HOTUBA KAMILI YA RAIS MAGUFULI AKIWA TARIME - 07/09/2018
Ni kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika leo Septemba 7, 2018 kwenye Chuo cha Ualimu Tarime ikiwa ni sehemu ya ziara yake mkoani Mara.
Katika kuhitimisha ziara yake mkoa wa Mara, Rais Magufuli amehutubia mkutano wa hadhara Mjini Tarime na kuwahakikishia wananchi wa mji huo kuwa Serikali ya Awamu ya Tano itaendelea kuwahudumia wananchi bila kuwabagua.
Katika hotuba hii Rais Maguli ameeleza sababu ya kumuondoa kwenye nafasi yake Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Valentino Mlowola, amekemea vitendo vya rushwa na ubadhirifu ndani ya CCM, pia amemkaribisha CCM mbunge wa CHADEMA Ester Matiko.
Amesema kwamba kwa Tarime serikali imetenga shilingi Bilioni 14 kwa ajili ya mradi mkubwa wa maji, imeanza ujenzi wa barabara ya Tarime - Mugumu kwa kiwango cha lami, imetoa shilingi milioni 400 za ujenzi wa kituo cha afya, inatoa fedha za elimu bila malipo kila mwezi na inaendelea kusambaza umeme kwa vijiji vyote visivyo na umeme.
Rais Magufuli amezungumzia uwekezaji wa shamba la miwa na kiwanda cha sukari katika wilaya ya Tarime, na kueleza kuwa Serikali itafanya uchambuzi wa kina kabla ya kuridhia mradi huo huku akiwataka viongozi wa Mkoa na Wilaya kuondoa tofauti zao.
Kwa wilaya jirani ya Rorya Rais Magufuli amemuagiza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Selemani Jafo kutafuta fedha kiasi cha shilingi Bilioni 1.5 kwa ajili ya kujenga hospitali.
Пікірлер: 114
Loooo! Ni hasara na pengo sana kumpoteza kiongozi wetu mkubwa kama huyu. Maskini watanzania. Tutampata wapi tena. Mungu twakuomba iweke roho ya baba yetu Rais wa Tanzania. J.M. Amina.
naendelea kumwombea huyo Rais JPM Usiku na mchana, Mungu amjalie katika uongozi wake! Anafaa kuitwa Rais wa Afrika nzima!
@kassimrajabu7805
2 жыл бұрын
Vp bado unaendelea kumuombea??
@nendemakyambe5624
2 жыл бұрын
@@kassimrajabu7805 Inamaanisha kuwa wewe pia umo miongoni mwa walio shiriki Katika kifo chake! Kila mwenye mwili, atakufa tu!
@kassimrajabu7805
2 жыл бұрын
@@nendemakyambe5624 unatafunwa nn?? Mimi Mungu??
@Crabtree1844
2 жыл бұрын
Amen. Hatutapata mwingine kama yeye. Mungu alitupatia dume kweli; Jembe kutoka Chato.
@kennyrogers4734
2 жыл бұрын
@@kassimrajabu7805 😂😂
Mwenyezi mungu akupumuzishe mahali pema peponi amen
Mungu akukumbuke akumbuke sadaka yako uliotoa wakati wa uhai wako.akusamehe makosa yako.akupe Raha ya Milele.
Yaani ni hasara. Tulipoteza kiongozi wa ajabu sana. Alikuwa ni kiongozi mwenye hekima, busara, maarifa, akili zuri za kuwaongoza Watanzania. Loooo! Ni pengo sana lisilozibika. Mungu iweke roho ya Tas wetu Marehemi
Huyu ndo raisi wangu mwenye maamuzi na msimamo thabiti.
Yumekumis sana baba jpm pumzika kwa amani mwanga wa milele ukuangazie
Duu! Alaaniwe kama kuna alie husika na kifo chako rais wetu. Nakuelewa sana
@noelbryson7840
2 жыл бұрын
Alaaniwe pia aliyehusika na kifo cha Beni Sanane, Alphonce Mawazo, Azory Gwanda na wengine wengi, alaaniwe pia
Tulikupenda sana mh JPM mungu akulaze pema
😭😭😭😭😭😭😭tutayaishi mema yako huruma zako na upendo wako kitabu chako nikizurii sana pumzika baba tunakuombea
Muheshimiwa alivyosema "Pendaneni, Shirikianeni Msibaguane" jozi limetaka kunitoka". Kila Muheshimiwa Rais akimtaja mkuu wa wilaya msaidizi wa Rais anamwangalia kwa jicho kali mkuu wa wilaya 💪👊, ila anaonekana mtu wa huruma kwa sababu ana tabasamu mara kwa mara.
😭🇹🇿😭🇹🇿😭🇹🇿😭🇹🇿😭🇹🇿😭Hakika hayati Dr John pombe Magufuli Tutamkumbuka daima kipenzi chetu
vizuri saana Rais Magufuli kwa hotuba nzuri
Daah Rest in peace My President John,now mzee Tz ni nchi ya tozo, na kusifiana tuu pasi utelekezaji ,wale wote uliowateua washapigwa chini,nchi ishabiki chungu #Samia mwenyewe kila day Safari zisizoeleweka My President Rest in peace Baba Magufuli🕊
Nita kuku mbhuka sana rais wangu mwenye upendo wadhati uliyo tuonesha sisi watanzania tunakujua vizuri sana mungu akutangulie uko uliko tuta endelea kuku penda auta futika katka moyoni mwetu utabaki daima rais wangu mwenye upendo wadhati na bara la Africa mwenyezi Mungu na ombha utulinde na kila shari
Rais anastahili kueshimiwa muno John pombe Magofuli kwa Moyo wake wa uzalalendo wa kulitetea Taifa Hili letu la Tanzania, Mimi binafisi Nakuwombea wewe na Prfs paramagamba Kabudi Waziri wako wa sheria munayo yanena, yapate kibali mbele ya Mwenyezi Mungu., Ukirudi nyuma uwe jiwe la chuvi nathubutu kusema Mwenyezi Mungu asiwasame ehe ninyi nyote Kama mtawadanganya Watanzania
Mungu anatupenda
Safi sana.
Mungu wangu uishie mbinguni, hufai kuulinzwa maswali kwa ulichokifanya,ila kwa uyu Raisi wetu JPM,ungezuita iyo kifo asife araka jinsi walivyo muuwa huyu baba wetu kipenzi cha watanzania wanyonge 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭,naomba umsamehe makisa yake,ili umpokee kwa upendo,jinsi alivyo tupenda sisi wanawako, waafrica
Aisee m/mungu akusamehe makosayako uliweza kwa kiasichako sizani kama tutapata atakae kulivu
Tutakukumbuka king wetu JPM
Tangu ufariki matajiri wanacheza fauro# ile stendi yamabasi ya Mkoani ulioijenga mbezi Luis wameifanya kama check point wanapakilia abiria mjini nakushushia mjini# kituo kinapoteza mapato mengi...# tutakukumbuka baba# RIP J.P.M
Kiongozi Bora 👍
Keep shinning wherever you are! Missing you Big Man ..
Good vision in a simple mind
I never get enough of him. He went too soon🙏
@fatumammbaga8396
2 жыл бұрын
L
@selemanmtaita9886
2 жыл бұрын
Kk
my best president
@mamamanka1310
2 жыл бұрын
Tutazidi kukuombea make ulituweka Katika usawa lkn ulikufa kupitia wabaya wako Mungu atajbu
Hi mr president for real we’re in multi party in Tanzania but the opposition party ni mafisadi
Kweli my brother tunajua kitabu chako hakikua na muhuri wa nnje ya afrika.
@nicoluscanal5748
2 жыл бұрын
Baba umefanya kazikubwa sana mwezimungu akupe pumziko lamilele
Jamani sisi watanzania tumemkosea nini mungu akatuondoshea huyu mtu mapena namna hiii, acha tulie tuuuu😭😭😭
Rais wangu mangufu nitakukumbuka Sana
Upumuzike kwa Amani na Mwanga wa milele ukwangazie ehee bwana!Apumzike kwa Amani...Amina
Mzee wangu me sisemi ninavyo umia moyo sema mungu ndio mjuaji sema dah mda mwengine watu wanausika na kumkimbilia mungu
Rest in peace Dr. JPM. Daima tutakukumbuka
May Allah rest his soul in eternal peace.. miss him.
@zubeirmuhammad3024
2 жыл бұрын
Lllllllllllllllllllllll
@augustinerutamu6037
2 жыл бұрын
@@zubeirmuhammad3024 l
The only hero of our time....baada ya mwalimu nyerere kiongozi pekee anayefuata ni huyu...hakuna mwingine. Mpaka leo Mungu ametupa viongozi hawa tu
Pumuzika kwa amani baba sisi watanzania tutaederea kukumbuka popote uripo baba
JOMBAAA GOOD SANA
@alphahassani564
5 жыл бұрын
Napenda kuchua fursa hii kumpongeza Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mh. John Pombe Joseph Magufuri kwa utendaji wake thabiti ni mfano wa kuigwa kwa viongozi wengine wa kitaifa na kimataifa, Mungu akujalie maisha marefu yenye afya njema.
@jamesngundateresia2600
5 жыл бұрын
Kazi kazi MAGU
RIP JPM
Mungu akutangulie,kweli wewe ni chuma.tangulia BABA.Mungu atakulipia.
Uliongea lakini matokeoyaka nimabaya kamwashetani m
💔💔🙏🙏rip Magufuli atakumbukwa daima
Hongera
Nampenda Sana tanzania magufuli
Hivi niwaulize wezangu je JPM angekuwa hai mpaka leo hii inchii ingekuaje sasahivi?RLP mungu akupe mahala pema peponi nitakumbuka siku zote za maisha yangu ila siyo kwa mabaya bali kwa mazuri ulio tutendea sisi watanzania wote bila ubaguzi wa vyama rangi n.k 🙏🙏🙏 🙏
rest in peace JPM
I real remember my best president
Pumzika baba
Mniache tu nilie😭😭
Rip Magufuli
Eti leo hayupo na sion wakuziba pengo lake na wale wanataka kupambana kama yeye wanazimwa kwa hoja kuwa hawaipend demokrsia Mungu tusaidie tumpate mwngne anaefanana na huyu Uncle John..inauma ila hakuna namna pumzika kwa aman mkuu
rip
Ata hotele yasugu ina sahili kuvunjwa kwa nini ?
Rais wetu mama Samia tembelea Tarime tarafa ya ingwe kata ya nyamwaga Kijiji Cha komarera ujionee wanyonge hao wanavyo dhurumiwa ardhi yao mgodi wa Mara kasikazini ukiegemea serikali yako,hakika Kuna dhuruma kwa Wana nchi hao waokoe rais,pata taarifa kutoka kwa wananchi wenyewe sio kwa viongozi mikoa/wilaya/talafa/kata/Wala Kijiji uliza walengwa,
Sawa
Tulikua na father k zenji kila basi muombeni 2
Mh!😭😭😭😭
@sikudhanikuhanzibwa5524
2 жыл бұрын
Dady r.i.p u' was direction of the nation loveeer
Mama ujumbe umfikie kwenda ulaya sana sio kufanikiwa kwa nchi Tuna madini Chuma Milima Na park
Hotuba inanikumbusha sana
We Miss you papaa
Hata mm sipendi ccm lkn kura zangu umepata kura zangu . rest in peace
😭😭😭 mungu amlazemahali pema peponi 💔💔💔💔
😢😢
😢
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
All the best our president forever
Daaah ankoo
Alitembea sana Chato akaiba na pesa. Watu wa Ulaya hawakuhitaji. Ni kwamba ulikuwa na shida na hukuweza kusafiri.
@mucci_AI
Жыл бұрын
😂😂😂 daaah unajua mtu ukiwa humpens utafta sana weakness zake hata za kumpakazia
Aiseeeee lilikuwa jembe
Hiki kichwa ni baraaa ila kuna vichwa vingine puuuu fikangafu kweli
Tutakukumbuka Daima!
Pumzika salama baba JPM
R. I .P .YOU DID ALOT TO YOUR COUNTRY
Huyu ndio raisi tunaye mwitaji kwa sasa. Maana hatujui kwa sasa tunaongozwa kwa kuelekea wapi kimaendeleo
Hakika tulimpoteza Rais Mzalendo
Mzee noma anakazia mpaka mtuanashindwa kuongea
Ash many
Maskin yamungu rais wangu jaman! Daah kiukweli tanzania imepoteza rasrimali ya taifa,huyu jamaa kama angeendelea kuish sijui tanzania ingefika wapi, kwa miaka mitano tu tanzania ikabadilika yote. Aiseeee basi bwana.
Tundulisu
Urusi
Edwin ochieng
@zaburonjoshua6987
2 жыл бұрын
Da mgugu msamehe babayetu pale alipokoseya lilaze lohoyake mahala pema
Mala Mia nikamsikiliza hayati magufuri hata Kama hayupo Ila maneno yake yananipa faraja
Sizani Kama tutapata mwingine
President president president real president
M
Zuchu
BULIANI BABA YETU MUNGU AKULUNDE
Jpm bado anaishi kifikira ama kweli ni jembe
Urzik
L
Rais naowajua tz ni wawili tuu. Jk.Nyerere na JPM tuu. Wengine wote siwafaham sijui kwanin??!
Pumzika baba