ZIARA YA RAIS DKT.JOHN POMBE MAGUFULI MKOANI RUKWA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli anafanya ziara ya siku tatu Mkoani Rukwa ambapo anafungua na kukagua miradi ya Maendeleo pamoja na kuzungumza na Wananchi wa Maeneo mbalimbali ya Rukwa na Wilaya zake
Пікірлер: 35
Daaa!!!!!! hatari sana uwongozi we huyu mzee ni wakweli aise hongera mzee baba
kupitia mh raisi wetu mpendwa na waziri mkuu nchii lazimaa ipaeee kwa harakaa kazi zinazofanywa haijawahi kutokeaa hakikaa sasa tanzania ni nchi ya kujivunia kuzaliwa love president love tanzania love africa
hahahahahaha kweli leo ndo nimeamin JPM usimkasirishe aiseee unaweza ukapoteza kaz mda wowote ule
Huyu ni mbogo haki ya mungu
Yaani angekuwepo tangu Uhuru saa hizi hii TZ ni zaidi ya Ulaya. God bless my President JPM.
@amourmohammed3572
4 жыл бұрын
Antony Kashube wacha kufananisha Ulaya na kitu vya kijinga wewe
@antonykashube2065
4 жыл бұрын
@@amourmohammed3572yaani mashoga sijui kwa nini mnakurupukaga kuandika ugoro kama mnavyokurupuka kujinyea. Kakalie vibamia vya wazungu wako huko unipishe hapa.
@amourmohammed3572
4 жыл бұрын
Mwanza hawaishi wazungu choko wewe usifananishe Ulaya na upumbavu
@antonykashube2065
4 жыл бұрын
@@amourmohammed3572 unadhani Ulaya ni kwa mama yako?
Gari mbovu sio mpya 😁😁😁😁
Yanii hakuna alie kuwa salama katika uongozi wa uncle magu ukifanya ujinga imekula kwako hakuna kuogopana nampenda bure
Huyu Askari hata kuja kusahau alivyo ponea chupu chupu kutumbuliwa....nafikir atakuja kusimulia siku moja kilicho mkuta mbele ya JPM kweli aendelee kuomba kwa Mungu nafikir ndo kamuepushia ilo balaaaa
RPC una Mungu duh!
Duuuu awamu hii kazi ipo
Mungu akulinde Dr John pombe magufuli raisi wa wanyonge usiyependa MTU yeyote kuonewa
Nashukur sana Mr president
Watafutie gari jipya kwa kuthamin kaz yao
We can only say thank you 🙏🏿, you mean what you say
SAFI SANA TANZANIA KWANZA UZALENDO KWANZA
hawa watu walijisahau sana. hiyo ni dharau sana kwa kufikiri waziri hana ubavu na kukaidi amri halali ya waziri
Kudaaadekii jpm fire
Nitasema ukweli daima fitna kwangu mwiko na haki huinua taifa hizo nyimbo ni zawahenga hakika kula yangu haikupotea kamwe
Saluti MZEE JPM
Goo d san yni atuwez kuwa nawatu wazembe kwenye kz arafu mwisho mwez anapokey pesa zabure kz akuna uzembe uzembe awataki kur kwa jasho wanatak waninyinie tuu ofisi kutwa kunjwa chai na c juis zito 😏🙂ukwer ubaki kuwa hukwer tuu good
Haitoshi hiyo hela MJOMBA.
MUNGU NDIO KILA KITU KWELI MH RAIS WAWANYONGE
Mkuu hana number ya IGP?🤣🤣🤣
Hawa wange pelekwa kulinda bank
huyu ndo jpm unanikosha kwenye moyo
MUNGU NI MWEMA KWA NCHI YETU RAIS WAWANYONGE UWE NA AFYA NJEMA
KWAKWELI ASANTE MUNGU
kama umeona tecno kwa Rais niambie
Dont ever cross this dude..litakula kwako..cha kushangaza bado watu hawajampata!!!
@kiatu
4 жыл бұрын
erry deo Baado wanajaribu kiberiti.
@miltonstephano3246
4 жыл бұрын
Nafikiri mpaka siku achomoe betri ndio wamuelewe