WAZIRI AWESO AMTUMBUA BOSI RUWASA - "HUFAI, CHUKUA MABEGI YAKO ONDOKA, MHANDISI AKAMATWE"
WAZIRI AWESO AMTUMBUA BOSI RUWASA - "HUFAI, CHUKUA MABEGI YAKO ONDOKA, MHANDISI AKAMATWE"
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Пікірлер: 71
Huyu Mh. anajituma Sana namuomba Mungu one day aje awe Rais wa JMT.
Aweso ,, Uko vizuri No Discipline No Work . No obligation Out of work ,
"Ukishiba chezea kidevu chako sio kazi" hahahaaaààaaaaaaaaaaa halooooooo 😁😁😁 na ukizingua nakuzingua. 👍
mhanidisi alieko ileje wilaya ya songwe,, hafai kabisa nimeenda kule na ndonyumbani yaaaani matenk ya maji yamejengwa chini ya kiwango na yametelekezea hamna kitu kabisaaaa Waziri kazi yako inaonekana...safi
Duh huruma Sana wazee wanataabika. Pole Sana mzee wangu.
Safi sana unatupa matumaini kaka roho ya Jpm Mungu akutangulie
Unataka ajitetee nini na kwa nani endapo mtendewa ni mwananchi.hakuna kulea ujinga,kipimo cha kazi vigezo vinavyokidhi mahitaji ya mwananchi. Aweso kazi iendelee.
Hongera sana mheshimiwa kwa kazi nzuri unayofanya,tena rombo kero ya maji ipo tangia miaka mingi sana
Mh waziri wa maji unajituma sna na mungu akusaidie katika kazi yako tunaomba uje Tena ngorongoro Hasa kata ya kakesio kwani tunashida kubwa ya maji
Mheshimiwa upo vizuri sana mungu akubariki sana
Bro ! Uko vzr hongera sana👍
Wananchi saivi hamuwawezi wameamua kujipambania hahahaha tumbua tu kijana wetu aweso!!
Ubarikiwe sana baba
Mungu aendeleekukupa ujasiri
Huyu ndiye aliyebaki na Kalemani. Matendo mengi maneno kidogo...
Kijana unabusara na uendelee hivyo wabane sana vijijin ndiko tatizo kubwa kwakua hao wazee wa vijijin wanaonewa sana
Hongera waziri Aweso nahitaji san namba yako waziri wetu upo vzr kiukweli
Safi Sana waziri bado marangu rauya hatuna maji miaka yote baba
Good job
good work
Nakubar kaka
Hongera aweso
Mzee anaongea vizuri dah utadhani anasoma kweli wananchi sasahiv hawana uwoga
Tanzania hiiiii mpaka UKWELIII uje usimamee masikini tutapata taaabu sanaaa. Na kupata viongozi kama hawa. Mmmmmmh. Mungu ASIMAMEEE KWA KWELIII
Hahaha Owesoooooooo shikamooo mdogo Wangu chapa kazi.
Huyu mzee inaelekea alivyokuwa kijana alikuwa Mkuda Mbaya
Waziri wa maji tunaomba ufike hapa Arusha kwani maji bado ni changamoto
Njoo Matemanga Tundutu maji ni shida maji tunakunywa Mchororo ni hatari sana.Kwa mwezi maji ya bomba tunapata mara chache Mhe.
Anastairi kuwaa ata waziri
Huyo nzee mnaa kinyama duuu
Waziri tunaomba uje huku krk mikoa mingine
Nakupongeza muheshimwa ila hapo kwenye pesa ya mama samia umekosea pesa ni za wananchi sio za kwake za kwake anafanyia mambo yake.
Mh. Uje na kibondo kifura tunateseka babamaji hakuna wakutusaidia
Owesoo kamtumbua mhandisi then anamtaka aseme oyeeee
kwa sekta ya maji uko powa
Waziri tunaomba ufike moshi vijijini maji hakuna kabisa
Sio ikibidi wafungwe
JPM PRODUCTS WALOBAKI
Dogo uko sawa
Huyu mzee balaa
Hawa watu kuanzi juu mpaka chini mikoani ni majizi wafukuzwe kazi na wafungwe majizi saana msiwaache wakamatwe wahojiwe ni wezi saana wamekula pesa zoote
Safi sana njoo songwe
@businessclassidmc970
3 жыл бұрын
Mbotwa wa Wapi ndugu yangu, yamkini wewe ni ndugu yangu maana mimi ni mzaliwa wa Sumbalwela.
@mbotwambotwa2186
3 жыл бұрын
@@businessclassidmc970 Mjukuu wa chilalika je ww ninani na unaishi wapi
@businessclassidmc970
3 жыл бұрын
Kwa sasa nipo Dodoma, ila wiki iliyopita nilikuwepo kwenye Msiba wa Babu yetu Marko Mbotwa.
@mbotwambotwa2186
3 жыл бұрын
@@businessclassidmc970 poleni nilipata talifa nikiwa sipo yule ni babu yangu baba mdogo tukonaye Tunduma poleni nijilani na akina kitaa toka Shuleni kwa mbele akinamsomba (marehemu Mngasalagha)
muheshimiwa aweso nenda na mtwara kidogo kwenye wilaya ya Tandahimba hasa kwenye kata ya Nanyanga ukaangalie mavirigiza kama hayo usipofanya subra wewe mwenyewe waziri utalia.
kadanganya waziri haogopi kufinywa...😋
baba mzazi
Sjaelewa mradi wa wafadhiri au serikali,
Duu cjawai sifi ila kwako aweso fanya kazi ivyoivyo utakuja kua kiongozi mkubwa sana uko mbere
Waziri Zanzibar kunakuhusu
Waziri awesso wewe tunakuamini uswahilini arushA no water tafadhali
Kqcjukuwe soda kaka nakuja kulipa
Waziri njoo na kwetu shinyanga vijijini kata ya mwantini kijiji Cha mishepo
@rashdiyange7758
3 жыл бұрын
Nae bina damu kwani hachoki
Maisha yanaendelea
Mzee punguza kuongea dah
@shadrackzablon5983
3 жыл бұрын
Apunguze kuongea kuna pumba umeona ameongea hapo jielewe
Pumbavu sana nyie
BADO MNAFUATA SIASA ZA DIKTETA MWENDAZAKE.
@saimonijonas4356
3 жыл бұрын
Ulitakaje??
@texastexas2545
3 жыл бұрын
Achakutombwa mbwa wewe🖕🖕
@shadrackzablon5983
3 жыл бұрын
We ndimi wanakufira
@athumanijuma3085
3 жыл бұрын
Huna akili hata moja ww
@ramadhanchiiza9215
3 жыл бұрын
Hakuna kubembelezana kuna watu wengi wamesoma na waadilifu hawana kazi anaezingua timua weka mwingine hata huyo mhandisi wa mkoa na yeye alitakiwa kutimuliwa mh. Na huku temeke waires maji ni shida yanatoka kwa siku mara moja tena kwa masaa yakitoka saa 11 alfajir mpk tena alfajiri inayofuata njoo na huku utumbue hasa mtaa kitomomdo maji ni shida
jembe la maguful
@allysaidallysaid4530
Жыл бұрын
Majembe ya magufuli hayo
Mungu aendeleekukupa ujasiri
Tunaomba na pesa zetu waludishe