Kilimo cha mapapai katika shamba la Kikwete (MAKALA YA SHAMBANI)
Спорт
Kutana na rais mstaafu, Jakaya Kikwete akiwa shambani mwake akitufundisha namna ya kuwa wakulima bora.
Kutana na rais mstaafu, Jakaya Kikwete akiwa shambani mwake akitufundisha namna ya kuwa wakulima bora.
Пікірлер: 45
Masha Allah nice one
Ongera sana Mh.👍👍
Inaitwa AWINO FARM.
Mashallah wallah
@tanzaniampyakaulimbiu3553
Жыл бұрын
Tunaomba mchango wa kugharamia harusi ya MBUNGE (David Ernest Silinde (MTANZANIA)) na Mcheza soka (Misa Rodríguez (Mhispania)) ITAKAYOFANYIKA MBINGUNI MBEYA
Miss you
huyu mzee nampenda sana. natamani kama arudie kuiongoza nchi yetu ya Tanzania nimemic utawala wake bora usio na ubaguzi wa vyama. watu walikuwa huru biashara zilfanyika maendeeo ya watu yalikua kwa kasi napia aliruhusu demokrasia ifanye kazi yake ile sera yake ya maisha bora kwa kila mtanzania tuliiona na hahika maisha tuliyafurahia
@mgosimkome9242
4 ай бұрын
Uko kama mm Rais Kikwete nampenda Sana enzi zake pesa ilikuwepo ukifanya biashara kidogo tu hela, ajira zilikuwepo. Mungu ampe maisha marefu Jakaya Kikwete.
@mgosimkome9242
4 ай бұрын
Enzi za Jakaya hakukuwa na visheria vingi vingi Mara ajira umri mwisho miaka kadhaa Kama inavyoonekana saivi mtu anaamka tu anatunga sheria yake ajira umri mwisho miaka 29 , wakati kwa mujibu wa sheria mwisho miaka 45 watu wanagawa makundi wengine wasipate ajira. Mh Rais mama Samia naomba uliangilie hili swala la umri iwe pale pale mwisho wa kuajiriwa miaka 45 , juzi Nimefurahi kuona Bunge limefuta kigezo cha jkt kwenye ajira maana nalo lilikuwa linanyima watu fursa, Tunaomba tena Bunge lifute hiki kigezo cha umri Mbona zamani watu waliajiriwa wakiwa wakubwa na walifanya kazi kwa weledi, tusinyimane fursa kila mtu ana haki ya kupata ajira kwenye nchi hii ni yetu sote, kutungiana visheria vingi haileti tija.
Chapendeza kilimo.
My president
Hongera rais msataaf Jk pambana mzee tutakufata
@tanzaniampyakaulimbiu3553
Жыл бұрын
Tunaomba mchango wa kugharamia harusi ya MBUNGE (David Ernest Silinde (MTANZANIA)) na Mcheza soka (Misa Rodríguez (Mhispania)) ITAKAYOFANYIKA MBINGUNI MBEYA
Mheshimiwa unatupa matumaini ya ustaafu.
Aksante, nimeshawishika
@ibrahimrashid7559
6 жыл бұрын
Tutumieninamba
@neykokusimwa7335
5 жыл бұрын
habari jamani hawa wataalam wanapatikana wapi nawahitaji sana
@florianmwaibabile5308
5 жыл бұрын
Natamani kulima project kama hii jamani watalaamu wako wapi?
@avax5717
5 жыл бұрын
wanakera manake hata hawatoi contacts wanasema tu kututia tamaa wenzao
He is rocking some crazy jacket yo
anuani y hiyo kampuni nmb ya simu
It's GMO
Namba zao
HAKIKA NIMEMPENDA KIKWETE KWA KILIMO HIKI NINAFUATA NYAYO ZAKE NAANZA KIDOGOKIDOGO
I want to learn kilimo from begining. Yani kuanzia chekechea! Help me na!
@abuunasfar6016
5 жыл бұрын
Find me jmn nkusaidie and be soecific
@abuunasfar6016
5 жыл бұрын
I am an agricultural engineer.
nakukubali sana raisi wangu, naendelea kujifunza kupitia wewe
Mbona hamtupi maelezo vizuri juu ya wafundishaji?
Hapo ata sielewi. Nahisi kichina.
Kutoka kwenye kiti kikubwa mpk kuwa bwana shamba mhhhhh simchezoo bei gan mapapai
@caristapaul2161
5 жыл бұрын
nataka eneo la pwani kwa ajili ya kilimo nitalipataje
@caristapaul2161
5 жыл бұрын
no yangu ya simu 0754476485
@johnsonjoseph509
4 жыл бұрын
Kutoka kiti kikubwa hadi Bwana Shamba? Hahaha, unamjua mmiliki wa Oilcom, Halotel je?
Tunaomba mawasiliano ya wataalamu hawa
Tunaomba mchango wa kugharamia harusi ya MBUNGE (David Ernest Silinde (MTANZANIA)) na Mcheza soka (Misa Rodríguez (Mhispania)) ITAKAYOFANYIKA MBINGUNI MBEYA
hiyo kumpuni inayotoa mafunzo ya kilimo cha papai inaitwaje . . ., ni WINO farm au WHINO farm, msaada tafadhali
@bonifasiemanueli2708
6 жыл бұрын
Azael Kitange
@mcraekahura7047
Жыл бұрын
Owino farm
Saf
kati ya mtunda nisiyo penda kula
Mh
Kama unahitaji mbegu za papai za kisasa za mda mfupi 0752972727
@odenaabel6881
4 жыл бұрын
0752972727 Hallo!
Hakika mheshimiwa Kikwete unaakili nyingi sana,napenda sana stahili zako