Kilimo cha mapapai katika shamba la Kikwete (MAKALA YA SHAMBANI)

Спорт

Kutana na rais mstaafu, Jakaya Kikwete akiwa shambani mwake akitufundisha namna ya kuwa wakulima bora.

Пікірлер: 45

  • @wambaamwambaje1272
    @wambaamwambaje12726 жыл бұрын

    Masha Allah nice one

  • @aminaomary5567
    @aminaomary55673 ай бұрын

    Ongera sana Mh.👍👍

  • @ELIMUYAGIZA
    @ELIMUYAGIZA5 жыл бұрын

    Inaitwa AWINO FARM.

  • @yusufally6853
    @yusufally68534 жыл бұрын

    Mashallah wallah

  • @tanzaniampyakaulimbiu3553

    @tanzaniampyakaulimbiu3553

    Жыл бұрын

    Tunaomba mchango wa kugharamia harusi ya MBUNGE (David Ernest Silinde (MTANZANIA)) na Mcheza soka (Misa Rodríguez (Mhispania)) ITAKAYOFANYIKA MBINGUNI MBEYA

  • @TheAlman
    @TheAlman5 жыл бұрын

    Miss you

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 Жыл бұрын

    huyu mzee nampenda sana. natamani kama arudie kuiongoza nchi yetu ya Tanzania nimemic utawala wake bora usio na ubaguzi wa vyama. watu walikuwa huru biashara zilfanyika maendeeo ya watu yalikua kwa kasi napia aliruhusu demokrasia ifanye kazi yake ile sera yake ya maisha bora kwa kila mtanzania tuliiona na hahika maisha tuliyafurahia

  • @mgosimkome9242

    @mgosimkome9242

    4 ай бұрын

    Uko kama mm Rais Kikwete nampenda Sana enzi zake pesa ilikuwepo ukifanya biashara kidogo tu hela, ajira zilikuwepo. Mungu ampe maisha marefu Jakaya Kikwete.

  • @mgosimkome9242

    @mgosimkome9242

    4 ай бұрын

    Enzi za Jakaya hakukuwa na visheria vingi vingi Mara ajira umri mwisho miaka kadhaa Kama inavyoonekana saivi mtu anaamka tu anatunga sheria yake ajira umri mwisho miaka 29 , wakati kwa mujibu wa sheria mwisho miaka 45 watu wanagawa makundi wengine wasipate ajira. Mh Rais mama Samia naomba uliangilie hili swala la umri iwe pale pale mwisho wa kuajiriwa miaka 45 , juzi Nimefurahi kuona Bunge limefuta kigezo cha jkt kwenye ajira maana nalo lilikuwa linanyima watu fursa, Tunaomba tena Bunge lifute hiki kigezo cha umri Mbona zamani watu waliajiriwa wakiwa wakubwa na walifanya kazi kwa weledi, tusinyimane fursa kila mtu ana haki ya kupata ajira kwenye nchi hii ni yetu sote, kutungiana visheria vingi haileti tija.

  • @TEACHER.CLEOPHAS
    @TEACHER.CLEOPHAS2 жыл бұрын

    Chapendeza kilimo.

  • @samuelpeterkaaya1211
    @samuelpeterkaaya1211 Жыл бұрын

    My president

  • @zulekhabaksh686
    @zulekhabaksh6864 жыл бұрын

    Hongera rais msataaf Jk pambana mzee tutakufata

  • @tanzaniampyakaulimbiu3553

    @tanzaniampyakaulimbiu3553

    Жыл бұрын

    Tunaomba mchango wa kugharamia harusi ya MBUNGE (David Ernest Silinde (MTANZANIA)) na Mcheza soka (Misa Rodríguez (Mhispania)) ITAKAYOFANYIKA MBINGUNI MBEYA

  • @kaishazabengesi2971
    @kaishazabengesi29714 жыл бұрын

    Mheshimiwa unatupa matumaini ya ustaafu.

  • @dorothyannan131
    @dorothyannan1316 жыл бұрын

    Aksante, nimeshawishika

  • @ibrahimrashid7559

    @ibrahimrashid7559

    6 жыл бұрын

    Tutumieninamba

  • @neykokusimwa7335

    @neykokusimwa7335

    5 жыл бұрын

    habari jamani hawa wataalam wanapatikana wapi nawahitaji sana

  • @florianmwaibabile5308

    @florianmwaibabile5308

    5 жыл бұрын

    Natamani kulima project kama hii jamani watalaamu wako wapi?

  • @avax5717

    @avax5717

    5 жыл бұрын

    wanakera manake hata hawatoi contacts wanasema tu kututia tamaa wenzao

  • @James00Bong007
    @James00Bong0075 жыл бұрын

    He is rocking some crazy jacket yo

  • @zainamuki7109
    @zainamuki71096 жыл бұрын

    anuani y hiyo kampuni nmb ya simu

  • @material_liv4674
    @material_liv46745 жыл бұрын

    It's GMO

  • @alexmakunga4484
    @alexmakunga44844 жыл бұрын

    Namba zao

  • @magnusnyamba6737
    @magnusnyamba67375 жыл бұрын

    HAKIKA NIMEMPENDA KIKWETE KWA KILIMO HIKI NINAFUATA NYAYO ZAKE NAANZA KIDOGOKIDOGO

  • @queencharles4823
    @queencharles48235 жыл бұрын

    I want to learn kilimo from begining. Yani kuanzia chekechea! Help me na!

  • @abuunasfar6016

    @abuunasfar6016

    5 жыл бұрын

    Find me jmn nkusaidie and be soecific

  • @abuunasfar6016

    @abuunasfar6016

    5 жыл бұрын

    I am an agricultural engineer.

  • @gonsalvamswaga6471
    @gonsalvamswaga64716 жыл бұрын

    nakukubali sana raisi wangu, naendelea kujifunza kupitia wewe

  • @avax5717
    @avax57175 жыл бұрын

    Mbona hamtupi maelezo vizuri juu ya wafundishaji?

  • @queencharles4823
    @queencharles48235 жыл бұрын

    Hapo ata sielewi. Nahisi kichina.

  • @saadsalum3253
    @saadsalum32535 жыл бұрын

    Kutoka kwenye kiti kikubwa mpk kuwa bwana shamba mhhhhh simchezoo bei gan mapapai

  • @caristapaul2161

    @caristapaul2161

    5 жыл бұрын

    nataka eneo la pwani kwa ajili ya kilimo nitalipataje

  • @caristapaul2161

    @caristapaul2161

    5 жыл бұрын

    no yangu ya simu 0754476485

  • @johnsonjoseph509

    @johnsonjoseph509

    4 жыл бұрын

    Kutoka kiti kikubwa hadi Bwana Shamba? Hahaha, unamjua mmiliki wa Oilcom, Halotel je?

  • @eliakimsando2919
    @eliakimsando29194 жыл бұрын

    Tunaomba mawasiliano ya wataalamu hawa

  • @tanzaniampyakaulimbiu3553
    @tanzaniampyakaulimbiu3553 Жыл бұрын

    Tunaomba mchango wa kugharamia harusi ya MBUNGE (David Ernest Silinde (MTANZANIA)) na Mcheza soka (Misa Rodríguez (Mhispania)) ITAKAYOFANYIKA MBINGUNI MBEYA

  • @azaelkitange8427
    @azaelkitange84276 жыл бұрын

    hiyo kumpuni inayotoa mafunzo ya kilimo cha papai inaitwaje . . ., ni WINO farm au WHINO farm, msaada tafadhali

  • @bonifasiemanueli2708

    @bonifasiemanueli2708

    6 жыл бұрын

    Azael Kitange

  • @mcraekahura7047

    @mcraekahura7047

    Жыл бұрын

    Owino farm

  • @shedrackbenjamin7917
    @shedrackbenjamin79175 жыл бұрын

    Saf

  • @semanasitv8303
    @semanasitv83035 жыл бұрын

    kati ya mtunda nisiyo penda kula

  • @sirkivike5457
    @sirkivike54572 жыл бұрын

    Mh

  • @africadolimited6642
    @africadolimited66425 жыл бұрын

    Kama unahitaji mbegu za papai za kisasa za mda mfupi 0752972727

  • @odenaabel6881

    @odenaabel6881

    4 жыл бұрын

    0752972727 Hallo!

  • @goodlucktarimo2716
    @goodlucktarimo27164 жыл бұрын

    Hakika mheshimiwa Kikwete unaakili nyingi sana,napenda sana stahili zako