EXCLUSIVE: MASHAMBA YA MSTAAFU MIZENGO PINDA NI GUMZO!
EXCLUSIVE: MASHAMBA YA MSTAAFU MIZENGO PINDA NI GUMZO!
Wakati Wastaafu mbalimbali Nchini hasa Baadhi ya Viongozi waliowahi kushika nyazfa tofauti tofauti Nchini Kuhamia Nchi za nje na kufungua biashara za Mahoteli na Miradi ya Mashirika Makubwa kwa upande wake, Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Kayanza Peter Pinda, imekuwa Tofauti.
Global tv tumefunga Safari mpaka Mkoani Dodoma Kwenda kushuhudia kwa macho kujionea jinsi gani alivyoamua kuhamishia Maisha yake shambani na kuwekeza kwenye Kilimo na Ufugaji wa Kisasa ambao umegeuka Faida kubwa kwa jamii kuliko watu walivyotegemea.
Tazama video hii kujionea mengi.
Https://www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Globa
Category
News & Politics
Пікірлер: 459
Unalamba pamoja na asali yaan aaah! Bomba kabisa alie sikia kauli hii like hapa
@aishaomar4318
4 жыл бұрын
😁😁😁
@petersume2780
4 жыл бұрын
kabisa
Da jamani aya ni maojiano au kuna film ndani yake yaani huo mziki unaosikika back playe unapoteza umakini wa kusikia vizuri hayo maojiona next time mshughulikie mambo kama ayo sauti iko too much sana asanteni
Ni mfano wa kuigwa na watu wote hongera Sana Mzee pinda.
Pongezi sana Mhe.Mizengo Pinda kwa shamba lako nzuri sana.Inapendeza.
Aliemtuma huyu muandishi kwa Mh Mtoto wa Mkulima big up, Mzee wa kusikiliza sana ila maneno machache yenye nyama. Big up Mzee wangu Mh. Mtoto wa Mkulima, ulifikiria vzurii kuwekeza M/Makuu ya Nchi hongera kwa wazo jema pia. Dodoma juuu
The story is good, the music is not necessary, kwanza miziki yenyewe ni kama ile ambayo huchezwa msibani.
@africanchocolate4216
4 жыл бұрын
“🤣🤣🤣”
@kaulimbiu181
3 жыл бұрын
Kweli mziki wa nini na zaidi ni mziki inaoibua hisia za huzuni na kugubikwa na simanzi
@neemamdami7466
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@ezekieljacob5795
3 ай бұрын
Usitukane wewe sikiliza elimu unayopewa,muziki haukuzuii kusikiliza
UNALLAMBA ......UUUUU..... BOMBA KABISA ! I like that ! Very beautiful Farm.
Hongera Waziri Mkuu Mstaafu Pinda-Mtoto wa mkulima kwa kuonyesha mfano katika kilimo.Hususani Mkoa wa Dodoma.
Hongera sana PM mstafu kwa kilimo cha kisasa Tusaidie wakulima wadogo wadogo wa zabibu Dodoma kuimalisha kilimo haswa viwanda vya kununua zabibu za wakulima Tembelea vijiji vya ngahelezi handali chanhumba ndebwe mvumi uone wakulima walivyohamasika
Hii inaidhininisha kuwa mtoto wa mkulima hukujali ngazi ya uongozi uliyotoka ulitambua utu na kuishi na watu wa hali zote hongera sana Pinda
Mweshimiwa yupo. Makini kujibu Maswali sana .
Kipindi kizuri sana Ila hiyo Soundtrack imekuwa too Loud.. na hii imekuwa tatizo kubwa sana kwa Tanzania iwe ni interview au Movie,Mnapenda sana Loud Back ground Music..After All sijaona umuhimu wa kuwa na Hiyo Background Music.
@fadhiliakida8609
4 жыл бұрын
Brother umeongea ki technically hili ni tatizo kweli kwa clip nyingi sana
@malcomg1004
4 жыл бұрын
Tatzo vyuo vya kusomea taaluma hii ni vya uchochoron na serikali inadai imevisajili.huwez kufanya upuuzi kma huu katka karne hii halafu unaweka youtube ambako kuna wabobezi zaid wa hizi mambo.ujinga sana
@ezekieljacob5795
3 ай бұрын
Wengi tunapenda hii miziki yaani nyie mmezoea lingala
Waziristan mkuu mstaafu hongera Sana kwakujituma ktk kilimo umetisha saaaana
Duh huyu mzee hakika ni mfano wa kuigwa Anastahili kuwa kiongozi wa mfano Hongera sana Mtoto wa mkulima ulielazimishwa kuwa waziri mkuu Na ukalazimishwa kuvaa mpaka suti
Aliyeedit hii show kashindwa kubalans kati yasauti yamuziki na mahojiano...
Good Mashalah mama uko vizuri mrembo na hongera kwa kazi nzuri
Nafikiri kama mngetumia zile wireless Mic ndogo za Kuweka kwa shati tu ingekuwa Poa Zaidi..Nawaza tu
@longshot4484
4 жыл бұрын
Ndugu wewe ndio umenena
@shubackmashinga3535
4 жыл бұрын
Point
@abuuaymankhudhaifa7981
4 жыл бұрын
Cha msingi umeelewa acha usenge.
Safi sana Mzee Pinda.. ni kitu cha kujifunza kwa sisi vijana
Wonderful Content!!, music is distracting though!!
muandishi ana weka miek kwake tuu.... na video editor ameweka ma sauuti ma melody tuuu.... hongera mzee Pinda that my passion
Nimekuelewa waziri mkuu mstafu we ni mwl mzuri endelea kufundisha watanzania kwa vitendo MUNGU AKUBARIKI
Nakukubali sana mheshimiwa Waziri mkuu Mustafa, Mizengo kayanza
Hii system ya kuweka musik kwenye maongez siipend maudhui hayasikik
Very well presented, may be the first one I have seen in a while 🙏🙏
Next time hii funneral/sadness background sound msiweke kwa sauti ya juu na isitoshe mjue sounds za kuweka si hii ya funneral/sadness, kila sound ina mahali pake wazee.
@lembrismongi103
4 жыл бұрын
Sawa kabisa mr hili nami nililiona sio poa kbsa
U mfano wa kuigwa mkuu👏🏻👏🏻👏🏻
Ondoeni uwo mziki bhana unazingua kinoma atusikii vizuri
Mziki unakera sanaaaahata sisikii vizuri kwani bila mziki ujumbe si unafika?tunakosa kusikia vitu vya muhim kuhusu kilimo.
@amryzarck3255
4 жыл бұрын
Ajakosea
Jamani pesa ndio kila kitu, bila pesa huwezi Fanya haya yote make hata km ni kuku peke yake kuwafuga ni gharama kubwa sn. Mzee alijipanga hyo.
Hongera sana muheshimiwa waziri mstaafu,unanivtia sana kwa habari za kilimo.Ningepata fursa ya kukutana na wewe.OMBI LANGU LINGEKUA NI MOJA TU (NATAMANI KUFANYA KAMA WEWE, UNIPE FURSA TU.
Apigwe tu kama akikaidi apigwe tu, 😂😂😂😂 i remember dis moment. keep it up mstaafu wangu
Global mnapo kua mna fanya ivi punguzeni izo back voice tune
Vzr sana kiongozi, ila kwa ushauri wangu waite vijana wadogo waeze kujifunza jambo, u have good idea
@hawa4968
4 жыл бұрын
Nice
@abdulmahamud9269
4 жыл бұрын
@@hawa4968 waaleykum salam warahma tullah wabarakatu
@hawa4968
4 жыл бұрын
Shukran
@arqamibnarqam.7185
4 жыл бұрын
Hawa.waalykumussalaamu.vp Hali ndugu yangu?
@hawa4968
4 жыл бұрын
@@arqamibnarqam.7185 alhamdu Lilah waallakuli halli namshukur Allah kwa kuniamsha mwenye afya njema na kuiyona Leo tena alhamdu Lilah
Mbona mmefupisha jamani mngefa hata saa limoja nimeipenda 👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
Siku nyingine msiweke mnaweka makelele wala hayatusaidii zaid tunapoteza kusikiliza ya msingi yanayoongelewa. Studio una matatizo gani.
Mzee pinda safi sana kweli ww mfano wa ukweli mungu akubariki sana.
Kila mtu ana complain sounds..hebu jaribuni ku focus kwenye story bhnaa msituchoshe kwn lazima muangalie??? Kama mliwatuma vilee..! Kazi ya watanzania ni kutafuta mapungufu tu kila siku..story iko sawa ,sound iko sawa, niko busy naskiliza story wala sound siskii mpaka nilipo ona complain
@geofreymahujilo9600
3 жыл бұрын
Sound iko owk tu ..sijui wancomplain nn jmn
Huu mradi ni wa mamilioni But hongera sana mheshimiwa.
Big Up Former PM Pinda
@kisombolaestate8425
4 жыл бұрын
Former hahah
“🤩 Ndiyo inavyo takiwa namna hii” “MWENYEZI MUNGU ibaraki Tanzania 🇹🇿 🙏🏾” “😍 🇹🇿🦚🌴🏝🌳❤️🌹🥀🙏🏾”
MWANDISHI/MTANGAZAJI KILA MUDA WAOOOH LOH; ALAFU HIYO BACKGROUND MUSIC INALETA SHIDA
@gilbertsalvatory9590
4 жыл бұрын
Mmm ndgu kwa iyo hakuna zuri alilo lifanya?
mtangazi hajajiandaa vizuri kimaswali kumhoji Mkuu. ..
@rithadonatus8110
4 жыл бұрын
Anaonyesha limimba lake hapo
@mwanzandaki786
4 жыл бұрын
Kbsaaa sijui alkua anaogopa?
Hongera Sana Mzee Pinda. Hii inahamasisha ushiriki WA watu wengi has vijana kwenye kilimo kwa kiasi kikubwa.
Kweli jamani hii sauti ya music inaboa sana. Cha msingi tupate hiyo habari na si muziki.
Hongera sana Huku ni mfano mzuri sana kwa. Viongozi wengine na watanzania wengine Inspiration
@ilovejesus9303
4 жыл бұрын
😄😄😄😄 inspiration? Hela za wananchi ukiwa madarakani
@gilbertjackson55
4 жыл бұрын
Inspiration kweny kodi yko asee think big
Mh. Pinda hongera sana kwa mchango wako mkubwa kwenye kilimo cha kisasa na uwezo wako wa kuwafundisha watanzania wengine. Nyuki ni muhimu sana, huku California wakulima wanalalamika sana kuwa pollinator bees wamepungua sana kiasi mimea mingi ya matunda sasa inashindwa kutoa matunda.
Kuna watu wana comment "mfano wa kuigwa" iga ufe investment ya mabilioni iyoo, ilo shamba ni hela tuu
@500gts9
4 жыл бұрын
Unaanza kidogo kidogo kaka, matonge madogo...usivamie
@mahamoudabas8555
4 жыл бұрын
Hayo mashamba ni ya mali ya wananchi wa Tanzania, na pesa zilizotumika hapo ni pesa zetu wananch za kodi
@albanbros6705
4 жыл бұрын
@@mahamoudabas8555 Hiyo pesa ni juhudi zake binafsi ambapo wakati anazitafuta wewe na Mimi hatukuwepo.Hilo ni jasho lake lililotoka kwa muda mwingi.
@claytonkellymwaisango5283
4 жыл бұрын
Ogopa kuiga baadae wenzako walioanza kidogo kidogo kwakuiga wakifanikisha kukuza brand zao wewe ubaki kuamini ktk freemason nakumtuza shetani
@lucasbartazari7797
4 жыл бұрын
Kwao ni Sumbawanga/Katavi, amewasaidia wakulima wangapi? Yeye anauza mazao kwa jina la nafasi yake, halafu anajidai kudanganya watu hadhalani. Maembe, zabibu, asali nk. siyo mazao mageni nchini, Leo hii yeye tu ndo agundue soko bora kuliko wananchi wa mikoa yote? Anawazidi hata waliomfundisha! Wapi bhana!
Cathelin umekua.mweupe kama unakunywa maji ya ray kigosi😂😂
@mohammedabdallah6390
4 жыл бұрын
Mimi pia sikumjua daaah
@husseinnyomi6120
4 жыл бұрын
Nikunyaga tu
@farhatfatma12
4 жыл бұрын
Ni aibu kumuona muafrika anachukia rangi yake kiasi hiki. Ni aina fulani ya mental slavery.
"Kweli mtoto wa mkulima umetimiza na kuonyesha mfano kweli kweli," hongera sana kiongozi wetu.
Naweza kuonja...hahahaha yaani uonje ili upakia mengine na kumtia hasara mkuu..wewe Dada uonje Nazi na nanasi
mulishindwa kuijenga nchi tukanufaika wote mkajijenga mmoja mmoja ili munufaike na familia zenu ilikuw tuwashitaki na siyo kuwasifia
@ilovejesus9303
4 жыл бұрын
Aiseee umeona ehe aafu watu wanampa hongera😁😁😁 hongera za kuiba????
@nicebatare2737
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂afungwe uyo
sauti ya mziki ipo juu sana
Shida mmeeka soundtrack kuubwa muheshimiwa maneno mengine hayasikiki vizuri
@siwemamichael690
4 жыл бұрын
Cm yako mbovu pole
@mwalukoerick2801
4 жыл бұрын
Mickey Kibabu
@fatherjaytz
4 жыл бұрын
Hv mnaolalamikaga kuhusu soundtrack huwa mnatumia cmu gani
@siwemamichael690
4 жыл бұрын
@@fatherjaytz hahahaha hata mie sijui nacheka tu
Sasa ??ata hasikiki maneno mengine,,yalafuuu mbona mnaweka mziki unaaribuuuuu,sipendi ichi kitu
@credo7837
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
Aisee hongera mzee
Leading by an example. A True Role Model. Impressed by the farm layout.
@joycekingu1530
3 жыл бұрын
The music is not necessary at all . Mheshimiwa hatumsikii kabisa
Very good work..for our African leaders...
Pesa ndio kila kitu bila pesa tutaishia kusifia tu
@wahidashabaz5982
4 жыл бұрын
Yunus Mchalu nikwelj
@nkawagaagribusinesscoltd4236
4 жыл бұрын
Kweli kabisa
@tukuswigaikasu5227
4 жыл бұрын
Pesa na akili maana wapo wenye pesa ila akili ya kupambana sifuri.
@peterzaaruka9028
4 жыл бұрын
Fika shambani ulizia peter sio pesa
@africanhappyadventure6951
4 жыл бұрын
@@tukuswigaikasu5227 Kweli kabisa..na wapo hawana hela ila wanakili ya Kupambana hadi kuzipata hizo helaa
Quality content but the background music spoils the whole thing. With 5M subscribers one would think editors wanajua hili.
“Haya ndiyo mambo mnayo takiwa kutu onesha sisi Wa Tanzania 🇹🇿” “Siyo mna tuonesha watu wana ishi makaburini, Halafu mnaenda usiku wa manane ku chukua videoclip huku mki lishwa ugali na mboga isiyo na chumvi, Kisha mna oneshwa katoto ambako hakaja nyolewa nywele tangu kuzaliwa” “Ina kuwa kama ‘Sangoma au Voodoo vile! Yaani ni kama aina fulani hivi ya uchuro 😡” “MWENYEZI MUNGU ibaraki Tanzania 🇹🇿🦚🌴🏝🌳❤️🌹🥀” “Amen 🙏🏾”
Nimependa sanaa mashamba mifugo na vyote vilivyomo ndani asante mweshimiwa
Ushamba Mzigo Yani Mziki Juu Sauti Ya Mlengwa Chini
@malcomg1004
4 жыл бұрын
Sio ushamba ni ufala sana
Mzee umeni inspare najipanga kuja dodoma kwenye zabibu
Huyu sio mtangazaji kabsaaaa
mbona sauti iko chini sana sema nime penda mzee ame invest kilimo vizuri sana
Duuuuh pongez mhe hakika wew mchapakaz sanaaa baba angu
Hongera sana Mheshimiwa Pinda kwa uwekezaji bora kabisa.
wastaafu si muwe kama Pinda mzee wa watu katuria anafanya kazi zake vizuri wengine mnataka kuvuruga juhudi za JPM turieni. wewe Mzee Pinda ni Mfano wa kuigwa.
@mybabyarchive2104
3 жыл бұрын
Mbona unajishtukia?
Cathelin dada umekua MWARABU
Kila mtu anaweza kufanya mambo makubwa ukiwa na mtaji sijui yule jamaa wa mtaji wa 200,000 wa Instagram anaweza kutusaidiaje
@harrisonmatimbwi7273
4 жыл бұрын
Huyo dada alikuwa meneja wa Dr shika
Mzee katisha sana
hongera sanaa Mzee wetu 😘😘😘😘😘pinda
Nice👍
Good kweli wewe ni mtoto wa mkulima huo ni mfano mzuri
Daaa ekar ngpii hizo ebu muda mwingine elekezeni nguvu Angalau kidogo kuangalia yatima, hongera mzee.
Nakukubali baba peter mizengo
Napenda sana...maendeleo ya Mzee Pinda...naiga sana kutoka kwake
GREAT MZEE PINDA
Please if you don't mind try to reduce the music sound a bit louder. Congrats mheshimiwa great job
@susanapollo284
4 жыл бұрын
Music not necessary
Yuko vzr mzee
Mwandishi ukifanya interview mambo ya kusema naruhusiwa kuonja, doh, si sawa, mpaka nimejisikia aibu
Tuko pamoja Kiongozi...motisha wa kutosha... 🇹🇿
Hongera sana Mheshimiwa lakin ushauri kilimo na mashamba unakua mtumwa unakua na stress mara madawa ,mbegu,palizi,ujenz,hiyo ndo shida
This is superb,order in the farm is 💯 I like the farm
hongera sana umeonyesha wazi kuwa wewe mjasiriamali halisi
Mziki upo juu kiasi kwamba hatumsikii vizuri
Huwezi kumiliki eneo kama hilo kama hauna pesa za kufanya hayoo
Inapendeza Sana
Hogera wazr mstaafu Kwa kudhubutu kuwa mkulima ctad Kwan umekuwa mfano kwetu vjana wa taifa la tanzania
Waziri ni yeye mfugaji ni yeye mkulima ni yeye watu wa chini hata soko wanakosa jamani 😭😭😭
hio miziki ya nn sasa hatuskiii
Mzee naona ktk suala Zach zabibu ameshikwa kichwa kujikuna. Lakini Amejibu vizuri mno.
Unaposema wastaafu wengi hawafanyi kilimo umefanya research gani? Si sahihi, nadhani ni vema watangazaji na waandishi muwe mnafanya kwanza research ili muwe na valid points kiliko assumptions, yaani kifupi jiandaeni vizuri kwa maswali kabla ya kufanya interview, ulizeni maswali ya kumsaidia mtazamaji
@abuuhaythamkingu4508
4 жыл бұрын
Safi sana mzee
Ni uwekezaji mzuri ila pia unategemea hela nyingi ndyo maana unaambiwa ili upate pesa kwanza lazima uwe na pesa
SASA TUSIKILIZE NINI ? MNAMUHOJI MTU KISHA MNAWEKA MIZIKI, MI NAONA MNAHITAJI KUJIREKEBISHA KWA HILO. HALAFU INGEFAA HUYO MZEE MUMUWEKEE KIPAZA SAUTI KWENYE KOTI LAKE AU MGEMPA "MIKE" NYINGINE ASHIKE MKONONI ILI ASIKIKE VIZURI,
Zabibu tunda zuri Sana mungu akubariki mkuu
Mtangazaji bado sana hajui hata kuzingatia heshima ya anayemhoji anajichekeshachekesha tuu waooo my foot hana research kaboa Kwakweeli na kinyimbo chenu ndo kabisa
@peternichoraus5983
4 жыл бұрын
Dah kaboa San bas tu
@brightonkimetelo6862
4 жыл бұрын
Wataita gar ngoja
huwezi amini interview nzima nakuangalia catherine kahabi wewe dada umeumbika bana dah
@saidmakumlo8930
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mimi huyo mtangazaji tu..daaaah anaitwa nani nikae hapo rangi ya mtume hiyo mashAllah mzee Pinda mwenywe lazima kaomba mazungumzo nae ya pembni hiviiii
@sudaissoud3670
3 жыл бұрын
Mtume ni muarabu pure sio mkorogo..Mtume alikua mzuri hana mfano...
Atakaekataa kufanya kilimo apigwe tu 😂😁😁 maana hhakuna namna utapigwa tu