Zifahamu alama kuu zinazolitambulisha jiji la Dar es Salaam. Jiji hili ni kitovu cha biashara nchini Tanzania
Жүктеу.....
Пікірлер: 73
@andymedina33582 жыл бұрын
Hi Margareth thank you for your video I was in Dar from1999 till 2006 and back on 2012. I luv Dar so much as well as the people😍😍😍😍😍 I'll be back next year to visit my son
@historicallyfeatured45563 жыл бұрын
Too much love from 🇺🇬🇺🇬🇺🇬 ur neighbour
@sashoright8213
2 жыл бұрын
We love Kenya too😍😍
@SiyanAbdallah
Жыл бұрын
😂😂
@abrahamsnoopdog59293 жыл бұрын
Mtangazaji upo vizuri Sana 👍🇹🇿🇿🇦
@HassanAli-kq4sp3 жыл бұрын
Asante sana Mag, nimefurahi kuliona jiji langu la Dar ilivyobadilika.
@ameedamilja79923 жыл бұрын
Nice! Sasa kazi ni ku focus na landscaping kwani ni muhimu kupendezesha jiji/city. Gardens za kijani na uoto wa asili uliohifadiwa vizuri utapendezesha jiji zaid.
Nice video. Absolutely well presented and prepared. Thank you
@KhalidKhan-ud9cz10 ай бұрын
Wow umependeza Sana kweli 💖💕💖
@Sangaadam2 жыл бұрын
Mgeweka subtitle ya kiingereza kwa faida ya watu wote ambao wangependa kuifahamu kiundani DAR (especially Watalii, Diaspora, foreigners)
@sumakitogo25933 жыл бұрын
Mmesahau hata soko la kariakoo
@sumatanjunior2313 жыл бұрын
This city needs a class on how to do landscaping.
@vivensmanirarora5813 Жыл бұрын
Dar pazuli sana
@modestwenceslaus92 жыл бұрын
Tunapoongerea maendeleo ya nchi yetu ya Tanzania haimaanishi tunashindana na majirani zetu bili tushirikiane nao katika kuleta maendeleo.
@ELLYJ24
Жыл бұрын
Umeongea kitu cha maana kwl
@KhalidKhan-ud9cz10 ай бұрын
Tanzania mzuri Sana 💝💖
@josephstephen20473 жыл бұрын
Nice content, i subscribed ur channel
@stellanyamuhogota18322 жыл бұрын
♥️my beautiful land💪🔥
@Project1986p3 жыл бұрын
My city🇹🇿😍
@muddymkamba3523 жыл бұрын
Nice sana
@sashoright82132 жыл бұрын
Daraja la sarender bridge, kariakoo na vingi vingne
@petromusatwe2013 жыл бұрын
Nice
@michaelrweyemamu10683 жыл бұрын
Great
@benjaminmushi99942 жыл бұрын
Dada una vifuu vya ukwel dar es salaai
@abelmbaga54073 жыл бұрын
A piece of entertainment while learning.
@adamkapolo8817 Жыл бұрын
Mlimani city vipi na Tanzanite bridge
@goodluckmachangu59413 жыл бұрын
Tzd bado tuko nyuma sana hususan barabara za kisasa kwenye majiji yetu. Wenzetu wa Nairobi Kenya fly overs na footbridge kwao zimejaa za kutosha na bado wanajenga nyingine nyingi.
@TheMandela21
3 жыл бұрын
Wewe mkenya acha propaganda za Kjinga mimi ninaishi Nairobi na hakuna maajabu yeyote na ninakaa upper hill karibu na Town Lodge Hotel au ubalozi wa Israel... wana barabara mbovu na changamoto za foleni kama nchi nyingine inayoendelea
@Mpakauseme
3 жыл бұрын
Nafikiri wataendela kujenga taratibu taratibu
@allymngwaya1369
3 жыл бұрын
Kama unafahami historia ya jiji la Dar usingelaumu. Dar imeanza kujengwa 2000's wakati Nairobi imejengwa tangu 70's. Kwa spidi ya jiji la Dar kwa miaka 10 iliyopita ni jambo kubwa sana.
@rayisadesigns2646
3 жыл бұрын
GOODLUCK MACHUNGU Kwa taarifa yako hivyo ni vijipande vichache sana alivyovioonesha, kwa Dar es Salaam hapo ni sawa na hakuonesha chochote. Kuna sehemu nyingi sana hakuonesha, kuna barabara za mwendo kasi za mabasi ya kisasa kabisa yanayokufanya ufike kwa haraka katikati ya jiji, vilevile kuna jengo lenye mvuto wa kipekee la ikulu ya Magogoni ambalo ndilo lilozaa jina la Dar es Salaam, fukwe za bahari na visiwa vidogo vidogo vya kitalii vinavyopatikana kando kando ya pwani ya Dar es Salaam pamoja na hoteli zake za kisasa kabisa, pia kuna majengo makali yanayozidi kujengwa Dar es Salaam pita ukanda wa daraja jipya la Salenda linalojengwa ndani ya bahari ya Hindi, angaza kwa kutokea sehemu za Ubalozi usawa wa maeneo ya Kinondoni Moroko na Viktoria, Kijtonyama Makumbusho, mpaka Mwenge sikwambii hizo barabara zinazojengwa mitaani na katika ukanda huo achilia mbali zile za njia nane kutokea Ubungo kuelekea usawa wa Mbezi hapo bado hajaonesha barabara za juu za treni za umeme. Hizo flyovers na footbridge zako Dar es Salaam sio ngeni kuna Mfugale pale Tazara na nyengine za kumwaga zinajengwa, kuna ma malls ya kufa mtu kaangalie pale Mlimani city, City Mall, Aura Mall, Kacheki zile terminals za kisasa za uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere Terminal 3 na ile stendi kuu ya mabasi ya mikoani pale Mbezi (Magufuli Bus Terminal) stendi ambayo haipo sehemu yoyote ktk ukanda huu wa Afrika Mashariki na Kati, hiyo nimekupa kwa uchache tu kuna sehemu nyengine nyingi ambazo sio rahisi kuziorodhesha na kuzielezea zote!! Dar es Salaam sasa hivi ni Fire!!
@rayisadesigns2646
3 жыл бұрын
@@Mpakauseme hamna kitu hawa jirani zetu kila kitu wao wanabeza, hawataki kuukubali ukweli Dar sasa ni ya moto na inajengwa kwa kasi kuliko majiji yote ya Afrika Mashariki, wakati sisi tuna mwendo kasi na treni za umeme zinakuja wao wameletewa za mfuta, hiyo inawauma sana.
@edenusmrosso92253 жыл бұрын
Sijafurahi, essential land mark za dar hujaziweka, mfano uoumbi wa Nkuruma udsm, St. Joseph cathedral, Azania, Karimjee kwa uchache
@filamupictures9349
2 жыл бұрын
Hizo ni landmark za zamani sana, katika zote ulizotaja ni hilo kanisa la st Joseph tu ndio linajulikana jiji na tanzania kwa ujumla, ila zilizooneshwa katika hii video ndio maarufu zaidi siku hizi hata mtu ambaye hajafika dar ukimuonesha picha anazifahamu
@theodoltheophil78582 жыл бұрын
Tanzania
@aliciafields-worldtravelle82483 жыл бұрын
Wewe dada eti barabara yenye mvuto zaidi Afrika mashariki🤣🤣🤣 barabara za Kenya ziko ligi ya juu my friend..Thika super highway is a marvel, Nairobi expressway inakamilishwa mwaka huu.
@natureworld295
3 жыл бұрын
There is a 2km bridge at outering road . then we have an interchange at changamwe mombasa
@yusrababuu
3 жыл бұрын
Kila inapozungumziwa TZ lzm majirani mmpayukwe hebu kuweni km Waganda wako cool
@reubenchalle1577
3 жыл бұрын
Yani wakenya mmeshaharibiwa na wazungu, wamewajengea roho za chuki na ubinafsi dhidi ya ndugu zenu na kuwafanya mujione wajanja zaidi kuliko nchi nyingine za Africa Mashariki. Nawapenda sana waganda, wao ndio ndugu zetu wa kweli kwani katika kila hatua tunayopiga hutuunga mkono na kutupongeza, ila nyie kila siku kazi ni kuponda na kudharau vya kwetu sijui mkoje😠😠😠😠
@rygeemabdul7044
2 жыл бұрын
Barabara zenye mvuto Zaid Africa mashariki is an exaggeration thou ziko poa. Tembea Africa mashariki uone barabara
@gracejulius3966
2 жыл бұрын
Wazee wa Sukuma wiki kila kitu Cha Tz wao ni kupinga tu. Shida ni kwamba wanajiona bora kuliko Wengine Afrika Mashariki na Kati wakati sio.
@josephstephen20473 жыл бұрын
Margareth nimekupenda bure
@juniorlimbanga5173 жыл бұрын
Taa zilikuwa zamani hapo darajani, now hakuna tena taa
@theodoltheophil7858
2 жыл бұрын
Duh kumbe hakuna tena taa, sasa hao wanaotoza hela kwanini hawafanyi ukarabati?
@shinipapaya846
2 жыл бұрын
Acha uongo kuma we
@natureworld2953 жыл бұрын
Barabara ndio hamna . muache siasa mjenge nchi
@yusrababuu
3 жыл бұрын
Tanzania tunaijenga wenyewe bila mkoloni wala mkopo wachina 😀😀🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@natureworld295
3 жыл бұрын
@@yusrababuu standard chattered bank ni ya nchi gani ?
@yusrababuu
3 жыл бұрын
@@natureworld295 Wakenya mnapenda kufatilia mambo ya TZ ,hebu nenda kale githeri huko achana na Bongo land yetu🙄
Пікірлер: 73
Hi Margareth thank you for your video I was in Dar from1999 till 2006 and back on 2012. I luv Dar so much as well as the people😍😍😍😍😍 I'll be back next year to visit my son
Too much love from 🇺🇬🇺🇬🇺🇬 ur neighbour
@sashoright8213
2 жыл бұрын
We love Kenya too😍😍
@SiyanAbdallah
Жыл бұрын
😂😂
Mtangazaji upo vizuri Sana 👍🇹🇿🇿🇦
Asante sana Mag, nimefurahi kuliona jiji langu la Dar ilivyobadilika.
Nice! Sasa kazi ni ku focus na landscaping kwani ni muhimu kupendezesha jiji/city. Gardens za kijani na uoto wa asili uliohifadiwa vizuri utapendezesha jiji zaid.
mimi..ni..mdau..wa..safari.chaneli...napenda.sana..kuunganishwa.na..chaneli..hi.mojakwamoja..kwenye.chaneli.hii.kuipata.mubashara..television..ya.safari.chaneli...naipendasana....kuifuatilia...hashim......marafya....tudumishe..amani.yetu.watanzania
Nice video. Absolutely well presented and prepared. Thank you
Wow umependeza Sana kweli 💖💕💖
Mgeweka subtitle ya kiingereza kwa faida ya watu wote ambao wangependa kuifahamu kiundani DAR (especially Watalii, Diaspora, foreigners)
Mmesahau hata soko la kariakoo
This city needs a class on how to do landscaping.
Dar pazuli sana
Tunapoongerea maendeleo ya nchi yetu ya Tanzania haimaanishi tunashindana na majirani zetu bili tushirikiane nao katika kuleta maendeleo.
@ELLYJ24
Жыл бұрын
Umeongea kitu cha maana kwl
Tanzania mzuri Sana 💝💖
Nice content, i subscribed ur channel
♥️my beautiful land💪🔥
My city🇹🇿😍
Nice sana
Daraja la sarender bridge, kariakoo na vingi vingne
Nice
Great
Dada una vifuu vya ukwel dar es salaai
A piece of entertainment while learning.
Mlimani city vipi na Tanzanite bridge
Tzd bado tuko nyuma sana hususan barabara za kisasa kwenye majiji yetu. Wenzetu wa Nairobi Kenya fly overs na footbridge kwao zimejaa za kutosha na bado wanajenga nyingine nyingi.
@TheMandela21
3 жыл бұрын
Wewe mkenya acha propaganda za Kjinga mimi ninaishi Nairobi na hakuna maajabu yeyote na ninakaa upper hill karibu na Town Lodge Hotel au ubalozi wa Israel... wana barabara mbovu na changamoto za foleni kama nchi nyingine inayoendelea
@Mpakauseme
3 жыл бұрын
Nafikiri wataendela kujenga taratibu taratibu
@allymngwaya1369
3 жыл бұрын
Kama unafahami historia ya jiji la Dar usingelaumu. Dar imeanza kujengwa 2000's wakati Nairobi imejengwa tangu 70's. Kwa spidi ya jiji la Dar kwa miaka 10 iliyopita ni jambo kubwa sana.
@rayisadesigns2646
3 жыл бұрын
GOODLUCK MACHUNGU Kwa taarifa yako hivyo ni vijipande vichache sana alivyovioonesha, kwa Dar es Salaam hapo ni sawa na hakuonesha chochote. Kuna sehemu nyingi sana hakuonesha, kuna barabara za mwendo kasi za mabasi ya kisasa kabisa yanayokufanya ufike kwa haraka katikati ya jiji, vilevile kuna jengo lenye mvuto wa kipekee la ikulu ya Magogoni ambalo ndilo lilozaa jina la Dar es Salaam, fukwe za bahari na visiwa vidogo vidogo vya kitalii vinavyopatikana kando kando ya pwani ya Dar es Salaam pamoja na hoteli zake za kisasa kabisa, pia kuna majengo makali yanayozidi kujengwa Dar es Salaam pita ukanda wa daraja jipya la Salenda linalojengwa ndani ya bahari ya Hindi, angaza kwa kutokea sehemu za Ubalozi usawa wa maeneo ya Kinondoni Moroko na Viktoria, Kijtonyama Makumbusho, mpaka Mwenge sikwambii hizo barabara zinazojengwa mitaani na katika ukanda huo achilia mbali zile za njia nane kutokea Ubungo kuelekea usawa wa Mbezi hapo bado hajaonesha barabara za juu za treni za umeme. Hizo flyovers na footbridge zako Dar es Salaam sio ngeni kuna Mfugale pale Tazara na nyengine za kumwaga zinajengwa, kuna ma malls ya kufa mtu kaangalie pale Mlimani city, City Mall, Aura Mall, Kacheki zile terminals za kisasa za uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere Terminal 3 na ile stendi kuu ya mabasi ya mikoani pale Mbezi (Magufuli Bus Terminal) stendi ambayo haipo sehemu yoyote ktk ukanda huu wa Afrika Mashariki na Kati, hiyo nimekupa kwa uchache tu kuna sehemu nyengine nyingi ambazo sio rahisi kuziorodhesha na kuzielezea zote!! Dar es Salaam sasa hivi ni Fire!!
@rayisadesigns2646
3 жыл бұрын
@@Mpakauseme hamna kitu hawa jirani zetu kila kitu wao wanabeza, hawataki kuukubali ukweli Dar sasa ni ya moto na inajengwa kwa kasi kuliko majiji yote ya Afrika Mashariki, wakati sisi tuna mwendo kasi na treni za umeme zinakuja wao wameletewa za mfuta, hiyo inawauma sana.
Sijafurahi, essential land mark za dar hujaziweka, mfano uoumbi wa Nkuruma udsm, St. Joseph cathedral, Azania, Karimjee kwa uchache
@filamupictures9349
2 жыл бұрын
Hizo ni landmark za zamani sana, katika zote ulizotaja ni hilo kanisa la st Joseph tu ndio linajulikana jiji na tanzania kwa ujumla, ila zilizooneshwa katika hii video ndio maarufu zaidi siku hizi hata mtu ambaye hajafika dar ukimuonesha picha anazifahamu
Tanzania
Wewe dada eti barabara yenye mvuto zaidi Afrika mashariki🤣🤣🤣 barabara za Kenya ziko ligi ya juu my friend..Thika super highway is a marvel, Nairobi expressway inakamilishwa mwaka huu.
@natureworld295
3 жыл бұрын
There is a 2km bridge at outering road . then we have an interchange at changamwe mombasa
@yusrababuu
3 жыл бұрын
Kila inapozungumziwa TZ lzm majirani mmpayukwe hebu kuweni km Waganda wako cool
@reubenchalle1577
3 жыл бұрын
Yani wakenya mmeshaharibiwa na wazungu, wamewajengea roho za chuki na ubinafsi dhidi ya ndugu zenu na kuwafanya mujione wajanja zaidi kuliko nchi nyingine za Africa Mashariki. Nawapenda sana waganda, wao ndio ndugu zetu wa kweli kwani katika kila hatua tunayopiga hutuunga mkono na kutupongeza, ila nyie kila siku kazi ni kuponda na kudharau vya kwetu sijui mkoje😠😠😠😠
@rygeemabdul7044
2 жыл бұрын
Barabara zenye mvuto Zaid Africa mashariki is an exaggeration thou ziko poa. Tembea Africa mashariki uone barabara
@gracejulius3966
2 жыл бұрын
Wazee wa Sukuma wiki kila kitu Cha Tz wao ni kupinga tu. Shida ni kwamba wanajiona bora kuliko Wengine Afrika Mashariki na Kati wakati sio.
Margareth nimekupenda bure
Taa zilikuwa zamani hapo darajani, now hakuna tena taa
@theodoltheophil7858
2 жыл бұрын
Duh kumbe hakuna tena taa, sasa hao wanaotoza hela kwanini hawafanyi ukarabati?
@shinipapaya846
2 жыл бұрын
Acha uongo kuma we
Barabara ndio hamna . muache siasa mjenge nchi
@yusrababuu
3 жыл бұрын
Tanzania tunaijenga wenyewe bila mkoloni wala mkopo wachina 😀😀🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@natureworld295
3 жыл бұрын
@@yusrababuu standard chattered bank ni ya nchi gani ?
@yusrababuu
3 жыл бұрын
@@natureworld295 Wakenya mnapenda kufatilia mambo ya TZ ,hebu nenda kale githeri huko achana na Bongo land yetu🙄