WAZIRI AWESO AMTUMBUA BOSI RUWASA - "HUFAI, CHUKUA MABEGI YAKO ONDOKA, MHANDISI AKAMATWE"

WAZIRI AWESO AMTUMBUA BOSI RUWASA - "HUFAI, CHUKUA MABEGI YAKO ONDOKA, MHANDISI AKAMATWE"
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 71

  • @mawazomichael4769
    @mawazomichael47693 жыл бұрын

    Huyu Mh. anajituma Sana namuomba Mungu one day aje awe Rais wa JMT.

  • @issaidrisamusa8437
    @issaidrisamusa84373 жыл бұрын

    Aweso ,, Uko vizuri No Discipline No Work . No obligation Out of work ,

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon98233 жыл бұрын

    "Ukishiba chezea kidevu chako sio kazi" hahahaaaààaaaaaaaaaaa halooooooo 😁😁😁 na ukizingua nakuzingua. 👍

  • @Damiannello
    @Damiannello3 жыл бұрын

    mhanidisi alieko ileje wilaya ya songwe,, hafai kabisa nimeenda kule na ndonyumbani yaaaani matenk ya maji yamejengwa chini ya kiwango na yametelekezea hamna kitu kabisaaaa Waziri kazi yako inaonekana...safi

  • @jumaaman6260
    @jumaaman62603 жыл бұрын

    Duh huruma Sana wazee wanataabika. Pole Sana mzee wangu.

  • @africayetutv329
    @africayetutv3293 жыл бұрын

    Safi sana unatupa matumaini kaka roho ya Jpm Mungu akutangulie

  • @deodatangereza960
    @deodatangereza9603 жыл бұрын

    Unataka ajitetee nini na kwa nani endapo mtendewa ni mwananchi.hakuna kulea ujinga,kipimo cha kazi vigezo vinavyokidhi mahitaji ya mwananchi. Aweso kazi iendelee.

  • @aloycesamba998
    @aloycesamba9983 жыл бұрын

    Hongera sana mheshimiwa kwa kazi nzuri unayofanya,tena rombo kero ya maji ipo tangia miaka mingi sana

  • @melejilendakwi3698
    @melejilendakwi36983 жыл бұрын

    Mh waziri wa maji unajituma sna na mungu akusaidie katika kazi yako tunaomba uje Tena ngorongoro Hasa kata ya kakesio kwani tunashida kubwa ya maji

  • @user-oc7uh9po8j
    @user-oc7uh9po8j5 ай бұрын

    Mheshimiwa upo vizuri sana mungu akubariki sana

  • @nestoemanuel2821
    @nestoemanuel28213 жыл бұрын

    Bro ! Uko vzr hongera sana👍

  • @stevemwakisimba5986
    @stevemwakisimba59863 жыл бұрын

    Wananchi saivi hamuwawezi wameamua kujipambania hahahaha tumbua tu kijana wetu aweso!!

  • @user-oc7uh9po8j
    @user-oc7uh9po8j5 ай бұрын

    Ubarikiwe sana baba

  • @user-cg9yd9dw5n
    @user-cg9yd9dw5n5 ай бұрын

    Mungu aendeleekukupa ujasiri

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi76373 жыл бұрын

    Huyu ndiye aliyebaki na Kalemani. Matendo mengi maneno kidogo...

  • @stevemwakisimba5986
    @stevemwakisimba59863 жыл бұрын

    Kijana unabusara na uendelee hivyo wabane sana vijijin ndiko tatizo kubwa kwakua hao wazee wa vijijin wanaonewa sana

  • @manasejohn9106
    @manasejohn91063 жыл бұрын

    Hongera waziri Aweso nahitaji san namba yako waziri wetu upo vzr kiukweli

  • @magrethmeela154
    @magrethmeela154 Жыл бұрын

    Safi Sana waziri bado marangu rauya hatuna maji miaka yote baba

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro55883 жыл бұрын

    Good job

  • @suleimankhamis8298
    @suleimankhamis82983 жыл бұрын

    good work

  • @miritonbikura5487
    @miritonbikura54873 жыл бұрын

    Nakubar kaka

  • @furahamwajeka7463
    @furahamwajeka7463 Жыл бұрын

    Hongera aweso

  • @shadrackzablon5983
    @shadrackzablon59833 жыл бұрын

    Mzee anaongea vizuri dah utadhani anasoma kweli wananchi sasahiv hawana uwoga

  • @ramlazuber6038
    @ramlazuber60383 жыл бұрын

    Tanzania hiiiii mpaka UKWELIII uje usimamee masikini tutapata taaabu sanaaa. Na kupata viongozi kama hawa. Mmmmmmh. Mungu ASIMAMEEE KWA KWELIII

  • @chesconkwera2005
    @chesconkwera2005 Жыл бұрын

    Hahaha Owesoooooooo shikamooo mdogo Wangu chapa kazi.

  • @abdullahrashid6297
    @abdullahrashid62973 жыл бұрын

    Huyu mzee inaelekea alivyokuwa kijana alikuwa Mkuda Mbaya

  • @stephanogallet3461
    @stephanogallet34613 жыл бұрын

    Waziri wa maji tunaomba ufike hapa Arusha kwani maji bado ni changamoto

  • @aminaomary5567
    @aminaomary55672 жыл бұрын

    Njoo Matemanga Tundutu maji ni shida maji tunakunywa Mchororo ni hatari sana.Kwa mwezi maji ya bomba tunapata mara chache Mhe.

  • @user-bt7ki5pz9t
    @user-bt7ki5pz9t5 ай бұрын

    Anastairi kuwaa ata waziri

  • @eliyahrobert9340
    @eliyahrobert93403 жыл бұрын

    Huyo nzee mnaa kinyama duuu

  • @malikidaudi2517
    @malikidaudi25177 күн бұрын

    Waziri tunaomba uje huku krk mikoa mingine

  • @captenndunga6745
    @captenndunga67452 жыл бұрын

    Nakupongeza muheshimwa ila hapo kwenye pesa ya mama samia umekosea pesa ni za wananchi sio za kwake za kwake anafanyia mambo yake.

  • @rosemayunga4021
    @rosemayunga4021 Жыл бұрын

    Mh. Uje na kibondo kifura tunateseka babamaji hakuna wakutusaidia

  • @chesconkwera2005
    @chesconkwera2005 Жыл бұрын

    Owesoo kamtumbua mhandisi then anamtaka aseme oyeeee

  • @salumukatumbi9460
    @salumukatumbi9460 Жыл бұрын

    kwa sekta ya maji uko powa

  • @jasminseleman-uw5oh
    @jasminseleman-uw5oh Жыл бұрын

    Waziri tunaomba ufike moshi vijijini maji hakuna kabisa

  • @mossyfimbo3577
    @mossyfimbo35775 ай бұрын

    Sio ikibidi wafungwe

  • @errydeo8865
    @errydeo88652 жыл бұрын

    JPM PRODUCTS WALOBAKI

  • @jumaigoti8638
    @jumaigoti86383 жыл бұрын

    Dogo uko sawa

  • @jamesmpeter8710
    @jamesmpeter87103 жыл бұрын

    Huyu mzee balaa

  • @mossyfimbo3577
    @mossyfimbo35775 ай бұрын

    Hawa watu kuanzi juu mpaka chini mikoani ni majizi wafukuzwe kazi na wafungwe majizi saana msiwaache wakamatwe wahojiwe ni wezi saana wamekula pesa zoote

  • @mbotwambotwa2186
    @mbotwambotwa21863 жыл бұрын

    Safi sana njoo songwe

  • @businessclassidmc970

    @businessclassidmc970

    3 жыл бұрын

    Mbotwa wa Wapi ndugu yangu, yamkini wewe ni ndugu yangu maana mimi ni mzaliwa wa Sumbalwela.

  • @mbotwambotwa2186

    @mbotwambotwa2186

    3 жыл бұрын

    @@businessclassidmc970 Mjukuu wa chilalika je ww ninani na unaishi wapi

  • @businessclassidmc970

    @businessclassidmc970

    3 жыл бұрын

    Kwa sasa nipo Dodoma, ila wiki iliyopita nilikuwepo kwenye Msiba wa Babu yetu Marko Mbotwa.

  • @mbotwambotwa2186

    @mbotwambotwa2186

    3 жыл бұрын

    @@businessclassidmc970 poleni nilipata talifa nikiwa sipo yule ni babu yangu baba mdogo tukonaye Tunduma poleni nijilani na akina kitaa toka Shuleni kwa mbele akinamsomba (marehemu Mngasalagha)

  • @user-ns3ee9xp9d
    @user-ns3ee9xp9d3 жыл бұрын

    muheshimiwa aweso nenda na mtwara kidogo kwenye wilaya ya Tandahimba hasa kwenye kata ya Nanyanga ukaangalie mavirigiza kama hayo usipofanya subra wewe mwenyewe waziri utalia.

  • @afamefunaokeke6966
    @afamefunaokeke69663 жыл бұрын

    kadanganya waziri haogopi kufinywa...😋

  • @bbmediafirm
    @bbmediafirm3 жыл бұрын

    baba mzazi

  • @benderarulenge8898
    @benderarulenge88983 жыл бұрын

    Sjaelewa mradi wa wafadhiri au serikali,

  • @georgevalilanga7412
    @georgevalilanga74123 жыл бұрын

    Duu cjawai sifi ila kwako aweso fanya kazi ivyoivyo utakuja kua kiongozi mkubwa sana uko mbere

  • @madeestar5228
    @madeestar52283 жыл бұрын

    Waziri Zanzibar kunakuhusu

  • @ernestlocken4500
    @ernestlocken4500 Жыл бұрын

    Waziri awesso wewe tunakuamini uswahilini arushA no water tafadhali

  • @halimakihame1744
    @halimakihame17443 жыл бұрын

    Kqcjukuwe soda kaka nakuja kulipa

  • @wilsonlusasu8069
    @wilsonlusasu80693 жыл бұрын

    Waziri njoo na kwetu shinyanga vijijini kata ya mwantini kijiji Cha mishepo

  • @rashdiyange7758

    @rashdiyange7758

    3 жыл бұрын

    Nae bina damu kwani hachoki

  • @johnsonbagambi1908
    @johnsonbagambi19083 жыл бұрын

    Maisha yanaendelea

  • @ndulujilala9643
    @ndulujilala96433 жыл бұрын

    Mzee punguza kuongea dah

  • @shadrackzablon5983

    @shadrackzablon5983

    3 жыл бұрын

    Apunguze kuongea kuna pumba umeona ameongea hapo jielewe

  • @antonjohn8865
    @antonjohn88653 жыл бұрын

    Pumbavu sana nyie

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati36413 жыл бұрын

    BADO MNAFUATA SIASA ZA DIKTETA MWENDAZAKE.

  • @saimonijonas4356

    @saimonijonas4356

    3 жыл бұрын

    Ulitakaje??

  • @texastexas2545

    @texastexas2545

    3 жыл бұрын

    Achakutombwa mbwa wewe🖕🖕

  • @shadrackzablon5983

    @shadrackzablon5983

    3 жыл бұрын

    We ndimi wanakufira

  • @athumanijuma3085

    @athumanijuma3085

    3 жыл бұрын

    Huna akili hata moja ww

  • @ramadhanchiiza9215

    @ramadhanchiiza9215

    3 жыл бұрын

    Hakuna kubembelezana kuna watu wengi wamesoma na waadilifu hawana kazi anaezingua timua weka mwingine hata huyo mhandisi wa mkoa na yeye alitakiwa kutimuliwa mh. Na huku temeke waires maji ni shida yanatoka kwa siku mara moja tena kwa masaa yakitoka saa 11 alfajir mpk tena alfajiri inayofuata njoo na huku utumbue hasa mtaa kitomomdo maji ni shida

  • @charlesnassary6689
    @charlesnassary66893 жыл бұрын

    jembe la maguful

  • @allysaidallysaid4530

    @allysaidallysaid4530

    Жыл бұрын

    Majembe ya magufuli hayo

  • @user-cg9yd9dw5n
    @user-cg9yd9dw5n5 ай бұрын

    Mungu aendeleekukupa ujasiri

  • @lawrencegwerino1656
    @lawrencegwerino16563 жыл бұрын

    Tunaomba na pesa zetu waludishe

Келесі