WALIOINGIA KWENYE 18 ZA WAZIRI AWESO WAKIPATA CHA MOTO “ASKARI KAMATA HUYU”

Waziri wa Maji Jumaa Aweso amewatia mbaroni Mhasibu na Mwenyekiti wa Jumuiya ya watumiaji Maji wa kijiji cha Berege kilichopo Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma baada ya kubaini ubadhirifu wa fedha katika jumuiya hizo ambapo pia ameagiza kuvunjwa kwa Jumuiya hiyo na kutaka jumuiya zote nchini ziundwe upya kwa kuzingatia uwepo wa wataalamu wa maji na wahasibu wenye Taaluma.
Waliotiwa mbaroni na kupelekwa kuhojiwa katika kituo cha Polisi Wilaya ya Mpwapwa ni Scolastika Simbangulu, ambaye ni Mhasibu na Gideon Chesco Mwenyekiti wa Chombo cha watumiaji maji.
Aweso amesema jumuia hizo zimegeuzwa kichaka cha watu kugawana fedha hali inayozorotesha upatikanaji wa maji hivyo kila Jumuiya nchini zinapoundwa zizingatie uwepo wa watu wenye utaalamu ili kuepusha ubadhilifu wa fedha za maji.

Пікірлер: 145

  • @eliakazana7252
    @eliakazana72523 жыл бұрын

    Ukushiba chezea kidevu chako na tumbo lako,,gongs like kwa mheshimiwa wazr WA maji!

  • @shambaiddi4984
    @shambaiddi49843 жыл бұрын

    Mwenyezi mungu akuongozee asiye kuwa na macho haaambiwi tizamaa kazi nzuri brother oweso unajuwa na unatimiza wajibu wako wa kazi

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania72583 жыл бұрын

    Muishimiwa uwesu Mungu akulinde na kila Shari unaifanya kazi vizuri hadirah WA TZ tunafarijika kumbe wapo waaminifu watendahaki Uwesu💕💕💕💕💕

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74383 жыл бұрын

    Sana a Mhe aweso tia ndani mijizi mingi iko kwenye dawasa njoo na huku mkoa wa pwani kibaha

  • @ameenaabdood2974
    @ameenaabdood29743 жыл бұрын

    Safi sana Raisi wa kesho ndotunataka wt km nyinyi safisana

  • @emmanuelmayunga1518

    @emmanuelmayunga1518

    3 жыл бұрын

    Kwel

  • @mathayonyerera3144
    @mathayonyerera31443 жыл бұрын

    Hongera sana AYO MEDIA mmekuwa mkitupatia habari za ukweli na uhakika!!👏❤

  • @donardmsomi8451
    @donardmsomi84513 жыл бұрын

    Kila nikiiona sura ya Aweso, naiona Tanzania mpya 2030 inakuja, Mwenyezi Mungu naomba Umpe afya njema Aweso,...

  • @sadickshabani2271

    @sadickshabani2271

    2 жыл бұрын

    Uraisi unamufaa Sana waziri juma 2030/ gobea uraisi mungu akupatie afya njema na maisha malefuu 🙏

  • @kadigatanzaniya4792
    @kadigatanzaniya47923 жыл бұрын

    Safii sana kaka yangu kazi iendelee mungu akuongoze l nshaallah

  • @aminaomary5567
    @aminaomary55672 жыл бұрын

    MHASIBU Huyu na wala hajui hesabu,halafu pumba kweli.

  • @eliakazana7252
    @eliakazana72523 жыл бұрын

    Mheshimiwa Awesso nakukubali sana

  • @alphoncembasa1775
    @alphoncembasa17753 жыл бұрын

    Safi sana waziri .

  • @evaristlucas6338
    @evaristlucas63383 жыл бұрын

    Very nice aweso umecheza nafasi yako vizuri sana hii ndo maana ya msaidizi wa raisi

  • @hadijaalpha7547
    @hadijaalpha75473 жыл бұрын

    Mueshimiwa uje na huku Arusha pls bill laki sisi wazee stress zinatuuwa 😢

  • @Jal210
    @Jal2103 жыл бұрын

    Safi waziri mambo mazuri sana tumbua hawa, wafilisiwe na funga iwe mfano kwa wengine

  • @abuumbegu8657
    @abuumbegu86573 жыл бұрын

    Aweso unauwezo mkubwa wa kusimamia, safi sana.

  • @kadigatanzaniya4792

    @kadigatanzaniya4792

    3 жыл бұрын

    Urais awamu ijayo unamhusu l nshaallah

  • @mkombwemkumbwa2305
    @mkombwemkumbwa2305 Жыл бұрын

    Ongera kwa kazi zuri

  • @oscarkasalile8442
    @oscarkasalile84423 жыл бұрын

    Safi sana wazir mzalendo

  • @josephatjordan5560
    @josephatjordan55603 жыл бұрын

    Tanzania ndio nchi Pekee ambayo watu wao hawataki kubadiriki na hawaitaji kusaidiana na serikali

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta22273 жыл бұрын

    Mungu akutangulie.waziri wetu

  • @user-cc4jk1ll5v
    @user-cc4jk1ll5v7 ай бұрын

    Awessoooooooooooo hongerasana sukumandani

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta22273 жыл бұрын

    Daaaah waziri sukuma ndani hao weziwakubwa haoo

  • @saidramadhan71
    @saidramadhan71 Жыл бұрын

    Mweshimiwa mwenyezi mungu akupe maisha marefu zaidi hapa Duniani kwani wewe ni mwamba

  • @kabwikaibrahim9502
    @kabwikaibrahim9502 Жыл бұрын

    Thanks!!

  • @joramkaganda976
    @joramkaganda9763 жыл бұрын

    Kazi iendeeee

  • @ezekieljacob5795
    @ezekieljacob57953 жыл бұрын

    Mkuu waziri nimecheka hadi machozi hii ya leo naomba iwekwe kwenye documentary au ichezwe movie au wasanii wetu wa nyimbo basi watunge wimbo.Mhasibu nionyeshe mahesabu tangia uliposhika ofisi... jibu aliyekuwepo alikimbia.waziri aaa ya kwako achana na aliyekimbia .HII NI BONGE LA MOVIE ..

  • @fadhilidanieli1478
    @fadhilidanieli147813 күн бұрын

    Daaaaah huyu dada imebidi amwage mchozi,ila haijasaidia

  • @mariamgodfrey53
    @mariamgodfrey533 жыл бұрын

    Hizi ni zama nyingine tafuteni pa kuibia watu wamekua waelewa Sana sasa ngoja muipate dawa yenu mheshimiwa tambaa nao hao tumechoka mhasibu mwenyewe hajielewi yeye pia mwizi

  • @deuspaschal7616
    @deuspaschal76162 жыл бұрын

    Nakukubali wazili,pia nilitaman Uwe waziri full

  • @SaudaLilandi-tg4wi
    @SaudaLilandi-tg4wi10 ай бұрын

    Napenda sana waziri kama juma hawesu nakubali sana

  • @aminibungara5158
    @aminibungara51582 жыл бұрын

    Watanzania tunapenda kiongozi kama huyu safi sana mungu ajalie

  • @chesconkwera2005
    @chesconkwera2005 Жыл бұрын

    Waziri unapambana sana Watendaji wako wanakuangusha sana .Komaa nao .Pesa za Miradi inaliwa sana

  • @dearmama7865
    @dearmama78659 ай бұрын

    Awesu mungu akuweke

  • @ziadamtebwa3712
    @ziadamtebwa3712 Жыл бұрын

    Mwenyekiti na mhasibu mungu anawaona

  • @festokemibala5832
    @festokemibala58324 ай бұрын

    Huyu naye ni kelele nyingi, mifumo na mabommba mengi yametandazwa mvua zinanyeshalakini mabomba hayana maji. Huku ni Majohe, Ilala dsm

  • @user-cc4jk1ll5v
    @user-cc4jk1ll5v7 ай бұрын

    Mheshimiwa toaamri makusanyoyote yafanyike kwakulipa na cotrl namba wesipokee pesa mkononi

  • @emmanuelelam555
    @emmanuelelam5553 жыл бұрын

    Jaman pesa ya uma haichezewi bado hamjui mbaka Leo weka ndani hao najua waziri unatimiza majukum yako mungu akujalie

  • @thomasmakweta1007
    @thomasmakweta10072 жыл бұрын

    Safiii sanaaa Aweso

  • @stephencharles2967
    @stephencharles29672 жыл бұрын

    Me huwa najiuliza viongoz wengine kama DC,mkurugenz na wakuu wa idala huwa wanafanya kaz gan mpka waziri ndo aje kuona madudu haya

  • @jumaabdala7530
    @jumaabdala75302 жыл бұрын

    Angekuwa Magufuli baba hapo ww mama usinichekee mm sichekewi tunahitaji pesa za wananchi onyesha hapa utazitapika Kama ulizila

  • @deoluma1706
    @deoluma17062 жыл бұрын

    Huyu ni wazir kweli kweli.yaan nikimuona nafarijika Kwan nahc magufuri anaishi

  • @edisonmaliva1719
    @edisonmaliva17193 жыл бұрын

    Safi sana aweso

  • @laulymo2063
    @laulymo20633 жыл бұрын

    Uweso nakukubali sana mpambanaji 🙏

  • @fatmaalwiy7651
    @fatmaalwiy7651 Жыл бұрын

    Tunataka na wazuri wa mazungira waseme hela za taka wanakusanya na gari haiji kumchukua nataka hawaji pesa zinaenda wapi kila mwezi wanachukua hela kila nyumba

  • @perepetuarwabona4178
    @perepetuarwabona41783 жыл бұрын

    Kazi iendelee

  • @rajabulipongo4135
    @rajabulipongo41352 жыл бұрын

    Mm nakupa taarifa mana mh wetu Abdalaa chikota naona anachelewa kukuambia njoo hapa Nanyamba mtwara Kijiji cha HINJU hali hiyo ipo nabado wanchi tunashida yavirula nahatuvipati sehemu nimoja tu inayopatikana maji sasa mh Juma Uweso njoo utusaidie chonde chonde

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 Жыл бұрын

    Bekegee oyee safiii

  • @kalengemochi9471
    @kalengemochi94713 жыл бұрын

    Aibu sana kwa kweli

  • @oscargmosha3108
    @oscargmosha31082 жыл бұрын

    Mh juma awesome nimejikuta nakuhusudu sana sikua nakufaham wala kukufuatilia vizuri ila sasa nimepata matumaini mapya nimekutazama kwa macho ya ndani nimekuona .hakika wewe ni timing la wa Tanzania hata kwa miaka ijayo nitakuombea sana kwa mungu kilasiki sitoacha kukuombea ili mumgu akulinde na akuepushe na maadui wasikukaribie kabisa

  • @yohanabundala9162

    @yohanabundala9162

    Жыл бұрын

    Juma aweso waziri wa maji na Dotto biteko waziri wa Madini wako vizuri sana jaribu kuwafatilia uone

  • @user-cc4jk1ll5v
    @user-cc4jk1ll5v7 ай бұрын

    Awesso nchihii nishida watumishi wanakwibasana

  • @aminaomary5567
    @aminaomary55672 жыл бұрын

    Ndio mh pita kote maanake kuna pumba hatari.

  • @rosemayunga4021
    @rosemayunga4021 Жыл бұрын

    Nyie wakuu mnawaweka mambumbu mradi mkubwa huu wakati wasomi wapo msiwafunge waacheni huru

  • @ExcitedPicturesqueLake-uj8ve
    @ExcitedPicturesqueLake-uj8ve2 ай бұрын

    Mh: aweso njoo na ileje

  • @johnassey170
    @johnassey1703 жыл бұрын

    Kijana wangu aweso pambana kwenye jumuiya za maji kuna ufisadi kinoma

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga15183 жыл бұрын

    Chapa kaz kijana mie nakukubali SANAAAAA

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 Жыл бұрын

    Ujishiba chezea kidevu siyo miadi 😁😁😁

  • @zakiamsafiri123zakiamsafir7
    @zakiamsafiri123zakiamsafir73 жыл бұрын

    Yani kunawatu hawana huluma na watanzania maskin

  • @mamaafrika1481
    @mamaafrika14813 жыл бұрын

    Safi dana

  • @nkeyembampenda898
    @nkeyembampenda8985 ай бұрын

    Mbona hauji kigoma sisi tumesahaulika

  • @user-cc4jk1ll5v
    @user-cc4jk1ll5v7 ай бұрын

    Amlisha kute walipe kwa cotro nombayaserikali

  • @ndagamwesa9955
    @ndagamwesa9955 Жыл бұрын

    Kumbe magu hajafa yupo safisana mwamba. wanyooshehao unauwezo wakuongoza

  • @allymapinda8804
    @allymapinda88043 жыл бұрын

    Ila hii nchi yetu inaendeshwa Kiswahili swahili sana, huwa wanasubiri mpaka balaa litokee Ndio viongozi waje kuanza kukamata kamata watu. Wekeni mifumo ya ki elektroniki. Lasivyo hakuna kitu hapo...

  • @alihu3752
    @alihu37523 жыл бұрын

    Tanzania ni nchi ambayo ina watu hawapo tayari nchi ibadilike dunia nzima watu wameendelea kwa kushilikiana vyema na serikali watu wanaokwamisha miradi kwa makusudi harafu wananchi wanaangaika tu vitu vya ajabu miradi yenu badala kichunga unafikili watu akili hazifsnyi kazi

  • @DM_15
    @DM_152 жыл бұрын

    Hakokadada kamanakaonaivi kanavyo pitana toyo kuelekea oficeni namchana kanaagiza chips hukukanapeluz KZread

  • @ndagamwesa9955
    @ndagamwesa9955 Жыл бұрын

    Jaman huyu mbina anauwezo wakuongoza inchi yaan anauchungu na inchi

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 Жыл бұрын

    Ukishiba chezea tumbo. Na kidevu chako Siyo milada 😁😁

  • @jamilakizya7792
    @jamilakizya77923 жыл бұрын

    Safi kwa maamzi walipe

  • @godsonjohn5321
    @godsonjohn53213 жыл бұрын

    Mkuu nakuomba uje pwani kuna madudu zahid ya hayo

  • @chesconkwera2005
    @chesconkwera2005 Жыл бұрын

    Aweso umetusha unaingea hata mate humezi.Ila watendaji wako ni vichomi

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta22273 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣hheeeeee jamanii wiziii huo wakiwaziwazi kama hivoo

  • @mariamgodfrey53

    @mariamgodfrey53

    3 жыл бұрын

    Yàani

  • @kainimlowe7555
    @kainimlowe75553 жыл бұрын

    mh waziri tembelea jumuiya zote nchi hii kuna usenge sana

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74383 жыл бұрын

    Waweke ndani hao mijizi

  • @benardsenguji8254
    @benardsenguji82543 жыл бұрын

    Kweli Mhasibu hana taaluma hiyo.Anacheka cheka tu.

  • @ndagamwesa9955
    @ndagamwesa9955 Жыл бұрын

    Pigakaz babaaa iposiku tutakupa inchi tu. unakipaj cha uongozi

  • @shanelmbunga1301
    @shanelmbunga1301 Жыл бұрын

    Aweso unatisha mzee

  • @flova7022
    @flova70222 жыл бұрын

    Huyu aweso mbna km mwanajeshi..yaan Hata jamaaa ajielezi duuu

  • @kennethngoleka517
    @kennethngoleka5173 жыл бұрын

    Miradi ya maji inahujumiwa na hao wataalamu,wanalipana posho wenyewe kwa wenyewe na siyo kushughulikia matatizo yanayohusu kutoka maji,hivyo badget zao huwa zinafanyiwa re allocation mara kwa mara ili wapate posho

  • @rashidiabdallah5970
    @rashidiabdallah59703 жыл бұрын

    Uko vizur.ila vip pangani kuhusu maji

  • @bebisheni4380
    @bebisheni43803 жыл бұрын

    unapo tuma mtu beki aweke pesa taarifa inarudi kwenye simu ya mwenye akaunt lakini upande wa maji unaletewa bili ukituma mtu hupewi marejesho ya malipo eti anapewa mrejesho alie tumwa

  • @dearmama7865
    @dearmama78659 ай бұрын

    Mh piga chini hao wanakusumbua tu

  • @deogratiusmahinyila6065
    @deogratiusmahinyila60653 жыл бұрын

    Huyo Mwenyekiti wa Kijiji cha Berege ndio tatizo. Anahujumu fedha za wananchi kwa kiburi cha kwamba analindwa na Mtu anayeitwa Mkuu wa wilaya ya Mpwapwa. Tunaomba hawa watu, Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa, Mkurugenzi na Mwenyekiti wa Kijiji wachunguzwe juu ya huu ubadhirifu wa huku Berege.

  • @halimakihame1744
    @halimakihame17443 жыл бұрын

    Kime umanaaà😅😅😅😅

  • @ndagamwesa9955
    @ndagamwesa9955 Жыл бұрын

    Hivyo vibinti ndiovyakuvinyonga vikumahivyo

  • @ezekieljacob5795
    @ezekieljacob57953 жыл бұрын

    Aweso mkuu hii itunze ili baada ya Uwaziri aidha iwe kwenye documentary au uje uifanye Movie.. .

  • @halimakihame1744
    @halimakihame17443 жыл бұрын

    Haya ndio madudu da hii kali

  • @ameenaabdood2974
    @ameenaabdood29743 жыл бұрын

    Tumempata mridhi wa Magu

  • @kadigatanzaniya4792

    @kadigatanzaniya4792

    3 жыл бұрын

    Umeona eee live bila kupingwaaa

  • @salimanyagawa5816
    @salimanyagawa58163 жыл бұрын

    DUH KUPATA WATU WAADILIFU NI KAZI KWELI KWA NCHI ZETU ZA AFRIKA. HILO SOMO LIANZIE LABDA CHEKECHEA HUKO ILI TUWE WAADILIFU

  • @almassylivester4691

    @almassylivester4691

    3 жыл бұрын

    TATIZO LA KUTOKUWA MUADILIFU, HALITEGEMEI UMESOMA AU LAA, NI UGONJWA UNAOTOKA MOYONI MWA MTU. HAKUNA MTU YEYOTE ANAEWEZA KUTIBU ISIPOKUWA YESU KRISTO PEKEE, MWANA WA MUNGU ALIYE HAI. ALIYEKUFA NA SASA YU HAI.

  • @kabogeof9597

    @kabogeof9597

    3 жыл бұрын

    Aweso mungu akupe ujasiri na ulinzi wa malaika

  • @cleopakahungo1614
    @cleopakahungo16143 жыл бұрын

    Wazir njoo Same tunateseka maji hatuyaoni

  • @user-po8hz7xw9j
    @user-po8hz7xw9j3 жыл бұрын

    Huyo muasibu hajui hata kazi yake

  • @issamsomba7219
    @issamsomba72193 жыл бұрын

    Wewe waziri wa maji rais wetu hataki hicho unacho kifanya utatumbuliwa acha ,msikilize rais wako kwanza,una was tia ndani baadaye watatolewa tuu,atakwambia hujaunda tume ya kuchunguza

  • @bebisheni4380
    @bebisheni43803 жыл бұрын

    Ukituma mtu alipie maji ulie sajili hupewi mrejesho ndio nini mnatuvurugua

  • @ndagamwesa9955
    @ndagamwesa9955 Жыл бұрын

    Vimalaya hivyo.

  • @MrCosmas15
    @MrCosmas153 жыл бұрын

    Unaweza ukajikuta unafukuza watu wote unabaki mwenyewe.

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania72583 жыл бұрын

    Ukikuta wamekula pesa wawe wanazo Lipa hata nyumba zao wakupe deni

  • @user-pj7mu5sk7e
    @user-pj7mu5sk7e9 ай бұрын

    Njo manyara

  • @florakankutebe3987
    @florakankutebe39873 жыл бұрын

    Huyu ndo magu ajae baada ya miaka kadhaa atakuwa magu og

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga15183 жыл бұрын

    Next JPM

  • @murattywamuratty9778
    @murattywamuratty97783 жыл бұрын

    Huyu dada aidhani sana kama anahusika bali wakuu wake alowakuta ndo walomuelekeza hivyo

  • @gadsonndato2941
    @gadsonndato29413 жыл бұрын

    Wanajaza matumbo yao na kuleta dharau kwa wananchi wanaotoa pesa

  • @ndagamwesa9955
    @ndagamwesa9955 Жыл бұрын

    Wapokonywe malizao zoote

  • @ndagamwesa9955
    @ndagamwesa9955 Жыл бұрын

    Mbona wananenepa? Wawe wananyongwa wapumbavu hao

Келесі