Je, unajua kitakachotokea baada ya watu kuchanjwa? Ushauri mwingine kwa Rais huu hapa

Dr Josephat Gwajima is the Senior Pastor of a Largest Church in Tanzania. He is also the Arch-Bishop and founder of Ufufuo na Uzima Churches worldwide. God is using him to raise the dead, heal the sick and performing of signs and wonders in the name of Jesus. Follow his Facebook page jgwajima Instagram bishopgwajima
Join our Live Online Services every sunday at 1030 East Africa Time

Пікірлер: 360

  • @ulimbokamwaipaja2856
    @ulimbokamwaipaja28563 жыл бұрын

    Gwajima ni genius,hakika Mungu amekuweka kwa mission maalm ili Taifa la Tanzania lifke hatua ambay Mungu mwenyew amepanga

  • @eneambilinyi8401

    @eneambilinyi8401

    3 жыл бұрын

    Magufuli.wapili Hongera

  • @scolasticasimbeye7409
    @scolasticasimbeye74093 жыл бұрын

    Asante baba kusimama kwenye kweli,,, tupo NYUMA yako🙌🙌

  • @jospindv4031
    @jospindv40312 жыл бұрын

    Mungu muongezeye mtumishi wako gwajima siku nyingi apa duniani ili aendeleye kufundisha watoto wako.nashukuru baba Askofu

  • @godfreymwinyi9354
    @godfreymwinyi93543 жыл бұрын

    Ngwajima spirit of God iko ndani yako, na wewe Mungu anataka akutumie kw hili ili watu wengne waliosema Mungu hayupo wakili kw vinywa chao yupo ameni.

  • @magemagrita2265

    @magemagrita2265

    3 жыл бұрын

    Safi sana baba uwabonde kwa ukweli

  • @sallygrace1495
    @sallygrace14953 жыл бұрын

    Sir Gwajima nakukubali sana wewe ndio uliobakia serikalini mwenye aliki timamu Mungu andelee kupa nguvu zaidi na uzima wa afya na akulindie🙏

  • @Wamoyothenumberone

    @Wamoyothenumberone

    2 жыл бұрын

    Aaamina

  • @franciswami7507
    @franciswami75073 жыл бұрын

    Ameen unasema kweli mubunge wetu barikiwa

  • @yuventmpiru7738
    @yuventmpiru77383 жыл бұрын

    Halooo Gwajima una akili kwa hakika, you deserve to be known as servant of God

  • @zakariamayunga2784
    @zakariamayunga27843 жыл бұрын

    Gwajima waambie ukweli uko sawa kabisa mtumishi wa Mungu. Tuko pamoja

  • @roycerolls9641

    @roycerolls9641

    3 жыл бұрын

    Mtumishi wa mungu yup au ndo yesu

  • @luluauma1886
    @luluauma18863 жыл бұрын

    Guys you are blessed to have this man of God. Listen to him

  • @josephstephen2047

    @josephstephen2047

    3 жыл бұрын

    Exactly Lulu we experience God's works through this man karibu Tanzania

  • @maalady4631
    @maalady46312 жыл бұрын

    MoG yu r so so intelligent!!! May the lord lift yu from glory to glory

  • @shiigeorge8107
    @shiigeorge81073 жыл бұрын

    Woooow!unaona mbali baba

  • @ramalowson
    @ramalowson3 жыл бұрын

    Keep teaching sir!!!!

  • @levinekalikuela4916
    @levinekalikuela49163 жыл бұрын

    Right!!!!!!! The Country should be unique. As it had started with President Magufuli. Now it seems the country is draining

  • @AmosKatana
    @AmosKatana3 жыл бұрын

    This great man is advising the President and government of the United Republic of Tanzania well. Ultimately Tanzania, Kenya and other Afrikan countries will have to adopt this strategy....have great, well-equiped and sufficiently-financed indigenous internal political, economic and military think-tanks and strategists to chart a path for the prosperity and continued secure sovereignty of their nations. With love from KENYA 🇰🇪

  • @irinenanciebarasa5566
    @irinenanciebarasa55663 жыл бұрын

    Amen...pastor I follow you from 🇨🇨🇨🇨🇰🇪🇰🇪🇰🇪 siwezi pata hiyo janjo...Kwame... gooooo..yesu..mwana..wa..mungu..ndio...chajo....langu

  • @athanuskamau8656
    @athanuskamau86562 жыл бұрын

    They will hate you for the truth but the truth will always prevail.

  • @mpenzileharuna7971
    @mpenzileharuna79713 жыл бұрын

    Unasema kweliii kabisa mchungaji mungu akujalie uendelee kutufungua akili

  • @Wamoyothenumberone

    @Wamoyothenumberone

    2 жыл бұрын

    Kabsaaa

  • @nicholauspeter4681
    @nicholauspeter46813 жыл бұрын

    Nakukubali baba... Hapo ndo naamin magufuli hakufa na akili yake,, Bali ilibak Tz... Gwajima respect Sana ww

  • @sylivanussyliacus4654
    @sylivanussyliacus46543 жыл бұрын

    Gwajima Usipo gombea Uraisi Sitakuelewa Kiongozi wangi 2025 Tunaenda na Gwajima

  • @rashididd6534

    @rashididd6534

    3 жыл бұрын

    Safi sana

  • @roseuwambe893

    @roseuwambe893

    3 жыл бұрын

    Kabisa🤞

  • @fatumajuma1157

    @fatumajuma1157

    3 жыл бұрын

    Cjui km unajua km tatzo ni katba uliyopo IPO kwa ajili ya ccm? Huyu ccm wanamchukia ss atatangazwaje mshnd mbele ya kina cro? Kwa7bu ccm hawawezi kubali agombee na akianzisha chama chake kitaambiwa ni chakidin Na hata apate kura mili 50 Hatangazwi natume Na akienda upnzan ataishia gerzan Kwa kes za ugaid

  • @catherinejoseph2951

    @catherinejoseph2951

    3 жыл бұрын

    Kabisaaassaa

  • @loxlox7707

    @loxlox7707

    3 жыл бұрын

    Shida wajumbe waccm watampitisha kwenye kura zawajumbe

  • @pastorgodsonjohn8562
    @pastorgodsonjohn85623 жыл бұрын

    Usimpende Bishop Gwajima unaanzaje kwa mfano

  • @lissag3779
    @lissag37793 жыл бұрын

    Mungu atende miujiza juu ya wote wanaosaport chanjo na yeye aliye juu jina lake lijizihilishe. Balikiwa mtumishi wa bwana

  • @johnpatrickkihind5152

    @johnpatrickkihind5152

    3 жыл бұрын

    Gwajima upon sahih kabisaa

  • @frankongete9396
    @frankongete93962 жыл бұрын

    This is science not gospel! I love this man! Hawa ndio wachungaji ambao wanakaa mkao wa kuenda mbinguni sio wale wanabiashara waoga ambao kila kukicha wanatuibia kanisani! Mimi sio kondoo wako Gwajima ila unanifanya nitabasamu heavenly gifts! Kumbe bado tunaye Magufuli wa pili Tz.

  • @afreytonemajidi6909
    @afreytonemajidi69093 жыл бұрын

    Apo kwenye engine big up mazeee yamechokaa yanasababisha ata ukosefu wa ajira

  • @user-bx7zk7to8k

    @user-bx7zk7to8k

    4 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @lailatlasway7107
    @lailatlasway71073 жыл бұрын

    Asantee baba we ni mkwel mashaalah

  • @Wamoyothenumberone

    @Wamoyothenumberone

    2 жыл бұрын

    Nakwel

  • @daudimanyerezu2001
    @daudimanyerezu20013 жыл бұрын

    Gwajima nakukubali sana kwa msimamo wako mungu yu pamoja nawe watu kama wewe ni wachache sana tunamuomba mungu akuwezeshe kuwa rais wetu wa jamuhuri ya muungano wa tanzania

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga28483 жыл бұрын

    Kinachotakiwa hapa ni imani.Kama huna imani,unashangilia tu.utaaibika.tuamini hata pasipo kuona.

  • @ggcrank6264
    @ggcrank62643 жыл бұрын

    Reverend Gwajima so much respect Natumaini wataelewa ukweli tu GODs peace be upon you Reverend

  • @estherpascal3143
    @estherpascal31433 жыл бұрын

    Asante yesu kwa ufunuo

  • @evelinenyagawa7027

    @evelinenyagawa7027

    3 жыл бұрын

    Mbegu ikufukiwa lazima iote mbegu magufuli i limefukiwa umeota mche ngwajima

  • @metiakijoseph9913
    @metiakijoseph99132 жыл бұрын

    These are the people whom I can comfortably sit down and listen.

  • @jumakibe5032
    @jumakibe50323 жыл бұрын

    Hili jamaa kichwa sn. Limeona mbaaali km nilivyoona mm. New World Order inazaliwa. One government, one currency, one reliogion.

  • @reginasawe3356

    @reginasawe3356

    3 жыл бұрын

    🤔🤔🤔

  • @kluzophilimon7186

    @kluzophilimon7186

    2 жыл бұрын

    Thanks Gwjima the large mass look to you.

  • @Wamoyothenumberone

    @Wamoyothenumberone

    2 жыл бұрын

    Unaona wasukuma walivyo naakil

  • @hamishamis4521
    @hamishamis45213 жыл бұрын

    Rev Gwajima,a great philosofer keep it up,in educating mass.

  • @ayoubkikoti6344
    @ayoubkikoti63443 жыл бұрын

    Upo sawa sana Asikofu wangu,,niliona mtandaoni kuwa wamekukamata Baba,nimeumia sana,,

  • @irenemsigwa3848
    @irenemsigwa38483 жыл бұрын

    Hongera baba umenena vizuri

  • @josiahmasumbuko9197
    @josiahmasumbuko91973 жыл бұрын

    Safi sana bishop

  • @japhetmkwabi5441
    @japhetmkwabi54413 жыл бұрын

    Uko saws. Mungu akubari, tupopamoja.

  • @ngasikajoel9576
    @ngasikajoel95763 жыл бұрын

    Malcom x of Tzee...keep teaching the truth brother... people will understand you

  • @aristidmasse4258
    @aristidmasse42583 жыл бұрын

    Mungu aendelee kukutumia kama vile apendavyo Yeye

  • @fortunatusmkatakiu7718
    @fortunatusmkatakiu77183 жыл бұрын

    Watawala wetu wangekuwa wanaona mbali,wangemtumia kuwashauri nini wafanye katika kipindi hiki ili kuiandalia mahali pake baada ya machanjo haya!!

  • @SadiqSadiq-so9dk
    @SadiqSadiq-so9dk2 жыл бұрын

    I like this man, he speak the fact.

  • @bahatidamiani561
    @bahatidamiani5613 жыл бұрын

    Tunasimama na Gwajimaaa, hayupo WA kutubadilishaaa,

  • @denisekamilo5307
    @denisekamilo53073 жыл бұрын

    Maguful wapili kutetea watanzania na hiyo corona

  • @Wamoyothenumberone

    @Wamoyothenumberone

    2 жыл бұрын

    Umeinaee nikweli kabsa

  • @dicksonmuhia6292
    @dicksonmuhia62922 жыл бұрын

    This wisdom is heavenly

  • @alexmasea2425
    @alexmasea24253 жыл бұрын

    Yes uko sahihi wafundishe wa🇹🇿

  • @farajastudioandstationery5798

    @farajastudioandstationery5798

    3 жыл бұрын

    MCHUNGAJI wetu, Kipenzi chetu, Baba yetu, Mtu wetu, Mpiganaji wetu, Msela wetu, Rafiki yetu na tegemeo LETU Watanzania kama Magufuli, tupiganie, tusemeee na Tusaidie kuifikia Kweli yetu Watanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 alipoishia Magufuli Tusaidie Kufika.....

  • @henrymhema3101
    @henrymhema31013 жыл бұрын

    Be blessed the Servant of God

  • @festorashidi7947
    @festorashidi79473 жыл бұрын

    Kep it up my pastor never give up pull up your socks I proud you

  • @alexnyamoko3851

    @alexnyamoko3851

    3 жыл бұрын

    Sisi wakenya tunawekewa Lazima upate vaccine shetani ashindwe katika jina la yesu bishop endelea hivyo tupige mwovu in Jesus name Amen Thank you so much .

  • @wellahsuleiman7881
    @wellahsuleiman78813 жыл бұрын

    HALELUYA

  • @sarahmsangi7243
    @sarahmsangi72433 жыл бұрын

    Namuombea gwajima apate urais 2025 hakika dunia itajua kwamba MUNGU yupo

  • @user-bx7zk7to8k

    @user-bx7zk7to8k

    4 ай бұрын

    Our prayer na Mungu atujibu 🙏🙏

  • @truezjr.3410
    @truezjr.34103 жыл бұрын

    Piga chini Engine zooote za zamani hazihitaji Hata Service. Big. Up. Bro NDO MAANA HATA MAGUFULI ALIKUWA MWAMBAAAAAAAH. 🙏🙏🙏🙏🙏💪💪💪💪

  • @juliethswai9716
    @juliethswai97163 жыл бұрын

    Mungu tunaomba neema yako,inatutosha.

  • @eliudidaudi2079
    @eliudidaudi20793 жыл бұрын

    Nikweli baba unachoongea watanzania tumuunge mkono gwajima

  • @bonyebona2168
    @bonyebona21683 жыл бұрын

    You're my Malcolm X, please keep on,I'm behind.

  • @veredianaveredianajohn3818

    @veredianaveredianajohn3818

    3 жыл бұрын

    Kweli mwenye sikio na asikie tumuombee sana huyu Baba

  • @peninauae2309
    @peninauae23093 жыл бұрын

    Mungu akulinde uwe prezo aki

  • @lovenessambali1990
    @lovenessambali19903 жыл бұрын

    Mungu akulinde

  • @lovenessmahsen3433
    @lovenessmahsen34333 жыл бұрын

    Sema baba tunakuelewa wasio kuelewa kazi kwao..

  • @eliakalimluwa3504
    @eliakalimluwa35043 жыл бұрын

    Una akili nyingi san pastor,God bless u so much

  • @increaseknowledgetvonline5507
    @increaseknowledgetvonline55073 жыл бұрын

    Huyu mtu ana akili sana, he is a great thinker

  • @amohammed3390

    @amohammed3390

    3 жыл бұрын

    Uongo mtupu anawatia watu khofu tu hajasoma molecular biology huyu anasemaje hivi

  • @increaseknowledgetvonline5507

    @increaseknowledgetvonline5507

    3 жыл бұрын

    @@amohammed3390 waliosoma wako wapi? Mbona ujasiiri wao haatuuoni? Kama wamesoma kweli kwanini wasitumie knowledge walio nayo kutengeneza dawa?

  • @amohammed3390

    @amohammed3390

    3 жыл бұрын

    @@increaseknowledgetvonline5507 Wasomi si lazima watrngeneze dawa. Uwezo wa Kutengeneza dawa unaendana na uwezo wa nchi au serikali kiuchumi. Kutengeneza dawa sio kama Kutengeneza sabuni ya mche kuwa kila mtu anaweza Kutengeneza.

  • @increaseknowledgetvonline5507

    @increaseknowledgetvonline5507

    3 жыл бұрын

    @@amohammed3390 baki na fikira za kushindwa na kutoweza.

  • @nyembomajidi3027

    @nyembomajidi3027

    3 жыл бұрын

    @@increaseknowledgetvonline5507 tatizo letu wafrica nikupondana pale mtu anawafanya watu kuelewa jambo fulani, yeye amejitoa uhai kwaku wapa watu elimu, je mimi na wewe elimu zetu nikutukana wengine.

  • @jeremiahmukhandi3964
    @jeremiahmukhandi39643 жыл бұрын

    Wengine wako wapi kusapoti ujumbe wa Gwajima? Woga umetawala. Mungu anasema tusiogope, tumwamini Mungu tu.

  • @gracenyangusi6230
    @gracenyangusi62303 жыл бұрын

    Love you a man of God

  • @paulpraise.w.m7121
    @paulpraise.w.m71212 жыл бұрын

    May God cover you man of God ..keep on standing in Truth.

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith54793 жыл бұрын

    Jasusi la mbinguni💪👊I stand with you

  • @renatuswilson1577
    @renatuswilson15773 жыл бұрын

    Nakuelewa Sana Mzee. Kuna clip moja 8years iliyopita shekhe alitabili hilijambo. Hakika Mungu atunusu na Akili ituongoze. Tuko gizani. New World Oder is coming!?????

  • @renatuswilson1577

    @renatuswilson1577

    3 жыл бұрын

    Viongozi njaa ndowanapinga. Ila Hali nimbaya.

  • @christianmwasakogo5579
    @christianmwasakogo55793 жыл бұрын

    Hii dunia inahitaji tuwe na ujasiri mwingi na nguvu za Mungu ili ku servive

  • @gabrielnyanga8155

    @gabrielnyanga8155

    3 жыл бұрын

    Sure!

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    3 жыл бұрын

    Hakika

  • @josephkime6035
    @josephkime60352 жыл бұрын

    Yes man of God go ahead and God will protect you indeed

  • @geopolitics94
    @geopolitics943 жыл бұрын

    So smart 💯

  • @marcomalow6095
    @marcomalow60953 жыл бұрын

    Amina baba naiona Tz ndani yako

  • @levinekalikuela4916
    @levinekalikuela49163 жыл бұрын

    Yeah!!!! This is what they want to introduce that is One World. Nonsense!!!!

  • @rajabuadam6308
    @rajabuadam63083 жыл бұрын

    Mm nakkbali sana keep it up

  • @privashirima6903
    @privashirima69033 жыл бұрын

    Akili za,wezee wetu waende nyumbn wakalee wajukuu .... Vijana nae nimuda wao wakuaminika katika level ya uongozi...Asant mchungaji kwa kuona mbali

  • @musicheals1545

    @musicheals1545

    3 жыл бұрын

    Usisahau na akili za vibibi vizeeee

  • @mishecksimkoko2050
    @mishecksimkoko20502 жыл бұрын

    Asante Sana paster

  • @braisonjohnnzunda
    @braisonjohnnzunda3 жыл бұрын

    Tuzidi kumwombea azidi kulindwa na Bwana

  • @samdavid8583
    @samdavid85833 жыл бұрын

    Gwajima ni hatar sana uyu jamaa anaakili japo watu humuona kama chizi sasa uchizi wake ndio huu hapa sasa mtaelewa tu na ww unaejiita mwanye akili au plofesa sasa sijui uyu tumuite nani sasa jaman uyu mtu ana nguvu ya mungu hakika mungu yupo amini ivo

  • @rashididd6534
    @rashididd65343 жыл бұрын

    Huyu nimoja Kati ya wazalendo wakeli zao la shujaa magufuli Asante mungu kwa tutupa gwajima

  • @evalinelenina7156

    @evalinelenina7156

    3 жыл бұрын

    Amina mtu wamungu tutashinda

  • @muddah7559
    @muddah75593 жыл бұрын

    Ngwajoma ni Noma kbs! Huyu nimuite nani kwali? Unahitaji ujuzi kuhusu yanayo jili na Biblia, ya kisasa? Mfate Ngwajima.

  • @papytshinemu7435
    @papytshinemu74353 жыл бұрын

    Satuti gwajima jeshi hawakuwezi pigania damu zawatazania saluti sana jeshi

  • @susananicolaus9189
    @susananicolaus91893 жыл бұрын

    he is very genius

  • @noelswai2660
    @noelswai26603 жыл бұрын

    Mungu akulinde mtumishi wa Mungu, umenene ukweli mtupu 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @elnorahmjomba1311
    @elnorahmjomba13112 жыл бұрын

    Sasa ukijizuia hatutapata kile mungu ameweka ndani yako.nakusikiza Pastor

  • @dbamwenzaki
    @dbamwenzaki2 жыл бұрын

    I agree with you Bishoo

  • @zariadunia6328
    @zariadunia63282 жыл бұрын

    I love you Bishop to the moon

  • @merryangle9842
    @merryangle98423 жыл бұрын

    Baba Mungu ni mzuri ongea mtumishi wa Mungu tunakuelewa sana

  • @antonyluvanga6362
    @antonyluvanga63623 жыл бұрын

    Gwajima gombea urais utapita bila kupingwa unauchungu na watazania maikini kama rafiki kipenzi mag

  • @Wamoyothenumberone
    @Wamoyothenumberone2 жыл бұрын

    Kweli baba historia ukounaijua

  • @jamilarajabu9636
    @jamilarajabu96363 жыл бұрын

    Amina

  • @amosdamian7308
    @amosdamian73082 жыл бұрын

    Asante kaka umebalikiwa

  • @pendael02
    @pendael023 жыл бұрын

    Wazo lake la kupiga chini Engine za Zamani na Muunga mkono. Wekeni vijana Ili baadaye wawajibishwe

  • @farajastudioandstationery5798

    @farajastudioandstationery5798

    3 жыл бұрын

    MCHUNGAJI wetu, Kipenzi chetu, Baba yetu, Mtu wetu, Mpiganaji wetu, Msela wetu, Rafiki yetu na tegemeo LETU Watanzania kama Magufuli, tupiganie, tusemeee na Tusaidie kuifikia Kweli yetu Watanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 alipoishia Magufuli Tusaidie Kufika.....

  • @hannajoseph645
    @hannajoseph6453 жыл бұрын

    Mungu amesema mwenyewa tumtazame yatatokea mengi na mengi yatakuja napia na manabii watatokea tu mtazame yawe.

  • @ramosrobert7656
    @ramosrobert76563 жыл бұрын

    Mungu akuzidishie na akuwekee juu zaido

  • @stanleymutua3551
    @stanleymutua35513 жыл бұрын

    Be blessed

  • @peterstanslaus2477
    @peterstanslaus24773 жыл бұрын

    Safi sana mtumishi

  • @marynikwisa9064
    @marynikwisa906410 ай бұрын

    Nakupenda baba yangu

  • @shonviabdallah5392
    @shonviabdallah53923 жыл бұрын

    Be blessed mtani

  • @violetimali5895
    @violetimali58953 жыл бұрын

    Hallelujah

  • @wasike215
    @wasike2152 жыл бұрын

    Ushasema Gwajima we need to foresee WASIKE W YONA kutoka Kenya

  • @josephwilliam8706
    @josephwilliam87063 жыл бұрын

    Uko vizuri sana tuko nyuma kwa maombi

  • @irenamichael6780
    @irenamichael67803 жыл бұрын

    Amina Baba tunabarikiwa Sana

  • @musandewele2549
    @musandewele25493 жыл бұрын

    Amen

  • @rwenenahomechannel1634
    @rwenenahomechannel16343 жыл бұрын

    Nahitaji namba ya simu ya Mheshimiwa aakofu Gwajima. Mimi ni kristu na raihia kawaida. Mkimbizi mkongo... Naomba munisaidie na namba hiyo tafadhali. Barikiwa sana mtu wa Mungu J.Gwajima.

  • @lutenganomwannyalu3366
    @lutenganomwannyalu33663 жыл бұрын

    Safi mnoo Mungu akutunze mtumishi wa Mungu ubarikiwe kwa viwango vya juu Sana

  • @dominiclakson6968
    @dominiclakson69683 жыл бұрын

    Nakupenda,mtumishi,unaongea,poti,xan

  • @eunicesamson2317
    @eunicesamson23173 жыл бұрын

    Baba tunakuombea sana mungu maana unavita Kali sana na serikali uyasemayo hawafurahiii hata kidogo

Келесі