Kisa cha Mganga na Mtu asiye na Subira - Mzee Makamba

Пікірлер: 9

  • @khamismwalim
    @khamismwalimАй бұрын

    asante mzee mwangu nashukuru sana kuniamsha kumbe hadua natakiwa ni sikate tamaa nimejifuza kitu kuzia leyo nitadumu na dua

  • @seifseifmohamed7118
    @seifseifmohamed7118Ай бұрын

    Maneno mazur ila tu anayezungumza sio mzur. Siasa zake za umasikini na mbovu.

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vwАй бұрын

    Maneno mazuri ya mzee mwenye hekima

  • @ummukamillah
    @ummukamillahАй бұрын

    Mimi huwa sipendagi kusoma vitabu Ila hiki kitabu naona kama kimenivutia

  • @saft9482
    @saft9482Ай бұрын

    Maneno ya khekima sana

  • @SalumHarbu
    @SalumHarbuАй бұрын

    Maneno yenye ladha ya kusikiliza utamu utokanao na ladha ya kuongea malengo ya mzee nikushajihisha kuvumilia sio kukusubirisha.

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator6343Ай бұрын

    JAMANI MUSIDANGANYWE, ANAYEPIGA RAMLI, HUYO SIO MUISLAM.... UKIWA MWANASIASA MPAKA DINI UNAWEZA UKAICHAMBUA KWA MTAZAMO WAKO MDOGO....

  • @issarashid7707

    @issarashid7707

    Ай бұрын

    Acheni kuvamia mambo bila ya kuelewa izo ni lugha tu apo katumia kama saikolojia

  • @aliabubakar1646

    @aliabubakar1646

    Ай бұрын

    Ww wacha umbea hujui unachokiongea