Je, unajua kitakachotokea baada ya watu kuchanjwa? Ushauri mwingine kwa Rais huu hapa
Dr Josephat Gwajima is the Senior Pastor of a Largest Church in Tanzania. He is also the Arch-Bishop and founder of Ufufuo na Uzima Churches worldwide. God is using him to raise the dead, heal the sick and performing of signs and wonders in the name of Jesus. Follow his Facebook page jgwajima Instagram bishopgwajima
Join our Live Online Services every sunday at 1030 East Africa Time
Пікірлер: 360
Gwajima ni genius,hakika Mungu amekuweka kwa mission maalm ili Taifa la Tanzania lifke hatua ambay Mungu mwenyew amepanga
@eneambilinyi8401
3 жыл бұрын
Magufuli.wapili Hongera
Asante baba kusimama kwenye kweli,,, tupo NYUMA yako🙌🙌
Mungu muongezeye mtumishi wako gwajima siku nyingi apa duniani ili aendeleye kufundisha watoto wako.nashukuru baba Askofu
Ngwajima spirit of God iko ndani yako, na wewe Mungu anataka akutumie kw hili ili watu wengne waliosema Mungu hayupo wakili kw vinywa chao yupo ameni.
@magemagrita2265
3 жыл бұрын
Safi sana baba uwabonde kwa ukweli
Sir Gwajima nakukubali sana wewe ndio uliobakia serikalini mwenye aliki timamu Mungu andelee kupa nguvu zaidi na uzima wa afya na akulindie🙏
@Wamoyothenumberone
2 жыл бұрын
Aaamina
Ameen unasema kweli mubunge wetu barikiwa
Halooo Gwajima una akili kwa hakika, you deserve to be known as servant of God
Gwajima waambie ukweli uko sawa kabisa mtumishi wa Mungu. Tuko pamoja
@roycerolls9641
3 жыл бұрын
Mtumishi wa mungu yup au ndo yesu
Guys you are blessed to have this man of God. Listen to him
@josephstephen2047
3 жыл бұрын
Exactly Lulu we experience God's works through this man karibu Tanzania
MoG yu r so so intelligent!!! May the lord lift yu from glory to glory
Woooow!unaona mbali baba
Keep teaching sir!!!!
Right!!!!!!! The Country should be unique. As it had started with President Magufuli. Now it seems the country is draining
This great man is advising the President and government of the United Republic of Tanzania well. Ultimately Tanzania, Kenya and other Afrikan countries will have to adopt this strategy....have great, well-equiped and sufficiently-financed indigenous internal political, economic and military think-tanks and strategists to chart a path for the prosperity and continued secure sovereignty of their nations. With love from KENYA 🇰🇪
Amen...pastor I follow you from 🇨🇨🇨🇨🇰🇪🇰🇪🇰🇪 siwezi pata hiyo janjo...Kwame... gooooo..yesu..mwana..wa..mungu..ndio...chajo....langu
They will hate you for the truth but the truth will always prevail.
Unasema kweliii kabisa mchungaji mungu akujalie uendelee kutufungua akili
@Wamoyothenumberone
2 жыл бұрын
Kabsaaa
Nakukubali baba... Hapo ndo naamin magufuli hakufa na akili yake,, Bali ilibak Tz... Gwajima respect Sana ww
Gwajima Usipo gombea Uraisi Sitakuelewa Kiongozi wangi 2025 Tunaenda na Gwajima
@rashididd6534
3 жыл бұрын
Safi sana
@roseuwambe893
3 жыл бұрын
Kabisa🤞
@fatumajuma1157
3 жыл бұрын
Cjui km unajua km tatzo ni katba uliyopo IPO kwa ajili ya ccm? Huyu ccm wanamchukia ss atatangazwaje mshnd mbele ya kina cro? Kwa7bu ccm hawawezi kubali agombee na akianzisha chama chake kitaambiwa ni chakidin Na hata apate kura mili 50 Hatangazwi natume Na akienda upnzan ataishia gerzan Kwa kes za ugaid
@catherinejoseph2951
3 жыл бұрын
Kabisaaassaa
@loxlox7707
3 жыл бұрын
Shida wajumbe waccm watampitisha kwenye kura zawajumbe
Usimpende Bishop Gwajima unaanzaje kwa mfano
Mungu atende miujiza juu ya wote wanaosaport chanjo na yeye aliye juu jina lake lijizihilishe. Balikiwa mtumishi wa bwana
@johnpatrickkihind5152
3 жыл бұрын
Gwajima upon sahih kabisaa
This is science not gospel! I love this man! Hawa ndio wachungaji ambao wanakaa mkao wa kuenda mbinguni sio wale wanabiashara waoga ambao kila kukicha wanatuibia kanisani! Mimi sio kondoo wako Gwajima ila unanifanya nitabasamu heavenly gifts! Kumbe bado tunaye Magufuli wa pili Tz.
Apo kwenye engine big up mazeee yamechokaa yanasababisha ata ukosefu wa ajira
@user-bx7zk7to8k
4 ай бұрын
😂😂😂😂
Asantee baba we ni mkwel mashaalah
@Wamoyothenumberone
2 жыл бұрын
Nakwel
Gwajima nakukubali sana kwa msimamo wako mungu yu pamoja nawe watu kama wewe ni wachache sana tunamuomba mungu akuwezeshe kuwa rais wetu wa jamuhuri ya muungano wa tanzania
Kinachotakiwa hapa ni imani.Kama huna imani,unashangilia tu.utaaibika.tuamini hata pasipo kuona.
Reverend Gwajima so much respect Natumaini wataelewa ukweli tu GODs peace be upon you Reverend
Asante yesu kwa ufunuo
@evelinenyagawa7027
3 жыл бұрын
Mbegu ikufukiwa lazima iote mbegu magufuli i limefukiwa umeota mche ngwajima
These are the people whom I can comfortably sit down and listen.
Hili jamaa kichwa sn. Limeona mbaaali km nilivyoona mm. New World Order inazaliwa. One government, one currency, one reliogion.
@reginasawe3356
3 жыл бұрын
🤔🤔🤔
@kluzophilimon7186
2 жыл бұрын
Thanks Gwjima the large mass look to you.
@Wamoyothenumberone
2 жыл бұрын
Unaona wasukuma walivyo naakil
Rev Gwajima,a great philosofer keep it up,in educating mass.
Upo sawa sana Asikofu wangu,,niliona mtandaoni kuwa wamekukamata Baba,nimeumia sana,,
Hongera baba umenena vizuri
Safi sana bishop
Uko saws. Mungu akubari, tupopamoja.
Malcom x of Tzee...keep teaching the truth brother... people will understand you
Mungu aendelee kukutumia kama vile apendavyo Yeye
Watawala wetu wangekuwa wanaona mbali,wangemtumia kuwashauri nini wafanye katika kipindi hiki ili kuiandalia mahali pake baada ya machanjo haya!!
I like this man, he speak the fact.
Tunasimama na Gwajimaaa, hayupo WA kutubadilishaaa,
Maguful wapili kutetea watanzania na hiyo corona
@Wamoyothenumberone
2 жыл бұрын
Umeinaee nikweli kabsa
This wisdom is heavenly
Yes uko sahihi wafundishe wa🇹🇿
@farajastudioandstationery5798
3 жыл бұрын
MCHUNGAJI wetu, Kipenzi chetu, Baba yetu, Mtu wetu, Mpiganaji wetu, Msela wetu, Rafiki yetu na tegemeo LETU Watanzania kama Magufuli, tupiganie, tusemeee na Tusaidie kuifikia Kweli yetu Watanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 alipoishia Magufuli Tusaidie Kufika.....
Be blessed the Servant of God
Kep it up my pastor never give up pull up your socks I proud you
@alexnyamoko3851
3 жыл бұрын
Sisi wakenya tunawekewa Lazima upate vaccine shetani ashindwe katika jina la yesu bishop endelea hivyo tupige mwovu in Jesus name Amen Thank you so much .
HALELUYA
Namuombea gwajima apate urais 2025 hakika dunia itajua kwamba MUNGU yupo
@user-bx7zk7to8k
4 ай бұрын
Our prayer na Mungu atujibu 🙏🙏
Piga chini Engine zooote za zamani hazihitaji Hata Service. Big. Up. Bro NDO MAANA HATA MAGUFULI ALIKUWA MWAMBAAAAAAAH. 🙏🙏🙏🙏🙏💪💪💪💪
Mungu tunaomba neema yako,inatutosha.
Nikweli baba unachoongea watanzania tumuunge mkono gwajima
You're my Malcolm X, please keep on,I'm behind.
@veredianaveredianajohn3818
3 жыл бұрын
Kweli mwenye sikio na asikie tumuombee sana huyu Baba
Mungu akulinde uwe prezo aki
Mungu akulinde
Sema baba tunakuelewa wasio kuelewa kazi kwao..
Una akili nyingi san pastor,God bless u so much
Huyu mtu ana akili sana, he is a great thinker
@amohammed3390
3 жыл бұрын
Uongo mtupu anawatia watu khofu tu hajasoma molecular biology huyu anasemaje hivi
@increaseknowledgetvonline5507
3 жыл бұрын
@@amohammed3390 waliosoma wako wapi? Mbona ujasiiri wao haatuuoni? Kama wamesoma kweli kwanini wasitumie knowledge walio nayo kutengeneza dawa?
@amohammed3390
3 жыл бұрын
@@increaseknowledgetvonline5507 Wasomi si lazima watrngeneze dawa. Uwezo wa Kutengeneza dawa unaendana na uwezo wa nchi au serikali kiuchumi. Kutengeneza dawa sio kama Kutengeneza sabuni ya mche kuwa kila mtu anaweza Kutengeneza.
@increaseknowledgetvonline5507
3 жыл бұрын
@@amohammed3390 baki na fikira za kushindwa na kutoweza.
@nyembomajidi3027
3 жыл бұрын
@@increaseknowledgetvonline5507 tatizo letu wafrica nikupondana pale mtu anawafanya watu kuelewa jambo fulani, yeye amejitoa uhai kwaku wapa watu elimu, je mimi na wewe elimu zetu nikutukana wengine.
Wengine wako wapi kusapoti ujumbe wa Gwajima? Woga umetawala. Mungu anasema tusiogope, tumwamini Mungu tu.
Love you a man of God
May God cover you man of God ..keep on standing in Truth.
Jasusi la mbinguni💪👊I stand with you
Nakuelewa Sana Mzee. Kuna clip moja 8years iliyopita shekhe alitabili hilijambo. Hakika Mungu atunusu na Akili ituongoze. Tuko gizani. New World Oder is coming!?????
@renatuswilson1577
3 жыл бұрын
Viongozi njaa ndowanapinga. Ila Hali nimbaya.
Hii dunia inahitaji tuwe na ujasiri mwingi na nguvu za Mungu ili ku servive
@gabrielnyanga8155
3 жыл бұрын
Sure!
@trophywilson7211
3 жыл бұрын
Hakika
Yes man of God go ahead and God will protect you indeed
So smart 💯
Amina baba naiona Tz ndani yako
Yeah!!!! This is what they want to introduce that is One World. Nonsense!!!!
Mm nakkbali sana keep it up
Akili za,wezee wetu waende nyumbn wakalee wajukuu .... Vijana nae nimuda wao wakuaminika katika level ya uongozi...Asant mchungaji kwa kuona mbali
@musicheals1545
3 жыл бұрын
Usisahau na akili za vibibi vizeeee
Asante Sana paster
Tuzidi kumwombea azidi kulindwa na Bwana
Gwajima ni hatar sana uyu jamaa anaakili japo watu humuona kama chizi sasa uchizi wake ndio huu hapa sasa mtaelewa tu na ww unaejiita mwanye akili au plofesa sasa sijui uyu tumuite nani sasa jaman uyu mtu ana nguvu ya mungu hakika mungu yupo amini ivo
Huyu nimoja Kati ya wazalendo wakeli zao la shujaa magufuli Asante mungu kwa tutupa gwajima
@evalinelenina7156
3 жыл бұрын
Amina mtu wamungu tutashinda
Ngwajoma ni Noma kbs! Huyu nimuite nani kwali? Unahitaji ujuzi kuhusu yanayo jili na Biblia, ya kisasa? Mfate Ngwajima.
Satuti gwajima jeshi hawakuwezi pigania damu zawatazania saluti sana jeshi
he is very genius
Mungu akulinde mtumishi wa Mungu, umenene ukweli mtupu 🙏🙏🙏🙏🙏
Sasa ukijizuia hatutapata kile mungu ameweka ndani yako.nakusikiza Pastor
I agree with you Bishoo
I love you Bishop to the moon
Baba Mungu ni mzuri ongea mtumishi wa Mungu tunakuelewa sana
Gwajima gombea urais utapita bila kupingwa unauchungu na watazania maikini kama rafiki kipenzi mag
Kweli baba historia ukounaijua
Amina
Asante kaka umebalikiwa
Wazo lake la kupiga chini Engine za Zamani na Muunga mkono. Wekeni vijana Ili baadaye wawajibishwe
@farajastudioandstationery5798
3 жыл бұрын
MCHUNGAJI wetu, Kipenzi chetu, Baba yetu, Mtu wetu, Mpiganaji wetu, Msela wetu, Rafiki yetu na tegemeo LETU Watanzania kama Magufuli, tupiganie, tusemeee na Tusaidie kuifikia Kweli yetu Watanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 alipoishia Magufuli Tusaidie Kufika.....
Mungu amesema mwenyewa tumtazame yatatokea mengi na mengi yatakuja napia na manabii watatokea tu mtazame yawe.
Mungu akuzidishie na akuwekee juu zaido
Be blessed
Safi sana mtumishi
Nakupenda baba yangu
Be blessed mtani
Hallelujah
Ushasema Gwajima we need to foresee WASIKE W YONA kutoka Kenya
Uko vizuri sana tuko nyuma kwa maombi
Amina Baba tunabarikiwa Sana
Amen
Nahitaji namba ya simu ya Mheshimiwa aakofu Gwajima. Mimi ni kristu na raihia kawaida. Mkimbizi mkongo... Naomba munisaidie na namba hiyo tafadhali. Barikiwa sana mtu wa Mungu J.Gwajima.
Safi mnoo Mungu akutunze mtumishi wa Mungu ubarikiwe kwa viwango vya juu Sana
Nakupenda,mtumishi,unaongea,poti,xan
Baba tunakuombea sana mungu maana unavita Kali sana na serikali uyasemayo hawafurahiii hata kidogo