POLEPOLE - "MAGUFULI ALISEMA UMEME USIKATIKE, TUFUKUE MAKABURI?, NAPE ANGEHOJI ENZI ZA JPM"...

Ойын-сауық

POLEPOLE - "MAGUFULI ALISEMA UMEME USIKATIKE, TUFUKUE MAKABURI?, NAPE ANGEHOJI ENZI ZA JPM"...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#Polepole #MsumariWaMoto #AfricaIsWatching

Пікірлер: 610

  • @johaneskatabalo9480
    @johaneskatabalo94802 жыл бұрын

    hongereni sana wasafi hakika haya mahojiano ni mazuri sana polepole amekuwa mtu sahihi sana jinsi anavyo jibu maswali kwa hoja nzito narudia mara kwa mara haya mahojiano.

  • @ellymakongo656
    @ellymakongo6562 жыл бұрын

    Anaongea anachokiishi salute sana kwako

  • @bevenmolokwane_tz4643
    @bevenmolokwane_tz46432 жыл бұрын

    safi sanaaaaa, 👍umemjibu vizuri sana kwenye hoja ya umeme, "hoja ya kipuuzi kweli kweli" Nepi anatufanya sisi watanzania mazuzu !!!

  • @johnmasanja1762
    @johnmasanja17622 жыл бұрын

    Unda chama chako pole pole, kura mingi saaaaana kwako, Tena ukiite jina JPM, 🗽🗽🗽

  • @josephgomalo41

    @josephgomalo41

    2 жыл бұрын

    NITAKATA KADI KESHO.. CHAMA JPM NDIO FUTURE A TANZANIA.. !

  • @joezeno8

    @joezeno8

    2 жыл бұрын

    @@josephgomalo41 kabisa

  • @ilampahamisi5777
    @ilampahamisi57772 жыл бұрын

    We are very blessed to have a person like H. Polepole. He is rich in love Quotient (LQ), emotional Quotient (EQ), Social Quotient (SQ) and intelligent Quotient (IQ). He knows what to speak and how, we need you in near future to be in executive.

  • @highcalling3012

    @highcalling3012

    2 жыл бұрын

    Real true

  • @sambbarua9813

    @sambbarua9813

    2 жыл бұрын

    ñ

  • @neemakaunda1737

    @neemakaunda1737

    2 жыл бұрын

    @@sambbarua9813 ww,

  • @ilampahamisi5777

    @ilampahamisi5777

    2 жыл бұрын

    @A1 thanks brother be blessed in advance.

  • @isaacwilson7529
    @isaacwilson75292 жыл бұрын

    Hpolepole Akili nyingi Sana Mungu akupandishe siku uwe rais wetu tz

  • @Boaz22

    @Boaz22

    2 жыл бұрын

    Akili nyingi ipi kaka

  • @rickyaruzi1983

    @rickyaruzi1983

    2 жыл бұрын

    Kitambulisho kimoja kinaweza tumiwa na wafanyabiashara wote

  • @afrohomeofsuccess2359

    @afrohomeofsuccess2359

    2 жыл бұрын

    @@Boaz22 unateseka sana mbona

  • @gracegrace6200

    @gracegrace6200

    2 жыл бұрын

    @@afrohomeofsuccess2359 kwasababu anaipenda nchi yake. Watu kama hawa wanahitajika Tanzania. Mungu hafungi milango yote. Katufungia MAGUFULI katufungulia PolePole

  • @queenpearl8286

    @queenpearl8286

    Жыл бұрын

    @@rickyaruzi1983 q22

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley61242 жыл бұрын

    huyu jamaa anajua mpk basi hpolepole on fire🔥

  • @yunusrnb5227
    @yunusrnb52272 жыл бұрын

    Jamaa Ana AKILI Sana,NAMKUBALI polepole toka TYC Tanzania youth Coalition,Ana UELEWA wa Mambo mengi

  • @deejeydaev
    @deejeydaev2 жыл бұрын

    Sasa haya ndio mambo. Wasafi hongereni kwa kipindi kama hiki..safi kabisa

  • @FINGATanzania
    @FINGATanzania2 жыл бұрын

    Yuko smart kuongea, smart kuchanganua, smart sana Polepole

  • @zengomikomangwa9264
    @zengomikomangwa92642 жыл бұрын

    Comrade Polepole uko vizuri sana. Unaweza kujenga hoja. Na uelewa mkubwa sana. Wengine wale.... Wanapenda kujipendekeza wazushi nk. Endelea kuelewesha umma !

  • @Boaz22

    @Boaz22

    2 жыл бұрын

    Hamna kitu hapa,utawala wa uongozi sio kusema jambo la uamuzi uliopo madarakani.give solutions...we are youth let's gain enough knowledge.sio kuchukua kila unachosikia

  • @gracegrace6200

    @gracegrace6200

    2 жыл бұрын

    @@Boaz22 Ni wewe unaona hakuna kitu. Wenye akiri zawo na wapenda haki kwa wote Tunaunga mukono.

  • @hajihassan5433

    @hajihassan5433

    2 жыл бұрын

    Ni maoni yako acha mwenye kuona yupo sahihi mpe uhuru. Hata Mungu hakubaliki na wote.

  • @alhaminyangusi8035

    @alhaminyangusi8035

    2 жыл бұрын

    Mwambie aache stress kila zama na watu wake,, atulie tu

  • @stevemwandambo587

    @stevemwandambo587

    2 жыл бұрын

    huyu mtu ana uelewa mkubwa xn ila Kwa wale watu wny akili ndogo ni ngumu xn kumuelewa..

  • @anordkingstar5793
    @anordkingstar57932 жыл бұрын

    Hamfely mngu akuongoze kaka naona moyo wako ulivyo saf juu ya nchi yetu hao mafisadi acha wakupinge tu,,, mda ukifika maneno yako yatakumbukwa,,, Amin nasema na mngu atawafunulia haya cku ya tukio tuombe uzima

  • @georgekimasaofficial1629
    @georgekimasaofficial16292 жыл бұрын

    Wasafi mmepevuka Sana nawapeni congratulations 😂😂😂

  • @gospelvibestv3914

    @gospelvibestv3914

    2 жыл бұрын

    Congratulation🔥🔥😜😀😀

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala99512 жыл бұрын

    Mb polepole Mungu akulinde tuzidi kujifunza kupitia wewe

  • @mohammedmdangwe2056
    @mohammedmdangwe20562 жыл бұрын

    Polepole jipangeni tumechoka na mgao wa umeme tunalala bila kuoga maji hakuna upigaji umerudi kwa kasi miradi ya kimkakati yote imesimama tunataka bwawa la nyerere liishe reli iishe

  • @novatusabond9253

    @novatusabond9253

    2 жыл бұрын

    Kweli kabisaa

  • @abdirizakibrahim1975
    @abdirizakibrahim19752 жыл бұрын

    We ndo baba yetu na ndo kakayetu mzalendo wa kweli hekima na busara zako hakuna mwenye akili na uono wa kesho kutwa katika taifa letu mungu akulinde mungu ibariki Tanzania

  • @michaelaloyce2072

    @michaelaloyce2072

    2 жыл бұрын

    Baba yako ww. Tena ukome

  • @Boaz22

    @Boaz22

    2 жыл бұрын

    Baba yako huyu we pimbi

  • @gracegrace6200

    @gracegrace6200

    2 жыл бұрын

    @@michaelaloyce2072 Koma wewe. Baba yetu sisi wapenda haki kwa wote. Sio wewe fisadi papasi mkubwa munyonya damu za Watanzania wenzio.

  • @gracegrace6200

    @gracegrace6200

    2 жыл бұрын

    @@Boaz22 pimbi ni wewe, usiyependa haki kwa wote. Mubinafi mkubwa wewe. Tanzania ni ya kila Mtanzania

  • @margarethpolepole7438

    @margarethpolepole7438

    2 жыл бұрын

    @@michaelaloyce2072 michael aloyce mbona unatoa matusi tena

  • @wilsonkaseha2034
    @wilsonkaseha20342 жыл бұрын

    Akili kubwa sana Huyu Polepole. Lakn nimeridhika na hosts kwa maswali na namna wanavyoijua kazi ya kusaili👍

  • @paulpius6566
    @paulpius65662 жыл бұрын

    HAMPHREY uko vzr saaaaana kaka , Mungu azidi kukupa Uhai na uisimamie serikali ya awamu ya tano

  • @pendomarco8928
    @pendomarco89282 жыл бұрын

    Nakupenda baba Yangu pole pole, wasaliti wabaya Sana mwisho wake ni kujinyonga Kama yuda aliyemsaliti Bwana Yesu

  • @kiwalejaphett5846
    @kiwalejaphett58462 жыл бұрын

    Kazi nzuri polepole

  • @gracegrace6200
    @gracegrace62002 жыл бұрын

    Pole pole Watanzania wapenda haki kwa wote tunakupenda. You give us hope. May God protect you my son.

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph49732 жыл бұрын

    Siku ukifa ndio tutakuana wasamani na kukupa majina Mazuri mapya ambayo huta sikia MUNGU AKUPATIE SAWABU YA KAZI

  • @shehitzmakulusha8154
    @shehitzmakulusha81542 жыл бұрын

    Akili nyingi sana

  • @awadhichimbunga2009
    @awadhichimbunga20092 жыл бұрын

    Natamani siku moja uje kuongoza taifa letu kaka

  • @zawadimwambungu8940
    @zawadimwambungu89402 жыл бұрын

    NIMEPENDA SANA HIKI KIPINDI HUYU JAMAA KWELI NIKIONGOZI TUNAOMBA MUMWITE TENA HUYU JAMAA ANAMAONO NA LEADERSHIP MIND KUBWA SANA HII NI SILAAA MUNGU AMPE MAISHA MAREFU SANA MR POLEPOLE WE PRAY FOR HIM

  • @peterjovit7342

    @peterjovit7342

    2 жыл бұрын

    Pole pole Mtu bwana mapungufu niya kila mwanadam lakini anajitahidi kwakwel

  • @Boaz22

    @Boaz22

    2 жыл бұрын

    Acha umavi wewe ,,unasikiliza flow sio?

  • @gracegrace6200

    @gracegrace6200

    2 жыл бұрын

    @@Boaz22 umavi unao wewe usiojuwa utu ni nini.

  • @yohanaholehole1298
    @yohanaholehole12982 жыл бұрын

    Kongole polepole you have a great vision to our nation....i always appreciate on you since 2011 in a young age of 12 years myself

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud7632 жыл бұрын

    Polepole wewe ni very intelligent 👌

  • @fraviansweetberty8819
    @fraviansweetberty88192 жыл бұрын

    Dah!!!!!!!!!!! Nawahuni wangeisha kweliiiiii Ila yote tumshukuru Mungu kwa kila jamboo atuna namna

  • @JMMM686
    @JMMM6862 жыл бұрын

    Polepole🇹🇿🇹🇿 wakati muhimu na sahihi unakuja kwako ili Tz uitumikie kwa nafasi ya juu

  • @ezekielchengula2228

    @ezekielchengula2228

    2 жыл бұрын

    Amen.

  • @florameza9529
    @florameza95292 жыл бұрын

    Wana ccm 2025 tuleteeni polepole anafaa kufata nyayo za magufuli

  • @priscacharlescharles9014
    @priscacharlescharles90142 жыл бұрын

    Wasafi ❤❤mko smarti sana 😍

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga15182 жыл бұрын

    Tunakukubali Polepole piga kazi tu,,,ila umenifurahisha Sana eti Maharamia walipelekewa Moto wa Kutosha

  • @fadhilmandaliabdalla6736
    @fadhilmandaliabdalla67362 жыл бұрын

    Michael Schofield 👊you are very truthful, logical, fear no body but God🙏

  • @rumb5876
    @rumb58762 жыл бұрын

    Usije ukachukua kasentensi kamoja usije ukazama nako baharini🗣 . Polepole Nakukubali sana Mungu akupe maisha marefu .

  • @meddymushimaz4998
    @meddymushimaz49982 жыл бұрын

    Polepole MZALENDO kati ya wazalendo waliobaki na wasiokuwa wanafiki,,NAMPENDA sana Polepole na tunahitaji vijana wa ainahii, baadhi yavijana tunawasomesha kwakodizetu lakini wakitokahuko wanakuwa mafisadi nawezi wa rasilimali za umma

  • @yuathmtenzi2114
    @yuathmtenzi21142 жыл бұрын

    Humble, brilliant and blessed man. Thanks comrade

  • @danielkntimba4565
    @danielkntimba45652 жыл бұрын

    Hongereni sana Wasafi TV na Comrade Polepole kwa kutuelimisha Umma wa Watanzania mambo muhimu ya nchi kwa jina.

  • @nyembomajidi3027
    @nyembomajidi30272 жыл бұрын

    ndio pole pole upinzani wa ubwege hauna faida sisi raia inabidi tuwe makini na hawa wampinzani wafrica from drc🇨🇩🇨🇩🇹🇿🇰🇪🇺🇬

  • @joojombi2341
    @joojombi23412 жыл бұрын

    Tzd tatizo kubwa sana wapigaji kila kikona na tabu sana kuwaponya mola amlaze pahali pema Magu kwa kweli

  • @kiwalejaphett5846
    @kiwalejaphett58462 жыл бұрын

    Polepole unajua mambo mengi sana saidia taifa

  • @lucykristensen7145
    @lucykristensen71452 жыл бұрын

    Una utu na uzalendo kwenye damu yako wa hali ya juu sana. Nadhani kwenye utoto wako ulikuwa unawagawia wadogo zako mkate kwa upendo na wewe unashiba kiroho.

  • @michaelaloyce2072

    @michaelaloyce2072

    2 жыл бұрын

    Unaumwa ww

  • @yohanamagele3633
    @yohanamagele36332 жыл бұрын

    Huyu ndio Mwanafunzi bora baada ya JPM KUFA Naamini Atashika hatam one day

  • @fredrickshantiwa9710
    @fredrickshantiwa97102 жыл бұрын

    Pole pole ni kiongozi mwema Sana

  • @antonyshayo7569

    @antonyshayo7569

    2 жыл бұрын

    Kaka were una hekima sana naomba uendelee kutuelimisha kwani wewe in kiongozi kweli

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun30152 жыл бұрын

    SAFI SANA MH.POLEPOLE.

  • @michaeldady1767
    @michaeldady17672 жыл бұрын

    Huyu jamaa ana akili mingi sanaaa...God bless you comrade

  • @alhaminyangusi8035

    @alhaminyangusi8035

    2 жыл бұрын

    Inaonekana ww una akili ndogo

  • @stevemwandambo587

    @stevemwandambo587

    2 жыл бұрын

    kwa kawaida binadamu akili huwa tunatofautiana kn watu wana akili xn, wengine kdg so ndio iko hvo

  • @mudolyomanzil6502
    @mudolyomanzil65022 жыл бұрын

    Bless bless #polepole #wcb

  • @josephsaghana1056
    @josephsaghana10562 жыл бұрын

    Asante naiona nuru ya Taifa inainuka Taratibuuu!!

  • @nicolausclement8408
    @nicolausclement84082 жыл бұрын

    Kwangu mm maoni yangu ningependa kuja kukuona huko mbeleni ukiwa raisi wainchi hii unauzarendo wakweli moyoni mwako kwa inchi yako tanzania nakikumbuka kile kipindi chako cha papo kwa hapo kilitatua kero nyingi sana kwa wanainchi mungu akusimamie msemakweli

  • @saudahassan6667
    @saudahassan66672 жыл бұрын

    Kiongoz wetu polepole allah akulinde

  • @malolelamayoka7491
    @malolelamayoka74912 жыл бұрын

    Mungu akubariki sana!

  • @adolphmaige4249
    @adolphmaige42492 жыл бұрын

    Asante Sana polepole

  • @zariadunia6328
    @zariadunia63282 жыл бұрын

    Nashukuru kulifahamu jambo la bandari ya bagamoyo huyu waziri mwambe hajielewi kweli kama jewellery la msingi liliwekwa mkataba utakosekanaje ajabu kubwa na ni aibu kwa mwAmbe tena ni muongo mzandiki mkubwa hata mkataba atatudanganya ttu

  • @mwambedesigner1371

    @mwambedesigner1371

    2 жыл бұрын

    Dah mtihan

  • @magwinahimself7316
    @magwinahimself73162 жыл бұрын

    Allah akupe umri mrefu kaka polepole

  • @barakaephraim5481
    @barakaephraim54812 жыл бұрын

    Mh Mungu awe mlinzi wako daimaa unafanya makubwa , ila Sasa tukuombee tu watz

  • @sarllemmtunze405
    @sarllemmtunze4052 жыл бұрын

    Waziri mwamba ni miongoni mwa wahuni watakaokuja kuighsrimu CCM na Tanzania kwa ujumla 😕

  • @shabaniabdu1312
    @shabaniabdu13122 жыл бұрын

    Upinzani wa tz mara nyingi hujitetea wao wenyewe Sio kutetea umma! Ndio maana hawa kupata kura. Matatizo yao wana tegemea taasisi za nje! Badala ya kutegemea ummma. Hawaja tambua kama kuishi kwao ni lazima kutegemea umma!!!! Ndio wapiga kura.

  • @eliamwasomola578

    @eliamwasomola578

    2 жыл бұрын

    Ubongo mdogo Sana huwezi kufikili

  • @sleymansleyman9511
    @sleymansleyman95112 жыл бұрын

    Comrade polepole nimtu yupo street sn hanaga konakona ukimuuliza swali anakujibu swali lako mpaka unashiba na anatengeneze hoja zenye mashiko kwa faida ya wananchi hongera kwake kwa kazi nzuri.

  • @joojombi2341
    @joojombi23412 жыл бұрын

    Mpe salaam sana rafiki yangu huyo mola amjaalie kila la kheiry

  • @adamsonkyando682

    @adamsonkyando682

    2 жыл бұрын

    Huyu jamaa anauwezo mkubwa sana wa kuwa kiongozi

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba3132 жыл бұрын

    Huyu polepole muwekeni karibu na viongozi wakuu awashauri jamani,wekeni watu ambao jamii inawaamini

  • @mohammedmdangwe2056
    @mohammedmdangwe20562 жыл бұрын

    Kwa mbali polepole utakuwa kiongozi mkubwa sana

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud7632 жыл бұрын

    Uko vizuri polepole

  • @lispafulgence9983
    @lispafulgence99832 жыл бұрын

    Polepole pamoja sana

  • @Butondo
    @Butondo2 жыл бұрын

    Kaka upo vizuri. Ninaingia kitandani kulala na Amani. Unajua unaongea nini na unajua kubaransi na kujibu hoja bila kupindisha swali lolote.

  • @fredrickshantiwa9710
    @fredrickshantiwa97102 жыл бұрын

    Nakupenda Sana ww jamaaa

  • @avitusleonard6728
    @avitusleonard67282 жыл бұрын

    Pole pole you are blessings to our country. May continue to flourish you; fear not my brother. One day, our people will understand your wisdoms.

  • @dostovan5142

    @dostovan5142

    2 жыл бұрын

    Not really

  • @enockmakombe9219
    @enockmakombe92192 жыл бұрын

    Daaah sitamani kuandika sana ila polepole tuonyeshe unachokizungumza tunaimani na ww

  • @jastinestanley6484
    @jastinestanley64842 жыл бұрын

    Kweli sema ukweli nguli WA Tanzania Kwa sasa

  • @kaayakitomary1233
    @kaayakitomary12332 жыл бұрын

    Kweli kabisa. Yaaaan sasa hv wanatumia nguvu sana

  • @angelinankuji7660

    @angelinankuji7660

    2 жыл бұрын

    Nakupenda sana m2 wa mungu una mcmamo na imani kweli usigeuke nyuma ukawa nguzo ya chumvi

  • @vicentmichael8424
    @vicentmichael84242 жыл бұрын

    Just imagine mtu anatokea sjui wap anaanza kusema mradi wetu ni hasara sjui katumwa na nani , kwanza bwawa lile sio uharibifu wa mazingira kwa sababu maji pia huleta mvua by evaporations process . I wish haya maoni yangu ayasome rais wetu ili atunusuru maana mipango ya nchi zilizoendelea hawataki tuwe na umeme ili tujiokoe na umaskni.

  • @novatusabond9253

    @novatusabond9253

    2 жыл бұрын

    Good

  • @simontv5012
    @simontv50122 жыл бұрын

    Akil ipo mahali panapo sitahil

  • @manp.....7694
    @manp.....76942 жыл бұрын

    Humphrey you're the GREAT. Nimekuelewa sana mkuu.

  • @noahyavinmlela859
    @noahyavinmlela8592 жыл бұрын

    "Tuko pamoja kiongozi #polepole

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph49732 жыл бұрын

    MH POLE POLE MM NIMEUONA UGUMU WAKAZI MLIYOKUA MNAIFANYA WAZALENDO NA KAZI NGUMU INAYO ENDELEA MUNGU AWE UPANDE WAKO NA WOTE WAZALENDO

  • @kpmagothtv8620
    @kpmagothtv86202 жыл бұрын

    Polepole we una akili sana 👏👏

  • @d.e.o8296
    @d.e.o82962 жыл бұрын

    Why wasikupatie Nchi ndg

  • @dansonkasala1784
    @dansonkasala17842 жыл бұрын

    Nakufuatilia sana na kujifunza mengi mazuri kutoka kwako Mh. Polepole

  • @furahamsabaha4238
    @furahamsabaha42382 жыл бұрын

    Hongera sana comredi kutusomesha,kuhusu bandari yabagamoyo,si rahisi hivyo rais akaweka jiwe la msingi wewe ukasema hakuna mkataba, ! Kusema ukweli jambo jema tusilewe madaraka tukafitinisha watu!

  • @barakandola3185
    @barakandola31852 жыл бұрын

    Daa natamani km ungekua Raisi wetu,upo vizuri

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon98232 жыл бұрын

    Humphrey Polepole 💪💪💯💯 kuna wasaliti humo CCM wasio na HAYA. Umewajibu vizuri sana sana. Huyo mwambe Mwambe anapaswa kujihudhuru.

  • @selector728

    @selector728

    2 жыл бұрын

    Kujihudhulu sio kujihudhuru🚮

  • @vicentmichael8424
    @vicentmichael84242 жыл бұрын

    Maoni yangu: tukiwa na umeme wa kutosha tutaweza kutunza mazingira maana watu wataacha kutumia kuni na mkaa. Pia tutavutia watu wengi kuwa na viwanda hapo ndo nchi yetu itakuwa kiuchumi. Tunaambiwa mazingira huku kwenye nchi zao wao hawatunzi mazingira nadhani lengo ni kutufanya tusiwe na umeme ili tuwe masoko yao ya bidhaa. Tafadhali viongozi wetu Mungu awaidia usiuze nchi yetu tunaipenda sana

  • @joshemman520

    @joshemman520

    2 жыл бұрын

    Pitia nyumba kumi hapo kwenu alaf unipe wangapi wanatumia umeme kupikia . Labda gesi !! Toa mapungufu ili kujenga hoja yenye nguvu! Watu wameumbwa kuona kasoro kwa wingi., Sipingi hoja fuata .

  • @petercat7417

    @petercat7417

    2 жыл бұрын

    Ni kweli ila kupata umeme wa uhakika nilazima uharibu mazingira

  • @mickdadyronaldo4113
    @mickdadyronaldo41132 жыл бұрын

    Polepole sauti safi kabisa umeongea vizuri sana kiongozi mzalendo uliebaki Tunakupenda sana

  • @hancymtembo1870
    @hancymtembo18702 жыл бұрын

    Polepole una akili sana

  • @khalfanmlala5093
    @khalfanmlala50932 жыл бұрын

    Safi sana

  • @davidlinus6940
    @davidlinus69402 жыл бұрын

    Akilini nyingi bro mungu awe nawe

  • @farajastudioandstationery5798
    @farajastudioandstationery57982 жыл бұрын

    Mhe. Pole pole We ni mtu kwelikweli nakukubali, waswahili walaji wa Nchi achana nao....

  • @salhajames2430
    @salhajames24302 жыл бұрын

    Yan pole pol unaakiliiii ww mimi nimkazi wambande nilishangaaa Yan hadi mbande wanaambiwa waondoke nashangaaa Yani hdi huk mbande

  • @sirfabiano767
    @sirfabiano7672 жыл бұрын

    Dah nimepata madini ya kutosha

  • @benjaminekimanuka6240
    @benjaminekimanuka62402 жыл бұрын

    Asante mzalendo wa afrika

  • @abeidmayanga809
    @abeidmayanga8092 жыл бұрын

    I wish uje kutuongoza kaka hakika wewe ninembo sahihi ya taifa hili Hujabadilika kaka kama wenzio KWELI TUNAKUOMBA UTAFUTE NAFASI YA KULIONGOZA TAIFA TUKO NYUMA YAKO

  • @wahapahapa3279
    @wahapahapa32792 жыл бұрын

    Mama samia hamna kitu hpolepole anatumia busara kubwa kutoongea kauli za kumvunjia heshima…ila ameeleweka wazalendo tunamuelewa na tumemuelewa

  • @rassimbaengswahili6191
    @rassimbaengswahili61912 жыл бұрын

    Nimekupenda Sana Polepole hakika wewe ni taa ya mamilion ya watanzania

  • @geopolitics94
    @geopolitics942 жыл бұрын

    Interview nzuri sana, both Mhojiwa na wanaohoji 👊🏾

  • @silverman6930
    @silverman69302 жыл бұрын

    This Guy is a Genius I live in the Uk and my guy will be a MP here in a Parliament for sure very intelligent… I’m so impressed listening to you Pole pole .. very articulate and knowledgeable in analysing matters . Incredible stuff 🇬🇧🇬🇧❤️❤️🔥🔥

  • @laurentlusatho4343
    @laurentlusatho43432 жыл бұрын

    uko vzuri sana polepole

  • @ooafrica3626
    @ooafrica36262 жыл бұрын

    Africa tunahitaji akna polepole wengi

  • @fkilawa
    @fkilawa2 жыл бұрын

    Polepole una akili nyingi saaaaaaaaaana wewe

  • @saidimalunda6487
    @saidimalunda64872 жыл бұрын

    What a speech HONGERA sana

  • @zikirination6769
    @zikirination67692 жыл бұрын

    Inatumika nguvu kubwa kushindana na kauli za awamu ya 5

  • @patelmpene3650
    @patelmpene36502 жыл бұрын

    Duuuuh kwel huu n msumari wa Moto mpo fire 🔥 naangalia huku nikiwa naogopa

  • @fidelymasokero1799
    @fidelymasokero17992 жыл бұрын

    charles wilium yuko smart kinoma🤜

Келесі