Wachimbaji wa madini watwangana na mwekezaji, Waziri aingilia
Wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu katika Kata ya Handali wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma wametangwana na mwekezaji wakigombea eneo la uchimbaji.
Kufuatia mgogoro huo, Waziri wa Madini, Antony Mavunde ametoa maagizo matatu ikiwemo kupiga marufuku kwa mgeni yeyote kwenda eneo la uchimbaji bila msaada wa kiufundi uliosajiliwa na wizara yake.
Пікірлер: 21
Mtanikumbuka Kwa mema , Na Wala si Kwa Mabaya , R.I.P - Mzee Magu . Sasahivi Shamba la bibi limeludi halina uzio Tena
Magufuli alisema mtamkumbuka
Wawekezaji wapi…Wezi haoo😆
Huyu salikuwa mtangazaji,
Hii nchi ngum
Yaani huyu mchina analeta ubabe kwa wazawa jamani????😢😢😢 Ukitaka kujua walivyo huko kwao nenda kafanye ubabe km watakuacha salama. Na hata kama ana kibali cha kuchimba angefuata utaratibu na sio kupigana na wazawa
MH WAZIRI.....ZINGUKA MIKOA YOTE...UONGEE NA WACHIMBAJI WADOGO WAKUPE DATA, WAGENI WANAINGIA KUZURUMU LASILIMALI VIJIJINI
Tatizo mh nkamia ulichokosea ni kununua SEHEMU ambayo watanzania wenzako wanajipatia riziki HALALI siungefanya utafiti eneo jingine
Mbona hamna choo hapo.
Nkamia acha ubabaishaji una wa zuia wata ishije
Watanzania tumezidi kucheka cheka. Mali zetu wanapewa kumiliki waja sii tunatumbua mimacho kodo😊😊
@awatifalghanim1106
4 күн бұрын
Kwasababu ujinga mwingi sana wanao.
Namie nataka duara ni bei gani
Wa China ndo walivyo ubabe
Ulfuta utaratibu
Pumba tupu
Nyie ndio chanzo cha mgogoro, mmetoa leseni sehemu ya mashamba ya watu. Waziri ata simuelewi anaongea nini
Anaongea nn huyu
Huyu Waziri anaongea nini?
😂😂😂😂
Mlitumia rushwa tu