Askofu Gwajima atoa jibu la kitendawili kinachowashinda wengi | Unaweza kubisha lakini ndio UKWELI
Dr Josephat Gwajima is the Senior Pastor of a Largest Church in Tanzania. He is also the Arch-Bishop and founder of Ufufuo na Uzima Churches worldwide. God is using him to raise the dead, heal the sick and performing of signs and wonders in the name of Jesus. Follow his Facebook page jgwajima Instagram bishopgwajima
Join our Live Online Services every sunday at 1030 East Africa Time
Пікірлер: 54
Tunakupenda sana askofu.kuja huku Kenya utuhubirie.
Bila shaka yoyote una Roho wa Mungu ukiunguruma kidogo tu nchi yote inatikisika
Mungu akuzidishie miaka ya kuishi mteule wa mungu
Somo nzur Sana nimefurahi Mungu akupe maisha malefu askofu Dr gwajima
Ameni mtumishi wa mungu
Ubarikiwe sana pastor, nabarikiwa sana na mafundisho yako
@UfunuoSt
2 жыл бұрын
Ni kweli
Ubarikiwe sana mtumishi,Mungu aendelee kukutumia kuitia nguvu mioyo iliyojeruhiwa,akutumie apendavyo
Bless u
Nmekuelewa sana man of GOd
Tukopamoja comrade Gwajima. Chifu angaya atatuerewa tu 2025
Kweli kabisaaa! Haleluyaaaaa!🙏🙏
ubalikiwe sana mtumishi wa bwana.
Gwaji boy on 🔥.
ukweli baba
Nipo kenya napenda maubiri ya baba God bless you sana natamani sana nikupigie simu lakini number sina🤦🤝🤝
Amen Amen Baba.
Ukueli kabisaa baba. Tuko pamoja nikiwa uarabuni 🙏
Umenena mtumishi
Askofu mgogo
From chato🙌💪
Mungu akubariki Sana ni kweli mwanamke ni taji kwa mumeo
Dady asante
Sana sana haleluya wambie hao😄😅😅😅😅😆😆
Mgogo
@oscarmario466
2 жыл бұрын
Unautani na makabila ya watu
Mungu ni mkubwa
napenda sana mahubiri wako injili unayohubiri inachoma
Wambie
Kweli kabisaaa 😁😁😁
Kweli ni aibu mwanaume kukaa ndani halafu unamwacha mwanamke anaangaika wakati huna tatizo lotote
Wakiristo amkeni. Uislam ndio DINI ya YESU. Na wote MANABII.
Kabisaaa
@edenmunei4793
2 жыл бұрын
Kabisaaa
@aselasambala6878
2 жыл бұрын
Kweli kabsa kabsa MUNGU akubariki
Sikuhizi ndio zao hata huku Niko naona wanaoa sababu ya kazi
Kitu kizito chenye ncha kali ha ha ha 😂
🤣🤣🤣 Wababa wana mambo. Kweli. Ha ha haa. Yaani hawataki umsimulie jambo analipuka heeè kwani vipi si nimekumbushia tuuu
Pastor hiyo nikweli kabisa Mimi ni mmoja kati ya hao sipendi mtu aniletee mambo mengi
🤣🤣🤣👏🤝👍
Askofu Asante kwa masomo. Lakini umesema kwamba Adam alivyoumbwa ilipita miaka mingi na Eva akawepo kwa kutolewa mbavuni mwa Adam. Sijakuelewa hapa nkisoma kitabu cha Mwanzo 1:1_31 Dunia na vitu vyote viliumbwa ndani ya siku 7. Adamu aliumbwa siku ya 6 pia kabla ya siku ya 7 Saba-Sabato Eva alikuwepo. Nafikiri umesahau kidogo hapo
@gone9170
2 жыл бұрын
Mwanamke hakuumbwa bhn
@oscarmario466
2 жыл бұрын
Eva alikuja baadae sana na Tena mpaka Mungu alipoona adamu ni mpweke ndipo akampa usingizi na kumleta Eva kwa kupitia ubavu Ila fuatilia vitabu zaidi utajua zaidi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙏
😂😂😂😂😂
Kwenye description kwamba Ana raise dead big no kwa kweli,tuwe wakweli jamani khaa
🤣🤣🤣🤣🤣
@peterkichochi7510
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kuna mwanaume aniangalia zunguka ukatafute mfupa🤣🤣
Acheni ujinga wa kuwasifia vihiiyo ujinga. Eti Dk Gwajima! Alisomea wapi huu udaktari kama siyo kununua shahada feki na chafu za kijinga na kutaka sifa bila kustahiki wala kutesekea? Gwajima siyo dokta wala hana shahada hata moja. Ni tapeli wa kawaida anayeganga njaa kwa kuwaibia vihiiyo wenzake waliokata tamaa.
@rehemamwakinyaka3167
2 жыл бұрын
Wewe ni mpumbavu Aya kuwa wewe Daktar wivu tu huwwzi Gwajima na hatuchanjiiiiiiiiiiiiiiiiiii
@nkwazigatsha
2 жыл бұрын
@@rehemamwakinyaka3167 maskini hujui usemalo. Siku utakapofumbuka macho utakumbuka maneno yangu. Tatizo la watu mliokata tamaa hata uhalisia hamuutaki bali kudanganywa na kuridhishwa kwa utapeli na ujinga. Yesu alisema watakuja wengi kwa jina langu na watapoteza wengi hasa wenye macho wasione na wenye masikio wasisikie kama mbumbumbu na bunga na juha wewe. Gwajima ni tapeli na mie sikuongelea kuchanja au kutochanja. Kwani, hiyo ni haki ya mtu na mwili ni mali yake anayoweza kuitumia atakavyo. Kumbaff kabisa
@isikesamike
2 жыл бұрын
Sasa mtu akiwa kasoma au hakusoma wewe inakuuma nini sasa? Inakuhusu nini katika maisha yako? Haikupunguzii wala haikuongezei chochote kwenye maisha yako. Ya nini ujieleze kwa hasira hivi? Wivu utakuua.
@bcozhenry2698
2 жыл бұрын
@@nkwazigatsha mbona mliochanja mnaandamwa na matatizo ya akili? Ila kwa vile mpo wachache, endeleeni kubadilika mpaka muwe mazombi tunao uwezo wa kuwamudu mpaka mkawa mizoga endapo mtaleta mushkeli
@franklenard3186
2 ай бұрын
Gwajima IQ yake iko juu saaaana