MAGUFULI AMPIGIA MKURUGENZI TAKUKURU LAIVU, AMFUKUZA KAMISHNA WA MKOA!
MAGUFULI AMPIGIA MKURUGENZI TAKUKURU LAIVU, AMFUKUZA KAMISHNA WA MKOA!
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli ambaye ameongozana na Mkewe Mama Janeth Magufuli Leo Oktoba16, 2019 anaendelea na ziara yake Nachingwea na Masasi akiwa ameambatana na baadhi ya mawaziri...
#RAISMAGUFULI
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
---------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY:
kzread.info?list...
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
kzread.info?list...
GLOBAL RADIO TV:
kzread.info?list...
EXCLUSIVE INTERVIEWS:
kzread.info?li
Пікірлер: 141
God bless you Mungu akubariki na akulinde na magonjwa nahatari zote Amen
JPM ulikuwa wapi toka zamani....?...tutaandamana ili uongoze nchi hii hata miaka 40
@kahroogall5695
4 жыл бұрын
Thanks so much Mimi pia naomba ataware mpaka 2035
@solomtz7049
4 жыл бұрын
Ndio mimi nimekubali aongoze miaka 40...tutafika mbali
@noronhacompanylimited5370
4 жыл бұрын
iddy prod mimi nitayaongoza hayo maandamano mstari wa mbele
Kama umemuona RPC anatia huruma gonga like
@officialjohanesmkandara4301
4 жыл бұрын
John Ferdnand kwanza nilijua yeye ndo anatumbuliwa
@princessaidal1130
4 жыл бұрын
John Ferdnand yaan mm ndo mpaka nime feel kulia nilivyoona akitia huruma sana,, nyie watu wanoko kumbe umemuona nww
@watakaniitaje1215
4 жыл бұрын
🤣 🤣 🤣 Yaani inavyoonekana na yeye Ana yake ndo maana alitaka kama kulia
@princessaidal1130
4 жыл бұрын
John Ferdnand kabisaaaaa
diwani yuko vizur aiseee.kama anajiamini hiv..
Raisi wangu pole kwa kazi ngumu unazofanya
Kumdanganya john c rahisi kama unavyofikiri
@princessaidal1130
4 жыл бұрын
Shamimu Shittindi kabisaaaaa
Diwani yuko vizuri ...big up
Huyu mama Yuko vizuri Sana kwa kuelezea changamoto
@watakaniitaje1215
4 жыл бұрын
Afu yupo serious kwa maendeleo
😀😁😁 nasema mpigieni mnanishangaa tu..aisee mzee hataki mchezo kabisa.
Watakuelewa tu Mheshimiwa Raisi wetu mpendwa
@albartkisusi7226
4 жыл бұрын
Amina
KWA KWELI HATUTAKI KUBEMBELEZWA SAA HIVI TWENDE HIVIHIVI HII STYLE NI NZURI..ZEGE HALILALI
Kweli hapo ni kazi tuu.Mambo ya uuhandsome mwisho Chalinze.
@jenyyusuph4973
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 Hii naona chalinze karibu huko ubena karibu na moro
Huyu Rais anamaliza MB zangu kihalali.
Wewe ni katapila huchoki, maamuzi magumu, kweli wewe ni jembe mungu wetu tunamshukuru Sana wewe nimfuatiliaji hongera sana
@alisilima3868
4 жыл бұрын
Maguu oyeeee
Kiboko ya wazembe. Hakuna ujanja hapa.
Manshallah raisi wawanyonge,mungu asimame nawewe
Mueshimiwa raisi kuwa na subr katika hatua .maana binadamu hatuko sawa mungu akupe subra katika kazi ishallaha..allah akulinde na mitiani unayo ikuta asante penda sana rais wetu
Asante maguuu tunakuelewaaa
Uko hapo kwa sababu Mungu akutangulie
Kazi kwel kwel awamu hii Kama una presha yakushuka Bora ukae pemben
@leinaamos9559
4 жыл бұрын
Hii changamoto
ogopa sana sauti ya zege isikufikie kuanzia leo natubu kwa mungu kukupinga ila taendelea kuwa upinzan
Inabidi nicheke mpigieni au hamtaki🤣🤣🤣😂😂😂
Nakupenda sana Mzee wetu Rais wetu, pole sana kwa kazi ngumu
I love this! You can and you must, but you need to recruit new young blood to think and see like you do so that when you retire they keep maintaining your system, you can not do it alone abeg ooh!
@paccomabula1456
3 жыл бұрын
Magu has performed your wish.....the parliament is full of young people.
NCHI imempata kiongoz
Asante sana mungu akupe maisha marefu raisi wetu asante kwa kufika kwetu chigugu
@safinaeli5701
4 жыл бұрын
Nitazidi kukuombea rais makufuli.nakupenda mpk naumwa
Mama anakwambia mm naweza haraka haraka
Hapa kazi tu! Hakuna kubembelezana!!!!
YAANI UONGOZE TU KAMA NYERERE HATA MIAK 100
@adnaandangaa356
4 жыл бұрын
Nakuelewasana nawazitapke
Yuko vzr sana
Rais kweli unapiga kazi sana mungu akubariki
Nyoosha kabisa Baba Jesca watakuelewa tu
Kazikazi wabongo mafisadi mtanyooooooka!!!!!!! Kubembelezana kwisha
Mungu wa mbinguni akulinde kwa kazi nzur asante baba magufuli
logistic President JPJM
Magufuri kiongozi bwana
Piga kazi baba magufuri
Diwani yuko vzur sana
hakika rais wetu kaz unayo ngumu xana viongoz unaowateua wanajisahau xana
Hii ndio maana ya hapa kazi tu kubembeleza mwisho awamu zilizo pita piga kazi baba mambo ya kujimwambafai oyeeeeeeee maendeleo tunayaona🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Africa needs presidents like magufuli,Tanzanians give magufuli support
Kwenye kazi magu was wonderful
Dah jamani pumzika kwa amani Baba
Wanawake tunawezaaa tupeni nafasi ya uongozi.hingera mama kwa kutuwakilisha vema.
Safi sana fukuza hadi kieleweke
Magufuli kanyaga
Haya mie naweza haraharaka.
@slimjumakimamba3979
4 жыл бұрын
Yani nilikuwa natizama comment kuna mtu kainyaka. Kumbe du umeinyaka nimecheka sana
This is my president!
huyu regional commissioner is doing his job. well done sir! oh hapa ni mtwara...safi RC wa Mtwara
Safi sana raisi wangu
@huldanjiro7419
4 жыл бұрын
wewe shujaa magu
Duh mwaka wakazi tu. Papo kwa papo zawadi unapata
Yaan watu wengine ni wakwamishaji kweli. Sasa na walaaniwe kisha watupwe mbali. Mana wao ni wanyama hawafai kukaa na binadamu wenye kumcha Mungu. Lkn kumbuka ufisadi ni dhambi.. Sasa nashangaa watu siku hizi hawamwogopi Mungu. Inanishangaza kweli.
@bakarshaban703
4 жыл бұрын
Nenda tanga korogwe vjijini kijj Cha mwenga hakna huduma ya umeme Wala afya mpaka elimu
Diwani yuko vizuri sana,mkuu wa mkoa anajiamini safi sana,kamanda wa Takukuru wa mkoa..masikini chaliii...sa sijui alikuwa nje ya mkoa kikazi maskini ya Mungu...Magufuri nadhani uongezewe tu muda wa kutawala, katiba si inabadilishwa tu...kwani kitu gani..bhana
Asante mkuu ubarikiwe sana
Mtanyooka mwaka huu..PUMBAVU
Rpc Anataka kulia😂😂😂
Yani rais nakupenda mpaka naumwa mungu akupe afya
Kazi ipo
Pita kibaigwa kongwa
tungepata watu 10 kama former Prime Minister and minister for home affairs Agustino Lyatunga Mrema, duuh wangeshirikiana vizuri sana na Mh. John P Magufuli
Mama umechomoa betri
Hapa kazi tuuuuuuuu
Powerful President no-nonsense. Why can Uhuru stand like this man and act instead of just talking.
Hukweri rahis wetu Mpendwa tunakuona hunavyofanya jitiada zote hunazowapigania wananchi wanyonge kweri hunawapambania KI hushujaa
Wew ndo jembe letu
Wanaosema asiongezewe muda wakafie mbele ya safari cc wananchi tushamwongezea, wanataka wavivu na wezi tu serikali tumewashitukia tunamwongezea
@leonardjohnson2058
4 жыл бұрын
KIUWA MHINA tatizo hujui hta bei ya sukari
@yesuanaokoamtumainiyeye1360
4 жыл бұрын
kweli aongezewe muda
@leonardjohnson2058
4 жыл бұрын
Allon Yocktan hujui anae kulisha anavyoteseka
bab piga kazi tunakukubali nenda hata kondoa ukawatumbue wamezidi sanaaaa sanaaa
Jmn
Njoo manyara mh jpm raisi wa wanyonge
Jumaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Magufuli hakikisha unafika Kagera hasa wilaya ya Ngara kuna ushenzi usioelezeka
namuonea huruma sana huyu kamanda wa takukuru mkoa wa mtwara. najiuliza hivi kwamfano yupo hospitali kalazwa au yupo kwenye msiba afu anaskia habari hii dah! pole kamanda.
@msovietimjamaa3017
4 жыл бұрын
Kweli ndgu
@oslonorway664
4 жыл бұрын
alitakiwa awepo muwakilishi tuache siasa
@EK-kp2np
4 жыл бұрын
Albert Remmy Kunapokuwa na ziara ya mkuu wa nchi, kila mwakikishi wa eneo hilo anatakiwa kuwepo, kama ana udhuru anapeleka mwakilishi wake baada ya kutoa taarifa ya udhuru alionao
hii ndo awamu ya tano bwana5
ABUSIVE OF POWER!!
Woyoooo maliza baba apa kazitu
Duh,
RIP
Njoo wilaya ya muheza Tanga
Wataelewa walizohea kula to na kulala
You can't read in a dream because reading and dreaming are functions of different sides of the brain, which don't cooperate while dreams
Shkamooooooooooo Mh Rais hahahaaaaa
Magu wape adabu hao
Mikutano ufanye pekeako daaaa 😄
😂😂😂😂😂
firimoni mboe
Kwan aliechukua korosho ninan????? Siasa hizi
@ngakayukadogo8475
4 жыл бұрын
Leonard Johnson itakuwa hujaelewa,korosho zilibebwa na serikali na pesa ikatolewa hao waliotajwa wakazipiga ndio maana wanadaiwa, sijui siasa inaingiaje hapo mzee
@leonardjohnson2058
4 жыл бұрын
Ngakayu Kadogo kwa hyo bunge la mwisho wazir alitudanganya??
@ktravel3527
4 жыл бұрын
Hilo ni deni la mwaka 2017 hizo korosho zilinunuliwa na vyama vya ushirika sio serikali
Haws ndio Viongozi wakipewa kueleza Matatizo ya Wananchi wanaeleza Vizuri sio Wale Wajinga wajinga Kusifia sifia wakati wananchi wanaishi kwa SHIDA..
Jamaa mpaka akatoke madarakani naamini baba yangu nae atakua ameteuliwa kua kamshina pia
@gauligunga9516
4 жыл бұрын
Mungu anamakusudi na Tanzania kwa kumleta mtumishi wako rais Magufuli
Yan siku nikiteuliwa ntalia kilio cha kisulisuli
@shadrackjoseph5831
4 жыл бұрын
Eee mwenyezi mungu mjalie rais wetu aishi miaka mingi zaidi duniani, aongoze inchi yetu miaka 30 kama katiba itaruhusu
@tedymwandara5480
4 жыл бұрын
😂😂😂😂
Jamani sheria na huruma,hatakuulizwa kama anaumwa au kapata zarura ganiii ya kwanini hajakuwepo,aaaaa,hii sasa toomuch
@athumanikhalid216
4 жыл бұрын
Angetoa taarifa, kama ni kiongozi mwajibikaji!..
@abuuashyam8417
4 жыл бұрын
@@athumanikhalid216 hapana ubinaadam kwanza umuulizie japo kwasimu,
@pascalwissi4805
4 жыл бұрын
Pia tukumbuke Magufuri hakurupuki, lzima ktk ziara hii yote ana taarifa za.huyo mtu.
Naskitika kwa nini tokea mwanzo sikumpenda hyu mzee
@christophermilings1142
4 жыл бұрын
pole mzee baba
@tedymwandara5480
4 жыл бұрын
Sio mbaya umejitahidi kuanza kumpenda.😂😂
@officialjohanesmkandara4301
4 жыл бұрын
Pole sana na hongera kwa kutambua makosa yako
WATANZANI SISI TULIVYO UWA TUNASIFIA WAKITOKA MADALAKANI
@ancomagu9025
4 жыл бұрын
@fortnite beast yani hata sierewi
Asiyekupenda lazima atakubali tu.
@fatumalema3891
4 жыл бұрын
Njoo Kilimanjaro rais wa wanyonge
Nakuelewa sana kiongozi wetu
This president a whole joke 😤
Hata ukiondoka tutakukumbuka baba
Rais asiyejuwa hata jina la kijiji alichofikia,hii ni kali.Rais anayemfukuza mtu kazi hadharani kwa kosa la kutokuwepo kwenye mkutano bila ya rais kujuwa sababu gani iliyomfanya huyo mhusika kushindwa kuwepo hapo.Ama kweli mmepata rais jiwe ,
@fortidasfidell2681
4 жыл бұрын
Asante sana mkuu wa nchi ya Tanzania.
@YassinYassin-vw2zb
4 жыл бұрын
Unataka hapa ujuwe sababu ipi wewe unafaham bosi wako anakuja halafu unatoroka nikwamba siyo mchapa kazi kwani siangeacha muwakilishi wewe ndiyo huelewi taratibu zakikazi hongeara sana rais wetu
@zuberiramadhani5062
4 жыл бұрын
ama kweli rais tumepata
Kweli,hata Tanesco ukilitimba umejaa wanasinzia sana,wanasumbua kutoamita,fukuza wamezidi,wanadharau sana,fukuza wote,toa kabisa