IJUE HISTORIA ya JIJI LA DAR ES SALAAM, IKULU ya MAGOGONI na CHAMWINO! WAZEE WASIMULIA kwa KINA!
IJUE HISTORIA ya JIJI LA DAR ES SALAAM, IKULU ya MAGOGONI na CHAMWINO! WAZEE WASIMULIA kwa KINA!
HII ni makala maalum ya historia ya Ikulu ya Dar es saalam na Chamwino...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Пікірлер: 52
BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...
Yes
Huyo Zuhura cjui hajui kwamba hapa duniani c kwetu! Tupo safarini tu!! Tujitahidi kutenda haki kwa kila mmoja!!!
❤️❤️❤️😍
Kwahio ikulu ya Dar bandari ya dar imejengwa na mtawala wa Zanzibar 😊
@rayisadesigns2646
27 күн бұрын
HUO NI UTHIBITISHO KUWA ZANZIBAR NA TANGANYIKA ILIKUWA MOJA, LEO TUNABAGUANA KWA SABABU YA MIPAKA TULIYOWEKEWA NA WAZUNGU.
Waarabu Waingie Tu;Lakini Iko Siku!!!!!!!
Jamani ndugu zangu kuna mtu anaijuwa email ya Bi Zuhura wa BBC nitashukuru sana manake nasikiya bado yupo single kama ni kweli yupo single nataka kupeleka posa kumchumbiya
@yusufuheri6524
Жыл бұрын
Kesha olewa so tuliza mshono
Haya mali ya waisilamu irudi kwa wenyewe wajerumani wahuni waliwadanganya watu
8:54
😅
Uache uchawa wakati huo rais alikuwa mmoja tu naye Magu Sasa ya mama yameingiaje
Kwa Nini Sasa???????
Mali za waislamu zirudishwe
Kabla ya ushomvi kulikuwa na kabila ushomvi baada uhamiaj wa kabila mbili wabarawa na wazaramo ndio ukazaliwa ushomvi lkn kabla wabarawa kulikuwa na kabila likiitwa wamwambao
@user-um8xn4ge4i
3 ай бұрын
Shomvi na pazi ndio walioanzshisha mji waliuita mzizima kwa kizaramo mji wenye afya
@user-um8xn4ge4i
3 ай бұрын
Hakukua na kabila la ushomvi kk, shomvi na pazi walikuwa wakuu wa makabila y kizaramo na kikwelie basi, na hao shomvi na pazi ndio waliingiza choo cha kike wazaramo na wakwele kwa kuwapokea waarabu na kuukubali uislamu pia, wazaramo ndio waliowaonyesha njia waarabu kuingia bara hii ndio sababu wasukuma na wanyamwezi watani wa wazaramo
@MilloWamilonga-ft8ir
Ай бұрын
@@user-um8xn4ge4iAcha uongo mpumbavu wewe, tulia na usikilize history ya ukweli.
@rayisadesigns2646
27 күн бұрын
@@user-um8xn4ge4iacha uongo na nyinyi kuukubali mfumo wa dini inayotambua ushoga na ndoa za jinsia moja kawaingiza nani cha kike?!
Hivi kumtaja Magufuli kuwa mjenzi wa Ikulu mpya shida ninini? Zuhura huyo tangu BBC
@smartmusic9893
Жыл бұрын
Hii ndiyo Tanzania 🎉
@hamadsheni8997
Жыл бұрын
Watu wote wanajua shda nini sasa.
@walidmgonja3644
Жыл бұрын
Hujakatazwa kumtaja wewe Unaweza kumtaja asubuhi mchana na jioni ruksa
@yusufudongote6440
Жыл бұрын
Magufuri kumamake tu
@sultansallah8772
Жыл бұрын
Mbona hamukumtaja kikwete kama kajenga daraja la kigambon na barbara za kuunganisha mikoa
Sasa Washomvi walikuja tu na hawakukuta wenyeji? Kwanini historia ya mwafika ianzie pale wageni walipofika. Acha zako....
@rayisadesigns2646
27 күн бұрын
Walichanganyikana na wenyeji wa pwani na wao baada ya kuoleana nao na kuishi hapa pamoja nao kwa karne kadhaa wakawa sehemu ya jamii hiyo. Hawa wote kwa sasa ni sehemu ya wazaramo.
Zuhura acha roho mbaya kwa Magufuli yaani unafahamika waziwazi toka ukiwa BBC
@maulidkigumi2834
Жыл бұрын
Acha ukafiri wa kijinga huo
@MilloWamilonga-ft8ir
Ай бұрын
Wewe ndio unaongea utumbo gani?
kama ikulu ni jasho na nguvu ya waislamu na ilikua ni kituo chao cha DINI mpaka pale wakoloni wa kijerumani walivyoliteka na SASA wameshapata jengo mbadala DODOMA ni wakati mwafaka kulirejesha kwa WAISLAMU MALI YAO...FAIR DEAL
@fadhilisecha4268
Жыл бұрын
Udini
@lulanjamd3886
Жыл бұрын
Yani waislam Kwa udini hadi wanakela 😂😂😂
@sumayasumaya6455
Жыл бұрын
Inawauma sana, ni haki yao waislam si udini.., futa basi anachoongea huyu mzee, au aje mwingine akanushe
@mohamedsaid2882
Жыл бұрын
Jamaa amechanganyikiwa huyu
@hamynas
Жыл бұрын
@@fadhilisecha4268 ukidai haki unakua mdini? pumbavu saana