No video

HOTUBA YA RAIS DKT MAGUFULI BAADA YA KUPOKEA RIPOTI YA KAMATI YA PILI YA MADINI JUNE 12, 2017

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT JOHN POMBE MAGUFULI BAADA YA KUPOKEA RIPOTI YA KAMATI YA PILI YA UCHUNGUZI WA MADINI JUNE 12, 2017

Пікірлер: 46

  • @filbertmsanga5574
    @filbertmsanga55746 жыл бұрын

    Kwa Neema na baraka za mungu nampongeza Rais wangu wa Tanzania kwa kazi kubwa tena ya Ziada ya kulinyenyua taifa hili ambalo kwa ujumla lilikuwa linadidimia mungu akulinde akujalie maisha marefu yenye baraka na mafaninio makubwa nasi tupo pamoja nawe kwa vitendo na kwa sala.

  • @mohamedadnan7090
    @mohamedadnan70907 жыл бұрын

    Rais Mangufuli is God send to Tanzania and a shinning son of Africa who means well and is genuinely disturbed by the poverty that is visible in our society despite all the wealth generated by Countries in Africa.......God Bless

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 Жыл бұрын

    Magufuli MUNGU alikuleta Tanzania, you are the living president una uchungu na maisha

  • @madeuslegembo8455
    @madeuslegembo84557 жыл бұрын

    hallelujah.... God is with us always but now, he is openly to us.... barikiwa sana Rais

  • @stevenmamba2464
    @stevenmamba24647 жыл бұрын

    Mungu akubariki sana mheshimiwa Nyerere mkombozi wetu wa uhuru Magufuli utatukomboa na umaskini

  • @rehemaelliottsuleiman6465
    @rehemaelliottsuleiman64657 жыл бұрын

    chapa kazi Magufuri , Tundu lisu hana tofauti na judder msaliti wa Yesu na tundu lisu anaweza kuisaliti nchi ajili ya njaa yake .

  • @Dantaata
    @Dantaata Жыл бұрын

    sitaacha kukusikiliza president wetu wa kweli,, your living hata km lkn unaishi na sisi siku zote,, sina mashaka na huko ulipo Imani yangu uko salama# tunakupenda

  • @denissimon6313
    @denissimon6313 Жыл бұрын

    Ikulu Tanzania please msifute huu ushuhuda the day will come..God bless Tanzania ..R.I.P Mr President JPM

  • @davidcharles5674
    @davidcharles56747 жыл бұрын

    naitabiria TZ kuongelea MAJORS za uchumi ,,,sasa tukitengeneza mapato mengi ktk madini tz ya viwanda hiyoooo

  • @kelvinngongolo9759
    @kelvinngongolo97597 жыл бұрын

    Tunakushukuru Mungu kwa kutupatia Rais wa kweli JPM kwaajili ya Watanzania.Mpe nguvu,ujasili na ulinzi wako siku zote za maisha na utumishi wake.

  • @simonlulenga2530

    @simonlulenga2530

    7 жыл бұрын

    KELVIN NGONGOLO Mimi nawaza hivi angakuwa Mswahili amekwepa kulipa kodi na mbaya zaidi anafanya biashara vila usajili wala leseni ya biashara sasa hivi angeshawekwa chini ya ulinzi zamani. kwa kuwa ni mzungu ati aombe radhi! na tufanye naye negotiarion ; tu basi. Kwetu sisi tumelogwa.

  • @EcoEssence_wellness
    @EcoEssence_wellness7 жыл бұрын

    Great work done.... Tz up now....

  • @dadileonard2392

    @dadileonard2392

    7 жыл бұрын

    ur excellency Pres.Dr.JPM......!

  • @frankmangera3339
    @frankmangera33397 жыл бұрын

    Dah inauma sana kwa watanzania kuishi maisha balaaa!!!! Ndioooo zipungue basi mjengoni

  • @mhangwamadeni1694
    @mhangwamadeni16947 жыл бұрын

    Uko sawa mheshimiwa , kwa kweli inauma Sana! mheshimiwa simamia Mali za watanzania

  • @mohammedrutta4989
    @mohammedrutta49892 жыл бұрын

    The man who loved his country deep 💕.INNAA LILLAAHI WAINNAA ILAIHI RAJIUUN

  • @SamYoung-zg3xl
    @SamYoung-zg3xl8 ай бұрын

    Mungu ibariki Africa

  • @hajiissa9200
    @hajiissa92007 жыл бұрын

    mh raisi tupo pamoja na wewe bega kwa bega katu hatuukuangushi sisi wananchi tunakuombea dua allah akulinde kwa kila shari

  • @yusuphwella9651
    @yusuphwella96513 жыл бұрын

    Hi hivi jaman ile pesa yetu ilobaki italipwa lini, watuambie hatutaki ujinga

  • @giftedboy7944
    @giftedboy79447 жыл бұрын

    asante rais wetu mtukufu

  • @saidirahisi6436
    @saidirahisi64367 жыл бұрын

    Kweli tumempata rais tuliyekua tunamhitaj miaka mingi. Hongera sana MR. PRESIDENT MAGUFULI, Endelea kusimamia MALI za Watanzania, Endelea kusimamia UCHUMI wa Watanzania.

  • @issaissa9250

    @issaissa9250

    Жыл бұрын

    Imebaki story tu ndo basi tena cdhani

  • @mawajacobamaza8216
    @mawajacobamaza8216Ай бұрын

    RIP 😢😢😢😢Dr JPM 🙏🙏🙏🙏

  • @KichwaHuru
    @KichwaHuru7 жыл бұрын

    Huyu mzee hizi namba-namba anavyozikumbuka…anatisha!!

  • @shukuruexperius5035
    @shukuruexperius50353 жыл бұрын

    Mungu wajuwa machungu aliyonayo huyu baba mzalendo wa aina gani jamani mpe afya njema Jpm hongera sana

  • @leonardmeshack2661
    @leonardmeshack26615 жыл бұрын

    Shida ni pale mtu anapoibuka kutetea watu wa aina hii eti kisa yeye ni chadema haki ya nani tutawanyonga tu maana hamna namna

  • @yassinevarist7279
    @yassinevarist72794 жыл бұрын

    Kongore mh magufuli mungu atakulipa

  • @babumnyagane8091
    @babumnyagane8091 Жыл бұрын

    Viongozi hawana huruma kabisa na wananchi wao,yaani kiongozi anapita pale Manzese na tandale mbagala hata hawana aibu nchi yao chafu kiasi hicho yaani wakisha kaa masaki hawajali wenzao bila.

  • @mnzavachris5423
    @mnzavachris54237 жыл бұрын

    eeh ndo maan ya kuwa na 4% wenye uwezo n ndomaan twakosa ajira nchi za nje kwan twaonekana wajinga na wapuuzi.,wanatucheka kwa ndani!?

  • @zidihermfinanga7468
    @zidihermfinanga74687 жыл бұрын

    💞

  • @geopolitics94
    @geopolitics943 жыл бұрын

    God bless you my leader 🙏🏽

  • @benezethbwikizo3158
    @benezethbwikizo31587 жыл бұрын

    mungu ametupa zawadi ya huyu mtu,hakika sala za watanzania mungu kumbe alizickia asante mungu kwa hili

  • @georgeochen7276
    @georgeochen7276 Жыл бұрын

    The best in Africa

  • @mhangwamadeni1694
    @mhangwamadeni16947 жыл бұрын

    wafukuze tu waondoke!

  • @babumnyagane8091
    @babumnyagane8091 Жыл бұрын

    Kazi ya urais ni ngumu sana ngoja tupate katiba mpya tuwapunguzie kazi tuzishushe chini.

  • @lameckbalekere1962
    @lameckbalekere19623 жыл бұрын

    Mitume wetu magufuli

  • @saxannjo6173
    @saxannjo61734 жыл бұрын

    ISHI SANA RAIS WETU WA MUDA WOTE

  • @faza4023
    @faza40234 жыл бұрын

    Huu ni moyo Mungu aliuchagua, nautaka.

  • @JohnJohn-vu9vn
    @JohnJohn-vu9vn3 жыл бұрын

    Nimejikuta natoa machozi uyu mzee abarikiwe milele

  • @tangaoldtv1067

    @tangaoldtv1067

    Жыл бұрын

    Kaka pole sana tunaumia watanzania ambao sio wwzalendo nawataja January makamba nape na wengi sana ila mungu atatuhukumia

  • @babumnyagane8091
    @babumnyagane8091 Жыл бұрын

    Sheria zetu ni zahajabu na kubadilisha tumeshidwa kabisa.mikataba inayofungwa na wanasheria haina tija kabisa kwa taifa.

  • @eddobillah2369
    @eddobillah23697 ай бұрын

    Aisee magufuli ulitufungua macho' endelea kupumzika.

  • @daudimzuri5771
    @daudimzuri57712 жыл бұрын

    nani mwingine raisi wa kuusema ukweri huu Kama sio John pombe magufuri tu

  • @tangaoldtv1067

    @tangaoldtv1067

    Жыл бұрын

    HAKUNA hasa kwa sisi WAISILSMU niwajinga wa Kwanza kabisa

Келесі