POLEPOLE: HOJA ZA TCRA HAZINA MASHIKO/NIMECHANJA/CHANZO KIFO CHA MAGUFULI/ WAKIBISHA NITAFANYA KITU

--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24news@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24Tz
⚫️ Facebook: @dar24news
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Polepole #SamiaSuluhu

Пікірлер: 388

  • @thb9561
    @thb95612 жыл бұрын

    Dah aisee huu mjadala ni mzur sana yaan mtu unataman kama uciishe iv.... ndugu mwandish wa habar embu mtafute tena huyu jamaa mfanye mahojiano tena..maana anazungumza vitu kihac kwamba huchok kumckiliza...Big Up MH/Pole pole..Mungu akulinde .

  • @vailethobedi4723
    @vailethobedi47232 жыл бұрын

    Pole pole uko makini na majibu yako, yaani unijibu kwa point na hekima hongera sana, Mungu azidi kukulinda unakarama sana

  • @mussalwaho9120
    @mussalwaho91202 жыл бұрын

    We msema kweli nakuamini nakutabiria kwa MUNGU wetu wa mbinguni kama utaendelea na kusimamia hoja zako utakuja kua kisiki cha mpingu.amen

  • @dicksonkusaga
    @dicksonkusaga2 жыл бұрын

    Watu talented wise man genius hawahitajiki Tanzania wakati nchi nyingne dunian ni ruru wanatafutwa.

  • @meckcassius3983
    @meckcassius39832 жыл бұрын

    Tumeumia sana sema Tanzania ni nchi ya watu wasiopenda kuambiwa ukweli wanapenda sana kufarijiwa na uongo kuliko safar ya ukweli

  • @malimajr3032
    @malimajr30322 жыл бұрын

    Polepole is a hero. Ukweli kamwe haufutiki. Ni sawa na mbegu, utautupa na kuukanyaga chini.. lakini utaota na kuwa mti mkubwa zaidi na zaidi utastawi. Tanzanian must unite 🇹🇿👊

  • @winstonmwalukasa4997
    @winstonmwalukasa49972 жыл бұрын

    Napenda vijana wenyekujiamini na Wana elimu pia wameelimika Kama polepole sio mnafiki ni msema kweli. Mwandish wakati mwingine ktk interview zako usiwe mtu kuegemeza hoja zako upande eiza umetumwa na wahuni.Mr Polepole don't give up

  • @hisanmwakijungu10

    @hisanmwakijungu10

    2 жыл бұрын

    Ila akili yako duuuu ,,

  • @ajsmainde5138

    @ajsmainde5138

    2 жыл бұрын

    @@hisanmwakijungu10 😀😀

  • @doricekajuna6185
    @doricekajuna61852 жыл бұрын

    Tunakuombea Mungu akukinge na ao wahuni,DAMU YA YESU IKUFUNIKE🙏🙏🙏

  • @hurumamwakiluma5485
    @hurumamwakiluma54852 жыл бұрын

    Mwandishi wa habari unasema akae kimya. Pole Pole ni Genius unahitaji akili kumtambua. Wengi wanamkosoa kwa ushabiki.

  • @emilykassiano6173
    @emilykassiano61732 жыл бұрын

    Niko kigoma nakukubali sanaa polepole 2025 itatoa sauti

  • @winstonmwalukasa4997
    @winstonmwalukasa49972 жыл бұрын

    Polepole yupo juu Sana mtangazaji na uchawa wako umekera Sana ukasome na ujipange kumuhoji huyo bw mdogo

  • @ednambata9503
    @ednambata95032 жыл бұрын

    Niko na polepole

  • @mdbosco1640
    @mdbosco16402 жыл бұрын

    Polepole nakubali kijan🙏💞🇧🇮 🇧🇮 🇧🇮

  • @kingwatabata4230
    @kingwatabata42302 жыл бұрын

    Pole pole akiri nyingi sana hongera sana👏👏👏

  • @awadhichimbunga2009
    @awadhichimbunga20092 жыл бұрын

    Natamani ije kutokea ccm wamteue polepole aje kuwa rais wa nchi hii

  • @angelsvoicessingerstanzania
    @angelsvoicessingerstanzania2 жыл бұрын

    When I listen to Polepole I don't get tired he is very intelligent and so wise. Congratulation bro

  • @MCNgakungaJunior

    @MCNgakungaJunior

    2 жыл бұрын

    HAKIKA!!!!YUKO VIZURI SANA!!!

  • @amohammed3390

    @amohammed3390

    2 жыл бұрын

    Mungu anamlipa huyu. Alikuwa na kibuti sana wakati wa Magufuli

  • @marieconnect6389

    @marieconnect6389

    2 жыл бұрын

    @@amohammed3390 mungu anamlipa nini? Hujaeleweka bado. Hapo Mungu anaingiaje? Mbona Polepole ndiyo kwanza anakomaa na kustawi zaidi kitaaluma na kujulijana kidunia? Mbona Mungu ndiyo anamtumia zaidi sasa kuelimisha ulimwengu kuliko wakati mwingine wowote? Au wewe huoni kinachoonekana? Popote penye haki pana mkono wa Mungu. Kuna msemo kuwa Jiwe lililokusudiwa kukuangamiza Mungu anaweza kulitumia kukupandishia juu zaidi. Na mungu akipandisha hakuna wa kushusha. Kwa mtizamo finyu unaweza usimwelewe lakini akiwa ma maono chanya na mapana utaona kitu kikubwa saba hapo. Mungu ibariki nchi yetu na watu wake.

  • @marieconnect6389

    @marieconnect6389

    2 жыл бұрын

    @@amohammed3390 kiburi? kipi tena? Kwanza ukumbuke huyu siyo mzee ni kijana sana ila tu ana uwezo mkubwa kiakili na maarifa makubwa kuliko umri wake. Ana mitizamo ya kisasa. Hata hivyo kuwa na mbwenbwe kidogo ni haki yake kama vijana wengine wa umri wake, why not?. Msimzeeshe. Maarifa ni bahati yake lakini haimwondolei kuwa kijana. Mwacheni awe kijana...let him leave his age.....let him be

  • @marieconnect6389

    @marieconnect6389

    2 жыл бұрын

    Hivi hiyo tabia ya kuambiana ati mtu afunge mdomo akar kimya ni utamaduni wa wapi huo? Wa mwafrika? Huo ni umasikini wa mawazo. Kila mtu ana uhuru wa kuongea mawazo yake ilimradi ni ya kweli na havunji sheria....huo ndio ustaarabu wa kuvumiliana na kuelewana. Bora mtu aongee kwa uwazi kuliko kugugumia halafu aongelee pembeni.

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo64642 жыл бұрын

    Siasa bhana... Kwa kifo Cha JPM wengi walio na ukweli dua zao Ni kwa Mwenyezi Mungu tu... éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz

  • @saxannjo6173
    @saxannjo61732 жыл бұрын

    OUR NEXT JPM.... We TRUST YOU POLEPOLE... Muda ufike haraka umalizie alipoachia CHUMA..... #kataawahuni

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri81142 жыл бұрын

    Inchi ya kikwete na watoto wake wakiwemo kinana nape makamba na wengine wewe ndio mzarendo namba moja ulie achwa na magufuri akifata majaliwa na kabudi basi

  • @shabanikorongo9743

    @shabanikorongo9743

    2 жыл бұрын

    Ndugu umemsahau Bashiri Ally

  • @halimamasai2234

    @halimamasai2234

    2 жыл бұрын

    🙏🙏🙏🙏🙏💪💪💪💪💪Tupo pamoja sana

  • @d.e.o8296
    @d.e.o82962 жыл бұрын

    Polepole kipindi chako kimewachoma sana watu fulani kwenye kipindi cha UONGOZI #KATAA WAHUNI

  • @sambulugu9988
    @sambulugu99882 жыл бұрын

    Wahuni watu wabaya! Hpolepole wewe ni mtu makini sana!

  • @mussakasela1937
    @mussakasela19372 жыл бұрын

    Mh pole pole gombea urais tutakupa❤️❤️

  • @esuthoby7865
    @esuthoby78652 жыл бұрын

    Huyo mwandishi wa habari anakutazama vibaya sana mh.polepole unapozungumza.body language yake inatueleza mengi. Tanzania kazi ipo.

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun30152 жыл бұрын

    MH.POLEPOLE OYEEEEEEEE, big up, umewazidi akili, huo ndo ukweli, hata wakikubeza .hao wahuni mmmh mda wao umefika.

  • @linuspapiasmanywele3414

    @linuspapiasmanywele3414

    2 жыл бұрын

    Oyeeeeeeeeeeeeee

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed69612 жыл бұрын

    Wewe mwndishi wa habari jiongeze kidogo,umevaa nguo za sikukuu halafu unamuuliza polepole aliposema kile kipindi cha uongozi kinawaudhi watu fulani,unamuuliza ni kina nani.wanaeleweka ni wakubwa wa nchi na wastaafu

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme84552 жыл бұрын

    Safi sana wajina gud interview

  • @rokoowilfred2318
    @rokoowilfred23182 жыл бұрын

    Polepole upo vizuri ipo siku utaeleweka.katika unacho ni shangaza na kuonekana ni tofauti hubabaikii uongozi bali kusema kweli huo ndio ukristo wa kweri

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed69612 жыл бұрын

    mwandishi wa habari unatuchosha sana,chanjo ni hiari na unamlazimisha aingie ndani kuhusu chanjo.potezea na usituharibie siku.asante mh. Polepole umemjibu vizuri huyu mwandishi mchanga kwa kumwambia"Unataka nini?"

  • @mrsalam1094
    @mrsalam10942 жыл бұрын

    Hilo ni njembe la ccm ila rais samia hajajua bado naatapo kuja kujua mda umepita

  • @ernestkilawe1229
    @ernestkilawe12292 жыл бұрын

    Hongera kiongozi pole pole kila unapoongea najifunza kitu.big up fikra zitaishi daima.ukifika muda nitalitumikia taifa kwa uadilifu mkubwa na makini kwa maendeleo ya wote.!!

  • @LEO-uq6el
    @LEO-uq6el2 жыл бұрын

    Jamani mm huyu jamaa nampa kura yangu ya uraisi kama atapitishwa kama mgombea 2025

  • @itNeza
    @itNeza2 жыл бұрын

    Akili Kubwa Sana Kiongozi. ❤️

  • @mrematvbabakoku8336
    @mrematvbabakoku83362 жыл бұрын

    Mimi mwenyewe niliikubali sana shule ya uongozi napia naimisi vibaya

  • @shadymbuki87
    @shadymbuki872 жыл бұрын

    Pamoja sana Polepole

  • @allysinge7096
    @allysinge70962 жыл бұрын

    Leo nmeamini polepole anajua sana kujieleza

  • @ooafrica3626
    @ooafrica36262 жыл бұрын

    POLEPOLE AKIONGEA NCHI INATETEMEKA, amejaa UKWELI MTUPU

  • @almasmanumbu7945
    @almasmanumbu79452 жыл бұрын

    Hicho ni kichwa Sana anafaa kuwa raisi wa nchi

  • @abeidmayanga809
    @abeidmayanga8092 жыл бұрын

    Yani polepole Mungu akutunze broo nimoja kati ya vijana wachache weupendo wakweli na taifa letu la Tanzania

  • @anitasita7153
    @anitasita71532 жыл бұрын

    KUHUSU KIFO CHA JPM KAMUULIZE KIGOGO NA LISU WALIJUAJE KAFA KABLA YA MKEWE NA FAMILIA KUJUWA ..... mnathania watu ni wajinga sana kamtandao ka wahuni wanajuwa sababu au MTAFUTE KIGOGO AU LISU WAKO HAI KAWAULIZE TUUU 😹😹😹😹

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda77692 жыл бұрын

    Siku zote nina amini sana uwezo wako Mh Polepole...pia mara zote umekuwa ukiwashinda wanakuja kutaka mdahalo na wewe kwakuwa una akili sana Kaka. Mungu azidi kukulinda.

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun30152 жыл бұрын

    Waandishi wa habali mnapenda sanaa kulazimisha maneno n kulazimisha watu. Nyie ndo mnao leta vita, hebu jilekebisheni .

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel31322 жыл бұрын

    Hata wakuchukie wanyoshe kwangu big up

  • @mussamanumbu3718
    @mussamanumbu37182 жыл бұрын

    Polepole mungu akupe maisha marefu

  • @athumaniomari2833
    @athumaniomari28332 жыл бұрын

    Mwenyezi MUNGU yupo pamoja nawe polepole

  • @Biharamulo6444
    @Biharamulo64442 жыл бұрын

    Ukiwa na ufahamu mkubwa,Afrika sio sehemu salama kabisa

  • @eliamwasomola578

    @eliamwasomola578

    2 жыл бұрын

    Ni kweli ndio maaana akina lissu wameondoka maaana ni akili kubwa mpaka kapigwa lisasi na akinapolepole na magufuli

  • @janethpallangyo2633

    @janethpallangyo2633

    2 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @gadyetheboss8738

    @gadyetheboss8738

    2 жыл бұрын

    @@eliamwasomola578 mmmh! Lisu kapigwa lisas au alijipiga lisas? Usipo wajua vzur wazungu unaweza kuona kama ni wema sana ila wanatumia akili nying kumtawala mwafrica. Wazee wazaman walkua na akili sana waliposema vita vya panz ni furaha kwa kunguru walkua na maana kubwa watoto wa sikuiz hamwez mkaelewa. Kwahiyo lisu ni kama panz tu kapigwa na mzungu alaf kasaidiwa na mzungu ili amkumbatie mzungu hivyo lisu hana jipya ktk nch hii.

  • @eliamwasomola578

    @eliamwasomola578

    2 жыл бұрын

    @@gadyetheboss8738 ukubwa wa pua sio wingi wa kamasi akili Kila mtu anazo za kwake walio ingia mikataba ya madini ni ccm, mikataba ya utalii ni ccm, gesi ni ccm,ujenzi wa bandali ni ccm aliewakosoa ubovu wa mikataba ni lissu mkampiga lisasi mwendeleee kuiba leo unaandika vikauli vya panzi umecherewa Sana lisu hajawahi kuwa sehem ya mikataba

  • @athanasevaristmahega1946

    @athanasevaristmahega1946

    2 жыл бұрын

    Hahahahahaha kabisa hata huyu ajiandae

  • @coolruler6820
    @coolruler68202 жыл бұрын

    Huyu Kamanda ana akili za ziada,,,anayebisha ni yule tu asiyejua kila aliyeumbwa ana mapungufu yake....mimi binafsi namuelewa sana kwa akili yake ndefu na tafakari zake pana,,,,,,vichwa vya aina hii ni vichache sana Tanzania iliyojaa wanaa wengi

  • @georgemhalla8853

    @georgemhalla8853

    2 жыл бұрын

    Definitely

  • @aishasteven7602
    @aishasteven76022 жыл бұрын

    Pole pole uko vzuri hyo mwandishi kibaraka

  • @anitasita7153
    @anitasita71532 жыл бұрын

    Mtangazaji wewe kama umeshachanjwa imeshakula kwako Una uhakika wa kuishi miaka mi 3 tuuuu 😹😹😹😹 hivi wewe na Rais mnawaamini wazungu kuliko MUNGU 🤣😂🤣😂

  • @jacksonprosper3267
    @jacksonprosper32672 жыл бұрын

    Komaa ndugu Polepole

  • @ombendaud5938
    @ombendaud59382 жыл бұрын

    Nakuelewa sana sana Polepole wewe simama na ukweli unaojua.Mungu amejisanzia watu wake wenye haki tuko nyuma yako

  • @marieconnect6389
    @marieconnect63892 жыл бұрын

    Wenzetu wanafanikiwa sana kwenye jamii zao kwa kutumia njia ya uhuru wa kuongea. Hapo watu wanajikosoa, wanajipongeza, wanajipima, wanajifunza, wanafundisha nk. Kuondoa hiyo element maisha yanakuwa ya kinafiki hivi. Sababu kufunga mtu mdomo ni kama kufagilia takataka chini ya kapeti na kufunika...kuna Siku zitajaa zitaonekana. Mtu aongee alikosea akosolewe kwa hoja. Hoja zijibiwe kwa hoja siyo kufungana midomo. Huo ni unafiki. Unanyamaza wakati una neno la kusema? Why?

  • @peterjanuary7972
    @peterjanuary79722 жыл бұрын

    Kujiamini ni nguzo mhimu kwenye maisha ndy nilichokiona ndani ya polepole.. ila kama unahitaji kugombea urais awam frani chama frani naamini unaweza #wahuni😂😂😂😂 mmeisha.

  • @umibana6759
    @umibana67592 жыл бұрын

    Polepole yuko sawa! Ktk chanjo saana

  • @farajastudioandstationery5798
    @farajastudioandstationery57982 жыл бұрын

    Eti ni Wahuni watu WABAYA! 😜 JAMAAA ANAJUA MPK ANAKERA! MUNGU AKUBARIKI NA AKULINDE BRO'!

  • @marieconnect6389
    @marieconnect63892 жыл бұрын

    Polepole umejaliwa kutafuta na kupata maarifa makubwa na naamini kabisa kwa kufundisha wengine una nia nzuri na mapenzi kwa nchi yako. Keep it up. Jitahidi upate namna ya kuendelea kutoa elimu na maarifa. Watu wanapenda kukusikiliza. Jitahidi kaka.

  • @kingmazera8374
    @kingmazera83742 жыл бұрын

    Huyu ni kiongozi nimefurahishwa sana na uzungumzaji wake nimejifunza kitu na umakini ktk mahojiano

  • @bonawalewale9921
    @bonawalewale99212 жыл бұрын

    Polepole umesahau kumuuliza anaekuhoji Mbona anauliza pasipo kuwa neutral anauliza kama miongoni mwa wasiokuelewa na wanaokupinga kiasi kwamba ametumwa akuhoji kwa namna ya kejeli au kujipofusha, anauliza kipumbavu sana hajui haki ni ipi na wajibu ni upi, Watanzania muelekeo wangu wa sasa hauzuii haki na wajibu wa uelewa wa mambo kikatiba na katika kweli. Upopoma wa kusudi tuache

  • @sometimes5621

    @sometimes5621

    2 жыл бұрын

    Nafurahi Polepole amemtukana huyu mwandishi kiaina wakati amesema eti akae kimya!

  • @linusdavis9072
    @linusdavis90722 жыл бұрын

    Tunamiss sana jamani shule ya uongozi Pole pole ulitufungua macho na ukatupa elimu Ila tu wako watu hawaipendi Tanzania ila wazalendo tuko wengi hatuna sauti ila tuko nyuma yako

  • @AlexKAudax
    @AlexKAudax2 жыл бұрын

    Brilliant 👏 interviewer

  • @rasurmasoud5762
    @rasurmasoud57622 жыл бұрын

    Na Mimi ni mfasi wako kak wasikukatishe tamaa

  • @benjaminchakwe9815
    @benjaminchakwe98152 жыл бұрын

    Pole pole unafaa Sana Kua rais

  • @seachkabwogi190
    @seachkabwogi1902 жыл бұрын

    Tuko pamoja Pole pole

  • @omarybakari8677
    @omarybakari86772 жыл бұрын

    Huyu jamaa yuko na talent ya kujenga hoja..Leo anaweza akaamka na hili kesho akaamka na lingine na watu wakamuamini...muangalie kipindi cha mapendekezo ya katiba mpya halafu njoo kipindi cha magufuli kisha malizia wakati huu wa sasa, utagundua ni watu watatu tofauti, na ukimuuliza kwanini ulikua unabadilika katika nyakati hizo tatu atakupa majibu kiasi kwamba usipoyachunguza kwa umakini utahisi kila anachokueleza ni sawa. Hivyo tujifunze kupambanua mambo kwa kina.

  • @malikajohnson8897

    @malikajohnson8897

    2 жыл бұрын

    Well said. Kigeugeu

  • @zaynabnyamsingwa3830

    @zaynabnyamsingwa3830

    2 жыл бұрын

    Mnamsigizia lakini kiukweli hajawahi kubadilika Polepole ni Yule Yule.

  • @raujohn8238
    @raujohn82382 жыл бұрын

    Mbona mtangazaji kama umetumwa kumuhuliza maswali ya kumlazimisha kitu

  • @wakutingwa.1635
    @wakutingwa.16352 жыл бұрын

    Shikamoo Mwalimu Polepole

  • @fraviansweetberty8819
    @fraviansweetberty88192 жыл бұрын

    Mungu akusimamie ndg Afrey Pole pole

  • @saxannjo6173
    @saxannjo61732 жыл бұрын

    WE TRUST POLEPOLE

  • @V.O.T
    @V.O.T2 жыл бұрын

    Ambae huwa hakuelewe mpaka tena nakuuliza mambo uliyo kwisha kuliongelea na kulifafanua anatakiwa kupimwa akili Una akili nyingi sana kiasikwamba inabidi uwa eleweshe kwakweli

  • @MrRizwan1978
    @MrRizwan19782 жыл бұрын

    Huyu mwandishi ndio walewale

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi62532 жыл бұрын

    Polepole upo vzr sana aisee duh

  • @deogratiustimoth4619
    @deogratiustimoth46192 жыл бұрын

    Nakuelewa vyeeema Sana mh polepole

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun30152 жыл бұрын

    #kataa wahuni. MH.POLEPOLE big up.

  • @adam-saffi211
    @adam-saffi2112 жыл бұрын

    You are very bitter in losing your CCM job. Be careful hao wahuni wanajua kuua tu, you know where Magufuli, Sokoine etc etc all went. Wahuni are a very powerful class in bongo.

  • @afropatriot7769

    @afropatriot7769

    2 жыл бұрын

    Kwa hiyo unadhani kufa au kuuwawa ndio kitisho kikubwa maishani,usidhani kila mtu ni muoga Kama wewe

  • @lizyliz5357

    @lizyliz5357

    2 жыл бұрын

    Everyone in this world will die. This world is not our own once you realize that you will stop that kind of hatrage towards Him

  • @felixmsale9244

    @felixmsale9244

    2 жыл бұрын

    Not powerful only in Bongo WAHUNI are powerfull all over the World look people like Sankara of Bukina faso,Patrick Lumumba of Congo ,Thom Mboya of Kenya,Kwame Nkuruma of Ghana etc etc with Money one should be carefully

  • @Commentsplus
    @Commentsplus2 жыл бұрын

    Since day one nakukubali polepole

  • @withoutshadow1358
    @withoutshadow13582 жыл бұрын

    Sawa Mr Blue, ila kubali zama zako za kusikilizwa na kuheshimiwa zimepita.

  • @tozzaalexandar4905
    @tozzaalexandar49052 жыл бұрын

    Sahihi mkuu vyema

  • @samsonyemmanuel5160
    @samsonyemmanuel51602 жыл бұрын

    😀😀😀Pole pole unajua mambo kuliko Nape au January!?🤔🤔

  • @africanman8679
    @africanman86792 жыл бұрын

    Big up humphrey polepole

  • @chichitimbanga5534
    @chichitimbanga55342 жыл бұрын

    Uyu jamaaa anajua sana aisee!!!!

  • @kpetres2872
    @kpetres28722 жыл бұрын

    Huyu jamaa ana madini mengi kichwani

  • @justinycleverton7345
    @justinycleverton73452 жыл бұрын

    Huyo mtangazaji ana lake aliloaminishwa pia anatafuta kiki kujifanya M.h Pole pole ni mdhambii eti kaaa kimyaaa ivi huyo ni muandishi kweli wanapopewa vyeti huwa wameelewa kweli uko mashulen mwao

  • @ramadhanzengwe3876
    @ramadhanzengwe38762 жыл бұрын

    Huyu mtangazaji kama katumwa hayo maswali ni uchonganishi

  • @majaliwaalfred4422
    @majaliwaalfred44222 жыл бұрын

    Namkubali sana polepole

  • @robertkanamba2497
    @robertkanamba24972 жыл бұрын

    Good kiongoz

  • @linuskyando4155
    @linuskyando41552 жыл бұрын

    DUNIANI Kuna Wanafiki sana sipendi Kuwa mmojawapo

  • @bhunogebhunoge2636
    @bhunogebhunoge26362 жыл бұрын

    Kuhusu chakula umesema kitu cha msingi sana tukila vyakula vyetu vya asili tutakuwa na afya njema.

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa37152 жыл бұрын

    Pole pole anajua kitu huyo kuhusu kifo cha magufuli mbona haungi mkono wala hapingi sababu za kifo cha magufuli zilizotajwa na Mama samia?

  • @Sheba4651
    @Sheba46512 жыл бұрын

    Kila zama na watu wake, ukiambiwa kaa kimnya ukae, ili wezekana nawe uliwaambia wengine wawe kimnya. Nami niende shule ya uongo'zi niwe kiongozi.

  • @noahmathew7987
    @noahmathew79872 жыл бұрын

    wahuni hawataki tuelimike ili wazidi kufanya wanavyotaka Mungu asaidie tuwatokomeze hawa wahuni ni bora awapoteze woote ili nchi iongozwe na watu kwa akiri zao sio wahuni hawa

  • @rachidkidugo1127
    @rachidkidugo11272 жыл бұрын

    Tatizo ra TANZANIA ukiongea ukweri hawataki Wananchii wajuwe ukweri

  • @geremanicolibori6230

    @geremanicolibori6230

    2 жыл бұрын

    Brother...you are Genius, I'm you fan yaan kila neno litokali kinywani mwako ni madini tupu

  • @geofreymwaijonga4044
    @geofreymwaijonga40442 жыл бұрын

    This is a very powerful, well structured and delivered interview. Big up Dar24Media Team. 🔥🔥🔥🔥

  • @mariamkhamis2318

    @mariamkhamis2318

    2 жыл бұрын

    Mungu akupe maisha maisha marefu. Endelea na haki. ..ukweli. Mara nyingi sisi wafrika hatupendi. Kuelekezwa. Au kuelimisha...au. Kufundisha. Haiwezekani. Afrika...ndio. Maana..vikwazo. Vingi. Bado. Ni mbali....Mungu. Tusaidie. .mm tuweze. Kujifunza na kuwa. Wakweli .si ubinafdi. Mungu hapedi. Jamani..lvu..Kaka Polepole..

  • @marieconnect6389

    @marieconnect6389

    2 жыл бұрын

    Sana kabisa. Maswali yamepangiliwa na majibu yana mashiko.

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed69612 жыл бұрын

    mwandishi,mwandishi,mwandishi na maswali yako ya kuforce yanachosha sana.Inabidi urudi darasani chuo cha habari ujifunze namna bora ya kumuuliza mtu maswali. Mfano mtu anasema jambo fulani ni hiari unataka kuingia deep kwa nini wewe unakataa kuchanjwa,kwanini hujachanja.daaaah unachosha sana.

  • @williammakali5518
    @williammakali55182 жыл бұрын

    Mungu akutie nguvu

  • @prosperjuma905
    @prosperjuma9052 жыл бұрын

    Ulipopewa mkate wa boflo na maziwa ulinyamaza kimyaa..ukawa busy kufaidi mkate wako tu..wakat wengine walikuwa wanalia wakidai uhuru wa kutoa maoni na wakidai katiba mpya we hukuwa upande wao. Leo kibao kimegeuka..unatafuta huruma ya wananachi..pambana na hali yako aise.

  • @brightontibenda2346
    @brightontibenda23462 жыл бұрын

    Pamoja na iwavyo pole pole una uwezo mkubwa wa uelewa!

  • @aisharamadhani9438
    @aisharamadhani94382 жыл бұрын

    Mwandishi uko vizur nataman ufike BBC

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro66626 ай бұрын

    Nakukubali kwa machache unayoongea kuwa hii ni mwendelezo wa Awamu ya tano. Lakini ukisema kuwa uchaguzi wa 2020 ulikuwa wa kishindo ingawa mimi siyo mwanasiasa lakini kwa msimamo wangu wa kuheshimu ukweli tupu sijui kama mlipata kishindo bali mlipata kishindo cha udanganyifu mkubwa. Mkristo anaye muogopa Mungu lazima kusimamia kweli yaani kila mtu kufanya uchaguzi kwa ukweli mtu kufanya uchaguzi kwa ule anayempenda ajslishi ni nani. Lakini kila mtu akapewa usawa. Kulikuwa na udanganyifu mkubwa sana. Na mbaya mbele ya Mungu wetu aliye hai je udanganyifu siyo uhuni? Na siyo kumkosea Mungu? Pole sana kwa sababu wewe ni mwanasiasa ninakuelewa. Lakini katika kungojea ufalme wa Mungu ni vizuri kuwa kweli kwa sababu kweli itakuweka huru.

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi62532 жыл бұрын

    We mwandishi kuma la mama ako,unataka nn kuhusu chanjo

  • @georgekessy2343
    @georgekessy23432 жыл бұрын

    Wazo; inapobidi kipindi kikianza wasifu wa mgeni uwe unatajwa mapema. Inatoa taswira pana/uelewa kwa wasiomfahamu muhusika

  • @anitasita7153
    @anitasita71532 жыл бұрын

    Ni vizur kumkumbusha Samia aelewe kuwa yeye amerithi tuu asijiinue kupitiliza kwa kiti cha kurithi kwa kusafiri kila wiki na kuita watu non sense Na kuukashifu utawala wa JPM na wakati yeye hajachaguliwa na mtuu kukaa ktk kitu bali aliyechaguliwa ni yule anayemkashifu ..... watz tunamtambua JPM tuu hadi kura zingine zipite

  • @Sheba4651

    @Sheba4651

    2 жыл бұрын

    Mrithi huwa ndio chake huyo, karithi imekua ndio yeye. Mpeni heshima.