa toka enzi ya Nyerere mpaka Kikwete.Allah atahukukumu.

  • @adamstour5736-kb6zq
    @adamstour5736-kb6zq5 ай бұрын

    ALLAH akupe hifadhi njema huko uliko Maalim Seif Sharif Hamad Mjaka na ajeakupe kitabu chako kwa mkono wa kulia INSHAALLAH ❤❤❤

  • @HafidhKhamis-ph8qg
    @HafidhKhamis-ph8qg5 ай бұрын

    Allah atupe uokovu wazanzbar na amrehem maalim. Huko aliko nasi atupe khatma njema.

  • @HassanHassan-vh6pc
    @HassanHassan-vh6pc5 ай бұрын

    Allah mrehemu kipenzi cha wazanzibari.kmwe tutakukumbuka.

  • @HafidhKhamis-ph8qg

    @HafidhKhamis-ph8qg

    5 ай бұрын

    Asante tupo pamoja

  • @msabahaali758
    @msabahaali7585 ай бұрын

    Maalim Mungu amruhemu alikua kiongozi na nusu hakika tumepoteza kiongozi

  • @AaAa-vm8bb
    @AaAa-vm8bb5 ай бұрын

    Mwenyezi Mungu akueke penye kheri nawe ❤ AMIIN😢

  • @OmerSuley-gl7go
    @OmerSuley-gl7go5 ай бұрын

    Dah Mungu ibariki nchi yangu Zanzibar ❤

  • @user-rh7lj1lo5x

    @user-rh7lj1lo5x

    5 ай бұрын

  • @mussamussa3472
    @mussamussa34725 ай бұрын

    Allah amrehem maalim wetu

  • @jumahamadomar9124
    @jumahamadomar91245 ай бұрын

    Allah maghufirillah warahamah wanasqanat filjannat

  • @hemedmussa2127
    @hemedmussa21275 ай бұрын

    Allah akurehem

  • @user-dj8bs1sm4w
    @user-dj8bs1sm4w5 ай бұрын

    Allah amrehem

  • @user-zo6yc3is8h
    @user-zo6yc3is8h4 ай бұрын

    Allah amrehem maalim na ampe ampe maisha mazuri huko aliko😂😂😂😂😂😂😂

  • @irshadabuhafsi6585
    @irshadabuhafsi65855 ай бұрын

    Wazanzibari Murudi kwa Allah ndio mueze kuipata Amani

  • @yasserahmed9420
    @yasserahmed94205 ай бұрын

    Alie mdhulumu huyu mzee na WA Zanzibar wajitafakari kabla hawajalala makaburini

  • @abdallahkassim8600
    @abdallahkassim86005 ай бұрын

    Kweli dunia ni mapito tu jsi tuliyo mpenda huyu leo hatunae tena mungu asamehe maksa yk ila inauma tulivyo teseka na kuuliwa ndugu zetu kw jambo la dunia tu maana siasa km biashara ukiwa marakani husahau hayo ila ukstaafu unafilisika maana najuto yanakujia umeua ili upate ulua duu mm binasi kaka yang kauliwa sitosamehee

  • @user-et9vf2ro2k
    @user-et9vf2ro2k5 ай бұрын

    Huyu hakua ivo namna mnavomfikira hapana bali uadilifu uajibikaji uzalendo haaswa ndio ilikua dira ya maisha yake Jina ama jukwaa LA Chama ilikua nikama daraja tu LA kumvusha kuelekea mahala husika ama kwenye kutimiza malengo

  • @khadijaa815
    @khadijaa8155 ай бұрын

    Allah amlipe kheri zake huko alipo maisha yake yote kaishi kutetea watu

  • @salumnassornassor9733
    @salumnassornassor97335 ай бұрын

    Radhiallahu anhu maalim seif

  • @adamyussuf1678
    @adamyussuf16785 ай бұрын

    Allah amsamehe makosa yake

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim97735 ай бұрын

    Ameen Ya Rabi Allameen In shaa Allah.

  • @HemedSerious

    @HemedSerious

    5 ай бұрын

    Allah akusamehe ulipoteleza km BINADAM maalim, Allah akuondeshee adhabu za kabri na sisi Allah aturuzuku mwsho mwema, Ameen

  • @abuubakaralkhtr7174
    @abuubakaralkhtr71745 ай бұрын

    I❤ Zanzibar

  • @nassorkhamis7091
    @nassorkhamis70915 ай бұрын

    Yaaani anaongea kwa hisia kali sana😭

  • @shaviercharvinho18
    @shaviercharvinho185 ай бұрын

    Será yake kubwa ilikuwa ni Zanzibar kwanza

  • @EshaHamd-ed9yv
    @EshaHamd-ed9yv5 ай бұрын

    Hawa CCM Sera yao Kubwa ni kuuwa watu wao si kosa ni kawaida tu. Lakini hao waliowamrisha kuwauwa Yuko wapi Mkapa na Amani Karume jitayarishe na Umauti unakungoja na dhuluma ufisadi uuwaji wizi utakwenda kujibu mbele ya Allah

  • @abdallahkassim8600
    @abdallahkassim86005 ай бұрын

    Huyu akiongozi mshipavu na uchungu wa zanzibar hatupat kiongozi km hyu ktk zanzibar

  • @Abdul-kadirAli-zs3yx
    @Abdul-kadirAli-zs3yx5 ай бұрын

    😢😢😢😢😢

  • @nuramoboy
    @nuramoboy5 ай бұрын

    Dah ukweli mtupu

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy62985 ай бұрын

    Watakiona hao walofanya hivo wala hawatapata salama leo walouwa wako wapi olouwa olotoa amry wote hawana salama mkapa yuko wapi

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fp5 ай бұрын

    Kuuwa ni kawaida kwao Hadi leo hii ili mtu awe madarakani Ila kila nafsi itakufa na italipwa

  • @adamstour5736-kb6zq
    @adamstour5736-kb6zq5 ай бұрын

    Waliowauwa wenzao walio wengi nao weshakufa

  • @salyali7807
    @salyali78075 ай бұрын

    😭😭😭😭

  • @user-fs5li9kh8l
    @user-fs5li9kh8l5 ай бұрын

  • @FeisalDoctor
    @FeisalDoctor5 ай бұрын

    Ccm na andazi bora nichague andazi ahsant kw kutufungua akili

  • @dulapele7868
    @dulapele78685 ай бұрын

    Mbn umewek fupi bos wetu

Келесі