inasisimua. mwenye ule wimbo ulioimbwa na chipukizi katika 9 DEC Dodoma anitumie jina lake plz...ni wa kiuzalendo sana
@nassorosalehhazard24503 жыл бұрын
R.I.P JPM
@aliyaliya1995 Жыл бұрын
Wimbo wataifa wa znz unaitwaje wimbo wa mashujaa halaf znz nchi
@alwyabdallah30212 жыл бұрын
Ni wimbo wa mashuja au wimbo wa taifa
@mwinyiali
Жыл бұрын
Soo wa taifa kwani umeona askari wamesalute apo??
@hatibbaraka3956
7 ай бұрын
Achana na hao wapuuzi ndugu,huu ulikua wa taifa hata enzi zile tulikua tukiimba nakumbuka Kwerekwe D kabla ya kuingia madarasani.
@walterngowi31645 жыл бұрын
Haki sawa 😁😁😁
@fatmahaji93245 жыл бұрын
Nzuri sana
@funnyvideosTVapolinaryshavunza6 жыл бұрын
👏👏👏👏👆
@tumatuma62992 жыл бұрын
Itekiziro2
@jumaswed7325 жыл бұрын
ajli nyingimne
@emmanuelpascali70186 жыл бұрын
iko poa sana
@shaabanamri7956
6 жыл бұрын
OK
@kambamazig020243 жыл бұрын
Kuikomboa na siyo kuigomboa.
@saidmohamed4619
3 жыл бұрын
huwezi kutufundisha Wazanzibar Kiswahili..kiswahili kina wenyewe na wenyewe ndo sisi...
@ahmadhaji9293
3 жыл бұрын
Huwezi kutufundisha kiswahili .. kiswahili kinawenyewe na wenyewe ndio sisi wazanzibar kukomboa na kugomboa zina maana tofauti njoo tukufundishe kama hujui
@GeoSkills1
3 жыл бұрын
Tuliza mshono ujifunze kiswahili fasaha 😆 kuigomboa ina maana yake, inakaribiana na kuikomboa bt sio sawa
@mohamedsalehe5623
2 жыл бұрын
Kuigomboa ndio kiswahili fasaha yani ✅
@Soon815
2 ай бұрын
@@saidmohamed4619 Toa ujinga hapa hamna kiswahili kama hicho
Пікірлер: 25
Nyimbo Nzuri naipenda
Nime muona magu wangu, 🥀
inasisimua. mwenye ule wimbo ulioimbwa na chipukizi katika 9 DEC Dodoma anitumie jina lake plz...ni wa kiuzalendo sana
R.I.P JPM
Wimbo wataifa wa znz unaitwaje wimbo wa mashujaa halaf znz nchi
Ni wimbo wa mashuja au wimbo wa taifa
@mwinyiali
Жыл бұрын
Soo wa taifa kwani umeona askari wamesalute apo??
@hatibbaraka3956
7 ай бұрын
Achana na hao wapuuzi ndugu,huu ulikua wa taifa hata enzi zile tulikua tukiimba nakumbuka Kwerekwe D kabla ya kuingia madarasani.
Haki sawa 😁😁😁
Nzuri sana
👏👏👏👏👆
Itekiziro2
ajli nyingimne
iko poa sana
@shaabanamri7956
6 жыл бұрын
OK
Kuikomboa na siyo kuigomboa.
@saidmohamed4619
3 жыл бұрын
huwezi kutufundisha Wazanzibar Kiswahili..kiswahili kina wenyewe na wenyewe ndo sisi...
@ahmadhaji9293
3 жыл бұрын
Huwezi kutufundisha kiswahili .. kiswahili kinawenyewe na wenyewe ndio sisi wazanzibar kukomboa na kugomboa zina maana tofauti njoo tukufundishe kama hujui
@GeoSkills1
3 жыл бұрын
Tuliza mshono ujifunze kiswahili fasaha 😆 kuigomboa ina maana yake, inakaribiana na kuikomboa bt sio sawa
@mohamedsalehe5623
2 жыл бұрын
Kuigomboa ndio kiswahili fasaha yani ✅
@Soon815
2 ай бұрын
@@saidmohamed4619 Toa ujinga hapa hamna kiswahili kama hicho
wimbo wa mashujaa
هل انا العربيه الوحيده؟
@sulaymanmohd1563
3 жыл бұрын
لست منفرد . ولاكن انا في أفريقيا
@sulaymanmohd1563
3 жыл бұрын
لست منفرد. ولاكن انا في أفريقيا