BILA WOGA MUHA AMTAJA POLISI ANAYEWASUMBUA MBELE YA WAZIRI MKUU "ANAITWA MPEMMBA"
Ойын-сауық
Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
#entertainment #news #music #funny
Пікірлер: 27
Mungu Yuko upande wetu,Waziri Mkuu ni Tunda la Inchi yetu Mungu ambaliki sana,
Nilikuwa tu mha lazima akichafue tu good job
Kweli huyu Muha
Brother K
mmh jaman Tanzania tunaishi kama wakimbiz,sababu tu viongozi wetu wanasbili kupelekewa taarifa ofisin cc wananch wanyonge tunaumia wengine wamefilisika sababu ya viongozi wetu
Sijui watu wanenda kusomea nini na kazi wanazofanya! Nchi hii inamhitaji Raisi mkali!!
Tanzania Toka umeondoka baba magu wengne nchi imewashinda msimpake mafuta mama haya yote hayakuepo kipindi Cha uhai wake
Asante chambu..pambana🙏🙏😂
Inafika wakati hata police wenyewe wanataka rushwa kwa nguvu wakidai hawajala Toka Jana sijui serekali inajadili vipi swala hili kwamaana kama uchimi wa nchi hukuzwa na biashara afu police wanataka wale wao je Kuna kukua kiuchumi?
Huko poa sana mzee
Nimekukubali hasa kigoma serikari iende kukagua reli zetu usafirishaji mbovu
Safi sana 😂😂😂😂
Yani nimecheka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣utazani mazuri Aahhh
Heshima kwa watumishi wa uma wizara zote imeishiya kama magufuli alipoishia mbinguni wana kiburi ,magari ya stm stj su yamegeuka kuwa magari ya kuendea toroka uje ,shivas, hawatoi huduma bila kitu kidogo,Ili wapate Hela ya kwenda toroka uje,
Mwaga mafuta mzee baba umetisha mbaya mbaya
kazi yaselikali asilimia 70 .wizimtupu 1 ospitali lushua.2 maakamani lushua.3 ..trufk.lushua. selikali zakijiji lushua.maliasili ndousiseme.wizi mtupu.tekibaya zaidi maliasili.awana mashamba yakupanda miti..kiongoz.waselikali kuupata ufalume wambingu.eli yangamia .kupita katka .tundu yasindano.
Kiukwel sema ukwel ngoja tuone
KUNA WATU WAMEPEWA DHAMANA NA WANATUMIA VIBAYA DHAMANA ZAO MAMA ANAONEKA MMBAYA. INAUMIZA SANA. MAMA PITISHA PANGA HUKO TRA
@PriscusiAugustino
Жыл бұрын
Tajiri wa kigoma
Hapo nyuma kulikuwa na utaratibu wa viongozi kwenda kwa wananchi ili kusikiliza kero zao lkn sasa hivi utaratibu huo haupo (mfn mzuri ni huu ambao waziri mkuu umejionea hapo kariakoo. Lkn haya mambo yapo nchi nzima.
Mtam miss sana magufuli
Sureeeeeee
Kwani mha anapaswa kuwa muoga, hafai kuwa muwazi?
Kunawatu mpaka wanauza magali kisa tialaie
Brother k
Mmmmm
A