WAZIRI AWESO Amtumbua MENEJA RUWASA, AKASIRIKA Kukuta MAJI HAYATOKI Kisa ELFU 50 - "TAFUTA KAZI"..
WAZIRI AWESO Amtumbua MENEJA RUWASA, AKASIRIKA Kukuta MAJI HAYATOKI Kisa ELFU 50 - "TAFUTA KAZI"..
WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso, amefanya ziara ya kikazi katika wilaya ya Monduli mkoani Arusha na kukuta wananchi hawapati maji kutokana na changamoto mbali mbali hali iliyopelekea kuchukua hatu ya kumsimamisha kazi Meneja wa mradi wa maji wa RUWASA Nevill D.Msaki..
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Пікірлер: 168
Watakoma when JPM is in Power , weldone Aweso 🇬🇧🇬🇧🇬🇧🙏🙏🙏
God bless you my king,unaitendea haki kazi yako🙏🙏. May God bless TZA.
Uko vizuri aweso mwenyezi mungu akuongoze katika kazi yako
Allah akutunze kiongozi🙏🙏🙏🙏🙏
Uwiiiiiii mungu wzngu pole kakaangu kipnz nevili daudi ndepachio msaki pole sana mwenyez mungu akutie nguvu kipind hiki kigumu
Kazi ipo Waziri Mungu akutie nguvu na akulindea
Good job..Waziri
Mh Aweso Mungu akubariki sana Fukuza hayo majinga jinga hayafanyi kazi wamejaza tu matumbo yao hapo pumbavu sana.
Nice my brother Waziri wa Maji.
Aweso mungu akujalie umri mrefu uwe raisi wa Nchi hii Iko vizurii
Duh inawezekana Tanzania ya sasa ikawa ndio inchi ya ahadi iliokuwa ikisubiriwa.
@zefamange7281
3 жыл бұрын
Sanaaaa
@mossyfimbo3577
3 жыл бұрын
Watu wachache hawataki mambo ya msutano utasikia haki za binaadamu wameshazoea ubabaishaji na wizi na wako watu watu kama hawa wakifichuliwa wachache wanawagombea na wanawatetea
@sebastianzongoro8915
Жыл бұрын
Asante sana waziri kwa uthubutu wako wamezoeya kufanya ubazilifu wa fetha za kodi za walala hoi safi sana.kwanza amezeeka sana huyo.
Asante sana Mh Aweso...wasi wasi wangu unaweza kuonekana hufai kwa Maamuzi yako maana wa tz hawana Dogo..but piga kazi yako
Waziri naKuombea Mungu akulinde. UNATENDA HAKI
Uko vizuri kaka unasimamia vizuri wizara yako ya maji Mungu akubariki
Waziri ni vizuri akiwa wa taaluma ya wizara hiyo hawezi kudanganywa; ikikosewa akawekwa waziri katika wizara ambayo siyo taaluma yake atadanganywa sana.
Jumaa Awesoo Umetisha kinomanoma!
Hatari sana waziri kazi nzuri
Kazi kazi Mh Awesu safiii msaidieni Mh Jpm na co hapo karibu wilaya nyingi mambo ni hovyo
Aweso umetisha Bro.....
Allah akurinde we waziri na madui wasio pesa tzd jmn watu wananepeana kwa pesa za wananchi
Nimeliona jitu, ku u u bwa ! Jizi ! ! Masikini mama Tz
HAPA KAZI TU wanaochemka wakae pembeni Safi Sana waziri wa maji
You deserve to be a leader,congratulation bro
Siku zote tumbo likiwa kubwa Sana kuzidi Kichwa shida sana
Well done minister, your doing for your fellow Tanzanian and not otherwise, those with big stomach always like being selfish and feeding their hunger😎
Safii sanaa mh jumaa mtoto wa awesso piga kazi
namuona magufuri Kwa kimvuri Cha aweso barkiwa sana
Karibu Tunduma
Mheshimiwa tafadhali nenda Mwanza wilaya ya ilemela kuna shida ya Maji haijawahi tokea kuna majipu uchungu
Daaaah juztuu kufa kwamzee wakazi mzee magufur teali mshaanaza wizi
A real leader 🇹🇿
Safi sanaa imeipenda iyo
Kuna Wizara Ukijichanganya Imekula Kwako, Wizara Ya Bashe, Slaa, Awesu Na Zingine Chache
KAMATA SUKUMA NDANI HAO NDIO WENYE KUMGOMBANISHA MHE RAIS DKT SAMIA, NA WANANCHI, PESA ZA SERIKALI WANAKULA PAMOJA NA FAMILIA ZAO WANANCHI HAWAPATI MAJI.
Mpaka nimecheka huyo aliyenenepeana kwa kula pesa za wananchi anaondoka aibu imemjaa 😁😁
Waziri wew kwani mpaka uitwe au unakwenda kwaratiba ipi njoo mtwara uje uzunguke Halimashauli yamji Nanyamba ujionee madudu huku yanayofanywa nakamati hizi zamaji niia unayopita mungu aingazie na akutolee magumu yoote
hapo sawa sawa aweso na bili za maji arusha ni kubwa sana mheshimiwa angalia na hilo.pia
Safi sana
Safi juma awesu Mungu akulinde tunakuombea
@DicksonIgnas-pq1rj
5 ай бұрын
Safi hatutaki wa baba ishiji
Safi sana wanazid mno
Aweso uko sawa. Hata urais unafaa
Uje na morogoro tunaibiwa sana na watu wa maji matumizi ya nyumbani bili elf 60 na maji katika mwezi yanatoka siku 12 adi 15 tunaibiwa sana
Sawa viongozi nawapata vyema mungu awabaliki sana nakazinjema
@krizofrancisco1287
2 жыл бұрын
Aweso piga kazi kama magu
Mheshimiwa ata monduli kunamgogoro wa maji kati ya Kijiji cha olarashi na mlimani na wananchi wa Kijiji cha olarashi baathi wamekamatwa wakiwemo wa mama tunaomba utusaidie mweshiwa waziri plz tunanyanyaswa na viongozi wa monduli
Nchi hii raha sana
Chapa kazi Waziri wa Maji, Hawana watu wenye matumbo makubwa sijui wana shida gani, Wana tamaa sana. Lowasa alikuwa Waziri Mkuu ila akashindwa kuweka maji kwao Monduli, Sumaye naye alikuwa Waziri Mkuu akishindwa kufanya maendeleo kwao Hanang. Raisi Magufuli endelea kujenga Chato ili uwe mfano bora kwa hawa Viongozi wengine wajifunze kupeleka maendeleo kwao badala ya kulemea Dar es Salaam tu.
Njoo wilaya ya monduli kijiji cha lashaine
Kila kata ya raiya wa Tanzania wanatakiwa watume malalamiko yao (maoni yao) kwa Raisi kata ambazo hazina maji , hospitali, shule barabara na n.k mkifa hivyo yatafanyiwa kazi siyo mnangojea mpaka viongozi waamuwe . Mari zote za Tanzania Madini,gesi,wanyama,milima,maziwa,mito na n.k ni mari ya waswahili wa Tanzania . Mungu ibariki Tanzania
yaani ela zinazotolewa kweny hii miradi,is unbelievable ,wanalea vitambi tu kudadeki...
Meneja huyo anafanyia tumbo lake mwangalie alivyo
@majaladubai9698
3 жыл бұрын
NJO NA KONDOA UONE
@majaladubai9698
3 жыл бұрын
UJE NA KONDOA WAZIRI UONE
Yaani waziri kakonda kwa stress za maji,injinia yeye kitambi ndiii
Good
Aweso piga kazi, but usisahau chuo cha mipango wale mama ntilie uliokuwa unakula wakati unasoma maji yanasumbua sana
Bongo wasimamizi wa miradi weziwezi sasa lazima itafutwe muafaka wa kuzibiti toka enzi ya nyerere.
RIP JPM ulitaka kutupeleka nchi yenye asali na maziwa.
Aweso Waziri namba mmoja wa Rais Samia Suluhu Hasssni. Huyu ni Mwanafunzi halisi wa Hayati shujaa wa Afrika Joseph Magufulu. Endelea
@sadickshabani2271
2 жыл бұрын
Kabisa miaka yijayo akitoka laisi mama yetu madarakani gobea uraisi mayimani utapata ushidi 🙏
Chapa kaz wazir
Magari ya kifahari lkn maji ya kunywa hamna, ushuzi mtupu
Waziri hao watendaji wahuni
Pambana watanzania wanakubali mchango wako nyinyi ni askari wa myavuli wachama cha mapinduzi, mama samia anawapiganaji wakutosha kumvusha 25_ 30
Njoo arusha arumeru waziri pls
Du kumbe serikalini ukiingia cha kike hata kama anayekwambia ni mdogo badala yake mkubwa unageuka mdogo tena
Uweaao nakuaminia hudanganywi hakikatungepata watukamahawanchiingeendambalisana hongerasana
Kazi kweli kweli! Jmn watanzania tubadilike
Waziri fanya mpango was kukutana na viongozi wa (W,U,A,) usikie cangamoto zao
Waziri moshi kijiji cha mabungo hakuna maji jua kali miti utaoteshaje hakuna maji upepo mkali kwa sababu hakuna miti tunakuomba uje hapa mlima wa mabungo kijiji cha kilindini hata umeme tu hakuna waliondoka na nguzo wakapita wanasema hatukusema tusaindie kumwambia waziri wa nishati tumeachwa tuanze kununua nguzo wenyewe
Awesooo,Awesoo!!Kweli ninakukubali
Jambo La Kushangaza Tanzania Shida Ya Maji 😢
Kashiba na pesa za watu wanenepeana wananchi wanateseka
Mzee mjinga ana mwanga unga kalale mzee
Aweso
🎉
Hongera na speaker ndugu Tukusikie.
TANGA BOY IS GOOD,
HAO WEZI WALIOPITILIZA WEKA NDANI TU HAKUNA DHAMBI
Ngumu kumeza hiyo , atafute kazi nyingne ya kufanya
Nauona moto wa JPM angalau 🔥👍
Kijana aweso unatisha sana
Uje na Morogoro baba mjin hapa maji ni mateso mala yatoke mala hamna shida tupu tunanunua maji dumu 500
Sauti pls
Njoo na biharamulo
Mtu ana kitambi kuliko Waziri?
FUKUZA HAO MDOGO WANGUU. BADO WANA MAWAZO YA KIKIKWETE HAO
Hayo majizi,yamenenepa hela za wanachi.
Hatumsiikii jamani endeleni kidogo
Yani watu walewale mpaka lini badilikeni uyo amenenepa pesa ya wananchi
NAONA KAMA NYOTA YA UWAZIRI MKUU KWA AWESO INAKUJA KWA UHATARI SANA.
Mheshimiwa waziri pongezi xana, lakini naomba uje pia huku kata ya ilkiding'a tuna changamoto xana xana kijiji cha ilkisonko tumeanza kuambiwa tutalipia maji kila kaya na maji yenyewe hatuna tafadhali njoo
Waziri sisi tunateseka sana maji hakuna moshi kijiji cha mabungo tumeotesha miti imekauka waziri uje ututembelee uone shida tuliyonayo na bili inakuja ukifungua upepo unatoka hakuna maji uje waziri,,, karbu sana na mjini moshi nauli mia tano
jamani mke wake kajifungua,msameheni
mheshimiwa Aweso mbona hauji Mwanza Misungwi
Mh ufike na wilaya ya kilindi
Kweli kukula inakuwaga tamu...
Kwa Hali hiii unasema .j.p.m alikua simba wa yuda. ,,hzo kauli ndo zinawapa kiburi na ujasir wez kama hv
Kijana safi wa JPM..
Waziri njoo na kijiji cha Uvinza, uone madudu
Nchi sio nch ya kuchela na wenye mamlaka na zani rais ajionee mwenyewe jinsi Hali ilivyo na angalie Sana kauli yake eti kipindi kile watu walifanya kazi kwa uoga kina usemi usemao ukicheka na nyani utavuna mabua
ichi inaoza kwa watu wachache nadhani tuchangamshane kgd
Kuna haja YA Kuwa Waziri kamali wa.maji.
huyu wzairi wa maji hafanyi kazi...ni kutembelea tuu mikoa ili aonekane amefika lakini hakuna kitu...miaka yt hamna maji why? Aweso you need to go back tothe drawing board..do u understand???