MZEE MANGULA: NILIJUA MAPEMA/ SIKUMUOGOPA/NILIRUDI SHAMBA KULIMA

--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media

Пікірлер: 56

  • @oscarkasalile3966
    @oscarkasalile3966 Жыл бұрын

    Mzee mangula nakupenda sana zaid ya sanaaa.

  • @shabanramadhan4863
    @shabanramadhan4863 Жыл бұрын

    Mzee Mangula Ubarikiwe Ulifanya Kazi Kwa Uadilifu Katika Kukijenga Chama Ubarikiwe Sana Mzee Wa Mafaili

  • @furahasimbeyesimbeyethebio8388
    @furahasimbeyesimbeyethebio8388 Жыл бұрын

    Nampenda sana huyu Mzee.

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 Жыл бұрын

    Mangulaa kuaa ccm nizambi kwa mungu na mungu kakuokoaa nizambi ya kuaa li ccm emeni

  • @Alex-hf6sw
    @Alex-hf6sw Жыл бұрын

    Hongera sana mzee napenda ningekuwa kwenye mfumo nami niwe kama wewe ila haiwezekani màana chama kina wenyewe

  • @samwelmwaijumba6018
    @samwelmwaijumba6018 Жыл бұрын

    Aiseee huyu mzee yupo vzur, mzee wangu wew ni kiongozi. ♥.

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Жыл бұрын

    Mzee mangula ni mtu mzuri sana mungu ambariki sanaaaa huyo ndiyo anaejua siasa hao wengine waliochukua nafasi yake mmmmmmmmmm yetu macho tunachoomba amani tu Tanzania

  • @abdulrahmanmwadini5925

    @abdulrahmanmwadini5925

    Жыл бұрын

    Huyo unaemponda umesahau au hujui kama ndio aliezunguka Tz mzima kufufua chama?,

  • @saimonijonas1471

    @saimonijonas1471

    Жыл бұрын

    Kwani chama kilikuwa kimekufa? Wakati kinakufa yeye alikuwa wapi? Si alikuwa ndani ya chama naalikuwa kiongozi mwandamizi? Chama hakijawahi kufa kabisa na hakitakuja kufa.

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 Жыл бұрын

    Moja ya Wazee ninao waelewa ni Mzee Mangula..huwa ni Muelewa na Msikivu

  • @mzadomwongozo3671
    @mzadomwongozo3671 Жыл бұрын

    Content makini sana, naanza kuifuatilia hii chanel

  • @yusuphmpenja3288
    @yusuphmpenja3288 Жыл бұрын

    Shukrani kutambua kuna umri wa mapunziko wengine hawalijui huo ni moyo mzuri

  • @uhurunyereremusa8592
    @uhurunyereremusa8592 Жыл бұрын

    mtangazaji umempa sana Mzee Mangula mianya CCM haishindi tena uchaguzi Tanzania bali ni kutumia nguvu za dola kubakia madarakani kasema hayo Katibu Mkuu wao Dr.Bashiru

  • @wechemakambo2182

    @wechemakambo2182

    Жыл бұрын

    Rudia kusikiliza alichosema DkBashiru juu ya kutumia kukaa madarakani,usibebe upotofu uliotolewa na Wahuni....Alisema Dola kwa maana ya vyombo Mahakama,Polisi n.k...kuvisimamia vifanye kazi zao kwa kuwasaidia wananchi nao wataona kuwa wanasaidiwa kupata haki zao na huduma hivyo Watakipa ridhaa ya kubaki madarakani...Wahuni walikamata maneno ya mwanzo na kuacha habari nzima ya DrBashiru...itafute taarifa nzima ipo humu KZread.

  • @danielngondya5335
    @danielngondya5335 Жыл бұрын

    Mwandishi alipaswa kufanya homework yake vizuri kabla ya kumhoji Mzee Mangula. Anaeleza kuwa mwaka 2006 aliamua kwa hiari kupumzika. Lakin akiwa kijijin kwake, aligombea uenyekiti wa CCM Mkoa, nadhan ilikuwa 2007, akashindwa vibaya sana. Alipaswa kumuuliza kwann aligombea uongozi wa mkoa, wakat alikuwa Katibu Mkuu CCM? Kulikuwa na tetesi zilizopelekea akarudi kijijin. Alipaswa kuuliza maswali ktk maeneo hayo ya tetesi.

  • @ephraimndelwa4073
    @ephraimndelwa4073 Жыл бұрын

    Ndg mtangazaji kuna tetesi nimewahi kuzisikia kwamba mzee Mangula aliwahi kuwa mshauri wa chama cha A.N.C pale a/kusini kati ya mwaka 2006 hadi 2012, nilitegemea swali hili litaulizwa na kujibiwa hapa..

  • @timboxlee919
    @timboxlee919 Жыл бұрын

    Rais wa mchogo na Genge lake wanatumaliza watanzania bara,Rip JPM

  • @issasaidi5781
    @issasaidi5781 Жыл бұрын

    Hua nakukur broo uko makin sana

  • @yahkiwera3611
    @yahkiwera3611 Жыл бұрын

    Mhh sawa

  • @neemaevance80
    @neemaevance80 Жыл бұрын

    Mungu akutunze mtani wangu

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 Жыл бұрын

    Alikimbia genge la wauwaji.Baada ya kulishwa sumu akaponea chupuchupu.

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Жыл бұрын

    Duuuh nchi hii ni hatari sana

  • @josephnchunga4229
    @josephnchunga4229 Жыл бұрын

    Huyu mzee mangula alikuwa ameendana na magufuli Safi Sana, anamsimamo Sana kwa kile anachokiamini .

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 Жыл бұрын

    Demokrasia ya chadema ni feki. . Tangu Kimeanzaza hakuna uchaguzi wa kiongozi wa chama. Ni wale wale. Na wanaimba demokrasia

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 Жыл бұрын

    Ila nchi ngumu sana hii kuja siku tutaamka asubuhi tusiikute nyie

  • @hezronmangulamangula9718
    @hezronmangulamangula9718 Жыл бұрын

    Mzee mangula

  • @davidkihiga3531
    @davidkihiga3531 Жыл бұрын

    Mzee hajasoma ilani. Vyama vingine

  • @margarethpolepole7438

    @margarethpolepole7438

    Жыл бұрын

    David huyo ndiyo mzee anaejua siasa tokea enzi ya mwalimu nyerere

  • @jovinjulius9852
    @jovinjulius9852 Жыл бұрын

    CCCMM ni chama cha wahuni

  • @margarethpolepole7438

    @margarethpolepole7438

    Жыл бұрын

    Julius jovin wewe ndiyo muhuni

  • @ndogoroedson199

    @ndogoroedson199

    Жыл бұрын

    Wahuni wengi wako usukuleni huko chambowe! Mmojawapo ni ww

  • @magaigwa4204
    @magaigwa4204 Жыл бұрын

    Badala ya kuilizia mafanikio ya utendaji kipindi cha utumishi wake, wewe unataka kusikia kuhusu minong'ono ?

  • @adamfundikira3554
    @adamfundikira3554 Жыл бұрын

    Ccm yenyewe wamejaa wahuni tu

  • @margarethpolepole7438

    @margarethpolepole7438

    Жыл бұрын

    Adamu fundikira wewe ndiyo muhuni kabisa anzisha chama chako cha kushindana na ccm uchukue dola nyau wee

  • @shaheqodfreykristiansolea720
    @shaheqodfreykristiansolea720 Жыл бұрын

    Magufuli hakuwa anakijua chama?

  • @elisantenyange8751
    @elisantenyange8751 Жыл бұрын

    Mzee Mangula uliwahi kugombea uenyekiti was ccm mkoa, ukakosa, na ulilalamika sana.

  • @jonathanmwakabuku4714

    @jonathanmwakabuku4714

    Жыл бұрын

    So what? Kwani kuna mtu kwenye chama wa juu ambaye hajawahi kugombea na kukosa?

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 Жыл бұрын

    Naswa

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 Жыл бұрын

    VIONGOZI wa maana ndani ya CCM hakuna tena. Tumebakia na wahuni, waliobakia ni wahuni na wanao fikilia Tanzania ni Mali yako binafsi.

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 Жыл бұрын

    mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe !! Chadema ni tishio .. vyama vingine mf. tadea Demokrasia makini , tlp, dp nk. vina wenyeviti pia ila haviinyimi ccm usingizi kama ilivyo kwa Chadema.

  • @davidcurtis175

    @davidcurtis175

    Жыл бұрын

    Huo mrazamo wakoni mihemko tu, bado sojaona chama tishio tTanzania unataliwa ujiulize imeluwaje wabunge 19 kwa wakati mmoja kutofaitiana na chama? Jinu ni rahusi sana ni dictatorship

  • @sonnyr1899

    @sonnyr1899

    Жыл бұрын

    😂

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Жыл бұрын

    Mzee mangula umesema kweli chama gani mwenyekiti huyo huyo kila siku wamemchoka kabisa wanachama wenzie huko mitaani mbowe njoo usikie ya mitaani

  • @flavianwilliams2888

    @flavianwilliams2888

    Жыл бұрын

    Wivu

  • @margarethpolepole7438

    @margarethpolepole7438

    Жыл бұрын

    Flsvian polee mbowe anatakiwa abadilike chama siyo chake peke yake achie na vijana hicho ni chama au kikundi cha vikoba kaisha huyo

  • @martintv9696
    @martintv9696 Жыл бұрын

    Miss you banduka

  • @nimlambangu2771
    @nimlambangu2771 Жыл бұрын

    Mbona mnajadili hoja nyepesi sana, Siku zote vyama vunavyojijenga vinahitaji sana watu wanao wanajitoa kwa dhati ya moyo wao katika kusimamia jambo lao, Mbowe kuwa M/kiti au kuendelea kuwa m/kiti Wala sioni tatizo, rejeeni vyama vyote vilivyo kuwa vinapigana kuongoza serikali havikuwa na shaka yeyote inapoonekana Kuna shoka linaweza kufanya kazi Barbara.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Жыл бұрын

    Hivi vyama vinamisukosuko sana na polisi, CCM, Na dola kwa ujumla. Nyerere alikaa muda gani jamani. Vyama vyenyewe havijalalamika mbona hamoni maovu ya CCM ?

  • @martinisadru9899
    @martinisadru9899 Жыл бұрын

    Kama mtu ana ng'ang'ania nafasi ya wenyekiti! Miaka yoote yeye tu, ukimpa uraisi hawezi kuachia nafasi Kwa wengine, na atauwa wengi Kwa kutetea nafasi yake, ccm ndo chama pekee chenye sera kabambe, mipango ya kupokezana madaraka bila ugomvi, hivo kinafaa kuongoza Dora, hivyo vyama vingine ni mapanya road hao.

  • @fahamnitwahir9249

    @fahamnitwahir9249

    Жыл бұрын

    Kupokezana madaraka? Mbona hawakubali Kupokezana madaraka pindi wakishindwa kwenye uchaguzi?

  • @laumlimbila4337

    @laumlimbila4337

    Жыл бұрын

    Kupokezana kivipi cjakuelewa tatizo cio uenyekiti tatizo ni wanatengezwa kwenda kuvuruga

  • @hezronmangulamangula9718
    @hezronmangulamangula9718 Жыл бұрын

    Mzee mangula

  • @davidkihiga3531
    @davidkihiga3531 Жыл бұрын

    Mzee hajasoma ilani. Vyama vingine

  • @peterkilasara4828

    @peterkilasara4828

    Жыл бұрын

    Nakuelewa…. Siasa ni kama dini …. Wengine wasubiri. Umri siyo hoja…imani ni mtu.

  • @peterkilasara4828

    @peterkilasara4828

    Жыл бұрын

    Sina chama namkubali anayesiasa vizuri. Kwa neno lake juu ya vyama vingine amenikwaza. Ila namheshimu sana. Akibarikiwa umri asizungumze zaidi katika siasa…. Awaachie vijana.

Келесі