No video

Magufuli - Kama kuna kiongozi yeyote maagizo yangu yanamkwamisha aache kazi, atoa kauli ya mwisho

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli ameonya kuwa kama kuna kiongozi yeyote ambaye hayupo tayari kutekeleza maagizo yake aachie ngazi mara moja na siyo kuendelea kufanya kazi kinyume na maagizo yake.
Kauli hiyo ya Rais Magufuli ni kufuatia baadhi ya Wakuu wa mikoa, Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri kuendelea kuwasumbua wafanya biashara wadogo kwa kuwahamisha maeneo yao wanayofanyia bishara na kuwalekezea maeneo ambayo hayajaandaliwa kwa ajili yao.
--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com
#Dar24 #Dar24Media

Пікірлер: 258

  • @isaacandrew1039
    @isaacandrew10392 жыл бұрын

    Duuuh!! Aisee huyu rais wetu alikuwa mtu aisee!! Cjuw kwako mwenzangu!!!

  • @mwambodzemwangongo3884
    @mwambodzemwangongo38842 жыл бұрын

    Mungu akuweke mahali pema peponi" ww ulitangulia sisi tuko nyuma..nani anamkubali marehemu gonga like nkuoni 2021

  • @globalctvonline1562
    @globalctvonline15626 жыл бұрын

    ubarikiwe sana mh' wetu mie nakukubali sana 99% sema ukweli toka moyo. naimani mungu yuko pamoja na wewe mh'

  • @muhidinally3753
    @muhidinally37536 жыл бұрын

    Rais wetu tunakuombea kwa Allah akupe Afya njema na Allah akuzidishie huruma kwa wanyonge. Hatuna cha kusema kwa namna unavyotafutia ufumbuzi katika changamoto zinazowahusu wanyonge. Tumekuona Rais kwa mifano jinsi unavyoishi katika kauli na ahadi zako. Kwa kweli tunakuelekezea dua zetu uendelee kututumikia.

  • @nizzogallaxy8086
    @nizzogallaxy80862 жыл бұрын

    Kama kuna kura zakupga ili mtu arudshwe duniani Tanzania ingesimama naingepiga kura hizzo urudi. wewe zaidi nazaidi Mungu akulinde na adhabu zote zakabuini.

  • @omarikessy2339
    @omarikessy23396 жыл бұрын

    Asante sana Raisi wangu Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu na akulinde mimi binafsi nakuombea dua la ulinzi kwa ajili yako.mapolisi mzee wanafanya sisi vijana tunaishi kwa shida Hasa kesi za kubambikiwa hasa za biashara ya unga vijana tunakupenda sana ila ilo la kesi la unga kweli tunaumia

  • @shalomamani2670
    @shalomamani26706 жыл бұрын

    Umenena kweli mheshimiwa Ndiomaana ulipokuja Tunduma ukiwa waziri wa ujenzi baada Yakushuka kwenyegari nakutembea kwa miguu nilikwambia live kuwa wewe ndie raisi wetu ujaye baada ya kikwete kwa kazi nzuri ukiwa waziri WA ujenzi.penda Sana MAGUFULI mm

  • @nyabendasayumwe8514
    @nyabendasayumwe85142 жыл бұрын

    Kwaukweli Magufuli yuko mbinguni.

  • @princekingson2888
    @princekingson28883 жыл бұрын

    Sichoki kusikiliza NASAHA zako! Na hua zinanipa ujasiri mkubwa sana

  • @dianamkita6571

    @dianamkita6571

    2 жыл бұрын

    Kweli kabisa Prince,,hata Mimi kila Mara sichoki kumsikiliza Hayati JPM...

  • @amirimakorani8335

    @amirimakorani8335

    2 жыл бұрын

    Me pia napenda sana

  • @abdallahsuleimani7416
    @abdallahsuleimani74163 жыл бұрын

    Huyu mtu alikuwa very intelligent dah !! Kweli wema hwaishi muda mrefu

  • @soloartist_ivanvespalusind1609
    @soloartist_ivanvespalusind16092 жыл бұрын

    Da! Yaani huyu jamaa anaongea kutoka ndani ya moyo yani, sio siasa. Jambo hili lizingatiwe milele Tanzania, I’m listening while I’m crying. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Africa.

  • @willywaire50
    @willywaire502 жыл бұрын

    This was the true leadership you forever be in our hearts,we loved you Magufuli but God loved you most,,may your soul rest in peace🇹🇿🇰🇪

  • @jumaagugu1012
    @jumaagugu10123 жыл бұрын

    Ndio utajua ukitaka kujua tabia ya mtu mpaka apate cheo ama pesa mama samia hapa alikua mnyenyekevu kumbe ni nyoka mkubwa

  • @kimosamingwa3432
    @kimosamingwa34323 жыл бұрын

    Mungu akuludishe baba

  • @manasemwakilasa5931
    @manasemwakilasa59312 жыл бұрын

    Nakukumbuka daima Baba pumzika kwa amani

  • @vailethobedi4723
    @vailethobedi47232 жыл бұрын

    Sitachoka kukulilia hayati Magufuli uliongea ya maana sana baba 😭😭😭😭😭😭😭😫😭😭. Ila tunamwachia Mungu kwa yaliyopo sasa.

  • @feetynanyangwe8599

    @feetynanyangwe8599

    2 жыл бұрын

    Uyu mama alikua mnafiki kwa magu leo kasema awalipi kodi awomachinga sawa mama mungu anakuona

  • @emmanuelbonifas2804
    @emmanuelbonifas2804 Жыл бұрын

    Mungu akupe raha ya milele jpm upumzike kwa aman hakika ungetukomboa sana baba basi tu ni siri kubwa mno iliopo kwenye kifo chako

  • @daudhenry913
    @daudhenry9136 жыл бұрын

    Amen ubarikiwe sana DR MAGUFULI

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel56772 жыл бұрын

    Pumzika kwa amani mzee wetu MAGUFULI..nafika Mahala namwaga Machozi kwa ajili yako Pumzika salama MAGUFULI

  • @nasorohamisi4401
    @nasorohamisi44012 жыл бұрын

    Tulikuelewa sana mkuu,

  • @kelvinchacha5557
    @kelvinchacha55572 жыл бұрын

    Leadership is a gift from God 🙏 and he is the one to take it too,,,,,RIP MR.PRESIDENT 🇰🇪🇹🇿🇰🇪🇹🇿

  • @gabrielmathias3382
    @gabrielmathias33822 жыл бұрын

    baba alikuwa akiongea unatingisha kichwa kuwa u mkalimu kwa wanyonge kumbe ulikuwa shetani wa kuwanyanyasa masikini mungu anakuona we we ulie dikteta was masikini

  • @emmanueldaud8371

    @emmanueldaud8371

    2 жыл бұрын

    MUNGU anakuona bro

  • @isaackayayoo5410
    @isaackayayoo54106 жыл бұрын

    duuu hakika Leo raisi amezungumza ukweli jamani, congratulations to you ma president

  • @chazyshadrack2558
    @chazyshadrack25582 жыл бұрын

    mungu aiweke roho yako mahali pema 👍👍

  • @rafaeltilia562
    @rafaeltilia5622 жыл бұрын

    Aiseee nadhan soon atatokea mwingine kama wew wale ambao walikusema kwa ubaya nadhan sasa wanakukumbuka pumzika kwa aman

  • @magdalenapeter419

    @magdalenapeter419

    2 жыл бұрын

    Wa kwanza mume wangu alikua hampendi ila leo anasema yule alikua jembe

  • @suleinahassan9925
    @suleinahassan99252 жыл бұрын

    Kweli tutakukumbuka kwa mengi mazuri!

  • @hamisimkopoka1533
    @hamisimkopoka15332 жыл бұрын

    Daah! Uyu alikua mwamba kwelikweli

  • @ezekiellondrot338
    @ezekiellondrot3386 жыл бұрын

    Asante sana Rais wangu kwa Uwongozi wako wa haki, Mungu azidi Kukupa uzima Uwendelee Kutuongoza. Lakini pia Mweshimiwa nikuombe jambo moja?

  • @ismailmasagasimjilima3319
    @ismailmasagasimjilima33193 жыл бұрын

    Sitochoka kutizama hutuba zako mana nakuelewaga vizur sana malengo uliokua nayo enzi za uhai wako mwenyez mungu akulehem na akupunguzie azabu za kabuli

  • @saikalyasi2707
    @saikalyasi27072 жыл бұрын

    Mama alivyokuw anasikiliza vizuri na kusaport utafikiri anaelewa, kumbe ndo kawa wakwanza kumgeuka na kunyanyasa raia wake😢😢 R.i.p magufuli hakika ulikuwa raisi wa wote😭😭

  • @mangeo2562

    @mangeo2562

    2 жыл бұрын

    Bi mkubwa mnafiki sana

  • @masudmuhidini600

    @masudmuhidini600

    2 жыл бұрын

    Huyu mama mdangaji

  • @johnkavishe2645
    @johnkavishe26452 жыл бұрын

    Dh Rais wetuu pumzika kwa aman Mungu akupokee vyema😢😰

  • @gibsonyshadrack4543
    @gibsonyshadrack45436 жыл бұрын

    Mungu,akupe uzima ,Baba ,,,ili tufike pale unapotaka kutufikisha,

  • @neziaosena6381
    @neziaosena63812 жыл бұрын

    Duh! Kweli mauti imevikwa taji dhidi ya maombi yetu kwako

  • @allymamba8215
    @allymamba82157 жыл бұрын

    Ni Rais tuliopewa na mungu kuwa sauti ya wanyonge.mungu akuzdishie amiri jeshi wetu

  • @johaashura9958

    @johaashura9958

    6 жыл бұрын

    Mungu asimamie nawe baba yetu yaani kweli Mungu ametuckiza kilio chetu Mungu akupe uimara zaid rais wa Mimi mnyonge love u sana Mr msukuma uko vzur mmno

  • @saidipara4134
    @saidipara41342 жыл бұрын

    Baba lait ungejua hao waliokuzunguka hapo ni majini usingeongea nao.maana yute uliyo ongea hapo wenzako wapepindua pindua hovyo hovyo.

  • @simonitolya8029
    @simonitolya80292 жыл бұрын

    R.I.P Sir,You will always be remembered,You have been playing the best always😭

  • @alibinusiyasini9884

    @alibinusiyasini9884

    2 жыл бұрын

    Mwenyezi mungu ailaze roho ya huyu mzee mahari pema peponi

  • @kelvinmulengo8555
    @kelvinmulengo85552 жыл бұрын

    I will always remember you sir your soul rest in peace

  • @williamsadick9157
    @williamsadick91576 жыл бұрын

    Sitakusahau Rais wewe upo sahihi asilimia 100%

  • @matinmwal1622
    @matinmwal16222 жыл бұрын

    You will be remembered for years and years to come. Death is so cruel R.I.P JPM

  • @peterjohn1969
    @peterjohn19696 жыл бұрын

    Raisi mungu akulinde sikuzote umeonge mpaka nime sikia uchungu moyoni mwanga nauzuni ndani yangu

  • @salummohdnyiga9760
    @salummohdnyiga97606 жыл бұрын

    Mungu tunakuomba utulindie huyu rais wetu,anayosema ni kweli kabisa ukikumbuka enzi zile maganzo wachimbaji waliteswa sana na mashamba ni yao. Eti eneo la muwekezaji hii viongozi wabaya ndiyo wanafanya watu waichukie ccm.

  • @josphatbayyo1926
    @josphatbayyo19266 жыл бұрын

    Asantee sana mhe. Rais ww ndiye Rais halali tuliyekutafuta kwa mda mrefu uongoze Taifa letu, Mungu akulinde daima,!!!

  • @salumramso1657

    @salumramso1657

    2 жыл бұрын

    Inauma Ila bas tu

  • @davidmaginga9562
    @davidmaginga95626 жыл бұрын

    Mungu awape nini watanzania Mungu kawapendelea Rais Mwenye Hekima Tunataman awe Rais wa kenya

  • @tonyi6807

    @tonyi6807

    2 жыл бұрын

    Kaka David maginga...#

  • @eliakimchaiikobellah358
    @eliakimchaiikobellah3582 жыл бұрын

    Daaah utazan mama hakuwa yeye

  • @jumaabdalla3374
    @jumaabdalla33742 жыл бұрын

    Mama kwann hufati hizi nyayo za hayati jpm

  • @lameckgunze6376
    @lameckgunze63762 жыл бұрын

    Utu, ubinadamu Kama Upo 😂😂😂😂😂 makini Sanaaaaaa

  • @mansourmkanakuta6641
    @mansourmkanakuta66413 жыл бұрын

    Hayatiii Rip president wetu mungu akulaze pema peponi

  • @manstiko5890
    @manstiko58902 жыл бұрын

    Uyu mama anajifanya anachangia mada kumbe mnafiki mkubwa 😭😭😢

  • @Sebastian-to4qd
    @Sebastian-to4qd2 жыл бұрын

    R.I.P Tunakukumbuka, najua najua hatutaweza kumpata wa kufanana nawe JPM. Asante kwa Maisha Yako

  • @abdibilali4186

    @abdibilali4186

    2 жыл бұрын

    Aiseee mm naumia Sana Ila kazi ya mungu haina makosa

  • @elibaricksadock9562
    @elibaricksadock95622 жыл бұрын

    Kifo chako kime pelekea sis tuteseke 😭😭😭

  • @osgentertainmentdancers8924
    @osgentertainmentdancers89243 жыл бұрын

    Safi sana maelekezo ya msingi sana haya mh Rais

  • @mkurutomwaipha5241
    @mkurutomwaipha52412 жыл бұрын

    Allah amjalie kauli thabiti na amrehemu amsamehe madhambi ya Siri na dhahiri kiumbe chake amjalie Pepo yake tukufu

  • @jessicarasigu2220
    @jessicarasigu22202 жыл бұрын

    MUNGU wangu sifai kukuuliza maswali, Ila kifo cha MAGUFULI watanzania wanyoge imetuumiza tu Sana, 😭 😭😭😭😭😭😭 kwa uyu RAISI wetu MAGUFULI alitujali Sana watanzania bila ya kutubagua,kero zetu aliyasikiliza vyema,tulimwona Kama roho yako MUNGU ikokwake kutuurumia sisi Waafrica,Mpumzishe kwa Amani Raisi wetu kipenzi chetu MAGUFULI 😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏 sitachoka kuziangalia video zako baba JPM

  • @simonmartinekombe7031
    @simonmartinekombe70313 жыл бұрын

    Siamin km kwel haupo na cc baba mzazi daaaah.......,,

  • @eugenmgaya6623
    @eugenmgaya66236 жыл бұрын

    Safi sana.....!!!!

  • @ostazclassic3370
    @ostazclassic33706 жыл бұрын

    Mwenyezi mungu akutangulie rais wangu magufuli👂👈

  • @dominickndomba4474
    @dominickndomba44743 жыл бұрын

    Hivi viongozi mlio baki kwanini hamjifunzi toka kwa magufuli wetu?

  • @jpocherehani3498
    @jpocherehani34982 жыл бұрын

    Yaani mi sichokagi kumsikiliza mzee wetu Dah, pole kwa kw Tanzania

  • @zahordida6034
    @zahordida60343 жыл бұрын

    😢😢😢😢😢😢ipo siku mungu atatupa kama weww

  • @awadhally1052

    @awadhally1052

    2 жыл бұрын

    Inshallah

  • @patricklembeli8523
    @patricklembeli85232 жыл бұрын

    Hili jembe arolitoa uhai mungu atashugulika nae ,Kama ni mungu basi tunashukulu kwake mungu ila ila Kama nihujuma za watu wachache kwa faida zao hiiiiiiii

  • @anthonytadeowangao1358
    @anthonytadeowangao13586 жыл бұрын

    baba mimi uwanakukubari sana lakini nikwambie baba vijijini tunateseka sana kama kijiji mabuye kiko wilaya ya missenyi mkoa wa kagera mtendaji anatunyanyasa sana pamoja na diwani mpka tunakosa maendeleo baba fatiria hili hutapa jibu ahsante baba mpendamaendeleo

  • @horizongroup-tanzania6363
    @horizongroup-tanzania63632 жыл бұрын

    Hakika tulikuhitaji kwa miaka mingi zaidi.! Mungu akulaze mahali pema peponi

  • @dikodikson559
    @dikodikson5592 жыл бұрын

    R.I.p my president ❤️❤️❤️❤️❤️

  • @ancomagu8531
    @ancomagu85316 жыл бұрын

    Nakuelewa balaaah 😍😍😍😍😍😍😀😀😀😀

  • @peterisaya3863
    @peterisaya38632 жыл бұрын

    Mnayaskia hayo

  • @maheligati2936
    @maheligati29366 жыл бұрын

    watanzania mungu atupe nini? jamani hii ni neema mungu mbariki baba wa wanyonge rais wetu Joseph john pombe magufuri

  • @dismasalex5064
    @dismasalex50646 жыл бұрын

    Good. President

  • @eliaslenchekee1602
    @eliaslenchekee16026 жыл бұрын

    I support your

  • @ramasanyiwa1690
    @ramasanyiwa16903 жыл бұрын

    Daaaa mwamba

  • @masigomhoja5182
    @masigomhoja51826 жыл бұрын

    nimekuelewa sana unkle komaa nao hata ukiwa unabadili wakuu wa mikoa kila baada ya mwaka mmoja watakuelewa tuu nadhani makonda alishakusoma toka mwanzo na baadhi ya wakuu wa mikoa lakini wengine bado sana mkuu

  • @thekingcr7365
    @thekingcr73652 жыл бұрын

    Kazi Mhh!! Mhh!! Kama unaelewa unayoambiwa, kumbe hamna kitu.

  • @shabihasaid5111
    @shabihasaid51116 жыл бұрын

    Asiekuelewa jua KUNA alivyo...

  • @marykilasi6248
    @marykilasi62482 жыл бұрын

    Kpenz tumekumiss sana jaman

  • @gibsonyshadrack4543
    @gibsonyshadrack45436 жыл бұрын

    Baba.Mungu akukumbuke,daima,

  • @ngoshanyanda1065

    @ngoshanyanda1065

    2 жыл бұрын

    tutakukumbuka milele watanzania

  • @ngoshanyanda1065

    @ngoshanyanda1065

    2 жыл бұрын

    umefanya kazi muda mfupi 2 tukakupeda sana ila MUNGU kakupeda zaidi

  • @milyalemukinga590
    @milyalemukinga5906 жыл бұрын

    Mungu akupe ekima tuna shukuru umekuja kurudisha jina ya ichietu ilikua tayari inapotea usijali maneno piga kasi weni chaguo lamungu saluti sanah

  • @bernadphilipo1013
    @bernadphilipo10132 жыл бұрын

    Daar mzee sasa Mama kaanza kuwatimua machingaa

  • @peterphilipo4152
    @peterphilipo41522 жыл бұрын

    Huyu mama hivi huwa haangalii hizi video

  • @mjunimpemuluke7440
    @mjunimpemuluke74402 жыл бұрын

    Sawa baba pumzika kwa aman

  • @chazyshadrack2558
    @chazyshadrack25582 жыл бұрын

    mama samia safi sana 👍👍

  • @magdalenapeter419

    @magdalenapeter419

    2 жыл бұрын

    Labda kwako ndiyo dole nyamafu wee

  • @LeahKibona-n4v
    @LeahKibona-n4v4 күн бұрын

    Uyo wa mmmm nae kama anaelewa unafki tu

  • @amolonyogea8686
    @amolonyogea86863 жыл бұрын

    Mama kasha kugeuka kwa Sasa pumzika kwa amani JPM

  • @onesmomashembo4123
    @onesmomashembo41232 жыл бұрын

    Tanzania haitokusahau bado tunakulilia ona bado tunamuuliza mungu kwanini ulimchukua Rais wetu?😭😭😭😭

  • @patricklembeli8523
    @patricklembeli85232 жыл бұрын

    Alimasi inazungumza wakati wa uhai wake

  • @nicklassshaypanga8794
    @nicklassshaypanga87942 жыл бұрын

    R.I.P shujaaa wetuu chuma hakuna kama ww mungu akupunzishe katika pepo la milele rest in peace baba🙏🙏🙏

  • @evalinnkumbi4139
    @evalinnkumbi41396 жыл бұрын

    mungu akulinde baba.

  • @fredkyara.babamunguwambing482
    @fredkyara.babamunguwambing4826 жыл бұрын

    Naimani Mungu ni kwema kwa kuipendelea nchi yetu Tanzania kwa kutupa Rais mwenye dhamira ya dhat. Uwezo na nia

  • @georgemashauri4657

    @georgemashauri4657

    6 жыл бұрын

    hiki kichwa huwa nakikubali sana mungu akupe maisha marefu.

  • @marciannchimbi9392
    @marciannchimbi93926 жыл бұрын

    songea pia ongelea Mzee kimya sana

  • @dominickndomba4474
    @dominickndomba44743 жыл бұрын

    Magufuli magufuli magufuliiiiiiiiiiiiiiiii dah!! Ulitutetea sana tulikuwa tuna furaha Ila sasa tupo njia panda

  • @stevenhassan269
    @stevenhassan2692 жыл бұрын

    Kizuri hakidumu jamani

  • @emanuelsanga6759
    @emanuelsanga67596 жыл бұрын

    Kweli kabisa kiongozi huo ndio uongozi pongezi kwako mungu akulinde mheshimiwa

  • @annamunanka632

    @annamunanka632

    6 жыл бұрын

    ni,kweri,baba,mungu,akurinde,wachimbaji,wadogo,wadodo,buhemba,wilaya,ya,butima,turikuwa,tumefukuzwa,lakini,Leo,tumerudishiwa,mgodi,mungu,akusimamie,utuongoze,milele

  • @annamunanka632

    @annamunanka632

    6 жыл бұрын

    mungu,murinde,rais,wetu,makufuri

  • @khalidjimmy5774
    @khalidjimmy57742 жыл бұрын

    Mungu mpe pepo yenye heli rais wetu uko aloko

  • @stevejoram8585
    @stevejoram85852 жыл бұрын

    Aseeee mzee wetu nilikuenda sana ulale salama

  • @saidsalim851
    @saidsalim8512 жыл бұрын

    Huyu mama amekwama wapi? Mbona alikuwa kama msikivu Sana

  • @mangeo2562

    @mangeo2562

    2 жыл бұрын

    Bi mkubwa mnafiki

  • @myunaniniahmad6463

    @myunaniniahmad6463

    2 жыл бұрын

    @@mangeo2562 😁😁😁😁

  • @user-yw2fb7nm2t
    @user-yw2fb7nm2t26 күн бұрын

    R. I. P mwamba hakika tutakukumbuka

  • @abduhamisi7620
    @abduhamisi76202 жыл бұрын

    A man with no speechless yan kila neno Jiwe@ huwezi futika kwenye vichwa vya Minority people kwa sabbu ww ulikuwa ni Rais wa watu wasiokuwa na sauti kwenye nchi hii, yenye utajiri wa kutupa na umasikini wa kunuka

  • @jamespallangyo2694
    @jamespallangyo26942 жыл бұрын

    Ww ndio baba uliotuacha mungu akulaze mahar salam akuondolee hadhabu ya kaburini

  • @masudmuhidini600
    @masudmuhidini6002 жыл бұрын

    Nilikupenda kwa misimamo yako ila dah! Kifo ni fumbo

  • @hussenyassin7453
    @hussenyassin74532 жыл бұрын

    Twakukumbuka baba Mung akulaze mahala pepa peponi dahh

  • @husseinally3681
    @husseinally36812 жыл бұрын

    Daaaa

  • @manenoanthonymachaku698
    @manenoanthonymachaku6982 жыл бұрын

    Ulisema Baba ukifa tutakumumbuka na kukusifu ilaaa Leo ndo tunajua umuim wako,,,ata waliemupiga Vita leo wanasema Bora weweee daah!!! Mungu akupe nuru ukae Pepon.

Келесі