IJUE HISTORIA ya JIJI LA DAR ES SALAAM, IKULU ya MAGOGONI na CHAMWINO! WAZEE WASIMULIA kwa KINA!

IJUE HISTORIA ya JIJI LA DAR ES SALAAM, IKULU ya MAGOGONI na CHAMWINO! WAZEE WASIMULIA kwa KINA!
HII ni makala maalum ya historia ya Ikulu ya Dar es saalam na Chamwino...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 52

  • @globaltv_online
    @globaltv_online Жыл бұрын

    BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...

  • @user-wk4rc6cb4i
    @user-wk4rc6cb4i10 ай бұрын

    Yes

  • @juliusakilimali9424
    @juliusakilimali9424Ай бұрын

    Huyo Zuhura cjui hajui kwamba hapa duniani c kwetu! Tupo safarini tu!! Tujitahidi kutenda haki kwa kila mmoja!!!

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Жыл бұрын

    ❤️❤️❤️😍

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibuАй бұрын

    Kwahio ikulu ya Dar bandari ya dar imejengwa na mtawala wa Zanzibar 😊

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    27 күн бұрын

    HUO NI UTHIBITISHO KUWA ZANZIBAR NA TANGANYIKA ILIKUWA MOJA, LEO TUNABAGUANA KWA SABABU YA MIPAKA TULIYOWEKEWA NA WAZUNGU.

  • @usafiaps318
    @usafiaps3183 ай бұрын

    Waarabu Waingie Tu;Lakini Iko Siku!!!!!!!

  • @abdallahalbakri2561
    @abdallahalbakri2561 Жыл бұрын

    Jamani ndugu zangu kuna mtu anaijuwa email ya Bi Zuhura wa BBC nitashukuru sana manake nasikiya bado yupo single kama ni kweli yupo single nataka kupeleka posa kumchumbiya

  • @yusufuheri6524

    @yusufuheri6524

    Жыл бұрын

    Kesha olewa so tuliza mshono

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw19 күн бұрын

    Haya mali ya waisilamu irudi kwa wenyewe wajerumani wahuni waliwadanganya watu

  • @yusuphmtipa1478
    @yusuphmtipa14782 ай бұрын

    8:54

  • @GeorgeNkhambi-gp6hh
    @GeorgeNkhambi-gp6hhАй бұрын

    😅

  • @joachimkalungwana8654
    @joachimkalungwana86543 ай бұрын

    Uache uchawa wakati huo rais alikuwa mmoja tu naye Magu Sasa ya mama yameingiaje

  • @usafiaps318
    @usafiaps3183 ай бұрын

    Kwa Nini Sasa???????

  • @hamisimuhammad3656
    @hamisimuhammad36563 ай бұрын

    Mali za waislamu zirudishwe

  • @alalawiymuhammad446
    @alalawiymuhammad446 Жыл бұрын

    Kabla ya ushomvi kulikuwa na kabila ushomvi baada uhamiaj wa kabila mbili wabarawa na wazaramo ndio ukazaliwa ushomvi lkn kabla wabarawa kulikuwa na kabila likiitwa wamwambao

  • @user-um8xn4ge4i

    @user-um8xn4ge4i

    3 ай бұрын

    Shomvi na pazi ndio walioanzshisha mji waliuita mzizima kwa kizaramo mji wenye afya

  • @user-um8xn4ge4i

    @user-um8xn4ge4i

    3 ай бұрын

    Hakukua na kabila la ushomvi kk, shomvi na pazi walikuwa wakuu wa makabila y kizaramo na kikwelie basi, na hao shomvi na pazi ndio waliingiza choo cha kike wazaramo na wakwele kwa kuwapokea waarabu na kuukubali uislamu pia, wazaramo ndio waliowaonyesha njia waarabu kuingia bara hii ndio sababu wasukuma na wanyamwezi watani wa wazaramo

  • @MilloWamilonga-ft8ir

    @MilloWamilonga-ft8ir

    Ай бұрын

    ​@@user-um8xn4ge4iAcha uongo mpumbavu wewe, tulia na usikilize history ya ukweli.

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    27 күн бұрын

    ​@@user-um8xn4ge4iacha uongo na nyinyi kuukubali mfumo wa dini inayotambua ushoga na ndoa za jinsia moja kawaingiza nani cha kike?!

  • @ramdanmbara8500
    @ramdanmbara8500 Жыл бұрын

    Hivi kumtaja Magufuli kuwa mjenzi wa Ikulu mpya shida ninini? Zuhura huyo tangu BBC

  • @smartmusic9893

    @smartmusic9893

    Жыл бұрын

    Hii ndiyo Tanzania 🎉

  • @hamadsheni8997

    @hamadsheni8997

    Жыл бұрын

    Watu wote wanajua shda nini sasa.

  • @walidmgonja3644

    @walidmgonja3644

    Жыл бұрын

    Hujakatazwa kumtaja wewe Unaweza kumtaja asubuhi mchana na jioni ruksa

  • @yusufudongote6440

    @yusufudongote6440

    Жыл бұрын

    Magufuri kumamake tu

  • @sultansallah8772

    @sultansallah8772

    Жыл бұрын

    Mbona hamukumtaja kikwete kama kajenga daraja la kigambon na barbara za kuunganisha mikoa

  • @helper1099
    @helper10992 ай бұрын

    Sasa Washomvi walikuja tu na hawakukuta wenyeji? Kwanini historia ya mwafika ianzie pale wageni walipofika. Acha zako....

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    27 күн бұрын

    Walichanganyikana na wenyeji wa pwani na wao baada ya kuoleana nao na kuishi hapa pamoja nao kwa karne kadhaa wakawa sehemu ya jamii hiyo. Hawa wote kwa sasa ni sehemu ya wazaramo.

  • @mhagamachas8974
    @mhagamachas8974 Жыл бұрын

    Zuhura acha roho mbaya kwa Magufuli yaani unafahamika waziwazi toka ukiwa BBC

  • @maulidkigumi2834

    @maulidkigumi2834

    Жыл бұрын

    Acha ukafiri wa kijinga huo

  • @MilloWamilonga-ft8ir

    @MilloWamilonga-ft8ir

    Ай бұрын

    Wewe ndio unaongea utumbo gani?

  • @hamynas
    @hamynas Жыл бұрын

    kama ikulu ni jasho na nguvu ya waislamu na ilikua ni kituo chao cha DINI mpaka pale wakoloni wa kijerumani walivyoliteka na SASA wameshapata jengo mbadala DODOMA ni wakati mwafaka kulirejesha kwa WAISLAMU MALI YAO...FAIR DEAL

  • @fadhilisecha4268

    @fadhilisecha4268

    Жыл бұрын

    Udini

  • @lulanjamd3886

    @lulanjamd3886

    Жыл бұрын

    Yani waislam Kwa udini hadi wanakela 😂😂😂

  • @sumayasumaya6455

    @sumayasumaya6455

    Жыл бұрын

    Inawauma sana, ni haki yao waislam si udini.., futa basi anachoongea huyu mzee, au aje mwingine akanushe

  • @mohamedsaid2882

    @mohamedsaid2882

    Жыл бұрын

    Jamaa amechanganyikiwa huyu

  • @hamynas

    @hamynas

    Жыл бұрын

    @@fadhilisecha4268 ukidai haki unakua mdini? pumbavu saana

Келесі