ZIARA YA RAIS DKT.JOHN POMBE MAGUFULI MKOANI RUKWA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli anafanya ziara ya siku tatu Mkoani Rukwa ambapo anafungua na kukagua miradi ya Maendeleo pamoja na kuzungumza na Wananchi wa Maeneo mbalimbali ya Rukwa na Wilaya zake

Пікірлер: 35

  • @famitoissanawanda6295
    @famitoissanawanda62954 жыл бұрын

    Daaa!!!!!! hatari sana uwongozi we huyu mzee ni wakweli aise hongera mzee baba

  • @abuyabally5086
    @abuyabally50864 жыл бұрын

    kupitia mh raisi wetu mpendwa na waziri mkuu nchii lazimaa ipaeee kwa harakaa kazi zinazofanywa haijawahi kutokeaa hakikaa sasa tanzania ni nchi ya kujivunia kuzaliwa love president love tanzania love africa

  • @dicksonaroka6961
    @dicksonaroka69614 жыл бұрын

    hahahahahaha kweli leo ndo nimeamin JPM usimkasirishe aiseee unaweza ukapoteza kaz mda wowote ule

  • @muddyndui4610
    @muddyndui46104 жыл бұрын

    Huyu ni mbogo haki ya mungu

  • @antonykashube2065
    @antonykashube20654 жыл бұрын

    Yaani angekuwepo tangu Uhuru saa hizi hii TZ ni zaidi ya Ulaya. God bless my President JPM.

  • @amourmohammed3572

    @amourmohammed3572

    4 жыл бұрын

    Antony Kashube wacha kufananisha Ulaya na kitu vya kijinga wewe

  • @antonykashube2065

    @antonykashube2065

    4 жыл бұрын

    @@amourmohammed3572yaani mashoga sijui kwa nini mnakurupukaga kuandika ugoro kama mnavyokurupuka kujinyea. Kakalie vibamia vya wazungu wako huko unipishe hapa.

  • @amourmohammed3572

    @amourmohammed3572

    4 жыл бұрын

    Mwanza hawaishi wazungu choko wewe usifananishe Ulaya na upumbavu

  • @antonykashube2065

    @antonykashube2065

    4 жыл бұрын

    @@amourmohammed3572 unadhani Ulaya ni kwa mama yako?

  • @claudsanga2129
    @claudsanga21294 жыл бұрын

    Gari mbovu sio mpya 😁😁😁😁

  • @coogyelectrislabs
    @coogyelectrislabs4 жыл бұрын

    Yanii hakuna alie kuwa salama katika uongozi wa uncle magu ukifanya ujinga imekula kwako hakuna kuogopana nampenda bure

  • @dicksonaroka6961
    @dicksonaroka69614 жыл бұрын

    Huyu Askari hata kuja kusahau alivyo ponea chupu chupu kutumbuliwa....nafikir atakuja kusimulia siku moja kilicho mkuta mbele ya JPM kweli aendelee kuomba kwa Mungu nafikir ndo kamuepushia ilo balaaaa

  • @antonykashube2065
    @antonykashube20654 жыл бұрын

    RPC una Mungu duh!

  • @wilsonjohn1919
    @wilsonjohn19194 жыл бұрын

    Duuuu awamu hii kazi ipo

  • @emmanuelernest3776
    @emmanuelernest37764 жыл бұрын

    Mungu akulinde Dr John pombe magufuli raisi wa wanyonge usiyependa MTU yeyote kuonewa

  • @jumambarale699
    @jumambarale6994 жыл бұрын

    Nashukur sana Mr president

  • @wilsonjohn1919
    @wilsonjohn19194 жыл бұрын

    Watafutie gari jipya kwa kuthamin kaz yao

  • @kiatu
    @kiatu4 жыл бұрын

    We can only say thank you 🙏🏿, you mean what you say

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala33034 жыл бұрын

    SAFI SANA TANZANIA KWANZA UZALENDO KWANZA

  • @mswanawamswana3129
    @mswanawamswana31294 жыл бұрын

    hawa watu walijisahau sana. hiyo ni dharau sana kwa kufikiri waziri hana ubavu na kukaidi amri halali ya waziri

  • @mwalimabrahmanmohamed8245
    @mwalimabrahmanmohamed82454 жыл бұрын

    Kudaaadekii jpm fire

  • @godfreysanga2405
    @godfreysanga24054 жыл бұрын

    Nitasema ukweli daima fitna kwangu mwiko na haki huinua taifa hizo nyimbo ni zawahenga hakika kula yangu haikupotea kamwe

  • @habibumallanga6392
    @habibumallanga63924 жыл бұрын

    Saluti MZEE JPM

  • @Moon-wf2ec
    @Moon-wf2ec4 жыл бұрын

    Goo d san yni atuwez kuwa nawatu wazembe kwenye kz arafu mwisho mwez anapokey pesa zabure kz akuna uzembe uzembe awataki kur kwa jasho wanatak waninyinie tuu ofisi kutwa kunjwa chai na c juis zito 😏🙂ukwer ubaki kuwa hukwer tuu good

  • @nazirnoor4160
    @nazirnoor41604 жыл бұрын

    Haitoshi hiyo hela MJOMBA.

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala33034 жыл бұрын

    MUNGU NDIO KILA KITU KWELI MH RAIS WAWANYONGE

  • @johnsonkiwia6577
    @johnsonkiwia65774 жыл бұрын

    Mkuu hana number ya IGP?🤣🤣🤣

  • @hasanially9294
    @hasanially92944 жыл бұрын

    Hawa wange pelekwa kulinda bank

  • @focusaloyce7259
    @focusaloyce72594 жыл бұрын

    huyu ndo jpm unanikosha kwenye moyo

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala33034 жыл бұрын

    MUNGU NI MWEMA KWA NCHI YETU RAIS WAWANYONGE UWE NA AFYA NJEMA

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala33034 жыл бұрын

    KWAKWELI ASANTE MUNGU

  • @isayachisanza7748
    @isayachisanza77484 жыл бұрын

    kama umeona tecno kwa Rais niambie

  • @errydeo8865
    @errydeo88654 жыл бұрын

    Dont ever cross this dude..litakula kwako..cha kushangaza bado watu hawajampata!!!

  • @kiatu

    @kiatu

    4 жыл бұрын

    erry deo Baado wanajaribu kiberiti.

  • @miltonstephano3246

    @miltonstephano3246

    4 жыл бұрын

    Nafikiri mpaka siku achomoe betri ndio wamuelewe