MAGUFULI AIBUKIA SITE, Ambananisha MKANDARASI - "Nyumbani kwako kuna Lift?"

MAGUFULI AIBUKIA SITE, Ambananisha MKANDARASI - "Nyumbani kwako kuna Lift?"
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, Leo Novemba 22 ameweka jiwe la msingi la mradi wa ujenzi wa Hospitali ya Uhuru katika eneo la Maduka Chamwino....
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
----------------------------------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY:
kzread.info?list...
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
kzread.info?list...
GLOBAL RADIO TV:
kzread.info?list...
EXCLUSIVE INTERVIEW:
kzread.info?li

Пікірлер: 22

  • @riphatmuhene9615
    @riphatmuhene96154 жыл бұрын

    Lkn Mh lift ni muhimu kwa watu wenye uhitaji maalum...

  • @alexmwita5426
    @alexmwita54264 жыл бұрын

    Nimependa sana majibu ya mtu wa TBA,hajatetereka.

  • @rajabumwenesano2038
    @rajabumwenesano20384 жыл бұрын

    God bless you 4 everything my president live long

  • @jobamampuya5933
    @jobamampuya59334 жыл бұрын

    Saaaafi.. mh Rais. Tanzania kwanza 🇹🇿🇹🇿

  • @michaellta6746
    @michaellta67464 жыл бұрын

    Kwahiyo wagonjwa mahututi na walemavu ,utawabeba mgongoni ,lift ni mhimu kweny ghorofa nahasa hospital.

  • @raynelson4231
    @raynelson42314 жыл бұрын

    Tambua Luna vitema wanatumia wheelchair hawawezi kupanda ngaz hivyo lazima watumie lift

  • @ibrahimramadhani5236
    @ibrahimramadhani5236 Жыл бұрын

    Safii baba tunaendelea kukukumbua

  • @sumaroma2041
    @sumaroma20414 жыл бұрын

    Safi

  • @erdekingtv9563
    @erdekingtv95634 жыл бұрын

    Lkn lift kwa upande wangu ni muhimu coz kuna watu wengne ni walemavu itawasaidia san

  • @hamislipangine1985
    @hamislipangine19854 жыл бұрын

    Hatari

  • @mirajiathumani8221
    @mirajiathumani82212 ай бұрын

    Tumempoteza mtetezi wetu

  • @mtobasamson9164
    @mtobasamson91644 жыл бұрын

    Hahahahahah huyu jamaaa vipi et weka Lokapu kidogo duuuuh

  • @dr.erickjmazyala8905
    @dr.erickjmazyala89054 жыл бұрын

    Huyu rais ni mwisho wa reli, Mungu azidi kumlinda, kumtunza, na kumuongoza rais wetu mpendwa na serikali yetu yote! Mungu azidi ibariki Tanzania.

  • @MzeeKipakapaka-ev9qy

    @MzeeKipakapaka-ev9qy

    Жыл бұрын

    P 😅Up

  • @MzeeKipakapaka-ev9qy

    @MzeeKipakapaka-ev9qy

    Жыл бұрын

    Ljl😮 so P lic lpp L

  • @MzeeKipakapaka-ev9qy

    @MzeeKipakapaka-ev9qy

    Жыл бұрын

    Kokop

  • @masumbukoclement4582
    @masumbukoclement4582 Жыл бұрын

    🙏😭😭🇹🇿🇹🇿

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri85014 жыл бұрын

    walemavu watapandaje ????

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz51924 жыл бұрын

    Jpm ni moto usioximika

  • @mustmsangi9848
    @mustmsangi98484 жыл бұрын

    Fire

  • @lusekelonsekela7128

    @lusekelonsekela7128

    4 жыл бұрын

    Watu wenye Mahitaji Muhimu ni vyema wakafikiriwa Lifti ni muhimu sana kwao

  • @jembagerald5813
    @jembagerald58134 жыл бұрын

    Golofa moja hakuna haja ya lift jaman