HOTUBA YA RAIS DKT.JOHN POMBE MAGUFULI KWENYE UZINDUZI WA UKUTA WA MIRERANI.06 APRILI 2018
HOTUBA YA RAIS DKT.JOHN POMBE MAGUFULI KWENYE UZINDUZI WA UKUTA WA MIRERANI.06 APRILI 2018
Жүктеу.....
Пікірлер: 33
@jikomboetv55426 жыл бұрын
Asante Rais Wangu always I pray for you Mungu akuepusha na kila hila za maadui.
@t1910j6 жыл бұрын
Hotuba nzuri. Mwenye sikio asikie. Laiti kama watu wangeona dhamira njema ya rais Magufuli.
@philipojosephlukumay39656 жыл бұрын
Nampongeza sana Rais wangu, anatufanya tuipende nchi yetu. Ni kweli kabisa vibeberu huku ughaibuni havipendi kabisa kusikia yanayoendelea Tanzania na baadhi ya majirani zetu pia waliokua wananufaika. Vita vya kiuchumi ni vigumu sana hasa vikipiganwa na viongozi wenyewe bila kuwajulisha na wananchi maana silaha watakayotumia vibeberu ni kama kawaida yao wataingia kwa mlango wa demokrasia hasa vyama pinzani na kwasababu wananchi hawajui watafwata mkumbo na kusaidia wezi kuivuruga nchi. Nipo ughaibuni lakini natembea kifua mbele kweli kweli.
@philipojosephlukumay39656 жыл бұрын
I admire Tanzanite auction, it will create a competitive environment.
@amanichanga34486 жыл бұрын
Yes, keep going Tanzania
@wcbwanatishakiranikirudiab23496 жыл бұрын
Huyu ndie mteure wetu wa mwenyez MUNGU kwetu sisi watanzania ewe mwenyez MUNGU enderea kumuongoza kumsimami kumrinda na enderea kuimarisha afya yake raisi wetu na majeshi yetu mwenyez MUNGU yupo pamoja na raisi wetu mwenyez MUMGU mkuu
@wasafifanstv63176 жыл бұрын
This is very touching
@philipojosephlukumay39656 жыл бұрын
Zamani nilikua sitaki hata kuisikia serikali wala siasa kwa sababu ya uozo uliokuwepo serikalini na kazi nilikataa serikalini kwa sababu hizo hizo lkn kwa kazi hizi za mheshimiwa rais Magufuli kila siku nafuatilia kinachoendelea katika nchi yangu na nasikia raha sana kuona mambo yanakwenda. Mungu ibariki Tanzania.
@jamesngundateresia2600
6 жыл бұрын
Philipo Joseph Lukumay HUFIKI KWANGU NILIWACHUKIA WATAWALA BILA SABABU LAKINI NOWW NAENSA KUCHUA CADY YA CCM
@philipojosephlukumay3965
6 жыл бұрын
James Ngunda Teresia hahahaha
@nyanda4276 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Mr. President John Pombe Magufuli
@jamesngundateresia2600
6 жыл бұрын
Nyanda Mlanzi 😂😂😂😂😂😂😂Asande
@prochesilyakurwa8156 жыл бұрын
Najiskia mwenye furaha kuwa Tanzania.........ulisema watu watalima na meno..... Nakubali wazembe wanaanza kulima na meno yaan
@jamesngundateresia2600
6 жыл бұрын
Prochesi Lyakurwa NIMECHEKA KWA SAUTI😂😂😂😂
@jamesngundateresia26006 жыл бұрын
JUMANNE MUUJIZA HUO BABA MAGUFURI ULIFICHAMA WAPI JAMANI TZN TUNGEKUWA MBALI SANA
@eliasilaizar9787 Жыл бұрын
Kweli kabisa mzee ulipiga kazi
@evraburetta77596 жыл бұрын
Good jpm long live Mr President
@jamesngundateresia2600
6 жыл бұрын
Evra Buretta pamoja sana
@tumainimalulu77087 ай бұрын
Lengo limetimia mzee sasa hivi umeme kutoka Egypt unapita hapa kwenda South Africa
@DRISMAIL_DENTAL_SURGEON6 жыл бұрын
president magufuli keep it up never give up use challenges as an oppotunity we trust in you with all our faith hatunamashaka na wewe we know that no sweets without sweat.
@DRISMAIL_DENTAL_SURGEON6 жыл бұрын
umenifanya niendelee kubaki Tanzania wito wangu kwa watanzania naomba tusidanywe na maneno ya upotoshaji Rais magufuli ni mzalendo na tusipo mupa ushirikiano tutamkumbuka sana kila MTU akeshe akiomba tuweze kukombolewa maana tumeibiwa na kunyanyaswa vya kutosha!.
@seifhabibu98906 жыл бұрын
chapa kazi baba
@wilhadarobogastshirima91496 жыл бұрын
Jpm
@DRISMAIL_DENTAL_SURGEON6 жыл бұрын
mwaka 1929-1930 kiongozi Wa USSR /Soviet unioni(muungano Wa URUSI) Comrade Joseph Stalin alitangaza vita uchumi na akatangaza kuwa Anataka kubadili USSR from peasant economy to industriezed economy na akasema ndani ya miaka kumi nataka URUSI iwe inaweza kutengeneza nuclear na kuwa super power Wa dunia .Watu wengi wakiwemo viongozi Wa serikari pamoja viongozi mbali mbali Wa dini walimpinga vikali na hata wakawa wanafanya mipango ya kumpindua, lakini Stalin hakubadili msimamo wake Na kweli ndoto yake ikatimia baada ya miaka kumi kama alivyokuwa amepanga mwaka 1940 USSR (muungano Wa URUSI) ikwa industriezed country and world superpower. SASA naomba tumuamini anachokisema Raisi wetu magufuli kinawezekana kabisa tena kwa 100% sisi kuwa na uchumi Wa kati na viwanda inawezekana tusidanganywe na watu wenye hila na wabinafsi!
@DRISMAIL_DENTAL_SURGEON6 жыл бұрын
ee mungu mulinde Rais wetu huyu ndiye chaguo letu Raisi Wa Wa nyonge Rais magufuli kaza hapo hapo wewe umeletwa na mungu kuikomboa Tanzania watanzania wengi tumekuelewa usikatishwe tamaa na majungu ya wezi Hawa You are the best president I have ever seen nakuomba Rais usirudi nyuma ili na sisi tujivunie na Tanzania yetu
@ramadhanaliy5282
3 жыл бұрын
Hongeraa mkuu mkombozi wa Africa
@paschalmichael33404 жыл бұрын
Laizer Tena
@fbr51136 жыл бұрын
HADI TUNATOKA MACHOZI UNAVYYOTUPA RAHA WATANZANIA. MUNGU AKUPE UHAI MIAKA KIBAO NA UENDELEE KUTULETEA MAENDELEO. KWELI KABISA MAJESHI YETU NDIO YALINDE RASILIMALI ZETU KILA MAHALI
@fbr51136 жыл бұрын
MUNGU MBARIKI RAISI WETU NA IBARIKI TANZANIA. WACHAWI WA NCHI WOOOOTE MUNGU ATAWAPA DAWA YAO.
@jamesngundateresia26006 жыл бұрын
MJEDA MJEDA MJEDA MJEDA MJEDA WANGU MIYE
@DRISMAIL_DENTAL_SURGEON6 жыл бұрын
president magufuli keep it up never give up use challenges as an oppotunity we trust in you with all our faith hatunamashaka na wewe we know that no sweets without sweat.
Пікірлер: 33
Asante Rais Wangu always I pray for you Mungu akuepusha na kila hila za maadui.
Hotuba nzuri. Mwenye sikio asikie. Laiti kama watu wangeona dhamira njema ya rais Magufuli.
Nampongeza sana Rais wangu, anatufanya tuipende nchi yetu. Ni kweli kabisa vibeberu huku ughaibuni havipendi kabisa kusikia yanayoendelea Tanzania na baadhi ya majirani zetu pia waliokua wananufaika. Vita vya kiuchumi ni vigumu sana hasa vikipiganwa na viongozi wenyewe bila kuwajulisha na wananchi maana silaha watakayotumia vibeberu ni kama kawaida yao wataingia kwa mlango wa demokrasia hasa vyama pinzani na kwasababu wananchi hawajui watafwata mkumbo na kusaidia wezi kuivuruga nchi. Nipo ughaibuni lakini natembea kifua mbele kweli kweli.
I admire Tanzanite auction, it will create a competitive environment.
Yes, keep going Tanzania
Huyu ndie mteure wetu wa mwenyez MUNGU kwetu sisi watanzania ewe mwenyez MUNGU enderea kumuongoza kumsimami kumrinda na enderea kuimarisha afya yake raisi wetu na majeshi yetu mwenyez MUNGU yupo pamoja na raisi wetu mwenyez MUMGU mkuu
This is very touching
Zamani nilikua sitaki hata kuisikia serikali wala siasa kwa sababu ya uozo uliokuwepo serikalini na kazi nilikataa serikalini kwa sababu hizo hizo lkn kwa kazi hizi za mheshimiwa rais Magufuli kila siku nafuatilia kinachoendelea katika nchi yangu na nasikia raha sana kuona mambo yanakwenda. Mungu ibariki Tanzania.
@jamesngundateresia2600
6 жыл бұрын
Philipo Joseph Lukumay HUFIKI KWANGU NILIWACHUKIA WATAWALA BILA SABABU LAKINI NOWW NAENSA KUCHUA CADY YA CCM
@philipojosephlukumay3965
6 жыл бұрын
James Ngunda Teresia hahahaha
Mungu akubariki sana Mr. President John Pombe Magufuli
@jamesngundateresia2600
6 жыл бұрын
Nyanda Mlanzi 😂😂😂😂😂😂😂Asande
Najiskia mwenye furaha kuwa Tanzania.........ulisema watu watalima na meno..... Nakubali wazembe wanaanza kulima na meno yaan
@jamesngundateresia2600
6 жыл бұрын
Prochesi Lyakurwa NIMECHEKA KWA SAUTI😂😂😂😂
JUMANNE MUUJIZA HUO BABA MAGUFURI ULIFICHAMA WAPI JAMANI TZN TUNGEKUWA MBALI SANA
Kweli kabisa mzee ulipiga kazi
Good jpm long live Mr President
@jamesngundateresia2600
6 жыл бұрын
Evra Buretta pamoja sana
Lengo limetimia mzee sasa hivi umeme kutoka Egypt unapita hapa kwenda South Africa
president magufuli keep it up never give up use challenges as an oppotunity we trust in you with all our faith hatunamashaka na wewe we know that no sweets without sweat.
umenifanya niendelee kubaki Tanzania wito wangu kwa watanzania naomba tusidanywe na maneno ya upotoshaji Rais magufuli ni mzalendo na tusipo mupa ushirikiano tutamkumbuka sana kila MTU akeshe akiomba tuweze kukombolewa maana tumeibiwa na kunyanyaswa vya kutosha!.
chapa kazi baba
Jpm
mwaka 1929-1930 kiongozi Wa USSR /Soviet unioni(muungano Wa URUSI) Comrade Joseph Stalin alitangaza vita uchumi na akatangaza kuwa Anataka kubadili USSR from peasant economy to industriezed economy na akasema ndani ya miaka kumi nataka URUSI iwe inaweza kutengeneza nuclear na kuwa super power Wa dunia .Watu wengi wakiwemo viongozi Wa serikari pamoja viongozi mbali mbali Wa dini walimpinga vikali na hata wakawa wanafanya mipango ya kumpindua, lakini Stalin hakubadili msimamo wake Na kweli ndoto yake ikatimia baada ya miaka kumi kama alivyokuwa amepanga mwaka 1940 USSR (muungano Wa URUSI) ikwa industriezed country and world superpower. SASA naomba tumuamini anachokisema Raisi wetu magufuli kinawezekana kabisa tena kwa 100% sisi kuwa na uchumi Wa kati na viwanda inawezekana tusidanganywe na watu wenye hila na wabinafsi!
ee mungu mulinde Rais wetu huyu ndiye chaguo letu Raisi Wa Wa nyonge Rais magufuli kaza hapo hapo wewe umeletwa na mungu kuikomboa Tanzania watanzania wengi tumekuelewa usikatishwe tamaa na majungu ya wezi Hawa You are the best president I have ever seen nakuomba Rais usirudi nyuma ili na sisi tujivunie na Tanzania yetu
@ramadhanaliy5282
3 жыл бұрын
Hongeraa mkuu mkombozi wa Africa
Laizer Tena
HADI TUNATOKA MACHOZI UNAVYYOTUPA RAHA WATANZANIA. MUNGU AKUPE UHAI MIAKA KIBAO NA UENDELEE KUTULETEA MAENDELEO. KWELI KABISA MAJESHI YETU NDIO YALINDE RASILIMALI ZETU KILA MAHALI
MUNGU MBARIKI RAISI WETU NA IBARIKI TANZANIA. WACHAWI WA NCHI WOOOOTE MUNGU ATAWAPA DAWA YAO.
MJEDA MJEDA MJEDA MJEDA MJEDA WANGU MIYE
president magufuli keep it up never give up use challenges as an oppotunity we trust in you with all our faith hatunamashaka na wewe we know that no sweets without sweat.