WAZIRI AWESO Amtumbua MENEJA RUWASA, AKASIRIKA Kukuta MAJI HAYATOKI Kisa ELFU 50 - "TAFUTA KAZI"..

WAZIRI AWESO Amtumbua MENEJA RUWASA, AKASIRIKA Kukuta MAJI HAYATOKI Kisa ELFU 50 - "TAFUTA KAZI"..
WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso, amefanya ziara ya kikazi katika wilaya ya Monduli mkoani Arusha na kukuta wananchi hawapati maji kutokana na changamoto mbali mbali hali iliyopelekea kuchukua hatu ya kumsimamisha kazi Meneja wa mradi wa maji wa RUWASA Nevill D.Msaki..
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 168

  • @silverman6930
    @silverman69303 жыл бұрын

    Watakoma when JPM is in Power , weldone Aweso 🇬🇧🇬🇧🇬🇧🙏🙏🙏

  • @aureliambawala8028
    @aureliambawala80283 жыл бұрын

    God bless you my king,unaitendea haki kazi yako🙏🙏. May God bless TZA.

  • @ahmedazry3436
    @ahmedazry34363 жыл бұрын

    Uko vizuri aweso mwenyezi mungu akuongoze katika kazi yako

  • @hawaally7974
    @hawaally79743 жыл бұрын

    Allah akutunze kiongozi🙏🙏🙏🙏🙏

  • @user-tg8ct1nt5y
    @user-tg8ct1nt5y3 жыл бұрын

    Uwiiiiiii mungu wzngu pole kakaangu kipnz nevili daudi ndepachio msaki pole sana mwenyez mungu akutie nguvu kipind hiki kigumu

  • @akidasalim3859
    @akidasalim38593 жыл бұрын

    Kazi ipo Waziri Mungu akutie nguvu na akulindea

  • @mwinukafundibombanjombe
    @mwinukafundibombanjombe3 жыл бұрын

    Good job..Waziri

  • @kilonzokallage6159
    @kilonzokallage6159 Жыл бұрын

    Mh Aweso Mungu akubariki sana Fukuza hayo majinga jinga hayafanyi kazi wamejaza tu matumbo yao hapo pumbavu sana.

  • @eliarichard9218
    @eliarichard92183 жыл бұрын

    Nice my brother Waziri wa Maji.

  • @mamaluusoap5834
    @mamaluusoap5834 Жыл бұрын

    Aweso mungu akujalie umri mrefu uwe raisi wa Nchi hii Iko vizurii

  • @irakozejclaude7869
    @irakozejclaude78693 жыл бұрын

    Duh inawezekana Tanzania ya sasa ikawa ndio inchi ya ahadi iliokuwa ikisubiriwa.

  • @zefamange7281

    @zefamange7281

    3 жыл бұрын

    Sanaaaa

  • @mossyfimbo3577

    @mossyfimbo3577

    3 жыл бұрын

    Watu wachache hawataki mambo ya msutano utasikia haki za binaadamu wameshazoea ubabaishaji na wizi na wako watu watu kama hawa wakifichuliwa wachache wanawagombea na wanawatetea

  • @sebastianzongoro8915

    @sebastianzongoro8915

    Жыл бұрын

    Asante sana waziri kwa uthubutu wako wamezoeya kufanya ubazilifu wa fetha za kodi za walala hoi safi sana.kwanza amezeeka sana huyo.

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel56772 жыл бұрын

    Asante sana Mh Aweso...wasi wasi wangu unaweza kuonekana hufai kwa Maamuzi yako maana wa tz hawana Dogo..but piga kazi yako

  • @lambomayenga6151
    @lambomayenga6151 Жыл бұрын

    Waziri naKuombea Mungu akulinde. UNATENDA HAKI

  • @user-px8fv8dc3o
    @user-px8fv8dc3o Жыл бұрын

    Uko vizuri kaka unasimamia vizuri wizara yako ya maji Mungu akubariki

  • @wilfredsahila8727
    @wilfredsahila87273 жыл бұрын

    Waziri ni vizuri akiwa wa taaluma ya wizara hiyo hawezi kudanganywa; ikikosewa akawekwa waziri katika wizara ambayo siyo taaluma yake atadanganywa sana.

  • @mebbukatibalo787
    @mebbukatibalo7873 жыл бұрын

    Jumaa Awesoo Umetisha kinomanoma!

  • @florakabadoelkana6764
    @florakabadoelkana67643 жыл бұрын

    Hatari sana waziri kazi nzuri

  • @isayachalo1845
    @isayachalo18453 жыл бұрын

    Kazi kazi Mh Awesu safiii msaidieni Mh Jpm na co hapo karibu wilaya nyingi mambo ni hovyo

  • @mathewungani9724
    @mathewungani97243 жыл бұрын

    Aweso umetisha Bro.....

  • @leiratykisura6718
    @leiratykisura67183 жыл бұрын

    Allah akurinde we waziri na madui wasio pesa tzd jmn watu wananepeana kwa pesa za wananchi

  • @jumanesaidi7635
    @jumanesaidi76355 ай бұрын

    Nimeliona jitu, ku u u bwa ! Jizi ! ! Masikini mama Tz

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha20483 жыл бұрын

    HAPA KAZI TU wanaochemka wakae pembeni Safi Sana waziri wa maji

  • @jumaabdul5882
    @jumaabdul58823 жыл бұрын

    You deserve to be a leader,congratulation bro

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga43553 жыл бұрын

    Siku zote tumbo likiwa kubwa Sana kuzidi Kichwa shida sana

  • @ericklaura7511
    @ericklaura75113 жыл бұрын

    Well done minister, your doing for your fellow Tanzanian and not otherwise, those with big stomach always like being selfish and feeding their hunger😎

  • @yahyamkone5601
    @yahyamkone56013 жыл бұрын

    Safii sanaa mh jumaa mtoto wa awesso piga kazi

  • @kenethmwangoka4590
    @kenethmwangoka4590 Жыл бұрын

    namuona magufuri Kwa kimvuri Cha aweso barkiwa sana

  • @mbotwambotwa2186
    @mbotwambotwa21863 жыл бұрын

    Karibu Tunduma

  • @ludobudege1662
    @ludobudege16623 жыл бұрын

    Mheshimiwa tafadhali nenda Mwanza wilaya ya ilemela kuna shida ya Maji haijawahi tokea kuna majipu uchungu

  • @rifatimuhidini145
    @rifatimuhidini1453 жыл бұрын

    Daaaah juztuu kufa kwamzee wakazi mzee magufur teali mshaanaza wizi

  • @burundirwanda1583
    @burundirwanda15833 жыл бұрын

    A real leader 🇹🇿

  • @MohamediMchekwa-ou4dk
    @MohamediMchekwa-ou4dk Жыл бұрын

    Safi sanaa imeipenda iyo

  • @user-vk5nb4uz6h
    @user-vk5nb4uz6h4 ай бұрын

    Kuna Wizara Ukijichanganya Imekula Kwako, Wizara Ya Bashe, Slaa, Awesu Na Zingine Chache

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf3 ай бұрын

    KAMATA SUKUMA NDANI HAO NDIO WENYE KUMGOMBANISHA MHE RAIS DKT SAMIA, NA WANANCHI, PESA ZA SERIKALI WANAKULA PAMOJA NA FAMILIA ZAO WANANCHI HAWAPATI MAJI.

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 Жыл бұрын

    Mpaka nimecheka huyo aliyenenepeana kwa kula pesa za wananchi anaondoka aibu imemjaa 😁😁

  • @rajabulipongo4135
    @rajabulipongo41352 жыл бұрын

    Waziri wew kwani mpaka uitwe au unakwenda kwaratiba ipi njoo mtwara uje uzunguke Halimashauli yamji Nanyamba ujionee madudu huku yanayofanywa nakamati hizi zamaji niia unayopita mungu aingazie na akutolee magumu yoote

  • @flaviankimat5233
    @flaviankimat5233 Жыл бұрын

    hapo sawa sawa aweso na bili za maji arusha ni kubwa sana mheshimiwa angalia na hilo.pia

  • @albertbunyinyiga7581
    @albertbunyinyiga7581 Жыл бұрын

    Safi sana

  • @rehemabukuku1008
    @rehemabukuku10082 жыл бұрын

    Safi juma awesu Mungu akulinde tunakuombea

  • @DicksonIgnas-pq1rj

    @DicksonIgnas-pq1rj

    5 ай бұрын

    Safi hatutaki wa baba ishiji

  • @khairallacassianbyamkama5279
    @khairallacassianbyamkama5279 Жыл бұрын

    Safi sana wanazid mno

  • @jumaigoti8638
    @jumaigoti86383 жыл бұрын

    Aweso uko sawa. Hata urais unafaa

  • @allysaleh6551
    @allysaleh65513 жыл бұрын

    Uje na morogoro tunaibiwa sana na watu wa maji matumizi ya nyumbani bili elf 60 na maji katika mwezi yanatoka siku 12 adi 15 tunaibiwa sana

  • @immapoule3613
    @immapoule36133 жыл бұрын

    Sawa viongozi nawapata vyema mungu awabaliki sana nakazinjema

  • @krizofrancisco1287

    @krizofrancisco1287

    2 жыл бұрын

    Aweso piga kazi kama magu

  • @sanarekumongishumollel6041
    @sanarekumongishumollel60413 жыл бұрын

    Mheshimiwa ata monduli kunamgogoro wa maji kati ya Kijiji cha olarashi na mlimani na wananchi wa Kijiji cha olarashi baathi wamekamatwa wakiwemo wa mama tunaomba utusaidie mweshiwa waziri plz tunanyanyaswa na viongozi wa monduli

  • @sebastianzongoro8915
    @sebastianzongoro8915 Жыл бұрын

    Nchi hii raha sana

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema3 жыл бұрын

    Chapa kazi Waziri wa Maji, Hawana watu wenye matumbo makubwa sijui wana shida gani, Wana tamaa sana. Lowasa alikuwa Waziri Mkuu ila akashindwa kuweka maji kwao Monduli, Sumaye naye alikuwa Waziri Mkuu akishindwa kufanya maendeleo kwao Hanang. Raisi Magufuli endelea kujenga Chato ili uwe mfano bora kwa hawa Viongozi wengine wajifunze kupeleka maendeleo kwao badala ya kulemea Dar es Salaam tu.

  • @miagirumas4123
    @miagirumas41233 жыл бұрын

    Njoo wilaya ya monduli kijiji cha lashaine

  • @mariamwakabuta1034
    @mariamwakabuta10343 жыл бұрын

    Kila kata ya raiya wa Tanzania wanatakiwa watume malalamiko yao (maoni yao) kwa Raisi kata ambazo hazina maji , hospitali, shule barabara na n.k mkifa hivyo yatafanyiwa kazi siyo mnangojea mpaka viongozi waamuwe . Mari zote za Tanzania Madini,gesi,wanyama,milima,maziwa,mito na n.k ni mari ya waswahili wa Tanzania . Mungu ibariki Tanzania

  • @errydeo8865
    @errydeo88653 жыл бұрын

    yaani ela zinazotolewa kweny hii miradi,is unbelievable ,wanalea vitambi tu kudadeki...

  • @chrianseth6393
    @chrianseth63933 жыл бұрын

    Meneja huyo anafanyia tumbo lake mwangalie alivyo

  • @majaladubai9698

    @majaladubai9698

    3 жыл бұрын

    NJO NA KONDOA UONE

  • @majaladubai9698

    @majaladubai9698

    3 жыл бұрын

    UJE NA KONDOA WAZIRI UONE

  • @iddrashid7054
    @iddrashid7054 Жыл бұрын

    Yaani waziri kakonda kwa stress za maji,injinia yeye kitambi ndiii

  • @cadeteengele3765
    @cadeteengele37659 ай бұрын

    Good

  • @kassimmuktarymurji4242
    @kassimmuktarymurji42425 ай бұрын

    Aweso piga kazi, but usisahau chuo cha mipango wale mama ntilie uliokuwa unakula wakati unasoma maji yanasumbua sana

  • @alihu3752
    @alihu37523 жыл бұрын

    Bongo wasimamizi wa miradi weziwezi sasa lazima itafutwe muafaka wa kuzibiti toka enzi ya nyerere.

  • @wilfredsahila8727
    @wilfredsahila87273 жыл бұрын

    RIP JPM ulitaka kutupeleka nchi yenye asali na maziwa.

  • @mohamedlacha6515
    @mohamedlacha65153 жыл бұрын

    Aweso Waziri namba mmoja wa Rais Samia Suluhu Hasssni. Huyu ni Mwanafunzi halisi wa Hayati shujaa wa Afrika Joseph Magufulu. Endelea

  • @sadickshabani2271

    @sadickshabani2271

    2 жыл бұрын

    Kabisa miaka yijayo akitoka laisi mama yetu madarakani gobea uraisi mayimani utapata ushidi 🙏

  • @deokafulu4332
    @deokafulu4332 Жыл бұрын

    Chapa kaz wazir

  • @meddyzambetakis
    @meddyzambetakis3 жыл бұрын

    Magari ya kifahari lkn maji ya kunywa hamna, ushuzi mtupu

  • @chesconkwera2005
    @chesconkwera2005 Жыл бұрын

    Waziri hao watendaji wahuni

  • @kassimmuktarymurji4242
    @kassimmuktarymurji42425 ай бұрын

    Pambana watanzania wanakubali mchango wako nyinyi ni askari wa myavuli wachama cha mapinduzi, mama samia anawapiganaji wakutosha kumvusha 25_ 30

  • @rachellaiza7779
    @rachellaiza7779 Жыл бұрын

    Njoo arusha arumeru waziri pls

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu24213 жыл бұрын

    Du kumbe serikalini ukiingia cha kike hata kama anayekwambia ni mdogo badala yake mkubwa unageuka mdogo tena

  • @user-cc4jk1ll5v
    @user-cc4jk1ll5v7 ай бұрын

    Uweaao nakuaminia hudanganywi hakikatungepata watukamahawanchiingeendambalisana hongerasana

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus93033 жыл бұрын

    Kazi kweli kweli! Jmn watanzania tubadilike

  • @user-sb1qy8gt7i
    @user-sb1qy8gt7i Жыл бұрын

    Waziri fanya mpango was kukutana na viongozi wa (W,U,A,) usikie cangamoto zao

  • @abdularuffin9308
    @abdularuffin93082 жыл бұрын

    Waziri moshi kijiji cha mabungo hakuna maji jua kali miti utaoteshaje hakuna maji upepo mkali kwa sababu hakuna miti tunakuomba uje hapa mlima wa mabungo kijiji cha kilindini hata umeme tu hakuna waliondoka na nguzo wakapita wanasema hatukusema tusaindie kumwambia waziri wa nishati tumeachwa tuanze kununua nguzo wenyewe

  • @KabwikaIbrahim-ld8vf
    @KabwikaIbrahim-ld8vf5 ай бұрын

    Awesooo,Awesoo!!Kweli ninakukubali

  • @Qadar-vx4gj
    @Qadar-vx4gj6 ай бұрын

    Jambo La Kushangaza Tanzania Shida Ya Maji 😢

  • @fatmaalwiy7651
    @fatmaalwiy7651 Жыл бұрын

    Kashiba na pesa za watu wanenepeana wananchi wanateseka

  • @petermboje5839
    @petermboje5839 Жыл бұрын

    Mzee mjinga ana mwanga unga kalale mzee

  • @gennerjorgemariomendez5823
    @gennerjorgemariomendez58232 жыл бұрын

    Aweso

  • @EmmanuelLupoja
    @EmmanuelLupoja5 ай бұрын

    🎉

  • @rahmahersi2116
    @rahmahersi21163 жыл бұрын

    Hongera na speaker ndugu Tukusikie.

  • @daffagunda-rm3hj
    @daffagunda-rm3hj6 ай бұрын

    TANGA BOY IS GOOD,

  • @ahmadmasunda9892
    @ahmadmasunda98925 ай бұрын

    HAO WEZI WALIOPITILIZA WEKA NDANI TU HAKUNA DHAMBI

  • @francisgituti2494
    @francisgituti24946 ай бұрын

    Ngumu kumeza hiyo , atafute kazi nyingne ya kufanya

  • @titonkwabi7430
    @titonkwabi7430 Жыл бұрын

    Nauona moto wa JPM angalau 🔥👍

  • @shanelmbunga1301
    @shanelmbunga1301 Жыл бұрын

    Kijana aweso unatisha sana

  • @rehemabukuku1008
    @rehemabukuku10082 жыл бұрын

    Uje na Morogoro baba mjin hapa maji ni mateso mala yatoke mala hamna shida tupu tunanunua maji dumu 500

  • @felistapepi3715
    @felistapepi37153 жыл бұрын

    Sauti pls

  • @costantinebahakaso3736
    @costantinebahakaso3736 Жыл бұрын

    Njoo na biharamulo

  • @bonnyngowo7567
    @bonnyngowo7567 Жыл бұрын

    Mtu ana kitambi kuliko Waziri?

  • @zefamange7281
    @zefamange72813 жыл бұрын

    FUKUZA HAO MDOGO WANGUU. BADO WANA MAWAZO YA KIKIKWETE HAO

  • @michaelsaimonmuhojamichael8430
    @michaelsaimonmuhojamichael84303 жыл бұрын

    Hayo majizi,yamenenepa hela za wanachi.

  • @naziamahboob1536
    @naziamahboob15363 жыл бұрын

    Hatumsiikii jamani endeleni kidogo

  • @bongobongo1755
    @bongobongo17553 жыл бұрын

    Yani watu walewale mpaka lini badilikeni uyo amenenepa pesa ya wananchi

  • @presidentofafrica.5038
    @presidentofafrica.503811 ай бұрын

    NAONA KAMA NYOTA YA UWAZIRI MKUU KWA AWESO INAKUJA KWA UHATARI SANA.

  • @ibrahimmacharia5093
    @ibrahimmacharia50933 жыл бұрын

    Mheshimiwa waziri pongezi xana, lakini naomba uje pia huku kata ya ilkiding'a tuna changamoto xana xana kijiji cha ilkisonko tumeanza kuambiwa tutalipia maji kila kaya na maji yenyewe hatuna tafadhali njoo

  • @abdularuffin9308
    @abdularuffin93082 жыл бұрын

    Waziri sisi tunateseka sana maji hakuna moshi kijiji cha mabungo tumeotesha miti imekauka waziri uje ututembelee uone shida tuliyonayo na bili inakuja ukifungua upepo unatoka hakuna maji uje waziri,,, karbu sana na mjini moshi nauli mia tano

  • @abiollashayo5698
    @abiollashayo5698 Жыл бұрын

    jamani mke wake kajifungua,msameheni

  • @idrisangugi8839
    @idrisangugi88393 жыл бұрын

    mheshimiwa Aweso mbona hauji Mwanza Misungwi

  • @ibrahimugoda7284
    @ibrahimugoda72843 жыл бұрын

    Mh ufike na wilaya ya kilindi

  • @masaikaren588
    @masaikaren5883 жыл бұрын

    Kweli kukula inakuwaga tamu...

  • @rehemabukuku1008
    @rehemabukuku10082 жыл бұрын

    Kwa Hali hiii unasema .j.p.m alikua simba wa yuda. ,,hzo kauli ndo zinawapa kiburi na ujasir wez kama hv

  • @barnabalushenshe5671
    @barnabalushenshe56713 жыл бұрын

    Kijana safi wa JPM..

  • @abdulkihanza4431
    @abdulkihanza44313 жыл бұрын

    Waziri njoo na kijiji cha Uvinza, uone madudu

  • @emanuelelias4695
    @emanuelelias46952 жыл бұрын

    Nchi sio nch ya kuchela na wenye mamlaka na zani rais ajionee mwenyewe jinsi Hali ilivyo na angalie Sana kauli yake eti kipindi kile watu walifanya kazi kwa uoga kina usemi usemao ukicheka na nyani utavuna mabua

  • @LaizerSaitoty
    @LaizerSaitoty18 күн бұрын

    ichi inaoza kwa watu wachache nadhani tuchangamshane kgd

  • @barnabalushenshe5671
    @barnabalushenshe56713 жыл бұрын

    Kuna haja YA Kuwa Waziri kamali wa.maji.

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi824118 күн бұрын

    huyu wzairi wa maji hafanyi kazi...ni kutembelea tuu mikoa ili aonekane amefika lakini hakuna kitu...miaka yt hamna maji why? Aweso you need to go back tothe drawing board..do u understand???

Келесі