HOTUBA YA RAIS MAGUFULI AKIWA UKEREWE - 04/09/2018
Rais Magufuli ambaye yuko ziarani mkoani Mwanza amezungumza na wananchi wa Nansio wilayani Ukerewe katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja Ukuta Mmoja ambapo amesema Serikali imedhamiria kutekeleza dhamira ya Baba wa Taifa Hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere ya kukiendeleza kisiwa cha Ukerewe kwa kuhakikisha inajenga miundombinu ya barabara ya uhakika, inaimarisha huduma za elimu, maji, umeme na afya, na hivyo amewataka wananchi kutoa ushirikiano kwa Serikali katika utekelezaji wa dhamira hiyo.
Ameongeza kuwa sambamba na juhudi hizo Serikali ya Awamu ya Tano imechukua hatua madhubuti za kusimamia rasilimali za umma ikiwemo kudhibiti wizi, ufisadi na rushwa pamoja na kutekeleza miradi mikubwa ikiwemo kuongeza uzalishaji wa umeme utakaoiwezesha nchi kuwa na umeme wa gharama nafuu kwa ajili ya maendeleo ya viwanda.
Kuhusu uvuvi, Rais Magufuli amempongeza Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina kwa juhudi zake za kukabiliana na uvuvi haramu ambazo sasa zimeanza kuzaa matunda kwa samaki kuongezeka katika ziwa Victoria huku akibainisha kuwa uvuvi haramu uliokuwepo umesababisha viwanda vingi vya samaki kufa, ajira kupotea na samaki kupungua kwa kiasi kikubwa kutokana uharibifu mkubwa wa mazalia na uvuvi wa samaki wadogo.
Пікірлер: 329
Mfalme lala salama from Kenya lakini nlikupenda xna mtetenzi wawanyonge hutawahi sahaolika Africa nzima Mungu umrehemu
Wakati unagombea uraisi, uripokua unafanya kampeni urikuta ccm ni mbovu sana pia warikususa baadhi ya viongozi uripita kuomba kura mikoani peke yako na uripopita ccm ikawa juu, magufuri roho yako ipumzike kwa amani, mahari pema peponi AMIN
We really miss you so much our beloved Dad. Tutamkumbuka daima shujaa wetu
@purposetowalkwithjesuschri2455
2 жыл бұрын
Oh thank you dia
Inna lilahi wa Ina ilaihi rajiun mungu ailaze Mahali pema peponi roho yake Insha_allah
@khuiii9032
2 жыл бұрын
Kafiri makazi yKee motoni tuu kwani hujuii ww
Ulikuwa kipenzi cha watu.ukisema unafanya.mungu akuepushe na moto wajehanamu.makazi yako yawe peponi ukutani na mahulilain wa peponi🙏
Mwamba umelala baba Mungu yupo nawe na kama kuna ubaya atakulipia kama alikuita upumzike kwa amani
Umetuacha yatima mzee wetu.. Asante kwa mema yote uliyotufanyia.. daima utaishi mioyoni mwetu.. I’m missing you 😞.. may your soul rest in eternal glory.. 🙏🏾
hii ndo speech saf ya mkuu wa nch Mungu akubaliki
Rip rais wetu wa mda ote hayat magufuli
Hata hasomi speech huyu mzee Mungu muweke pema peponi
@jenyyusuph4973
2 жыл бұрын
Yani nafikili mm peke yangu kumbe wengi tunaye msitajabia baba huyu😭😭😭😭😭 TUMEPOTEZA KICHWA
@dianamahendekamahendeka1344
2 жыл бұрын
Huyu hakuwa mtu was kawaida alikua kashushwa na mungu daah 😭😭😭😭
Magufuli kiongozi bora kuwahi kutokea Tanzania 🇹🇿 RIP 🙏, nakuangalia mzee wangu 3.7.2024 tunaseka uku mzee wangu 😢
That was man of action those who remains in ccm ni vigeugeu they don't want poor anymore JPM were are you father we miss you papa God send someone to comfort the machinga and the orphans in Tanzanian am Kelvin from l s k Zambia
Kiongozi wa kwanza duniani mwenye hekima na msimamo wake dhabiti,, kongole Mzee,, safiri salama,, Nakupenda toka Kenya kakamega
@mayanjajackson3585
2 жыл бұрын
👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾Kazi ulio fanya iko myoyoni kweli ushuja ume onyesha hata kosa mtu fulani ata ufwata mfano wako baba 👏🏾👏🏾👏🏾
Mwenyenzi Mungu tunakuomba utuandalie mwingine mwenye upeo mpana , juhudi ,uzalendo na siasa za kweli ili aje aendeleze haya yenye manufaa kwa wananchi
@annaswai2434
2 жыл бұрын
mungu akuweke mahali pema baba yetu magu uku duniani mafisadi wanatunyanyasa wanajua watakula izo hela milele awajui Kama ipo siku nao watakufa
Pumzika kwa amani baba tulikupenda sana Mungu amekupenda zaidi
Hapa Kazi tu! Asante JPM! Keep the tune, tutaelewa tu ambao vichwa vigumu.
RIP tutakukumbuka daima Kambarage namba 2
Tutakkumbuka daima.
Ni maneno ya kiongozi shujaa. Haya yote yanabaki kwenye mioyo yetu daima.
Tunakukumbuka jpm, baba raisi wa dunia uliye teuliwa na mungu, mungu alitoa na mungu alitwaaa jina lake lihimidiwe,
@faustienealexi2268
2 жыл бұрын
Kweli Magufuli alikuwa Raisi wa Dunia tumepoteza jembe kweli kweli
@eliakundanoe4486
2 жыл бұрын
Salaam zako zenyewe zina hamasa , lala baba tutakukumbuka daima
Pumzika kwa amani baba.
Melanga Chikubati nimefurahi sana kumuona raisi yupo kwetu ukerewe
Hotuba ya Rais Dkt John Pombe Maguli ni yaukweli yenye Siasa na Katiba kama inavyotakia alitimiza Miradi aliyowaahidi Wananchi wongozi wake ni wakipekee Mungu alimchagua kutumikia Watanzania asante Mungu
Baba tunakukumbuka Sana. Tunalia Sana kwa ulio tufanyia.tuombee unafuu was maisha kwa mungu.nasi tunakuombea.mungu akupokee
Allah akuweke apendapo milele amin
Hata salaam yako tu ilinipa furaha na amani 😢😭😭 JPM ntakulilia daima😪😪😪
@gaburieremanuel6785
2 жыл бұрын
Gr Post
@gaburieremanuel6785
2 жыл бұрын
Om
Mm n mkerewe daaah nimeumia san hutuba hiiii
We mungu ungemsamehe magu amalizie miaka mitano kwanza
Shimbonyi. Mae. Shimbonyi mmbe. Magufuli kweli we nomaa.
Tanzania tulipata Rais. Pumzika milele kwa amani. Mimi mungu akijalia nikiwa Rais ntakua kama wewe
@frankngoloka2589
2 жыл бұрын
Nchi yetu ingefika mbali sana,tungekuwa nchi ya mfano
Amakweli ulikuwa ukimcha mungu siyokama uliotuachia hatakulitamka jina la mungu Hakuna kwakuwa hofu ya mungu haipo ndani yao hatutafika zaidi yakuyumbishwa na kunyanyaswa
Kipenzi cha WATANZANIA REST IN PEACE SHUJAA WETU MAGUFULI 😭😭😭❤💔
Cna lakuandika zaid ya kukuombea kwa Mungu akupe pepo ktk maisha y huko akhera, naumia sana kw kfo chako.
Hotuba hii ya kutoka kwa Mheshimiwa Rais Dkt John Pombe Maguli ya mwaka 2018 September ni Hotuba yenye Katiba na Uchumi wa kujenga Nchi anayoifahamu Uongozi si kazi rahisi nikilingani Tansania na Nchi zenye maendeleo ndio maana asisahulike tumpe shukrani milele na milele
HAPA KAZI TUU MH MAGUFULI
@rohitatri95
5 жыл бұрын
Nimekubali na nimependa sana najivunia nyumban ukerewe
@ramadhanmahongole5663
2 жыл бұрын
Hapa kazi tu... na siyo uhuru na kazi
nakuelewa sn rais wangu mungu akutangulie kwa maendeleo unayo tuonyesha
@michaelmgwambe7256
2 жыл бұрын
Hakika mungu mpunzisha kwa amani mtu huyu amina
Hapa kazi tu tunakukumbuka sana
Ulikuwa unanikosha sana mzee wetu. Hata wasipokuenzi kitafa tutakuenzi kwenye mioyo yetu.
Hapa kazi tu..
Dady we missed you.
Aliye muuwa this man alani we e
Love sana papaaa RIP
Jamaa kilikuwa kichwa kweli kweli 🙏
Rest in paradise Papa.....love you
Mungu amlaze mahala pema pepon
Last in peace fother😭😭😭😭tutakukumbuka daima milele.
R.I.P Papaa we missed you🤲🤲
@exaverymakoye6026
2 жыл бұрын
Daah,🙆😭😭
@halimahamady8089
2 жыл бұрын
@@exaverymakoye6026 1111111111111111
@athanassimbila2603
2 жыл бұрын
TUNAKUKUMBUKA.BABA.MUNGU ATUPATIE TENA WA.AINA YAKO MAPEMAAA.EEE MUNGU
Kodi yaatanzania ndio inajenga nchi na matrilion kuibiwa na mafisadi na wengi wapo CCM .uzuri ilijuwa kilakitu ..lala Salama Baba
hongera.makufuli
Rest in Peace mwamba wa Afrika
I miss my president so much! RIP 😞
Jamani,siku hizi simkii Ndalichako.sijui kazi zote anafanya ummy
@geraldmakalala6091
2 жыл бұрын
Kweli
@simonmagaigwa5496
2 жыл бұрын
Amepotea kabisa.
Your the best.. Leo mwezi wa 11 uwiii
Mimi nazani Tanzania hatuhitaji maendeleo ya nchi bali tunahitaji tudidimizane ila mungu yupo anawaona. Magu wangu ntakueka moyoni milele
ukerewe oyeeee!
Nilikupendasana.
Rest in Peace Baba JPM hakika bila Mashaka ninakupenda sanaa sanaa Pasinakifani japo umelala
YANI JAPO ALIKUA NA MABAYA YAKE ILA SALAMU TU UNAJUWA KAMA HUYU RAISI
Ewe mwenyezi MUNGU mkuu
BADO VILIO VIMETANDA !!! NIMELIA SANA 😭😭😭👆
@josephwambua5874
2 жыл бұрын
Pole sana mungu yupo
@JumaBondo
8 ай бұрын
Mwamba nimekuerewa, Hakika machozi hajaisha mioyoni mwetu,
Maguful lala Salam
Pumzika kwa amani chumaa Dr John pombe magufuli hakika ww ulikua mtumishi wetu na sio rais wetu
@shebyshababa6242
2 жыл бұрын
Tutakukumbuka daima
N kweli kazi hiyo ilianza na daraja pale Lugezi linajengwa. RIP son of Tanzania.
Tanzania,Afrika na,Dunia nzima tumekupoteza, lakini Mwenyezi Mungu hajakupoteza kamwe. Uko mbinguni kama .Masikini Razalo, ukiwatizama adui zako ng'ambo ya pili, yenye hatima mbaya kwao;kama yule tajiri dharimu dhidi ya Masikini Razaro. Tumepoteza sura yako tu,lakini maneno yako ya busara na hekima yanaendelea kutujenga kupitia hotuba zako mbalimbali."RIP our DaDy"
Baba umeondoka lakini utabaki kuwa ndani ya mioyo ya watanzania. RIP Baba.
R.I.P MZEE MAKUFULI
Bado nakumiss toka hapa kisumu kenya
Mko powa sana azam TV hongereni sana
@agnessjohn1222
2 жыл бұрын
Pumzika Kwa Amani shujaa wa Africa mtetezi wawanyonge nivigumu kukusahau lala salama mtetezi wawanyonge pumzika Kwa Amani shujaa wetu
Rest in peace mwamba
Mweee Baba RUDI...Baba J.P.M Unatuliza....Mungu turudishie mtu huyu mweee.😭😭😭
Tunakukumbuka Sana
Chuma in my heart will live for ever
@zachariamagwasa42
2 жыл бұрын
upup
@ramadhanimntambo6053
2 жыл бұрын
@@zachariamagwasa42 ÀÀAaa
@ramadhanimntambo6053
2 жыл бұрын
@@zachariamagwasa42 aaaàaA
@ramadhanimntambo6053
2 жыл бұрын
aaàaaaààÀaaÀaaaaaaaàAAAAAA
Magufuli....no words !!!
Naku-miss Mzee..Lala salama. .
My lovely country Tanzania
Mungu amweke mahala pema peponi
Tutakukumbuka daima sasa hivi umetutoka yamerudi tena Yale Yale inchi imepoa sana bei bidhaa mafisadi wanatamba mambo ,upande Wa madini hawayasemei kwa nguvu tena ili kuyasimamia vizuri sasa hivi kimya duh Mungu atusaidie 2025 tupate rais Mwenye maona kama magufuli
Babetu Magufuli umebaki mioyoni mwetu daima. Tuombee kwa Mungu aliyekuwa msaidizi wako ndiye yupo madarakani Sasa anatusulubusha kwa machanjo yao hovyo hovyo uliyoyakataa. Du! Baba tunatendewa Kama kuku wa kuchinjwa, hatuna mahali pa kukimbilia Tanzania Ni pana ila kwa Sasa imekuwa finyu. Pumzika kwa amani mwana mpendwa na mzalendo wa kweli wa Afrika!
@ronniebertin3563
2 жыл бұрын
Nilimpenda huyu rais na nitaendelea kumpenda. Ni mtu wa wa vitendo
Continue resting in piece or presdaa
You missed by us Tanzanians
@imanimakene8542
2 жыл бұрын
kwel ww ni raise wa wa2
Tutakukumbuka baba
Hotuba hizi zulitutia moyo, wananchi walihamasika kuja kumwona na kumsikiliza kiongozi wao, leo hii nchi imepoa kabisa.
@tawusishaban5130
2 жыл бұрын
tonge tam haifiki mdomoni lala pema peponi amiin
Tutakukumbuka Sana baba,yanayo endelea kwasasa ni vioja tu
Great leader for great country
Dah! Rest in power my hero!
Jpm my presdent
Wakerewe walimpenda, huwa ni wagumu sana kucheka :)
Tulimpoteza Raisi wa maana
Dah R.I.P chuma
Tutakumiss Sana, jembe letu
Kupata Rais kama huyu huenda atoke kanda yaziwa
@ezekieljacob5795
2 жыл бұрын
Sidhani
RIP JPM, MENGI ULITUFUNDISHA
@alicksinkamba3401
2 жыл бұрын
Kati ya Watanzania ambao elimu waliipata na kuitendea haki Ni huyu mwamba JPM
Kweli tutakukumbuka JPM
Hii nchi tumechezewa sana, watu wa hovyo wameharibu sana nchi hii, sikutegemea jpm anaweza kufa kifo cha utata kiasi kile, naumia moyoni, najiona nimekosea kutomlinda akiwa hai , kiukweli wote tulijua wapo downpressers wa haki za watu wa nchi hii waliomchukia sana na walikuwanaye karibu na kumbe behind dem try to eliminate em. Jah protect you bro Jpm. 😪😪😪
@thomasmartinez786
2 жыл бұрын
Habakuki 3:2 [2]Ee BWANA, nimesikia habari zako, nami naogopa; Ee BWANA, fufua kazi yako katikati ya miaka; Katikati ya miaka tangaza habari yake; Katika ghadhabu kumbuka rehema. O LORD, I have heard thy speech, and was afraid: O LORD, revive thy work in the midst of the years, in the midst of the years make known; in wrath remember mercy.R.I.P JPM
@thomasmartinez786
2 жыл бұрын
Maombolezo 5:1 [1]Ee BWANA, kumbuka yaliyotupata; Utazame na kuiona aibu yetu. Remember, O LORD, what is come upon us: consider, and behold our reproach.R.I.P CHUMA 😭😭
@adammwita3150
2 жыл бұрын
Tubaki kuyaishi maisha yake katika nafasi zetu tulzonazo, pengne ni mpango wa Mungu kutuletea JPM. JPM alitufundsha Uzalendo na Uongozi bora na ametufunulia ukweli wa baadhi ya mambo tuliyokuwa hatujui. Mungu ampokee Mzalendo wetu JPM.
@loner_wolf
2 жыл бұрын
@@adammwita3150 moja wapo ni kuhusu kuvunja mikataba tuliyoambiwa ni yamiaka 100 na haivunjikagi ....yeye alivunja bila hata kusikilizia labda kunakitu kitatokea hahahaha kweli Chuma kweli kweli
@adammwita3150
2 жыл бұрын
@@loner_wolf huyu mzee akuwa peke yake MUNGU ALIAMUA KUMTUMIA AWEZE KUTUONYESHA NAMNA TULVYO CHEZEA NA VIONGOZI WETU.
Nimekumis kipenzi changu
Jaman
TATIZO ulikuwa unatoa ELIMU kwa WASIO ELIMU. HAKIKA ULIKUWA MKWELI
Umetuacha yatima haturingi tena mzazi wetu umetuacha. Pumzika Baba kazi uliifanya na njia ulituonyesha kwa kutumia kanuni ya TANU binadamu wote ni sawa. Kuzaliwa ni suna kufa ni faradhi, umetangulia nasi tunafuata. Pumzika kwa AMANI
Ulalemahalapema pepon AMINA
Tunakukumbuka sana j p m upumzike salama