HOTUBA KAMILI YA RAIS MAGUFULI AKIWA TARIME - 07/09/2018

Ni kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika leo Septemba 7, 2018 kwenye Chuo cha Ualimu Tarime ikiwa ni sehemu ya ziara yake mkoani Mara.
Katika kuhitimisha ziara yake mkoa wa Mara, Rais Magufuli amehutubia mkutano wa hadhara Mjini Tarime na kuwahakikishia wananchi wa mji huo kuwa Serikali ya Awamu ya Tano itaendelea kuwahudumia wananchi bila kuwabagua.
Katika hotuba hii Rais Maguli ameeleza sababu ya kumuondoa kwenye nafasi yake Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Valentino Mlowola, amekemea vitendo vya rushwa na ubadhirifu ndani ya CCM, pia amemkaribisha CCM mbunge wa CHADEMA Ester Matiko.
Amesema kwamba kwa Tarime serikali imetenga shilingi Bilioni 14 kwa ajili ya mradi mkubwa wa maji, imeanza ujenzi wa barabara ya Tarime - Mugumu kwa kiwango cha lami, imetoa shilingi milioni 400 za ujenzi wa kituo cha afya, inatoa fedha za elimu bila malipo kila mwezi na inaendelea kusambaza umeme kwa vijiji vyote visivyo na umeme.
Rais Magufuli amezungumzia uwekezaji wa shamba la miwa na kiwanda cha sukari katika wilaya ya Tarime, na kueleza kuwa Serikali itafanya uchambuzi wa kina kabla ya kuridhia mradi huo huku akiwataka viongozi wa Mkoa na Wilaya kuondoa tofauti zao.
Kwa wilaya jirani ya Rorya Rais Magufuli amemuagiza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Selemani Jafo kutafuta fedha kiasi cha shilingi Bilioni 1.5 kwa ajili ya kujenga hospitali.

Пікірлер: 114

  • @stellakutta6513
    @stellakutta65132 жыл бұрын

    Loooo! Ni hasara na pengo sana kumpoteza kiongozi wetu mkubwa kama huyu. Maskini watanzania. Tutampata wapi tena. Mungu twakuomba iweke roho ya baba yetu Rais wa Tanzania. J.M. Amina.

  • @nendemakyambe5624
    @nendemakyambe56245 жыл бұрын

    naendelea kumwombea huyo Rais JPM Usiku na mchana, Mungu amjalie katika uongozi wake! Anafaa kuitwa Rais wa Afrika nzima!

  • @kassimrajabu7805

    @kassimrajabu7805

    2 жыл бұрын

    Vp bado unaendelea kumuombea??

  • @nendemakyambe5624

    @nendemakyambe5624

    2 жыл бұрын

    @@kassimrajabu7805 Inamaanisha kuwa wewe pia umo miongoni mwa walio shiriki Katika kifo chake! Kila mwenye mwili, atakufa tu!

  • @kassimrajabu7805

    @kassimrajabu7805

    2 жыл бұрын

    @@nendemakyambe5624 unatafunwa nn?? Mimi Mungu??

  • @Crabtree1844

    @Crabtree1844

    2 жыл бұрын

    Amen. Hatutapata mwingine kama yeye. Mungu alitupatia dume kweli; Jembe kutoka Chato.

  • @kennyrogers4734

    @kennyrogers4734

    2 жыл бұрын

    @@kassimrajabu7805 😂😂

  • @josephgervas8558
    @josephgervas85582 жыл бұрын

    Mwenyezi mungu akupumuzishe mahali pema peponi amen

  • @machoguhameri7757
    @machoguhameri77572 жыл бұрын

    Mungu akukumbuke akumbuke sadaka yako uliotoa wakati wa uhai wako.akusamehe makosa yako.akupe Raha ya Milele.

  • @stellakutta6513
    @stellakutta65132 жыл бұрын

    Yaani ni hasara. Tulipoteza kiongozi wa ajabu sana. Alikuwa ni kiongozi mwenye hekima, busara, maarifa, akili zuri za kuwaongoza Watanzania. Loooo! Ni pengo sana lisilozibika. Mungu iweke roho ya Tas wetu Marehemi

  • @allymalega252
    @allymalega2522 жыл бұрын

    Huyu ndo raisi wangu mwenye maamuzi na msimamo thabiti.

  • @husseinhamiss6538
    @husseinhamiss65382 жыл бұрын

    Yumekumis sana baba jpm pumzika kwa amani mwanga wa milele ukuangazie

  • @edwardmagige874
    @edwardmagige8742 жыл бұрын

    Duu! Alaaniwe kama kuna alie husika na kifo chako rais wetu. Nakuelewa sana

  • @noelbryson7840

    @noelbryson7840

    2 жыл бұрын

    Alaaniwe pia aliyehusika na kifo cha Beni Sanane, Alphonce Mawazo, Azory Gwanda na wengine wengi, alaaniwe pia

  • @christiankambuga9338
    @christiankambuga93382 жыл бұрын

    Tulikupenda sana mh JPM mungu akulaze pema

  • @amourmunga8356
    @amourmunga83562 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭😭tutayaishi mema yako huruma zako na upendo wako kitabu chako nikizurii sana pumzika baba tunakuombea

  • @salehsports6372
    @salehsports63725 жыл бұрын

    Muheshimiwa alivyosema "Pendaneni, Shirikianeni Msibaguane" jozi limetaka kunitoka". Kila Muheshimiwa Rais akimtaja mkuu wa wilaya msaidizi wa Rais anamwangalia kwa jicho kali mkuu wa wilaya 💪👊, ila anaonekana mtu wa huruma kwa sababu ana tabasamu mara kwa mara.

  • @samwelilaizer661
    @samwelilaizer6612 жыл бұрын

    😭🇹🇿😭🇹🇿😭🇹🇿😭🇹🇿😭🇹🇿😭Hakika hayati Dr John pombe Magufuli Tutamkumbuka daima kipenzi chetu

  • @wamburachacha1248
    @wamburachacha12485 жыл бұрын

    vizuri saana Rais Magufuli kwa hotuba nzuri

  • @smootkizy_jr
    @smootkizy_jr Жыл бұрын

    Daah Rest in peace My President John,now mzee Tz ni nchi ya tozo, na kusifiana tuu pasi utelekezaji ,wale wote uliowateua washapigwa chini,nchi ishabiki chungu #Samia mwenyewe kila day Safari zisizoeleweka My President Rest in peace Baba Magufuli🕊

  • @karimhgau9020
    @karimhgau90202 жыл бұрын

    Nita kuku mbhuka sana rais wangu mwenye upendo wadhati uliyo tuonesha sisi watanzania tunakujua vizuri sana mungu akutangulie uko uliko tuta endelea kuku penda auta futika katka moyoni mwetu utabaki daima rais wangu mwenye upendo wadhati na bara la Africa mwenyezi Mungu na ombha utulinde na kila shari

  • @pettermasika9120
    @pettermasika91205 жыл бұрын

    Rais anastahili kueshimiwa muno John pombe Magofuli kwa Moyo wake wa uzalalendo wa kulitetea Taifa Hili letu la Tanzania, Mimi binafisi Nakuwombea wewe na Prfs paramagamba Kabudi Waziri wako wa sheria munayo yanena, yapate kibali mbele ya Mwenyezi Mungu., Ukirudi nyuma uwe jiwe la chuvi nathubutu kusema Mwenyezi Mungu asiwasame ehe ninyi nyote Kama mtawadanganya Watanzania

  • @azizahasan4420
    @azizahasan44202 жыл бұрын

    Mungu anatupenda

  • @bisekoc.k.jenjela7936
    @bisekoc.k.jenjela79365 жыл бұрын

    Safi sana.

  • @user-fn4er6xf7u
    @user-fn4er6xf7u8 ай бұрын

    Mungu wangu uishie mbinguni, hufai kuulinzwa maswali kwa ulichokifanya,ila kwa uyu Raisi wetu JPM,ungezuita iyo kifo asife araka jinsi walivyo muuwa huyu baba wetu kipenzi cha watanzania wanyonge 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭,naomba umsamehe makisa yake,ili umpokee kwa upendo,jinsi alivyo tupenda sisi wanawako, waafrica

  • @jumakalukule5312
    @jumakalukule53122 жыл бұрын

    Aisee m/mungu akusamehe makosayako uliweza kwa kiasichako sizani kama tutapata atakae kulivu

  • @christiankambuga9338
    @christiankambuga93382 жыл бұрын

    Tutakukumbuka king wetu JPM

  • @revocatussebastian2427
    @revocatussebastian24272 жыл бұрын

    Tangu ufariki matajiri wanacheza fauro# ile stendi yamabasi ya Mkoani ulioijenga mbezi Luis wameifanya kama check point wanapakilia abiria mjini nakushushia mjini# kituo kinapoteza mapato mengi...# tutakukumbuka baba# RIP J.P.M

  • @captbilly87
    @captbilly876 ай бұрын

    Kiongozi Bora 👍

  • @ndimamsuya9709
    @ndimamsuya97092 жыл бұрын

    Keep shinning wherever you are! Missing you Big Man ..

  • @gratianustindazesile7051
    @gratianustindazesile70512 жыл бұрын

    Good vision in a simple mind

  • @alcoholdisque6400
    @alcoholdisque64002 жыл бұрын

    I never get enough of him. He went too soon🙏

  • @fatumammbaga8396

    @fatumammbaga8396

    2 жыл бұрын

    L

  • @selemanmtaita9886

    @selemanmtaita9886

    2 жыл бұрын

    Kk

  • @mahmoudaziz6281
    @mahmoudaziz62815 жыл бұрын

    my best president

  • @mamamanka1310

    @mamamanka1310

    2 жыл бұрын

    Tutazidi kukuombea make ulituweka Katika usawa lkn ulikufa kupitia wabaya wako Mungu atajbu

  • @ahmedh9882
    @ahmedh98825 жыл бұрын

    Hi mr president for real we’re in multi party in Tanzania but the opposition party ni mafisadi

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad64632 жыл бұрын

    Kweli my brother tunajua kitabu chako hakikua na muhuri wa nnje ya afrika.

  • @nicoluscanal5748

    @nicoluscanal5748

    2 жыл бұрын

    Baba umefanya kazikubwa sana mwezimungu akupe pumziko lamilele

  • @josephgervas8558
    @josephgervas85582 жыл бұрын

    Jamani sisi watanzania tumemkosea nini mungu akatuondoshea huyu mtu mapena namna hiii, acha tulie tuuuu😭😭😭

  • @allyruchoro4542
    @allyruchoro45422 жыл бұрын

    Rais wangu mangufu nitakukumbuka Sana

  • @raphaelkailembo8679
    @raphaelkailembo86792 жыл бұрын

    Upumuzike kwa Amani na Mwanga wa milele ukwangazie ehee bwana!Apumzike kwa Amani...Amina

  • @saidimtame2320
    @saidimtame23202 жыл бұрын

    Mzee wangu me sisemi ninavyo umia moyo sema mungu ndio mjuaji sema dah mda mwengine watu wanausika na kumkimbilia mungu

  • @goddymduda3774
    @goddymduda37742 жыл бұрын

    Rest in peace Dr. JPM. Daima tutakukumbuka

  • @adildewji4322
    @adildewji43222 жыл бұрын

    May Allah rest his soul in eternal peace.. miss him.

  • @zubeirmuhammad3024

    @zubeirmuhammad3024

    2 жыл бұрын

    Lllllllllllllllllllllll

  • @augustinerutamu6037

    @augustinerutamu6037

    2 жыл бұрын

    @@zubeirmuhammad3024 l

  • @richardboaz-mashagospel2346
    @richardboaz-mashagospel23462 жыл бұрын

    The only hero of our time....baada ya mwalimu nyerere kiongozi pekee anayefuata ni huyu...hakuna mwingine. Mpaka leo Mungu ametupa viongozi hawa tu

  • @shimbishimbishimbishimbi7037
    @shimbishimbishimbishimbi7037 Жыл бұрын

    Pumuzika kwa amani baba sisi watanzania tutaederea kukumbuka popote uripo baba

  • @jamesngundateresia2600
    @jamesngundateresia26005 жыл бұрын

    JOMBAAA GOOD SANA

  • @alphahassani564

    @alphahassani564

    5 жыл бұрын

    Napenda kuchua fursa hii kumpongeza Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mh. John Pombe Joseph Magufuri kwa utendaji wake thabiti ni mfano wa kuigwa kwa viongozi wengine wa kitaifa na kimataifa, Mungu akujalie maisha marefu yenye afya njema.

  • @jamesngundateresia2600

    @jamesngundateresia2600

    5 жыл бұрын

    Kazi kazi MAGU

  • @serengetiglobalnet2575
    @serengetiglobalnet25752 жыл бұрын

    RIP JPM

  • @karimhgau9020
    @karimhgau90202 жыл бұрын

    Mungu akutangulie,kweli wewe ni chuma.tangulia BABA.Mungu atakulipia.

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano70672 жыл бұрын

    Uliongea lakini matokeoyaka nimabaya kamwashetani m

  • @rosetreffert6727
    @rosetreffert67272 жыл бұрын

    💔💔🙏🙏rip Magufuli atakumbukwa daima

  • @gracejohn8574
    @gracejohn85742 жыл бұрын

    Hongera

  • @olivierdratchu4480
    @olivierdratchu44802 жыл бұрын

    Nampenda Sana tanzania magufuli

  • @mwarabulaizer5918
    @mwarabulaizer5918 Жыл бұрын

    Hivi niwaulize wezangu je JPM angekuwa hai mpaka leo hii inchii ingekuaje sasahivi?RLP mungu akupe mahala pema peponi nitakumbuka siku zote za maisha yangu ila siyo kwa mabaya bali kwa mazuri ulio tutendea sisi watanzania wote bila ubaguzi wa vyama rangi n.k 🙏🙏🙏 🙏

  • @emanuelelphas3653
    @emanuelelphas36532 жыл бұрын

    rest in peace JPM

  • @sadikimsumba5335
    @sadikimsumba53352 жыл бұрын

    I real remember my best president

  • @zuhurakimario8672
    @zuhurakimario86722 жыл бұрын

    Pumzika baba

  • @stevenjackson4985
    @stevenjackson49852 жыл бұрын

    Mniache tu nilie😭😭

  • @tanzaniteinzanzibar6655
    @tanzaniteinzanzibar66552 жыл бұрын

    Rip Magufuli

  • @nurdinalhaji7139
    @nurdinalhaji7139 Жыл бұрын

    Eti leo hayupo na sion wakuziba pengo lake na wale wanataka kupambana kama yeye wanazimwa kwa hoja kuwa hawaipend demokrsia Mungu tusaidie tumpate mwngne anaefanana na huyu Uncle John..inauma ila hakuna namna pumzika kwa aman mkuu

  • @charlesthomas8463
    @charlesthomas84632 жыл бұрын

    rip

  • @MuhungaMasengo-og3vk
    @MuhungaMasengo-og3vkАй бұрын

    Ata hotele yasugu ina sahili kuvunjwa kwa nini ?

  • @chachaambrose620
    @chachaambrose6202 жыл бұрын

    Rais wetu mama Samia tembelea Tarime tarafa ya ingwe kata ya nyamwaga Kijiji Cha komarera ujionee wanyonge hao wanavyo dhurumiwa ardhi yao mgodi wa Mara kasikazini ukiegemea serikali yako,hakika Kuna dhuruma kwa Wana nchi hao waokoe rais,pata taarifa kutoka kwa wananchi wenyewe sio kwa viongozi mikoa/wilaya/talafa/kata/Wala Kijiji uliza walengwa,

  • @shinjejulius5817
    @shinjejulius58172 жыл бұрын

    Sawa

  • @bekaashbai1781
    @bekaashbai17812 жыл бұрын

    Tulikua na father k zenji kila basi muombeni 2

  • @josephgervas8558
    @josephgervas85582 жыл бұрын

    Mh!😭😭😭😭

  • @sikudhanikuhanzibwa5524

    @sikudhanikuhanzibwa5524

    2 жыл бұрын

    Dady r.i.p u' was direction of the nation loveeer

  • @kundaellyimo7523
    @kundaellyimo75232 жыл бұрын

    Mama ujumbe umfikie kwenda ulaya sana sio kufanikiwa kwa nchi Tuna madini Chuma Milima Na park

  • @machugukihongwe1861
    @machugukihongwe18612 жыл бұрын

    Hotuba inanikumbusha sana

  • @zuenahamoud1532
    @zuenahamoud15322 жыл бұрын

    We Miss you papaa

  • @loner_wolf
    @loner_wolf2 жыл бұрын

    Hata mm sipendi ccm lkn kura zangu umepata kura zangu . rest in peace

  • @Iragibarune1.
    @Iragibarune1.2 жыл бұрын

    😭😭😭 mungu amlazemahali pema peponi 💔💔💔💔

  • @hasani565
    @hasani5654 ай бұрын

    😢😢

  • @ShaibuAllex
    @ShaibuAllex3 ай бұрын

    😢

  • @majutomajutokatundu9259
    @majutomajutokatundu92592 жыл бұрын

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @mdtv2625
    @mdtv2625 Жыл бұрын

    All the best our president forever

  • @wizydeko1496
    @wizydeko14962 жыл бұрын

    Daaah ankoo

  • @rogermiller165
    @rogermiller1652 жыл бұрын

    Alitembea sana Chato akaiba na pesa. Watu wa Ulaya hawakuhitaji. Ni kwamba ulikuwa na shida na hukuweza kusafiri.

  • @mucci_AI

    @mucci_AI

    Жыл бұрын

    😂😂😂 daaah unajua mtu ukiwa humpens utafta sana weakness zake hata za kumpakazia

  • @shijabusheshe3395
    @shijabusheshe33952 жыл бұрын

    Aiseeeee lilikuwa jembe

  • @stevenkisinda2904
    @stevenkisinda29042 жыл бұрын

    Hiki kichwa ni baraaa ila kuna vichwa vingine puuuu fikangafu kweli

  • @raphaelkailembo8679
    @raphaelkailembo86792 жыл бұрын

    Tutakukumbuka Daima!

  • @michaelshayo401
    @michaelshayo4012 жыл бұрын

    Pumzika salama baba JPM

  • @timothybosire5390
    @timothybosire53902 жыл бұрын

    R. I .P .YOU DID ALOT TO YOUR COUNTRY

  • @josephvenus3259
    @josephvenus32592 жыл бұрын

    Huyu ndio raisi tunaye mwitaji kwa sasa. Maana hatujui kwa sasa tunaongozwa kwa kuelekea wapi kimaendeleo

  • @titusosano3946
    @titusosano39462 жыл бұрын

    Hakika tulimpoteza Rais Mzalendo

  • @raphaelmack9648
    @raphaelmack96482 жыл бұрын

    Mzee noma anakazia mpaka mtuanashindwa kuongea

  • @fidelisduwe6028
    @fidelisduwe6028 Жыл бұрын

    Ash many

  • @jonasjaphetthomas6434
    @jonasjaphetthomas64342 жыл бұрын

    Maskin yamungu rais wangu jaman! Daah kiukweli tanzania imepoteza rasrimali ya taifa,huyu jamaa kama angeendelea kuish sijui tanzania ingefika wapi, kwa miaka mitano tu tanzania ikabadilika yote. Aiseeee basi bwana.

  • @yohana9273
    @yohana92732 жыл бұрын

    Tundulisu

  • @samwelmangi6870
    @samwelmangi68702 жыл бұрын

    Urusi

  • @edwinochieng2738
    @edwinochieng27382 жыл бұрын

    Edwin ochieng

  • @zaburonjoshua6987

    @zaburonjoshua6987

    2 жыл бұрын

    Da mgugu msamehe babayetu pale alipokoseya lilaze lohoyake mahala pema

  • @emmabroy1209
    @emmabroy12092 жыл бұрын

    Mala Mia nikamsikiliza hayati magufuri hata Kama hayupo Ila maneno yake yananipa faraja

  • @francismlulu3356
    @francismlulu33562 жыл бұрын

    Sizani Kama tutapata mwingine

  • @anytime5685
    @anytime56852 жыл бұрын

    President president president real president

  • @selemanmtaita9886
    @selemanmtaita98862 жыл бұрын

    M

  • @salumshehe9448
    @salumshehe94482 жыл бұрын

    Zuchu

  • @akilihabibu5326
    @akilihabibu53262 жыл бұрын

    BULIANI BABA YETU MUNGU AKULUNDE

  • @chitembokiyuga5916
    @chitembokiyuga5916 Жыл бұрын

    Jpm bado anaishi kifikira ama kweli ni jembe

  • @lobartkulwa5050
    @lobartkulwa50502 жыл бұрын

    Urzik

  • @filbertisidory5873
    @filbertisidory5873 Жыл бұрын

    L

  • @jonasjaphetthomas6434
    @jonasjaphetthomas64342 жыл бұрын

    Rais naowajua tz ni wawili tuu. Jk.Nyerere na JPM tuu. Wengine wote siwafaham sijui kwanin??!

  • @shaabanmasoud4827
    @shaabanmasoud48272 жыл бұрын

    Pumzika baba