MZEE MANGULA: NILIJUA MAPEMA/ SIKUMUOGOPA/NILIRUDI SHAMBA KULIMA
--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media
Пікірлер: 56
Mzee mangula nakupenda sana zaid ya sanaaa.
Mzee Mangula Ubarikiwe Ulifanya Kazi Kwa Uadilifu Katika Kukijenga Chama Ubarikiwe Sana Mzee Wa Mafaili
Nampenda sana huyu Mzee.
Mangulaa kuaa ccm nizambi kwa mungu na mungu kakuokoaa nizambi ya kuaa li ccm emeni
Hongera sana mzee napenda ningekuwa kwenye mfumo nami niwe kama wewe ila haiwezekani màana chama kina wenyewe
Aiseee huyu mzee yupo vzur, mzee wangu wew ni kiongozi. ♥.
Mzee mangula ni mtu mzuri sana mungu ambariki sanaaaa huyo ndiyo anaejua siasa hao wengine waliochukua nafasi yake mmmmmmmmmm yetu macho tunachoomba amani tu Tanzania
@abdulrahmanmwadini5925
Жыл бұрын
Huyo unaemponda umesahau au hujui kama ndio aliezunguka Tz mzima kufufua chama?,
@saimonijonas1471
Жыл бұрын
Kwani chama kilikuwa kimekufa? Wakati kinakufa yeye alikuwa wapi? Si alikuwa ndani ya chama naalikuwa kiongozi mwandamizi? Chama hakijawahi kufa kabisa na hakitakuja kufa.
Moja ya Wazee ninao waelewa ni Mzee Mangula..huwa ni Muelewa na Msikivu
Content makini sana, naanza kuifuatilia hii chanel
Shukrani kutambua kuna umri wa mapunziko wengine hawalijui huo ni moyo mzuri
mtangazaji umempa sana Mzee Mangula mianya CCM haishindi tena uchaguzi Tanzania bali ni kutumia nguvu za dola kubakia madarakani kasema hayo Katibu Mkuu wao Dr.Bashiru
@wechemakambo2182
Жыл бұрын
Rudia kusikiliza alichosema DkBashiru juu ya kutumia kukaa madarakani,usibebe upotofu uliotolewa na Wahuni....Alisema Dola kwa maana ya vyombo Mahakama,Polisi n.k...kuvisimamia vifanye kazi zao kwa kuwasaidia wananchi nao wataona kuwa wanasaidiwa kupata haki zao na huduma hivyo Watakipa ridhaa ya kubaki madarakani...Wahuni walikamata maneno ya mwanzo na kuacha habari nzima ya DrBashiru...itafute taarifa nzima ipo humu KZread.
Mwandishi alipaswa kufanya homework yake vizuri kabla ya kumhoji Mzee Mangula. Anaeleza kuwa mwaka 2006 aliamua kwa hiari kupumzika. Lakin akiwa kijijin kwake, aligombea uenyekiti wa CCM Mkoa, nadhan ilikuwa 2007, akashindwa vibaya sana. Alipaswa kumuuliza kwann aligombea uongozi wa mkoa, wakat alikuwa Katibu Mkuu CCM? Kulikuwa na tetesi zilizopelekea akarudi kijijin. Alipaswa kuuliza maswali ktk maeneo hayo ya tetesi.
Ndg mtangazaji kuna tetesi nimewahi kuzisikia kwamba mzee Mangula aliwahi kuwa mshauri wa chama cha A.N.C pale a/kusini kati ya mwaka 2006 hadi 2012, nilitegemea swali hili litaulizwa na kujibiwa hapa..
Rais wa mchogo na Genge lake wanatumaliza watanzania bara,Rip JPM
Hua nakukur broo uko makin sana
Mhh sawa
Mungu akutunze mtani wangu
Alikimbia genge la wauwaji.Baada ya kulishwa sumu akaponea chupuchupu.
Duuuh nchi hii ni hatari sana
Huyu mzee mangula alikuwa ameendana na magufuli Safi Sana, anamsimamo Sana kwa kile anachokiamini .
Demokrasia ya chadema ni feki. . Tangu Kimeanzaza hakuna uchaguzi wa kiongozi wa chama. Ni wale wale. Na wanaimba demokrasia
Ila nchi ngumu sana hii kuja siku tutaamka asubuhi tusiikute nyie
Mzee mangula
Mzee hajasoma ilani. Vyama vingine
@margarethpolepole7438
Жыл бұрын
David huyo ndiyo mzee anaejua siasa tokea enzi ya mwalimu nyerere
CCCMM ni chama cha wahuni
@margarethpolepole7438
Жыл бұрын
Julius jovin wewe ndiyo muhuni
@ndogoroedson199
Жыл бұрын
Wahuni wengi wako usukuleni huko chambowe! Mmojawapo ni ww
Badala ya kuilizia mafanikio ya utendaji kipindi cha utumishi wake, wewe unataka kusikia kuhusu minong'ono ?
Ccm yenyewe wamejaa wahuni tu
@margarethpolepole7438
Жыл бұрын
Adamu fundikira wewe ndiyo muhuni kabisa anzisha chama chako cha kushindana na ccm uchukue dola nyau wee
Magufuli hakuwa anakijua chama?
Mzee Mangula uliwahi kugombea uenyekiti was ccm mkoa, ukakosa, na ulilalamika sana.
@jonathanmwakabuku4714
Жыл бұрын
So what? Kwani kuna mtu kwenye chama wa juu ambaye hajawahi kugombea na kukosa?
Naswa
VIONGOZI wa maana ndani ya CCM hakuna tena. Tumebakia na wahuni, waliobakia ni wahuni na wanao fikilia Tanzania ni Mali yako binafsi.
mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe !! Chadema ni tishio .. vyama vingine mf. tadea Demokrasia makini , tlp, dp nk. vina wenyeviti pia ila haviinyimi ccm usingizi kama ilivyo kwa Chadema.
@davidcurtis175
Жыл бұрын
Huo mrazamo wakoni mihemko tu, bado sojaona chama tishio tTanzania unataliwa ujiulize imeluwaje wabunge 19 kwa wakati mmoja kutofaitiana na chama? Jinu ni rahusi sana ni dictatorship
@sonnyr1899
Жыл бұрын
😂
Mzee mangula umesema kweli chama gani mwenyekiti huyo huyo kila siku wamemchoka kabisa wanachama wenzie huko mitaani mbowe njoo usikie ya mitaani
@flavianwilliams2888
Жыл бұрын
Wivu
@margarethpolepole7438
Жыл бұрын
Flsvian polee mbowe anatakiwa abadilike chama siyo chake peke yake achie na vijana hicho ni chama au kikundi cha vikoba kaisha huyo
Miss you banduka
Mbona mnajadili hoja nyepesi sana, Siku zote vyama vunavyojijenga vinahitaji sana watu wanao wanajitoa kwa dhati ya moyo wao katika kusimamia jambo lao, Mbowe kuwa M/kiti au kuendelea kuwa m/kiti Wala sioni tatizo, rejeeni vyama vyote vilivyo kuwa vinapigana kuongoza serikali havikuwa na shaka yeyote inapoonekana Kuna shoka linaweza kufanya kazi Barbara.
Hivi vyama vinamisukosuko sana na polisi, CCM, Na dola kwa ujumla. Nyerere alikaa muda gani jamani. Vyama vyenyewe havijalalamika mbona hamoni maovu ya CCM ?
Kama mtu ana ng'ang'ania nafasi ya wenyekiti! Miaka yoote yeye tu, ukimpa uraisi hawezi kuachia nafasi Kwa wengine, na atauwa wengi Kwa kutetea nafasi yake, ccm ndo chama pekee chenye sera kabambe, mipango ya kupokezana madaraka bila ugomvi, hivo kinafaa kuongoza Dora, hivyo vyama vingine ni mapanya road hao.
@fahamnitwahir9249
Жыл бұрын
Kupokezana madaraka? Mbona hawakubali Kupokezana madaraka pindi wakishindwa kwenye uchaguzi?
@laumlimbila4337
Жыл бұрын
Kupokezana kivipi cjakuelewa tatizo cio uenyekiti tatizo ni wanatengezwa kwenda kuvuruga
Mzee mangula
Mzee hajasoma ilani. Vyama vingine
@peterkilasara4828
Жыл бұрын
Nakuelewa…. Siasa ni kama dini …. Wengine wasubiri. Umri siyo hoja…imani ni mtu.
@peterkilasara4828
Жыл бұрын
Sina chama namkubali anayesiasa vizuri. Kwa neno lake juu ya vyama vingine amenikwaza. Ila namheshimu sana. Akibarikiwa umri asizungumze zaidi katika siasa…. Awaachie vijana.