Askofu Gwajima atoa jibu la kitendawili kinachowashinda wengi | Unaweza kubisha lakini ndio UKWELI

Dr Josephat Gwajima is the Senior Pastor of a Largest Church in Tanzania. He is also the Arch-Bishop and founder of Ufufuo na Uzima Churches worldwide. God is using him to raise the dead, heal the sick and performing of signs and wonders in the name of Jesus. Follow his Facebook page jgwajima Instagram bishopgwajima
Join our Live Online Services every sunday at 1030 East Africa Time

Пікірлер: 54

  • @margaretkarambu936
    @margaretkarambu936 Жыл бұрын

    Tunakupenda sana askofu.kuja huku Kenya utuhubirie.

  • @odhiaodhia9898
    @odhiaodhia98982 жыл бұрын

    Bila shaka yoyote una Roho wa Mungu ukiunguruma kidogo tu nchi yote inatikisika

  • @judithntango122
    @judithntango1222 жыл бұрын

    Mungu akuzidishie miaka ya kuishi mteule wa mungu

  • @jacksonsimon4453
    @jacksonsimon44532 жыл бұрын

    Somo nzur Sana nimefurahi Mungu akupe maisha malefu askofu Dr gwajima

  • @timboxlee919
    @timboxlee9192 жыл бұрын

    Ameni mtumishi wa mungu

  • @sablinajabiri45
    @sablinajabiri452 жыл бұрын

    Ubarikiwe sana pastor, nabarikiwa sana na mafundisho yako

  • @UfunuoSt

    @UfunuoSt

    2 жыл бұрын

    Ni kweli

  • @honorathambiaji344
    @honorathambiaji3442 жыл бұрын

    Ubarikiwe sana mtumishi,Mungu aendelee kukutumia kuitia nguvu mioyo iliyojeruhiwa,akutumie apendavyo

  • @dinakyoma5977
    @dinakyoma59772 жыл бұрын

    Bless u

  • @jonasmusa1387
    @jonasmusa13872 жыл бұрын

    Nmekuelewa sana man of GOd

  • @enockabumba7513
    @enockabumba75132 жыл бұрын

    Tukopamoja comrade Gwajima. Chifu angaya atatuerewa tu 2025

  • @sarahkadugu4367
    @sarahkadugu43672 жыл бұрын

    Kweli kabisaaa! Haleluyaaaaa!🙏🙏

  • @lilianmagwaza344
    @lilianmagwaza3442 жыл бұрын

    ubalikiwe sana mtumishi wa bwana.

  • @ramadhanmgaya1775
    @ramadhanmgaya17752 жыл бұрын

    Gwaji boy on 🔥.

  • @musunguwekesa6707
    @musunguwekesa67072 жыл бұрын

    ukweli baba

  • @forjesus1382
    @forjesus13822 жыл бұрын

    Nipo kenya napenda maubiri ya baba God bless you sana natamani sana nikupigie simu lakini number sina🤦🤝🤝

  • @rithersospeterkati2303
    @rithersospeterkati23032 жыл бұрын

    Amen Amen Baba.

  • @itiamekimbui722
    @itiamekimbui7222 жыл бұрын

    Ukueli kabisaa baba. Tuko pamoja nikiwa uarabuni 🙏

  • @stellapara1555
    @stellapara15552 жыл бұрын

    Umenena mtumishi

  • @paulopamba5116
    @paulopamba51162 жыл бұрын

    Askofu mgogo

  • @eugenekataisa3662
    @eugenekataisa36622 жыл бұрын

    From chato🙌💪

  • @pastorjeromesimonwatsamas2993
    @pastorjeromesimonwatsamas29932 жыл бұрын

    Mungu akubariki Sana ni kweli mwanamke ni taji kwa mumeo

  • @janegeogre3234
    @janegeogre32342 жыл бұрын

    Dady asante

  • @boniphacegembe4929
    @boniphacegembe49292 жыл бұрын

    Sana sana haleluya wambie hao😄😅😅😅😅😆😆

  • @mikabaylon1756
    @mikabaylon17562 жыл бұрын

    Mgogo

  • @oscarmario466

    @oscarmario466

    2 жыл бұрын

    Unautani na makabila ya watu

  • @stellapara1555
    @stellapara15552 жыл бұрын

    Mungu ni mkubwa

  • @vailethmbulule8339
    @vailethmbulule83392 жыл бұрын

    napenda sana mahubiri wako injili unayohubiri inachoma

  • @emanueljulius2080
    @emanueljulius20802 жыл бұрын

    Wambie

  • @hyasintajoseph2589
    @hyasintajoseph25892 жыл бұрын

    Kweli kabisaaa 😁😁😁

  • @sweetbertrwiza5982
    @sweetbertrwiza59822 жыл бұрын

    Kweli ni aibu mwanaume kukaa ndani halafu unamwacha mwanamke anaangaika wakati huna tatizo lotote

  • @abeidmrengaofficial1792
    @abeidmrengaofficial17922 жыл бұрын

    Wakiristo amkeni. Uislam ndio DINI ya YESU. Na wote MANABII.

  • @rahmarahma920
    @rahmarahma9202 жыл бұрын

    Kabisaaa

  • @edenmunei4793

    @edenmunei4793

    2 жыл бұрын

    Kabisaaa

  • @aselasambala6878

    @aselasambala6878

    2 жыл бұрын

    Kweli kabsa kabsa MUNGU akubariki

  • @annkim2690
    @annkim26902 жыл бұрын

    Sikuhizi ndio zao hata huku Niko naona wanaoa sababu ya kazi

  • @gracenyangusi6230
    @gracenyangusi62302 жыл бұрын

    Kitu kizito chenye ncha kali ha ha ha 😂

  • @gracenyangusi6230
    @gracenyangusi62302 жыл бұрын

    🤣🤣🤣 Wababa wana mambo. Kweli. Ha ha haa. Yaani hawataki umsimulie jambo analipuka heeè kwani vipi si nimekumbushia tuuu

  • @aokalelitv4546
    @aokalelitv45462 жыл бұрын

    Pastor hiyo nikweli kabisa Mimi ni mmoja kati ya hao sipendi mtu aniletee mambo mengi

  • @gabrielpott3325
    @gabrielpott33252 жыл бұрын

    🤣🤣🤣👏🤝👍

  • @fredrickkagwa8853
    @fredrickkagwa88532 жыл бұрын

    Askofu Asante kwa masomo. Lakini umesema kwamba Adam alivyoumbwa ilipita miaka mingi na Eva akawepo kwa kutolewa mbavuni mwa Adam. Sijakuelewa hapa nkisoma kitabu cha Mwanzo 1:1_31 Dunia na vitu vyote viliumbwa ndani ya siku 7. Adamu aliumbwa siku ya 6 pia kabla ya siku ya 7 Saba-Sabato Eva alikuwepo. Nafikiri umesahau kidogo hapo

  • @gone9170

    @gone9170

    2 жыл бұрын

    Mwanamke hakuumbwa bhn

  • @oscarmario466

    @oscarmario466

    2 жыл бұрын

    Eva alikuja baadae sana na Tena mpaka Mungu alipoona adamu ni mpweke ndipo akampa usingizi na kumleta Eva kwa kupitia ubavu Ila fuatilia vitabu zaidi utajua zaidi

  • @godisgood3590
    @godisgood35902 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙏

  • @babusadala5732
    @babusadala57322 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @thomasboniphace7254
    @thomasboniphace72542 жыл бұрын

    Kwenye description kwamba Ana raise dead big no kwa kweli,tuwe wakweli jamani khaa

  • @RachelFuiki
    @RachelFuiki2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @peterkichochi7510

    @peterkichochi7510

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kuna mwanaume aniangalia zunguka ukatafute mfupa🤣🤣

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha2 жыл бұрын

    Acheni ujinga wa kuwasifia vihiiyo ujinga. Eti Dk Gwajima! Alisomea wapi huu udaktari kama siyo kununua shahada feki na chafu za kijinga na kutaka sifa bila kustahiki wala kutesekea? Gwajima siyo dokta wala hana shahada hata moja. Ni tapeli wa kawaida anayeganga njaa kwa kuwaibia vihiiyo wenzake waliokata tamaa.

  • @rehemamwakinyaka3167

    @rehemamwakinyaka3167

    2 жыл бұрын

    Wewe ni mpumbavu Aya kuwa wewe Daktar wivu tu huwwzi Gwajima na hatuchanjiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @nkwazigatsha

    @nkwazigatsha

    2 жыл бұрын

    @@rehemamwakinyaka3167 maskini hujui usemalo. Siku utakapofumbuka macho utakumbuka maneno yangu. Tatizo la watu mliokata tamaa hata uhalisia hamuutaki bali kudanganywa na kuridhishwa kwa utapeli na ujinga. Yesu alisema watakuja wengi kwa jina langu na watapoteza wengi hasa wenye macho wasione na wenye masikio wasisikie kama mbumbumbu na bunga na juha wewe. Gwajima ni tapeli na mie sikuongelea kuchanja au kutochanja. Kwani, hiyo ni haki ya mtu na mwili ni mali yake anayoweza kuitumia atakavyo. Kumbaff kabisa

  • @isikesamike

    @isikesamike

    2 жыл бұрын

    Sasa mtu akiwa kasoma au hakusoma wewe inakuuma nini sasa? Inakuhusu nini katika maisha yako? Haikupunguzii wala haikuongezei chochote kwenye maisha yako. Ya nini ujieleze kwa hasira hivi? Wivu utakuua.

  • @bcozhenry2698

    @bcozhenry2698

    2 жыл бұрын

    @@nkwazigatsha mbona mliochanja mnaandamwa na matatizo ya akili? Ila kwa vile mpo wachache, endeleeni kubadilika mpaka muwe mazombi tunao uwezo wa kuwamudu mpaka mkawa mizoga endapo mtaleta mushkeli

  • @franklenard3186

    @franklenard3186

    2 ай бұрын

    Gwajima IQ yake iko juu saaaana

Келесі