MZEE MAKAMBA AMCHANA DKT BASHIRU MBELE ya RAIS SAMIA, "WEWE MAGUFULI ALIKUITA JEMBE, TATIZO NINI?"

MZEE MAKAMBA AMCHANA DKT BASHIRU MBELE ya RAIS SAMIA, "WEWE MAGUFULI ALIKUITA JEMBE, TATIZO NINI?"
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 104

  • @globaltv_online
    @globaltv_online Жыл бұрын

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

  • @bahatihaerter5651
    @bahatihaerter5651 Жыл бұрын

    Kwa hiyo Mkapa na Magufuli walikua wabaya ndo maana wamekufa?damu zao zina wasumbua ndo maana mnaropoka ovyo. Nchi hii ya watu fulani,sio ya watanzania wote

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 Жыл бұрын

    Watu kama kina Bashiru,pole pole na sample zingine kama izo wasichoke kuzungumza ukwel maana mnawakumbusha majukumu yao

  • @kadaskarim5081
    @kadaskarim5081 Жыл бұрын

    Wew mzee una hof na mungu kwhy walio kufa ni wabaya au acha unafki wew

  • @frbm1729
    @frbm1729 Жыл бұрын

    Acha kufulu za kishenzi,nyerere,mkapa na magu wamekufa in maana siyo wema?

  • @bunzalisisa6929

    @bunzalisisa6929

    Жыл бұрын

    makamba kesho kufa

  • @martinkisha6307
    @martinkisha6307 Жыл бұрын

    Bashuru usirudi nyuma Hawa wametengeneza kizazi Chao kufaidika katika inchi hii

  • @richwaleolundenga8519
    @richwaleolundenga8519 Жыл бұрын

    mzee wa ovyoo huyu anatetea tu ufisadi

  • @lizybagamba2067
    @lizybagamba2067 Жыл бұрын

    Bashiru don't giveup'japo peke yetu hatutaweza...lkn M/Mungu atatutetea...songa mbele huctishwe'

  • @midundotechtz6843
    @midundotechtz6843 Жыл бұрын

    Nchi hii inaongozwa na unafk mwanzo mwisho

  • @frbm1729
    @frbm1729 Жыл бұрын

    Nchii imejaa wanafikiiii

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 Жыл бұрын

    kazi ya kunguni na chawa ni kujificha kwenye koti na kuendelea kunyonya damu ..

  • @hadijahaji9712

    @hadijahaji9712

    Жыл бұрын

    Kabisaa

  • @seifhabib5987
    @seifhabib5987 Жыл бұрын

    Wee Babu chunga kauli yako iyoo inamana Makufuli sio Mzur Unampangiya Mungu sio

  • @godfreymwamaso2424
    @godfreymwamaso2424 Жыл бұрын

    My Brother Bashiru hicho ndiyo chama chako ulichochagua vumilia hao ndiyo CCM usichoke kutoa darasa huyo Mzee Makamba hana hoja hana Capacity thinking anafikiri watanzania wa leo ni wale wa miaka 45

  • @championboy7
    @championboy7 Жыл бұрын

    U Doctor wa kuunga unga 🤣🤣🤣🤣

  • @nyerere1259
    @nyerere1259 Жыл бұрын

    MNAJAMBAJAMBA TUU KUPAMBANA NA ALIYEKUFA, NYIE HAMTAKUFA.

  • @ayubufumbuka3233
    @ayubufumbuka3233 Жыл бұрын

    Ni Jambo la mda tu ipo siku Mungu atatupatia Magufuli wa pili nchi itakuwa salama kumchafua Magufuli sawa na kuichafua Afrika nzima maana Afrika nzima ilimtaka Magufuli

  • @manish-fp1fb
    @manish-fp1fb Жыл бұрын

    Kikundi cha watu kinachokula pesa ya umma bila jasho, as simple as that

  • @frbm1729
    @frbm1729 Жыл бұрын

    Kizee Cha hovyooooo Hadi kichefuchefu.

  • @absalomnamoyo7176

    @absalomnamoyo7176

    Жыл бұрын

    Hahahaha

  • @bullekisimikwe3852
    @bullekisimikwe38523 ай бұрын

    Mzee mnafiki sana weweee

  • @sa3dasa3da87
    @sa3dasa3da87 Жыл бұрын

    Ccm tumewajua watuwenu wazuri Ila sisi wazalendo Magufuli ndo mzuri kwetu

  • @marcobulili4341
    @marcobulili4341 Жыл бұрын

    Tutaona hao wazuri kama wataishi milele! Ukitaka kuruka agana na nyonga na ukitaka kusema kitu fikiri kwanza jamii itafidika vipi na semi zako.

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 Жыл бұрын

    Kwahiyo mzee unataka kusema magufuri mmbaya ndio mana kafa? Innaalilah waina ilaih raijiun

  • @richwaleolundenga8519
    @richwaleolundenga8519 Жыл бұрын

    mbona anapiga kampeni na kujijengea mazingira

  • @Pelegrinoemanuel
    @Pelegrinoemanuel Жыл бұрын

    Pumbavu sana eti watu wazuri hawafi

  • @rabsonchisumo6640
    @rabsonchisumo6640 Жыл бұрын

    Huyu mzee nae ni chefu sana

  • @nabillkhamis8188
    @nabillkhamis8188 Жыл бұрын

    Hana tena akili uyo mchukulieni tu asha kuwa mtuzima

  • @rebeccamagita9174
    @rebeccamagita9174 Жыл бұрын

    Huna jipya mzee we tulia 2

  • @yothamgwanika9530
    @yothamgwanika9530 Жыл бұрын

    January makamba ndo naniii, mwamvuli wake ndo huu.

  • @chackym4416
    @chackym4416 Жыл бұрын

    Watu wazur hawafi?????? Dahhhhh siasa mbaya sana.

  • @paulkizushi1868
    @paulkizushi1868 Жыл бұрын

    Wasambaa bn

  • @davidpaschal778
    @davidpaschal778 Жыл бұрын

    Mzeeee kwel nakama mtoto

  • @jamessoke4454
    @jamessoke4454 Жыл бұрын

    Hii ndiyo nchi pekee yenye watu wanafiki na wabinafisi

  • @championboy7
    @championboy7 Жыл бұрын

    Ni abu kakweli anasema waziwazi kuwa ushindi n lazima

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 Жыл бұрын

    Hawa watu na genge lao ndo wanataka watutawale wao mpaka wajukuu zao ili kulinda mali zetu walizozipora mama kama anajielewa awapotezee tatizo mama anaogopa yasije mkuta kama mpendwa wetu magufuli ila Allah kamsikia makamba na atajibu very aoon

  • @shinemakenzi8101

    @shinemakenzi8101

    Жыл бұрын

    Kwa hakir yako mama is out of that gang none sense

  • @januaryjambo5064
    @januaryjambo5064 Жыл бұрын

    Wazuri hawafi? Waliokufa ote ni wabaya! Ndo maana milembe ikawekwa Dodoma naomba na Tanga waweke branch

  • @saimonseleka8792
    @saimonseleka8792 Жыл бұрын

    Ni wakati wake bashiru kukomaa ni pito la kumnowa bashiru hili litampambanuwa yeye ni nani hasa mchumia tumbo au!

  • @avelinamichaelndibayukao5656
    @avelinamichaelndibayukao5656 Жыл бұрын

    Mtu mzima ovyo

  • @lizybagamba2067
    @lizybagamba2067 Жыл бұрын

    Mzee pua yako matundu yake yameelekea Chini'Mungu huchunguza mioyo kifo chaja...

  • @joshuamatagane1318
    @joshuamatagane1318 Жыл бұрын

    Ni vema kuwa na maneno machache, kwenye maneno mengi kuna upotovu....

  • @bostonmatuid4708
    @bostonmatuid4708 Жыл бұрын

    Inchiyetu imeshahamishiwa zanzimbar munavyoivurunda itamagu yukojuuyenu

  • @PeterNMzee
    @PeterNMzee Жыл бұрын

    Huyu mzee vipi tena

  • @hadijahaji9712
    @hadijahaji9712 Жыл бұрын

    Watanzania wanamengi moyoni mwao lakini mungu ndiehakimu wahaki

  • @PeterNMzee
    @PeterNMzee Жыл бұрын

    Upuuzi mtupu

  • @petersilas4234
    @petersilas4234 Жыл бұрын

    Mzee Makamba nakushauri ustaafu siasa au uandikiwe hotuba . Hii sio mara ya pili ulimi unateleza???

  • @ayubufumbuka3233
    @ayubufumbuka3233 Жыл бұрын

    Niliiamimi sana CCM na rais wangu samia lakini hawa watu samia wanakuchongea na wananchi hawa ni maadui wa taifa ilitakiwa wazee hawa ilitakiwa uwang'oe uweke uweke damu changa

  • @annesmatemu4264
    @annesmatemu4264 Жыл бұрын

    Hovyo sana

  • @mundalikope581
    @mundalikope581 Жыл бұрын

    sawa

  • @andrewkissava9184
    @andrewkissava91844 ай бұрын

    Mzee, makamba unazeeka vibaya kwakuwa hutakimbukwa kwa lolote bali kwa mabayatu ,mzee mwinyi anasema maisha ya binadamu ni hadithi

  • @hadijahaji9712
    @hadijahaji9712 Жыл бұрын

    Tutaona mengi miikaijayo

  • @OscarBethel
    @OscarBethel3 ай бұрын

    Siunaona sasa mungu hamfichi mnafiki wanaanza kujipambanua wenyewe waliomuuwa makufuli ni wao wenyewe ndio maana wanasema watu wazuri hawafi sisi tunajuwa kizuri hakidumu wao wanageuza mada kwakuwa wanajuwa walichokifanya

  • @steventeophil7775
    @steventeophil7775 Жыл бұрын

    Huo ndo mwisho wa upeo wako

  • @mosesbarnaba7851
    @mosesbarnaba7851 Жыл бұрын

    Du! Watu wazuri hawafi du!

  • @manaseliberatus1347
    @manaseliberatus1347 Жыл бұрын

    PANGENI VIZURI, ILA PIA MUNGU ANA MPANGO KASHAPANGA

  • @veronicascottmollel7897

    @veronicascottmollel7897

    Жыл бұрын

    Kabisa mdogo wangu MUNGU yupo Ana Ona

  • @yothamgwanika9530
    @yothamgwanika9530 Жыл бұрын

    Mzee huyuu atafakari maneno yake. Waliofariki ni wabaya nyie ndo wazuri.

  • @benjamindenice53
    @benjamindenice53 Жыл бұрын

    Mzee nakuhelewa sana .

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 Жыл бұрын

    Mafisadi wote yaani mnajiona kama Nnchi ya Baba yenu 2025 umeagana na mungu utafika

  • @zumbeshauri8114

    @zumbeshauri8114

    Жыл бұрын

    Kabisa kiukweli

  • @husseinmwakajinga8019
    @husseinmwakajinga8019 Жыл бұрын

    Mtoe huyomzee makamba hana jipya zaidi kutetea ugaliwake tu

  • @thevoiceofdeliverance6061
    @thevoiceofdeliverance6061 Жыл бұрын

    Mhhhh Yaani huu mkutano Ni wa vijembe tu huoni logic.

  • @jareengeorge5478
    @jareengeorge5478 Жыл бұрын

    Mmmmmh!!!!!!!!!!!.haya.

  • @ameedamilja7992
    @ameedamilja7992 Жыл бұрын

    Mzee wa watu angeanguka akavunjika sijui mngesema nini unamwambia apige mbio mtu wa miaka 80+

  • @mahewasamwel9001
    @mahewasamwel9001 Жыл бұрын

    Kila nafsi itaionja mauti.

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa8728 Жыл бұрын

    PATACHIMBIKA NYI SUNIRINI TU, TIME WILL TELL.

  • @alirashid3239
    @alirashid32398 ай бұрын

    NJAA MBAYA

  • @Pelegrinoemanuel
    @Pelegrinoemanuel Жыл бұрын

    Mnafiki huyu mshirikina

  • @OscarBethel
    @OscarBethel3 ай бұрын

    🎉HAyo yanayofa ywa na makamba Dio yaleyale yaliokua yanafanywa na mwinyi kwaajili ya watoto wao mwinyi alifanikiwa Sasa tumwangalie Mzee mkamba jeeatafanikiwa lazima uwe chawa Ili mwanao afanikiwe

  • @farajakwilasa471
    @farajakwilasa471 Жыл бұрын

    Ameongea kinyume mzee

  • @user-rd2of7sw9b
    @user-rd2of7sw9b3 ай бұрын

    Alivo mfupi sasa 😅😅

  • @akidahamad142
    @akidahamad142 Жыл бұрын

    Ww mzee acha ujinga mbona unatapatapa ww vp kaa utulie kama ni kutuibia umesha tuibia ww vp magu alikua mbaya et daah ccm inatilisha aibu

  • @mwajumakweli
    @mwajumakweli Жыл бұрын

    Mmh

  • @saimonwatanzaniatanzania1436
    @saimonwatanzaniatanzania1436 Жыл бұрын

    Watu wazuri hawafi hata siku Moja

  • @jacobmwakisole8910
    @jacobmwakisole8910 Жыл бұрын

    Ohooo ok

  • @veronicasteven
    @veronicasteven Жыл бұрын

    Wewe hutakufa

  • @titosanga9602
    @titosanga9602 Жыл бұрын

    Mzee anapalilia sembe ya mtoto ndio mana anaongea utopolo tu, kazeeka mwili mpaka akili.

  • @hilaliusjohn8386

    @hilaliusjohn8386

    Жыл бұрын

    Mbona huyu mzee anaonge Kama nguruwe? Tutaona Kama wewe utaishi milele. Bashiru yeye ni mzarendo, mtanzania halisi mwenye uchungu na Nchi yake.

  • @rehemakayuga7051
    @rehemakayuga70512 ай бұрын

    Duh Kweli Pumzi Ni Kiburi

  • @khamismohammed1650
    @khamismohammed16503 ай бұрын

    Wazaz wake walikuwa watu wabaya

  • @ignasnyembo1256
    @ignasnyembo12563 ай бұрын

    Tunasubiri vifo vyenu. Leo mzee mwinyi kafa na yeye ni mmbaya

  • @florinjoseph2504
    @florinjoseph2504 Жыл бұрын

    wazee wa namna hii hawafahi kabisa

  • @salehjojozi9286

    @salehjojozi9286

    Жыл бұрын

    WEWE ULOSEMA NCHI IMEHAMISHIWA ZANZIBAR USHALEWA AW NDOMNAANZA FOKOFOKO ZENU NASIYO WEWE TUU UNANAWENZIYO MABUMBUMBU ANOTOWA NIMUNGU NA MAMARYU SAMIYA SULUHU M MUNGU KISHAMPA NA KWAULINZI ALOMUWEKEYA M MUNGU NDOMNA ADHIRIKA NA KUJICHOMOZA MMOJAMMOJA YARABI TUNAKUOMBA NA HAKUNA MWENGINE WAKUOMBW ISIPOKUWA WEWE MWENYEZI MUNGU UMZIDISHIYE AFYA NJEMA RAIS WETU AFYA NJEMA YEYE NAFAMILIYA YAKE NAWATANZANIYA WOTE YARABI NAKUOMBA UWENDELEE KUWAFICHUWA WALEWOTE WA NJE YASEREKALI NAWALOKUWAMO KWENYE SEREKALI WEWE NDOUTOJUWA VAKUWAFANYA NAUMLINDE MZEE WETU COMRED YUSSUF MAKAMBA KWAKILA LILILOBAYA NAUMLINDE RAIS WETU WA ZNZ DOKTA HUSEN ALI HASSAN MWINYI KWAKILA BAYA NAWAFEDHEHI WOTE KAMA ULIVOWAFEDHEHI KWA MAMAYETU SAMIYA SULUHU WANOTAKA KUMHARIBIYA KATIKA MIPANGO YAKE YA KUYJENGA ZNZ

  • @MuhammedSaleh-kf2nw
    @MuhammedSaleh-kf2nw3 ай бұрын

    Makufuri. Mzuri kwetu. Sisi wanyonge

  • @user-rd2of7sw9b
    @user-rd2of7sw9b3 ай бұрын

    Sasa uyu mzee anaongea au anachamba

  • @RobinsonKilango
    @RobinsonKilango2 ай бұрын

    Wewe mzee mnafiki uliopita kipimo nchi hii umaskini ujinga na maradhi kazi hakuna Maisha magumu hotuba yako inaangamiza nchi wizi wa kuiba kula na kutangaza aliie shindwa wewe mzee ufahamu kuwa iko siku utaripa maumivu ya watanganyika

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz51923 ай бұрын

    Yote njaa na unafik kufikia had kukufuru et et wazur hawafi bado zam yako

  • @championboy7
    @championboy7 Жыл бұрын

    Kwahy waliokufa walikuw waovu? Kwel na wapumbavu wanazeeka

  • @davidpaschal778
    @davidpaschal778 Жыл бұрын

    Hahaha uyu mzeee anajkuta naniii😅

  • @RehemaSefu
    @RehemaSefu3 ай бұрын

    Magufuli

  • @mathayomwashambwa1238
    @mathayomwashambwa1238 Жыл бұрын

    MLIKUWA WAFUU WAKATI WA DR MAGUFULI, HAKIKA MH. SAMIA AMEWAFUFUA KTK UWANJA WA SIASA...MAISHA YANABADILIKA...JE MSIBA WA SIPIRIAN MSIBA UKOJE KWA SASA? MZEE KINANA NI KIONGOZI, NAPE, JANUARY, HUUWIII...MWANAHARAKATI HURU WA RAIS MAGUFULI,

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️.

  • @lucasmugoma2870
    @lucasmugoma2870 Жыл бұрын

    Wapo kwasababu sio wazalendo ni mafisadi kama wewe

  • @reubenedward4946

    @reubenedward4946

    Жыл бұрын

    Ovyo sana

  • @jumaigoti7541
    @jumaigoti75418 ай бұрын

    Mjinga wewe

  • @feisalissa3009
    @feisalissa3009 Жыл бұрын

    Mimi nampeda sana mzee makamba , 💪💪💪💪😘😘😘😘😄🥳💉💉💉

  • @silverman6930
    @silverman6930 Жыл бұрын

    Prepare for your kids to eat ….

  • @aminakhalid300
    @aminakhalid300 Жыл бұрын

    Mamuughu kaibu kaya kwetu maa iwe, karibu sana

  • @husseinmwakajinga8019
    @husseinmwakajinga8019 Жыл бұрын

    Mtoe huyomzee makamba hana jipya zaidi kutetea ugaliwake tu

  • @anuaryamisi2031

    @anuaryamisi2031

    Жыл бұрын

    Bumbuli ni kwenu lakini hujafanya chochote

  • @anuaryamisi2031

    @anuaryamisi2031

    Жыл бұрын

    Mama samia ww ni mcha mungu na ujue ipo siku utakuwa kaburini na utaulizwa kwa yale yote uliyo yatenda mama fanya maamuzi yak kwa hofu ya mungu wala hutazikwa na makamba wala kiongozi yoyote mama chonde chote kuwa na hofu ya mungu cheo ni zamana tu

Келесі