MAGUFULI AMPIGIA MKURUGENZI TAKUKURU LAIVU, AMFUKUZA KAMISHNA WA MKOA!

MAGUFULI AMPIGIA MKURUGENZI TAKUKURU LAIVU, AMFUKUZA KAMISHNA WA MKOA!
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli ambaye ameongozana na Mkewe Mama Janeth Magufuli Leo Oktoba16, 2019 anaendelea na ziara yake Nachingwea na Masasi akiwa ameambatana na baadhi ya mawaziri...
#RAISMAGUFULI
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
---------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY:
kzread.info?list...
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
kzread.info?list...
GLOBAL RADIO TV:
kzread.info?list...
EXCLUSIVE INTERVIEWS:
kzread.info?li

Пікірлер: 141

  • @emanuelseka7581
    @emanuelseka75814 жыл бұрын

    God bless you Mungu akubariki na akulinde na magonjwa nahatari zote Amen

  • @iddyprod3187
    @iddyprod31874 жыл бұрын

    JPM ulikuwa wapi toka zamani....?...tutaandamana ili uongoze nchi hii hata miaka 40

  • @kahroogall5695

    @kahroogall5695

    4 жыл бұрын

    Thanks so much Mimi pia naomba ataware mpaka 2035

  • @solomtz7049

    @solomtz7049

    4 жыл бұрын

    Ndio mimi nimekubali aongoze miaka 40...tutafika mbali

  • @noronhacompanylimited5370

    @noronhacompanylimited5370

    4 жыл бұрын

    iddy prod mimi nitayaongoza hayo maandamano mstari wa mbele

  • @johnferdnand2048
    @johnferdnand20484 жыл бұрын

    Kama umemuona RPC anatia huruma gonga like

  • @officialjohanesmkandara4301

    @officialjohanesmkandara4301

    4 жыл бұрын

    John Ferdnand kwanza nilijua yeye ndo anatumbuliwa

  • @princessaidal1130

    @princessaidal1130

    4 жыл бұрын

    John Ferdnand yaan mm ndo mpaka nime feel kulia nilivyoona akitia huruma sana,, nyie watu wanoko kumbe umemuona nww

  • @watakaniitaje1215

    @watakaniitaje1215

    4 жыл бұрын

    🤣 🤣 🤣 Yaani inavyoonekana na yeye Ana yake ndo maana alitaka kama kulia

  • @princessaidal1130

    @princessaidal1130

    4 жыл бұрын

    John Ferdnand kabisaaaaa

  • @phiniasphinias8963
    @phiniasphinias89634 жыл бұрын

    diwani yuko vizur aiseee.kama anajiamini hiv..

  • @lwitikomwakibete7525
    @lwitikomwakibete75254 жыл бұрын

    Raisi wangu pole kwa kazi ngumu unazofanya

  • @shamimushittindi1418
    @shamimushittindi14184 жыл бұрын

    Kumdanganya john c rahisi kama unavyofikiri

  • @princessaidal1130

    @princessaidal1130

    4 жыл бұрын

    Shamimu Shittindi kabisaaaaa

  • @abdul-rahimkadhi2322
    @abdul-rahimkadhi23224 жыл бұрын

    Diwani yuko vizuri ...big up

  • @salumhamzahamza1920
    @salumhamzahamza19204 жыл бұрын

    Huyu mama Yuko vizuri Sana kwa kuelezea changamoto

  • @watakaniitaje1215

    @watakaniitaje1215

    4 жыл бұрын

    Afu yupo serious kwa maendeleo

  • @phiniasphinias8963
    @phiniasphinias89634 жыл бұрын

    😀😁😁 nasema mpigieni mnanishangaa tu..aisee mzee hataki mchezo kabisa.

  • @felixmoses9863
    @felixmoses98634 жыл бұрын

    Watakuelewa tu Mheshimiwa Raisi wetu mpendwa

  • @albartkisusi7226

    @albartkisusi7226

    4 жыл бұрын

    Amina

  • @luizabahati5198
    @luizabahati51984 жыл бұрын

    KWA KWELI HATUTAKI KUBEMBELEZWA SAA HIVI TWENDE HIVIHIVI HII STYLE NI NZURI..ZEGE HALILALI

  • @waltermbelwa4973
    @waltermbelwa49734 жыл бұрын

    Kweli hapo ni kazi tuu.Mambo ya uuhandsome mwisho Chalinze.

  • @jenyyusuph4973

    @jenyyusuph4973

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂 Hii naona chalinze karibu huko ubena karibu na moro

  • @msemwawalter837
    @msemwawalter8374 жыл бұрын

    Huyu Rais anamaliza MB zangu kihalali.

  • @eliasboniface8887
    @eliasboniface88874 жыл бұрын

    Wewe ni katapila huchoki, maamuzi magumu, kweli wewe ni jembe mungu wetu tunamshukuru Sana wewe nimfuatiliaji hongera sana

  • @alisilima3868

    @alisilima3868

    4 жыл бұрын

    Maguu oyeeee

  • @a.a.a.s8322
    @a.a.a.s83224 жыл бұрын

    Kiboko ya wazembe. Hakuna ujanja hapa.

  • @alirahma8967
    @alirahma89674 жыл бұрын

    Manshallah raisi wawanyonge,mungu asimame nawewe

  • @munguaibarikitanzanianawat9254
    @munguaibarikitanzanianawat92544 жыл бұрын

    Mueshimiwa raisi kuwa na subr katika hatua .maana binadamu hatuko sawa mungu akupe subra katika kazi ishallaha..allah akulinde na mitiani unayo ikuta asante penda sana rais wetu

  • @mwalimabrahmanmohamed8245
    @mwalimabrahmanmohamed82454 жыл бұрын

    Asante maguuu tunakuelewaaa

  • @emanuelseka7581
    @emanuelseka75814 жыл бұрын

    Uko hapo kwa sababu Mungu akutangulie

  • @zikirination6769
    @zikirination67694 жыл бұрын

    Kazi kwel kwel awamu hii Kama una presha yakushuka Bora ukae pemben

  • @leinaamos9559

    @leinaamos9559

    4 жыл бұрын

    Hii changamoto

  • @costantinejoseph4907
    @costantinejoseph49074 жыл бұрын

    ogopa sana sauti ya zege isikufikie kuanzia leo natubu kwa mungu kukupinga ila taendelea kuwa upinzan

  • @leokamil6284
    @leokamil62844 жыл бұрын

    Inabidi nicheke mpigieni au hamtaki🤣🤣🤣😂😂😂

  • @hamisikaliza9960
    @hamisikaliza99604 жыл бұрын

    Nakupenda sana Mzee wetu Rais wetu, pole sana kwa kazi ngumu

  • @samniza1763
    @samniza17634 жыл бұрын

    I love this! You can and you must, but you need to recruit new young blood to think and see like you do so that when you retire they keep maintaining your system, you can not do it alone abeg ooh!

  • @paccomabula1456

    @paccomabula1456

    3 жыл бұрын

    Magu has performed your wish.....the parliament is full of young people.

  • @emilynathanielluvanda8298
    @emilynathanielluvanda82984 жыл бұрын

    NCHI imempata kiongoz

  • @bikailamhando5969
    @bikailamhando59694 жыл бұрын

    Asante sana mungu akupe maisha marefu raisi wetu asante kwa kufika kwetu chigugu

  • @safinaeli5701

    @safinaeli5701

    4 жыл бұрын

    Nitazidi kukuombea rais makufuli.nakupenda mpk naumwa

  • @saifysaid7556
    @saifysaid75564 жыл бұрын

    Mama anakwambia mm naweza haraka haraka

  • @mozasaid3869
    @mozasaid38694 жыл бұрын

    Hapa kazi tu! Hakuna kubembelezana!!!!

  • @klaragreen7999
    @klaragreen79994 жыл бұрын

    YAANI UONGOZE TU KAMA NYERERE HATA MIAK 100

  • @adnaandangaa356

    @adnaandangaa356

    4 жыл бұрын

    Nakuelewasana nawazitapke

  • @abediiromba1200
    @abediiromba12004 жыл бұрын

    Yuko vzr sana

  • @kikongajoel2693
    @kikongajoel26934 жыл бұрын

    Rais kweli unapiga kazi sana mungu akubariki

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior69724 жыл бұрын

    Nyoosha kabisa Baba Jesca watakuelewa tu

  • @renatuskailole9568
    @renatuskailole95684 жыл бұрын

    Kazikazi wabongo mafisadi mtanyooooooka!!!!!!! Kubembelezana kwisha

  • @upendompokigwa5045
    @upendompokigwa50454 жыл бұрын

    Mungu wa mbinguni akulinde kwa kazi nzur asante baba magufuli

  • @hon-mlenga
    @hon-mlenga4 жыл бұрын

    logistic President JPJM

  • @erickmkwera2784
    @erickmkwera27844 жыл бұрын

    Magufuri kiongozi bwana

  • @stephanokanyika6321
    @stephanokanyika63214 жыл бұрын

    Piga kazi baba magufuri

  • @daudijohn5650
    @daudijohn56504 жыл бұрын

    Diwani yuko vzur sana

  • @alfoncentabwa7133
    @alfoncentabwa71334 жыл бұрын

    hakika rais wetu kaz unayo ngumu xana viongoz unaowateua wanajisahau xana

  • @mamymamiza2924
    @mamymamiza29244 жыл бұрын

    Hii ndio maana ya hapa kazi tu kubembeleza mwisho awamu zilizo pita piga kazi baba mambo ya kujimwambafai oyeeeeeeee maendeleo tunayaona🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @rhiophiri9645
    @rhiophiri96454 жыл бұрын

    Africa needs presidents like magufuli,Tanzanians give magufuli support

  • @alloycejames5285
    @alloycejames52854 ай бұрын

    Kwenye kazi magu was wonderful

  • @nyangimarwa3448
    @nyangimarwa34484 ай бұрын

    Dah jamani pumzika kwa amani Baba

  • @gililwise
    @gililwise4 жыл бұрын

    Wanawake tunawezaaa tupeni nafasi ya uongozi.hingera mama kwa kutuwakilisha vema.

  • @neemakilomoni4258
    @neemakilomoni42584 жыл бұрын

    Safi sana fukuza hadi kieleweke

  • @sharifaabdullah6825
    @sharifaabdullah68254 жыл бұрын

    Magufuli kanyaga

  • @halisiaisaya7832
    @halisiaisaya78324 жыл бұрын

    Haya mie naweza haraharaka.

  • @slimjumakimamba3979

    @slimjumakimamba3979

    4 жыл бұрын

    Yani nilikuwa natizama comment kuna mtu kainyaka. Kumbe du umeinyaka nimecheka sana

  • @amazingswahili5025
    @amazingswahili50254 жыл бұрын

    This is my president!

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi82414 жыл бұрын

    huyu regional commissioner is doing his job. well done sir! oh hapa ni mtwara...safi RC wa Mtwara

  • @barakamwakapoma2702
    @barakamwakapoma27024 жыл бұрын

    Safi sana raisi wangu

  • @huldanjiro7419

    @huldanjiro7419

    4 жыл бұрын

    wewe shujaa magu

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni7014 жыл бұрын

    Duh mwaka wakazi tu. Papo kwa papo zawadi unapata

  • @micamathew6433
    @micamathew64334 жыл бұрын

    Yaan watu wengine ni wakwamishaji kweli. Sasa na walaaniwe kisha watupwe mbali. Mana wao ni wanyama hawafai kukaa na binadamu wenye kumcha Mungu. Lkn kumbuka ufisadi ni dhambi.. Sasa nashangaa watu siku hizi hawamwogopi Mungu. Inanishangaza kweli.

  • @bakarshaban703

    @bakarshaban703

    4 жыл бұрын

    Nenda tanga korogwe vjijini kijj Cha mwenga hakna huduma ya umeme Wala afya mpaka elimu

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel56774 жыл бұрын

    Diwani yuko vizuri sana,mkuu wa mkoa anajiamini safi sana,kamanda wa Takukuru wa mkoa..masikini chaliii...sa sijui alikuwa nje ya mkoa kikazi maskini ya Mungu...Magufuri nadhani uongezewe tu muda wa kutawala, katiba si inabadilishwa tu...kwani kitu gani..bhana

  • @AllyJSingu
    @AllyJSingu4 жыл бұрын

    Asante mkuu ubarikiwe sana

  • @klaragreen7999
    @klaragreen79994 жыл бұрын

    Mtanyooka mwaka huu..PUMBAVU

  • @venanceshija2025
    @venanceshija20254 жыл бұрын

    Rpc Anataka kulia😂😂😂

  • @mamymamiza2924
    @mamymamiza29244 жыл бұрын

    Yani rais nakupenda mpaka naumwa mungu akupe afya

  • @uledimtumwa2406
    @uledimtumwa24064 жыл бұрын

    Kazi ipo

  • @mustafaabdallah822
    @mustafaabdallah8224 жыл бұрын

    Pita kibaigwa kongwa

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi82414 жыл бұрын

    tungepata watu 10 kama former Prime Minister and minister for home affairs Agustino Lyatunga Mrema, duuh wangeshirikiana vizuri sana na Mh. John P Magufuli

  • @humayduwe1762
    @humayduwe17624 жыл бұрын

    Mama umechomoa betri

  • @barakaathumani3481
    @barakaathumani34814 жыл бұрын

    Hapa kazi tuuuuuuuu

  • @smkinuthia6094
    @smkinuthia60944 жыл бұрын

    Powerful President no-nonsense. Why can Uhuru stand like this man and act instead of just talking.

  • @agneserasto9806
    @agneserasto98064 жыл бұрын

    Hukweri rahis wetu Mpendwa tunakuona hunavyofanya jitiada zote hunazowapigania wananchi wanyonge kweri hunawapambania KI hushujaa

  • @evodiushenerico2497
    @evodiushenerico24974 жыл бұрын

    Wew ndo jembe letu

  • @kiuwamhina2802
    @kiuwamhina28024 жыл бұрын

    Wanaosema asiongezewe muda wakafie mbele ya safari cc wananchi tushamwongezea, wanataka wavivu na wezi tu serikali tumewashitukia tunamwongezea

  • @leonardjohnson2058

    @leonardjohnson2058

    4 жыл бұрын

    KIUWA MHINA tatizo hujui hta bei ya sukari

  • @yesuanaokoamtumainiyeye1360

    @yesuanaokoamtumainiyeye1360

    4 жыл бұрын

    kweli aongezewe muda

  • @leonardjohnson2058

    @leonardjohnson2058

    4 жыл бұрын

    Allon Yocktan hujui anae kulisha anavyoteseka

  • @ommarymgeni1536
    @ommarymgeni15364 жыл бұрын

    bab piga kazi tunakukubali nenda hata kondoa ukawatumbue wamezidi sanaaaa sanaaa

  • @Nuruchoir
    @Nuruchoir4 ай бұрын

    Jmn

  • @moranilesoile9125
    @moranilesoile91254 жыл бұрын

    Njoo manyara mh jpm raisi wa wanyonge

  • @geofreygkivamba9110
    @geofreygkivamba91104 жыл бұрын

    Jumaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @princessaidal1130
    @princessaidal11304 жыл бұрын

    Magufuli hakikisha unafika Kagera hasa wilaya ya Ngara kuna ushenzi usioelezeka

  • @albertremmy3479
    @albertremmy34794 жыл бұрын

    namuonea huruma sana huyu kamanda wa takukuru mkoa wa mtwara. najiuliza hivi kwamfano yupo hospitali kalazwa au yupo kwenye msiba afu anaskia habari hii dah! pole kamanda.

  • @msovietimjamaa3017

    @msovietimjamaa3017

    4 жыл бұрын

    Kweli ndgu

  • @oslonorway664

    @oslonorway664

    4 жыл бұрын

    alitakiwa awepo muwakilishi tuache siasa

  • @EK-kp2np

    @EK-kp2np

    4 жыл бұрын

    Albert Remmy Kunapokuwa na ziara ya mkuu wa nchi, kila mwakikishi wa eneo hilo anatakiwa kuwepo, kama ana udhuru anapeleka mwakilishi wake baada ya kutoa taarifa ya udhuru alionao

  • @saidymkariboymkariboy3330
    @saidymkariboymkariboy33304 жыл бұрын

    hii ndo awamu ya tano bwana5

  • @BaloMega
    @BaloMega4 жыл бұрын

    ABUSIVE OF POWER!!

  • @ashurar2721
    @ashurar27214 жыл бұрын

    Woyoooo maliza baba apa kazitu

  • @eddyphonce2287
    @eddyphonce22874 жыл бұрын

    Duh,

  • @fredymjindoseverine1280
    @fredymjindoseverine12804 ай бұрын

    RIP

  • @Hassan-ot1mc
    @Hassan-ot1mc4 жыл бұрын

    Njoo wilaya ya muheza Tanga

  • @francejoseph8741
    @francejoseph87414 жыл бұрын

    Wataelewa walizohea kula to na kulala

  • @NgosweTv
    @NgosweTv4 жыл бұрын

    You can't read in a dream because reading and dreaming are functions of different sides of the brain, which don't cooperate while dreams

  • @simonsadala2386
    @simonsadala23864 жыл бұрын

    Shkamooooooooooo Mh Rais hahahaaaaa

  • @britonngale6644
    @britonngale66444 жыл бұрын

    Magu wape adabu hao

  • @SaidSaid-cs7mm
    @SaidSaid-cs7mm4 жыл бұрын

    Mikutano ufanye pekeako daaaa 😄

  • @franciscogosbert9603
    @franciscogosbert96034 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @fauziaabeid3751
    @fauziaabeid37514 жыл бұрын

    firimoni mboe

  • @leonardjohnson2058
    @leonardjohnson20584 жыл бұрын

    Kwan aliechukua korosho ninan????? Siasa hizi

  • @ngakayukadogo8475

    @ngakayukadogo8475

    4 жыл бұрын

    Leonard Johnson itakuwa hujaelewa,korosho zilibebwa na serikali na pesa ikatolewa hao waliotajwa wakazipiga ndio maana wanadaiwa, sijui siasa inaingiaje hapo mzee

  • @leonardjohnson2058

    @leonardjohnson2058

    4 жыл бұрын

    Ngakayu Kadogo kwa hyo bunge la mwisho wazir alitudanganya??

  • @ktravel3527

    @ktravel3527

    4 жыл бұрын

    Hilo ni deni la mwaka 2017 hizo korosho zilinunuliwa na vyama vya ushirika sio serikali

  • @africanhappyadventure6951
    @africanhappyadventure69514 жыл бұрын

    Haws ndio Viongozi wakipewa kueleza Matatizo ya Wananchi wanaeleza Vizuri sio Wale Wajinga wajinga Kusifia sifia wakati wananchi wanaishi kwa SHIDA..

  • @symonfx1995
    @symonfx19954 жыл бұрын

    Jamaa mpaka akatoke madarakani naamini baba yangu nae atakua ameteuliwa kua kamshina pia

  • @gauligunga9516

    @gauligunga9516

    4 жыл бұрын

    Mungu anamakusudi na Tanzania kwa kumleta mtumishi wako rais Magufuli

  • @xelinerparis7365
    @xelinerparis73654 жыл бұрын

    Yan siku nikiteuliwa ntalia kilio cha kisulisuli

  • @shadrackjoseph5831

    @shadrackjoseph5831

    4 жыл бұрын

    Eee mwenyezi mungu mjalie rais wetu aishi miaka mingi zaidi duniani, aongoze inchi yetu miaka 30 kama katiba itaruhusu

  • @tedymwandara5480

    @tedymwandara5480

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @abuuashyam8417
    @abuuashyam84174 жыл бұрын

    Jamani sheria na huruma,hatakuulizwa kama anaumwa au kapata zarura ganiii ya kwanini hajakuwepo,aaaaa,hii sasa toomuch

  • @athumanikhalid216

    @athumanikhalid216

    4 жыл бұрын

    Angetoa taarifa, kama ni kiongozi mwajibikaji!..

  • @abuuashyam8417

    @abuuashyam8417

    4 жыл бұрын

    @@athumanikhalid216 hapana ubinaadam kwanza umuulizie japo kwasimu,

  • @pascalwissi4805

    @pascalwissi4805

    4 жыл бұрын

    Pia tukumbuke Magufuri hakurupuki, lzima ktk ziara hii yote ana taarifa za.huyo mtu.

  • @salumnassor3845
    @salumnassor38454 жыл бұрын

    Naskitika kwa nini tokea mwanzo sikumpenda hyu mzee

  • @christophermilings1142

    @christophermilings1142

    4 жыл бұрын

    pole mzee baba

  • @tedymwandara5480

    @tedymwandara5480

    4 жыл бұрын

    Sio mbaya umejitahidi kuanza kumpenda.😂😂

  • @officialjohanesmkandara4301

    @officialjohanesmkandara4301

    4 жыл бұрын

    Pole sana na hongera kwa kutambua makosa yako

  • @ancomagu9025
    @ancomagu90254 жыл бұрын

    WATANZANI SISI TULIVYO UWA TUNASIFIA WAKITOKA MADALAKANI

  • @ancomagu9025

    @ancomagu9025

    4 жыл бұрын

    @fortnite beast yani hata sierewi

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila85624 жыл бұрын

    Asiyekupenda lazima atakubali tu.

  • @fatumalema3891

    @fatumalema3891

    4 жыл бұрын

    Njoo Kilimanjaro rais wa wanyonge

  • @florakankutebe3987
    @florakankutebe39874 жыл бұрын

    Nakuelewa sana kiongozi wetu

  • @kwesinjoku8940
    @kwesinjoku89404 жыл бұрын

    This president a whole joke 😤

  • @stephanokanyika6321
    @stephanokanyika63214 жыл бұрын

    Hata ukiondoka tutakukumbuka baba

  • @Sedouf
    @Sedouf4 жыл бұрын

    Rais asiyejuwa hata jina la kijiji alichofikia,hii ni kali.Rais anayemfukuza mtu kazi hadharani kwa kosa la kutokuwepo kwenye mkutano bila ya rais kujuwa sababu gani iliyomfanya huyo mhusika kushindwa kuwepo hapo.Ama kweli mmepata rais jiwe ,

  • @fortidasfidell2681

    @fortidasfidell2681

    4 жыл бұрын

    Asante sana mkuu wa nchi ya Tanzania.

  • @YassinYassin-vw2zb

    @YassinYassin-vw2zb

    4 жыл бұрын

    Unataka hapa ujuwe sababu ipi wewe unafaham bosi wako anakuja halafu unatoroka nikwamba siyo mchapa kazi kwani siangeacha muwakilishi wewe ndiyo huelewi taratibu zakikazi hongeara sana rais wetu

  • @zuberiramadhani5062

    @zuberiramadhani5062

    4 жыл бұрын

    ama kweli rais tumepata

  • @barakamweta9958
    @barakamweta99584 жыл бұрын

    Kweli,hata Tanesco ukilitimba umejaa wanasinzia sana,wanasumbua kutoamita,fukuza wamezidi,wanadharau sana,fukuza wote,toa kabisa

Келесі