WALIOINGIA KWENYE 18 ZA WAZIRI AWESO WAKIPATA CHA MOTO “ASKARI KAMATA HUYU”
Waziri wa Maji Jumaa Aweso amewatia mbaroni Mhasibu na Mwenyekiti wa Jumuiya ya watumiaji Maji wa kijiji cha Berege kilichopo Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma baada ya kubaini ubadhirifu wa fedha katika jumuiya hizo ambapo pia ameagiza kuvunjwa kwa Jumuiya hiyo na kutaka jumuiya zote nchini ziundwe upya kwa kuzingatia uwepo wa wataalamu wa maji na wahasibu wenye Taaluma.
Waliotiwa mbaroni na kupelekwa kuhojiwa katika kituo cha Polisi Wilaya ya Mpwapwa ni Scolastika Simbangulu, ambaye ni Mhasibu na Gideon Chesco Mwenyekiti wa Chombo cha watumiaji maji.
Aweso amesema jumuia hizo zimegeuzwa kichaka cha watu kugawana fedha hali inayozorotesha upatikanaji wa maji hivyo kila Jumuiya nchini zinapoundwa zizingatie uwepo wa watu wenye utaalamu ili kuepusha ubadhilifu wa fedha za maji.
Пікірлер: 145
Ukushiba chezea kidevu chako na tumbo lako,,gongs like kwa mheshimiwa wazr WA maji!
Mwenyezi mungu akuongozee asiye kuwa na macho haaambiwi tizamaa kazi nzuri brother oweso unajuwa na unatimiza wajibu wako wa kazi
Muishimiwa uwesu Mungu akulinde na kila Shari unaifanya kazi vizuri hadirah WA TZ tunafarijika kumbe wapo waaminifu watendahaki Uwesu💕💕💕💕💕
Sana a Mhe aweso tia ndani mijizi mingi iko kwenye dawasa njoo na huku mkoa wa pwani kibaha
Safi sana Raisi wa kesho ndotunataka wt km nyinyi safisana
@emmanuelmayunga1518
3 жыл бұрын
Kwel
Hongera sana AYO MEDIA mmekuwa mkitupatia habari za ukweli na uhakika!!👏❤
Kila nikiiona sura ya Aweso, naiona Tanzania mpya 2030 inakuja, Mwenyezi Mungu naomba Umpe afya njema Aweso,...
@sadickshabani2271
2 жыл бұрын
Uraisi unamufaa Sana waziri juma 2030/ gobea uraisi mungu akupatie afya njema na maisha malefuu 🙏
Safii sana kaka yangu kazi iendelee mungu akuongoze l nshaallah
MHASIBU Huyu na wala hajui hesabu,halafu pumba kweli.
Mheshimiwa Awesso nakukubali sana
Safi sana waziri .
Very nice aweso umecheza nafasi yako vizuri sana hii ndo maana ya msaidizi wa raisi
Mueshimiwa uje na huku Arusha pls bill laki sisi wazee stress zinatuuwa 😢
Safi waziri mambo mazuri sana tumbua hawa, wafilisiwe na funga iwe mfano kwa wengine
Aweso unauwezo mkubwa wa kusimamia, safi sana.
@kadigatanzaniya4792
3 жыл бұрын
Urais awamu ijayo unamhusu l nshaallah
Ongera kwa kazi zuri
Safi sana wazir mzalendo
Tanzania ndio nchi Pekee ambayo watu wao hawataki kubadiriki na hawaitaji kusaidiana na serikali
Mungu akutangulie.waziri wetu
Awessoooooooooooo hongerasana sukumandani
Daaaah waziri sukuma ndani hao weziwakubwa haoo
Mweshimiwa mwenyezi mungu akupe maisha marefu zaidi hapa Duniani kwani wewe ni mwamba
Thanks!!
Kazi iendeeee
Mkuu waziri nimecheka hadi machozi hii ya leo naomba iwekwe kwenye documentary au ichezwe movie au wasanii wetu wa nyimbo basi watunge wimbo.Mhasibu nionyeshe mahesabu tangia uliposhika ofisi... jibu aliyekuwepo alikimbia.waziri aaa ya kwako achana na aliyekimbia .HII NI BONGE LA MOVIE ..
Daaaaah huyu dada imebidi amwage mchozi,ila haijasaidia
Hizi ni zama nyingine tafuteni pa kuibia watu wamekua waelewa Sana sasa ngoja muipate dawa yenu mheshimiwa tambaa nao hao tumechoka mhasibu mwenyewe hajielewi yeye pia mwizi
Nakukubali wazili,pia nilitaman Uwe waziri full
Napenda sana waziri kama juma hawesu nakubali sana
Watanzania tunapenda kiongozi kama huyu safi sana mungu ajalie
Waziri unapambana sana Watendaji wako wanakuangusha sana .Komaa nao .Pesa za Miradi inaliwa sana
Awesu mungu akuweke
Mwenyekiti na mhasibu mungu anawaona
Huyu naye ni kelele nyingi, mifumo na mabommba mengi yametandazwa mvua zinanyeshalakini mabomba hayana maji. Huku ni Majohe, Ilala dsm
Mheshimiwa toaamri makusanyoyote yafanyike kwakulipa na cotrl namba wesipokee pesa mkononi
Jaman pesa ya uma haichezewi bado hamjui mbaka Leo weka ndani hao najua waziri unatimiza majukum yako mungu akujalie
Safiii sanaaa Aweso
Me huwa najiuliza viongoz wengine kama DC,mkurugenz na wakuu wa idala huwa wanafanya kaz gan mpka waziri ndo aje kuona madudu haya
Angekuwa Magufuli baba hapo ww mama usinichekee mm sichekewi tunahitaji pesa za wananchi onyesha hapa utazitapika Kama ulizila
Huyu ni wazir kweli kweli.yaan nikimuona nafarijika Kwan nahc magufuri anaishi
Safi sana aweso
Uweso nakukubali sana mpambanaji 🙏
Tunataka na wazuri wa mazungira waseme hela za taka wanakusanya na gari haiji kumchukua nataka hawaji pesa zinaenda wapi kila mwezi wanachukua hela kila nyumba
Kazi iendelee
Mm nakupa taarifa mana mh wetu Abdalaa chikota naona anachelewa kukuambia njoo hapa Nanyamba mtwara Kijiji cha HINJU hali hiyo ipo nabado wanchi tunashida yavirula nahatuvipati sehemu nimoja tu inayopatikana maji sasa mh Juma Uweso njoo utusaidie chonde chonde
Bekegee oyee safiii
Aibu sana kwa kweli
Mh juma awesome nimejikuta nakuhusudu sana sikua nakufaham wala kukufuatilia vizuri ila sasa nimepata matumaini mapya nimekutazama kwa macho ya ndani nimekuona .hakika wewe ni timing la wa Tanzania hata kwa miaka ijayo nitakuombea sana kwa mungu kilasiki sitoacha kukuombea ili mumgu akulinde na akuepushe na maadui wasikukaribie kabisa
@yohanabundala9162
Жыл бұрын
Juma aweso waziri wa maji na Dotto biteko waziri wa Madini wako vizuri sana jaribu kuwafatilia uone
Awesso nchihii nishida watumishi wanakwibasana
Ndio mh pita kote maanake kuna pumba hatari.
Nyie wakuu mnawaweka mambumbu mradi mkubwa huu wakati wasomi wapo msiwafunge waacheni huru
Mh: aweso njoo na ileje
Kijana wangu aweso pambana kwenye jumuiya za maji kuna ufisadi kinoma
Chapa kaz kijana mie nakukubali SANAAAAA
Ujishiba chezea kidevu siyo miadi 😁😁😁
Yani kunawatu hawana huluma na watanzania maskin
Safi dana
Mbona hauji kigoma sisi tumesahaulika
Amlisha kute walipe kwa cotro nombayaserikali
Kumbe magu hajafa yupo safisana mwamba. wanyooshehao unauwezo wakuongoza
Ila hii nchi yetu inaendeshwa Kiswahili swahili sana, huwa wanasubiri mpaka balaa litokee Ndio viongozi waje kuanza kukamata kamata watu. Wekeni mifumo ya ki elektroniki. Lasivyo hakuna kitu hapo...
Tanzania ni nchi ambayo ina watu hawapo tayari nchi ibadilike dunia nzima watu wameendelea kwa kushilikiana vyema na serikali watu wanaokwamisha miradi kwa makusudi harafu wananchi wanaangaika tu vitu vya ajabu miradi yenu badala kichunga unafikili watu akili hazifsnyi kazi
Hakokadada kamanakaonaivi kanavyo pitana toyo kuelekea oficeni namchana kanaagiza chips hukukanapeluz KZread
Jaman huyu mbina anauwezo wakuongoza inchi yaan anauchungu na inchi
Ukishiba chezea tumbo. Na kidevu chako Siyo milada 😁😁
Safi kwa maamzi walipe
Mkuu nakuomba uje pwani kuna madudu zahid ya hayo
Aweso umetusha unaingea hata mate humezi.Ila watendaji wako ni vichomi
🤣🤣🤣🤣🤣hheeeeee jamanii wiziii huo wakiwaziwazi kama hivoo
@mariamgodfrey53
3 жыл бұрын
Yàani
mh waziri tembelea jumuiya zote nchi hii kuna usenge sana
Waweke ndani hao mijizi
Kweli Mhasibu hana taaluma hiyo.Anacheka cheka tu.
Pigakaz babaaa iposiku tutakupa inchi tu. unakipaj cha uongozi
Aweso unatisha mzee
Huyu aweso mbna km mwanajeshi..yaan Hata jamaaa ajielezi duuu
Miradi ya maji inahujumiwa na hao wataalamu,wanalipana posho wenyewe kwa wenyewe na siyo kushughulikia matatizo yanayohusu kutoka maji,hivyo badget zao huwa zinafanyiwa re allocation mara kwa mara ili wapate posho
Uko vizur.ila vip pangani kuhusu maji
unapo tuma mtu beki aweke pesa taarifa inarudi kwenye simu ya mwenye akaunt lakini upande wa maji unaletewa bili ukituma mtu hupewi marejesho ya malipo eti anapewa mrejesho alie tumwa
Mh piga chini hao wanakusumbua tu
Huyo Mwenyekiti wa Kijiji cha Berege ndio tatizo. Anahujumu fedha za wananchi kwa kiburi cha kwamba analindwa na Mtu anayeitwa Mkuu wa wilaya ya Mpwapwa. Tunaomba hawa watu, Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa, Mkurugenzi na Mwenyekiti wa Kijiji wachunguzwe juu ya huu ubadhirifu wa huku Berege.
Kime umanaaà😅😅😅😅
Hivyo vibinti ndiovyakuvinyonga vikumahivyo
Aweso mkuu hii itunze ili baada ya Uwaziri aidha iwe kwenye documentary au uje uifanye Movie.. .
Haya ndio madudu da hii kali
Tumempata mridhi wa Magu
@kadigatanzaniya4792
3 жыл бұрын
Umeona eee live bila kupingwaaa
DUH KUPATA WATU WAADILIFU NI KAZI KWELI KWA NCHI ZETU ZA AFRIKA. HILO SOMO LIANZIE LABDA CHEKECHEA HUKO ILI TUWE WAADILIFU
@almassylivester4691
3 жыл бұрын
TATIZO LA KUTOKUWA MUADILIFU, HALITEGEMEI UMESOMA AU LAA, NI UGONJWA UNAOTOKA MOYONI MWA MTU. HAKUNA MTU YEYOTE ANAEWEZA KUTIBU ISIPOKUWA YESU KRISTO PEKEE, MWANA WA MUNGU ALIYE HAI. ALIYEKUFA NA SASA YU HAI.
@kabogeof9597
3 жыл бұрын
Aweso mungu akupe ujasiri na ulinzi wa malaika
Wazir njoo Same tunateseka maji hatuyaoni
Huyo muasibu hajui hata kazi yake
Wewe waziri wa maji rais wetu hataki hicho unacho kifanya utatumbuliwa acha ,msikilize rais wako kwanza,una was tia ndani baadaye watatolewa tuu,atakwambia hujaunda tume ya kuchunguza
Ukituma mtu alipie maji ulie sajili hupewi mrejesho ndio nini mnatuvurugua
Vimalaya hivyo.
Unaweza ukajikuta unafukuza watu wote unabaki mwenyewe.
Ukikuta wamekula pesa wawe wanazo Lipa hata nyumba zao wakupe deni
Njo manyara
Huyu ndo magu ajae baada ya miaka kadhaa atakuwa magu og
Next JPM
Huyu dada aidhani sana kama anahusika bali wakuu wake alowakuta ndo walomuelekeza hivyo
Wanajaza matumbo yao na kuleta dharau kwa wananchi wanaotoa pesa
Wapokonywe malizao zoote
Mbona wananenepa? Wawe wananyongwa wapumbavu hao