Mzee Makamba akitoa somo la ufugaji wenye tija na jinsi alivyoanza

Пікірлер: 10

  • @wollefernando1257
    @wollefernando1257 Жыл бұрын

    Hakuna inspirational yoyote hapo. Ilikuwa TBC mumtafute mtu wa chini ndio kuwa inspire watu ila sio kwa kigogo kama huyo.

  • @mathewtwimanye92
    @mathewtwimanye92 Жыл бұрын

    Jifunze juu ya mafanikio pitia mtu wa kawaida na wachini aliefanikiwa, na si kwa mtu aliestaafu na pesa nyingi na akiwa na miradi lukuki kila kona ya nchi, utafrastrate tu, labda hii inawafaa wastafu wenzie matajiri

  • @yahyamajidyahyahilalal-har8762
    @yahyamajidyahyahilalal-har87622 жыл бұрын

    Safi Sana mzee Makamba

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 Жыл бұрын

    Anajifurahisha to wazee wanao kula mema ya nchi hawa

  • @alistairelias536
    @alistairelias5362 жыл бұрын

    Nilikuwa nasubiri kusikia Mama January akitajwa... na ametajwa 😄

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 Жыл бұрын

    Bado mnakuka Serikalini kupitia Mtoto wako ndio maana unampigia debe

  • @YOSHUAMWAMPETA

    @YOSHUAMWAMPETA

    3 ай бұрын

    HILO NALO NENO

  • @akidahamad142
    @akidahamad142 Жыл бұрын

    Ww umezulumu mwizi mkubwa ww

  • @mathewtwimanye92
    @mathewtwimanye92 Жыл бұрын

    Hana kitu kipya, hii yote nikuwa na pesa, yy na mstaafu mwingine ni vitu2 tofauti anavyanzo vingi vya siri vya pesa, asizarau wasiobahatika kuwa ktk fungu lake, yoote haya ni jeuri ya pesa hawa wazee walivuna sana wanavuna sana nawatavuna sana, so better u flight by your own

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima72952 жыл бұрын

    Mzee unaheshimika, usiwaneneee vibaya wastaafu wengine! Ni muhimu kukumbuka kuwa si kila mstaafu alikuwa Katibu Mkuu wa CCM,,,