Mzee Makamba akitoa somo la ufugaji wenye tija na jinsi alivyoanza
Жүктеу.....
Пікірлер: 10
@wollefernando1257 Жыл бұрын
Hakuna inspirational yoyote hapo. Ilikuwa TBC mumtafute mtu wa chini ndio kuwa inspire watu ila sio kwa kigogo kama huyo.
@mathewtwimanye92 Жыл бұрын
Jifunze juu ya mafanikio pitia mtu wa kawaida na wachini aliefanikiwa, na si kwa mtu aliestaafu na pesa nyingi na akiwa na miradi lukuki kila kona ya nchi, utafrastrate tu, labda hii inawafaa wastafu wenzie matajiri
@yahyamajidyahyahilalal-har87622 жыл бұрын
Safi Sana mzee Makamba
@saleheinnocent7636 Жыл бұрын
Anajifurahisha to wazee wanao kula mema ya nchi hawa
@alistairelias5362 жыл бұрын
Nilikuwa nasubiri kusikia Mama January akitajwa... na ametajwa 😄
@gibsonjosephat6352 Жыл бұрын
Bado mnakuka Serikalini kupitia Mtoto wako ndio maana unampigia debe
@YOSHUAMWAMPETA
3 ай бұрын
HILO NALO NENO
@akidahamad142 Жыл бұрын
Ww umezulumu mwizi mkubwa ww
@mathewtwimanye92 Жыл бұрын
Hana kitu kipya, hii yote nikuwa na pesa, yy na mstaafu mwingine ni vitu2 tofauti anavyanzo vingi vya siri vya pesa, asizarau wasiobahatika kuwa ktk fungu lake, yoote haya ni jeuri ya pesa hawa wazee walivuna sana wanavuna sana nawatavuna sana, so better u flight by your own
@jumakapilima72952 жыл бұрын
Mzee unaheshimika, usiwaneneee vibaya wastaafu wengine! Ni muhimu kukumbuka kuwa si kila mstaafu alikuwa Katibu Mkuu wa CCM,,,
Пікірлер: 10
Hakuna inspirational yoyote hapo. Ilikuwa TBC mumtafute mtu wa chini ndio kuwa inspire watu ila sio kwa kigogo kama huyo.
Jifunze juu ya mafanikio pitia mtu wa kawaida na wachini aliefanikiwa, na si kwa mtu aliestaafu na pesa nyingi na akiwa na miradi lukuki kila kona ya nchi, utafrastrate tu, labda hii inawafaa wastafu wenzie matajiri
Safi Sana mzee Makamba
Anajifurahisha to wazee wanao kula mema ya nchi hawa
Nilikuwa nasubiri kusikia Mama January akitajwa... na ametajwa 😄
Bado mnakuka Serikalini kupitia Mtoto wako ndio maana unampigia debe
@YOSHUAMWAMPETA
3 ай бұрын
HILO NALO NENO
Ww umezulumu mwizi mkubwa ww
Hana kitu kipya, hii yote nikuwa na pesa, yy na mstaafu mwingine ni vitu2 tofauti anavyanzo vingi vya siri vya pesa, asizarau wasiobahatika kuwa ktk fungu lake, yoote haya ni jeuri ya pesa hawa wazee walivuna sana wanavuna sana nawatavuna sana, so better u flight by your own
Mzee unaheshimika, usiwaneneee vibaya wastaafu wengine! Ni muhimu kukumbuka kuwa si kila mstaafu alikuwa Katibu Mkuu wa CCM,,,