HOTUBA YA RAIS MAGUFULI AKIWA UKEREWE - 04/09/2018

Rais Magufuli ambaye yuko ziarani mkoani Mwanza amezungumza na wananchi wa Nansio wilayani Ukerewe katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja Ukuta Mmoja ambapo amesema Serikali imedhamiria kutekeleza dhamira ya Baba wa Taifa Hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere ya kukiendeleza kisiwa cha Ukerewe kwa kuhakikisha inajenga miundombinu ya barabara ya uhakika, inaimarisha huduma za elimu, maji, umeme na afya, na hivyo amewataka wananchi kutoa ushirikiano kwa Serikali katika utekelezaji wa dhamira hiyo.
Ameongeza kuwa sambamba na juhudi hizo Serikali ya Awamu ya Tano imechukua hatua madhubuti za kusimamia rasilimali za umma ikiwemo kudhibiti wizi, ufisadi na rushwa pamoja na kutekeleza miradi mikubwa ikiwemo kuongeza uzalishaji wa umeme utakaoiwezesha nchi kuwa na umeme wa gharama nafuu kwa ajili ya maendeleo ya viwanda.
Kuhusu uvuvi, Rais Magufuli amempongeza Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina kwa juhudi zake za kukabiliana na uvuvi haramu ambazo sasa zimeanza kuzaa matunda kwa samaki kuongezeka katika ziwa Victoria huku akibainisha kuwa uvuvi haramu uliokuwepo umesababisha viwanda vingi vya samaki kufa, ajira kupotea na samaki kupungua kwa kiasi kikubwa kutokana uharibifu mkubwa wa mazalia na uvuvi wa samaki wadogo.

Пікірлер: 329

  • @susannaikuni8595
    @susannaikuni85952 жыл бұрын

    Mfalme lala salama from Kenya lakini nlikupenda xna mtetenzi wawanyonge hutawahi sahaolika Africa nzima Mungu umrehemu

  • @ramadhaniamri3465
    @ramadhaniamri34652 жыл бұрын

    Wakati unagombea uraisi, uripokua unafanya kampeni urikuta ccm ni mbovu sana pia warikususa baadhi ya viongozi uripita kuomba kura mikoani peke yako na uripopita ccm ikawa juu, magufuri roho yako ipumzike kwa amani, mahari pema peponi AMIN

  • @purposetowalkwithjesuschri2455
    @purposetowalkwithjesuschri24552 жыл бұрын

    We really miss you so much our beloved Dad. Tutamkumbuka daima shujaa wetu

  • @purposetowalkwithjesuschri2455

    @purposetowalkwithjesuschri2455

    2 жыл бұрын

    Oh thank you dia

  • @aisharajimbo6784
    @aisharajimbo67842 жыл бұрын

    Inna lilahi wa Ina ilaihi rajiun mungu ailaze Mahali pema peponi roho yake Insha_allah

  • @khuiii9032

    @khuiii9032

    2 жыл бұрын

    Kafiri makazi yKee motoni tuu kwani hujuii ww

  • @shirfadigubike7920
    @shirfadigubike79202 жыл бұрын

    Ulikuwa kipenzi cha watu.ukisema unafanya.mungu akuepushe na moto wajehanamu.makazi yako yawe peponi ukutani na mahulilain wa peponi🙏

  • @Vuvuzelaz1
    @Vuvuzelaz12 жыл бұрын

    Mwamba umelala baba Mungu yupo nawe na kama kuna ubaya atakulipia kama alikuita upumzike kwa amani

  • @wilsonchishomi1083
    @wilsonchishomi10832 жыл бұрын

    Umetuacha yatima mzee wetu.. Asante kwa mema yote uliyotufanyia.. daima utaishi mioyoni mwetu.. I’m missing you 😞.. may your soul rest in eternal glory.. 🙏🏾

  • @josephrobert3928
    @josephrobert39284 жыл бұрын

    hii ndo speech saf ya mkuu wa nch Mungu akubaliki

  • @mansourmkanakuta6641
    @mansourmkanakuta66412 жыл бұрын

    Rip rais wetu wa mda ote hayat magufuli

  • @bekabakari7394
    @bekabakari73942 жыл бұрын

    Hata hasomi speech huyu mzee Mungu muweke pema peponi

  • @jenyyusuph4973

    @jenyyusuph4973

    2 жыл бұрын

    Yani nafikili mm peke yangu kumbe wengi tunaye msitajabia baba huyu😭😭😭😭😭 TUMEPOTEZA KICHWA

  • @dianamahendekamahendeka1344

    @dianamahendekamahendeka1344

    2 жыл бұрын

    Huyu hakuwa mtu was kawaida alikua kashushwa na mungu daah 😭😭😭😭

  • @rogasianshayo3740
    @rogasianshayo374011 күн бұрын

    Magufuli kiongozi bora kuwahi kutokea Tanzania 🇹🇿 RIP 🙏, nakuangalia mzee wangu 3.7.2024 tunaseka uku mzee wangu 😢

  • @kelvinmulengo8555
    @kelvinmulengo85552 жыл бұрын

    That was man of action those who remains in ccm ni vigeugeu they don't want poor anymore JPM were are you father we miss you papa God send someone to comfort the machinga and the orphans in Tanzanian am Kelvin from l s k Zambia

  • @afrimediake.9568
    @afrimediake.95682 жыл бұрын

    Kiongozi wa kwanza duniani mwenye hekima na msimamo wake dhabiti,, kongole Mzee,, safiri salama,, Nakupenda toka Kenya kakamega

  • @mayanjajackson3585

    @mayanjajackson3585

    2 жыл бұрын

    👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾Kazi ulio fanya iko myoyoni kweli ushuja ume onyesha hata kosa mtu fulani ata ufwata mfano wako baba 👏🏾👏🏾👏🏾

  • @godwinshoo3101
    @godwinshoo31012 жыл бұрын

    Mwenyenzi Mungu tunakuomba utuandalie mwingine mwenye upeo mpana , juhudi ,uzalendo na siasa za kweli ili aje aendeleze haya yenye manufaa kwa wananchi

  • @annaswai2434

    @annaswai2434

    2 жыл бұрын

    mungu akuweke mahali pema baba yetu magu uku duniani mafisadi wanatunyanyasa wanajua watakula izo hela milele awajui Kama ipo siku nao watakufa

  • @user-qc2qf7fe5o
    @user-qc2qf7fe5o5 ай бұрын

    Pumzika kwa amani baba tulikupenda sana Mungu amekupenda zaidi

  • @redeemed4327
    @redeemed43275 жыл бұрын

    Hapa Kazi tu! Asante JPM! Keep the tune, tutaelewa tu ambao vichwa vigumu.

  • @fatumagillah2319
    @fatumagillah23192 жыл бұрын

    RIP tutakukumbuka daima Kambarage namba 2

  • @halimushabani9480
    @halimushabani94802 жыл бұрын

    Tutakkumbuka daima.

  • @robsonlotyloy5678
    @robsonlotyloy56782 жыл бұрын

    Ni maneno ya kiongozi shujaa. Haya yote yanabaki kwenye mioyo yetu daima.

  • @rehemaphinias3977
    @rehemaphinias39772 жыл бұрын

    Tunakukumbuka jpm, baba raisi wa dunia uliye teuliwa na mungu, mungu alitoa na mungu alitwaaa jina lake lihimidiwe,

  • @faustienealexi2268

    @faustienealexi2268

    2 жыл бұрын

    Kweli Magufuli alikuwa Raisi wa Dunia tumepoteza jembe kweli kweli

  • @eliakundanoe4486

    @eliakundanoe4486

    2 жыл бұрын

    Salaam zako zenyewe zina hamasa , lala baba tutakukumbuka daima

  • @musicmylife5417
    @musicmylife54172 жыл бұрын

    Pumzika kwa amani baba.

  • @rohitatri95
    @rohitatri955 жыл бұрын

    Melanga Chikubati nimefurahi sana kumuona raisi yupo kwetu ukerewe

  • @susananyasani6526
    @susananyasani65262 жыл бұрын

    Hotuba ya Rais Dkt John Pombe Maguli ni yaukweli yenye Siasa na Katiba kama inavyotakia alitimiza Miradi aliyowaahidi Wananchi wongozi wake ni wakipekee Mungu alimchagua kutumikia Watanzania asante Mungu

  • @neematweve3150
    @neematweve3150 Жыл бұрын

    Baba tunakukumbuka Sana. Tunalia Sana kwa ulio tufanyia.tuombee unafuu was maisha kwa mungu.nasi tunakuombea.mungu akupokee

  • @khadejarajab844
    @khadejarajab8442 жыл бұрын

    Allah akuweke apendapo milele amin

  • @pendonaomi1825
    @pendonaomi18252 жыл бұрын

    Hata salaam yako tu ilinipa furaha na amani 😢😭😭 JPM ntakulilia daima😪😪😪

  • @gaburieremanuel6785

    @gaburieremanuel6785

    2 жыл бұрын

    Gr Post

  • @gaburieremanuel6785

    @gaburieremanuel6785

    2 жыл бұрын

    Om

  • @seifjuma4743
    @seifjuma47432 жыл бұрын

    Mm n mkerewe daaah nimeumia san hutuba hiiii

  • @niokoemahenge4312
    @niokoemahenge43122 жыл бұрын

    We mungu ungemsamehe magu amalizie miaka mitano kwanza

  • @fredkyara.babamunguwambing482
    @fredkyara.babamunguwambing4825 жыл бұрын

    Shimbonyi. Mae. Shimbonyi mmbe. Magufuli kweli we nomaa.

  • @alexedward4069
    @alexedward40692 жыл бұрын

    Tanzania tulipata Rais. Pumzika milele kwa amani. Mimi mungu akijalia nikiwa Rais ntakua kama wewe

  • @frankngoloka2589

    @frankngoloka2589

    2 жыл бұрын

    Nchi yetu ingefika mbali sana,tungekuwa nchi ya mfano

  • @johnhoswad8385
    @johnhoswad83852 жыл бұрын

    Amakweli ulikuwa ukimcha mungu siyokama uliotuachia hatakulitamka jina la mungu Hakuna kwakuwa hofu ya mungu haipo ndani yao hatutafika zaidi yakuyumbishwa na kunyanyaswa

  • @rosetreffert6727
    @rosetreffert67272 жыл бұрын

    Kipenzi cha WATANZANIA REST IN PEACE SHUJAA WETU MAGUFULI 😭😭😭❤💔

  • @gambobakari4978
    @gambobakari49782 жыл бұрын

    Cna lakuandika zaid ya kukuombea kwa Mungu akupe pepo ktk maisha y huko akhera, naumia sana kw kfo chako.

  • @susananyasani6526
    @susananyasani65262 жыл бұрын

    Hotuba hii ya kutoka kwa Mheshimiwa Rais Dkt John Pombe Maguli ya mwaka 2018 September ni Hotuba yenye Katiba na Uchumi wa kujenga Nchi anayoifahamu Uongozi si kazi rahisi nikilingani Tansania na Nchi zenye maendeleo ndio maana asisahulike tumpe shukrani milele na milele

  • @eliasylvester6429
    @eliasylvester64295 жыл бұрын

    HAPA KAZI TUU MH MAGUFULI

  • @rohitatri95

    @rohitatri95

    5 жыл бұрын

    Nimekubali na nimependa sana najivunia nyumban ukerewe

  • @ramadhanmahongole5663

    @ramadhanmahongole5663

    2 жыл бұрын

    Hapa kazi tu... na siyo uhuru na kazi

  • @zuberinzige6452
    @zuberinzige64525 жыл бұрын

    nakuelewa sn rais wangu mungu akutangulie kwa maendeleo unayo tuonyesha

  • @michaelmgwambe7256

    @michaelmgwambe7256

    2 жыл бұрын

    Hakika mungu mpunzisha kwa amani mtu huyu amina

  • @tajimwakasese9457
    @tajimwakasese94572 жыл бұрын

    Hapa kazi tu tunakukumbuka sana

  • @hatari9591
    @hatari95912 жыл бұрын

    Ulikuwa unanikosha sana mzee wetu. Hata wasipokuenzi kitafa tutakuenzi kwenye mioyo yetu.

  • @jongosalehe1036
    @jongosalehe10362 жыл бұрын

    Hapa kazi tu..

  • @sammanjeka7357
    @sammanjeka7357 Жыл бұрын

    Dady we missed you.

  • @owinochris9886
    @owinochris98862 жыл бұрын

    Aliye muuwa this man alani we e

  • @eugymaro9623
    @eugymaro96232 жыл бұрын

    Love sana papaaa RIP

  • @salumugidion
    @salumugidion2 жыл бұрын

    Jamaa kilikuwa kichwa kweli kweli 🙏

  • @jisamjoseph4558
    @jisamjoseph45582 жыл бұрын

    Rest in paradise Papa.....love you

  • @barutwanayoamani2464
    @barutwanayoamani24642 жыл бұрын

    Mungu amlaze mahala pema pepon

  • @SteraMisana-us5ov
    @SteraMisana-us5ov Жыл бұрын

    Last in peace fother😭😭😭😭tutakukumbuka daima milele.

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.652 жыл бұрын

    R.I.P Papaa we missed you🤲🤲

  • @exaverymakoye6026

    @exaverymakoye6026

    2 жыл бұрын

    Daah,🙆😭😭

  • @halimahamady8089

    @halimahamady8089

    2 жыл бұрын

    @@exaverymakoye6026 1111111111111111

  • @athanassimbila2603

    @athanassimbila2603

    2 жыл бұрын

    TUNAKUKUMBUKA.BABA.MUNGU ATUPATIE TENA WA.AINA YAKO MAPEMAAA.EEE MUNGU

  • @gesusgegangphray7689
    @gesusgegangphray76892 жыл бұрын

    Kodi yaatanzania ndio inajenga nchi na matrilion kuibiwa na mafisadi na wengi wapo CCM .uzuri ilijuwa kilakitu ..lala Salama Baba

  • @richardmbwana5497
    @richardmbwana54972 жыл бұрын

    hongera.makufuli

  • @graciamligo120
    @graciamligo1202 жыл бұрын

    Rest in Peace mwamba wa Afrika

  • @t1910j
    @t1910j2 жыл бұрын

    I miss my president so much! RIP 😞

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga28482 жыл бұрын

    Jamani,siku hizi simkii Ndalichako.sijui kazi zote anafanya ummy

  • @geraldmakalala6091

    @geraldmakalala6091

    2 жыл бұрын

    Kweli

  • @simonmagaigwa5496

    @simonmagaigwa5496

    2 жыл бұрын

    Amepotea kabisa.

  • @sandrabernard751
    @sandrabernard7512 жыл бұрын

    Your the best.. Leo mwezi wa 11 uwiii

  • @ginustimotheo2148
    @ginustimotheo21482 жыл бұрын

    Mimi nazani Tanzania hatuhitaji maendeleo ya nchi bali tunahitaji tudidimizane ila mungu yupo anawaona. Magu wangu ntakueka moyoni milele

  • @zickgregory5138
    @zickgregory51384 жыл бұрын

    ukerewe oyeeee!

  • @justusmutakyawa9802
    @justusmutakyawa98022 жыл бұрын

    Nilikupendasana.

  • @frankkashner
    @frankkashner5 ай бұрын

    Rest in Peace Baba JPM hakika bila Mashaka ninakupenda sanaa sanaa Pasinakifani japo umelala

  • @issakara9403
    @issakara94032 жыл бұрын

    YANI JAPO ALIKUA NA MABAYA YAKE ILA SALAMU TU UNAJUWA KAMA HUYU RAISI

  • @athumaniomari2833
    @athumaniomari28332 жыл бұрын

    Ewe mwenyezi MUNGU mkuu

  • @emmanyahubah5820
    @emmanyahubah58202 жыл бұрын

    BADO VILIO VIMETANDA !!! NIMELIA SANA 😭😭😭👆

  • @josephwambua5874

    @josephwambua5874

    2 жыл бұрын

    Pole sana mungu yupo

  • @JumaBondo

    @JumaBondo

    8 ай бұрын

    Mwamba nimekuerewa, Hakika machozi hajaisha mioyoni mwetu,

  • @fanuelmakelegeta8562
    @fanuelmakelegeta85622 жыл бұрын

    Maguful lala Salam

  • @coffeemuya618
    @coffeemuya6182 жыл бұрын

    Pumzika kwa amani chumaa Dr John pombe magufuli hakika ww ulikua mtumishi wetu na sio rais wetu

  • @shebyshababa6242

    @shebyshababa6242

    2 жыл бұрын

    Tutakukumbuka daima

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Жыл бұрын

    N kweli kazi hiyo ilianza na daraja pale Lugezi linajengwa. RIP son of Tanzania.

  • @machoguhameri7757
    @machoguhameri77572 жыл бұрын

    Tanzania,Afrika na,Dunia nzima tumekupoteza, lakini Mwenyezi Mungu hajakupoteza kamwe. Uko mbinguni kama .Masikini Razalo, ukiwatizama adui zako ng'ambo ya pili, yenye hatima mbaya kwao;kama yule tajiri dharimu dhidi ya Masikini Razaro. Tumepoteza sura yako tu,lakini maneno yako ya busara na hekima yanaendelea kutujenga kupitia hotuba zako mbalimbali."RIP our DaDy"

  • @mwalimumstaafu8529
    @mwalimumstaafu85292 жыл бұрын

    Baba umeondoka lakini utabaki kuwa ndani ya mioyo ya watanzania. RIP Baba.

  • @davidthoya3790
    @davidthoya37902 жыл бұрын

    R.I.P MZEE MAKUFULI

  • @nusaania2950
    @nusaania2950 Жыл бұрын

    Bado nakumiss toka hapa kisumu kenya

  • @vwtv800
    @vwtv8005 жыл бұрын

    Mko powa sana azam TV hongereni sana

  • @agnessjohn1222

    @agnessjohn1222

    2 жыл бұрын

    Pumzika Kwa Amani shujaa wa Africa mtetezi wawanyonge nivigumu kukusahau lala salama mtetezi wawanyonge pumzika Kwa Amani shujaa wetu

  • @vedastormwazela2622
    @vedastormwazela26222 жыл бұрын

    Rest in peace mwamba

  • @pirminkillumbe4727
    @pirminkillumbe47272 жыл бұрын

    Mweee Baba RUDI...Baba J.P.M Unatuliza....Mungu turudishie mtu huyu mweee.😭😭😭

  • @mwisyoadam593
    @mwisyoadam5932 жыл бұрын

    Tunakukumbuka Sana

  • @gwishtztz8784
    @gwishtztz87842 жыл бұрын

    Chuma in my heart will live for ever

  • @zachariamagwasa42

    @zachariamagwasa42

    2 жыл бұрын

    upup

  • @ramadhanimntambo6053

    @ramadhanimntambo6053

    2 жыл бұрын

    @@zachariamagwasa42 ÀÀAaa

  • @ramadhanimntambo6053

    @ramadhanimntambo6053

    2 жыл бұрын

    @@zachariamagwasa42 aaaàaA

  • @ramadhanimntambo6053

    @ramadhanimntambo6053

    2 жыл бұрын

    aaàaaaààÀaaÀaaaaaaaàAAAAAA

  • @dannyosolo2752
    @dannyosolo27522 жыл бұрын

    Magufuli....no words !!!

  • @patrickndichu3905
    @patrickndichu39052 жыл бұрын

    Naku-miss Mzee..Lala salama. .

  • @kasigajoseph811
    @kasigajoseph8112 жыл бұрын

    My lovely country Tanzania

  • @paulnyasta6439
    @paulnyasta64392 жыл бұрын

    Mungu amweke mahala pema peponi

  • @josephnchunga1247
    @josephnchunga12472 жыл бұрын

    Tutakukumbuka daima sasa hivi umetutoka yamerudi tena Yale Yale inchi imepoa sana bei bidhaa mafisadi wanatamba mambo ,upande Wa madini hawayasemei kwa nguvu tena ili kuyasimamia vizuri sasa hivi kimya duh Mungu atusaidie 2025 tupate rais Mwenye maona kama magufuli

  • @sr.helenarhobi8886
    @sr.helenarhobi88862 жыл бұрын

    Babetu Magufuli umebaki mioyoni mwetu daima. Tuombee kwa Mungu aliyekuwa msaidizi wako ndiye yupo madarakani Sasa anatusulubusha kwa machanjo yao hovyo hovyo uliyoyakataa. Du! Baba tunatendewa Kama kuku wa kuchinjwa, hatuna mahali pa kukimbilia Tanzania Ni pana ila kwa Sasa imekuwa finyu. Pumzika kwa amani mwana mpendwa na mzalendo wa kweli wa Afrika!

  • @ronniebertin3563

    @ronniebertin3563

    2 жыл бұрын

    Nilimpenda huyu rais na nitaendelea kumpenda. Ni mtu wa wa vitendo

  • @christinamendrady9148
    @christinamendrady91482 жыл бұрын

    Continue resting in piece or presdaa

  • @emmanyahubah5820
    @emmanyahubah58202 жыл бұрын

    You missed by us Tanzanians

  • @imanimakene8542

    @imanimakene8542

    2 жыл бұрын

    kwel ww ni raise wa wa2

  • @octaviussaulo1758
    @octaviussaulo17582 жыл бұрын

    Tutakukumbuka baba

  • @simonmagaigwa5496
    @simonmagaigwa54962 жыл бұрын

    Hotuba hizi zulitutia moyo, wananchi walihamasika kuja kumwona na kumsikiliza kiongozi wao, leo hii nchi imepoa kabisa.

  • @tawusishaban5130

    @tawusishaban5130

    2 жыл бұрын

    tonge tam haifiki mdomoni lala pema peponi amiin

  • @zainaburajabu9665
    @zainaburajabu96652 жыл бұрын

    Tutakukumbuka Sana baba,yanayo endelea kwasasa ni vioja tu

  • @jerryalfredngailo6106
    @jerryalfredngailo61062 жыл бұрын

    Great leader for great country

  • @davidcurtis8556
    @davidcurtis85562 жыл бұрын

    Dah! Rest in power my hero!

  • @blessmerody7979
    @blessmerody79792 жыл бұрын

    Jpm my presdent

  • @kambamazig02024
    @kambamazig020242 жыл бұрын

    Wakerewe walimpenda, huwa ni wagumu sana kucheka :)

  • @happynessmsogoya7224
    @happynessmsogoya72242 жыл бұрын

    Tulimpoteza Raisi wa maana

  • @renatusmatungwa6506
    @renatusmatungwa65062 жыл бұрын

    Dah R.I.P chuma

  • @charlesmlamila5411
    @charlesmlamila54112 жыл бұрын

    Tutakumiss Sana, jembe letu

  • @mhamedabdalah2234
    @mhamedabdalah22342 жыл бұрын

    Kupata Rais kama huyu huenda atoke kanda yaziwa

  • @ezekieljacob5795

    @ezekieljacob5795

    2 жыл бұрын

    Sidhani

  • @adammwita3150
    @adammwita31502 жыл бұрын

    RIP JPM, MENGI ULITUFUNDISHA

  • @alicksinkamba3401

    @alicksinkamba3401

    2 жыл бұрын

    Kati ya Watanzania ambao elimu waliipata na kuitendea haki Ni huyu mwamba JPM

  • @kalumbabenard4336
    @kalumbabenard43362 жыл бұрын

    Kweli tutakukumbuka JPM

  • @loner_wolf
    @loner_wolf2 жыл бұрын

    Hii nchi tumechezewa sana, watu wa hovyo wameharibu sana nchi hii, sikutegemea jpm anaweza kufa kifo cha utata kiasi kile, naumia moyoni, najiona nimekosea kutomlinda akiwa hai , kiukweli wote tulijua wapo downpressers wa haki za watu wa nchi hii waliomchukia sana na walikuwanaye karibu na kumbe behind dem try to eliminate em. Jah protect you bro Jpm. 😪😪😪

  • @thomasmartinez786

    @thomasmartinez786

    2 жыл бұрын

    Habakuki 3:2 [2]Ee BWANA, nimesikia habari zako, nami naogopa; Ee BWANA, fufua kazi yako katikati ya miaka; Katikati ya miaka tangaza habari yake; Katika ghadhabu kumbuka rehema. O LORD, I have heard thy speech, and was afraid: O LORD, revive thy work in the midst of the years, in the midst of the years make known; in wrath remember mercy.R.I.P JPM

  • @thomasmartinez786

    @thomasmartinez786

    2 жыл бұрын

    Maombolezo 5:1 [1]Ee BWANA, kumbuka yaliyotupata; Utazame na kuiona aibu yetu. Remember, O LORD, what is come upon us: consider, and behold our reproach.R.I.P CHUMA 😭😭

  • @adammwita3150

    @adammwita3150

    2 жыл бұрын

    Tubaki kuyaishi maisha yake katika nafasi zetu tulzonazo, pengne ni mpango wa Mungu kutuletea JPM. JPM alitufundsha Uzalendo na Uongozi bora na ametufunulia ukweli wa baadhi ya mambo tuliyokuwa hatujui. Mungu ampokee Mzalendo wetu JPM.

  • @loner_wolf

    @loner_wolf

    2 жыл бұрын

    @@adammwita3150 moja wapo ni kuhusu kuvunja mikataba tuliyoambiwa ni yamiaka 100 na haivunjikagi ....yeye alivunja bila hata kusikilizia labda kunakitu kitatokea hahahaha kweli Chuma kweli kweli

  • @adammwita3150

    @adammwita3150

    2 жыл бұрын

    @@loner_wolf huyu mzee akuwa peke yake MUNGU ALIAMUA KUMTUMIA AWEZE KUTUONYESHA NAMNA TULVYO CHEZEA NA VIONGOZI WETU.

  • @happinesszabron7635
    @happinesszabron76352 жыл бұрын

    Nimekumis kipenzi changu

  • @yohanaukerewe4237
    @yohanaukerewe42372 жыл бұрын

    Jaman

  • @deohank5995
    @deohank59952 жыл бұрын

    TATIZO ulikuwa unatoa ELIMU kwa WASIO ELIMU. HAKIKA ULIKUWA MKWELI

  • @jafaryally2037
    @jafaryally20372 жыл бұрын

    Umetuacha yatima haturingi tena mzazi wetu umetuacha. Pumzika Baba kazi uliifanya na njia ulituonyesha kwa kutumia kanuni ya TANU binadamu wote ni sawa. Kuzaliwa ni suna kufa ni faradhi, umetangulia nasi tunafuata. Pumzika kwa AMANI

  • @kulwapeter2594
    @kulwapeter25942 жыл бұрын

    Ulalemahalapema pepon AMINA

  • @rizikiramadhani9671
    @rizikiramadhani96712 жыл бұрын

    Tunakukumbuka sana j p m upumzike salama