MZEE MAKAMBA AMCHANA DKT BASHIRU MBELE ya RAIS SAMIA, "WEWE MAGUFULI ALIKUITA JEMBE, TATIZO NINI?"
MZEE MAKAMBA AMCHANA DKT BASHIRU MBELE ya RAIS SAMIA, "WEWE MAGUFULI ALIKUITA JEMBE, TATIZO NINI?"
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Пікірлер: 104
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
Kwa hiyo Mkapa na Magufuli walikua wabaya ndo maana wamekufa?damu zao zina wasumbua ndo maana mnaropoka ovyo. Nchi hii ya watu fulani,sio ya watanzania wote
Watu kama kina Bashiru,pole pole na sample zingine kama izo wasichoke kuzungumza ukwel maana mnawakumbusha majukumu yao
Wew mzee una hof na mungu kwhy walio kufa ni wabaya au acha unafki wew
Acha kufulu za kishenzi,nyerere,mkapa na magu wamekufa in maana siyo wema?
@bunzalisisa6929
Жыл бұрын
makamba kesho kufa
Bashuru usirudi nyuma Hawa wametengeneza kizazi Chao kufaidika katika inchi hii
mzee wa ovyoo huyu anatetea tu ufisadi
Bashiru don't giveup'japo peke yetu hatutaweza...lkn M/Mungu atatutetea...songa mbele huctishwe'
Nchi hii inaongozwa na unafk mwanzo mwisho
Nchii imejaa wanafikiiii
kazi ya kunguni na chawa ni kujificha kwenye koti na kuendelea kunyonya damu ..
@hadijahaji9712
Жыл бұрын
Kabisaa
Wee Babu chunga kauli yako iyoo inamana Makufuli sio Mzur Unampangiya Mungu sio
My Brother Bashiru hicho ndiyo chama chako ulichochagua vumilia hao ndiyo CCM usichoke kutoa darasa huyo Mzee Makamba hana hoja hana Capacity thinking anafikiri watanzania wa leo ni wale wa miaka 45
U Doctor wa kuunga unga 🤣🤣🤣🤣
MNAJAMBAJAMBA TUU KUPAMBANA NA ALIYEKUFA, NYIE HAMTAKUFA.
Ni Jambo la mda tu ipo siku Mungu atatupatia Magufuli wa pili nchi itakuwa salama kumchafua Magufuli sawa na kuichafua Afrika nzima maana Afrika nzima ilimtaka Magufuli
Kikundi cha watu kinachokula pesa ya umma bila jasho, as simple as that
Kizee Cha hovyooooo Hadi kichefuchefu.
@absalomnamoyo7176
Жыл бұрын
Hahahaha
Mzee mnafiki sana weweee
Ccm tumewajua watuwenu wazuri Ila sisi wazalendo Magufuli ndo mzuri kwetu
Tutaona hao wazuri kama wataishi milele! Ukitaka kuruka agana na nyonga na ukitaka kusema kitu fikiri kwanza jamii itafidika vipi na semi zako.
Kwahiyo mzee unataka kusema magufuri mmbaya ndio mana kafa? Innaalilah waina ilaih raijiun
mbona anapiga kampeni na kujijengea mazingira
Pumbavu sana eti watu wazuri hawafi
Huyu mzee nae ni chefu sana
Hana tena akili uyo mchukulieni tu asha kuwa mtuzima
Huna jipya mzee we tulia 2
January makamba ndo naniii, mwamvuli wake ndo huu.
Watu wazur hawafi?????? Dahhhhh siasa mbaya sana.
Wasambaa bn
Mzeeee kwel nakama mtoto
Hii ndiyo nchi pekee yenye watu wanafiki na wabinafisi
Ni abu kakweli anasema waziwazi kuwa ushindi n lazima
Hawa watu na genge lao ndo wanataka watutawale wao mpaka wajukuu zao ili kulinda mali zetu walizozipora mama kama anajielewa awapotezee tatizo mama anaogopa yasije mkuta kama mpendwa wetu magufuli ila Allah kamsikia makamba na atajibu very aoon
@shinemakenzi8101
Жыл бұрын
Kwa hakir yako mama is out of that gang none sense
Wazuri hawafi? Waliokufa ote ni wabaya! Ndo maana milembe ikawekwa Dodoma naomba na Tanga waweke branch
Ni wakati wake bashiru kukomaa ni pito la kumnowa bashiru hili litampambanuwa yeye ni nani hasa mchumia tumbo au!
Mtu mzima ovyo
Mzee pua yako matundu yake yameelekea Chini'Mungu huchunguza mioyo kifo chaja...
Ni vema kuwa na maneno machache, kwenye maneno mengi kuna upotovu....
Inchiyetu imeshahamishiwa zanzimbar munavyoivurunda itamagu yukojuuyenu
Huyu mzee vipi tena
Watanzania wanamengi moyoni mwao lakini mungu ndiehakimu wahaki
Upuuzi mtupu
Mzee Makamba nakushauri ustaafu siasa au uandikiwe hotuba . Hii sio mara ya pili ulimi unateleza???
Niliiamimi sana CCM na rais wangu samia lakini hawa watu samia wanakuchongea na wananchi hawa ni maadui wa taifa ilitakiwa wazee hawa ilitakiwa uwang'oe uweke uweke damu changa
Hovyo sana
sawa
Mzee, makamba unazeeka vibaya kwakuwa hutakimbukwa kwa lolote bali kwa mabayatu ,mzee mwinyi anasema maisha ya binadamu ni hadithi
Tutaona mengi miikaijayo
Siunaona sasa mungu hamfichi mnafiki wanaanza kujipambanua wenyewe waliomuuwa makufuli ni wao wenyewe ndio maana wanasema watu wazuri hawafi sisi tunajuwa kizuri hakidumu wao wanageuza mada kwakuwa wanajuwa walichokifanya
Huo ndo mwisho wa upeo wako
Du! Watu wazuri hawafi du!
PANGENI VIZURI, ILA PIA MUNGU ANA MPANGO KASHAPANGA
@veronicascottmollel7897
Жыл бұрын
Kabisa mdogo wangu MUNGU yupo Ana Ona
Mzee huyuu atafakari maneno yake. Waliofariki ni wabaya nyie ndo wazuri.
Mzee nakuhelewa sana .
Mafisadi wote yaani mnajiona kama Nnchi ya Baba yenu 2025 umeagana na mungu utafika
@zumbeshauri8114
Жыл бұрын
Kabisa kiukweli
Mtoe huyomzee makamba hana jipya zaidi kutetea ugaliwake tu
Mhhhh Yaani huu mkutano Ni wa vijembe tu huoni logic.
Mmmmmh!!!!!!!!!!!.haya.
Mzee wa watu angeanguka akavunjika sijui mngesema nini unamwambia apige mbio mtu wa miaka 80+
Kila nafsi itaionja mauti.
PATACHIMBIKA NYI SUNIRINI TU, TIME WILL TELL.
NJAA MBAYA
Mnafiki huyu mshirikina
🎉HAyo yanayofa ywa na makamba Dio yaleyale yaliokua yanafanywa na mwinyi kwaajili ya watoto wao mwinyi alifanikiwa Sasa tumwangalie Mzee mkamba jeeatafanikiwa lazima uwe chawa Ili mwanao afanikiwe
Ameongea kinyume mzee
Alivo mfupi sasa 😅😅
Ww mzee acha ujinga mbona unatapatapa ww vp kaa utulie kama ni kutuibia umesha tuibia ww vp magu alikua mbaya et daah ccm inatilisha aibu
Mmh
Watu wazuri hawafi hata siku Moja
Ohooo ok
Wewe hutakufa
Mzee anapalilia sembe ya mtoto ndio mana anaongea utopolo tu, kazeeka mwili mpaka akili.
@hilaliusjohn8386
Жыл бұрын
Mbona huyu mzee anaonge Kama nguruwe? Tutaona Kama wewe utaishi milele. Bashiru yeye ni mzarendo, mtanzania halisi mwenye uchungu na Nchi yake.
Duh Kweli Pumzi Ni Kiburi
Wazaz wake walikuwa watu wabaya
Tunasubiri vifo vyenu. Leo mzee mwinyi kafa na yeye ni mmbaya
wazee wa namna hii hawafahi kabisa
@salehjojozi9286
Жыл бұрын
WEWE ULOSEMA NCHI IMEHAMISHIWA ZANZIBAR USHALEWA AW NDOMNAANZA FOKOFOKO ZENU NASIYO WEWE TUU UNANAWENZIYO MABUMBUMBU ANOTOWA NIMUNGU NA MAMARYU SAMIYA SULUHU M MUNGU KISHAMPA NA KWAULINZI ALOMUWEKEYA M MUNGU NDOMNA ADHIRIKA NA KUJICHOMOZA MMOJAMMOJA YARABI TUNAKUOMBA NA HAKUNA MWENGINE WAKUOMBW ISIPOKUWA WEWE MWENYEZI MUNGU UMZIDISHIYE AFYA NJEMA RAIS WETU AFYA NJEMA YEYE NAFAMILIYA YAKE NAWATANZANIYA WOTE YARABI NAKUOMBA UWENDELEE KUWAFICHUWA WALEWOTE WA NJE YASEREKALI NAWALOKUWAMO KWENYE SEREKALI WEWE NDOUTOJUWA VAKUWAFANYA NAUMLINDE MZEE WETU COMRED YUSSUF MAKAMBA KWAKILA LILILOBAYA NAUMLINDE RAIS WETU WA ZNZ DOKTA HUSEN ALI HASSAN MWINYI KWAKILA BAYA NAWAFEDHEHI WOTE KAMA ULIVOWAFEDHEHI KWA MAMAYETU SAMIYA SULUHU WANOTAKA KUMHARIBIYA KATIKA MIPANGO YAKE YA KUYJENGA ZNZ
Makufuri. Mzuri kwetu. Sisi wanyonge
Sasa uyu mzee anaongea au anachamba
Wewe mzee mnafiki uliopita kipimo nchi hii umaskini ujinga na maradhi kazi hakuna Maisha magumu hotuba yako inaangamiza nchi wizi wa kuiba kula na kutangaza aliie shindwa wewe mzee ufahamu kuwa iko siku utaripa maumivu ya watanganyika
Yote njaa na unafik kufikia had kukufuru et et wazur hawafi bado zam yako
Kwahy waliokufa walikuw waovu? Kwel na wapumbavu wanazeeka
Hahaha uyu mzeee anajkuta naniii😅
Magufuli
MLIKUWA WAFUU WAKATI WA DR MAGUFULI, HAKIKA MH. SAMIA AMEWAFUFUA KTK UWANJA WA SIASA...MAISHA YANABADILIKA...JE MSIBA WA SIPIRIAN MSIBA UKOJE KWA SASA? MZEE KINANA NI KIONGOZI, NAPE, JANUARY, HUUWIII...MWANAHARAKATI HURU WA RAIS MAGUFULI,
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️.
Wapo kwasababu sio wazalendo ni mafisadi kama wewe
@reubenedward4946
Жыл бұрын
Ovyo sana
Mjinga wewe
Mimi nampeda sana mzee makamba , 💪💪💪💪😘😘😘😘😄🥳💉💉💉
Prepare for your kids to eat ….
Mamuughu kaibu kaya kwetu maa iwe, karibu sana
Mtoe huyomzee makamba hana jipya zaidi kutetea ugaliwake tu
@anuaryamisi2031
Жыл бұрын
Bumbuli ni kwenu lakini hujafanya chochote
@anuaryamisi2031
Жыл бұрын
Mama samia ww ni mcha mungu na ujue ipo siku utakuwa kaburini na utaulizwa kwa yale yote uliyo yatenda mama fanya maamuzi yak kwa hofu ya mungu wala hutazikwa na makamba wala kiongozi yoyote mama chonde chote kuwa na hofu ya mungu cheo ni zamana tu